Majibu Kwa Prophet Ipm Kuhusu kuhalalisha Nguruwe Kuliwa - Huu ni Ufafanuzi Kutoka Kwa Ustadh Shafii
Жүктеу.....
Пікірлер: 180
@mbokomboko5974Ай бұрын
ALLAH akulipe kinacho stahili kwako shehe wangu nakukubali sana nafatilia sana darsa zako unatoa elimu kwa mwenye kuelewa ataelewa na mwenye kupuuza asara yake
@saidishekalaghe3496Ай бұрын
Swadakta sheikh wangu upo vizuri. Allah akuongezee umri Mrefu tupate elimu Zaidi.
@saidymbagalla6622Ай бұрын
Umetisha sana Shekh kama mkristo ameskia mawaidha haya na bado akabaki kua mfuasi wa mwamposa amepata hasara sana
@user-zv4sx9iv8zАй бұрын
Assalam alaykum warahmatulullah wabarkatu, Tupo pamoja tokea Lubumbashi Wantashi DRC
@UmarMasudi-so2hi7 күн бұрын
Assalamou anlaykum wa rahmatullahi wa BARAKATUHU Tupo pamoja Ustaadh wangu nakufata sana 100% piya nakupenda sana ajili ya Allah... Kutoka drc 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@khadijaiddi9422Ай бұрын
Alhamdulillah kwa katika mwema ya uislam sheikhe shafi Allah akuhifadhi
@abdillahramadhani2983Ай бұрын
Mungu akupe maisha marefu
@RayaRashid-qc8cnАй бұрын
Allah akuhifadhi inshallah
@MgazaMhinaАй бұрын
Nimekuelewa sana Sheikhe wangu
@paulmushi2428
Ай бұрын
Kama umemuelewa Shafi Anza kutafuna nguruwe Kwa mlango wa dharula 😂😂😂😂😂
@binseif2216Ай бұрын
Shida ya wagalatia wanapelekwa na wachungaji wao lkn alhamdulillah wachungaji wengi wanasilimu kwa sasa
Swadaqtta sheikh wetu Allah akihifadhi huwa unajibu maswali kutumia Ayaa na Hadith nde inatakiwa
@RamadhaniMaarifaАй бұрын
Mwamba huyu hapa mashaallah
@ChristopherMalimbwi-pf6uwАй бұрын
Mashaallah ustadh shaf..Allah akuhifaz
@user-fe1bf8dk7uАй бұрын
Ma sha Allah, Allah akulipe Jannah
@shabamuhidin634Ай бұрын
Kama uko na moyo mwepesi unaeza kasirika haraka😂unaweza kuona kama unajibizana na mtoto mdogo,na uachane na kazi ya daawah kabsaa..hii kazi inahitaji uvumilivu sana
@mohamedtsuma9902
Ай бұрын
Wallah makafiri wanataka tutumie akili sababu wanaeza fanya ulie Kwa ujinga wanasema
@samxx411Ай бұрын
Shafi unajuwa Mungu akuongoze inshallah
@SalimBomboro-gt3qqАй бұрын
Mungu akuogeze
@Khadidjaomari-pf7yyАй бұрын
Asante sana Babangu 😢😢😢
@aishahazary4097Ай бұрын
Nilikuwa nasubir sana shehe Shafii kumuonya huyu kiumbe.Ilikuwa ni comments kwake wakati anaongea lakini alifunga comments maana alijuwa kitamkuta kitu.
@musalumbi8490Ай бұрын
Thank you
@user-gj9wi1pq9gАй бұрын
Asante shukran hatanamimi nilikua sifahamu hivo
@pwezapwezafelix7222Ай бұрын
We nzee unatisha tafsili tam sana hio kweli wislwm ni mtamu
@shifaazawadi4438Ай бұрын
Quran Sikama Gazeti Kusoma Quran yahutaji Elimu
@Kuminamoja1995Ай бұрын
Ahsante
@LabiloWabikongoАй бұрын
uposahihi yakhe❤
@ambokileasheengai1140Ай бұрын
Mimi ni Mpentecoste na sina chuki na waislam kwa sababu islam ina maana kubwa sana na si jina tu la mtu
@user-bp4wv4jo2iАй бұрын
kila mtu afuate imani yake,kuna ubaya gani mtu kubadili dini!
