Utatu wa uungu waleta maswali manzito na pia kubeba dhambi za wazee wetu waliopita inawezekana moto

Пікірлер: 72

  • @aishahazary4097
    @aishahazary40979 ай бұрын

    Walahy kama hajaelewa kwa daa,wa ya leo hawa wamepigwa mhuri.Maskini Salim umefundisha mpaka koo linakauka.ALLAH akunyweshe maji siku isiyokuwa na msada ila wake yeye AL RAHMAN.

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    9 ай бұрын

    Aamiin amiin amiin sote

  • @nassorsharifu9837

    @nassorsharifu9837

    9 ай бұрын

    Hawa huws hawataki lakini roho zao zinaeasuta

  • @SalmanMughal-lq5lt

    @SalmanMughal-lq5lt

    4 күн бұрын

    AaminaYaarabi

  • @SalmanMughal-lq5lt

    @SalmanMughal-lq5lt

    4 күн бұрын

    ​@nassorsharindyo.huenda.wanaonaHaibu.kwayalewaliotanguliza.kuu.dhihaki.uislamfu9837

  • @Hi_20206
    @Hi_202069 ай бұрын

    I bear witness theres none other worthy of worship except Allah n i bear witness Mohmd(saw)is hes final messenger☝️

  • @malogaming506

    @malogaming506

    8 ай бұрын

    do you want to learn more about the religion on how to pray and other stuffs

  • @Hi_20206

    @Hi_20206

    8 ай бұрын

    @@malogaming506 yes yes i have quran and other books n also these dawaah videos help me alot

  • @user-sz8sx8pn7v

    @user-sz8sx8pn7v

    2 ай бұрын

    MashaAllah

  • @user-sz8sx8pn7v

    @user-sz8sx8pn7v

    2 ай бұрын

    ​@@Hi_20206MashaAllah

  • @mwanakombokalamu7009
    @mwanakombokalamu70099 ай бұрын

    MashAllah ustadh salim mafunzo bora Allah atujaalie kheri maishani na rizki za halali ili kusaidia wahadhir watu kufikisha kalima ya lailah ila Allah🤲🤲🤲

  • @zakiaanwar677
    @zakiaanwar6779 ай бұрын

    Assallam aleikum warahmatullah wabarakatuh Alhamdullillah leo wa kwanza kwa ajili ya Allah shukran

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    9 ай бұрын

    Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh masha Allah

  • @Jingajinga64

    @Jingajinga64

    9 ай бұрын

    Waaleykum salaam warahmatullahi wabarakatu. Mashallah

  • @amadimagadi7978
    @amadimagadi79789 ай бұрын

    Ustadh Ali kazi yako Ni kusoma usihubiri tafadhali insha Allah

  • @halimahbwelele694

    @halimahbwelele694

    9 ай бұрын

    Kwan shida iko wap ambae mwataka kumfunga mdomo ,si yuatilia mkazo tu

  • @Adm9464
    @Adm94649 ай бұрын

    The Koran is definitely the walking and talking book. You ask a question u get an answer without zigzagging

  • @Adm9464
    @Adm94649 ай бұрын

    All the time Wakristo hata Kama ni pastor wata jiandaa. They are never prepared mpaka Waislamu wamfunze.

  • @user-rm7rk3kc3t
    @user-rm7rk3kc3t9 ай бұрын

    Dua nying kwenu Wahadhiri wetu kwa kaz kubwa mnayoifanya tatizo km mnavyowaambia hasomi biblia wanasomewa N Padri yy anawasomea watoe tu ili wapate utajiri. Allah atawalepa malipo memo.

  • @Adm9464
    @Adm94649 ай бұрын

    Haki even the school kids are wondering and laughing at this guys.

  • @alyumar4657
    @alyumar46579 ай бұрын

    Mashallah Allah awape subra ktk kazi yenu

  • @Marim-qp8gs
    @Marim-qp8gs29 күн бұрын

    BarakaAllah

  • @umazimwambezi8092
    @umazimwambezi80929 ай бұрын

    Mashallah mnaelimisha vizuri

  • @Adm9464
    @Adm94649 ай бұрын

    Confusion continues everywhere.

