Mkiristo Anayepotosha Maandiko Afyatuliwa na Ustadh Shafii-Yesu Hakuumba wa Hakuwa na Sifa ya Uungu

Usisahau ku subscribe channels hii

Пікірлер: 333

  • @johnsonbernald11
    @johnsonbernald1122 күн бұрын

    Uislam ni dini bora katika maisha yangu yote ya hapa dunia na mbinguni

  • @mansoursaid8
    @mansoursaid824 күн бұрын

    Sheikh mwenyezi mungu akupe umri mlefu na afya njema

  • @kachimail6279
    @kachimail627926 күн бұрын

    Kuzaliwa ukawa ni muislam ni neema kubwa Alhamdu lillah

  • @ramadhanmahongole9293

    @ramadhanmahongole9293

    26 күн бұрын

    hahahahaa kwa lipi au ndo kujifaliji

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    26 күн бұрын

    Alhamdulilah

  • @ramadhanmahongole9293

    @ramadhanmahongole9293

    26 күн бұрын

    @@Catherine-mh8sw hahaha

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    26 күн бұрын

    @@ramadhanmahongole9293 nakujuwa wewe chizi

  • @DakorTrony

    @DakorTrony

    21 күн бұрын

    Hamna uislamu ni majini tuu. Mbona Quran kiarabu ndio lugha?

  • @DoctMbegu
    @DoctMbegu24 күн бұрын

    Allah akujarie neema shekhe wng Kwamafundisho mazur

  • @ginazngo4317
    @ginazngo431726 күн бұрын

    Tuko oman tunajifunza mashaalla alla akulipe jannatu naima

  • @IbraahMghai
    @IbraahMghai22 күн бұрын

    Najivunia sana kuwa muslm warahii Ahsante mungu kwakuniumba mimi Muslim 🙏

  • @prochesernest5439

    @prochesernest5439

    21 күн бұрын

    @@IbraahMghai unajisifu kuwa mwislamu ndungu WA majini mapepo wachafu Toka huko njoo Kwa Yesu kristo mwokozi wetu hupone jehanamu ipo

  • @IbraahMghai

    @IbraahMghai

    20 күн бұрын

    @@prochesernest5439 SOMA BIBLE VIZURI KIJANA HAUJUI KITU

  • @jebace

    @jebace

    8 күн бұрын

    Mohammed alikatomba katoto ka miaka 6 duu hii ni hatari 😂.

  • @prochesernest5439

    @prochesernest5439

    3 күн бұрын

    @@IbraahMghai unajivun Kuwa mwislamu ndungu zako ni majini mapepo wachafu mashetani Toka huko utatupwa nao jehanamu njoo Kwa Yesu kristo mwokozi wetu twende mbinguni hachana na Dini ya majini mashetani

  • @IbraahMghai

    @IbraahMghai

    2 күн бұрын

    @@jebace Maneno huishi daima ila wewe utakufa

  • @zaydamos874
    @zaydamos87426 күн бұрын

    Safi sana sheikh shafii mwalimu wangu nakupenda sana

  • @IsmailyJuma-ih3tg
    @IsmailyJuma-ih3tg23 күн бұрын

    Mwenyezimungu akujaalie kaulinjema amina

  • @seifserenge3340
    @seifserenge334026 күн бұрын

    Sheikh Shafi wewe ni miongoni mwa wahidhiri nnaofurahia sana.Naomba uwatie chuoni pole pole huenda akili zao zikachanganua wakaelewa in shaa Allah.

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    26 күн бұрын

    Kabisa

  • @user-iz1er8vg7u
    @user-iz1er8vg7u26 күн бұрын

    Yesu si Mungu wala mwana WA Mungu ni mutumie WA Mungu karibuni katika uislam

  • @Nim68182

    @Nim68182

    26 күн бұрын

    kwa vigezo Gani mwanang 😂😂😂😂😂

  • @Dafetty
    @Dafetty26 күн бұрын

    Ninacho kupendea ustadh shafii ni makavu yako tu 😂😂😂 uwaogopi unawakosoa kweli kweli ❤❤❤

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    26 күн бұрын

    Kabisaa

  • @CishahayoCishahayo
    @CishahayoCishahayo26 күн бұрын

    Allah atupe nguvu na uwezo wa kuinusuru dini yake aliyo turidhia ya uslam, Aamiin!

