Ustadh shafi mi nnachokiona Kwa huyu mbogo ni kumuomba aje kwako umfundishe uislam.yaani ni mtu Ambae anatakiwa aanze darasa la watoto kbs.
@sirajismail397822 күн бұрын
Samahani ukinuukuu qur,'an Anza na Bismillahi maoni yangu
@allyway999
22 күн бұрын
Team mbogo
@mohagurey2214
22 күн бұрын
Maoni yako si muhimu ndugu yangu, toa dalili katika Quran au sunnah kwamba tukisoma chochote katika Quran tuanze na Bismillah
@RamadhaniLukambuzi
22 күн бұрын
@@mohagurey2214Quran ndiyo dalili yenyewe,kwa sababu kila Surat inaanza hivyo.
@mohagurey2214
22 күн бұрын
@@RamadhaniLukambuzi ustadh hajasoma surah bali ayah, kisha sio kila sura inaanza na Bismillah baado
@RamadhaniLukambuzi
22 күн бұрын
@@mohagurey2214 ayah msingi wake ni Surat kwahiyo ni muhimu kuanza na majina matatu ya Allah ndiyo uendelee kuyasoma maneno yake!
@Commonp22 күн бұрын
Nyi hampendani tu bhn
@rashidimahmud8605
20 күн бұрын
Wewe hujaelewa tulia
@Kim19onlinetv22 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@Ismailmusa-y6b22 күн бұрын
Assalaamu a'laykum.ustadhi wangu naomba kupata elimu, ni kwanini waganga wa kienyeji Huwa wanatumia qur-an katika maswala Yao ya ramli Hali ya kuwa Allah(SW} ameahidi kukilinda kitabu Chake kitukufu?
@Hamis-ks1sy
22 күн бұрын
Akhy,huwa wanatumia uchawi ambao upo katika lugha ya kiarabu na sio qur an na kama qur an basi wanageuzageuza na ujinga wao kisha wanachanganya na majina ya majini.
@user-cn7gq2bc6n
22 күн бұрын
Walaikum salaam shekhe kwani hao waganga wanaharibu hiyo quraan au wanaitumia kwenye kuisoma
@user-cn7gq2bc6n
22 күн бұрын
Au jibu zur ni hili qur’aan ni tiba ila utibu kwa njia ya halali ukitibu kinyume inakuwa umetenda zambi ila haujairibu
@mbalilax162
22 күн бұрын
Swali zuri, mi mwenyewe nimeshuhudia hilo. Watu wanarogwa kwa kutumia quraan na wanapandisha majini yenye majina ya kiislamu.....mi nasemaga kuna connection kati ya miungu ya kiarabu na uislamu/quraan. Chimbeni vzr chimbuko la uislamu maana muhamad mwenyewe alipagawa na pepo na kurogwa, huenda mafundisho yake hayakuwa yake ila roho chafu iliyomuingia
@Kuminamoja199522 күн бұрын
Sasa dr sule, na Mbogo, Shafi Tuamini nini kwenye hii hoja zinazo tolewa? Kwaiyo tatizo ni Elimu tu.
@joezeno8
22 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@JumaOmar-ku6cr22 күн бұрын
Majitu ya ajabu ikizungumzwa shirki tu mtu huwa wahabi
@gerphasntaziha447520 күн бұрын
Huyu shafii ndo wale wale! Anapinga kila mwislam sasa hivi. Eti anatoa mfano wa Marais waliopita kwa kulinganisha na mambo ya Mungu.Kama ni hivyo hata zama za muhamad zilishaisha maana hayupo. Ibrahim hakuna na uislam, huyu shafii ni mpinzani wa ubishi tu. Hata biblia anaipotosha. Yaani ni kigeugeu huyu.
@fadhilfathamula4224
17 күн бұрын
We mbumbumbu hauna tofauti na mbogo, muache shaff atufundishe
@mohagurey221422 күн бұрын
Huyu sheikh ni wahabi???
@Hamis-ks1sy
22 күн бұрын
Hapana ni muislam ambae anajitahid kuongea kwa ajili ya umma huo mtazamo wako ishinao2 akhy ikiwa khuraf,sufi,wahabi nk sisi tunajua kuwa huyo ni muislam
@mohagurey2214
22 күн бұрын
@@Hamis-ks1sy mbona anaongea kama mawahabi
@Catherine-mh8sw
22 күн бұрын
@@mohagurey2214kweni Wahabi si waislam
@awatifsubeit4007
22 күн бұрын
@@mohagurey2214 kama lipi ilo kumfuata mtume Muhammad ( Sala na Salam ziwe juu yake)
@pablooo419722 күн бұрын
Huyo mbogo eti nae pia ni shekhe, mtu hajua hata dua ya kuingia chooni aacheni masikhara
Пікірлер: 42
Asante Maalim Shafii. Ubarikiwe sana❤❤❤❤❤❤❤❤
Mungu akulipe kheri duniani na akhera
Jazzakallah shehe mpaka mbogo aelewe au aje kusoma kwako .
Naam shekhe shafi always y best
Sheikh Shafii, MashaAllah Allah Akuhifadhi. Allah kakupa Ufahamu Mkubwa. Hili ndilo twapaswa kumuomba Allah kutujaalia Ufahamu.
