Ndacha Aomba Mdahalo na Ustadh Shafii Alopoka Maneno Mengi Yasio na Maandiko
usisahau ku subscribe channels hii
Жүктеу.....
Пікірлер: 108
@yusufathman2478Ай бұрын
Ndacha njoo ufundishwe uislamu naona wataabika sana kutaka kuujua
@CharoHarrison-lf3jcАй бұрын
Majini wa kiislamu wamewaka kwenye coment, wacheni matusi vunjeni hoja za mwl. Ndacha,,, majini nyinyi
@seifserenge3340
Ай бұрын
Ndacha hujui tofauti kati ya majini, mashetani na malaika. Waulize wanaojua ikiwa hujui. Hayo unayozungumza ni uwongo mtupu
@favoritebrayo
Ай бұрын
@@seifserenge3340 wewe unajua tofauti ni nini?
@rayaalhabsi1725
Ай бұрын
@@seifserenge3340 kweli kabisa Mwenye Enzi Mungu amhidi yaarab
@rayaalhabsi1725
Ай бұрын
@@favoritebrayo angekuwa hajuwi asinge andika kwenye comment
@LovetalkinhАй бұрын
Ndacha iko wazi na isitoshe Ndacha Mungu kamuumba kusaidia hivi viumbe vilivyo potelea muwislamu, ndacha endelea nakuokowa hizo nafsi, zinazo teteya mungu wawao
@lewisomondi9059Ай бұрын
Ndacha unasema ukweli , hakuna mtu yeyote anawezana nawe , uko na elimu yenye sijai ona Duniani
@salimchimwaga8384
27 күн бұрын
Elim ya kuropoka??
@Shaban-om9jlАй бұрын
Assalamu aleykum waislam wenzangu, huyu Mzee msimpinge huyu anata ilim ili ajue uislam ni Dini ambayo ipo perfect
@johnmizunguofficial
Ай бұрын
Perfect kusali na majinji
@aminakenea9614Ай бұрын
Na wao wakisema Aslm alkm wanamsalimia nani tuambie
@franciscomtambakuluca2830Ай бұрын
Ndacha ni kiboko ya Waislamo
@samxx411
Ай бұрын
Soma ndugu yangu maisha ni mafupi na ukifa kaburini unakuwa peke yako, chunga sana na wachungaji.
@user-iz1er8vg7uАй бұрын
Wewe Una hakili
@ally_tz9627 күн бұрын
Sasa ndacha unapinga uwislam au unamtetea sure😂😂
@aminakenea9614Ай бұрын
Ndacha kama majini wanaswali, wao hua hawasemi Assalam mualaikum?
moto ni wa wote wenye wamekataa YESU ndugu yangu kwa hio jipange wewe
@nasserm.nasser508716 күн бұрын
Majini wa Kiislamu wanaheshima misikitini ndacha. Ukienda mskanisani utaona wakristo wanaingiliwa na majini na mapepo na kupagawa mpaka wanagalagala. Don't throw stones from a glass house, ndacha
Qoran6:128,wote=wanadamu,+,majini(mashetani au waovu,+wasio waovu) Wote tutakusanywa JE MTUME KAFUNDISHA HAYO,KAMA SIO HAPANA NI UDHAIFU WA MTU TUU.KITABU KAANDIKA BABU😂😂😂 LETE HOJA KTK QURAN YA ALLAH,ACHANA NA HIZO TUNGO ZA MABABU SOMA QURAN 6:112
@favoritebrayo
Ай бұрын
ebu soma vizuri watakusanywa wawekwe wapi
@samxx411Ай бұрын
Ndacha aliloliongea la kweli ni kuhusu huo mgogoro wa sule na shafi.