  • @pwezapwezafelix7222
    @pwezapwezafelix722226 күн бұрын

    Yesu kabanwa na mungu anaulizwa nilipokutuma duniani ulijifanya kua ww ni mungu yesu ameduaa hana jibu ndipo atakuja kuvunjavunja misalaba kiasira

  • @mifunga3414
    @mifunga341425 күн бұрын

    Alhamdulillah 🎉kwa neema ya uuwisilam❤😂 ameen Mwz Mungu akuifazi Duniani na kesho aareh sotepia.

  • @ginazngo4317
    @ginazngo431726 күн бұрын

    Ninajivunia kuwa muislam mashaalla

  • @ramadhanmahongole9293

    @ramadhanmahongole9293

    26 күн бұрын

    Kwa lipi

  • @Hanif-Salaton
    @Hanif-Salaton26 күн бұрын

    Ustadh shafii umenyoosha sawasawa. Allah akujalie hekma na elim zaidi

  • @DrUno-kp8go

    @DrUno-kp8go

    25 күн бұрын

    Acheni kujidanganya

  • @mohammedrajabumwamba1322
    @mohammedrajabumwamba132222 күн бұрын

    MaashaaAllah Ustadh shafi tunakuoenda sana usichoke kuwaelimisha hao wasio jua chochote

  • @bakariomari9778
    @bakariomari977817 күн бұрын

    Alhamdulillah ustadh nimepata kusoma kwako shukran

  • @user-zp3kw6rw1x
    @user-zp3kw6rw1x25 күн бұрын

    Sheikh shafii wape somo hadi wakimbie

  • @cizaiddy7839
    @cizaiddy783926 күн бұрын

    Barakallah sheikh Shafi unajibu swali kitaalam

  • @MahadaAdam-hb7hm
    @MahadaAdam-hb7hm11 күн бұрын

    Yesu,sio mungu wakristo,hawaelewi.

  • @kassimujuma-mw4pq
    @kassimujuma-mw4pq19 күн бұрын

    Hongera sana sheikh shafii kwa ufafanuzi madhubuti , Allah akufanyie wepesi ktk mambo yako. Nasisi waislam tusomeni jamani, kuna mijitu njaa zinawasumbua wamepewa kazi ya kupotosha maandiko ili watembelee V8 ,Mimi mwenyewe nilimsikiliza nikamuona anachokizungumza yeye mwenyewe wala akielewi.kavaa mavazi ya kiislam ili watu waamini kuwa yeye ni muislam kumbe empty box.

  • @MahadaAdam-hb7hm
    @MahadaAdam-hb7hm11 күн бұрын

    Yesu,atarudi Kwa mara ya pili ndiomana sio mungu sababu mungu,afi na atembei

  • @user-fi4qy9se4r
    @user-fi4qy9se4r22 күн бұрын

    Mashallah nawapenda Kwa ajili ya allah

  • @user-up1py2tk9x
    @user-up1py2tk9x25 күн бұрын

    Mtihani uliopo wakristo akili nasaha. Mwenyezi MUNGU awaongoze.Amin

  • @prochesernest5439

    @prochesernest5439

    22 күн бұрын

    @@user-up1py2tk9x sis wakristo tunaye Mungu WA kutuongoza Sio huyo Allah hatumkubali

  • @user-fq1gg8rj9i
    @user-fq1gg8rj9i26 күн бұрын

    ❤❤❤ Yarrab atawaonesha njia ya khaki kabla ya umaut,

  • @prochesernest5439

    @prochesernest5439

    24 күн бұрын

    Wewe allah Sio Mungu ndio maana anawaombea 32:4na 33:56 na92:1,2,3 quruan

  • @user-fq1gg8rj9i
    @user-fq1gg8rj9i26 күн бұрын

    ❤❤❤ Masha Allah Masha Allah Tabbarak Rahman kipenz cha Allah ❤❤ tynakupenda kwa ajili Allah

