Haya Hapa Majibu ya Maswali ya Watazamaji Wetu Kwenye comment-Ustadh Shafii Ajibu Baadhi

usisahau ku subscribe channels hii

Пікірлер: 97

  • @seifserenge3340
    @seifserenge334026 күн бұрын

    Asante sana shekh Shafi kwa kuwa umewajibu vizuri lakini bado utakuwa na kazi kubwa ila usichoke kwa sababu baadhi ya hao wakristo wametajwa sifa zao: huwa ni vipofu,viziwi na vibubu ni shida kurudi lkn tuwaombee allah awafanyie wepesi

  • @samxx411
    @samxx41126 күн бұрын

    Naam nakukubali sheikh wangu, fuata mfumo huuhuu ni mzuri. Fundisha tu achana na masheikh wengine

  • @UmarMasudi-so2hi
    @UmarMasudi-so2hi26 күн бұрын

    Sheikh wangu Allah akulipe kila lakheri kwa maana nimekuelewa sana Ustaadh.

  • @Catherine-mh8sw
    @Catherine-mh8sw26 күн бұрын

    Shukran shekh

  • @adinanimzimbiri
    @adinanimzimbiri26 күн бұрын

    Mashallah shehe Allah akupe heri

  • @mbarikiaally2814
    @mbarikiaally281426 күн бұрын

    Great ponts 😊😊😊😊

  • @anafimagoto7139
    @anafimagoto713926 күн бұрын

    Shehe Shafi Mungu akupe umli mlefu nilikuwa nawaza sana maneno ya Sule ila umeniweka sawa alhadulihi

  • @OmarAbubakar-tr3iy

    @OmarAbubakar-tr3iy

    26 күн бұрын

  • @chiefrukondo863
    @chiefrukondo86324 күн бұрын

    Naomba urudie fafanuzi kuhusu YOHANA 1:1

  • @nestarnestar4520
    @nestarnestar452026 күн бұрын

    Hunaa maana kabisha unaulizwa mandaz unajibu mihogo

  • @omarchaijefwa729
    @omarchaijefwa72926 күн бұрын

    Endelea hivyo hvyo shafiii tulizitaka sana dawah hizi

  • @user-pg6kv2nd3n
    @user-pg6kv2nd3n26 күн бұрын

    Damu za nguruwe zinawasumbua na kuwatia motoni

  • @saidymbagalla6622
    @saidymbagalla662225 күн бұрын

    Waeleweshe Ostadhi japo vichwani vyao havina akili ndiomana wanamuamini zaid Ndacha kuliko bibilia yao

  • @user-to8on2pj9x
    @user-to8on2pj9x26 күн бұрын

    Hujajibu swali natufanye alikuepo mungu baba mwana na roho

  • @makenaOG

    @makenaOG

    26 күн бұрын

    Ukiambiwa utoe andiko kwa madai yako utazunguka weee na hutatoa

  • @moshantoj
    @moshantoj24 күн бұрын

    Ati majestic 😂😂😂

  • @oscarwilliam8341
    @oscarwilliam834126 күн бұрын

    Huu niongo anashindwa kutumia umoja kama tumfanye huoni kama alikua akisema na nafsi alafu unawaongopea mara yesu hakubatiza uongo alafu qoroan hajawahi tuna chajisha tunachajisha simu nyingi tunaji simu nyingi pia maana simu haina wingi ilA mungu hili neno Lina wing

  • @fadhilfathamula4224

    @fadhilfathamula4224

    26 күн бұрын

    Yani ndio hamna kitu kabisa ndiomana munapelekwapelekwa kanisani kwasababu wagumu kuelewa, huyu mchajisha simu angeweza kusema ninachajisha simu lakini kwanini kasema tunachajisha simu? Sikiliza maelezo vizuri