@kennah03mАй бұрын
Jitokeze. Ukoshwee😂😂
@IMRANITV1Ай бұрын
Unachanganya utamkaji wanaomajini au wanasalimiya majini wema na malaika,na watu, sio wanao acha ukafiri
@mohagurey2214Ай бұрын
Hii ni ushindani bila maana
@jumahenriquesgeraldo9837Ай бұрын
Yeye ndacha pia ni jinn anae muhasi Mungu maana anakubali malaika na anakataa majini waliosilimu
@favoritebrayo
Ай бұрын
eti anakataa majini sis haturuhusiwi kuchangamana na majini
@MwijakaSwalehe-dg4hwАй бұрын
Sasa hapo tatizo liko wp,mbona hutaja hao malaika
@ramadhanihudhaifani4376Ай бұрын
Wakristo,baadhi yao,hawaelewi tofauti kati ya JINI na SHETANI! Yani hapa ndipo shida kubwa ilipo! Iko hivi: 1. JINI ni kiumbe miongoni wa viumbe walioumbwa na Mungu! Yani kama vile WATU,MALAIKA,WANYAM,n.k. 2. SHETANI_hii ni sifa anayopewa kiumbe kutokana tabia yake. Hata mtu anaweza kuwa SHETANI! MAJINI kuwa wachamungu sio ajabu! Hata wanyama wanamuabudu Mungu. Maana Yeye,Mungu,Ndiye Muumba wao. Wakristo,chukuweni hiyo iwasaidie! Maana naona bado mna shida sana.
@favoritebrayo
Ай бұрын
na waislam nao hawajui kama majini wote ni wabaya hapo ndio shida ingine iko
@seifserenge3340
Ай бұрын
@@favoritebrayo majini wote sio wabaya kama vile ambavyo wanadam wote sio wabaya. Injoo katika UISLAM upate elimu au kaa huko huko katika ukristo wako ila nenda kwa walimu tu wakislam wakufundishe sio vibaya
@favoritebrayo
Ай бұрын
@@seifserenge3340 hio mnajua nyinyi waislam kwetu sisi majini ni malaika wa ibilisi
@FridayMwassa
25 күн бұрын
@@seifserenge3340Hii dunia aliumbiwa Adam na uzao wake, majini hapa siyo kwao,walimuasi Mungu ndipo wakafukuzwa mbinguni
Walipomuasi Mungu , wakaitwa mashetani , majinni ni viumbe wema , ambao hufuata amri za Mungu, wewe Ndacha mbona huelewi ?
@user-wm9hr7fx9l
28 күн бұрын
Hahahaha wew ndio kilaza kabisa
@FridayMwassa
25 күн бұрын
Eti majini ni viumbe wema wakati huo huo mnasema kuna majini wabaya
@Kuminamoja1995Ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@rizikiyahya5254Ай бұрын
UJANJA UJANJA MWINGI..
@user-gy5og1ts9nАй бұрын
😂😂😂😂😂 hawa wakiristo akili Zao bwana imagine mtu hoja zake sio za kielimu kiswahili kibovu eti wakiristo wanamshangilia😅😅😅
@BarakaZabron-py2fz
Ай бұрын
Kama hujui utofauti wa lugha na rafudhi unapata ujasili wa kumattack mtu kwasababu ya lugha?
@user-gy5og1ts9n
Ай бұрын
@@BarakaZabron-py2fz 😅😅😅nawewe mtetezi wake pia lugha mbovu,huwezi kusema rafudhi ili hali linaandikwa "lafudhi" hili ni neno la kiarabu likiwa na maana ya "matamshi" Lakini pia kesi nyingine sio ujasili inaandikwa "ujasiri" Huwezi kumtetea mkiristo mwenye dini mbovu wewe 📌📌📌kwanza kuweni waisilamu mtafundishwa vyote hivyo
@BarakaZabron-py2fz
23 күн бұрын
@@user-gy5og1ts9n sina haja na usahihi wa lugha,nina haja na kinachojadilia hapa. Usahihi wa lugha ilhali huna akili ni haikusaidii kitu
@user-do7ui5wi3nАй бұрын
Ww sio wa kwanza kuupinga uislamu jiulize wamefikia wapi ?