  • @musayosia4081
    @musayosia408124 күн бұрын

    Maashaallaah ♥️

  • @MahadaAdam-hb7hm
    @MahadaAdam-hb7hm11 күн бұрын

    Masha alah shafiy

  • @AbdullahiSwalleh-x6f
    @AbdullahiSwalleh-x6f11 күн бұрын

    Alhamdulillah kwa Uislamu

  • @saidishabani2176
    @saidishabani217626 күн бұрын

    Iyo ni njaa ina wasumbua Allah atuepushe na umaskini kabisa

  • @MahadaAdam-hb7hm
    @MahadaAdam-hb7hm11 күн бұрын

    Nimekukubali

  • @yassinhamza1969
    @yassinhamza196913 күн бұрын

    Shafii umechambua vizur sana

  • @franciskabila8136
    @franciskabila813615 күн бұрын

    Kaka shafii naomba ukutane na mwalimu ndacha tujue nani mwalimu wa kweli

  • @mwawekomiuda9779
    @mwawekomiuda977924 күн бұрын

    Yesu si chochote mbele ya M'mungu. Yy mwenyewe Ameumbwa na M'mungu anaogopa hukumu ya siku ya Kiama. Ni kutojitambua tu na Akili fupi.

  • @kanyeshahigirimana5686

    @kanyeshahigirimana5686

    24 күн бұрын

    Quran inasemaje kuhusu huyo yesu ambaye wewe mtu fudenge unamsema kwamba si chochote au lolote

  • @user-cp1ms3cm1o
    @user-cp1ms3cm1o26 күн бұрын

    Assalam alaykum ,ustadhi shafi mashaallah ,anajua na anafanya kwa ikhilaswi ,kuliko wahadhili wengine

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    26 күн бұрын

    Kabisaa

  • @innocentndikumana8928
    @innocentndikumana892826 күн бұрын

    Mashallah wameerewa 🙏🏿🙏🏿

  • @bongotel5823
    @bongotel582324 күн бұрын

    Kwa hiyo Sheikh amekubali Yesu ana kiti chake cha enzi Mbinguni hiyo Matayo amefungaza kazi 19:27-30

  • @bethaniahemalautukufu-np3so
    @bethaniahemalautukufu-np3so23 күн бұрын

    Yesu ndiye mungu amesema yeye yesu mwana wa Adam yesu mwana wa Ibrahim yesu mwana wa daudi shafii kubali tu naumungu wake

  • @yassinhamza1969

    @yassinhamza1969

    13 күн бұрын

    Yesu na adamu Nani alitangulia kwahiyo adamu alijiumba

  • @leomika8473
    @leomika847310 күн бұрын

    Yesu wa wakiristo sio Isa wa waislam mjue ilo

  • @IddySimba-fp2cc
    @IddySimba-fp2cc24 күн бұрын

    Ukristo ni kikundi cha wahuni

  • @JafariHamisi-gu4ef

    @JafariHamisi-gu4ef

    21 күн бұрын

    😅😅😅😅

  • @shabbymakapane
    @shabbymakapane26 күн бұрын

    Mashaallah Shake Shafi

  • @pwezapwezafelix7222
    @pwezapwezafelix722226 күн бұрын

    Halafu ni kosa moja kubwa sana la kumuita yesu mungu wakristo yesu atawakataeni

  • @Nim68182

    @Nim68182

    26 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂kinacho nifurahisha nikwamba 👇👇👇👇👇👇 quran yenyewe inasema allah husamehe dhambi 👇 YESU kristo naye anasamehe dhambi😂😂 👇 Q 5:1 mwenyezi Mungu anahukumu apendavyo👇👇👇👇 John 5:27 Baba akampa amri ya kufanya hukumu 👇 5:22 Baba hahukumu mtu yeyote, bali amempa Mwana hukumu yote 👇👇👇 Q 57:3 allah wako anasema kuwa yeye nimwanzo na mwisho 👇👇 Uf. wa yohana 1:17_18 YESU kristo anasema kuwa yeye nimwanzo na mwisho 😂😂😂😂 Sasa hapo nipe utofauti wa Allah na YESU kristo Nikuongeze kimoja tu Cha lala salama 👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇 Quran 43: 61 inasema kuwa YESU kristo ni alama ya saa ya kiama

  • @alimoe9769

    @alimoe9769

    26 күн бұрын

    ​@@Nim68182 😂😂😂😂 unajua nini ndugu yangu umesahau kitu kimoja Allah anaumba je Yesu na yeye anaumba?

