Kwanini Ukiristo Sio Dini ya Haki-Ustadh Shafii Akijibu Swali la Muulizaji wa Kikiristo

usisahau ku subscribe channels hii

Пікірлер: 162

  • @musayosia4081
    @musayosia408121 күн бұрын

    Naam toa elimu sheikh wangu na mwenyezi mungu atakulipa mema duniani na mbinguni inshaallaah ❤🙏

  • @user-iz1er8vg7u
    @user-iz1er8vg7u21 күн бұрын

    Dini ya haki mbale ya mwenyenzi Mungu ni uislam

  • @paulmushi2428

    @paulmushi2428

    21 күн бұрын

    Hayo siyo maneno ya Mwenyezi Mungu ni mtu au jini anasema

  • @msackmedia6866

    @msackmedia6866

    21 күн бұрын

    @@user-iz1er8vg7u cjui wamelishwa nn hili neno hakia dini ya haki ni uislam limewashika wengi , Na tumekuteremshieni kitabu kwani nini asiseme Nimekuterwmshieni kitabu ambacho, kama ni Mungu maana Mungu ni mmoja na sio wengi kwann aseme Tumekuteremshieni badaya ya nmekuteremshieni

  • @user-ht2dl4ft6n
    @user-ht2dl4ft6n20 күн бұрын

    Yohana 14:6 inasema mimi ndimi njiya yakweli nauzima mtu afiki kwababa bila yamimi sikiliza ayo maneno aisemi mimi ndimi njiya yawaisraeli muisraeli afiki kwababa bila ya mimi kwani shafi wewe nimwalimu wawapi unapotosha mahanadiko nakatika bibilia imeandikwa kama nyinyi niwakristo basi mumejuwa uzao wa ibraimu kwani utanaka utuambiye kama ibraimu ataenda motoni. Natana katika bibiliya imeandikwa nyinyi niwakristo na kristo niwa Mungu sisi niwakristo kwasababu tunamufata kristo kwani sasa aya mahandiko auyaonagi kweli haaaaa jamani tuache ushabiki

  • @paulmushi2428
    @paulmushi242821 күн бұрын

    Ni kweli Shafii, Allah wa Makka wa Muhammad aliyeko kwenye Kaaba yenye Jiwe jeusi hawezi kuutambua UKRISTO kwa sababu siyo Mwenyezi Mungu MUUMBA MBINGU NA ARDHI

  • @msackmedia6866

    @msackmedia6866

    21 күн бұрын

    Mungu kasema dini ya haki Mbele ya mwenyezi Mungu ni uislam 😅 kwann asiseme Mimi mwenyezi Mungu Uislam ni dini yangu Ya haki

  • @JeanMuzaliwa-bs6qh

    @JeanMuzaliwa-bs6qh

    21 күн бұрын

    ​@@msackmedia6866ndio Muhammad kasema si Mungu,wapi Mungu kasema ndani ya qu'ran dini ya kweli ni lslam?

  • @msackmedia6866

    @msackmedia6866

    21 күн бұрын

    @@paulmushi2428 waongo hawa ukisoma quran 2:97-98 inasema aliyetremsha quran ni adui wajibril yaana malaika wa Mungu na adui ww Mungu anajulikana ni muasi wa Mungu na malaika zake naye ni shetan

  • @nduwimanaamidou4009

    @nduwimanaamidou4009

    3 күн бұрын

    @@msackmedia6866 Quran Siyo gazeti ili uielewe lazma uisome kila Aya ya Quran inaandikwa kwa sababu maalumu apo iyo Aya ni Mungu anamwambiya mtume awaambiye watu wenye walikuwa wakiabudu masanamu na dini zingine sasa Mungu anamwambia mtume awaambiye hakika dini ya kweli mbele ya Mungu ni uislam ila weye ukisoma ty bila kujuwa sababu ya iyo Aya huwezi juwa kitu my Friend iyo njo Quran

  • @samuellubunga1728
    @samuellubunga172821 күн бұрын

    Dini ni kiarabu kishwahili ni njia Sasa sikiliza hii Yohana 14:6 mimi ndimi njia ya kweli na uzima mtu haji kwa baba Ila kwa njia ya mimi Yohana 1:14 mbali kila aliempokea aliwapa uwezo wa kufanyika wana wa Mungu Maneno ya mwisho ya Bwana Yesu anasema Mathayo 28:19 enendeni mkawafanye mataifa yote kua wanafunzi wangu mkiwabatiza kwa jina la Baba na la Mwana na La Roho mtakatifu Bila njia ya Yesu uwezi kuingia peponi

  • @zaidiissa3714

    @zaidiissa3714

    21 күн бұрын

    Kwahiyo yesu alipo sema skutumwa ila kwakondoo waliopotea wa nyumba ya Israel alidanganya ???

