Mazinge Ababanisha Mkiristo Lushoto Afundisha Bibilia kwa Vitendo na Matukio-Wasaboto Wamkimbia

usisahau ku subscribe channels hii

Пікірлер: 74

  • @swalehfarid5466
    @swalehfarid546616 күн бұрын

    SIMBA WA ALLAH.TUNAKUOMBEA SANA ALLAH AKUPE UMRI WA KHERI NA AKUTAKABALIYE UNAYOYAFANYA NA AKURUZUKI JANNATUL FIRDAUS

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl21 күн бұрын

    Huyu shehe mazinge ni mtumuhim saana. Nibasitu ss binaadam waadhili wasingekua watu wa kupata shida kifedha kwakweri. Allah awalipeheri awajaalie mwishomwema. Amyn

  • @LabiloWabikongo

    @LabiloWabikongo

    20 күн бұрын

    kwelikabisa😂😂😂

  • @AliJuma-go4rc

    @AliJuma-go4rc

    20 күн бұрын

    Aamin

  • @HassanJaphari-rx7jy

    @HassanJaphari-rx7jy

    14 күн бұрын

    Ameen

  • @saudaumar3354
    @saudaumar335421 күн бұрын

    Mashallah Allah akuweke akubariki Akuhifadhi

  • @aminanekesa3718
    @aminanekesa371816 күн бұрын

    Babaangu Allah Akupee umri mrefu uzidi kuadhalilisha wa christ Allahuma Amiiin

  • @kawtharalbarwani1337
    @kawtharalbarwani133716 күн бұрын

    Allah awabariki sheikhe Mazinge

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja199521 күн бұрын

    Hi ndo kukuru kakara Nilikua na presha kwanini miadhara kwasasa ni Kenya 🇰🇪 Tanzania 🇹🇿 vp shikamoo Mazinge shikamoo shafi tv 📺

  • @omarytobaomary7148
    @omarytobaomary714813 күн бұрын

    Allah akupe umri mrefu shehe mazinge

  • @allyway999
    @allyway99920 күн бұрын

    My foreveright shekhe mazinge Allah akujaalie kila lakheri 🙏

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl21 күн бұрын

    Allhamdulillah kwakua muislam

  • @harithmohd6318
    @harithmohd631820 күн бұрын

    Mashaallah Allah kashakuekea fungu lako pepon inshaallah nass Allah atujalie tuwe wot Amn

  • @MochammdHadija-pn7nn
    @MochammdHadija-pn7nn21 күн бұрын

    Mashaallah tabarak Allah ❤

  • @FIDELBALUMEJOSEPH
    @FIDELBALUMEJOSEPH16 күн бұрын

    nimeamua mwenye kumufuata yesu, mazinge baki na dini yako,

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja199521 күн бұрын

    Masha'allah mzee huyu Allah amuifadhi insha'allah

  • @hamzayusuf1894
    @hamzayusuf189416 күн бұрын

    Mada mzuri sana lakini spika siyo safi

  • @MrRavini
    @MrRavini20 күн бұрын

    Eheeeee nimemiss sana kumuona mazinge

  • @mamawamuya
    @mamawamuya19 күн бұрын

    Ma sha Allah

  • @ziadayasin711
    @ziadayasin71116 күн бұрын

    Mashaallah❤nashaallah❤ Allah awaizazi woto mashehe zetu mimi nafurahi kuzaliw uwisikamu shukurani Allah ❤

  • @Hgd-jk6lh
    @Hgd-jk6lh14 күн бұрын

    MASHAA ALLAH

  • @KabatoniBoraa
    @KabatoniBoraa19 күн бұрын

    Mazinge wewe nakupenda sana kwa elim yako allah akuifadhi sheh wetu.

  • @KabatoniBoraa
    @KabatoniBoraa19 күн бұрын

    Njoo uku kwetu na sisi tunakuitaji myaka imekuwa mingi hufiki uku kwetu burundi

  • @ZakiyaAnwar-w1r
    @ZakiyaAnwar-w1r19 күн бұрын

    MashaAllah

  • @CharlesMbise-hc2sz
    @CharlesMbise-hc2sz20 күн бұрын

    Mazinge unaonea wasiojuwa Wala haujui biblia inasema mim ndiye njia kweli na uzima na maana ya neno dini kwenye kamusi ya kiswahili ni njia kwahyo kwa maana hyo yesu ndiye dini ya kweli na uzima acha kupotosha wew

  • @KabatoniBoraa

    @KabatoniBoraa

    19 күн бұрын

    Njoo na Wewe mpambane tuone kama atamuweza nyoo unafkiri waislam ni Watu wamchezo achana nawo awo wanaelim kushinda myaka yawo.