  • @AliNassor-qt6fm

    @AliNassor-qt6fm

    26 күн бұрын

    Umeongea point 😂😂​@@alimoe9769

  • @AliNassor-qt6fm

    @AliNassor-qt6fm

    26 күн бұрын

    ​@@Nim68182tuambie mungu wenu yesu ameumba nini , mana Allah(sw) ameumba

  • @user-ps3zq2gb7t
    @user-ps3zq2gb7t23 күн бұрын

    Alhamdulillah miatu_marrah kuwa MUISLAMU Alhamdulillah,,,,,,

  • @edinahbonareri2251
    @edinahbonareri225126 күн бұрын

    nabii yupi huyu wa Mungu mwenye anafundisha watu wa Mungu uchawi?. na ujawi na kuabudu miungu ulikuwa kule makka miaka yote.

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv26 күн бұрын

    Maa Shaa ALLAH 🇰🇪💚

  • @hamudseif
    @hamudseif26 күн бұрын

    Mtangazaji kuwa na utulivu, ongea kwa utulivu, unaharib kazi

  • @lilhydon452
    @lilhydon45224 күн бұрын

    Kumbuka Yesu Kristo atarudi kwa mara ya pili...kwahio mara ya kwanza hakuja kuhukumu ulimwengu bali kuuokomboa mara ya pili atakuja kuhukumu...hapo ndo Kuna ka shehe

  • @seifabdulwahid4579

    @seifabdulwahid4579

    21 күн бұрын

    Ww unasomewa kanisani unadanganywa tuu

  • @josephjackson6579
    @josephjackson65796 күн бұрын

    6:38 Mwanzo 14:19 shafii hapo kapotea. Genesis 14:19 [19] Akambariki, akasema, Abramu na abarikiwe na Mungu Aliye juu sana, Muumba mbingu na nchi. Shafii, soma Biblia kwanza kisha unukuu aya.

  • @zuberkasim7150
    @zuberkasim715026 күн бұрын

    Shekh umemaliza kazi

  • @MirajiHemedi
    @MirajiHemedi24 күн бұрын

    Yesu ni Mungu ila ukisoma Bibilia kwa uaminifu na ukweli, ndio utaifahamu kweli na hiyo kweli itakuweka huru. Angalia waebrania 1:6 Hata tena amletapo mzaliwa wa kwanza ulimwenguni, asema nawamsujudie Malaika wote wa Mungu. Angalia anasusujudiwa na malaika mwenye sifa za kusujudiwa ni Mungu, basi Yesu ni Mungu. Ebr 1:8 lakini kwa habari za Mwana asema, kiti chako cha enzi Mungu ni cha milele na milele. Unaona Mungu anamwita Yesu Mungu. sasa wewe ni nani upinge? Yohana 20 :17 ninapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba yenu kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu. Ni kweli yesu ni Mungu naye ana Mungu wake angalia ebr1:9 umependa haki umechukia maasi, kwa hiyo Mungu, Mungu,wako amekutia mafuta, Mafuta ya shangwe kuliko wenzako. Kwa hiyo Mungu Yesu ana Mungu wake yeye kusema anapaa kwenda kwa Mungu wake akumuondolei sifa yake ya uungu. Ila wewe unamshusha Bwana wetu hadhi. Hata Nabii Muhammad hakufanya hivyo.

  • @mussamtimbinya
    @mussamtimbinya26 күн бұрын

    Ukweli ni kwamba wakristo kitanu ni chenu lakini hamkielewi na hamkijui.Allah akupe afya shehe shafiiiiii

  • @essaumpuma2981
    @essaumpuma298121 күн бұрын

    Yesu ndio Mungu wenu hata kama hamtaki

  • @seifabdulwahid4579

    @seifabdulwahid4579

    21 күн бұрын

    Ww chizi

  • @yassinhamza1969

    @yassinhamza1969

    13 күн бұрын

    Kama yesu ni mungu adamu mtamwita Nani maana aliumbwa kabla Mariam mama wa yesu hajazaliwa

