Ustadh Shafii-Awapasua Ndacha na Mwenzio Daniel Mkomwa-Awapa Tahadhali kwa Kupotosha Maandiko
usisahau ku subscribe channels hii
Жүктеу.....
Пікірлер: 80
@AziziRajabu-mv8jz25 күн бұрын
Anae mhojinae mh akiri chetu chetu. Ila shekh Yuko pow
@Khatib-xp6fp28 күн бұрын
Namshauri ndacha nenda kasome kwa mashehe hutofukuzwa ukijua ndipo uje ujibizane la sihivo huwezi mpata hata mwislam mmoja
@ChristopherMalimbwi-pf6uw28 күн бұрын
Mashaallah..shekh shafii ...Allah akuhifadh
@bakarisahede953228 күн бұрын
Sheghe Shafi Allah akufanyie wepesi ktk maisha yako
@Jabir-y7m28 күн бұрын
Allah Akulipe kila lakheri Ustadh wangu...Allah Akujalie Umri Mrefu wa kheri na baraka na mwisho mwema...
@nurdiin400928 күн бұрын
Masha Allah
@user-tc9mf9om2b28 күн бұрын
Noma sana
@UessoSalimo-cd3mw28 күн бұрын
Mashallah from Moçambique
@samxx41128 күн бұрын
Mwalimu unafundisha na njia ya Mungu unajuwa kuifundisha
@suleymandachi78221 күн бұрын
Mimi sichukii wakristo wanaotukana Mtume Muhammad SAW na waislaam,wengi waliotukana wamebadili dini leo hii ni waislaam safi na wametubu wanaswali wanautetea uislaam Alhambdullilah
@FridayMwassa
13 күн бұрын
Waislam wengi wanaenda kwa yesu
@samxx41128 күн бұрын
Mwalimu mie naona midahalo haina haja zogo tu ila kwa hivi tunakuelewa vizuri sana
@maulidimanzi996427 күн бұрын
Sasa hapo nilichogundua mtangazaj na yeye ni mkiristo na anataka kuutetea apo ila hoja zote zinavunjwa break down salute sana shekhe shafii👋👋👋
@seifserenge334028 күн бұрын
Mhadhiri wetu uko poa na Allah akuongoze, akupe maarifa na ufahamu uzidi kutoa elimu kwa waislam na wasiokuwa waislam. Naamini wasiokuwa waislam iko siku wataujua ukweli na kuufata kwa uwezo wa Allah
@MedyTz-sj6fs28 күн бұрын
Allah akuhifadhi maalim
@ShamimHassan-qm1et28 күн бұрын
Ila ndacha anajua sana kukaza fuvu kikubwa tu apoteze watu kwa nguvu yoyote alafu siku ya mwisho awe mwenye kujutia
@saudaumar335427 күн бұрын
ndata rudi kwenu usijifanye wataka ujulikane rudi ukale nguruwe hata kenya sio kwenu huna mahali maskiin hachutaki kukuona kwenye mtandao shafii kiboko yako
@user-sc4jx4uo7e28 күн бұрын
Wape dawa shekhe wangu
@Denis_prudence23 күн бұрын
Ustadh fanya mjadala na Ndacha
@KIPEPE19
23 күн бұрын
HANA UWEZO WA KUFANYA MJADALA NA NDACHA. INATAKIWA KUJIPANGA
@user-oc3zv6wc7j25 күн бұрын
Viongozi wetu wa dini allah awape umri mrefu wenye amali njema inxhaallah 🤲 tunawapenda xana na hatuachi kuwaombea kwa allah cku zote, allah azd kuwapa nguvu 🤲🤝 Waislam Taqbiir🤲
@HabibuMohamed-n5k28 күн бұрын
Sheikh shafiii MASHAALLAH NATAKA KUWA MWANAFUNZI WAKO
@ustadhshafiionlinetv
28 күн бұрын
Karibu sana
@isayaogola873327 күн бұрын
😢unachanganya shafii
@SaleheAmiry-mx1yn
27 күн бұрын
Anachanganya nini sasa
@AliAli-lu7or20 күн бұрын
Huyo ndacha nimfano wakina abuu Jahli ukweli wanaujua ila wamechagua hii dunia ya
@MrRavini27 күн бұрын
Allah Akbar
@user-pl6ii9te1r25 күн бұрын
Kwakweli shaffi we nikiboko kwawakristo.nakufata Sana nikiwa Lubumbashi RDC
@jumanjenga768226 күн бұрын
Ndacha ni mtumbuizaji mkuu.Kuwatumbuiza watu Kwa uwongo.