@FridayMwassa
21 күн бұрын
Hata wachawi wapo pia
@saudaumar3354Ай бұрын
ndata shafii hakuogopi wewe utakufa kifo kibaya maana umepata ujuzi kwa mazinge na sule chutambambana baadae majin wako watakutukua wewe
@hassanjuma2772Ай бұрын
Mm nawashangaa sana mashehe,kwa sababu huyu si wa kufanya nae mdahalo,huyu jamaa ni punguani na ukiwa unafanya mazungumzo na punguani wewe ndo unakuwa punguani,pia ukizungumza maneno ya kitoto kwenye watu wazima watu hawatayapa uzito maneno yako,huyu jamaa amefanana na ukoma ni lazima mukae na mbali
@martinmkoba361
Ай бұрын
Kwaiyo mnataka mfanye mdaalo na wasiojua eeh😢😢
@user-fq9dd4mu6y
Ай бұрын
Nikweli Ata me huwa nashangaa Sana apo muonekano Tu wa ndacha unaona kuwa Ni matatizo me ningekuwa shehe nisingefany mdahahalo Na uyu Ata kdg
@AbuwJuhaymah
Ай бұрын
Umeonge fact sana
@FridayMwassa
21 күн бұрын
@@user-fq9dd4mu6yJenga hoja utakubalika, lakini kwasababu wewe mbabaishaji ndiyo maana unaogopa
@muliamadi859Ай бұрын
Walikuwapo vigogo walio pambana na uislamu zaidi yako ila mwisho walisilim,ata wewe utabwekabweka ila ipo siku utanyamaza tu,kula kwanza ela za kanisa uneemeke.
@johnmizunguofficial
Ай бұрын
Actually uislam ni WA majin
@FridayMwassa
25 күн бұрын
Nani aliyesilimu ebu mtaje
@abdiqaanurow5924Ай бұрын
Uyu kafiri ata afanywe nini hawezi elemika lake ni motoni tu hakuna elimu ako nyo
@JeanMuzaliwa-bs6qh
Ай бұрын
kafiri ni nyie munaosafiri kwenda kubusu jiwe jeusi maccah,kama kuna wajinga duniani waislamu number 1!
@favoritebrayo
Ай бұрын
wewe ndio utaingia wa kwanza motoni watu wamejua uislam ni uwongo mtupu
@LovelyComputerChip-cj4wz
Ай бұрын
Kafiri ndo nini mwanzo hata Allah kafiri pia Kati ya macho yake pameandikwa neno kafiri
@raheemdon
Ай бұрын
@@JeanMuzaliwa-bs6qh na wale wanaoamini Mtu ni Mungu nao tuwaiteje??
@JeanMuzaliwa-bs6qh
Ай бұрын
@@raheemdon mtu gani unamzungumzia?
@mohamedmtahiyatu9113Ай бұрын
hakuna mkristo aliesoma wengi mambumbumbu
@favoritebrayo
Ай бұрын
nyinyi mmesoma na bado mko kwa giza balaa hii
@FridayMwassa
25 күн бұрын
Huna hata aibu kitabu chenu kinawaita wakristo na wayahudi kwamba ni watu wa kitabu iweje wewe mbumbumbu unakosoa kitabu chako
@favoritebrayo
25 күн бұрын
@@FridayMwassa kama hujielewi husibishane na watu
@seifserenge3340Ай бұрын
Kama wewe ndacha una haja ya kufanya mdahalo na Shafi basi muandikie barua tu mufanye huo mdahalo. Ya nini kuandikia mate na wino upo?
@user-ie3lw9eb6pАй бұрын
Hakuna mjinga kama huyu ndacha
@favoritebrayo
Ай бұрын
na mama yako na baba yako
@RamadhaniRamadhani-yd4hqАй бұрын
Shafii, tunakutegemea, huyu kafiri anawachokonoa sasa angalieni msije mkampa umaarufu
@favoritebrayo
Ай бұрын
kafiri ni waislam wooooote na majini na mungu wao shetani
@maulidimuhaniАй бұрын
ndacha anajifunza UISLAMU kupitia vitabu vya kuokota okota, kariakoo, NANI KASEMA MUISLAMU DALALI NA MIONGOZO YAKE ni vitabu kutoka MTORO KARIAKOO???
@FridayMwassa
25 күн бұрын
Unasema vitabu vya kichochoroni wakati vinauzwa kwenye maktaba za kiislamu
@mjombawallace4966Ай бұрын
Utashangaa wewe mbona ulisema hatutaki matusi na ndio wewe wakwanza kumtusi
@MwijakaSwalehe-dg4hwАй бұрын
We kafiri huna lolote unapotosha watu tu
@FridayMwassa
25 күн бұрын
Kipi amepotosha
@rayaalhabsi1725Ай бұрын
Wewe una ukosowa uislam ukiwa nani, huna lako moja majini ni viumbe kama wewe, wako walio fuata haqi na wapo walio kuwa kama wewe ambao hawana elimu .