  • @Hanif-Salaton
    @Hanif-Salaton26 күн бұрын

    Alhamdulillah

  • @HamzaForogo-gu8iu
    @HamzaForogo-gu8iu26 күн бұрын

    Yes shekhe SSP ruka nao hao makafiri nakubali vipindi vyako

  • @husseinmwanjela8644
    @husseinmwanjela864426 күн бұрын

    SHEKH KESI IMEISHA

  • @isaiahonyapidi5662
    @isaiahonyapidi566226 күн бұрын

    Mwaache Muhammad mkuje kwa Yesu

  • @user-zp3kw6rw1x

    @user-zp3kw6rw1x

    25 күн бұрын

    We huna akili

  • @barakaharony4396
    @barakaharony439625 күн бұрын

    Asante shehe kumbe YESU kristo atakuja kuhukumu basi huyo ndiye MUNGU wetu mmoja tu waislamu wahubiriwe habari zake

  • @salminimwaipopo2349

    @salminimwaipopo2349

    25 күн бұрын

    Sisi waislam tumenyooka .km unaamini Hilo mbona hamuamini kuwa hakufa? Yesu hakufa

  • @chancelorharubu2731

    @chancelorharubu2731

    25 күн бұрын

    Kwani kuhukumu ndio mungu,jaji akiwa mahakamani wanahukum,je nao nimiungu.

  • @mbalilax162

    @mbalilax162

    25 күн бұрын

    Ndo shetani aliwapotosha hapo kwenye kitabu chenu. Maana siku muislamu akiamini tu kuwa Yesu alikufa atasamehewa dhambi

  • @wazirikipanga325

    @wazirikipanga325

    23 күн бұрын

    Ww unaubongo wa kuku

  • @karimuabdala3234

    @karimuabdala3234

    23 күн бұрын

    Wakristo ni wajinga kiasi hiki??

  • @DrUno-kp8go
    @DrUno-kp8go25 күн бұрын

    Neno alikua kwa mungu sio neno lilikua kwa mungu inamaanisha neno n nafsi sio kitu

  • @RamadhanAlly-qg9hq
    @RamadhanAlly-qg9hq25 күн бұрын

    Uisilamu ni dinii kamili na ndioo maana mungu kasema nimekukamilishienii dinii hii ya uisilam mwenyee kuamini ataongka mwenyee kukataa atapotea

  • @StewadKizenganya-sk6sg
    @StewadKizenganya-sk6sg26 күн бұрын

    Tunazitazama sana ,,chamsingi muwaunganishe WAISLAM Kila mkoa Kila Jimbo Kila KATA Kila mtaaa kuwafundisha Quran Ili wasidanganywe namakafiri

  • @user-iw7hl9vs1z
    @user-iw7hl9vs1z25 күн бұрын

    Munqu akubariki shehe shafiii wafundishe hawasomi bibilia hawana hoja wanauchukia uislam tu akilizao mbovu wavivu wa kufikiri

  • @MirajiHemedi
    @MirajiHemedi25 күн бұрын

    Shafii mdogo wangu unafanya kazi ya mpinga kiristo, au masihi Dajal.hadithi aliyosoma kijana wangu iko sawa Ila wewe unageuzageuza, angalia yohana 5:22 Bwana Yesu anasema, Tena Baba hamhukumu mtu ye yote ,Bali amempa mwana hukumu yote ili watu wamheshimu mwana kama vile wanavyomheshimu Baba .28,Msistaajabie maneno hayo, kwa maana saa yaja, ambayo watu wote waliomo makaburini wataisikia sauti yake. Nao watatoka, wale waliofanya mema kwa ufufuo wa uzima na wale waliotenda mabaya kwa ufufuo wa humumu .Yesu atawahukumu watu wote baada ya kuwafufua woote walioko maburini. Yesu haji kufanya Mambo ya kitoto kama hayo unayoyazungumza wewe, eti kunja misalaba, kuvunja mabucha ya nguruwe na kuua nguruwe. Hicho kitabu kinachosema hivyo sio cha kweli kakichome kinakupotosha uende jehanam. yesu anamuita mwenye Mungu Baba, na kama yeye ni mwana wa Mungu Naye pia ni Mungu kwa ni mtoto wa nyoka ni nyoka, na mtoto wa mtu ni mtu, pia Mtoto wa Mungu ni Mungu.

  • @mbalilax162

    @mbalilax162

    25 күн бұрын

    Umeongea ukweli mtupuuuuu

  • @mubarakiddy-ll5qs
    @mubarakiddy-ll5qs26 күн бұрын

    Allah akulipe Sana Kwa kumuwahi

  • @alimoe9769

    @alimoe9769

    26 күн бұрын

    Kwa mfano?