@user-tz8zu2gt6u
26 күн бұрын
@@jumanjenga7682 kama vile sule amaje
@basilejuma27 күн бұрын
Huyu si kitu Kwa ndacha, mara ngapi anakihepa midahalo
@SaleheAmiry-mx1yn
27 күн бұрын
Wewe Acha uwongo hujuwi lolote
@hashimchaoga9566
27 күн бұрын
Angalia unafanya mdahalo na nani. Wengine hawajui kitu ila wanaganga njaa tu kuuza clips
@jimmymatheka269728 күн бұрын
Panga mahali basi tuone hapo Kwa uwanja
@IbrahimuKalota28 күн бұрын
Kweli kabisa shekh shafi hata mimi nasikitika kuona qur-an inasomwa kienyeji na sio kielimu Qur'an inahitaji elimu na sio porojo ndacha hana elimu ya qur'an mimi ni mwanafunzi lakini naona porojo kwa ndacha wazi wazi na sio elimu
@oscarwilliam834126 күн бұрын
We muungo yesu alibatizwa alafu malaika hawaoi Wala hawazaani
@salimchimwaga838428 күн бұрын
NILISEMA SIKU MOJA KUWA NDACHA HAMUWEZ SHAFII,KWA SABB YEYE ANATUMIA VITU VIWILI AMBAYO MTUME MUHAMMAD (S.A.W) QURAN NA SUNNA.
@Chrisblaze-beats
28 күн бұрын
Shafii anatumia maneno yake sio maandiko kwenye kila anachopinga. Alafu ni uongp unasalimia wenzako wakati kuna muda uko peke yako na unasalimia. Sasa kama wanachuni wanatoa ufafanuzi alafu anawapinga😅😅😅
@SalmaAbdul-zz7dy
28 күн бұрын
Uache ushabiki....SI usikilize ayo maandiko halafu uende ukatafute
@Chrisblaze-beats
28 күн бұрын
@@SalmaAbdul-zz7dy Maandiko yapi anatoa. Anaongea maneno 150 maandiko 10. Ndacha anaongea maandiko 150 maneno 10. Huyo akipata andiko moja ndio anakomaa nalo na tena unakuta ni kwenye hoja tano ndio anajibu moja na adiko hilo izo zingine anajibu na mdomo we unasema anamaandiko. Unaskia akitoa maandiko kweli? Emb kamskilize Ndacha tena uone tofati. Na yule anakupa ,Biblia, vifungu zaid ya kimoja, Quran vifungu na vifungu, Na vitabu mbalimbali vya mashehe wenu kama nyongeza na bado. Unasema shafii anahoja wakati anajibu hoja 5 kwa hoja1 tena kwa Quran tena line ambayo ye mwenyewe haielewi sa nyingine.
@SalmaAbdul-zz7dy
28 күн бұрын
@@Chrisblaze-beats umejitahidi kumtetea Kafiri mwenzio lkn ukweli utabaki ukweli ndacha hana maandiko na akitoa katika Quran au biblia huwa hayamalizi au anayapindisha....Mimi nafatilia sana na mpka midahalo yao huwa nasikiliza juzi TU trh 1/6 walikua na mdahalo.....tangu unaanza mpaka unamaliza andiko wapi yesu kasema Mimi ni Mungu hakutoa....
