Dada anayejiita Nabii adai Ibrahim a.s alizini kivumbi cha tokea leo mpaka akahepa a must watch
Жүктеу.....
Пікірлер: 69
@andallaathman3856 Жыл бұрын
Huyu sheikh ali ana pressure kweli wallah twaomba awe na subra na hapa naona sheikh salim ndio anaweza vizuri sana mpaka unaelewa bila fujo wallah mungu amuongezee elimu na afya na masheikh nyote mungu awape nguvu
@khadijahamina8457
7 ай бұрын
tummuwombe dua mana kunawatu mpaka ufoke njowanaskiya iyosiyokaazi raisi
@isseamin2017
7 ай бұрын
oh
@Adm9464 Жыл бұрын
Sheikh Ali be patient. Kuwa mpole. This people don’t know much. You have to be gentle with them
@Hi_20206 Жыл бұрын
Wanawake kama huyu ndio walifanya tuambiwe tunyamaze kanisani..sasa ninaelewa kabisaaa..amechanganyikiwa
@user-di8me2wb7p Жыл бұрын
WaLLAHI hii biblia imewapoteza sana hawa walioiandika walieka machafu humo kusudi ili watu wafanye machafu subhana LLAH
@kishubuti Жыл бұрын
Sheikh, kuwa mtaratibu kwa msomaji unampeleka mbio mbio sana ingawaji mnakwenda na wakati. Kazi yenu ni nzuri sana nawashukuru mno الله atawalipeni.
@wadimtwana7286 Жыл бұрын
Maashaallah ustadh salim unatowa darsa safi Allah akulipeni mema
@fatimahrashid2356 Жыл бұрын
Allahu akibar uslamu umekamilika kweli najivuniya kuwa muislamu
@MohaMmed-hb6zt11 ай бұрын
Mashallah abaraq rakhamani halaa
@umazimwambezi8092 Жыл бұрын
Subhana Allah huyu mdada amevuka mpaka kwakumtukana baba waimani astakafirulah
@Sal.0 Жыл бұрын
Huyu Mama ame tumwa ku waste precious time ya Dawah! Last time pia ali kuja na Story zake za Ibrahim! Jatelo pia anakuja ku waste time. Well done Team. Ustad Ali ana kaa kama Professor sasa! 😁 Kanisa ya Kwanza Duniani ni ya ST PETERS kule ROMA. ST Peters CHURCH ili jengwa in 1506AD, baada ya PAUL ku rudi ROMA na ku anzisha 'ukristo'!
@shabamuhidin634 Жыл бұрын
ata uku nje wakristo wengi wanasema Ibrahim alifanya zinaa,subhanaAllah Nabii wa Mungu wanamsingizia ubaya,Ibrahim hjufanya ilo wanayoyadai
@mwawekomiuda9779
8 ай бұрын
Si wamelaaniwa Ibrahim (a.s) khalilullah aweza akafanya machafu kweli? Hawa makafiri wote wamelaaniwa. Anaembariki Ibrahim na yy anabarikiwa anaemlaani Nabii Ibrahim na yy kalaaniwa iko wazi
@hamisijm8437 Жыл бұрын
Masha allahy Allahy Atujaliekwenye .muongozo huu huu .wadini ya Kisilmu ameen
@jumakumala1337 Жыл бұрын
Hajielewi huyu mama , amekunywa vitu nini , yeye anajiita nabii na ht ajielewi , wakristo wenzio pia wanakucheka ht aibu huoni ww
@hanifatanzania7258 Жыл бұрын
Maashaallah tabarakallah mashee zetu
@isaa_ogutu4 ай бұрын
Huyo mwenye alimwaga nje mungu alimuuwa kwa sababu hakuendeleza uzaa wa ndugu wake...na hio ndo sababu kubwa...Huyo nabii asome vitabu na aelewe😂😂😂
@Adm9464 Жыл бұрын
Now she is getting it . She has seen the truth
@shabamuhidin634 Жыл бұрын
huyo mama amesema ukweli hapo,Yesu alitoka katika kizazi cha zinaa kulingana na bibilia,Yuda alilala na mama mkwe aliejifanya kahaba akampatia bungle na fimbo akamtia mimba wakazaa mtoto anaitwa Peris na huyu Peris ndie alitoa kizazi cha Yesu
@saidbakari2408 Жыл бұрын
AllahAkbar AllahAkbar AllahAkbar Allah awalipe pepo mashekhe wetu mwafanya kazi kuubwa sana kwaajili ya Allah nawapata nikiwa 255 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@akbarazimkhan7701 Жыл бұрын
Jamaa hayo sasa ni makubwa Mpaka Yesu kuitwa mtoto wa zinaa Ibrahimu mzinifu Huyu Mama KIDOGO sio mzima.Kichaa kimempanda kichwani.
