Kwanini Waisilam Tunakataa Yesu Sio Mungu-Majibu ya Ustadh Shafii Akiwajibu Waulizani Maswali ni Hya
usisahau ku subscribe channels hii
Жүктеу.....
Пікірлер: 93
@anafimagoto713924 күн бұрын
Shukrani shehe Shafi unatutoa kwenye giza
@musayosia408124 күн бұрын
Maashaallaah ♥️
@Ismailmusa-y6b24 күн бұрын
Allah akupe umri mrefu uzidi kulingania umma,
@BaruMasimango-zo2se25 күн бұрын
Mashallah sheikh Mimi ni shabiki wako kutoka congo bakukubali saaana❤
@ustadhshafiionlinetv
25 күн бұрын
Shukran
@MochammdHadija-pn7nn25 күн бұрын
Mashaallah tabarak Allah
@yohana124224 күн бұрын
Wakristo Mtihani san
@chiefrukondo86324 күн бұрын
Andaa makala mazuri fafanuzi kuhusu YOHANA 1:1
@user-od1xx3tk9y24 күн бұрын
Wanamasikio hawasikii, wanamacho hawaon hata maandiko ya kitabu chao hawayajui. Wanakaririshwa 2
@anafimagoto713924 күн бұрын
Dua gani shehe ya kuondosha umasikini tukiachana na mambo ya pete na kutumia majini tupe njia shehe ilitupite katika njia ulionyooka
@seifserenge3340
22 күн бұрын
@@anafimagoto7139 Allah ameumba watu baadhi yao wawe maskini, wengine mafakiri na wengine matajiri hayo ni makadirio ya Allah. Jitahidi kufanya kazi ya halali upate riziki yako kama Allah alivyokukadiria. Mafundisho omba tu اللهم جعلني رزقا واسعا حلالا طيبا
@anafimagoto713924 күн бұрын
Shehe Shafi tujibie mbogo bado anaongea vitu hatuelewi
@abdullipunjaje960325 күн бұрын
Kwanini Kuna agano la kale na agano jipya?
@amisimayani264525 күн бұрын
Shafi hacha nikupe pole kwani hauna elimu yoyote
@AthumaniPuchu
25 күн бұрын
Wewe chizi
@user-sn4iq6cu1f
25 күн бұрын
tupe yakwako
@yohana1242
24 күн бұрын
Moto pepo unachagua mwenyeo tu wala hulazimishwi
@mussamohammedy8014
24 күн бұрын
Kwa ule uelewa wako na kujiaminisha katka akili yako utaona uyasemayo ni kweli lakini ukisoma kitabu bila kusubir usomewe basi utaelewa au jiulize wewe mwenyewe ni kwann wakristo mmegawanyika ktk wanaoaminio mungu moja na wasoamini hivyo?
Hao waliotaka wamuone Mungu akawambia aliyeniona MIMI basi amemuona BABA. Nimuulize huyo muulizaji, Kwa akili ya kawaida tu, umeenda ofisini ukakutana secretary wake ukataka umuome waziri akakwambia mimi ndiye waziri, je, huyo secretary atakuwa ndiye waziri? Enyi wakristo hata hili hamulielewi
@ustadhshafiionlinetv
25 күн бұрын
😀😀😀😀😀
@shabbymakapane
24 күн бұрын
😂😂😂 Hawa jamaa ni Shida na Bado Watapinga ngoja waje Uwasikie 🤪🤪🤪
@prochesernest5439
24 күн бұрын
@@ustadhshafiionlinetv shafi umekubali Mungu ni Baba je Allah ni Baba? Maana Allah hataki kuitwa baba maana Hana mwana 19:88,91 hona hapo huyo allah anapokukia
@user-sn4iq6cu1f
24 күн бұрын
@@prochesernest5439kwani ww umesomea wp hio bible? ila unaonekana unajua uko vzr uje utufundishe na sie tusiojua kitu
@abdullahmasakata170
24 күн бұрын
@@prochesernest5439 Kwani biblia imesema baba ana mtoto alie zaa? Hujui baba nisawa na MUNGU? Au hujui baba ndie Jehovah? Wakati mwingine baba anaitwa Bwana. Wewe unalo andiko linalosema BABA anamtoto?