  • @samuellubunga1728

    @samuellubunga1728

    21 күн бұрын

    @@zaidiissa3714 soma yohana 1:11 hadi 14 Biblia sio ya kukariri Inasema alikuja kwa walio wake lakini awakumpokea mbali wote walio mpokea aliwapa uwezo wa kufanyika wana wa Mungu ndo wale waliaminilo jina lake Ndo mana akasema ninao kondoo wengine Ambao si wa zizi hili nao imenipasa kuwaleta Ili pawe na zizi moja na mchungaji mmoja

  • @user-rk1cp5qs9d
    @user-rk1cp5qs9d17 күн бұрын

    Asalam alaykum 🙏

  • @user-qo2xd3hb8l
    @user-qo2xd3hb8l21 күн бұрын

    Kungekua na wakristo wa kweli atungekua na njaa, wangebariki vyakula na watu wakashiba

  • @user-ht2dl4ft6n
    @user-ht2dl4ft6n20 күн бұрын

    Sikiya kwanza dini ya aki mbele ya mwenyezi Mungu ni Islamu sikiliza aya maneno siyo Mungu anasema Niya ya wislamu dini ya aki mbele yangu nimtu anasema Shafi Ayo manone unayo yasema eti amufati Yesu aya maneno utayalipiya Siku moja wewe tamba Leo lakini Siku moja utaliya nakusaga meno na mtume wako atakusaidiya

  • @MrRavini

    @MrRavini

    18 күн бұрын

    Hueleweki

  • @innocentndikumana8928
    @innocentndikumana892821 күн бұрын

    mashallah ukweri kunawuma

  • @wakeshojana
    @wakeshojana21 күн бұрын

    Yohana 3:36 "Yeyote anayemwamini Mwana ana uzima wa milele; asiyemtii Mwana hatauona uzima bali ghadhabu ya Mungu itakuwa juu yake daima.” AYA INASEMA "YEYOTE"...AWE NI MUISLAMU, MPAGANI ETC....AKIMUAMINI MWANA ..UZIMA ANAO!! ENDELEENI KUFWATA MAFUNZO YA UISLAMU YA KUMKANA MWANA....IPO SIKU!! MUISLAM CHAGUA KATI YA YOHANA 14:6 AU KORAN 46:9

  • @jacksonmwafongo1917

    @jacksonmwafongo1917

    21 күн бұрын

    Hao wanao ambiwa ni Wana wa Israel sio wewe

  • @wakeshojana

    @wakeshojana

    21 күн бұрын

    @@jacksonmwafongo1917 Kemea majini katika Jina La Yesu yawache kukuziba akili na macho usome na uelewe aya inasema YEYOTE, haija sema wa israel...kweli shetani ni mwongo!!

  • @kassimkingalu5255

    @kassimkingalu5255

    20 күн бұрын

    Waislamu wote wanamuamini Yesu kwa mafundisho yake sahihi sio ya Paulo lakini

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda131921 күн бұрын

    Baliveve what you believe because before this religious came to Africa we were having our own believe african calctur

  • @user-mf4km2gi9l
    @user-mf4km2gi9l20 күн бұрын

    Ila Ndugu zangu ukweli shafii kama mtu anakusikiliza Ili ajue atajua tu ila akisilikiza Kwa ushabiki bila kufunguka akili hataamini hata usome biblia yote namuomba ALLAH atuongoze na atusimamie

  • @chapchap-oz1ou
    @chapchap-oz1ou21 күн бұрын

    Aya ya nini au andiko lipi unataka linashinda Yohana 14:6 Yesu akawaambia, “Mimi ndiye Njia na Kweli na Uzima; mtu hawezi kufika kwa Baba bila kupitia kwangu. Watu watakaoenda MOTONI ni wanaomkana Mwana wa Mungu aliye hai!! Yohana 3:18 Amwaminiye yeye hahukumiwi; asiyeamini amekwisha kuhukumiwa; kwa sababu hakumwamini Mwana pekee wa Mungu.

