Ndacha Aomba Mdahalo na Ustadh Shafii Alopoka Maneno Mengi Yasio na Maandiko

usisahau ku subscribe channels hii

Пікірлер: 108

  • @yusufathman2478
    @yusufathman2478Ай бұрын

    Ndacha njoo ufundishwe uislamu naona wataabika sana kutaka kuujua

  • @CharoHarrison-lf3jc
    @CharoHarrison-lf3jcАй бұрын

    Majini wa kiislamu wamewaka kwenye coment, wacheni matusi vunjeni hoja za mwl. Ndacha,,, majini nyinyi

  • @seifserenge3340

    @seifserenge3340

    Ай бұрын

    Ndacha hujui tofauti kati ya majini, mashetani na malaika. Waulize wanaojua ikiwa hujui. Hayo unayozungumza ni uwongo mtupu

  • @favoritebrayo

    @favoritebrayo

    Ай бұрын

    @@seifserenge3340 wewe unajua tofauti ni nini?

  • @rayaalhabsi1725

    @rayaalhabsi1725

    Ай бұрын

    @@seifserenge3340 kweli kabisa Mwenye Enzi Mungu amhidi yaarab

  • @rayaalhabsi1725

    @rayaalhabsi1725

    Ай бұрын

    @@favoritebrayo angekuwa hajuwi asinge andika kwenye comment

  • @Lovetalkinh
    @LovetalkinhАй бұрын

    Ndacha iko wazi na isitoshe Ndacha Mungu kamuumba kusaidia hivi viumbe vilivyo potelea muwislamu, ndacha endelea nakuokowa hizo nafsi, zinazo teteya mungu wawao

  • @lewisomondi9059
    @lewisomondi9059Ай бұрын

    Ndacha unasema ukweli , hakuna mtu yeyote anawezana nawe , uko na elimu yenye sijai ona Duniani

  • @salimchimwaga8384

    @salimchimwaga8384

    27 күн бұрын

    Elim ya kuropoka??

  • @Shaban-om9jl
    @Shaban-om9jlАй бұрын

    Assalamu aleykum waislam wenzangu, huyu Mzee msimpinge huyu anata ilim ili ajue uislam ni Dini ambayo ipo perfect

  • @johnmizunguofficial

    @johnmizunguofficial

    Ай бұрын

    Perfect kusali na majinji

  • @aminakenea9614
    @aminakenea9614Ай бұрын

    Na wao wakisema Aslm alkm wanamsalimia nani tuambie

  • @franciscomtambakuluca2830
    @franciscomtambakuluca2830Ай бұрын

    Ndacha ni kiboko ya Waislamo

  • @samxx411

    @samxx411

    Ай бұрын

    Soma ndugu yangu maisha ni mafupi na ukifa kaburini unakuwa peke yako, chunga sana na wachungaji.

  • @user-iz1er8vg7u
    @user-iz1er8vg7uАй бұрын

    Wewe Una hakili

  • @ally_tz96
    @ally_tz9627 күн бұрын

    Sasa ndacha unapinga uwislam au unamtetea sure😂😂

  • @aminakenea9614
    @aminakenea9614Ай бұрын

    Ndacha kama majini wanaswali, wao hua hawasemi Assalam mualaikum?

  • @maulidimuhani

    @maulidimuhani

    Ай бұрын

    ni swali zuri saana.

  • @bakari52
    @bakari52Ай бұрын

    Kama unapinga uislamu ndugu yangu nakwambia bure Ndacha, ngoja Moto roho safi

  • @JeanMuzaliwa-bs6qh

    @JeanMuzaliwa-bs6qh

    Ай бұрын

    moto unakusubiri ww ambae ujamwamini Yesu!

  • @favoritebrayo

    @favoritebrayo

    Ай бұрын

    moto ni wa wote wenye wamekataa YESU ndugu yangu kwa hio jipange wewe

  • @nasserm.nasser5087
    @nasserm.nasser508716 күн бұрын

    Majini wa Kiislamu wanaheshima misikitini ndacha. Ukienda mskanisani utaona wakristo wanaingiliwa na majini na mapepo na kupagawa mpaka wanagalagala. Don't throw stones from a glass house, ndacha