@joshuajohn853322 күн бұрын
Nyie endeleeni kujifariji kipepo. Saa inakuja mtatamani mrudi duniani mumwamini Yesu Kristo kama mokozi wa maisha ila ndio hivo mtakua mmechelewa
@user-ht2dl4ft6n24 күн бұрын
Una sahau kama wislam ime anzishwa na Mohamed nasisi mwenye ameanza dini ni yesu kristo
@mussamohammedy8014
24 күн бұрын
Yesu hajaanzisha dini bali yesu alipewa injili na ilikua ni kwa wana wa Israel iwe muongozo kwako sema nyini hamsomi na mnasomewa tu hivyo habari nyingi hamzijui
@shabbymakapane
24 күн бұрын
Hapo ndipo kwenye Tatizo 🤣🤣🤣 yaani WAKRISTO Mmeaminishwa kwa MDOMO tu Basi kuwa UISLAMU Ni MUHAMMAD 🤣🤣🤣 na QURANI Ni MUHAMMAD 🤣🤣🤣 Na Ukristo ni YESU 🙆♂️🙆♂️🙆♂️ Yaani YESU Hajaacha wala Kuujuwa UKRISTO😃😃😃🤣🤣Labda MUULIZE PAULO
@shabbymakapane
24 күн бұрын
QURANI 2:135 Na Wakasema ( MAYAHUDI Kuwaambia WAISLAMU );" Kuweni MAYAHUDI ( Mtaongoka )", ( Na Wakasema MANASARA nao Kuwaambia WAISLAMU : Au ( KUWENI ) WAKRISTO Mtaongoka ." Sema: " Bali ( Tunashika ) Mila ya IBRAHIMU Aliyewacha Dini za UPOTOFU Akashika DINI Ya HAKI , Wala Hakuwa ( KABISA ) Katika WASHIRIKINA ." 🙏🙏🙏 2:236. Sema ninyi ( WAISLAMU Waambiwe MAYAHUDI na MANASARA ; WAAMBIENI. ) : " Tumemwamini Mwenyezi MUNGU na Yale Yaliyo Teremshwa Kwa IBRAHIMU na ISMAILI na Waliyopewa MUSA na ISA na Pia yale Waliyopewa Manabii ( WENGINE ) Kutoka kwa Mola wao ; HATUTAFAUTISHI BAINA YA YOYOTE HAO . ( WOTE TUNAWAAMINI ) ; Na sisi Tumenyenyekea Kwake ,🙏🙏🙏 SOMA Hiyo. Alafu Ujiulize UISLAMU Umeanzishwa na MUHAMMAD ???🤣🤣🤣🤪🤪🤪
@shabbymakapane
24 күн бұрын
Sikia hii Sasa WARAKA KWA WAEBRANIA 12:2 Tukimtazama YESU , Mwenye kuanzisha na Mwenye kutimiza IMANI Yetu ; Ambaye kwa Ajili ya FURAHA Iliyowekwa Mbele yake Aliustahimili Msalaba na kuidharau AIBU , Naye Ameketi Mkono Wa Kuume wa Kiti Cha Enzi Cha MUNGU ,🤣🤣🤣 hiyo (1). Pili. 1 WAKORINTHO. 4 : 14-17. Siyaandiki hayo ili Kuwatahayarisha ; Bali Kuwaonya Kama Watoto Niwapendao . 15 Kwa kuwa Ijapokuwa Mna Waalimu Kumi Elfu Katika KRISTO , Walakini Hamna Baba Wengi . Maana Mimi ndimi Niliye Wazaa Katika KRISTO YESU Kwa Njia ya INJILI . Basi, Nawasihi MNIFUATE MIMI, 😜😜😜🤪🤪🤪🤣🤣🤣 Swali kwako Kati ya YESU na PAULO Nani Kaanzisha UKRISTO ???🤣🤣🤣
@prochesernest5439
24 күн бұрын