@nakundwamkubwe7823 Жыл бұрын
Hawa watu wanazidi kuchizika uyu nae ni nani jamani anae jiita Nabii huku ni mwanamke 😢😢 Yarabi tustiri .
@fatimahrashid2356 Жыл бұрын
Waaleykum ssalamu nmefurah sana Mm uwa napenda kusikiza maandiko
@MohaMmed-hb6zt11 ай бұрын
Jamaani wakoweni wakenya makanisa yamezidi Kenya kilauchochoro kanisa dah hallah hawape nguvu
@akbarazimkhan7701 Жыл бұрын
Assallam aleikum mashekhe wetu natumai mu wazima nyote Allah awahifadhi na muendelee kupeleka dawaa mbele kwanza wakati huu wa hijja Allah atufanyie wepesi atusamehe makosa zetu atuweke. Pamoja na wacha Mungu Na atustiri na mabaya yote waislamu wote duniani Allah apokee dua zetu atutie kwenye pepo yake aliowaahidi waja wake inshaAllah kazi nzuri❤❤
Subhanah Propaganda mingi Sana.. Elimu ndio ndio itakuweka huru..
@zainababdulrahmankarisa6273 Жыл бұрын
waaaaaaaaaah hyu nabiii ana wazimu majnoon mwenyewe
@josemu8705 ай бұрын
Maisha alla
@salimdaawah123
5 ай бұрын
Masha Allah
@faudhiasaidi3669 Жыл бұрын
Jazaakallah khayrii ❤❤
@andallaathman3856 Жыл бұрын
Mbona munawambia kua sio makafiri ni makafiri wakiristo sababu wao wanapinga mungu sio moja na amezaaa so nimakafiri khalas mbona munawaficha na bibilia yenyewe imewaita UDA 1:4 inawaita hakuna kuwaficha ukweli
@halimahbwelele694 Жыл бұрын
MashaAllah
@husha6372 Жыл бұрын
Jamaa hayo sasa ni makubwa Mpaka Yesu kuitwa mtoto wa zinaa Ibrahimu mzinifu Huyu Mama KIDOGO sio mzima
@andallaathman3856
Жыл бұрын
Mama Yuko kulingana na kitabu Chao yote yapo ndio tukawambia watoke huko wane KWa dini ya kislam ndio dini ya haki ya ALLAH na ndio Kwa Qur'an mwenyezimungu alimfanya Issa As kuongea utotoni kumtolea mamake ushahidi asiambiwe amezini na hapo hapo mayahudi wengi hawakuamini bado but KWa bibilia hakuna miujiza huo so wawache waje Kwa usilamu tuu
@Sal.0
Жыл бұрын
Biblia ni STORY BOOK tuu ya WaZungu! That is why ime jaa INCEST, PORN, Umalaya, UZINIFU, na kila Ma OVU za Dunuani! Na mimi na SHANGAA, wakati WaFrika, wanai ita Biblia, "TAKATIFU" na eti "Neno la Mungu"! How Mjinga can you be?