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001Ай бұрын

    Tatizo ndacha huna MAANDIKO', Ust shaffi humuwezi...🤣🤣🤣

  • @CharoHarrison-lf3jc

    @CharoHarrison-lf3jc

    Ай бұрын

    Wacha shafi aseme, anauogaaa

  • @yusufathman2478
    @yusufathman2478Ай бұрын

    Ni ustadh na si ustadha

  • @allysaidlyambange4500
    @allysaidlyambange4500Ай бұрын

    Qoran6:128,wote=wanadamu,+,majini(mashetani au waovu,+wasio waovu) Wote tutakusanywa JE MTUME KAFUNDISHA HAYO,KAMA SIO HAPANA NI UDHAIFU WA MTU TUU.KITABU KAANDIKA BABU😂😂😂 LETE HOJA KTK QURAN YA ALLAH,ACHANA NA HIZO TUNGO ZA MABABU SOMA QURAN 6:112

  • @favoritebrayo

    @favoritebrayo

    Ай бұрын

    ebu soma vizuri watakusanywa wawekwe wapi

  • @samxx411
    @samxx411Ай бұрын

    Ndacha aliloliongea la kweli ni kuhusu huo mgogoro wa sule na shafi.

  • @kennah03m
    @kennah03mАй бұрын

    Jitokeze. Ukoshwee😂😂

  • @IMRANITV1
    @IMRANITV1Ай бұрын

    Unachanganya utamkaji wanaomajini au wanasalimiya majini wema na malaika,na watu, sio wanao acha ukafiri

  • @mohagurey2214
    @mohagurey2214Ай бұрын

    Hii ni ushindani bila maana

  • @jumahenriquesgeraldo9837
    @jumahenriquesgeraldo9837Ай бұрын

    Yeye ndacha pia ni jinn anae muhasi Mungu maana anakubali malaika na anakataa majini waliosilimu

  • @favoritebrayo

    @favoritebrayo

    Ай бұрын

    eti anakataa majini sis haturuhusiwi kuchangamana na majini

  • @MwijakaSwalehe-dg4hw
    @MwijakaSwalehe-dg4hwАй бұрын

    Sasa hapo tatizo liko wp,mbona hutaja hao malaika

  • @ramadhanihudhaifani4376
    @ramadhanihudhaifani4376Ай бұрын

    Wakristo,baadhi yao,hawaelewi tofauti kati ya JINI na SHETANI! Yani hapa ndipo shida kubwa ilipo! Iko hivi: 1. JINI ni kiumbe miongoni wa viumbe walioumbwa na Mungu! Yani kama vile WATU,MALAIKA,WANYAM,n.k. 2. SHETANI_hii ni sifa anayopewa kiumbe kutokana tabia yake. Hata mtu anaweza kuwa SHETANI! MAJINI kuwa wachamungu sio ajabu! Hata wanyama wanamuabudu Mungu. Maana Yeye,Mungu,Ndiye Muumba wao. Wakristo,chukuweni hiyo iwasaidie! Maana naona bado mna shida sana.

  • @favoritebrayo

    @favoritebrayo

    Ай бұрын

    na waislam nao hawajui kama majini wote ni wabaya hapo ndio shida ingine iko

  • @seifserenge3340

    @seifserenge3340

    Ай бұрын

    @@favoritebrayo majini wote sio wabaya kama vile ambavyo wanadam wote sio wabaya. Injoo katika UISLAM upate elimu au kaa huko huko katika ukristo wako ila nenda kwa walimu tu wakislam wakufundishe sio vibaya

  • @favoritebrayo

    @favoritebrayo

    Ай бұрын

    @@seifserenge3340 hio mnajua nyinyi waislam kwetu sisi majini ni malaika wa ibilisi

  • @FridayMwassa

    @FridayMwassa

    25 күн бұрын

    ​@@seifserenge3340Hii dunia aliumbiwa Adam na uzao wake, majini hapa siyo kwao,walimuasi Mungu ndipo wakafukuzwa mbinguni

  • @nubianqueen6700
    @nubianqueen6700Ай бұрын

    Kila muislamu anaye soma dini ni mwana chuoni.

  • @maulidimuhani
    @maulidimuhaniАй бұрын

    Nikimsikiliza NDACHA inanibidi nicheke tu.😂😂😂

  • @FridayMwassa

    @FridayMwassa

    21 күн бұрын

    Unacheka kwasababu hujui uislam ungejua uachana nao

  • @seifmajid8088
    @seifmajid8088Ай бұрын

    Walipomuasi Mungu , wakaitwa mashetani , majinni ni viumbe wema , ambao hufuata amri za Mungu, wewe Ndacha mbona huelewi ?

