Sheikh Saidi Kinyogoli Atibua Show ya Christian Bella Namtumbo Ruvuma-Andaa Tamasha la Eid Ona Hii

usisahau ku subscribe channels hii

Пікірлер: 15

  • @Hamis-ks1sy
    @Hamis-ks1syАй бұрын

    Waisalm tusomeni dini wallah yaani mama zetu umri huo kweli hamjui Mtume wetu alikua na watoto wangapi!! Subhaanalah

  • @halidimgonza5945
    @halidimgonza5945Ай бұрын

    safi shekh SAID KINYOGOLI na wenzako mnafnya kaz kubwa MashALLAHu, Allah awalipe kila lenye kheir

  • @salumkarim69
    @salumkarim69Ай бұрын

    nilidhani mnaokoment mtajilaumu nafsi zenu lakin badala yke mnawalaumu hawa waliokosa elimu ya dini swali la kujiuliza mimi na wewe unadhani hatuna jukumu hili lakuisimamia dini? haya ni masuuli kwako na kwangu tuwasaidie nyie mnawalaumu mtihani sana wallah😢😢

  • @user-gy5en6cy8o
    @user-gy5en6cy8oАй бұрын

    Wakiambiwa wana music duh watatajwa wote😢😢😢😢

  • @othmanhaji862
    @othmanhaji862Ай бұрын

    Mashallah kazi nzuri

  • @user-gy5en6cy8o
    @user-gy5en6cy8oАй бұрын

    Huu ni msiba innalilah waina ilah rajuic

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3eАй бұрын

    Arafu utakuta mama kama huyu nae analeta vihoja kuhusu arafa hapa la watoto tuu anachemka inna lillahy wainna illahy rajiun

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7zАй бұрын

    NINAYEMFAHAMU MIMI NI HUYO HUYU BI FATMA😊😊

  • @mikekhalifaali7510
    @mikekhalifaali7510Ай бұрын

    Kazi ni kucheza tu kwenye MAULID

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513Ай бұрын

    Madarasa yaani hawakwenda duuu

  • @abubakarshamuhuni3894
    @abubakarshamuhuni3894Ай бұрын

    Yani kama anakuja zanziba anajibiwa na kila mtu watu wa bara someni nyinyi mpo na shule shule na nyinyi ata watoto wa mtume hamuwajui

  • @nestarnestar4520
    @nestarnestar4520Ай бұрын

    Hamna dini hapo ni Majini tu

  • @user-mc2xd4eu2p

    @user-mc2xd4eu2p

    Ай бұрын

    Bila ya nyie makafiri kuwepo quran ingekua haijasema kweli mana mmetajwa watu kama nyie kua ni makafiri sasa unathibitisha quran imesema kweli

  • @fatumamwalimu5765
    @fatumamwalimu5765Ай бұрын

    Yaani wallhai hawa waislam kutoka Tanzania asilimia 50% ni vioja kwakweli, na ndio maana wakiumwa wanakimbilia kwa mwamposa

  • @WazirJuma-gd5oo

    @WazirJuma-gd5oo

    Ай бұрын

    Naa ndo maana tunaburuzwaa na masheikhe hiiki Kiko hivi sawa. Maana hatuna Elimu ya dini yetu. Laiti tungalikuwa tumesoma tusinge buruzwa. Yani nimswibaa mkubwaa. Mmh

Келесі