@favoritebrayo
Ай бұрын
uislam ni dini ya shetani na malaika zake majini
@rayaalhabsi1725
Ай бұрын
@@favoritebrayo aha ndio maana kanisani wana towa mapepo, ama msikitini hatuja ona wala kusikia kuwa kuna mapepo
@rayaalhabsi1725
Ай бұрын
@@favoritebrayo Tuna mshukuru Allah kwa neema ya Uislam. Alhamdulilah Rabbil Aalamiin. Asa yaarab na wewe Allah aku onyeshe njia ilio sahihi
@favoritebrayo
Ай бұрын
@@rayaalhabsi1725 unajuwa maana ya mapepo ama wewe bado ni pepo mwingine??
@rayaalhabsi1725
Ай бұрын
@@favoritebrayo wewe ukiwa unajuwa inatosha
@allysaidlyambange4500Ай бұрын
Lete hoja kutoka ktk Quran,au bible.sio vitabu vya sunaa au kitabu cha papa vatcan
@mjombawallace4966
Ай бұрын
Zipo mtu wangu mtapewa
@DalaAbdallahАй бұрын
Huyo kafiri
@favoritebrayo
Ай бұрын
na allah pia ni kafiri wa kwanza
@RamadhaniLukambuziАй бұрын
Ndacha huna akili nzuri;Umesema majini hawawezi kuwa Wakristo hapo umekosea hata Wewe huwezi kuwa Mkristo kama dini yako ya kuabudia Mungu kwa sababu hakuna andiko lisemalo Ukristo ni dini kutoka kwa Mwenyezi Mungu,hata viumbe vyote vya Mwenyezi Mungu haviko katika misingi ya Ukristo hata siku moja!Niambie Ndacha ni andiko gani lisemalo kwamba mtu akiuwacha dini ya Ukristo amelaanika?
@FridayMwassa
23 күн бұрын
Mungu anahitaji mtu siyo dini, maana dini hata wapagani mna dini
@IMRANITV1Ай бұрын
Huo ni uitikadi wako na biblia kumbe unachanganya uelewa wewe
@farinhobulangi3723Ай бұрын
Uyu nimjinga kbs sasa uwo babu Katika wislamu nimutume juu tukubali maneno yake .towa aya wala adisi sa yiyi apana vitabu vyamabandiya
@samxx411Ай бұрын
Ndacha elimu yake ni ndogo sana, ati majini wote ni waislam nimecheka sana, sasa kama majini wote ni waislam vipi wale mapepo wachafu walipomuona yesu walilia na kumwita mwana wa Mungu, hiyo ni biblia je hao ni waislam??? Jamani tusiwe washabiki ktk dini tusomeni tuujuwe uzima wa milele.
@mobutu3884
Ай бұрын
Kwa hiyo hayo mapepo yalisema ni wakristo? 😂au Biblia imesema hao mapepo ni wakristo? Hapo unajiona sasa umehoji dah. Vunjeni hoja kielimu ndacha hajaokota mitaani vitabu bali vinauzwa misikitini kwenu sasa mlitakiwa muanze kupinga misikiti inayouza hibyo vitabu ila ukisikiliza hoja za masheikh wenu wanaweka wazi majini ni waislamu shida nyie mnalazimisha ukweli uwe uongo, jibuni hoja na sio kulalamika
@BarakaZabron-py2fz
Ай бұрын
Kulala mika nyuma ya keypads haisaidii kitu..uongo wenu atimae umefika mwisho.
@mobutu3884
Ай бұрын
Kwa hiyo wewe ulivyoisoma Biblia mapepo kumwita Yesu mwana wa Mungu, ukagundua kuwa mapepo yalikuwa wakristo? Halafu unasema umesoma ndio umeujua uzima hapo dah 😂😂 Shida hamumpendi ndacha hata akiwasomea vitabu vyenu mnakataa, mnaona kama anatoa kichwani so mlishajenga chuki kwake na hamtakuja kumuelewa .
@samxx411
Ай бұрын
@@mobutu3884 kwani wanaomwita yesu mwana wa Mungu ni nani?
