Wanavyuoni Wanasema Nini Kuhusu Arafa-Sheikh Huseein Ismail Aja na Hoja Hizi
usisahau ku subscribe channels hii
Жүктеу.....
Пікірлер: 22
@MkindiRama-lp6hyАй бұрын
Sheikh yuko sawa maana ana soma vitabu vya wanachuon Tena wa saudia Sasa nyie mnahoji na kutukana
@abubakarwazir5572Ай бұрын
dozi iendeleee
@r.m.a7570Ай бұрын
Dah! Ina lillah waina illah rajjiun
@binzubeir6510Ай бұрын
Kila mtu afuate msimamo wake msiwahangaishe watu.
@abubakarwazir5572Ай бұрын
mzee mwenyewe kusoma hawezi 😂
@JUMAKANYEBWE-hy7geАй бұрын
Jameni mwezi wa kwanza haunekani na wote ndo maana mtume swa akaapisha mtu ili asihesabu vibaya.sikuyapili ya mwezi huoneka na kila mtu akili tu
@yusuphhamisi504Ай бұрын
Utasikia baadhi ya mashekhe wanakwambia sisi Tanzania tukitangaza mwezi saudia wataukubali?Hivi Tanzania nchi ambayo imesema wazi Haina dini utaifananisha na saudia nchi ya mbora ya mbora wa viumbe na inasimamiwa na dola ya kiislamu
@user-su7np6sn7s
Ай бұрын
Mbona bado we unaishi Tanzania nenda Kule ukaishi Saudia Wazazi wako si wamezaliwa Kule Saudia Hata we hapo ulipo si unaishi Saudia Ndomana Tanzania haina Dini Je mwezi ukionekana Palestine Saudia watafunga
@yusuphhamisi504
Ай бұрын
@@user-su7np6sn7s huu ndo ujinga tunaoukataaa khabari za Palestine zinatokea wapi Acha umimi Palestine katoka Nani? Muhammad?
@hilalkhalfan1452
Ай бұрын
@@user-su7np6sn7s KWANI MTUME SAW ALIPOSEMA TUSHUHUDIE MWEZI KWA MUISLAMU MMOJA INATOSHA AU KWA NCHI YA SAUDIA INATOSHA?. YAANI UNATAKA KUWAAMINISHA WATU HUO UJINGA WAKO YA KUWA, MWEZI AKIUDHUHUDIA MTU AMBAE SIO MSAUDIA HATA KAMA MUISLAMU BASI USHAHIDI WAKE HAUFAI AU VIPI?!!!. EEEH JAHILIA MURAKAB LA KIWAHABIA WEEEEE😂
@hilalkhalfan1452
Ай бұрын
@@user-su7np6sn7sushahidi Ni NCHI au muislamu?
@r.m.a7570Ай бұрын
Wazungu wanatushinda wao ndo wanafata uislam ila ss sasa tunafata yakwao
@r.m.a7570Ай бұрын
Kla mtu anatoa fatua kwel uislamu ume vamiwa bla kujijua
@JUMAKANYEBWE-hy7geАй бұрын
Ukiambiwa mwezi umetoka kubali mtaharibu tarehe nyinyi
@yusuphhamisi504Ай бұрын
Mfano Leo jumapili. Na saudia jumapili. Kizungu Leo Ni TAREHE 16/06/2023 na saudia Ni hivyo hivyo Muda pia Ni tunafanana iweje tupishane kwenye TAREHE ya kiislamu. ?
@jumafaki2891
Ай бұрын
wasaudia wenyewe ndio wanotuambia tusiwafuate Sasa tuwalazimishe Kwa Nini na Hali hawataki tuwafuate
@hilalkhalfan1452
Ай бұрын
@@jumafaki2891kwani jee unataka kuwaambia watu haijawahi kutofautiana tarehe ya kiislamu?.
@daymalhomebae9488Ай бұрын
Tueleweni... Kwa kuwa kimasaa tuko sawa na 'Suudiya' haimaanisha lazima tutakuwa sawa kuuona mwezi... Ulimwengu wa Science na ipo katika Qur'an...
@suleimanh1826
Ай бұрын
Lakini nyakati zetu za sala ni tofauti. Hebu jaribu kufuatilia saudia wanasali magharibi saa ngapi na sisi huku tunasali saa ngapi. Ukipata jibu rudi utueleweshe
@daymalhomebae9488
Ай бұрын
Kama tumepishana basi dakika chache mno radio zetu za kiislamu kila zikitangaza saa zinasema ' sawia na saa za Makkah'
@daymalhomebae9488
Ай бұрын
@@suleimanh1826 Ndivyo nilivyomaanisha kwamba magharibi yetu na ya Suudiya ni tofauti ikizingatiwa wakati jua linazama na kila mahali na kwa wakati tofauti... Angalia hata Ramadan timetable Malindi na Mombasa wanafungua kivyao.