  • @edinahbonareri2251
    @edinahbonareri225126 күн бұрын

    ustadh bado hauna elimu ya taurati

  • @user-sn4iq6cu1f

    @user-sn4iq6cu1f

    26 күн бұрын

    ebu tunaomba na ww ujitokeze utupe eli ya taurati tukusikie

  • @shabamuhidin634
    @shabamuhidin63426 күн бұрын

    mpaka bibilia yenyewe wanaipinga

  • @idrisajaphary8275
    @idrisajaphary827523 күн бұрын

    Shehe unaruka maandiko kwa Paulo ya nyooshe yote utaujua utume wa paulo

  • @ramadhanimandoa716
    @ramadhanimandoa71626 күн бұрын

    Wakristo wanakula ngurue watakuwaje naakili hao

  • @Nim68182

    @Nim68182

    26 күн бұрын

    bola mala mia ule ngurue kuliko kulaliwa na namashetani puani usiku nzimaa 😂😂😂😂😂😂😂 Mnatevyengwa puani😂😂

  • @user-to8on2pj9x
    @user-to8on2pj9x26 күн бұрын

    Alafu hapo mungu kawa shahidi hujajibu swali kabisa na mada ulizo toa tofauti kabisa kwa elimu hiyo ndogo NDACHA FRANCIS usimfuate atakubatiza mapema sana umeuliza swali unajibu kwa maelezo muhamad hajatumwa naacha na mungu

  • @user-mc2xd4eu2p

    @user-mc2xd4eu2p

    26 күн бұрын

    Ndacha atambatiza nani uungu wa yesu ni mada ambayo haina mashiko kwa wakristo labda mwendawazimu ndio atabatiza huyo ndacha

  • @Nim68182

    @Nim68182

    26 күн бұрын

    ​@@user-mc2xd4eu2p Allah alisema kuwa yeye nimwanzo na mwisho YESU kristo naye alisema kuwa yeye nimwanzo na mwisho Allah alisema kuwa yeye anasamehe dhambi YESU kristo naye alisema kuwa yeye anasamehe dhambi 😂😂😂😂 Au nikuongeze na kingine Sas hapo sjui hapo wanatofautiana nin

  • @user-mc2xd4eu2p

    @user-mc2xd4eu2p

    26 күн бұрын

    @@Nim68182 mna mungu wangapi jibu hili na anaitwa nani?

  • @user-mc2xd4eu2p

    @user-mc2xd4eu2p

    26 күн бұрын

    @@Nim68182 ni jibu na hili mna mungu wangapi na anaitwa nani?

  • @user-mc2xd4eu2p

    @user-mc2xd4eu2p

    26 күн бұрын

    @@Nim68182 naomba jibu na hii mna mungu wangapi na anaitwa nani mungu wenu?

  • @BURUNDIB
    @BURUNDIB26 күн бұрын

    Hhhhh iyo siyo dini mutume wa kuowa mutoto ni mtume wa mungu?

  • @paulmushi2428
    @paulmushi242826 күн бұрын

    Mungu aliposema na tufanye mtu kwa mfano wetu hapo Mungu alikuwa pamoja na YESU KRISTO soma YOHANA 17:5

  • @user-to8on2pj9x

    @user-to8on2pj9x

    26 күн бұрын

    Na roho mtakatifu

  • @user-mc2xd4eu2p

    @user-mc2xd4eu2p

    26 күн бұрын

    Mna mungu wa ngapi?

  • @ShafiunaWaziri-vz7bi

    @ShafiunaWaziri-vz7bi

    26 күн бұрын

    Soma sana kitabu chako

  • @user-mc2xd4eu2p

    @user-mc2xd4eu2p

    26 күн бұрын

    @@paulmushi2428 angalia mgongano huo mungu unasema alikua na yesu wakati anasema hivo je yesu ni mungu?

  • @user-pw4dx9hr1l
    @user-pw4dx9hr1l26 күн бұрын

    Shekh shafi unawapa dawa kwaajili ya mungu lakini hawatashukuru baadhi watafanya ndio bakora yako , kunawakristo wasio jielewa watapata dawa burue midhali shukrani yao ni ndogo utawaona kwenye komenti wakikejel,

  • @paulmushi2428

    @paulmushi2428

    26 күн бұрын

    Ni kweli anatoa dawa lakini isiyoweza kutibu ugonjwa husika😂😂😂

  • @nubianqueen6700

    @nubianqueen6700

    26 күн бұрын

    Bora ujumbe umefika, yawm al qiyama hawatasema hawakufikishiwa.