  • @ismailmasoud6001

    @ismailmasoud6001

    21 күн бұрын

    Sasa ndio uitafute hiyo 'NJIA'....Yesu kishasema mtu haendi Kwa MUNGU ila Kwa njia ya mimi'..Sasa hiyo njia aliyoifundisha Yesu ni njia Gani..?...ndugu SOMA

  • @jacksonmwafongo1917

    @jacksonmwafongo1917

    21 күн бұрын

    Kwa Wana wa Israel we ni mwisrael?

  • @wakeshojana

    @wakeshojana

    21 күн бұрын

    @@ismailmasoud6001 Yesu mwenyewe ndiye Njia...Ukiamini na kukiri Yesu ni Bwana...alikuja akafa na kufufuka msalabani...unakuwa mfuasi wa Yesu Kristo...yaani Mkristo----sio dini manake dini haipeleki mtu kokote!!

  • @ismailmasoud6001

    @ismailmasoud6001

    21 күн бұрын

    @@wakeshojana ...MAANDIKO' yanasemaje ndani ya Biblia, 'JE DINI YAKO SIO MATARAJIO YAKO'..? Kwanza we mwenyewe unajichanganya unasema Yesu ndio njia ya kwenda Kwa MUNGU halafu hapohapo unasema Yesu ni MUNGU..🤣🤣🤣...bro your brain washed , Sasa Yesu ni njia ya kwenda Kwa MUNGU Gani ikiwa yeye ni MUNGU..? Lkn pia Yesu anasema anaifundisha njia ya MUNGU , hiyo njia ya MUNGU aliyoifundisha ni njia Gani ikiwa yeye ndio njia .?.🤣🤣🤣

  • @wakeshojana

    @wakeshojana

    21 күн бұрын

    @@ismailmasoud6001 Haya maandiko unayatoa wapi Ayu 4:6????? Yesu alifundisha mengi sana ambayo nyinyi mume funzwa kupinga.. Kwa mfano...alifunza ubatizo...mkaukataa. akafunza atauawa na siku ya tatu atafufuka ...mnapinga hilo.....akafunza tumfwate yeye ndiye NJIA....hamtaki....mnataka kufwata tu porojo za muhammd....na muhammad mwenyewe alikiri yeye ni kipofu hajui aendako wala wamfwatao...sasa ntakusaidiaje bro???

  • @wakeshojana
    @wakeshojana21 күн бұрын

    WAISLAM HAMUMFWATI AU KUMWAMINI YESU KRISTO.......YESU WENU NI BANDIA KWA JINA ISSA BIN MARYAM!!

  • @chapchap-oz1ou

    @chapchap-oz1ou

    21 күн бұрын

    Hehehehe...na kama walidanganywa na wakakubali issa bin maryam ndiye Yesu Kristo Mwana wa Mungu aliye hai....ni mangapi mengine ya uongo wanaamini? kuanzia allah, hiyo dini yao? Mbona allah mwenyewe hasemi yeye mwenyewe "dini ya haki mbele yangu"......ni watu ...tena si mmoja...ni watu wanamsemea?????

  • @ismailmasoud6001

    @ismailmasoud6001

    21 күн бұрын

    Ndio mawazo yenu yalipoishia, ..Kwa sababu biblia haijautaja ukristo mnasema dini sio muhimu..!..wakati biblia inawauliza nyie 'JE DINI YAKO SIO MATARAJIO YAKO'..bila dini umefeli.! Kwa sababu Yesu aliyoyafanya yote yanashabihiana na UISLAM mnasema Yesu na Issa ni tofauti..! Mkristo Mwanamke Leo hii anaenda nyumba ya IBADA na nguo za ajabu...mkiambiwa mnasema MUNGU atizami mavazi , ..Kwa hiyo mnahamasisha wanawake watembee hata na Chupi Kwa sababu MUNGU haangalii mavazi...wakristo mnapotea sana Kwa kukokotoa MAANDIKO' visivyo..! Leo hii huyohuyo Yesu unaesema hafanani na Issa ni jambo Gani la Ibada alilifanya ambalo wewe unalifanya...utagundua ni blah blah hakuna..! Yesu hakuingia kanisani Yesu Alisujudu Yesu alivaa kanzi Yesu aliamini Kuna MUNGU nyie mnamfanya yeye ndio MUNGU.! Yesu anasema 'NA UZIMA WA MILELE NDIO HUU, WAKUJUE WEWE MUNGU WA PEKEE WA KWELI ,NA YESU KRISTO ULIYEMTUMA'....haya maandiko hamuyaoni , Ndugu someni acheni kufuata hisia za kikanisa kabisa

