Sheikh Saidi Kinyogoli Atibua Show ya Christian Bella Namtumbo Ruvuma-Andaa Tamasha la Eid Ona Hii
usisahau ku subscribe channels hii
Жүктеу.....
Пікірлер: 15
@Hamis-ks1syАй бұрын
Waisalm tusomeni dini wallah yaani mama zetu umri huo kweli hamjui Mtume wetu alikua na watoto wangapi!! Subhaanalah
@halidimgonza5945Ай бұрын
safi shekh SAID KINYOGOLI na wenzako mnafnya kaz kubwa MashALLAHu, Allah awalipe kila lenye kheir
@salumkarim69Ай бұрын
nilidhani mnaokoment mtajilaumu nafsi zenu lakin badala yke mnawalaumu hawa waliokosa elimu ya dini swali la kujiuliza mimi na wewe unadhani hatuna jukumu hili lakuisimamia dini? haya ni masuuli kwako na kwangu tuwasaidie nyie mnawalaumu mtihani sana wallah😢😢
@user-gy5en6cy8oАй бұрын
Wakiambiwa wana music duh watatajwa wote😢😢😢😢
@othmanhaji862Ай бұрын
Mashallah kazi nzuri
@user-gy5en6cy8oАй бұрын
Huu ni msiba innalilah waina ilah rajuic
@user-yj5on8cz3eАй бұрын
Arafu utakuta mama kama huyu nae analeta vihoja kuhusu arafa hapa la watoto tuu anachemka inna lillahy wainna illahy rajiun
@user-hi8le2vb7zАй бұрын
NINAYEMFAHAMU MIMI NI HUYO HUYU BI FATMA😊😊
@mikekhalifaali7510Ай бұрын
Kazi ni kucheza tu kwenye MAULID
@salumjumaruhaga2513Ай бұрын
Madarasa yaani hawakwenda duuu
@abubakarshamuhuni3894Ай бұрын
Yani kama anakuja zanziba anajibiwa na kila mtu watu wa bara someni nyinyi mpo na shule shule na nyinyi ata watoto wa mtume hamuwajui
@nestarnestar4520Ай бұрын
Hamna dini hapo ni Majini tu
@user-mc2xd4eu2p
Ай бұрын
Bila ya nyie makafiri kuwepo quran ingekua haijasema kweli mana mmetajwa watu kama nyie kua ni makafiri sasa unathibitisha quran imesema kweli
@fatumamwalimu5765Ай бұрын
Yaani wallhai hawa waislam kutoka Tanzania asilimia 50% ni vioja kwakweli, na ndio maana wakiumwa wanakimbilia kwa mwamposa
@WazirJuma-gd5oo
Ай бұрын
Naa ndo maana tunaburuzwaa na masheikhe hiiki Kiko hivi sawa. Maana hatuna Elimu ya dini yetu. Laiti tungalikuwa tumesoma tusinge buruzwa. Yani nimswibaa mkubwaa. Mmh
Пікірлер: 15
Waisalm tusomeni dini wallah yaani mama zetu umri huo kweli hamjui Mtume wetu alikua na watoto wangapi!! Subhaanalah
safi shekh SAID KINYOGOLI na wenzako mnafnya kaz kubwa MashALLAHu, Allah awalipe kila lenye kheir
nilidhani mnaokoment mtajilaumu nafsi zenu lakin badala yke mnawalaumu hawa waliokosa elimu ya dini swali la kujiuliza mimi na wewe unadhani hatuna jukumu hili lakuisimamia dini? haya ni masuuli kwako na kwangu tuwasaidie nyie mnawalaumu mtihani sana wallah😢😢
Wakiambiwa wana music duh watatajwa wote😢😢😢😢
Mashallah kazi nzuri
Huu ni msiba innalilah waina ilah rajuic
Arafu utakuta mama kama huyu nae analeta vihoja kuhusu arafa hapa la watoto tuu anachemka inna lillahy wainna illahy rajiun
NINAYEMFAHAMU MIMI NI HUYO HUYU BI FATMA😊😊
Kazi ni kucheza tu kwenye MAULID
Madarasa yaani hawakwenda duuu
Yani kama anakuja zanziba anajibiwa na kila mtu watu wa bara someni nyinyi mpo na shule shule na nyinyi ata watoto wa mtume hamuwajui
Hamna dini hapo ni Majini tu
@user-mc2xd4eu2p
Ай бұрын
Bila ya nyie makafiri kuwepo quran ingekua haijasema kweli mana mmetajwa watu kama nyie kua ni makafiri sasa unathibitisha quran imesema kweli
Yaani wallhai hawa waislam kutoka Tanzania asilimia 50% ni vioja kwakweli, na ndio maana wakiumwa wanakimbilia kwa mwamposa
@WazirJuma-gd5oo
Ай бұрын
Naa ndo maana tunaburuzwaa na masheikhe hiiki Kiko hivi sawa. Maana hatuna Elimu ya dini yetu. Laiti tungalikuwa tumesoma tusinge buruzwa. Yani nimswibaa mkubwaa. Mmh