@Chrisblaze-beats
28 күн бұрын
@@SalmaAbdul-zz7dy Hahhaa Eti umeskiliza mwanzo mpka mwisho hukuskia wapibkasema Andiko la Mimi ni Mungu., sasa sio ndacha ngoja nikusaidie maana mmeshageuzwa misukule na Waganga kama Sule Sasa soma hii mistari hapa na urudie kila muda mpaka hicho kichwa nazi kitoke na uo unazi sio usome mbio mbio kuwahi kubisha soma uelewe. Hapa kuna maandiko kumi na ukitaka nyongeza kama hutaelewa ntakupa tena kutoka kwenye Biblia yanayosema kwamba Yesu ni Mungu: 1. **Yohana 1:1-14** - "Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu... Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu..." 2. **Yohana **10:30**** - "Mimi na Baba tu umoja." 3. **Yohana **20:28**** - "Tomaso akajibu, akamwambia, Bwana wangu na Mungu wangu!" 4. **Wakolosai 2:9** - "Maana katika yeye unakaa utimilifu wote wa Mungu, kwa jinsi ya kimwili." 5. **Tito **2:13**** - "Tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu." 6. **Waebrania 1:8** - "Lakini kwa habari za Mwana asema, Kiti chako cha enzi, Mungu, ni cha milele na milele;" 7. **Mathayo **1:23**** - "Tazama, bikira atachukua mimba, naye atamzaa mtoto mwanamume, nao watamwita jina lake Imanueli, yaani, Mungu pamoja nasi." 8. **Filipi 2:5-6** - "Iweni na nia ile ile ndani yenu ambayo ilikuwamo pia ndani ya Kristo Yesu; ambaye yeye mwanzo alikuwa yuna namna ya Mungu, naye hakuona kule kuwa sawa na Mungu kuwa ni kitu cha kushikamana nacho." 9. **Yohana 14:9** - "Yesu akamwambia, ... Aliyeniona mimi amemwona Baba;" 10. **Isaya 9:6** - "Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa, tumepewa mtoto mwanamume; ... naye ataitwa jina lake, Mshauri wa ajabu, Mungu mwenye nguvu, Baba wa milele, Mfalme wa amani." Sasa we nipe maandiko yanayopinga kwamba yesu sio Mungu? Nyie mnapinga bibilia kwa Midomo yenu.
@aishaarusha89428 күн бұрын
Ukweli kabisa ndacha ana matusi haswa haelimishi kazi kutukana mbwa yule yani mpaka unataumpige ngumi moja akafiye mbali yani yeye ndacha yupo kushindana na kutukana matusi
@evansmogusu8113
28 күн бұрын
Makende wewe
@aishaarusha894
28 күн бұрын
@@evansmogusu8113 ya baba yako mzazi habithi we😁
@jimmymatheka269728 күн бұрын
Shafii wewe ndo mwenye elimu kuliko sulle na mazinge?? Panga hyo mdhaalo tuone
@pastorafande14226 күн бұрын
Hilo andiko sio mathayo ni Marko, Kumbe pia wewe hujui
@salehrwigemagisa8126 күн бұрын
Nasemaga siku zote Ndacha anaropokaga tu wala hana elimu yoyote ya kumtisha muislamu mwenye akili safi. Ndacha ni elimuless guy ambae ana maneno mengi bila point.
Waislam ndy hawajui kitu nani kakwambia jini nikiumbe??jini niroho Tena c roho2 niroho chafu
@salimchimwaga838428 күн бұрын
MIMI MWENYEWE NIMEWAHI KUMSILIMISHA JINI KWA KUPITIA QURAN,NILIMSOMEA SHEMEJ YANGU AKAJA JINI NIKAJIBIZANA NAYE NA MWISHO AKASILIM NA KUWA MUISLAAM,SASA SIO KILA JINI NI SHETANI,WAPO MASHETANI YA KIJINI NA KIBINAADAM.
@richardchimba3800
27 күн бұрын
😂
@richardchimba380027 күн бұрын
Sisi tunataka ufanye mjadala naye tuone 😂
@makutanochristoph268927 күн бұрын
jini hana mke isipokuwa hao wote ni kizazi cha nyoka Ufunuo wa Yohana 12;7,8,9 Kulikuwa na vita mbinguni; Mikaeli na malaika zake wakapigana na yule joka, yule joka naye akapigana nao pamoja na malaika zake; nao hawakushinda, wala mahali pao hapakuonekana tena mbinguni. Yule joka akatupwa, yule mkubwa, nyoka wa zamani, aitwaye Ibilisi na Shetani, audanganyaye ulimwengu wote; akatupwa hata nchi, na malaika zake wakatupwa pamoja naye.