@samxx411
Ай бұрын
@@mobutu3884 mie sina chuki na ndacha hata kidogo ila namuonea huruma sana sawa na wewe..ila namuomba Mungu akuzindueni kutoka giza zito sana. Hebu jiulize kwa akili yako tu kuna wakristo wanaamini yesu ni Mungu, ikisha kuna wakristo hawaamini kuwa yesu ni Mungu ila wanaamini ni mtoto wa Mungu, ikisha kuna wakristo wanaamini yesu ni Mtoto wa Mungu na ni Mungu pia, ikisha kuna wakristo wengine wanaamini ni nabii wa Mungu....hebu jiulize wewe mwenyewe kwa akili yako ...ikisha nijibu vyovyote tu
Пікірлер: 108
Ndacha njoo ufundishwe uislamu naona wataabika sana kutaka kuujua
Majini wa kiislamu wamewaka kwenye coment, wacheni matusi vunjeni hoja za mwl. Ndacha,,, majini nyinyi
@seifserenge3340
Ай бұрын
Ndacha hujui tofauti kati ya majini, mashetani na malaika. Waulize wanaojua ikiwa hujui. Hayo unayozungumza ni uwongo mtupu
@favoritebrayo
Ай бұрын
@@seifserenge3340 wewe unajua tofauti ni nini?
@rayaalhabsi1725
Ай бұрын
@@seifserenge3340 kweli kabisa Mwenye Enzi Mungu amhidi yaarab
@rayaalhabsi1725
Ай бұрын
@@favoritebrayo angekuwa hajuwi asinge andika kwenye comment
Ndacha iko wazi na isitoshe Ndacha Mungu kamuumba kusaidia hivi viumbe vilivyo potelea muwislamu, ndacha endelea nakuokowa hizo nafsi, zinazo teteya mungu wawao
Ndacha unasema ukweli , hakuna mtu yeyote anawezana nawe , uko na elimu yenye sijai ona Duniani
@salimchimwaga8384
27 күн бұрын
Elim ya kuropoka??
Assalamu aleykum waislam wenzangu, huyu Mzee msimpinge huyu anata ilim ili ajue uislam ni Dini ambayo ipo perfect
@johnmizunguofficial
Ай бұрын
Perfect kusali na majinji
Na wao wakisema Aslm alkm wanamsalimia nani tuambie
Ndacha ni kiboko ya Waislamo
@samxx411
Ай бұрын
Soma ndugu yangu maisha ni mafupi na ukifa kaburini unakuwa peke yako, chunga sana na wachungaji.
Wewe Una hakili
Sasa ndacha unapinga uwislam au unamtetea sure😂😂
Ndacha kama majini wanaswali, wao hua hawasemi Assalam mualaikum?
@maulidimuhani
Ай бұрын
ni swali zuri saana.
Kama unapinga uislamu ndugu yangu nakwambia bure Ndacha, ngoja Moto roho safi
@JeanMuzaliwa-bs6qh
Ай бұрын
moto unakusubiri ww ambae ujamwamini Yesu!
@favoritebrayo
Ай бұрын
moto ni wa wote wenye wamekataa YESU ndugu yangu kwa hio jipange wewe
Majini wa Kiislamu wanaheshima misikitini ndacha. Ukienda mskanisani utaona wakristo wanaingiliwa na majini na mapepo na kupagawa mpaka wanagalagala. Don't throw stones from a glass house, ndacha
Tatizo ndacha huna MAANDIKO', Ust shaffi humuwezi...🤣🤣🤣
@CharoHarrison-lf3jc
Ай бұрын
Wacha shafi aseme, anauogaaa
Ni ustadh na si ustadha
Qoran6:128,wote=wanadamu,+,majini(mashetani au waovu,+wasio waovu) Wote tutakusanywa JE MTUME KAFUNDISHA HAYO,KAMA SIO HAPANA NI UDHAIFU WA MTU TUU.KITABU KAANDIKA BABU😂😂😂 LETE HOJA KTK QURAN YA ALLAH,ACHANA NA HIZO TUNGO ZA MABABU SOMA QURAN 6:112
@favoritebrayo
Ай бұрын
ebu soma vizuri watakusanywa wawekwe wapi
Ndacha aliloliongea la kweli ni kuhusu huo mgogoro wa sule na shafi.
