Tufanye Kazi kwa Bidii Kutafuta Rizki Tusitegemee Pete Ni Utapeli tu-Ustadh Shafii Amjibu Mbogo
usisahau ku subscribe channels hii
Жүктеу.....
Пікірлер: 23
@shabbymakapane21 күн бұрын
%100. Ustadh Shafi Tupe Darsa Siku hadi Siku , Hakika Unafanya Natembea Kifua Mbele Najivunia kuwa MUISLAMU , Tena Kuhusu hii Mada ya MAJINI Maana Tunatukanwa sana Na Wasio WAISLAMU , Kisa MAJINI Kutujwa Ndani ya QURANI ,
@user-mk7qi6ti3s6 күн бұрын
Mashaalla Allah akuongezee palipo pungua.
@musayosia408121 күн бұрын
Maashaallaah
@anwarabdallah709521 күн бұрын
MashaAllah shk,Sahafi uko vizuri kujibu maswali uko Sahihi kabisa kutangaza Tauhid kumpwekesha Allah.❤❤❤❤❤❤
@shabbymakapane21 күн бұрын
Mashaallah Shekh SHAFI Mungu Akupe Nguvu na Afya Njema Kila Kukicha 🙏🙏🙏
@mustaphaomary11421 күн бұрын
SHAFI USITAFSIRI MAANA UNAKUFURU HATARI
@AmourAmour-ux3nm
18 күн бұрын
Hem niwelewsh kakufuru wapi
@abdalaauame386322 күн бұрын
Mashalla alhabulilai ustaz shafiy
@musayosia408121 күн бұрын
Allaahu akbar atuongoze inshaallaah 🙏
@GuyoAthman22 күн бұрын
Team shafii
@HanifaOman-oo4pl22 күн бұрын
Nikweri Pete haileti,liziki
@allyway99921 күн бұрын
Sijui wapi wanashindwa kukuelewa
@Mbalason20 күн бұрын
Emu nyiny mashekh mukae pamoja na vitabu tuone maan sulle anasema Hana majini huyu anasema sulle anamajini Bado kunakuwa na kawivu hawa watu
@Commonp21 күн бұрын
Yaishe tena tushaelewa jamani
@salimramadhani523722 күн бұрын
hii mada ya majini iishetu 😅
@mohagurey221421 күн бұрын
Yusuf Diwan ndio ako na Pete la hela kwelikweli, mtu akitaka V8 aende kwa Yusuf Diwani
@AlfredyLimu21 күн бұрын
Unajua sana sema umeamua kuogopa aibu,majini na dini yenu ni ndugu
@shabbymakapane
21 күн бұрын
MAMBO YA WALAWI 17:7 Hawata toa Tena SADAKA Kwa hao Zao Kwa Wale MAJINI , Ambao Huwafuata ili Wafanye nao . 🤣🤣🤣😜😜🙃 Twende Na Akili zako UKRISTO Na MAJINI Ni NDUGU,🤣🤣🤣. 2 MAMBO YA NYAKATI 11:15 Naye Akajiwekea MAKUHANI Wa Mahali Pajuu , Na Wale MAJINI , na Wa Zile MDAMA Alizozifanya , 🤣🤣🤣 hapo vp ??? 🤣🤣🤣😂😂😂
@michaelthobias9967
20 күн бұрын
Jini na uislm ni mtu na baba
@shabbymakapane
20 күн бұрын
@@michaelthobias9967 Kwa Kufurahisha NAFSI Yako ni Sawa ,🤣🤣🤣 Ili kuthibitisha Shusha Andiko Hapa , mimi Nimetoa Andiko
@DakorTrony18 күн бұрын
Lakini hayo majini yamo kwa vitabu vyenu pia Quran
@Silay1034
5 күн бұрын
We kichwa hakifanyi kwahyo kuwemo kwenye kitabu kwa kuandikwa kwahyo neno shetani neno ibilisi mapepo wachafu mbn vimetajwa kwenye Quran na biblia kwahyo kutajwa ndokuabudu au kutukuza we vp
Пікірлер: 23
%100. Ustadh Shafi Tupe Darsa Siku hadi Siku , Hakika Unafanya Natembea Kifua Mbele Najivunia kuwa MUISLAMU , Tena Kuhusu hii Mada ya MAJINI Maana Tunatukanwa sana Na Wasio WAISLAMU , Kisa MAJINI Kutujwa Ndani ya QURANI ,
Mashaalla Allah akuongezee palipo pungua.
Maashaallaah
MashaAllah shk,Sahafi uko vizuri kujibu maswali uko Sahihi kabisa kutangaza Tauhid kumpwekesha Allah.❤❤❤❤❤❤
Mashaallah Shekh SHAFI Mungu Akupe Nguvu na Afya Njema Kila Kukicha 🙏🙏🙏
SHAFI USITAFSIRI MAANA UNAKUFURU HATARI
@AmourAmour-ux3nm
18 күн бұрын
Hem niwelewsh kakufuru wapi
Mashalla alhabulilai ustaz shafiy
Allaahu akbar atuongoze inshaallaah 🙏
Team shafii
Nikweri Pete haileti,liziki
Sijui wapi wanashindwa kukuelewa
Emu nyiny mashekh mukae pamoja na vitabu tuone maan sulle anasema Hana majini huyu anasema sulle anamajini Bado kunakuwa na kawivu hawa watu
Yaishe tena tushaelewa jamani
hii mada ya majini iishetu 😅
Yusuf Diwan ndio ako na Pete la hela kwelikweli, mtu akitaka V8 aende kwa Yusuf Diwani
Unajua sana sema umeamua kuogopa aibu,majini na dini yenu ni ndugu
@shabbymakapane
21 күн бұрын
MAMBO YA WALAWI 17:7 Hawata toa Tena SADAKA Kwa hao Zao Kwa Wale MAJINI , Ambao Huwafuata ili Wafanye nao . 🤣🤣🤣😜😜🙃 Twende Na Akili zako UKRISTO Na MAJINI Ni NDUGU,🤣🤣🤣. 2 MAMBO YA NYAKATI 11:15 Naye Akajiwekea MAKUHANI Wa Mahali Pajuu , Na Wale MAJINI , na Wa Zile MDAMA Alizozifanya , 🤣🤣🤣 hapo vp ??? 🤣🤣🤣😂😂😂
@michaelthobias9967
20 күн бұрын
Jini na uislm ni mtu na baba
@shabbymakapane
20 күн бұрын
@@michaelthobias9967 Kwa Kufurahisha NAFSI Yako ni Sawa ,🤣🤣🤣 Ili kuthibitisha Shusha Andiko Hapa , mimi Nimetoa Andiko
Lakini hayo majini yamo kwa vitabu vyenu pia Quran
@Silay1034
5 күн бұрын
We kichwa hakifanyi kwahyo kuwemo kwenye kitabu kwa kuandikwa kwahyo neno shetani neno ibilisi mapepo wachafu mbn vimetajwa kwenye Quran na biblia kwahyo kutajwa ndokuabudu au kutukuza we vp
Nikweri Pete haileti,liziki