Sheikh Mziwanda Ashangaaa Sheikh Muhammad Bachu Raddi Ipo Ila kwa Staili Ipi

usisahau ku subscribe channels hii

Пікірлер: 10

  • @adinanimzimbiri
    @adinanimzimbiriАй бұрын

    Mashallah

  • @shankalickrham3168
    @shankalickrham3168Ай бұрын

    Subhallah😢

  • @abdullahmasakata170
    @abdullahmasakata170Ай бұрын

    Hilo jambo la kufurahisha watu ndio tatizo la baadhi ya mashekh wanao ficha ukweli kwa manufaa yao.

  • @khamisjuma7616
    @khamisjuma7616Ай бұрын

    huu ni utapeli wa kimtandao hili limekusanya watu wote sio la bachu pekee

  • @abuuallyboki1370
    @abuuallyboki1370Ай бұрын

    Vzr kwa ukumbusho shekh ila umeteleza kusoma Aya ya 76 surat israa badala ya لأذقناك umesoma لأضعناك na huu ni ukumbusho tu shekhnaa

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3eАй бұрын

    Wemwenyewe mziwanda miongoni mwa wanaoharibu dini na kufurahisha watu si mnaficha ukweli

  • @AhmadMohamad-ew8vo
    @AhmadMohamad-ew8vo29 күн бұрын

    Mziwanda acha kuropoka

  • @johariabdalla3319
    @johariabdalla3319Ай бұрын

    Mbona kichwa cha habari,na aliyazungumza Sheikh Mziwanda ni vitu vìwili tofauti?au ili tuongeze views na subscribers? Inshallah kheri

  • @KhamisHaroub-uj5ci
    @KhamisHaroub-uj5ciАй бұрын

    Inaonesha masheikh wengi wa tanganyik hawampendi bachu kwasababu ya kumwambia ukweli kuhusu maulid nakazalika ila Sheikh Shafii kuwa makini na vichwa vyako vya habari vinaweza kutugawa waislam

  • @z34-kp9qq
    @z34-kp9qqАй бұрын

    Wewe shafii wewe wacha kutulisha matango pori. Yaonesha nawe una element za uwongo uwongo... Yanayozumgumzwa na kichwa cha hbr tofauti. Au una uwadui na bachu??

Келесі