Jitokeze. Ukoshwee😂😂
Unachanganya utamkaji wanaomajini au wanasalimiya majini wema na malaika,na watu, sio wanao acha ukafiri
Hii ni ushindani bila maana
Yeye ndacha pia ni jinn anae muhasi Mungu maana anakubali malaika na anakataa majini waliosilimu
@favoritebrayo
Ай бұрын
eti anakataa majini sis haturuhusiwi kuchangamana na majini
Sasa hapo tatizo liko wp,mbona hutaja hao malaika
Wakristo,baadhi yao,hawaelewi tofauti kati ya JINI na SHETANI! Yani hapa ndipo shida kubwa ilipo! Iko hivi: 1. JINI ni kiumbe miongoni wa viumbe walioumbwa na Mungu! Yani kama vile WATU,MALAIKA,WANYAM,n.k. 2. SHETANI_hii ni sifa anayopewa kiumbe kutokana tabia yake. Hata mtu anaweza kuwa SHETANI! MAJINI kuwa wachamungu sio ajabu! Hata wanyama wanamuabudu Mungu. Maana Yeye,Mungu,Ndiye Muumba wao. Wakristo,chukuweni hiyo iwasaidie! Maana naona bado mna shida sana.
@favoritebrayo
Ай бұрын
na waislam nao hawajui kama majini wote ni wabaya hapo ndio shida ingine iko
@seifserenge3340
Ай бұрын
@@favoritebrayo majini wote sio wabaya kama vile ambavyo wanadam wote sio wabaya. Injoo katika UISLAM upate elimu au kaa huko huko katika ukristo wako ila nenda kwa walimu tu wakislam wakufundishe sio vibaya
@favoritebrayo
Ай бұрын
@@seifserenge3340 hio mnajua nyinyi waislam kwetu sisi majini ni malaika wa ibilisi
@FridayMwassa
25 күн бұрын
@@seifserenge3340Hii dunia aliumbiwa Adam na uzao wake, majini hapa siyo kwao,walimuasi Mungu ndipo wakafukuzwa mbinguni
Kila muislamu anaye soma dini ni mwana chuoni.
Nikimsikiliza NDACHA inanibidi nicheke tu.😂😂😂
@FridayMwassa
21 күн бұрын
Unacheka kwasababu hujui uislam ungejua uachana nao
Walipomuasi Mungu , wakaitwa mashetani , majinni ni viumbe wema , ambao hufuata amri za Mungu, wewe Ndacha mbona huelewi ?
@user-wm9hr7fx9l
28 күн бұрын
Hahahaha wew ndio kilaza kabisa
@FridayMwassa
25 күн бұрын
Eti majini ni viumbe wema wakati huo huo mnasema kuna majini wabaya
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
UJANJA UJANJA MWINGI..
😂😂😂😂😂 hawa wakiristo akili Zao bwana imagine mtu hoja zake sio za kielimu kiswahili kibovu eti wakiristo wanamshangilia😅😅😅
@BarakaZabron-py2fz
Ай бұрын
Kama hujui utofauti wa lugha na rafudhi unapata ujasili wa kumattack mtu kwasababu ya lugha?
@user-gy5og1ts9n
Ай бұрын
@@BarakaZabron-py2fz 😅😅😅nawewe mtetezi wake pia lugha mbovu,huwezi kusema rafudhi ili hali linaandikwa "lafudhi" hili ni neno la kiarabu likiwa na maana ya "matamshi" Lakini pia kesi nyingine sio ujasili inaandikwa "ujasiri" Huwezi kumtetea mkiristo mwenye dini mbovu wewe 📌📌📌kwanza kuweni waisilamu mtafundishwa vyote hivyo
@BarakaZabron-py2fz
23 күн бұрын
@@user-gy5og1ts9n sina haja na usahihi wa lugha,nina haja na kinachojadilia hapa. Usahihi wa lugha ilhali huna akili ni haikusaidii kitu
Ww sio wa kwanza kuupinga uislamu jiulize wamefikia wapi ?