@@mussamohammedy8014wewe kwani muarabu ? Mpaka ukawa mwislamu na wewe ni jini mpaka wakawa waislamu? Hiyo ni Dini ya majini quruan 72:14 mapepo wachafu majini
@abdullipunjaje960325 күн бұрын
Naomba kujua historia ya biblia jinsi ilivyokusanywa na mpaka kuwa kitabu (biblia)
@ustadhshafiionlinetv
25 күн бұрын
Sawa
@paulmushi2428
25 күн бұрын
@@ustadhshafiionlinetvkabla ya Biblia Anza na jinsi ilivyokusanywa Qur'an na Zaid Ibn Thabit na aliikusanya Kwa amri ya nani! Kutoka wapi au Kwa kina nani na je alizipata Aya zote! tueleze pia Qur'an ya kwanza ilichomwa moto na nani na kuandikwa upya na nani na iliyopo Sasa iliandikwa lini 😂😂😂😂
@user-mc2xd4eu2p
24 күн бұрын
@@paulmushi2428mm swali langu moja tu kwa wakristo mna mungu wa ngapi na huyo mungu anaitwa nani?
@user-ht2dl4ft6n
24 күн бұрын
Mimi najibu swali lako Sisi tuna Mungu umoja anaitwa Jehova n'a anamwanae anaitwa yesu kristo kama unashwali lingine uliza tuko APA kwa ajili yakujibu maswali yenu Yesu anakupenda na umufaye yeye ili umuone baba
@user-ht2dl4ft6n
24 күн бұрын
Mwalimu kwanini mafundisho Yako aukubali Yesu nimwana wamungu n'a unasoma bibilia kama kweli unasoma bibilia na unaikubali basi kama auwamini Yesu siyo mwana wa Mungu basi wewe nimuchabiki na aufati neno la Mungu kbs
Пікірлер: 93
Shukrani shehe Shafi unatutoa kwenye giza
Maashaallaah ♥️
Allah akupe umri mrefu uzidi kulingania umma,
Mashallah sheikh Mimi ni shabiki wako kutoka congo bakukubali saaana❤
@ustadhshafiionlinetv
25 күн бұрын
Shukran
Mashaallah tabarak Allah
Wakristo Mtihani san
Andaa makala mazuri fafanuzi kuhusu YOHANA 1:1
Wanamasikio hawasikii, wanamacho hawaon hata maandiko ya kitabu chao hawayajui. Wanakaririshwa 2
Dua gani shehe ya kuondosha umasikini tukiachana na mambo ya pete na kutumia majini tupe njia shehe ilitupite katika njia ulionyooka
@seifserenge3340
22 күн бұрын
@@anafimagoto7139 Allah ameumba watu baadhi yao wawe maskini, wengine mafakiri na wengine matajiri hayo ni makadirio ya Allah. Jitahidi kufanya kazi ya halali upate riziki yako kama Allah alivyokukadiria. Mafundisho omba tu اللهم جعلني رزقا واسعا حلالا طيبا
Shehe Shafi tujibie mbogo bado anaongea vitu hatuelewi
Kwanini Kuna agano la kale na agano jipya?