  • @gonasaidjuma2700
    @gonasaidjuma270022 күн бұрын

    Kwanza wambieni mavazi ya kiislam wakristo sio Hali kwao kuyavaa wakome

  • @samiukhamis2703
    @samiukhamis270326 күн бұрын

    Shekhe shafi Allah akulipe kila kher na akupe maisha marefu ili uwanyooshe zaid

  • @paschalcosmas6093
    @paschalcosmas609326 күн бұрын

    Waislamu mnapotoshwa na walimu wenu wenyewe.

  • @kachimail6279

    @kachimail6279

    26 күн бұрын

    Kwenye kuraani Kuna mandiko yanasema kua mnamacho lkn hamuoni mna maskio lkn hamskii tafakari na dini yenu ya mchongo hiyo njoo kwenye uislam dini yakweli kabisa

  • @Gamba177
    @Gamba17725 күн бұрын

    Alibuhali ndiyo kitabu gani ?

  • @user-vd6fb7lf8k
    @user-vd6fb7lf8k26 күн бұрын

    LLAH HILLAH HaHIL LLAH

  • @user-xb6tr5vq4b
    @user-xb6tr5vq4b26 күн бұрын

    Shafii achana nahaomakafiri hawafai

  • @user-mc2xd4eu2p
    @user-mc2xd4eu2p26 күн бұрын

    Mada ya kutetea uungu wa yesu ni mtihani kwa wakristo poleni sana kwa kuamini upotofu wa wazi amkeni kabla hamjachelewa halafu hiyo picha mmepata wapi yesu ndio alikua hivo?

  • @JohnReonald-up8zr
    @JohnReonald-up8zr17 күн бұрын

    Shafii ndy anapotosha ataki kusema ukweli maandiko yanavyosema ,, mtume anasema kwama, hakika royo yake imikononi mwake atakuja kuhukumu , eleweni bac musiwe mnabisha2 Kila kitu someni pameandikwa vipi

  • @user-rw2hx5eb7p
    @user-rw2hx5eb7p26 күн бұрын

    Edina naomba ujifunze kusoma usikosoe fuatilia maandiko soma

  • @munic6686
    @munic668624 күн бұрын

    Haki iko wazi na batili iko wazi ukiacha ushabiki tu utapata kitu

  • @zuberkasim7150
    @zuberkasim715026 күн бұрын

    Ukimsikiluza ndacha kamahuna elem lazima ubadili dini waislam tusome dini uislam nidini sahihi ainashaka

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    26 күн бұрын

    Kabisaaa. Kila siku nasemaga hivyo

  • @cosmasmwaitete5004
    @cosmasmwaitete500426 күн бұрын

    Waabudu majini, eti dua

  • @user-rc2ye4ri6t

    @user-rc2ye4ri6t

    26 күн бұрын

    Nyinyi fateni ma pastor ma fremasson uko

  • @cosmasmwaitete5004

    @cosmasmwaitete5004

    26 күн бұрын

    @@user-rc2ye4ri6t Sawa Iła mwacheni shehe wenu dr Sullę atangaze majini msimtukane

  • @babazungu3180
    @babazungu318025 күн бұрын

    Chuki tu ndiyo makafir ndiyo zimewazidi

  • @allyabdallah4357
    @allyabdallah435725 күн бұрын

    Yani hawa ndugu zetu wata kwenda motoni kwa kupenda wenyewe tu maandiko yako wazi

  • @user-mc2xd4eu2p
    @user-mc2xd4eu2p26 күн бұрын

    Wakristo wapo kiushabiki na kulazimisha akili zao zilivyoeleweshwa nahisi uvivu wa kufanya ibada ndio unawafanya wang'ang'anie ukristo lakini hakika ni dini ya mchongo

  • @yohana1242

    @yohana1242

    26 күн бұрын

    😂😂😂kwel ndugu ni wavivu san kufanya ibada yani kwa wiki mara moko

  • @ramadhanimandoa716

    @ramadhanimandoa716

    26 күн бұрын

    Duh unaakili san ndugu

  • @kachimail6279
    @kachimail627926 күн бұрын

    Shift Allah akulipe Kila lathering kwa mchango wako mkubwa

  • @FeristaKoku-it9nx
    @FeristaKoku-it9nx26 күн бұрын

    Shafi punguza uongo andiko limesema neno alikuwa kwamungu na hakikufanyika chochote bilayeye alipewa mwili unalazimisha kitu ambacho kinaeleweka wewe ulikuwalini kwa Mungu

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    26 күн бұрын

    Aliyempa mwili yesu ni nani?