@FridayMwassa
21 күн бұрын
Hata wachawi wapo pia
ndata shafii hakuogopi wewe utakufa kifo kibaya maana umepata ujuzi kwa mazinge na sule chutambambana baadae majin wako watakutukua wewe
Mm nawashangaa sana mashehe,kwa sababu huyu si wa kufanya nae mdahalo,huyu jamaa ni punguani na ukiwa unafanya mazungumzo na punguani wewe ndo unakuwa punguani,pia ukizungumza maneno ya kitoto kwenye watu wazima watu hawatayapa uzito maneno yako,huyu jamaa amefanana na ukoma ni lazima mukae na mbali
@martinmkoba361
Ай бұрын
Kwaiyo mnataka mfanye mdaalo na wasiojua eeh😢😢
@user-fq9dd4mu6y
Ай бұрын
Nikweli Ata me huwa nashangaa Sana apo muonekano Tu wa ndacha unaona kuwa Ni matatizo me ningekuwa shehe nisingefany mdahahalo Na uyu Ata kdg
@AbuwJuhaymah
Ай бұрын
Umeonge fact sana
@FridayMwassa
21 күн бұрын
@@user-fq9dd4mu6yJenga hoja utakubalika, lakini kwasababu wewe mbabaishaji ndiyo maana unaogopa
Walikuwapo vigogo walio pambana na uislamu zaidi yako ila mwisho walisilim,ata wewe utabwekabweka ila ipo siku utanyamaza tu,kula kwanza ela za kanisa uneemeke.
@johnmizunguofficial
Ай бұрын
Actually uislam ni WA majin
@FridayMwassa
25 күн бұрын
Nani aliyesilimu ebu mtaje
Uyu kafiri ata afanywe nini hawezi elemika lake ni motoni tu hakuna elimu ako nyo
@JeanMuzaliwa-bs6qh
Ай бұрын
kafiri ni nyie munaosafiri kwenda kubusu jiwe jeusi maccah,kama kuna wajinga duniani waislamu number 1!
@favoritebrayo
Ай бұрын
wewe ndio utaingia wa kwanza motoni watu wamejua uislam ni uwongo mtupu
@LovelyComputerChip-cj4wz
Ай бұрын
Kafiri ndo nini mwanzo hata Allah kafiri pia Kati ya macho yake pameandikwa neno kafiri
@raheemdon
Ай бұрын
@@JeanMuzaliwa-bs6qh na wale wanaoamini Mtu ni Mungu nao tuwaiteje??
@JeanMuzaliwa-bs6qh
Ай бұрын
@@raheemdon mtu gani unamzungumzia?
hakuna mkristo aliesoma wengi mambumbumbu
@favoritebrayo
Ай бұрын
nyinyi mmesoma na bado mko kwa giza balaa hii
@FridayMwassa
25 күн бұрын
Huna hata aibu kitabu chenu kinawaita wakristo na wayahudi kwamba ni watu wa kitabu iweje wewe mbumbumbu unakosoa kitabu chako
@favoritebrayo
25 күн бұрын
@@FridayMwassa kama hujielewi husibishane na watu
Kama wewe ndacha una haja ya kufanya mdahalo na Shafi basi muandikie barua tu mufanye huo mdahalo. Ya nini kuandikia mate na wino upo?
Hakuna mjinga kama huyu ndacha
@favoritebrayo
Ай бұрын
na mama yako na baba yako
Shafii, tunakutegemea, huyu kafiri anawachokonoa sasa angalieni msije mkampa umaarufu
@favoritebrayo
Ай бұрын
kafiri ni waislam wooooote na majini na mungu wao shetani
ndacha anajifunza UISLAMU kupitia vitabu vya kuokota okota, kariakoo, NANI KASEMA MUISLAMU DALALI NA MIONGOZO YAKE ni vitabu kutoka MTORO KARIAKOO???
@FridayMwassa
25 күн бұрын
Unasema vitabu vya kichochoroni wakati vinauzwa kwenye maktaba za kiislamu
Utashangaa wewe mbona ulisema hatutaki matusi na ndio wewe wakwanza kumtusi
We kafiri huna lolote unapotosha watu tu
@FridayMwassa
25 күн бұрын
Kipi amepotosha
Wewe una ukosowa uislam ukiwa nani, huna lako moja majini ni viumbe kama wewe, wako walio fuata haqi na wapo walio kuwa kama wewe ambao hawana elimu .