Shafi hacha nikupe pole kwani hauna elimu yoyote
@AthumaniPuchu
25 күн бұрын
Wewe chizi
@user-sn4iq6cu1f
25 күн бұрын
tupe yakwako
@yohana1242
24 күн бұрын
Moto pepo unachagua mwenyeo tu wala hulazimishwi
@mussamohammedy8014
24 күн бұрын
Kwa ule uelewa wako na kujiaminisha katka akili yako utaona uyasemayo ni kweli lakini ukisoma kitabu bila kusubir usomewe basi utaelewa au jiulize wewe mwenyewe ni kwann wakristo mmegawanyika ktk wanaoaminio mungu moja na wasoamini hivyo?
@shabbymakapane
24 күн бұрын
@@yohana1242%100 👏👏👏
Bado hautaki mada unaongea kwa jikoni😂😂😂
kzread.info/dash/bejne/pmyH1ryLfrjInso.htmlsi=_zvW7FzXVmNhccin MTAZAME SHEIKH SALUM DAMBA ALICHOKISEMA HAPA
Hao waliotaka wamuone Mungu akawambia aliyeniona MIMI basi amemuona BABA. Nimuulize huyo muulizaji, Kwa akili ya kawaida tu, umeenda ofisini ukakutana secretary wake ukataka umuome waziri akakwambia mimi ndiye waziri, je, huyo secretary atakuwa ndiye waziri? Enyi wakristo hata hili hamulielewi
@ustadhshafiionlinetv
25 күн бұрын
😀😀😀😀😀
@shabbymakapane
24 күн бұрын
😂😂😂 Hawa jamaa ni Shida na Bado Watapinga ngoja waje Uwasikie 🤪🤪🤪
@prochesernest5439
24 күн бұрын
@@ustadhshafiionlinetv shafi umekubali Mungu ni Baba je Allah ni Baba? Maana Allah hataki kuitwa baba maana Hana mwana 19:88,91 hona hapo huyo allah anapokukia
@user-sn4iq6cu1f
24 күн бұрын
@@prochesernest5439kwani ww umesomea wp hio bible? ila unaonekana unajua uko vzr uje utufundishe na sie tusiojua kitu
@abdullahmasakata170
24 күн бұрын
@@prochesernest5439 Kwani biblia imesema baba ana mtoto alie zaa? Hujui baba nisawa na MUNGU? Au hujui baba ndie Jehovah? Wakati mwingine baba anaitwa Bwana. Wewe unalo andiko linalosema BABA anamtoto?
Nyie endeleeni kujifariji kipepo. Saa inakuja mtatamani mrudi duniani mumwamini Yesu Kristo kama mokozi wa maisha ila ndio hivo mtakua mmechelewa
Una sahau kama wislam ime anzishwa na Mohamed nasisi mwenye ameanza dini ni yesu kristo
@mussamohammedy8014
24 күн бұрын
Yesu hajaanzisha dini bali yesu alipewa injili na ilikua ni kwa wana wa Israel iwe muongozo kwako sema nyini hamsomi na mnasomewa tu hivyo habari nyingi hamzijui
@shabbymakapane
24 күн бұрын
Hapo ndipo kwenye Tatizo 🤣🤣🤣 yaani WAKRISTO Mmeaminishwa kwa MDOMO tu Basi kuwa UISLAMU Ni MUHAMMAD 🤣🤣🤣 na QURANI Ni MUHAMMAD 🤣🤣🤣 Na Ukristo ni YESU 🙆♂️🙆♂️🙆♂️ Yaani YESU Hajaacha wala Kuujuwa UKRISTO😃😃😃🤣🤣Labda MUULIZE PAULO
@shabbymakapane
24 күн бұрын