@nasserm.nasser508728 күн бұрын
Wahadhiri Wakristo huwa hawajibu hoja. Wao kazi yao kubwa ni kudeviate kutoka ktk topic kwa kutumia vitabu vya kijinga na kutumia mutashabihat Ukristo ni dhalalat. Muulize Mkristo akufahamishe kuhusu trinity bila kujichanganya. Hutomoata kamwe kwa sababu ni man made concept na hakuna nabii aliyefuata ujinga huu ila wote walikuwa ni watu wa tawheed
@Khatib-xp6fp28 күн бұрын
Mm siku zote nasema ndacha haijui qurani anajisomea tafsiri alafu anaenda sema akili yake
@user-tz8zu2gt6u28 күн бұрын
HHuyu Hana ufahamu na uisilamu , muisilamu kamili lazima awe na jini sule yuko wapi amemfinze shaffii kuhusu majini ju sule nimsomi kidogo
@harshimissah-wn3cc
26 күн бұрын
Akili zako hazikutoshi ww kafiri
@user-tz8zu2gt6u
26 күн бұрын
@@harshimissah-wn3cc wewe ka huna jini c muisilamu kamili wewe ni kafiri , utaongozwa aje uisilamu bila kuwa na jini na tena mbona unapinga qurani, wewe
@user-yv1gj2zn4z28 күн бұрын
Ndacha yeye anapata maslaha yeye hajali moto wa jahanamu
@makutanochristoph268927 күн бұрын
Yaani wewe kama hutaki ukristo labda hiyo quran ukachome moto au usome ukiwa umejifungia ndani kwasababu quran imejaa chokochoko za kuchokonoa biblia na wakristo, sasa nasisi hatuwezi kukaa kimya kwasababu biblia ni kitabu kilicho hai
@SaleheAmiry-mx1yn
27 күн бұрын
Wewe kama bibilia ni kitabu hai mbona hakitembei kama huna elimu kaa kimya
@makutanochristoph2689
27 күн бұрын
@@SaleheAmiry-mx1yn kiko hai kwasababu hoja za quran zote majibu yake yamo katika biblia hiyo ndo maana halisi ya uhai lakini quran hamna majibu
@hashimchaoga9566
27 күн бұрын
Sijui unazungumzia biblia gani kwani biblia zenu zinatofaitiana kwa idadi ya vitabu vilivyomo na ya Wayahudi haina agano jipya. Biblia ya Warumi au Waprostestanti au ya waarabu?!?!
@SaleheAmiry-mx1yn
27 күн бұрын
@@makutanochristoph2689 sawa unaweza kunambia kama Kuna aya kwenye bibilia yesu aliingia kanisani Mimi naacha uislamu nipe andiko kutoka kwenye bibilia
@hassanmohamedabdalla4108
25 күн бұрын
ww mkristo kitabu unaio amini kimeandikiwa nani? kama nichamungu lete msomo ndani y bibilia
@jumahenriquesgeraldo983728 күн бұрын
Ndacha ni mbwembwe tu, na wafuasi wake ni wajinga. Yule ni entertainer tuu. Hana lolote
Пікірлер: 80
Anae mhojinae mh akiri chetu chetu. Ila shekh Yuko pow
Namshauri ndacha nenda kasome kwa mashehe hutofukuzwa ukijua ndipo uje ujibizane la sihivo huwezi mpata hata mwislam mmoja
Mashaallah..shekh shafii ...Allah akuhifadh
Sheghe Shafi Allah akufanyie wepesi ktk maisha yako
Allah Akulipe kila lakheri Ustadh wangu...Allah Akujalie Umri Mrefu wa kheri na baraka na mwisho mwema...