  • @shabbymakapane

    @shabbymakapane

    26 күн бұрын

    @@paulmushi2428Masage send and Deliverd 🤣🤣🤣

  • @shabbymakapane

    @shabbymakapane

    26 күн бұрын

    @@paulmushi2428Huna Cha kujitetea Siku ya Humu 🤣🤣🤣

  • @user-sn4iq6cu1f

    @user-sn4iq6cu1f

    26 күн бұрын

    ​@@paulmushi2428ndugu yngu allah akufahamishe mana unajua hakika maneno matamu yamekuingia moyo wko umekubali bali unajaribu kuonesha kibri

  • @MollelSirikwa
    @MollelSirikwa26 күн бұрын

    Ujajibu muongo wwe mim najibu walio mtuma ni babu yake samani muabudu masanamu mungu nishaidi ataukiiba ni shaidi tu

  • @user-mc2xd4eu2p

    @user-mc2xd4eu2p

    26 күн бұрын

    Toa andiko usilete dogma za kanisa uvivu wa kuabudu ndio mnakimbilia kuna aliewafia yani mfanye ufisadi dhambi abebe mwengine

  • @MollelSirikwa

    @MollelSirikwa

    26 күн бұрын

    @@user-mc2xd4eu2pata yko anabeba laiti kma wwe sio binadamu

  • @user-sn4iq6cu1f

    @user-sn4iq6cu1f

    26 күн бұрын

    Pole kaa ivo ivo usiende ukasoma

  • @mobutu3884
    @mobutu388426 күн бұрын

    Yani nimeamini waislam hawatakuja kuelewa maana wote wanamsifu kwa sababu wanaamini kajibu ipasavyo ila hakuna alichojibu, naendelea kusisitiza waislamu walimu wenu walishajua nyie hamsomi mnawasikiliza wao tu ndio maana wanajibu wanavyoona wao, ila hakuna hata swali alilojibu sahihi, kwanza mjiulize kwa nini amejibu maswali ya quran kwa kutumia Biblia huku mnasema Biblia sio kitabu cha Mungu?😂😂 na bado kajibu kiwepesi sana ila mnamuona mkali 😂, mwambieni aendelee kuongelea kwenye mitandao ila akijichanganya akakubali mdahalo ataumbuka sana maana kama mimi nagundua anapofeli sasa itakuwaje kwa ndacha😂 Shida ipo pale pale waislamu huwa hawamsikilizi ndacha bali huwa wanaskip au huenda wanasikiliza pasipo kuelewa au huenda ni kweli jini karini wameshikilia ubongo yani naanza kuamini 😂

  • @paulmushi2428
    @paulmushi242826 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Hujajibu Swali Shafii Hao akina NASI bado ni wengine na inayoonyesha Mwenyezi Mungu ni Shahid hapo MUNGU anatazama tu!!😂😂😂😂😂😂😂

  • @USACAUDIOVISUALMATERIALS

    @USACAUDIOVISUALMATERIALS

    26 күн бұрын

    We usijizime data Paulo. Hata kama akili yako butu jitahidi watu wasikujue kuwa uko butu. 😂😂😂😂

  • @UmarMasudi-so2hi

    @UmarMasudi-so2hi

    26 күн бұрын

    Wewe usijifanyi ujinga😂😂😂

  • @khalfansaid4756

    @khalfansaid4756

    26 күн бұрын

    Nyny wakristo mnakua mnamshipa wa fahamu SI ametoa jibu kupitia hiyo hiyo bibilia yenu pia hujaelewa eh kazikweli

  • @mobutu3884

    @mobutu3884

    26 күн бұрын

    ​@@khalfansaid4756katoa jibu kupitia Biblia lakini jibu la uongo sasa tusiseme? Nyie mmemuelewa sababu anajua hamjui maandiko kila kitu mnamwitikia tu na kusema mashaalllah 😂