QURANI 2:135 Na Wakasema ( MAYAHUDI Kuwaambia WAISLAMU );" Kuweni MAYAHUDI ( Mtaongoka )", ( Na Wakasema MANASARA nao Kuwaambia WAISLAMU : Au ( KUWENI ) WAKRISTO Mtaongoka ." Sema: " Bali ( Tunashika ) Mila ya IBRAHIMU Aliyewacha Dini za UPOTOFU Akashika DINI Ya HAKI , Wala Hakuwa ( KABISA ) Katika WASHIRIKINA ." 🙏🙏🙏 2:236. Sema ninyi ( WAISLAMU Waambiwe MAYAHUDI na MANASARA ; WAAMBIENI. ) : " Tumemwamini Mwenyezi MUNGU na Yale Yaliyo Teremshwa Kwa IBRAHIMU na ISMAILI na Waliyopewa MUSA na ISA na Pia yale Waliyopewa Manabii ( WENGINE ) Kutoka kwa Mola wao ; HATUTAFAUTISHI BAINA YA YOYOTE HAO . ( WOTE TUNAWAAMINI ) ; Na sisi Tumenyenyekea Kwake ,🙏🙏🙏 SOMA Hiyo. Alafu Ujiulize UISLAMU Umeanzishwa na MUHAMMAD ???🤣🤣🤣🤪🤪🤪
@shabbymakapane
24 күн бұрын
Sikia hii Sasa WARAKA KWA WAEBRANIA 12:2 Tukimtazama YESU , Mwenye kuanzisha na Mwenye kutimiza IMANI Yetu ; Ambaye kwa Ajili ya FURAHA Iliyowekwa Mbele yake Aliustahimili Msalaba na kuidharau AIBU , Naye Ameketi Mkono Wa Kuume wa Kiti Cha Enzi Cha MUNGU ,🤣🤣🤣 hiyo (1). Pili. 1 WAKORINTHO. 4 : 14-17. Siyaandiki hayo ili Kuwatahayarisha ; Bali Kuwaonya Kama Watoto Niwapendao . 15 Kwa kuwa Ijapokuwa Mna Waalimu Kumi Elfu Katika KRISTO , Walakini Hamna Baba Wengi . Maana Mimi ndimi Niliye Wazaa Katika KRISTO YESU Kwa Njia ya INJILI . Basi, Nawasihi MNIFUATE MIMI, 😜😜😜🤪🤪🤪🤣🤣🤣 Swali kwako Kati ya YESU na PAULO Nani Kaanzisha UKRISTO ???🤣🤣🤣
@prochesernest5439
24 күн бұрын
@@mussamohammedy8014wewe kwani muarabu ? Mpaka ukawa mwislamu na wewe ni jini mpaka wakawa waislamu? Hiyo ni Dini ya majini quruan 72:14 mapepo wachafu majini
Naomba kujua historia ya biblia jinsi ilivyokusanywa na mpaka kuwa kitabu (biblia)
@ustadhshafiionlinetv
25 күн бұрын
Sawa
@paulmushi2428
25 күн бұрын
@@ustadhshafiionlinetvkabla ya Biblia Anza na jinsi ilivyokusanywa Qur'an na Zaid Ibn Thabit na aliikusanya Kwa amri ya nani! Kutoka wapi au Kwa kina nani na je alizipata Aya zote! tueleze pia Qur'an ya kwanza ilichomwa moto na nani na kuandikwa upya na nani na iliyopo Sasa iliandikwa lini 😂😂😂😂
@user-mc2xd4eu2p
24 күн бұрын
@@paulmushi2428mm swali langu moja tu kwa wakristo mna mungu wa ngapi na huyo mungu anaitwa nani?
@user-ht2dl4ft6n
24 күн бұрын
Mimi najibu swali lako Sisi tuna Mungu umoja anaitwa Jehova n'a anamwanae anaitwa yesu kristo kama unashwali lingine uliza tuko APA kwa ajili yakujibu maswali yenu Yesu anakupenda na umufaye yeye ili umuone baba
@user-ht2dl4ft6n
24 күн бұрын
Mwalimu kwanini mafundisho Yako aukubali Yesu nimwana wamungu n'a unasoma bibilia kama kweli unasoma bibilia na unaikubali basi kama auwamini Yesu siyo mwana wa Mungu basi wewe nimuchabiki na aufati neno la Mungu kbs