Shekhe shafii mungu akulinde na akuongoze usije ukabadilika kama wenzao
Asalam laykum shekh shafii mimi mdau wako bwana unanifulahisha sana yaana mimi nakuita wewe kiboko yao
Maa Sha Allah Sheikh Shafi you are the best Allah akuhifadhi
MashaAllAh, endelea kutoa elim zaidi shekh inatusaidia wengi sana AlhamdulillAh, jazakaAllah kheyr
Allah akupe afya shehe mbogo Allah alaam jamaa kama vile mshirikina hiv
Mnataka kuwekeana uhasama tu vitu vyngne sio vya msingi katika jamii yetu kwa sasa
Uyo mbogo mi simuelewagi kabsa atafute kazi nyingine na uyo sule saiv ni mganga tu asijitete
kzread.info/dash/bejne/pmyH1ryLfrjInso.htmlsi=_zvW7FzXVmNhccin MTAZAME SHEIKH SALUM DAMBA ALICHOKISEMA HAPA
Safii una akili
Ustadh shafi mi nnachokiona Kwa huyu mbogo ni kumuomba aje kwako umfundishe uislam.yaani ni mtu Ambae anatakiwa aanze darasa la watoto kbs.
Samahani ukinuukuu qur,'an Anza na Bismillahi maoni yangu
@allyway999
22 күн бұрын
Team mbogo
@mohagurey2214
22 күн бұрын
Maoni yako si muhimu ndugu yangu, toa dalili katika Quran au sunnah kwamba tukisoma chochote katika Quran tuanze na Bismillah
@RamadhaniLukambuzi
22 күн бұрын
@@mohagurey2214Quran ndiyo dalili yenyewe,kwa sababu kila Surat inaanza hivyo.
@mohagurey2214
22 күн бұрын
@@RamadhaniLukambuzi ustadh hajasoma surah bali ayah, kisha sio kila sura inaanza na Bismillah baado
@RamadhaniLukambuzi
22 күн бұрын
@@mohagurey2214 ayah msingi wake ni Surat kwahiyo ni muhimu kuanza na majina matatu ya Allah ndiyo uendelee kuyasoma maneno yake!
Nyi hampendani tu bhn
@rashidimahmud8605
20 күн бұрын
Wewe hujaelewa tulia
😂😂😂😂😂😂😂😂
Assalaamu a'laykum.ustadhi wangu naomba kupata elimu, ni kwanini waganga wa kienyeji Huwa wanatumia qur-an katika maswala Yao ya ramli Hali ya kuwa Allah(SW} ameahidi kukilinda kitabu Chake kitukufu?
@Hamis-ks1sy
22 күн бұрын
Akhy,huwa wanatumia uchawi ambao upo katika lugha ya kiarabu na sio qur an na kama qur an basi wanageuzageuza na ujinga wao kisha wanachanganya na majina ya majini.
@user-cn7gq2bc6n
22 күн бұрын
Walaikum salaam shekhe kwani hao waganga wanaharibu hiyo quraan au wanaitumia kwenye kuisoma
@user-cn7gq2bc6n
22 күн бұрын
Au jibu zur ni hili qur’aan ni tiba ila utibu kwa njia ya halali ukitibu kinyume inakuwa umetenda zambi ila haujairibu
@mbalilax162
22 күн бұрын
Swali zuri, mi mwenyewe nimeshuhudia hilo. Watu wanarogwa kwa kutumia quraan na wanapandisha majini yenye majina ya kiislamu.....mi nasemaga kuna connection kati ya miungu ya kiarabu na uislamu/quraan. Chimbeni vzr chimbuko la uislamu maana muhamad mwenyewe alipagawa na pepo na kurogwa, huenda mafundisho yake hayakuwa yake ila roho chafu iliyomuingia
Sasa dr sule, na Mbogo, Shafi Tuamini nini kwenye hii hoja zinazo tolewa? Kwaiyo tatizo ni Elimu tu.
@joezeno8
22 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
Majitu ya ajabu ikizungumzwa shirki tu mtu huwa wahabi
Huyu shafii ndo wale wale! Anapinga kila mwislam sasa hivi. Eti anatoa mfano wa Marais waliopita kwa kulinganisha na mambo ya Mungu.Kama ni hivyo hata zama za muhamad zilishaisha maana hayupo. Ibrahim hakuna na uislam, huyu shafii ni mpinzani wa ubishi tu. Hata biblia anaipotosha. Yaani ni kigeugeu huyu.
@fadhilfathamula4224
17 күн бұрын
We mbumbumbu hauna tofauti na mbogo, muache shaff atufundishe
Huyu sheikh ni wahabi???
@Hamis-ks1sy
22 күн бұрын
Hapana ni muislam ambae anajitahid kuongea kwa ajili ya umma huo mtazamo wako ishinao2 akhy ikiwa khuraf,sufi,wahabi nk sisi tunajua kuwa huyo ni muislam
@mohagurey2214
22 күн бұрын
@@Hamis-ks1sy mbona anaongea kama mawahabi
@Catherine-mh8sw
22 күн бұрын
@@mohagurey2214kweni Wahabi si waislam
@awatifsubeit4007
22 күн бұрын
@@mohagurey2214 kama lipi ilo kumfuata mtume Muhammad ( Sala na Salam ziwe juu yake)
Huyo mbogo eti nae pia ni shekhe, mtu hajua hata dua ya kuingia chooni aacheni masikhara
Ukiongea mambo ya shirki wewe ni wahabi