@daymalhomebae9488
Ай бұрын
Saa zetu zipo wakati mmoja, japo jua kuzama na mwezi kuonekana zinapishana. Sasa hatukuambiwa tuangalie saa...
Пікірлер: 22
Sheikh yuko sawa maana ana soma vitabu vya wanachuon Tena wa saudia Sasa nyie mnahoji na kutukana
dozi iendeleee
Dah! Ina lillah waina illah rajjiun
Kila mtu afuate msimamo wake msiwahangaishe watu.
mzee mwenyewe kusoma hawezi 😂
Jameni mwezi wa kwanza haunekani na wote ndo maana mtume swa akaapisha mtu ili asihesabu vibaya.sikuyapili ya mwezi huoneka na kila mtu akili tu
Utasikia baadhi ya mashekhe wanakwambia sisi Tanzania tukitangaza mwezi saudia wataukubali?Hivi Tanzania nchi ambayo imesema wazi Haina dini utaifananisha na saudia nchi ya mbora ya mbora wa viumbe na inasimamiwa na dola ya kiislamu
@user-su7np6sn7s
Ай бұрын
Mbona bado we unaishi Tanzania nenda Kule ukaishi Saudia Wazazi wako si wamezaliwa Kule Saudia Hata we hapo ulipo si unaishi Saudia Ndomana Tanzania haina Dini Je mwezi ukionekana Palestine Saudia watafunga
@yusuphhamisi504
Ай бұрын
@@user-su7np6sn7s huu ndo ujinga tunaoukataaa khabari za Palestine zinatokea wapi Acha umimi Palestine katoka Nani? Muhammad?
@hilalkhalfan1452
Ай бұрын
@@user-su7np6sn7s KWANI MTUME SAW ALIPOSEMA TUSHUHUDIE MWEZI KWA MUISLAMU MMOJA INATOSHA AU KWA NCHI YA SAUDIA INATOSHA?. YAANI UNATAKA KUWAAMINISHA WATU HUO UJINGA WAKO YA KUWA, MWEZI AKIUDHUHUDIA MTU AMBAE SIO MSAUDIA HATA KAMA MUISLAMU BASI USHAHIDI WAKE HAUFAI AU VIPI?!!!. EEEH JAHILIA MURAKAB LA KIWAHABIA WEEEEE😂
@hilalkhalfan1452
Ай бұрын
@@user-su7np6sn7sushahidi Ni NCHI au muislamu?
Wazungu wanatushinda wao ndo wanafata uislam ila ss sasa tunafata yakwao
Kla mtu anatoa fatua kwel uislamu ume vamiwa bla kujijua
Ukiambiwa mwezi umetoka kubali mtaharibu tarehe nyinyi
Mfano Leo jumapili. Na saudia jumapili. Kizungu Leo Ni TAREHE 16/06/2023 na saudia Ni hivyo hivyo Muda pia Ni tunafanana iweje tupishane kwenye TAREHE ya kiislamu. ?
@jumafaki2891
Ай бұрын
wasaudia wenyewe ndio wanotuambia tusiwafuate Sasa tuwalazimishe Kwa Nini na Hali hawataki tuwafuate
@hilalkhalfan1452
Ай бұрын
@@jumafaki2891kwani jee unataka kuwaambia watu haijawahi kutofautiana tarehe ya kiislamu?.
Tueleweni... Kwa kuwa kimasaa tuko sawa na 'Suudiya' haimaanisha lazima tutakuwa sawa kuuona mwezi... Ulimwengu wa Science na ipo katika Qur'an...
@suleimanh1826
Ай бұрын
Lakini nyakati zetu za sala ni tofauti. Hebu jaribu kufuatilia saudia wanasali magharibi saa ngapi na sisi huku tunasali saa ngapi. Ukipata jibu rudi utueleweshe
@daymalhomebae9488
Ай бұрын
Kama tumepishana basi dakika chache mno radio zetu za kiislamu kila zikitangaza saa zinasema ' sawia na saa za Makkah'
@daymalhomebae9488
Ай бұрын
@@suleimanh1826 Ndivyo nilivyomaanisha kwamba magharibi yetu na ya Suudiya ni tofauti ikizingatiwa wakati jua linazama na kila mahali na kwa wakati tofauti... Angalia hata Ramadan timetable Malindi na Mombasa wanafungua kivyao.
@daymalhomebae9488
Ай бұрын
Saa zetu zipo wakati mmoja, japo jua kuzama na mwezi kuonekana zinapishana. Sasa hatukuambiwa tuangalie saa...