  • @ashrafnuru6402

    @ashrafnuru6402

    21 күн бұрын

    Kwanza hata Hilo jina Yesu Kristo jina la kupangwa ambalo waanzilishi ni wagiriki, sasa tumbie jina Lake halisi alilopewa na mama yake baada ya kuzaliwa maana ukisema Masihi ni cheo siyo jina,, sasa niambie jina Lake alilopewa baada ya kuzaliwa na mama yake

  • @wakeshojana

    @wakeshojana

    21 күн бұрын

    @@ismailmasoud6001 Bro ubishi mwingi umeandika lakini ni uongo mtupu!! Biblia utasoma lakini hutaielewa ukiwa muislamu!! Kwa kifupi najibu point zako hivi... 1. Yesu hakuingia kanisani - Yesu aliingia Kanisani - Luka 4:17 2. Yesu Alisujudu - Yesu akisujudu alikuwa tayari amefanyika mwili akawa mwanadamu...Mjue Yesu Kristo kabla. 2. Yesu alivaa kanzu...Kanzu na buibui ni fashion/mavazi ya karne ya kwanza mabayo waislamu wamekwamilia mpaka leo...infact, desturi na sala zezu mume-copy mafarisayo....watu ambao walimpinga Kristo kipindi kile, kama mnavyo mpinga kipindi hiki!! 3. Yesu aliamini Kuna MUNGU nyie mnamfanya yeye ndio MUNGU.!... Yesu alipifanyika mwili ilibidi aishi kama mwanadamu Yohana 1:14.. lakini hakusahau asili yake - Wafilipi 2:6... 4. Yesu anasema 'NA UZIMA WA MILELE NDIO HUU, WAKUJUE WEWE MUNGU WA PEKEE WA KWELI ,NA YESU KRISTO ULIYEMTUMA'.... MITUME NI WENGI 👆👆KUANZIA ADAM.....LAKINI YESU ANASEMA WAKUJUE WEWE NA ADAM, AU IBRAHIM, AU MUSA AU NABII YEYOTE? Inasema wakujue Wewe Mungu NA Yesu kwa uzima wa milele.....nyinyi muhammad akawababaishia Yesu Halal na yesu haram kwa jina issa bin maryam....

  • @wakeshojana

    @wakeshojana

    21 күн бұрын

    @@ismailmasoud6001 Bro hakuna siku muislamu atasoma Biblia na kuielewa...... 1. Yesu hakuingia kanisani - Aliingia Luka 4:17 2. Yesu Alisujudu - Kwa Baba ....allah ni tasa hazai!! 3. Yesu alivaa kanzi - Fashion/mavazi ya 1st century 4. Yesu aliamini Kuna MUNGU nyie mnamfanya yeye ndio MUNGU.! - Mungu ni Baba na yeye ni Mwana ...hata hivyo hakusahau Uungu wake - Wafilipi 2:6 5. Yesu anasema 'NA UZIMA WA MILELE NDIO HUU, WAKUJUE WEWE MUNGU WA PEKEE WA KWELI ,NA YESU KRISTO ULIYEMTUMA' Kwa hiyo 5 ...Mitume ni wengi....lakini kwa Uzima wa Milele ni Mungu na Yesu...sio Mungu na Ibrahim, au Mungu na Suleiman au Mungu na musa au mtume yeyote mwingine yule.......Ni Mungu NA Yesu Kristo. FUNGUKA MACHO NA AKILI BRO UUJUE UKWELI UKUWEKE HURU!!

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda131921 күн бұрын

    On this line we don't need discussion of religious aguimemt why because Africa we lean from wait skin from Arab to national and uropian country western country but this books with full of ward let africa read so much and training family and family forgot sensitive resources been taken by seem peaple creat clouth shoes cars ship and so many things been creat by wait skin but we Africa aguing with religious wich it can't even 50 years to come our aguing will not achieve creat even machine to make tooth stick clean our teeth what is the purpose of Africa aguing on such thing

  • @chapchap-oz1ou
    @chapchap-oz1ou21 күн бұрын

    Dini zote duniani zimeanzishwa na binadamu! Mungu hana dini. Yesu hana dini. Hakuna nabii wa Mungu alihubiri jiunge na dini au dini ile. MFUASI WA YESU NI MKRISTO... Dini ni kiarabu na kiswahili ni Njia. Yesu Kristo, Alpha na Omega....alikuja akatangaza wazi wazi yeye ndiye Dini/Njia ya kumfikia Mwenyezi Mungu. Yohana 14:6 6 Yesu akawaambia, “Mimi ndiye Njia na Kweli na Uzima; mtu hawezi kufika kwa Baba bila kupitia kwangu." Hakuna shortcut...NI YESU TU!! Waislamu wamefunzwa kumkana Yesu Kristo Mwana wa Mungu aliye hai na ni HASARA KWAO kwa mujibu wa Yohana 3:18/36