  • @yabdul1782
    @yabdul17829 ай бұрын

    Ahmediyya si waislamu! Ahmadiya wamechacha umissionary wao kuwavutia wakristo n waislamu kupoteza. Vizuri karisto wajuwe hayo.

  • @Jingajinga64
    @Jingajinga649 ай бұрын

    Allahumma yassir wala tu'assir. Barakallah fikum 🤲

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor78478 ай бұрын

    Mashalla Allah ❤

  • @oopsm3574
    @oopsm35749 ай бұрын

    Mtu mmoja kapoteza mda mrefu sana

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    9 ай бұрын

    We will rectify that inn shaa Allah

  • @NgalaMazera
    @NgalaMazera7 ай бұрын

    ❤❤❤❤❤

  • @adanabdi5249
    @adanabdi52499 ай бұрын

    Sawa kabisa.

  • @nelsonochieng5216
    @nelsonochieng52169 ай бұрын

    Ali anafaa kunyamaza kazi yake ni kusoma neno

  • @Sai.Mo69
    @Sai.Mo699 ай бұрын

    Story ni Simple. Huyu MuLUHYA, ha ELEWI ya kwamba: HAKUNA Mtu MuSWAHILI, anaye itwa YESU! Na Wala.... HAKUNA Mtu MZUNGU, anaye itwa "jesus'!. Na...Wala HAKUNA MuFRANCA, anaye itwa JAYZEE au yesu! MTUME aliye tumwa kwa BANI Izrael, ni ESA. Huyu MuLuhya ni Time Waster! Na MuFisadi pia na Mrongo, kama kila Mkristo! TabarakAllah Team!

  • @Mwalimu-wa-Math
    @Mwalimu-wa-Math9 ай бұрын

    Surah Qamar:1 54:1 53:38

  • @malikdodo5190
    @malikdodo51909 ай бұрын

    Walaikum salaam warahmatu-llahi wabarakatuh

  • @abdiweliminhaj2939
    @abdiweliminhaj29399 ай бұрын

    M.a sheikh

  • @user-rm7rk3kc3t
    @user-rm7rk3kc3t9 ай бұрын

    Mashaa Allah

  • @kassimabdilatif1802
    @kassimabdilatif18029 ай бұрын

    Suratul Qamar: ..... and the moon has split...

  • @Adm9464
    @Adm94649 ай бұрын

    Sheikh Ali this is really disrespectful to Wa Shehee. Please stop talking between people, you are definitely confusing everyone and lots time is wasted . This is crazy because it has been going on for a while.

  • @amsodewiz4901
    @amsodewiz49019 ай бұрын

    ❤❤❤❤Mashallah

  • @nubianqueen6700
    @nubianqueen67009 ай бұрын

    Ali unaongeaga Sana jamani duh! do your part and let Salim do his.

  • @halimahbwelele694

    @halimahbwelele694

    9 ай бұрын

    Achen kumfundisha kazi mzee wa watu hta yy ana haki ya kuongea mwasema sana mpka mwakera

  • @mudychelsea734
    @mudychelsea7349 ай бұрын

  • @mudychelsea734
    @mudychelsea7349 ай бұрын

    7:01 asc sheikh salim leo imenipita pilau kule kwa mskiti Imbia kwa Yusuf dawa

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    9 ай бұрын

    Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh

  • @hassanimouigni6648
    @hassanimouigni66489 ай бұрын

    Anataka tueke maiti itarudi

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    9 ай бұрын

    Hahaaaaaaa yani hawa jamaa ni mtihani

  • @user-rj1mk7uc2y
    @user-rj1mk7uc2y9 ай бұрын

    Sh ally usiingilie mwachie mw unatunyima raha

  • @Jingajinga64

    @Jingajinga64

    9 ай бұрын

    Asante sana. Ni jambo utaona karibu kila kipindi nalitaja lakini linaendelea tu. Ama kweli linatoa utamu wa mjibu na linaudhi sana kama vile anapoingilia mkristo kumsaidia au kumjibia anae uliza swali. Hao kila mara sheikh Salim anawanyamazisha lakn anamwachia mzee wa busara kuingilia jawabu zake.