Masha Allah
Noma sana
Mashallah from Moçambique
Mwalimu unafundisha na njia ya Mungu unajuwa kuifundisha
Mimi sichukii wakristo wanaotukana Mtume Muhammad SAW na waislaam,wengi waliotukana wamebadili dini leo hii ni waislaam safi na wametubu wanaswali wanautetea uislaam Alhambdullilah
@FridayMwassa
13 күн бұрын
Waislam wengi wanaenda kwa yesu
Mwalimu mie naona midahalo haina haja zogo tu ila kwa hivi tunakuelewa vizuri sana
Sasa hapo nilichogundua mtangazaj na yeye ni mkiristo na anataka kuutetea apo ila hoja zote zinavunjwa break down salute sana shekhe shafii👋👋👋
Mhadhiri wetu uko poa na Allah akuongoze, akupe maarifa na ufahamu uzidi kutoa elimu kwa waislam na wasiokuwa waislam. Naamini wasiokuwa waislam iko siku wataujua ukweli na kuufata kwa uwezo wa Allah
Allah akuhifadhi maalim
Ila ndacha anajua sana kukaza fuvu kikubwa tu apoteze watu kwa nguvu yoyote alafu siku ya mwisho awe mwenye kujutia
ndata rudi kwenu usijifanye wataka ujulikane rudi ukale nguruwe hata kenya sio kwenu huna mahali maskiin hachutaki kukuona kwenye mtandao shafii kiboko yako
Wape dawa shekhe wangu
Ustadh fanya mjadala na Ndacha
@KIPEPE19
23 күн бұрын
HANA UWEZO WA KUFANYA MJADALA NA NDACHA. INATAKIWA KUJIPANGA
Viongozi wetu wa dini allah awape umri mrefu wenye amali njema inxhaallah 🤲 tunawapenda xana na hatuachi kuwaombea kwa allah cku zote, allah azd kuwapa nguvu 🤲🤝 Waislam Taqbiir🤲
Sheikh shafiii MASHAALLAH NATAKA KUWA MWANAFUNZI WAKO
@ustadhshafiionlinetv
28 күн бұрын
Karibu sana
😢unachanganya shafii
@SaleheAmiry-mx1yn
27 күн бұрын
Anachanganya nini sasa
Huyo ndacha nimfano wakina abuu Jahli ukweli wanaujua ila wamechagua hii dunia ya
Allah Akbar
Kwakweli shaffi we nikiboko kwawakristo.nakufata Sana nikiwa Lubumbashi RDC
Ndacha ni mtumbuizaji mkuu.Kuwatumbuiza watu Kwa uwongo.
@user-tz8zu2gt6u
26 күн бұрын
@@jumanjenga7682 kama vile sule amaje
Huyu si kitu Kwa ndacha, mara ngapi anakihepa midahalo
@SaleheAmiry-mx1yn
27 күн бұрын
Wewe Acha uwongo hujuwi lolote
@hashimchaoga9566
27 күн бұрын
Angalia unafanya mdahalo na nani. Wengine hawajui kitu ila wanaganga njaa tu kuuza clips
Panga mahali basi tuone hapo Kwa uwanja
Kweli kabisa shekh shafi hata mimi nasikitika kuona qur-an inasomwa kienyeji na sio kielimu Qur'an inahitaji elimu na sio porojo ndacha hana elimu ya qur'an mimi ni mwanafunzi lakini naona porojo kwa ndacha wazi wazi na sio elimu
We muungo yesu alibatizwa alafu malaika hawaoi Wala hawazaani
NILISEMA SIKU MOJA KUWA NDACHA HAMUWEZ SHAFII,KWA SABB YEYE ANATUMIA VITU VIWILI AMBAYO MTUME MUHAMMAD (S.A.W) QURAN NA SUNNA.
@Chrisblaze-beats
28 күн бұрын
Shafii anatumia maneno yake sio maandiko kwenye kila anachopinga. Alafu ni uongp unasalimia wenzako wakati kuna muda uko peke yako na unasalimia. Sasa kama wanachuni wanatoa ufafanuzi alafu anawapinga😅😅😅
@SalmaAbdul-zz7dy
28 күн бұрын
Uache ushabiki....SI usikilize ayo maandiko halafu uende ukatafute
@Chrisblaze-beats
28 күн бұрын
@@SalmaAbdul-zz7dy Maandiko yapi anatoa. Anaongea maneno 150 maandiko 10. Ndacha anaongea maandiko 150 maneno 10. Huyo akipata andiko moja ndio anakomaa nalo na tena unakuta ni kwenye hoja tano ndio anajibu moja na adiko hilo izo zingine anajibu na mdomo we unasema anamaandiko. Unaskia akitoa maandiko kweli? Emb kamskilize Ndacha tena uone tofati. Na yule anakupa ,Biblia, vifungu zaid ya kimoja, Quran vifungu na vifungu, Na vitabu mbalimbali vya mashehe wenu kama nyongeza na bado. Unasema shafii anahoja wakati anajibu hoja 5 kwa hoja1 tena kwa Quran tena line ambayo ye mwenyewe haielewi sa nyingine.