  • @ismailmasoud6001

    @ismailmasoud6001

    21 күн бұрын

    Kwa MAANDIKO ya kiislam tumeambiwa UISLAM NDIO DINI YA HAKI.....Sasa ikiwa dini sio muhimu hiyo Kwa upande wako na Kwa sababu hamna MAANDIKO' kwenye kitabu chako kinachosema ukristo ni dini basi Baki na mawazo hayo....na kama kitabu chako kingesema UKRISTO NI DINI usingesema dini Haina maana, ndani ya biblia Yesu anasema 'JE DINI YAKO SIO MATARAJIO YAKO'? Ndugu tafuta dini , bila dini ya kweli ujue umefeli, hayo Yako mengine ni blah blah tu'

  • @yohana1242

    @yohana1242

    21 күн бұрын

    ILA ALIWAAMBIA WANA WA ISRAEL SIO WW

  • @wakeshojana

    @wakeshojana

    21 күн бұрын

    @@ismailmasoud6001 uislamu dini ya mchongo baada ya muhammad kukutana na "jibri;" pangoni.....hakuna mahali popote pale ilitabitiwa muhammad atakuja na dini uislamu!!

  • @wakeshojana

    @wakeshojana

    21 күн бұрын

    @@ismailmasoud6001 uislamu ni dini ya mchongo.....muhammad alidanganywa na jini limevalia sura ya malaika Jibril aanzishe dini ya kupinga Biblia, Mungu na Mwana wake!! 2 Wakorintho 11:14 "Wala si ajabu. Maana Shetani mwenyewe hujigeuza awe mfano wa malaika wa nuru"

  • @wakeshojana

    @wakeshojana

    21 күн бұрын

    @@yohana1242 Nikitumia akili kama zako nitakujibu uislamu ni dini ya waarabu.....manake ilianza nyumbani mwake na mke wake ndo alishawishi ni "jibril" alimtembelea pangoni....jiulize ni kwani huyo jibril hakumwambia hapo hapo yeye ni nabii.....na badala akambana mbavu karibu zivunjike.....tumia akili za kuzaliwa bro!!...

  • @MollelSirikwa
    @MollelSirikwa21 күн бұрын

    Depe tupu haliachi kulia

  • @shabamuhidin634
    @shabamuhidin63421 күн бұрын

    Ata uku mitaani tunaskia watu wakisema kuna Dini ya Ukristo cha ajabu kwenye Bibilia maneno hayo ya Ukristo Dini hakuna! sa sjui labda huenda imeandikwa kwenye magazeti

  • @paulmushi2428
    @paulmushi242821 күн бұрын

    Shafii unajitungia maswali na kujifanya umeulizwa maswali na kuyajibu😅😅 yaani unajitekenya nà kicheka Mwenyewe

  • @wakeshojana

    @wakeshojana

    21 күн бұрын

    SHETANI ANA NGUVU SANA BRO KKKKKKKK

  • @zaidiissa3714

    @zaidiissa3714

    21 күн бұрын

    Kwani yesu alipo sema skutumwa ila kwakondoo waliopotea wa nyumba ya Israel aliongea uongo??? Au kaongea ukweli???? Au yesu hajielewi???? Wewe ndio unaelewa kumzidi unamaanisha mungu hajamtuma hivyo ???

  • @paulmushi2428

    @paulmushi2428

    21 күн бұрын

    ​@@zaidiissa3714 YESU kaja Kwa ajili ya watu wote kuanzia Waisraeli na Mataifa yote au Ulimwengu MZIMA ndiyo maana aliwatuma wanafunzi wake Soma Biblia MATHAYO 28: 18-20 ; MARKO 16: 15-16 ukitaka Maandiko mengine nitakuongezea

  • @wakeshojana

    @wakeshojana

    21 күн бұрын

    @@zaidiissa3714 Kuna sababu Yesu alimjibu mkanaan alivo mjibu! mkanaani alikwenda kwa Yesu kwa misingi ya dini....ni kama muslamu aende kwa mchungaji wa kikristo (ambaye mnawaita kafiri) lakini bado ameshikilia dini yake. kwa kisa hicho. myahudi anamwita mkanaan mbwa(kafiri),,, Yesu alitaka mwanake ajifunze kwamba DINI haisadii mtu popote......yule mwanamke alipofunguka akili, akamuita Yesu BWANA.... Yesu akamwambia IMANI yako imekuokoa...hakusema DINI yako....bali imani yako.... Ndio mara nyingi sisi huwaambua Ukristo sio DINI...ni IMANI kwa Kristo!! Kasome tena kisa hicho kwa mtazamo mpya!!