  • @user-wm9hr7fx9l

    @user-wm9hr7fx9l

    28 күн бұрын

    Hahahaha wew ndio kilaza kabisa

  • @FridayMwassa

    @FridayMwassa

    25 күн бұрын

    Eti majini ni viumbe wema wakati huo huo mnasema kuna majini wabaya

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995Ай бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @rizikiyahya5254
    @rizikiyahya5254Ай бұрын

    UJANJA UJANJA MWINGI..

  • @user-gy5og1ts9n
    @user-gy5og1ts9nАй бұрын

    😂😂😂😂😂 hawa wakiristo akili Zao bwana imagine mtu hoja zake sio za kielimu kiswahili kibovu eti wakiristo wanamshangilia😅😅😅

  • @BarakaZabron-py2fz

    @BarakaZabron-py2fz

    Ай бұрын

    Kama hujui utofauti wa lugha na rafudhi unapata ujasili wa kumattack mtu kwasababu ya lugha?

  • @user-gy5og1ts9n

    @user-gy5og1ts9n

    Ай бұрын

    @@BarakaZabron-py2fz 😅😅😅nawewe mtetezi wake pia lugha mbovu,huwezi kusema rafudhi ili hali linaandikwa "lafudhi" hili ni neno la kiarabu likiwa na maana ya "matamshi" Lakini pia kesi nyingine sio ujasili inaandikwa "ujasiri" Huwezi kumtetea mkiristo mwenye dini mbovu wewe 📌📌📌kwanza kuweni waisilamu mtafundishwa vyote hivyo

  • @BarakaZabron-py2fz

    @BarakaZabron-py2fz

    23 күн бұрын

    @@user-gy5og1ts9n sina haja na usahihi wa lugha,nina haja na kinachojadilia hapa. Usahihi wa lugha ilhali huna akili ni haikusaidii kitu

  • @user-do7ui5wi3n
    @user-do7ui5wi3nАй бұрын

    Ww sio wa kwanza kuupinga uislamu jiulize wamefikia wapi ?

  • @FridayMwassa

    @FridayMwassa

    21 күн бұрын

    Hata wachawi wapo pia

  • @saudaumar3354
    @saudaumar3354Ай бұрын

    ndata shafii hakuogopi wewe utakufa kifo kibaya maana umepata ujuzi kwa mazinge na sule chutambambana baadae majin wako watakutukua wewe

  • @hassanjuma2772
    @hassanjuma2772Ай бұрын

    Mm nawashangaa sana mashehe,kwa sababu huyu si wa kufanya nae mdahalo,huyu jamaa ni punguani na ukiwa unafanya mazungumzo na punguani wewe ndo unakuwa punguani,pia ukizungumza maneno ya kitoto kwenye watu wazima watu hawatayapa uzito maneno yako,huyu jamaa amefanana na ukoma ni lazima mukae na mbali

  • @martinmkoba361

    @martinmkoba361

    Ай бұрын

    Kwaiyo mnataka mfanye mdaalo na wasiojua eeh😢😢

  • @user-fq9dd4mu6y

    @user-fq9dd4mu6y

    Ай бұрын

    Nikweli Ata me huwa nashangaa Sana apo muonekano Tu wa ndacha unaona kuwa Ni matatizo me ningekuwa shehe nisingefany mdahahalo Na uyu Ata kdg

  • @AbuwJuhaymah

    @AbuwJuhaymah

    Ай бұрын

    Umeonge fact sana

  • @FridayMwassa

    @FridayMwassa

    21 күн бұрын

    ​@@user-fq9dd4mu6yJenga hoja utakubalika, lakini kwasababu wewe mbabaishaji ndiyo maana unaogopa

  • @muliamadi859
    @muliamadi859Ай бұрын

    Walikuwapo vigogo walio pambana na uislamu zaidi yako ila mwisho walisilim,ata wewe utabwekabweka ila ipo siku utanyamaza tu,kula kwanza ela za kanisa uneemeke.

  • @johnmizunguofficial

    @johnmizunguofficial

    Ай бұрын

    Actually uislam ni WA majin

  • @FridayMwassa

    @FridayMwassa

    25 күн бұрын

    Nani aliyesilimu ebu mtaje

  • @abdiqaanurow5924
    @abdiqaanurow5924Ай бұрын

    Uyu kafiri ata afanywe nini hawezi elemika lake ni motoni tu hakuna elimu ako nyo

  • @JeanMuzaliwa-bs6qh

    @JeanMuzaliwa-bs6qh

    Ай бұрын

    kafiri ni nyie munaosafiri kwenda kubusu jiwe jeusi maccah,kama kuna wajinga duniani waislamu number 1!