@SalmaAbdul-zz7dy
28 күн бұрын
@@Chrisblaze-beats umejitahidi kumtetea Kafiri mwenzio lkn ukweli utabaki ukweli ndacha hana maandiko na akitoa katika Quran au biblia huwa hayamalizi au anayapindisha....Mimi nafatilia sana na mpka midahalo yao huwa nasikiliza juzi TU trh 1/6 walikua na mdahalo.....tangu unaanza mpaka unamaliza andiko wapi yesu kasema Mimi ni Mungu hakutoa....
@Chrisblaze-beats
28 күн бұрын
@@SalmaAbdul-zz7dy Hahhaa Eti umeskiliza mwanzo mpka mwisho hukuskia wapibkasema Andiko la Mimi ni Mungu., sasa sio ndacha ngoja nikusaidie maana mmeshageuzwa misukule na Waganga kama Sule Sasa soma hii mistari hapa na urudie kila muda mpaka hicho kichwa nazi kitoke na uo unazi sio usome mbio mbio kuwahi kubisha soma uelewe. Hapa kuna maandiko kumi na ukitaka nyongeza kama hutaelewa ntakupa tena kutoka kwenye Biblia yanayosema kwamba Yesu ni Mungu: 1. **Yohana 1:1-14** - "Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu... Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu..." 2. **Yohana **10:30**** - "Mimi na Baba tu umoja." 3. **Yohana **20:28**** - "Tomaso akajibu, akamwambia, Bwana wangu na Mungu wangu!" 4. **Wakolosai 2:9** - "Maana katika yeye unakaa utimilifu wote wa Mungu, kwa jinsi ya kimwili." 5. **Tito **2:13**** - "Tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu." 6. **Waebrania 1:8** - "Lakini kwa habari za Mwana asema, Kiti chako cha enzi, Mungu, ni cha milele na milele;" 7. **Mathayo **1:23**** - "Tazama, bikira atachukua mimba, naye atamzaa mtoto mwanamume, nao watamwita jina lake Imanueli, yaani, Mungu pamoja nasi." 8. **Filipi 2:5-6** - "Iweni na nia ile ile ndani yenu ambayo ilikuwamo pia ndani ya Kristo Yesu; ambaye yeye mwanzo alikuwa yuna namna ya Mungu, naye hakuona kule kuwa sawa na Mungu kuwa ni kitu cha kushikamana nacho." 9. **Yohana 14:9** - "Yesu akamwambia, ... Aliyeniona mimi amemwona Baba;" 10. **Isaya 9:6** - "Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa, tumepewa mtoto mwanamume; ... naye ataitwa jina lake, Mshauri wa ajabu, Mungu mwenye nguvu, Baba wa milele, Mfalme wa amani." Sasa we nipe maandiko yanayopinga kwamba yesu sio Mungu? Nyie mnapinga bibilia kwa Midomo yenu.
Ukweli kabisa ndacha ana matusi haswa haelimishi kazi kutukana mbwa yule yani mpaka unataumpige ngumi moja akafiye mbali yani yeye ndacha yupo kushindana na kutukana matusi
@evansmogusu8113
28 күн бұрын
Makende wewe
@aishaarusha894
28 күн бұрын
@@evansmogusu8113 ya baba yako mzazi habithi we😁
Shafii wewe ndo mwenye elimu kuliko sulle na mazinge?? Panga hyo mdhaalo tuone
Hilo andiko sio mathayo ni Marko, Kumbe pia wewe hujui
Nasemaga siku zote Ndacha anaropokaga tu wala hana elimu yoyote ya kumtisha muislamu mwenye akili safi. Ndacha ni elimuless guy ambae ana maneno mengi bila point.