  • @nduwimanaamidou4009

    @nduwimanaamidou4009

    3 күн бұрын

    @@zaidiissa3714dada awa watu sijawai kuwaelewa Yesu peke yake anajisemea hajatuwa ila kwakondo walio potea wa nyumba ya Israel siyo iyo iyo tu walipi muuliza Yesu wanafunzi wake wakasema sasa Yesu sisi tulio kufata na tukaacha kila kitu tutapata nini Yesu akawajibu tena kwakusisitiza akasema kwamba ulio mfata yeye na kuacha kila kitu watapata uzima wa milele huko mbinguni na watakuwa ni kabila 12 zawana wa Israel na vitu vitakuwa 12 vy kabila na Israel ila awa watu nimaskio ya kufa hayasikiyagi

  • @JeanMuzaliwa-bs6qh
    @JeanMuzaliwa-bs6qh21 күн бұрын

    shafi mm nimekusubiri useme kristo si dini ya kweli,maana kweli na haki vitu viwili tofauti elewa iyo,kwanza dini yetu si ukristo bali dini yetu ni kristo,wafuasi wake wanaitwa wakristo tabia yao ndio ukristo!

  • @zaidiissa3714

    @zaidiissa3714

    21 күн бұрын

    Lakini usisahau maneno ya yesu amesema hakutumwa ila kwakondoo waliopotea wa nyumba ya Israel au haya maneno hakuyasema mwenyewe yesu na mdomo wake??? Au unataka kusema yesu pamoja Natalie mtuma ambae nimungu wajielewi ???

  • @JeanMuzaliwa-bs6qh

    @JeanMuzaliwa-bs6qh

    21 күн бұрын

    @@zaidiissa3714 usisahau pia Muhammad si mtume wa Mungu,Mungu ajawayi kutuma mtume anaitwa Muhammad never

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    21 күн бұрын

    ​@@JeanMuzaliwa-bs6qhyesu ndiyo mungu?

  • @JeanMuzaliwa-bs6qh

    @JeanMuzaliwa-bs6qh

    20 күн бұрын

    @@Catherine-mh8sw vp allah ni Mungu wa kweli?

  • @MwalimuFaki
    @MwalimuFaki21 күн бұрын

    jamani tusikilize maneno ya watu tusomeni maandiko yote na historian sawa wakrst na waisla ili tujuwe wap kweli

  • @abuhassan9552
    @abuhassan955221 күн бұрын

    Shekhe Suali langu nihivi Kama tunavo jua INJIL imeriwa mikono ya watu je nahi Tawrat ya Mayahudi aneongea nini kuhusu uislamu ama pia inetiwa mikono ???

  • @joseph-masija
    @joseph-masija21 күн бұрын

    Siku ukijua kwamba uislamu umetoka kwa wakatoliki ili kupinga mafundisho ya biblia. Ndipo utajuta kuingia katika hii philosophy....islam ni fumbo kubwa kama ulivyo ukatoliki. mmejaa siri nyingi mnaficha.

  • @paulmushi2428
    @paulmushi242821 күн бұрын

    Qur'an 3:19 Dini ya haki mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu 😂😂😂😂 Hapo hasemi Mungu hapo anasema Mtu mwingine!! Hata Mimi naweza kusema kabila la haki mbele ya Mwenyezi Mungu ni Wachaga je hapo atakuwa kasema Mwenyezi Mungu?

  • @chapchap-oz1ou

    @chapchap-oz1ou

    21 күн бұрын

    Ni majini yanasema.....allah koran nzima ni bubu!!

  • @rayisadesigns2646

    @rayisadesigns2646

    21 күн бұрын

    WEWE MAPULI NA WEWE CHAPWACHAMPWA MMEVUTA BANGE ZA WAPI?! MBONA KUBWABWAJA HOVYO?!

  • @paulmushi2428

    @paulmushi2428

    21 күн бұрын

    ​@@rayisadesigns2646 Ili Uislamu iwe ni Dini ya Mwenyezi Mungu toa Aya ndani ya Qur'an inayosema MIMI MWENYEZI MUNGU MUUMBA MBINGU NA ARDHI Dini yangu ni Uislamu binadamu ifuateni!!