  • @seifmajid8088
    @seifmajid808826 күн бұрын

    Wakristo someni, msikubali kuburutwa.

  • @Nim68182

    @Nim68182

    26 күн бұрын

    Wew unasoma au unasomea😂😂😂😂😂 Jaman

  • @mohammedrajabumwamba1322

    @mohammedrajabumwamba1322

    22 күн бұрын

    ​@@Nim68182vyote tunavifanya shida yako nn mburuzwa buruzwa hovyo

  • @franciskabila8136
    @franciskabila813615 күн бұрын

    Wacha uoga kaka toka kiwanjani na mwalimu ndacha akufundishe uelewe kusoma biblia

  • @GULIELMAS
    @GULIELMAS23 күн бұрын

    Tukiwa na akili ya kumchulia YESU KRISTO, kama mahakimu wa ulimwengu huu. Kwa hakika tutafeli.

  • @IssaAbdallah-rt2sh
    @IssaAbdallah-rt2sh26 күн бұрын

    Waulize wale waliofukua makaburi tu waliona nini jibu Irahisi tu utajua muhamad ninani

  • @shabamuhidin634
    @shabamuhidin63426 күн бұрын

    Nimegundua Wakristo wako na miungu wawili,ila wanajificha ficha tu,Wanakubali kuna Baba na Yesu mtoto alafu wanasema hao wote ni mungu...baba hawezi kua mtoto wala mtoto hawezi kua baba,automatic ni miungu wawili ila tu wanajificha ficha Wakristo

  • @seifabdulwahid4579

    @seifabdulwahid4579

    21 күн бұрын

    3 co 2

  • @user-im7vi2yf2d
    @user-im7vi2yf2d21 күн бұрын

    We shekh shaffii na huyo uliye naye, naona nyote mmepotoka, na wenda mkaikosa mbingu msipotubu.mwanzo1: 26Mungu anasema na tumuumbe mwanadamu kwa sura yetu na kwa mfano wetu, Hivyo mwanadamu anamfanana Mungu kwa lipi, si kwa nafsi kuu tatu, Mungu Baba, Mwana, na Roho mtakatifu, Kama vile mwanadamu alivyo na mwili,nafsi, na roho.( Afu me nimewasikiliza kwa makini naona mnapotosha biblia.

  • @miangijunior4358
    @miangijunior435826 күн бұрын

    NDIO MIMI BINAFSI NILlKUA NASHANGAA WAKATI MUNATUFUANA WENYEWE KWA WENYEWE KWA TOFAUTI NDOGO NDOGO ILHALI KUNA MAKAFILI KAMA HAWA WANAUARIBU UISLAMU SASA NIKAWA NAJIULIZA BADALA MUSHILIKIANE MUPAMBANE NAO NYINYI BADALA YAKE MUNAGIMBANA WENYEWE ..!

  • @hassanmohammed6229
    @hassanmohammed622926 күн бұрын

    Aww na Hawa wapotoshaji wasiwasumbue maana wao Quran na bible wanasoma kama gazeti na wawe na adabu kuitafsiri Quran Hasa Ndacha asiwachoshe maana Quran anaisoma kwa kiswahili achana nao.

  • @stephanojoseph4357
    @stephanojoseph435726 күн бұрын

    Tunaomba andiko la maneno yako

  • @hypaxgaturo643
    @hypaxgaturo64326 күн бұрын

    Matatizo Yesu nyinyi wote ( wa islam na wa kristo ) ni kwamba hamjuwi kutafautisha wakati Yesu anazungumza kwa sauti ya Allah ao anazungumza kwa sauti yake kama mtuu!! Allah alitumiya mara kwa mara utuu wa Yesu kwa kutupa amri lakini hayimanishe kwamba Yesu ni Allah. Na nyinyi wa islam mtambuwe kwamba Allah hana upungufu hata umoja !! Allah anaweza kuzaa kama gisi alituzaa sisi wote. Siyo lazima azaye kama nyinyi , yaani kwa kuwa na mkee. Mawazo kama hayo ni shirk kwasababu mnamfananisha na bin Adam!! Poleni saana na Allah awasameh.

