Mbogo Ukweli Unaujua-Maneno Ya Ustadh Shafii Baada ya Sheikh Mbogo Kurudia Tena Upotoshaji

usisahau ku subscribe channels hii

Пікірлер: 42

  • @Catherine-mh8sw
    @Catherine-mh8sw22 күн бұрын

    Asante Maalim Shafii. Ubarikiwe sana❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @rashidimahmud8605
    @rashidimahmud860520 күн бұрын

    Mungu akulipe kheri duniani na akhera

  • @mussamtimbinya
    @mussamtimbinya22 күн бұрын

    Jazzakallah shehe mpaka mbogo aelewe au aje kusoma kwako .

  • @allyway999
    @allyway99922 күн бұрын

    Naam shekhe shafi always y best

  • @shaban6644
    @shaban664422 күн бұрын

    Sheikh Shafii, MashaAllah Allah Akuhifadhi. Allah kakupa Ufahamu Mkubwa. Hili ndilo twapaswa kumuomba Allah kutujaalia Ufahamu.

  • @user-cn7gq2bc6n
    @user-cn7gq2bc6n22 күн бұрын

    Shekhe shafii mungu akulinde na akuongoze usije ukabadilika kama wenzao

  • @MudrikAhmad
    @MudrikAhmad18 күн бұрын

    Asalam laykum shekh shafii mimi mdau wako bwana unanifulahisha sana yaana mimi nakuita wewe kiboko yao

  • @fahadjiddawy835
    @fahadjiddawy83522 күн бұрын

    Maa Sha Allah Sheikh Shafi you are the best Allah akuhifadhi

  • @dogodogo595
    @dogodogo59522 күн бұрын

    MashaAllAh, endelea kutoa elim zaidi shekh inatusaidia wengi sana AlhamdulillAh, jazakaAllah kheyr

  • @mussamtimbinya
    @mussamtimbinya22 күн бұрын

    Allah akupe afya shehe mbogo Allah alaam jamaa kama vile mshirikina hiv

  • @Commonp
    @Commonp22 күн бұрын

    Mnataka kuwekeana uhasama tu vitu vyngne sio vya msingi katika jamii yetu kwa sasa

  • @IddySimba-fp2cc
    @IddySimba-fp2cc22 күн бұрын

    Uyo mbogo mi simuelewagi kabsa atafute kazi nyingine na uyo sule saiv ni mganga tu asijitete

  • @burudaninaelimu
    @burudaninaelimu22 күн бұрын

    kzread.info/dash/bejne/pmyH1ryLfrjInso.htmlsi=_zvW7FzXVmNhccin MTAZAME SHEIKH SALUM DAMBA ALICHOKISEMA HAPA

  • @salehemimbi1895
    @salehemimbi189522 күн бұрын

    Safii una akili

  • @Mukhtar-cs6bd
    @Mukhtar-cs6bd21 күн бұрын

    Ustadh shafi mi nnachokiona Kwa huyu mbogo ni kumuomba aje kwako umfundishe uislam.yaani ni mtu Ambae anatakiwa aanze darasa la watoto kbs.

  • @sirajismail3978
    @sirajismail397822 күн бұрын

    Samahani ukinuukuu qur,'an Anza na Bismillahi maoni yangu

  • @allyway999

    @allyway999

    22 күн бұрын

    Team mbogo

  • @mohagurey2214

    @mohagurey2214

    22 күн бұрын

    Maoni yako si muhimu ndugu yangu, toa dalili katika Quran au sunnah kwamba tukisoma chochote katika Quran tuanze na Bismillah

  • @RamadhaniLukambuzi

    @RamadhaniLukambuzi

    22 күн бұрын

    @@mohagurey2214Quran ndiyo dalili yenyewe,kwa sababu kila Surat inaanza hivyo.

  • @mohagurey2214

    @mohagurey2214

    22 күн бұрын

    @@RamadhaniLukambuzi ustadh hajasoma surah bali ayah, kisha sio kila sura inaanza na Bismillah baado

  • @RamadhaniLukambuzi

    @RamadhaniLukambuzi

    22 күн бұрын

    @@mohagurey2214 ayah msingi wake ni Surat kwahiyo ni muhimu kuanza na majina matatu ya Allah ndiyo uendelee kuyasoma maneno yake!