  • @aishahazary4097

    @aishahazary4097

    9 ай бұрын

    Anasherehesha tu mzee wetu.Kila mwanaadam na hulka yake.Napenda sana usomaji wako na sauti isiyokuwa na mikwaruzo.

  • @Jingajinga64

    @Jingajinga64

    9 ай бұрын

    ​​@@aishahazary4097anaharibu tu ila usomaje wake ni mzuri mno. Kila mmoja afanye kazi yake aliyopatiwa kufanya. Anaudhi na atapunguza views.

  • @nubianqueen6700

    @nubianqueen6700

    9 ай бұрын

    ​@@Jingajinga64walahi inaudhi lazima waislamu waji represent na akhlaq e husna, hii inaangaliwa sehemu nyingi.

  • @halimahbwelele694

    @halimahbwelele694

    9 ай бұрын

    Mko na sheria kali yenye hata kma Mtu angekua yy asingeweza,sasa shekh Ali kakosea wap ala binadamu mzigo ebu muacheni kwan hamuelew nn mwatka asiongee kwann Mtu kma yuweza aende akafanye msipangie watu kaz ala mwasema mpka mwakera

  • @jamilaomari2444
    @jamilaomari24449 ай бұрын

    Ali kuwa mstarabu pls.

  • @user-sz8sx8pn7v

    @user-sz8sx8pn7v

    2 ай бұрын

    Pls usimlaumu Shekh Ali si makosa yke ana hamasa zaidi maana yke ana Imani kubwa moyoni ndio unaona mara nyingi uingilia ana sahau kama yeye ni msomaji kwa usimlaumu si kupenda kwake Maana yeye pia ni mwalimu ni hamasa tu iko moyoni

  • @saidnaggy5209
    @saidnaggy52099 ай бұрын

    Hii maombolezo 5-7 huyu kijana hakuelewa andiko. Babu zao walifanya dhambi na haohao wamechukuwa huo uovu waliokuwa wakifanya babu zao.kwa hiyo hawakubeba dhambi za wazee wao ila hao walichukua maovu yaliyokuwa yakifanywa na babu zao na wao wakayafanya

  • @andallaathman3856

    @andallaathman3856

    9 ай бұрын

    Kuna Aya inasema kuhusu kafiri ni Nani Kwa bible nakumbuka ni verse 1:4. But sikumbuki ni kitabu gani naomba mnikumbushe ndugu zangu

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    9 ай бұрын

    Kitabu cha yuda 1:4 karibu na ufunuo

  • @Sai.Mo69
    @Sai.Mo699 ай бұрын

    Huyu MORRIS kichwa chake sio SAWA! Yaani hii MORRIS, iko na GEAR Moja tuu, ya UWONGO! Na huyu Mjinga mwengine anaji ita jina la MZ7NGU RACIST mkubwa kule England, anaye itqa ENOCK! Huyu pia KICHWA kime e KNOCK! Maana ya NENO Kristo, ni NABI, kam inavo eleza Bibla yenye! Kwani huyu enock, hajui hivi!?

  • @achimoramadhanimataka1208
    @achimoramadhanimataka12089 ай бұрын

    nawependa san kwajili Allaah ❤

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    9 ай бұрын

    Tunakupenda kwa ajili ya Allah

  • @SalmanMughal-lq5lt

    @SalmanMughal-lq5lt

    4 күн бұрын

    SaanaMashaAllah.yhan.miendyo.raha.yangu.hadi.nanenepa.kwaraha.yauislam

  • @sophiajuma6798
    @sophiajuma67989 ай бұрын

    Masheikh wetu mimi niko na swali kucheza ludo ya kwenye simu ni haramu yaani kama nacheza mimi tu for funny sichezi ya pesa naomba mnijibu kama ni haram au la

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    9 ай бұрын

    Betting ndio haramu hata kucheza mpira sio haramu ila betting ya mpira ndio haramu

  • @sophiajuma6798

    @sophiajuma6798

    9 ай бұрын

    @@salimdaawah123 Asanteni kwa mafundisho yenu Allah awape umri na awafanyie wepesi kwenye kazi yenu 🙏

  • @hashim.22kamal27

    @hashim.22kamal27

    8 ай бұрын

    Haramu

Келесі