  • @amoschacha2885

    @amoschacha2885

    21 күн бұрын

    ​@@paulmushi2428akili ndogo tu hizo hapo Mungu ndo anamtuma jibrii kwa muhammad kama sema dini ya khaki ni uisilam nyie mafeli wapi

  • @user-ob2ik5gy1b

    @user-ob2ik5gy1b

    21 күн бұрын

    Siii mtu kasema bali ni Mwenyenzi. Mungu.

  • @paulmushi2428
    @paulmushi242821 күн бұрын

    Ili dini ya Kiislamu iwe ya Mwenyezi Mungu naombeni aya ndani ya Qur'an inayosema MIMI MWENYEZI MUNGU MUUMBA MBINGU NA ARDHI Dini yangu ni Uislamu😅😅😅

  • @MohamedAhmada-ie7ke

    @MohamedAhmada-ie7ke

    21 күн бұрын

    Unaskiliza au umekuja na matokeo yako mfukoni, maana uyo unae muangalia apo mbaka aya ya Qur'an ametoa

  • @paulmushi2428

    @paulmushi2428

    21 күн бұрын

    ​@@MohamedAhmada-ie7keAya zote alizotoa hasemi Mwenyezi Mungu!! Ili Uislamu iwe ni Dini ya Mwenyezi Mungu naomba Aya ndani ya Qur'an inayosema MIMI MWENYEZI MUNGU MUUMBA MBINGU NA ARDHI Dini yangu ni Uislamu binadamu ifuateni

  • @MohamedAhmada-ie7ke

    @MohamedAhmada-ie7ke

    21 күн бұрын

    @@paulmushi2428 Izo aya kumbe unataka unavo taka ww sio Mungu eety

  • @paulmushi2428

    @paulmushi2428

    21 күн бұрын

    ​@@MohamedAhmada-ie7ke 3:19 Hiyo Aya inaonyeshe hasemi Mwenyezi Mungu Mwenyewe!! Kwani hata Mimi naweza kusema tu Dini ya Haki mbele ya Mwenyezi Mungu ni Buddha!! Swali hapo atakuwa kasema Mungu?? Jitafakarini nyie na Aya hizo za Qur'an

  • @jumamohamed3168

    @jumamohamed3168

    21 күн бұрын

    Acha ujinga wewe kaa jifunze mambo.

  • @paulmushi2428
    @paulmushi242821 күн бұрын

    Sisi WAKRISTO hapo kwanza tuliitwa WATU WA KRISTO NA YESU KRISTO NDIYO MWANZILISHI WA IMANI KATIKA KRISTO

  • @MohamedAhmada-ie7ke

    @MohamedAhmada-ie7ke

    21 күн бұрын

    Maana ya kristo unaijua 😂😂

  • @zaidiissa3714

    @zaidiissa3714

    21 күн бұрын

    Sasa haya maneno ya yesu anavyo sema sikutumwa ila kwakondoo waliopotea wa nyumba ya Israel alioyaongea yesu niyakweli au uongo???

  • @chande2k250

    @chande2k250

    21 күн бұрын

    Wakristo mliitwa baada ya yesu kufariki after 12 yrs antokia yesu akuacha DINI ukristo na wala hakuwahi kuingia kanisani

  • @paulmushi2428

    @paulmushi2428

    20 күн бұрын

    ​@@chande2k250YESU KRISTO Mwenyewe aliwaita waliomfuata WATU WA KRISTO MARKO 9: 14 na hapo Antiokio sehemu hiyo ndiyo Ilikuwa mara ya kwanza hapo watu kuitwa Wakristo soma vizuri Biblia uelewe

  • @paulmushi2428

    @paulmushi2428

    20 күн бұрын

    ​@@chande2k250 YESU Mwenyewe ndiyo DINI maana yake NJIA na KANISA maana yake ni kusanyiko la watu wanomwamini YESU KRISTO siyo Jengo

  • @barakamwita3263
    @barakamwita326321 күн бұрын

    Ila waislam muda mwingine wanajitoa ufahamu, hakna manabii wa kabla ya Mohamed alkua muislam kakua wote walikua wanamtambua Mungu kama ni Baba yao , ila gafla anakuja mohamed anapinga kua Mungu sio baba sasa inawezekana vip kuwa walikua waislam