  • @mbalilax162

    @mbalilax162

    17 күн бұрын

    @@KabatoniBoraa kzread.info/dash/bejne/m4iLl8Ohmdm6cZc.htmlfeature=shared

  • @IssaSaid-si4in
    @IssaSaid-si4in15 күн бұрын

    Kiswahili inawasumbua ndugu zete moto inawangoja

  • @user-rk1cp5qs9d
    @user-rk1cp5qs9d18 күн бұрын

    Asalam alaykum ❤❤🙏🙏🙏🤲

  • @Josephmwamafupa-ry3zh
    @Josephmwamafupa-ry3zh18 күн бұрын

    Mazinge profesa wa Uongo sana!Mbona anaruka ruka maandiko!!!!!!!!!

  • @MuniraShughuli-kc7vj

    @MuniraShughuli-kc7vj

    14 күн бұрын

    Mmh

  • @user13375
    @user1337518 күн бұрын

    Majini walislim hii inaniogopesha😮😮😮😮

  • @mwalimumlaula6167
    @mwalimumlaula616720 күн бұрын

    Kaka Shafii tunaomba utuangushie huu mzigo kuanzia mwanzo kaka

  • @KulthumRashidmusa
    @KulthumRashidmusa20 күн бұрын

    Mashallah.pandisheni.na.mkuzi.migambo

  • @user-zs6qg7ql1i
    @user-zs6qg7ql1i20 күн бұрын

    Hakun mkristo anaweza kutetea ukristo sababu sio dini ya Mungu ni mipango ya watu ktk kujipatia kipato tu

  • @AGM19697

    @AGM19697

    16 күн бұрын

    Sisi hatuteteagi dini wala Mungu. Kwetu Mungu anajitetea mwenyewe sisi kazi yetu ni kumuinua na kumtamgaza.

  • @Allymbaruku991-lj1om
    @Allymbaruku991-lj1om21 күн бұрын

    Yas

  • @Naw89
    @Naw8919 күн бұрын

    Hapa ni Lushoto sehemu gani?

  • @AlhajiAhmadi-nz9ms
    @AlhajiAhmadi-nz9ms21 күн бұрын

    Lushoto sehem gani

  • @mussamtimbinya
    @mussamtimbinya12 күн бұрын

    Huyu mzee kiboko ya wakristo

  • @lacroquetalacroqueta6813
    @lacroquetalacroqueta681319 күн бұрын

    Asalaam Alaikum, mashaaAllah, muhadhara umenogaaaaa, mbona hakuna jina, hii ilikuwa wapi, shukran

  • @mbalilax162
    @mbalilax16217 күн бұрын

    kumbe uprofesa wako ni mchwara....unalazimishia hivyo😂😂!!!

  • @AGM19697

    @AGM19697

    16 күн бұрын

    Kakimbia Dar upako wa Mwamposa ungemraruau😂

  • @tsumamartin6878
    @tsumamartin687816 күн бұрын

    Kuja Kwa ndacha kudume chako

  • @SwalehHashim
    @SwalehHashim20 күн бұрын

    maashall

  • @AlhajiAhmadi-nz9ms
    @AlhajiAhmadi-nz9ms21 күн бұрын

    Nyumban kwetu huko vp vipande vingine

  • @KheyriHassani
    @KheyriHassani19 күн бұрын

    Nnasra haipatikan kwa hiv

  • @MrRavini
    @MrRavini20 күн бұрын

    Location jaman niwap tuhudhulie

  • @olaislukumay2208
    @olaislukumay220818 күн бұрын

    Yani huyu mazinge anakutana na wasiojua maandiko alafu anatumia maandiko nusu nusu yaaani natamani nifanye naye mdahalo anaokoka siku hiyo hiyo

  • @mbalilax162

    @mbalilax162

    17 күн бұрын

    umeona eeh...yani ni hana ufahamu hata kidogo, analazimishia vitu ambavyo hata havipo ata aibu haoni!!