  • @Commonp
    @Commonp22 күн бұрын

    Nyi hampendani tu bhn

  • @rashidimahmud8605

    @rashidimahmud8605

    20 күн бұрын

    Wewe hujaelewa tulia

  • @Kim19onlinetv
    @Kim19onlinetv22 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @Ismailmusa-y6b
    @Ismailmusa-y6b22 күн бұрын

    Assalaamu a'laykum.ustadhi wangu naomba kupata elimu, ni kwanini waganga wa kienyeji Huwa wanatumia qur-an katika maswala Yao ya ramli Hali ya kuwa Allah(SW} ameahidi kukilinda kitabu Chake kitukufu?

  • @Hamis-ks1sy

    @Hamis-ks1sy

    22 күн бұрын

    Akhy,huwa wanatumia uchawi ambao upo katika lugha ya kiarabu na sio qur an na kama qur an basi wanageuzageuza na ujinga wao kisha wanachanganya na majina ya majini.

  • @user-cn7gq2bc6n

    @user-cn7gq2bc6n

    22 күн бұрын

    Walaikum salaam shekhe kwani hao waganga wanaharibu hiyo quraan au wanaitumia kwenye kuisoma

  • @user-cn7gq2bc6n

    @user-cn7gq2bc6n

    22 күн бұрын

    Au jibu zur ni hili qur’aan ni tiba ila utibu kwa njia ya halali ukitibu kinyume inakuwa umetenda zambi ila haujairibu

  • @mbalilax162

    @mbalilax162

    22 күн бұрын

    Swali zuri, mi mwenyewe nimeshuhudia hilo. Watu wanarogwa kwa kutumia quraan na wanapandisha majini yenye majina ya kiislamu.....mi nasemaga kuna connection kati ya miungu ya kiarabu na uislamu/quraan. Chimbeni vzr chimbuko la uislamu maana muhamad mwenyewe alipagawa na pepo na kurogwa, huenda mafundisho yake hayakuwa yake ila roho chafu iliyomuingia

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja199522 күн бұрын

    Sasa dr sule, na Mbogo, Shafi Tuamini nini kwenye hii hoja zinazo tolewa? Kwaiyo tatizo ni Elimu tu.

  • @joezeno8

    @joezeno8

    22 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @JumaOmar-ku6cr
    @JumaOmar-ku6cr22 күн бұрын

    Majitu ya ajabu ikizungumzwa shirki tu mtu huwa wahabi

  • @gerphasntaziha4475
    @gerphasntaziha447520 күн бұрын

    Huyu shafii ndo wale wale! Anapinga kila mwislam sasa hivi. Eti anatoa mfano wa Marais waliopita kwa kulinganisha na mambo ya Mungu.Kama ni hivyo hata zama za muhamad zilishaisha maana hayupo. Ibrahim hakuna na uislam, huyu shafii ni mpinzani wa ubishi tu. Hata biblia anaipotosha. Yaani ni kigeugeu huyu.

  • @fadhilfathamula4224

    @fadhilfathamula4224

    17 күн бұрын

    We mbumbumbu hauna tofauti na mbogo, muache shaff atufundishe

  • @mohagurey2214
    @mohagurey221422 күн бұрын

    Huyu sheikh ni wahabi???

  • @Hamis-ks1sy

    @Hamis-ks1sy

    22 күн бұрын

    Hapana ni muislam ambae anajitahid kuongea kwa ajili ya umma huo mtazamo wako ishinao2 akhy ikiwa khuraf,sufi,wahabi nk sisi tunajua kuwa huyo ni muislam

  • @mohagurey2214

    @mohagurey2214

    22 күн бұрын

    @@Hamis-ks1sy mbona anaongea kama mawahabi

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    22 күн бұрын

    ​@@mohagurey2214kweni Wahabi si waislam

  • @awatifsubeit4007

    @awatifsubeit4007

    22 күн бұрын

    @@mohagurey2214 kama lipi ilo kumfuata mtume Muhammad ( Sala na Salam ziwe juu yake)

  • @pablooo4197
    @pablooo419722 күн бұрын

    Huyo mbogo eti nae pia ni shekhe, mtu hajua hata dua ya kuingia chooni aacheni masikhara

  • @mohagurey2214
    @mohagurey221422 күн бұрын

    Ukiongea mambo ya shirki wewe ni wahabi

Келесі