Tufanye Kazi kwa Bidii Kutafuta Rizki Tusitegemee Pete Ni Utapeli tu-Ustadh Shafii Amjibu Mbogo

usisahau ku subscribe channels hii

Пікірлер: 23

  • @shabbymakapane
    @shabbymakapane21 күн бұрын

    %100. Ustadh Shafi Tupe Darsa Siku hadi Siku , Hakika Unafanya Natembea Kifua Mbele Najivunia kuwa MUISLAMU , Tena Kuhusu hii Mada ya MAJINI Maana Tunatukanwa sana Na Wasio WAISLAMU , Kisa MAJINI Kutujwa Ndani ya QURANI ,

  • @user-mk7qi6ti3s
    @user-mk7qi6ti3s6 күн бұрын

    Mashaalla Allah akuongezee palipo pungua.

  • @musayosia4081
    @musayosia408121 күн бұрын

    Maashaallaah

  • @anwarabdallah7095
    @anwarabdallah709521 күн бұрын

    MashaAllah shk,Sahafi uko vizuri kujibu maswali uko Sahihi kabisa kutangaza Tauhid kumpwekesha Allah.❤❤❤❤❤❤

  • @shabbymakapane
    @shabbymakapane21 күн бұрын

    Mashaallah Shekh SHAFI Mungu Akupe Nguvu na Afya Njema Kila Kukicha 🙏🙏🙏

  • @mustaphaomary114
    @mustaphaomary11421 күн бұрын

    SHAFI USITAFSIRI MAANA UNAKUFURU HATARI

  • @AmourAmour-ux3nm

    @AmourAmour-ux3nm

    18 күн бұрын

    Hem niwelewsh kakufuru wapi

  • @abdalaauame3863
    @abdalaauame386322 күн бұрын

    Mashalla alhabulilai ustaz shafiy

  • @musayosia4081
    @musayosia408121 күн бұрын

    Allaahu akbar atuongoze inshaallaah 🙏

  • @GuyoAthman
    @GuyoAthman22 күн бұрын

    Team shafii

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl22 күн бұрын

    Nikweri Pete haileti,liziki

  • @allyway999
    @allyway99921 күн бұрын

    Sijui wapi wanashindwa kukuelewa

  • @Mbalason
    @Mbalason20 күн бұрын

    Emu nyiny mashekh mukae pamoja na vitabu tuone maan sulle anasema Hana majini huyu anasema sulle anamajini Bado kunakuwa na kawivu hawa watu

  • @Commonp
    @Commonp21 күн бұрын

    Yaishe tena tushaelewa jamani

  • @salimramadhani5237
    @salimramadhani523722 күн бұрын

    hii mada ya majini iishetu 😅

  • @mohagurey2214
    @mohagurey221421 күн бұрын

    Yusuf Diwan ndio ako na Pete la hela kwelikweli, mtu akitaka V8 aende kwa Yusuf Diwani

  • @AlfredyLimu
    @AlfredyLimu21 күн бұрын

    Unajua sana sema umeamua kuogopa aibu,majini na dini yenu ni ndugu

  • @shabbymakapane

    @shabbymakapane

    21 күн бұрын

    MAMBO YA WALAWI 17:7 Hawata toa Tena SADAKA Kwa hao Zao Kwa Wale MAJINI , Ambao Huwafuata ili Wafanye nao . 🤣🤣🤣😜😜🙃 Twende Na Akili zako UKRISTO Na MAJINI Ni NDUGU,🤣🤣🤣. 2 MAMBO YA NYAKATI 11:15 Naye Akajiwekea MAKUHANI Wa Mahali Pajuu , Na Wale MAJINI , na Wa Zile MDAMA Alizozifanya , 🤣🤣🤣 hapo vp ??? 🤣🤣🤣😂😂😂

  • @michaelthobias9967

    @michaelthobias9967

    20 күн бұрын

    Jini na uislm ni mtu na baba

  • @shabbymakapane

    @shabbymakapane

    20 күн бұрын

    @@michaelthobias9967 Kwa Kufurahisha NAFSI Yako ni Sawa ,🤣🤣🤣 Ili kuthibitisha Shusha Andiko Hapa , mimi Nimetoa Andiko

  • @DakorTrony
    @DakorTrony18 күн бұрын

    Lakini hayo majini yamo kwa vitabu vyenu pia Quran

  • @Silay1034

    @Silay1034

    5 күн бұрын

    We kichwa hakifanyi kwahyo kuwemo kwenye kitabu kwa kuandikwa kwahyo neno shetani neno ibilisi mapepo wachafu mbn vimetajwa kwenye Quran na biblia kwahyo kutajwa ndokuabudu au kutukuza we vp

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl22 күн бұрын

    Nikweri Pete haileti,liziki

Келесі