@zainababdulrahmankarisa6273 Жыл бұрын
mashaallah ALLAH awalipe nyote
@jumakumala1337 Жыл бұрын
Hatutaki historiya tunataka maandiko madamu usilete historiya za maji maji ribelioni hapo
@josephinechaildofgod53717 ай бұрын
Huyu mama hajielwi
@jumamsembe1213 Жыл бұрын
Mama amekorogeka vibaya sana...haelewi maandiko
@Sal.0
Жыл бұрын
Mama ana penda mambo ya UZINIFU, ambao ume jaa, katika Biblia! Na hata sijui WaFrika wana fikiri vipi kitabu ambacho ume jaa ZINA, ni kitabu cha 'Mungu'!???
@MohaMmed-hb6zt11 ай бұрын
Ostazi waambie mashonde nimavi makavu .uwomkate ndio umechanganywa nashaili 😂wataachakula you saqarament. Iyobibilia kama hainatafusili yamashonde naomba mtafute ostaz mazinge watz atakupatia bibilia ilio tafusiliwa uwo mkate yani wakisikia tafusiyake watakuwa Hawaii tena
@234dultrasoundlad Жыл бұрын
Ati yesu..Mungu wa wakristo alitoka kwa uko ya usherati 😅😂
@Hi_20206
Жыл бұрын
Maskini ..sijui wataamka lini
@smadon563817 күн бұрын
Huyu mwanamke Ana laana
@salimdaawah123
17 күн бұрын
Hawa wengi wao hawajui na hawajui kama hawajui
@Hi_20206 Жыл бұрын
Mafunzo matamu kweli..tumewakaribisha kisumu
@Sal.0
Жыл бұрын
Maber!
@Hi_20206
Жыл бұрын
@@Sal.0kamanooo😂😂😂
@Sal.0
Жыл бұрын
@@Hi_20206 😁😁
@ilyasadhan3914
Жыл бұрын
Nango
@Hi_20206
Жыл бұрын
@@ilyasadhan3914 ber ahinya osiepa
@wajermajiibceeb Жыл бұрын
As-saalamu aleykum wa-rahmatullahi wabaarakatu sheikh you should put the channel in numbers
@salimdaawah123
Жыл бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh inn shaa Allah
@frankjuma1854
7 ай бұрын
Asalaam aleikum warahmatullah sheikh Salim kindly kwa niaba ya watu wote tuleteeni vipindi kwa parts please...part 1,2,3 not.
@user-cw3vu8mu3k7 ай бұрын
Achen kuwadanganya watu wasiojua maandiko nyinyi ni waongo waislamu ni din ya kishetan wanaabudu mapepo majin na nata unaruhusiwa kumwoa jini
@salimdaawah123
7 ай бұрын
Mdomo bila ushahidi wa maandiko nilingoja utoe Aya inayosema hivyo
@Sai.Mo69 Жыл бұрын
Huyu Mama Nabi, amewa chezea GAME na ku ongwa RUBBISH na ku waste 28 minutes of Dawah TIME.! Huyu Mama ali jaribu ku waste TIME last time PIA, na the SAME Story ya Ibrahim na RUTH! Mume chezewa GAME! Watu wengine wame kosa Mafundisho for 28 mins! Next time musim ruhusu huyu TIME WASTER kuja kwa MIC!
@salimdaawah123
Жыл бұрын
Inn shaa Allah
@Adm9464 Жыл бұрын
Haki Ukristo ni geography. All this nonsense this nabii mwanamke anasema. Ati Yesu ametoka kwa familia mbaya
@Sai.Mo69
Жыл бұрын
According to the Bible, it is true that Judah ali ZINI, na... ukoo wa Judah ni ya WANA haramu. Hawa WaZUNGU walio iTUNGA Biblia in 1611, ni kweli wali kuwa wana ongozwa na HOLY SPIRITS, zinao itwa WHISKEY na BRANDY! That is a TRUE Fact!