  • @amoschacha2885

    @amoschacha2885

    21 күн бұрын

    Manabii wote walikuwa waislam hakuna nabii mkristo toka Adam. Yesu hadi mtume wa mwisho na wa umma huu Mtume Muhammad sw

  • @barakamwita3263

    @barakamwita3263

    21 күн бұрын

    Unajua unachokisema kwel ,Muite Mungu baba sasa uone kama wwe utabak kua muislam

  • @paulmushi2428

    @paulmushi2428

    21 күн бұрын

    ​@@amoschacha2885 Acha kujidanganya, kuanzia Adamu Nuhu Ibrahimu Musa mpaka YESU KRISTO hakuna Nabii aliyekuwa Mwislamu Wala harufu ya Uislamu!! Muhammad ndiyo kaamrishwa awe wa Mwanzo wa Wenye kusilimu!!

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    21 күн бұрын

    ​@@paulmushi2428kabla ya ujahudi na ukristo kulikuwa na dini gani

  • @paulmushi2428

    @paulmushi2428

    20 күн бұрын

    ​@@Catherine-mh8sw Kulikuwa na maelekezo ya Mungu Mwenyewe Kwa Adamu, Nuhu, Ibrahimu, ya jinsi ya kumcha Mungu lakini siyo Uislamu abadani

  • @paulmushi2428
    @paulmushi242821 күн бұрын

    Neno dini la Kiarabu maana yake ni NJIA na YESU KRISTO MWANA WA MUNGU ALIYE HAI anasema MIMI ndimi NJIA na Kweli na UZIMA mtu haji Kwa Baba ila Kwa NJIA ya MIMI!! HIVYO DINI YETU (NJIA ) SISI Wakristo ni kufuata YESU KRISTO na Mafundisho yake! Hallelujah hallelujah 😀😀

  • @jumajaffary9698

    @jumajaffary9698

    21 күн бұрын

    Mungu anazaa au anaumba, ili azae lazima awe jinsia

  • @MidoMidomore

    @MidoMidomore

    21 күн бұрын

    kwa hiyo Yesu ndio dini,sio tena mtoto wa mungu?

  • @paulmushi2428

    @paulmushi2428

    21 күн бұрын

    ​@@MidoMidomoreMafundisho yake ndiyo NJIA YA KWELI KUFIKA KWA MUNGU

  • @paulmushi2428

    @paulmushi2428

    21 күн бұрын

    ​@@jumajaffary9698 Mwenyezi Mungu anazaa Kwa neno (tamko) ila Allah wa Muhamad Hana huo uwezo mpaka awe na mke

  • @cizaiddy7839

    @cizaiddy7839

    21 күн бұрын

    Nani ni njia we vipi ​@@MidoMidomore

  • @DakorTrony
    @DakorTrony21 күн бұрын

    Waislamu mtaenda motoni na hiyo dini yenu iliyoanzishwa na Muhammad na majini yake. Hamna lolote. Siri za waislamu na majini yao twazijua na vile majini yanawatesa watu. Wenye majini ni waislamu tuu

  • @chande2k250

    @chande2k250

    21 күн бұрын

    Nyie ndio wale wale msiokuwa na mashiko Zaidi ya kashifa ukiambiwa utle andiko huna

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    21 күн бұрын

    Wanaotolewa mapemo kanisani ni kina nani kama si wakristo wenzenu

  • @AmourAmour-ux3nm

    @AmourAmour-ux3nm

    20 күн бұрын

    Shida ni ujuwaji na kubebeshwa kasumba iv unazan kuielewa Quran ni rahisi hivyo Asili waswahili sis ni wavivu wa kusoma Ivi ushawah kukaa na kujiuliz wazazi wako walirithi na wakakurithish je ndo imetosha kwamba upo ktk njia ya hakki ifik wakati sikiliza wapinzani wako na wauliz waliosom ili upambanukiwe na hakki....wewe uislamu huujui na hiyo Quran huijui na kam wabisha nikuulize masuali kam hutonikimbia na sio wew tu hata hao wanaokubebesh kasumba hawaijui na kam huamini tufungue mjadala

  • @DakorTrony

    @DakorTrony

    20 күн бұрын

    @@Catherine-mh8sw waislamu wengi nawajua ni waganga na wachawi tena hatari. Uislamu umezaa terrorism na vitu nyingi na dini yao ya vita na majini

  • @Commonp

    @Commonp

    20 күн бұрын

    ​@@DakorTronylete fact acha kujitoa akili 😂😂😂

Келесі