  • @khalfansaid4756

    @khalfansaid4756

    26 күн бұрын

    @@mobutu3884 ww ulitaka ujibiwe vipi

  • @mobutu3884
    @mobutu388426 күн бұрын

    Hivi waislamu kwa jinsi alivyoeleza sifa za ili uwe mtume mnaona kuna sifa yoyote mtume wenu inamgusa? Fanyeni utaiti maono maana yake ni nini? Nabii ina maana gani? Baada ya hapo fatilieni jinsi alivyoupata utume, Kisha mlinganishe hizo sifa na mtume wenu, Kaeni na Biblia akitaja aya isomeni halafu linganisha na anayoyaeleza 😂 Kwa mbaaaali unaweza sema anajua ila ukisogelea maandiko kwa ukaribu ukayaelewa utagundua hajui, msiba huu

  • @chancelorharubu2731

    @chancelorharubu2731

    25 күн бұрын

    Je ww bibilia yako unaielewa,na sikiliza uchambuzi hapo,nyie mnamezeshwa tu.sikiliza vitu hivyo

  • @mobutu3884

    @mobutu3884

    25 күн бұрын

    @@chancelorharubu2731 nimeuliza maswali hapo yajibu halafu tuone kama shafii anajua anchokiongea katika huo uchambuzi unaomsifia

  • @paulmushi2428
    @paulmushi242826 күн бұрын

    Yesu anaposema Mungu alimshuhudia soma MATHAYO 3: 16-17 na MATHAYO 17:5😅

  • @bausifarouk1798

    @bausifarouk1798

    26 күн бұрын

    Kiswahili ni shida kwako. Yesu asema mungu amemushuhudia maana yake mungu ndio shahidi wake. Sasa utajaza hapo

  • @paulmushi2428
    @paulmushi242826 күн бұрын

    😂😂😂😂😂 Unawezaje kufafanua Aya za Qur'an kupitia aya za Biblia ambayo mnasema imeharibiwa!!😂😂😂

  • @user-mc2xd4eu2p

    @user-mc2xd4eu2p

    26 күн бұрын

    Kuna yaliyoharibiwa na kuna yaliyosalimika nyie watu hamuelewi ndio mana mkiambiwa yesu mungu mnafata tu uungu hauelezeki

  • @user-mc2xd4eu2p

    @user-mc2xd4eu2p

    26 күн бұрын

    Hii inaonesha hamsomi bibilia mnafata dogma tu mkipewa mifano kwa imani yenu mnajitia upofu

  • @Nim68182

    @Nim68182

    26 күн бұрын

    ​@@user-mc2xd4eu2p😂😂😂😂 We sunasema hatusomi kitabu chetu sas nihiv leta hayo ambayo yalisalimika nahayo ambayo yaliharibiwa

  • @user-mc2xd4eu2p

    @user-mc2xd4eu2p

    26 күн бұрын

    @@Nim68182moja wapo Yale maandiko ya kule wakorinto 1 kitu kama hicho upumbavu wa mungu una hekima kuliko wa binadamu sasa haya yatakua maneno ya mungu labda uwe hauko sawa ndio utaamini maneno ya mungu haya

  • @paulmushi2428
    @paulmushi242826 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂 Yaani mnasema Qur'an ni Kila kitu😂😂😂 mbona unafundisha na kufafanua Aya za Qur'an kupitia Biblia!😂😂😂

  • @USACAUDIOVISUALMATERIALS

    @USACAUDIOVISUALMATERIALS

    26 күн бұрын

    Anatumia mifano kutoka kule unakokujua. Na Qur-an katika kila kitu ni pamoja yaliyozungumzwa kwenye maandiko yaliyopita.