  • @MohamedAhmada-ie7ke

    @MohamedAhmada-ie7ke

    26 күн бұрын

    Akili yako kwanza inatakiwa ijue kwanza sifa ya Mungu ndio ujue kua anazaa au ana umba

  • @hypaxgaturo643

    @hypaxgaturo643

    26 күн бұрын

    Mungu anasifa zote. Ikiwa kama pako sifa yenye hana, basi uyo siyo mungu. ​@@MohamedAhmada-ie7ke

  • @user-zp3kw6rw1x
    @user-zp3kw6rw1x25 күн бұрын

    Kwanza hili jamaa linalomuuliza sheikh shafii nili kristu tu lililovaa kanzu na kibandiko..linataka kuwadanganya watu tu ila ni likristu ambalo limevaa kanzu na kibandiko..halafu jinga kabisa tumelishtukia.

  • @hamoudayoub2049
    @hamoudayoub204926 күн бұрын

    Akili hawana hao

  • @Nim68182

    @Nim68182

    26 күн бұрын

    😂😂😂😂😂 Nyie ndo mnazo mpaka zinamwagika kwa kusema kuwa katika vitabu mnavyo viamini ni quran, zaburi, taurati na Injili na si Biblia 😂😂😂 halafu mnakuja kupinga kile ambacho kimeandikwa katika Injili 😂😂😂😂 kwel nimeamini bila uongo waislam hamuwezi ishi kabisa

  • @hassanmohammed6229
    @hassanmohammed622926 күн бұрын

    Kwanza Quran ni walayamussuhu illal mutwahararuun sasa hii wanafata.wahadhri wa kiislaam mko sawa ila Hawa waacheni hivo tu wapotee.

  • @GilbertNhigula
    @GilbertNhigula25 күн бұрын

    Shaffi Pressure ya Nini Kuumiza Vichwa vya Watu , TuSubiri mpaka Mwisho Kwa kuwa Kila Mwanadamu Ana Mwisho harafu Uone ni Nani Atakaye hukumu !, .

  • @ndayikezaoscar3467
    @ndayikezaoscar346724 күн бұрын

    SASA YESU aje kuua nguruwe wamemfanya nini??? Hivi hueo Upuuzi wa kielimu unatokea wapi??? Yaani YESU atembee kote Duniani kuua nguruwe??? Na kuvunja misalaba. UPUUZI MTUPU.

  • @edinahbonareri2251
    @edinahbonareri225126 күн бұрын

    KWA KWELI HII UISLAMU SIO DINI YA MWENYEZI MUNGU WALA NABII MOHAMMED HAKUTUMWA NA MUNGU YAANI NABII WA UONGO KABISA. NABII MOHAMMED NI NABII WA TUTENGENEZWA KULE UARABUNI MIAKA YA NYUMA, NA WENGI WATAANGAMIA NAYE SIKU YA KYAMA. UJIO WA NABII MOHAMMED NI KUTIMIA KWA UNABII KUWA WATAKUJA MANABII WA OUNGO DUNIANI. soma 1yohana 4:1-3

  • @salimobeid1470

    @salimobeid1470

    26 күн бұрын

    Amini hivo hivo ndugu yangu lakini tambua kua njia uliochagua ni ya motoni hio huyo yesu ankukataa mchana kweupe Haiwi kwa binaadamu mwenye mama kama yesu kazaliwa na kanyonyeshwa kisha awe mungu mie nakunasihi ndugu yangu tumia mda kuisoma quran ikifanya kiburi utakuja Kunikumbuka ukifa

  • @fatimahirakoze7311
    @fatimahirakoze731126 күн бұрын

    Uyu ni mwislam au??

  • @user-vr6lu8tq1n
    @user-vr6lu8tq1n19 күн бұрын

    Huyu myahudi Hana akili kabisa kwaiyo neno nimungu

  • @user-fq1gg8rj9i
    @user-fq1gg8rj9i26 күн бұрын

    Uislam c Dini ya chuki ? Uislam Ni Dini iliyokuja kuwatowa watu gizan na kuwapeleka ktk nuru ❤❤

  • @mobutu3884

    @mobutu3884

    26 күн бұрын

    Quran 5:14

Келесі