  • @favoritebrayo

    @favoritebrayo

    Ай бұрын

    wewe ndio utaingia wa kwanza motoni watu wamejua uislam ni uwongo mtupu

  • @LovelyComputerChip-cj4wz

    @LovelyComputerChip-cj4wz

    Ай бұрын

    Kafiri ndo nini mwanzo hata Allah kafiri pia Kati ya macho yake pameandikwa neno kafiri

  • @raheemdon

    @raheemdon

    Ай бұрын

    ​@@JeanMuzaliwa-bs6qh na wale wanaoamini Mtu ni Mungu nao tuwaiteje??

  • @JeanMuzaliwa-bs6qh

    @JeanMuzaliwa-bs6qh

    Ай бұрын

    @@raheemdon mtu gani unamzungumzia?

  • @mohamedmtahiyatu9113
    @mohamedmtahiyatu9113Ай бұрын

    hakuna mkristo aliesoma wengi mambumbumbu

  • @favoritebrayo

    @favoritebrayo

    Ай бұрын

    nyinyi mmesoma na bado mko kwa giza balaa hii

  • @FridayMwassa

    @FridayMwassa

    25 күн бұрын

    Huna hata aibu kitabu chenu kinawaita wakristo na wayahudi kwamba ni watu wa kitabu iweje wewe mbumbumbu unakosoa kitabu chako

  • @favoritebrayo

    @favoritebrayo

    25 күн бұрын

    @@FridayMwassa kama hujielewi husibishane na watu

  • @seifserenge3340
    @seifserenge3340Ай бұрын

    Kama wewe ndacha una haja ya kufanya mdahalo na Shafi basi muandikie barua tu mufanye huo mdahalo. Ya nini kuandikia mate na wino upo?

  • @user-ie3lw9eb6p
    @user-ie3lw9eb6pАй бұрын

    Hakuna mjinga kama huyu ndacha

  • @favoritebrayo

    @favoritebrayo

    Ай бұрын

    na mama yako na baba yako

  • @RamadhaniRamadhani-yd4hq
    @RamadhaniRamadhani-yd4hqАй бұрын

    Shafii, tunakutegemea, huyu kafiri anawachokonoa sasa angalieni msije mkampa umaarufu

  • @favoritebrayo

    @favoritebrayo

    Ай бұрын

    kafiri ni waislam wooooote na majini na mungu wao shetani

  • @maulidimuhani
    @maulidimuhaniАй бұрын

    ndacha anajifunza UISLAMU kupitia vitabu vya kuokota okota, kariakoo, NANI KASEMA MUISLAMU DALALI NA MIONGOZO YAKE ni vitabu kutoka MTORO KARIAKOO???

  • @FridayMwassa

    @FridayMwassa

    25 күн бұрын

    Unasema vitabu vya kichochoroni wakati vinauzwa kwenye maktaba za kiislamu

  • @mjombawallace4966
    @mjombawallace4966Ай бұрын

    Utashangaa wewe mbona ulisema hatutaki matusi na ndio wewe wakwanza kumtusi

  • @MwijakaSwalehe-dg4hw
    @MwijakaSwalehe-dg4hwАй бұрын

    We kafiri huna lolote unapotosha watu tu

  • @FridayMwassa

    @FridayMwassa

    25 күн бұрын

    Kipi amepotosha

  • @rayaalhabsi1725
    @rayaalhabsi1725Ай бұрын

    Wewe una ukosowa uislam ukiwa nani, huna lako moja majini ni viumbe kama wewe, wako walio fuata haqi na wapo walio kuwa kama wewe ambao hawana elimu .

  • @favoritebrayo

    @favoritebrayo

    Ай бұрын

    uislam ni dini ya shetani na malaika zake majini

  • @rayaalhabsi1725

    @rayaalhabsi1725

    Ай бұрын

    @@favoritebrayo aha ndio maana kanisani wana towa mapepo, ama msikitini hatuja ona wala kusikia kuwa kuna mapepo

  • @rayaalhabsi1725

    @rayaalhabsi1725

    Ай бұрын

    @@favoritebrayo Tuna mshukuru Allah kwa neema ya Uislam. Alhamdulilah Rabbil Aalamiin. Asa yaarab na wewe Allah aku onyeshe njia ilio sahihi

  • @favoritebrayo

    @favoritebrayo

    Ай бұрын

    @@rayaalhabsi1725 unajuwa maana ya mapepo ama wewe bado ni pepo mwingine??