@chiefmkalikibz1503 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂Hawa Makafiri kwao kutukana MANABII hats hawaoni uzito ASTAGHFIRULLAH. NASHINDWA HUYU MACKENZIE KWANINI ALMUACHA HUYU MAMA WAKATI SHAKAHOLA KUNAMUHUSU
@zakiaanwar677 Жыл бұрын
Assallam aleikum mashekhe wetu natumai mu wazima nyote Allah awahifadhi na muendelee kupeleka dawaa mbele kwanza wakati huu wa hijja Allah atufanyie wepesi atusamehe makosa zetu atuweke. Pamoja na wacha Mungu Na atustiri na mabaya yote waislamu wote duniani Allah apokee dua zetu atutie kwenye pepo yake aliowaahidi waja wake inshaAllah kazi nzuri❤❤
Пікірлер: 69
Huyu sheikh ali ana pressure kweli wallah twaomba awe na subra na hapa naona sheikh salim ndio anaweza vizuri sana mpaka unaelewa bila fujo wallah mungu amuongezee elimu na afya na masheikh nyote mungu awape nguvu
@khadijahamina8457
7 ай бұрын
tummuwombe dua mana kunawatu mpaka ufoke njowanaskiya iyosiyokaazi raisi
@isseamin2017
7 ай бұрын
oh
Sheikh Ali be patient. Kuwa mpole. This people don’t know much. You have to be gentle with them
Wanawake kama huyu ndio walifanya tuambiwe tunyamaze kanisani..sasa ninaelewa kabisaaa..amechanganyikiwa
WaLLAHI hii biblia imewapoteza sana hawa walioiandika walieka machafu humo kusudi ili watu wafanye machafu subhana LLAH
Sheikh, kuwa mtaratibu kwa msomaji unampeleka mbio mbio sana ingawaji mnakwenda na wakati. Kazi yenu ni nzuri sana nawashukuru mno الله atawalipeni.
Maashaallah ustadh salim unatowa darsa safi Allah akulipeni mema
Allahu akibar uslamu umekamilika kweli najivuniya kuwa muislamu
Mashallah abaraq rakhamani halaa
Subhana Allah huyu mdada amevuka mpaka kwakumtukana baba waimani astakafirulah
Huyu Mama ame tumwa ku waste precious time ya Dawah! Last time pia ali kuja na Story zake za Ibrahim! Jatelo pia anakuja ku waste time. Well done Team. Ustad Ali ana kaa kama Professor sasa! 😁 Kanisa ya Kwanza Duniani ni ya ST PETERS kule ROMA. ST Peters CHURCH ili jengwa in 1506AD, baada ya PAUL ku rudi ROMA na ku anzisha 'ukristo'!
ata uku nje wakristo wengi wanasema Ibrahim alifanya zinaa,subhanaAllah Nabii wa Mungu wanamsingizia ubaya,Ibrahim hjufanya ilo wanayoyadai
@mwawekomiuda9779
8 ай бұрын
Si wamelaaniwa Ibrahim (a.s) khalilullah aweza akafanya machafu kweli? Hawa makafiri wote wamelaaniwa. Anaembariki Ibrahim na yy anabarikiwa anaemlaani Nabii Ibrahim na yy kalaaniwa iko wazi
Masha allahy Allahy Atujaliekwenye .muongozo huu huu .wadini ya Kisilmu ameen
Hajielewi huyu mama , amekunywa vitu nini , yeye anajiita nabii na ht ajielewi , wakristo wenzio pia wanakucheka ht aibu huoni ww
Maashaallah tabarakallah mashee zetu
Huyo mwenye alimwaga nje mungu alimuuwa kwa sababu hakuendeleza uzaa wa ndugu wake...na hio ndo sababu kubwa...Huyo nabii asome vitabu na aelewe😂😂😂
Now she is getting it . She has seen the truth
huyo mama amesema ukweli hapo,Yesu alitoka katika kizazi cha zinaa kulingana na bibilia,Yuda alilala na mama mkwe aliejifanya kahaba akampatia bungle na fimbo akamtia mimba wakazaa mtoto anaitwa Peris na huyu Peris ndie alitoa kizazi cha Yesu
AllahAkbar AllahAkbar AllahAkbar Allah awalipe pepo mashekhe wetu mwafanya kazi kuubwa sana kwaajili ya Allah nawapata nikiwa 255 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Jamaa hayo sasa ni makubwa Mpaka Yesu kuitwa mtoto wa zinaa Ibrahimu mzinifu Huyu Mama KIDOGO sio mzima.Kichaa kimempanda kichwani.
