Majibu kwa Mchungaji Daniel Anayelopoka Muda Mrefu Bila Kujitambua

usisahau ku subscribe channels hii

Пікірлер: 47

  • @user-tc9mf9om2b
    @user-tc9mf9om2b29 күн бұрын

    Asanteee shekh

  • @hamisishabani4072
    @hamisishabani407226 күн бұрын

    MAA SHAA ALLAH!!! USTADHI SHAFI WEWE NI MWALIMU!! WATAKUELEWA TU!!

  • @FadhilChai
    @FadhilChai3 күн бұрын

    Aslm alaykum wallah somo limeeleweka Wala Haina mjadala Allah atufahamishe na atupe ufahamu wa dini ya mmungu, somo zuri sana

  • @FadhilChai
    @FadhilChai3 күн бұрын

    Aslm alaykum,Allah akuhifadhi kwa kupeleka dini ya mmungu mbele

  • @user-hy5le8uk5b
    @user-hy5le8uk5b29 күн бұрын

    Sheikh wet allah atukuwekey akup maisha marefu Tuna küpende san sheikh wet 😢🥰🙌🕋☪️

  • @user-pj3zm2hk2g
    @user-pj3zm2hk2g29 күн бұрын

    Mashallah sheikh shafii Allah akulinde akupe umri mrefu wenye manufaa kwa Uma wakislamu na akuhifathi AMIN

  • @musayosia4081
    @musayosia408129 күн бұрын

    Maashaallaah ❤

  • @omarymbwana9798
    @omarymbwana979829 күн бұрын

    Mashallah shkh Nakukubali sn

  • @fahadjiddawy835
    @fahadjiddawy83526 күн бұрын

    Maa Sha Allah. Allah azidi kukupa Umri na Afyah uzidi kutupa elimu sahih Sheikh Shafi

  • @saidemuamedeali2678
    @saidemuamedeali267819 күн бұрын

    Mashallah

  • @user-tc9mf9om2b
    @user-tc9mf9om2b29 күн бұрын

    Sawaa

  • @MedyTz-sj6fs
    @MedyTz-sj6fs29 күн бұрын

    Naam shekhe❤

  • @zaydamos874
    @zaydamos87429 күн бұрын

    Safi sana sheikh shafii mwalimu wetu mwenyezmungu akufanyie wepes ktk majambo yako kaka

  • @user-pe9ki4nv1x
    @user-pe9ki4nv1x29 күн бұрын

    We ndo shekhe nnaekufatilia sana Toka ninunue smartphone

  • @Catherine-mh8sw
    @Catherine-mh8sw29 күн бұрын

    Takbiiiir

  • @bakarisahede9532
    @bakarisahede953229 күн бұрын

    Maashallah Allah akufanyie wepesi inshaallah

  • @amrankite371
    @amrankite37129 күн бұрын

    Maelezo mazur sana

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja199529 күн бұрын

    Ndacha na Danieli wamelimana 🤣🤣🤣 mmoja msabato mwengine mluteli 🤣🤣

  • @user-rw2hx5eb7p
    @user-rw2hx5eb7p28 күн бұрын

    Shafi shomar pango mashaalha

  • @Dafetty
    @Dafetty29 күн бұрын

    Sheikh shafii kwako maisha merefu❤❤❤❤❤❤

  • @aliabdallah8456
    @aliabdallah845627 күн бұрын

    Ni kweli kabisa Daniel hana anachojua hata Mungu wa kweli hajui ni nani unaposema Yesu ndiyo Mungu wa kweli aliyeumba mbingu na ardhi huo ni upoteshaji na huo ni ushetani mkubwa Mungu azaliwe na Mungu atairiwe Mungu asulubishwe kwa imani yao Mungu anaazima punda wa mtu hacha hiyo kauli yako yakudai yesu ni Mungu ndiyo mu