  • @AugustinMunaba
    @AugustinMunaba20 күн бұрын

    Uyo mzee tayari ndacha alimalizana naye 😂, ana elimu yoyote

  • @rayisadesigns2646

    @rayisadesigns2646

    18 күн бұрын

    Huyo ndacha wako alibananishwa hapa Dar ushuzi ulimtoka... chezea kina Mazinge!! 😂😂😂

  • @mbalilax162

    @mbalilax162

    17 күн бұрын

    @@rayisadesigns2646 kzread.info/dash/bejne/m4iLl8Ohmdm6cZc.htmlfeature=shared

  • @salimramadhani5237
    @salimramadhani523720 күн бұрын

    Ndacha umemshindwa😂

  • @rayisadesigns2646

    @rayisadesigns2646

    18 күн бұрын

    Huyo ndacha wako alibananishwa hapa Dar ushuzi ulimtoka... chezea kina Mazinge!! 😂😂😂

  • @KulthumRashidmusa
    @KulthumRashidmusa20 күн бұрын

    Kopitar.magamba.mpaka.kwa.mkapa.mbele

  • @Nolithajack12
    @Nolithajack1220 күн бұрын

    Comedy mazigi anasoma bibilia kimusikiti

  • @salumkagame509

    @salumkagame509

    19 күн бұрын

    anasoma ki father sio kilokole

  • @AGM19697

    @AGM19697

    16 күн бұрын

    Comedian aswaa 😂 laiti wasikilizaji wangemjua na kujua jinsi anavyowapotosha wasingekaa hapo

  • @pwezapwezafelix7222
    @pwezapwezafelix722221 күн бұрын

    Wakristo ni wabishi kama ruba

  • @Nim68182

    @Nim68182

    20 күн бұрын

    kwa lipi😂😂😂😂

  • @user-mx5wq2wl7n

    @user-mx5wq2wl7n

    20 күн бұрын

    kwa jina jina yesu ni kristo sio DINI​@@Nim68182

  • @AGM19697

    @AGM19697

    16 күн бұрын

    Tunayemwamini yupo hai na atarudi kutuchukua kwenda Mbinguni. Nyie mlishaambiwa yeye hajui anaenda wapi, hajui nyingi mtaenda wapi na mpaka leo mpo bize kumuombea. Inabidi mstuke mapema kabla ya kuukosa ufalme wa Mungu

  • @user-le4wr7mq6v
    @user-le4wr7mq6v19 күн бұрын

    Huyo mazinge hana lolote mwongo tu awadanganya tu waislam wasiojua kitu

  • @salumkagame509

    @salumkagame509

    19 күн бұрын

    kwahio bibilia hamna lolote kwakua anaco kiongea kinasomwa kwenye bibilia

  • @AGM19697

    @AGM19697

    16 күн бұрын

    😂😂 Waache wansikilize wazidi kupotea zaidi. Yesu akirudi ataenda na wale waliokubali na kumkiri tu

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e20 күн бұрын

    Huyu mzee aliwahi kuambiwa na pastor ukitoa aya ya quruani ilotaja maulidi mi nakuwa mkristo alishindwa wallahy hakuna kabisa hiyo aya wala hadithi katika quruani inayotaja maulidi ni uzushi tuuh!

  • @user-rc7in6cs8b

    @user-rc7in6cs8b

    20 күн бұрын

    We chiz qur an na maulid wp na wp

  • @user-yj5on8cz3e

    @user-yj5on8cz3e

    19 күн бұрын

    @@user-rc7in6cs8b mimi hata ukinitukana utakavyo wala siwazi sabu kutukanwa ni sunnah kwa mlinganizi mtume aliitwa majinun mwenda wazimu sembuse mie ww hujanielewa kitu nimekwambia mazinge aliambiwa na mchungaji ukiniletea aya ndani ya kuruani Allah kataja maulidi au hadithi ya mtume wwnu ilotaja maulidi minasilimu mazinge alishindwa sabu si akuna sasa uchizi wangu upo wapi hapo

  • @user-yj5on8cz3e

    @user-yj5on8cz3e

    19 күн бұрын

    @@user-rc7in6cs8b mimi siwazi kuitwa chizi sabu kutukanwa ni sunnah hii mtume aliitwa mwendawazimu kwahiyo na ww tukana tuu issue mazinge kashindwa kuleta aya ya kuruani alipoambiwa na mchungaji ikileta aya kwenye quruani yenu imetaja maulid mi nasilimu leo au hadithi mtume wenu kataja mfanye maulid minasilimu mazinge akuleta sasbu hakuna sasa uchizi wangu kueleza hivi

  • @AGM19697

    @AGM19697

    16 күн бұрын

    😂😂😂

  • @KheyriHassani
    @KheyriHassani19 күн бұрын

    Nnasra haipatikan kwa hiv

Келесі