Hivi ni wp ktk Bible majini yanazaliana??
kzread.info/dash/bejne/pmyH1ryLfrjInso.htmlsi=_zvW7FzXVmNhccin MTAZAME SHEIKH SALUM DAMBA ALICHOKISEMA HAPA
Waislam ndy hawajui kitu nani kakwambia jini nikiumbe??jini niroho Tena c roho2 niroho chafu
MIMI MWENYEWE NIMEWAHI KUMSILIMISHA JINI KWA KUPITIA QURAN,NILIMSOMEA SHEMEJ YANGU AKAJA JINI NIKAJIBIZANA NAYE NA MWISHO AKASILIM NA KUWA MUISLAAM,SASA SIO KILA JINI NI SHETANI,WAPO MASHETANI YA KIJINI NA KIBINAADAM.
@richardchimba3800
27 күн бұрын
😂
Sisi tunataka ufanye mjadala naye tuone 😂
jini hana mke isipokuwa hao wote ni kizazi cha nyoka Ufunuo wa Yohana 12;7,8,9 Kulikuwa na vita mbinguni; Mikaeli na malaika zake wakapigana na yule joka, yule joka naye akapigana nao pamoja na malaika zake; nao hawakushinda, wala mahali pao hapakuonekana tena mbinguni. Yule joka akatupwa, yule mkubwa, nyoka wa zamani, aitwaye Ibilisi na Shetani, audanganyaye ulimwengu wote; akatupwa hata nchi, na malaika zake wakatupwa pamoja naye.
Wahadhiri Wakristo huwa hawajibu hoja. Wao kazi yao kubwa ni kudeviate kutoka ktk topic kwa kutumia vitabu vya kijinga na kutumia mutashabihat Ukristo ni dhalalat. Muulize Mkristo akufahamishe kuhusu trinity bila kujichanganya. Hutomoata kamwe kwa sababu ni man made concept na hakuna nabii aliyefuata ujinga huu ila wote walikuwa ni watu wa tawheed
Mm siku zote nasema ndacha haijui qurani anajisomea tafsiri alafu anaenda sema akili yake
HHuyu Hana ufahamu na uisilamu , muisilamu kamili lazima awe na jini sule yuko wapi amemfinze shaffii kuhusu majini ju sule nimsomi kidogo
@harshimissah-wn3cc
26 күн бұрын
Akili zako hazikutoshi ww kafiri
@user-tz8zu2gt6u
26 күн бұрын
@@harshimissah-wn3cc wewe ka huna jini c muisilamu kamili wewe ni kafiri , utaongozwa aje uisilamu bila kuwa na jini na tena mbona unapinga qurani, wewe
Ndacha yeye anapata maslaha yeye hajali moto wa jahanamu
Yaani wewe kama hutaki ukristo labda hiyo quran ukachome moto au usome ukiwa umejifungia ndani kwasababu quran imejaa chokochoko za kuchokonoa biblia na wakristo, sasa nasisi hatuwezi kukaa kimya kwasababu biblia ni kitabu kilicho hai
@SaleheAmiry-mx1yn
27 күн бұрын
Wewe kama bibilia ni kitabu hai mbona hakitembei kama huna elimu kaa kimya
@makutanochristoph2689
27 күн бұрын
@@SaleheAmiry-mx1yn kiko hai kwasababu hoja za quran zote majibu yake yamo katika biblia hiyo ndo maana halisi ya uhai lakini quran hamna majibu
@hashimchaoga9566
27 күн бұрын
Sijui unazungumzia biblia gani kwani biblia zenu zinatofaitiana kwa idadi ya vitabu vilivyomo na ya Wayahudi haina agano jipya. Biblia ya Warumi au Waprostestanti au ya waarabu?!?!
@SaleheAmiry-mx1yn
27 күн бұрын
@@makutanochristoph2689 sawa unaweza kunambia kama Kuna aya kwenye bibilia yesu aliingia kanisani Mimi naacha uislamu nipe andiko kutoka kwenye bibilia
@hassanmohamedabdalla4108
25 күн бұрын
ww mkristo kitabu unaio amini kimeandikiwa nani? kama nichamungu lete msomo ndani y bibilia
Ndacha ni mbwembwe tu, na wafuasi wake ni wajinga. Yule ni entertainer tuu. Hana lolote
@BekhaChambaly
27 күн бұрын
shekh unajua sanaaaa na unahekma sana