Hawa watu wanazidi kuchizika uyu nae ni nani jamani anae jiita Nabii huku ni mwanamke 😢😢 Yarabi tustiri .
Waaleykum ssalamu nmefurah sana Mm uwa napenda kusikiza maandiko
Jamaani wakoweni wakenya makanisa yamezidi Kenya kilauchochoro kanisa dah hallah hawape nguvu
Assallam aleikum mashekhe wetu natumai mu wazima nyote Allah awahifadhi na muendelee kupeleka dawaa mbele kwanza wakati huu wa hijja Allah atufanyie wepesi atusamehe makosa zetu atuweke. Pamoja na wacha Mungu Na atustiri na mabaya yote waislamu wote duniani Allah apokee dua zetu atutie kwenye pepo yake aliowaahidi waja wake inshaAllah kazi nzuri❤❤
@salimdaawah123
Жыл бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh aamiin amiin amiin
Subhanah Propaganda mingi Sana.. Elimu ndio ndio itakuweka huru..
waaaaaaaaaah hyu nabiii ana wazimu majnoon mwenyewe
Maisha alla
@salimdaawah123
5 ай бұрын
Masha Allah
Jazaakallah khayrii ❤❤
Mbona munawambia kua sio makafiri ni makafiri wakiristo sababu wao wanapinga mungu sio moja na amezaaa so nimakafiri khalas mbona munawaficha na bibilia yenyewe imewaita UDA 1:4 inawaita hakuna kuwaficha ukweli
MashaAllah
Jamaa hayo sasa ni makubwa Mpaka Yesu kuitwa mtoto wa zinaa Ibrahimu mzinifu Huyu Mama KIDOGO sio mzima
@andallaathman3856
Жыл бұрын
Mama Yuko kulingana na kitabu Chao yote yapo ndio tukawambia watoke huko wane KWa dini ya kislam ndio dini ya haki ya ALLAH na ndio Kwa Qur'an mwenyezimungu alimfanya Issa As kuongea utotoni kumtolea mamake ushahidi asiambiwe amezini na hapo hapo mayahudi wengi hawakuamini bado but KWa bibilia hakuna miujiza huo so wawache waje Kwa usilamu tuu
@Sal.0
Жыл бұрын
Biblia ni STORY BOOK tuu ya WaZungu! That is why ime jaa INCEST, PORN, Umalaya, UZINIFU, na kila Ma OVU za Dunuani! Na mimi na SHANGAA, wakati WaFrika, wanai ita Biblia, "TAKATIFU" na eti "Neno la Mungu"! How Mjinga can you be?
mashaallah ALLAH awalipe nyote
Hatutaki historiya tunataka maandiko madamu usilete historiya za maji maji ribelioni hapo
Huyu mama hajielwi
Mama amekorogeka vibaya sana...haelewi maandiko
@Sal.0
Жыл бұрын
Mama ana penda mambo ya UZINIFU, ambao ume jaa, katika Biblia! Na hata sijui WaFrika wana fikiri vipi kitabu ambacho ume jaa ZINA, ni kitabu cha 'Mungu'!???