@favoritebrayo
Ай бұрын
uislam ni dini ya shetani na malaika zake majini
@rayaalhabsi1725
Ай бұрын
@@favoritebrayo aha ndio maana kanisani wana towa mapepo, ama msikitini hatuja ona wala kusikia kuwa kuna mapepo
@rayaalhabsi1725
Ай бұрын
@@favoritebrayo Tuna mshukuru Allah kwa neema ya Uislam. Alhamdulilah Rabbil Aalamiin. Asa yaarab na wewe Allah aku onyeshe njia ilio sahihi
@favoritebrayo
Ай бұрын
@@rayaalhabsi1725 unajuwa maana ya mapepo ama wewe bado ni pepo mwingine??
@rayaalhabsi1725
Ай бұрын
@@favoritebrayo wewe ukiwa unajuwa inatosha
Lete hoja kutoka ktk Quran,au bible.sio vitabu vya sunaa au kitabu cha papa vatcan
@mjombawallace4966
Ай бұрын
Zipo mtu wangu mtapewa
Huyo kafiri
@favoritebrayo
Ай бұрын
na allah pia ni kafiri wa kwanza
Ndacha huna akili nzuri;Umesema majini hawawezi kuwa Wakristo hapo umekosea hata Wewe huwezi kuwa Mkristo kama dini yako ya kuabudia Mungu kwa sababu hakuna andiko lisemalo Ukristo ni dini kutoka kwa Mwenyezi Mungu,hata viumbe vyote vya Mwenyezi Mungu haviko katika misingi ya Ukristo hata siku moja!Niambie Ndacha ni andiko gani lisemalo kwamba mtu akiuwacha dini ya Ukristo amelaanika?
@FridayMwassa
23 күн бұрын
Mungu anahitaji mtu siyo dini, maana dini hata wapagani mna dini
Huo ni uitikadi wako na biblia kumbe unachanganya uelewa wewe
Uyu nimjinga kbs sasa uwo babu Katika wislamu nimutume juu tukubali maneno yake .towa aya wala adisi sa yiyi apana vitabu vyamabandiya
Ndacha elimu yake ni ndogo sana, ati majini wote ni waislam nimecheka sana, sasa kama majini wote ni waislam vipi wale mapepo wachafu walipomuona yesu walilia na kumwita mwana wa Mungu, hiyo ni biblia je hao ni waislam??? Jamani tusiwe washabiki ktk dini tusomeni tuujuwe uzima wa milele.
@mobutu3884
Ай бұрын
Kwa hiyo hayo mapepo yalisema ni wakristo? 😂au Biblia imesema hao mapepo ni wakristo? Hapo unajiona sasa umehoji dah. Vunjeni hoja kielimu ndacha hajaokota mitaani vitabu bali vinauzwa misikitini kwenu sasa mlitakiwa muanze kupinga misikiti inayouza hibyo vitabu ila ukisikiliza hoja za masheikh wenu wanaweka wazi majini ni waislamu shida nyie mnalazimisha ukweli uwe uongo, jibuni hoja na sio kulalamika
@BarakaZabron-py2fz
Ай бұрын
Kulala mika nyuma ya keypads haisaidii kitu..uongo wenu atimae umefika mwisho.
@mobutu3884
Ай бұрын
Kwa hiyo wewe ulivyoisoma Biblia mapepo kumwita Yesu mwana wa Mungu, ukagundua kuwa mapepo yalikuwa wakristo? Halafu unasema umesoma ndio umeujua uzima hapo dah 😂😂 Shida hamumpendi ndacha hata akiwasomea vitabu vyenu mnakataa, mnaona kama anatoa kichwani so mlishajenga chuki kwake na hamtakuja kumuelewa .
@samxx411
Ай бұрын
@@mobutu3884 kwani wanaomwita yesu mwana wa Mungu ni nani?
@samxx411
Ай бұрын
@@mobutu3884 mie sina chuki na ndacha hata kidogo ila namuonea huruma sana sawa na wewe..ila namuomba Mungu akuzindueni kutoka giza zito sana. Hebu jiulize kwa akili yako tu kuna wakristo wanaamini yesu ni Mungu, ikisha kuna wakristo hawaamini kuwa yesu ni Mungu ila wanaamini ni mtoto wa Mungu, ikisha kuna wakristo wanaamini yesu ni Mtoto wa Mungu na ni Mungu pia, ikisha kuna wakristo wengine wanaamini ni nabii wa Mungu....hebu jiulize wewe mwenyewe kwa akili yako ...ikisha nijibu vyovyote tu