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv29 күн бұрын

    Maa Shaa ALLAH 💚

  • @MedyTz-sj6fs
    @MedyTz-sj6fs29 күн бұрын

    Nakubal maalim

  • @Saidi858
    @Saidi85826 күн бұрын

    inlimu tamu

  • @wadimtwana7286
    @wadimtwana728629 күн бұрын

    Wakitaka ndio hivyo wasitake ndio hivyo uislam ndio kila kitu

  • @salunhokhan0386
    @salunhokhan038629 күн бұрын

    Ni kweli sheikk. Naomba wasomee wagalatia 4:22-28

  • @shabamuhidin634
    @shabamuhidin63427 күн бұрын

    mda mwingine mtu mzima anauliza swali,ukimuuliza yeye atoe andiko Nabii mmoja alienda shule au university hana,atabaki tu kusema ooh! Yesu mwana wa mungu...yani mda mwingine naiuliza kweli? hawa wako na hekima?

  • @MauBonde
    @MauBonde25 күн бұрын

    Nakuunga mkono sheikh kitu ninachochukia baadhi ya masheikh baada ya kufikiria pepo wanafikiria dunia na biashara za kudanganya watu,mimi ni muumini wa kitabu na sunna.

  • @aliabdallah8456
    @aliabdallah845627 күн бұрын

    Uislamu raha hakuna maneno ya uongo ukweli unatawala

  • @adoniemanuel908
    @adoniemanuel90826 күн бұрын

    akili ndogoo mafuta ya zaituni yameumbwa namapepo kwani mbona uelewa mdogoo kila kituu kilichochopo duniani na mbinguni kaumba munguu sasa wewe mafutq namashetani wapi nawapi shetani kaumba nini

  • @user-ps9ml3lb6b
    @user-ps9ml3lb6b29 күн бұрын

    ❤❤❤

  • @chikuiddy9946
    @chikuiddy994629 күн бұрын

    Huyo mwakenywa hajui lolote ni chuki tuu, kama hujui kitu ni bora kukaa kimya tu

  • @ahmedbaga26
    @ahmedbaga2629 күн бұрын

    ALLAHU AKBAR

  • @user13375
    @user1337526 күн бұрын

    Akili imejaaa majini😮😮😮

  • @sultansallah8772

    @sultansallah8772

    19 күн бұрын

    Jinga jabisa

  • @JabiliJuma
    @JabiliJuma29 күн бұрын

    Hakika shekhe area ukuongeze uenderee keerekeza muongozo waibada akupe malsha marefu

  • @FeristaKoku-it9nx
    @FeristaKoku-it9nx29 күн бұрын

    Mbona umekomea kwa mzaituni Ila inatajwa miti mingi?

  • @samxx411

    @samxx411

    29 күн бұрын

    @@FeristaKoku-it9nx kwani muulizaji kauliza mti gani? Haya basi na muarubaini, mstafeli pia dawa mbona roho mbaya nyie

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    29 күн бұрын

    ​@@samxx411😂😂😂😂😂

  • @samxx411
    @samxx41129 күн бұрын

    Huo ndio uislamu sio porojo za kubishana

  • @Chrisblaze-beats
    @Chrisblaze-beats28 күн бұрын

    Shekhe mdomo mwingi. Tupe maandiko vifungu vya maaandiko sio ngonjera zako😅😅😅

  • @samxx411
    @samxx41129 күн бұрын

    Natamani na ndacha atupe vitu kama hivi katika biblia

  • @wadimtwana7286

    @wadimtwana7286

    29 күн бұрын

    Aah wapi hawezi labda kubabaisha tu

  • @samxx411

    @samxx411

    29 күн бұрын

    @@wadimtwana7286 umeonaee hawa wenzetu wapo kupinga tu

  • @kutailass6671

    @kutailass6671

    29 күн бұрын

    Vingekuwepo angesha vileta

  • @jumakutengeza1080

    @jumakutengeza1080

    29 күн бұрын

    Shukran ujumbe umefika

  • @Dafetty

    @Dafetty

    29 күн бұрын

    ​@@wadimtwana7286 umeonaeee

Келесі