Ostazi waambie mashonde nimavi makavu .uwomkate ndio umechanganywa nashaili 😂wataachakula you saqarament. Iyobibilia kama hainatafusili yamashonde naomba mtafute ostaz mazinge watz atakupatia bibilia ilio tafusiliwa uwo mkate yani wakisikia tafusiyake watakuwa Hawaii tena
Ati yesu..Mungu wa wakristo alitoka kwa uko ya usherati 😅😂
@Hi_20206
Жыл бұрын
Maskini ..sijui wataamka lini
Huyu mwanamke Ana laana
@salimdaawah123
17 күн бұрын
Hawa wengi wao hawajui na hawajui kama hawajui
Mafunzo matamu kweli..tumewakaribisha kisumu
@Sal.0
Жыл бұрын
Maber!
@Hi_20206
Жыл бұрын
@@Sal.0kamanooo😂😂😂
@Sal.0
Жыл бұрын
@@Hi_20206 😁😁
@ilyasadhan3914
Жыл бұрын
Nango
@Hi_20206
Жыл бұрын
@@ilyasadhan3914 ber ahinya osiepa
As-saalamu aleykum wa-rahmatullahi wabaarakatu sheikh you should put the channel in numbers
@salimdaawah123
Жыл бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh inn shaa Allah
@frankjuma1854
7 ай бұрын
Asalaam aleikum warahmatullah sheikh Salim kindly kwa niaba ya watu wote tuleteeni vipindi kwa parts please...part 1,2,3 not.
Achen kuwadanganya watu wasiojua maandiko nyinyi ni waongo waislamu ni din ya kishetan wanaabudu mapepo majin na nata unaruhusiwa kumwoa jini
@salimdaawah123
7 ай бұрын
Mdomo bila ushahidi wa maandiko nilingoja utoe Aya inayosema hivyo
Huyu Mama Nabi, amewa chezea GAME na ku ongwa RUBBISH na ku waste 28 minutes of Dawah TIME.! Huyu Mama ali jaribu ku waste TIME last time PIA, na the SAME Story ya Ibrahim na RUTH! Mume chezewa GAME! Watu wengine wame kosa Mafundisho for 28 mins! Next time musim ruhusu huyu TIME WASTER kuja kwa MIC!
@salimdaawah123
Жыл бұрын
Inn shaa Allah
Haki Ukristo ni geography. All this nonsense this nabii mwanamke anasema. Ati Yesu ametoka kwa familia mbaya
@Sai.Mo69
Жыл бұрын
According to the Bible, it is true that Judah ali ZINI, na... ukoo wa Judah ni ya WANA haramu. Hawa WaZUNGU walio iTUNGA Biblia in 1611, ni kweli wali kuwa wana ongozwa na HOLY SPIRITS, zinao itwa WHISKEY na BRANDY! That is a TRUE Fact!
😂😂😂😂😂😂Hawa Makafiri kwao kutukana MANABII hats hawaoni uzito ASTAGHFIRULLAH. NASHINDWA HUYU MACKENZIE KWANINI ALMUACHA HUYU MAMA WAKATI SHAKAHOLA KUNAMUHUSU
Assallam aleikum mashekhe wetu natumai mu wazima nyote Allah awahifadhi na muendelee kupeleka dawaa mbele kwanza wakati huu wa hijja Allah atufanyie wepesi atusamehe makosa zetu atuweke. Pamoja na wacha Mungu Na atustiri na mabaya yote waislamu wote duniani Allah apokee dua zetu atutie kwenye pepo yake aliowaahidi waja wake inshaAllah kazi nzuri❤❤
@salimdaawah123
Жыл бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh aamiin amiin amiin sote
@kawtharalbarwani1337
Жыл бұрын
Amiin
@akbarazimkhan7701
Жыл бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh aamiin amiin amiin sote
@akbarazimkhan7701
Жыл бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh aamiin amiin amiin sote
@akbarazimkhan7701
Жыл бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh aamiin amiin amiin sote