Ust Kondo Bungo Amaliza Utata Akiwafunza Dr Sule na Ust Seleman Mbogo Kuhusu Pete

Usisahau ku subscribe channels hii

Пікірлер: 18

  • @allyway999
    @allyway99919 күн бұрын

    Naam shekhe nimekuelewa sana sana much love from Capetown

  • @user-zv6xb4ei4m
    @user-zv6xb4ei4m20 күн бұрын

    Allah akuongoze shekh

  • @shabbymakapane
    @shabbymakapane20 күн бұрын

    Nimependa Sana huu Ufafanuzi 🙏🙏🙏

  • @shabbymakapane
    @shabbymakapane20 күн бұрын

    Safi Sana Shekhe 🙏🙏🙏

  • @user-ob2ik5gy1b
    @user-ob2ik5gy1b20 күн бұрын

    Bora sheikh uwaambie ukweli Allah akupe mwisho mwema.

  • @Ismailmusa-y6b
    @Ismailmusa-y6b20 күн бұрын

    Mashallah, Allah akupe umri mrefu uzidi kutulingania

  • @salisali3738
    @salisali373820 күн бұрын

    Good point

  • @JamesJastin-bg1rx
    @JamesJastin-bg1rx20 күн бұрын

    Sawa shekhe

  • @josephchrizostom8437
    @josephchrizostom843720 күн бұрын

    quruani ni kwaajili ya watu wote hayo mnayoingiza na majini ni watu 72.Surat Al-Jinn kwa hakika wapumbavu miongoni mwetu walikuwa wakisema uwongo ulio pindukia mipaka juu ya Mwenyezi Mungu. 4 5. Nasi tulidhani kuwa watu na majini hawamzulii uwongo Mwenyezi Mungu. 5

  • @shabbymakapane
    @shabbymakapane20 күн бұрын

    Shekhe Nimependa Sana MAFINDISHO YAKO Uko Sahihi Kabisa QURANI 2 : 208 Enyi Mlioamini! Ingingieni Katika Hukumu za UISLAMU Zote, Wala Msifuate Nyayo Za SHETANI , Kwa hakika Yeye Kwenu Ni Adui Dhahiri , 🙏🙏🙏

  • @josephchrizostom8437
    @josephchrizostom843720 күн бұрын

    quruani ni kwaajili ya watu tu sio vitu wanavyozua 3.Suurat Al 'Imran 137 . Hii ni bayana kwa watu wote, na ni uwongofu, na mawaidha kwa wachamngu.

  • @ayubutwalbu6594
    @ayubutwalbu659420 күн бұрын

    Kondo unayo ungea sio elemu unatumia mawazo sio elimu hasa kuhusu majini huna elimu nayo kaa kimya kaka usichekeshe

  • @ramadhanjuma610

    @ramadhanjuma610

    20 күн бұрын

    Ww nawe nenda zako mshilikina mkubwa ww tafuta pesa Acha tama zaku pata pesa zaviumbe ambao hawaonekani uta perekewa moto tafuta pesa kwa jasho lako Acha tamah

  • @zaydamos874

    @zaydamos874

    20 күн бұрын

    Ayubu twalbu ww n miongon mwa wajinga ujielew tulia ufundishwe elimu Bure

  • @user-zv6xb4ei4m

    @user-zv6xb4ei4m

    20 күн бұрын

    Wewe ambae unajua tuelimishe.usikosoe asalamu aleykhum

  • @abubakarinyangala5072

    @abubakarinyangala5072

    17 күн бұрын

    Haya tupe aya au hadithi inayosema tushirikiane na kuwategemea majini katika kutafuta riziki hapa duniani Even by commons sense

  • @josephchrizostom8437
    @josephchrizostom843720 күн бұрын

    unabii unaendelea shehe wangu Surah Al-A'raf 35. Enyi wanaadamu! Watakapo kufikieni Mitume miongoni mwenu wakakuelezeni Ishara zangu, basi watakao mchamngu na wakatengenea haitakuwa khofu kwao, wala hawatahuzunika.

  • @mzaliwaseif7079

    @mzaliwaseif7079

    19 күн бұрын

    Haaa.... Yani Kwa Aya hiyi umeelewa unabii unaendeleleya? Nenda shule ukasome.

Келесі