  • @ShafiunaWaziri-vz7bi

    @ShafiunaWaziri-vz7bi

    26 күн бұрын

    Anatafuta katika bibilia kukuelewesha ww mana Qur'an uiyelewi ata akikujibu utapnga Sasa anakupa Aya ww ufananishe alafu ufikilie Kuna shida au Yani wakristo bure kabisa

  • @user-sn4iq6cu1f

    @user-sn4iq6cu1f

    26 күн бұрын

    pole

  • @user-to8on2pj9x
    @user-to8on2pj9x26 күн бұрын

    Yani umeulizwa swali ktk quruan unajibu ktk biblia wewe NDACHA anakubatiza

  • @ShafiunaWaziri-vz7bi

    @ShafiunaWaziri-vz7bi

    26 күн бұрын

    Bibilia katumia kama mfano kuku elekeza Yani ww ni bure ata mtu anakufananishia ili uwele Bado ufaham aisee ata yesu aje pia uwezi elewa

  • @UmarMasudi-so2hi

    @UmarMasudi-so2hi

    26 күн бұрын

    ​@@ShafiunaWaziri-vz7bikwanza iyo qur'ani huiyamini😂😂😂

  • @paulmushi2428
    @paulmushi242826 күн бұрын

    Mimi Uislamu naufahamu Sina haja ya kukuuliza maswali wewe Shafii

  • @user-mc2xd4eu2p

    @user-mc2xd4eu2p

    26 күн бұрын

    Ungeufahamu uislamu usingekuwa kafiri acha porojo

  • @nubianqueen6700

    @nubianqueen6700

    26 күн бұрын

    Kama ukristo haufahamu uislamu ndo utaweza???

  • @paulmushi2428

    @paulmushi2428

    26 күн бұрын

    ​@@user-mc2xd4eu2p Kafiri ni mtu anaye Swali na kusujudu kuelekea Qibra Makka kwenye Kaaba yenye Jiwe jeusi yaani Al hajar Al aswad akidhani anamsujudia Mwenyezi Mungu kumbe jiwe

  • @josephatadam727

    @josephatadam727

    26 күн бұрын

    ​@@user-mc2xd4eu2p sasa aliyekwambia kila mtu anaupenda uisilamu nani we kweli akili huna

  • @mobutu3884

    @mobutu3884

    26 күн бұрын

    ​@@user-mc2xd4eu2phakuna mtu anaufahamu uislamu atabaki kuwa muislamu, ukiona wewe ni muislam ujue huufahamu uislamu bali unamezeshwa na walimu wako wasioufahamu au wanaufahamu ila wameamua kupambania tonge 😂

  • @ShafiunaWaziri-vz7bi
    @ShafiunaWaziri-vz7bi26 күн бұрын

    Yani wanapewa mifano katika bibilia yao ili waelewe bado wanapinga ndomana yesu alisema watu wangu watu wangu wamepotea baada wafate ya mungu wanayafata ya kina ndacha sasa ata aje yesu itakuwa kazi bure she anajalibu kulinganisha maneno kwa kutumia bibilia yao bado hawaelewi kazi ipo aisee duh

  • @shabamuhidin634

    @shabamuhidin634

    26 күн бұрын

    😂

  • @shabamuhidin634

    @shabamuhidin634

    26 күн бұрын

    unajua ni imani waliingiziwa kwa njia ya mdomo,sasa ukija kwa maandiko wanapata vitu tofauti😂 sasa wanabaki na ubishi au ushabiki

  • @mobutu3884

    @mobutu3884

    26 күн бұрын

    Nyie mnaona kajibu kwa sababu hamjui maandiko kusoma aya za Biblia haimanishi ndio majibu na hapo ndipo alipowakamata kwa sababu hamjui maandiko na atawapeleka sana 😂

  • @Nim68182

    @Nim68182

    26 күн бұрын

    ​@@shabamuhidin634Kwan nyinyi muliingizwa kwann?? Si kwa damu au

  • @mobutu3884

    @mobutu3884

    26 күн бұрын

    @@shabamuhidin634 inabidi ujue uislamu ulien kwa upanga ndio maana hadi leo mtu akihama uislamu adhabu yake ni kifo au ulikuwa hulijui hilo? Someni hayo hamtaambiwa na walimu wenu

Келесі