  • @rayaalhabsi1725

    @rayaalhabsi1725

    Ай бұрын

    @@favoritebrayo wewe ukiwa unajuwa inatosha

  • @allysaidlyambange4500
    @allysaidlyambange4500Ай бұрын

    Lete hoja kutoka ktk Quran,au bible.sio vitabu vya sunaa au kitabu cha papa vatcan

  • @mjombawallace4966

    @mjombawallace4966

    Ай бұрын

    Zipo mtu wangu mtapewa

  • @DalaAbdallah
    @DalaAbdallahАй бұрын

    Huyo kafiri

  • @favoritebrayo

    @favoritebrayo

    Ай бұрын

    na allah pia ni kafiri wa kwanza

  • @RamadhaniLukambuzi
    @RamadhaniLukambuziАй бұрын

    Ndacha huna akili nzuri;Umesema majini hawawezi kuwa Wakristo hapo umekosea hata Wewe huwezi kuwa Mkristo kama dini yako ya kuabudia Mungu kwa sababu hakuna andiko lisemalo Ukristo ni dini kutoka kwa Mwenyezi Mungu,hata viumbe vyote vya Mwenyezi Mungu haviko katika misingi ya Ukristo hata siku moja!Niambie Ndacha ni andiko gani lisemalo kwamba mtu akiuwacha dini ya Ukristo amelaanika?

  • @FridayMwassa

    @FridayMwassa

    23 күн бұрын

    Mungu anahitaji mtu siyo dini, maana dini hata wapagani mna dini

  • @IMRANITV1
    @IMRANITV1Ай бұрын

    Huo ni uitikadi wako na biblia kumbe unachanganya uelewa wewe

  • @farinhobulangi3723
    @farinhobulangi3723Ай бұрын

    Uyu nimjinga kbs sasa uwo babu Katika wislamu nimutume juu tukubali maneno yake .towa aya wala adisi sa yiyi apana vitabu vyamabandiya

  • @samxx411
    @samxx411Ай бұрын

    Ndacha elimu yake ni ndogo sana, ati majini wote ni waislam nimecheka sana, sasa kama majini wote ni waislam vipi wale mapepo wachafu walipomuona yesu walilia na kumwita mwana wa Mungu, hiyo ni biblia je hao ni waislam??? Jamani tusiwe washabiki ktk dini tusomeni tuujuwe uzima wa milele.

  • @mobutu3884

    @mobutu3884

    Ай бұрын

    Kwa hiyo hayo mapepo yalisema ni wakristo? 😂au Biblia imesema hao mapepo ni wakristo? Hapo unajiona sasa umehoji dah. Vunjeni hoja kielimu ndacha hajaokota mitaani vitabu bali vinauzwa misikitini kwenu sasa mlitakiwa muanze kupinga misikiti inayouza hibyo vitabu ila ukisikiliza hoja za masheikh wenu wanaweka wazi majini ni waislamu shida nyie mnalazimisha ukweli uwe uongo, jibuni hoja na sio kulalamika

  • @BarakaZabron-py2fz

    @BarakaZabron-py2fz

    Ай бұрын

    Kulala mika nyuma ya keypads haisaidii kitu..uongo wenu atimae umefika mwisho.

  • @mobutu3884

    @mobutu3884

    Ай бұрын

    Kwa hiyo wewe ulivyoisoma Biblia mapepo kumwita Yesu mwana wa Mungu, ukagundua kuwa mapepo yalikuwa wakristo? Halafu unasema umesoma ndio umeujua uzima hapo dah 😂😂 Shida hamumpendi ndacha hata akiwasomea vitabu vyenu mnakataa, mnaona kama anatoa kichwani so mlishajenga chuki kwake na hamtakuja kumuelewa .

  • @samxx411

    @samxx411

    Ай бұрын

    @@mobutu3884 kwani wanaomwita yesu mwana wa Mungu ni nani?

  • @samxx411

    @samxx411

    Ай бұрын

    @@mobutu3884 mie sina chuki na ndacha hata kidogo ila namuonea huruma sana sawa na wewe..ila namuomba Mungu akuzindueni kutoka giza zito sana. Hebu jiulize kwa akili yako tu kuna wakristo wanaamini yesu ni Mungu, ikisha kuna wakristo hawaamini kuwa yesu ni Mungu ila wanaamini ni mtoto wa Mungu, ikisha kuna wakristo wanaamini yesu ni Mtoto wa Mungu na ni Mungu pia, ikisha kuna wakristo wengine wanaamini ni nabii wa Mungu....hebu jiulize wewe mwenyewe kwa akili yako ...ikisha nijibu vyovyote tu

Келесі