@da-megaflay529720 күн бұрын
Usthaz shafi cuide bem de sule
@AlfredZacharia-of3jeАй бұрын
MAMBO YA WALAWI 11 : 4 Pamoja na hayo, wanyama hawa hamtawala katika wale wenye kucheua, na katika wale walio na kwato; ngamia, kwa sababu yuacheua lakini hana kwato, yeye ni najisi kwenu.
@NganziSalimu
Ай бұрын
Tuambie wanapatikan wapi ngamia wenye kucha.. au kwato kwa mujibu wa akili yako inakuwaje
@victorgasper7563Ай бұрын
prophety yupo sawa waislam mnaleta mbambamba
@GeraldMswazi-bp2kwАй бұрын
Ni kama vile mnatuambia Kuna majini Wazuri Na wabaya inalilaah.
@AlfredZacharia-of3je
Ай бұрын
Hakuna Majin wazur yote ni mashetwan tu
@salimmbilu4524
Ай бұрын
Hujui omba ufundishwe sheikh wangu
@AlfredZacharia-of3jeАй бұрын
Ngamia ni haram pia Mambo ya Walawi 11 : 4 Pamoja na hayo, wanyama hawa hamtawala katika wale wenye kucheua, na katika wale walio na kwato; ngamia, kwa sababu yuacheua lakini hana kwato, yeye ni najisi kwenu.
@AliNassor-qt6fmАй бұрын
Mungu akipenda tutaonana keshoo😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@AllySullyАй бұрын
Kweli mikafir inapotosha watu sana makanisani kwa maslahi Yao ya dunia wakati na hayo makondoo yanasapoti
@paulmushi2428
Ай бұрын
Wewe ndiyo uliyepotosjwa na Muhammad eti wakati wa kisali lazima usujudi kuelekea Makka kwenye Kaaba yenye Jiwe jeusi yaani Al hajar Al aswad wewe umepotoshwa unasujudia JIWE ukidhani unasujudia Mungu kumbe jiwe mungu wa Waarabu Maqureishi wa Makka
@user-pl8pn7qb9e
Ай бұрын
Usilo lijua ni sawa na usiku wa Giza ,@@paulmushi2428
@adinanimzimbiri
Ай бұрын
je ww unayesema yesu mungu wakati ni mtu
@paulmushi2428
Ай бұрын
@@adinanimzimbiri YESU KRISTO NI MWANA WA MUNGU ALIYE HAI AMBAYE NDIYO YA KWELI NA UZIMA wewe unasujudia JIWE JEUSI lililoko Makka kwenye Kaaba linaitwa Al hajar Al aswad bila kujitambua umepotoshwa na Muhammad hilo jiwe ni mungu wa Waarabu Maqureishi Wapagani wa Makka!! Shituka jitambue Njoo Kwa YESU KRISTO uepuke ibada ya shiriki
Allah siyo Mungu kwanza anahitaji usaidizi wa waamini yaani Mwanadamu Qur'an 6: 14 Enyi mlioamini! Kuweni wasaidizi wa Allah kama alivyosema Isa bin Mariam Qur'an 47: 7 Enyi mlioamini! Mkimnusuru Allah Naye atawanusuruni na ataithibitisha miguu yenu!! Hapo inaonyesha Allah anahitaji nusura kwa waamini sijui kapata ajali? Qur'an 33: 56 Hakika Allah na Malaika wake wanamsalia Nabii. Enyi mlioamini msalieni na mumsalimu kwa salamu!! Je kama Allah ni MUNGU hizo sala zake zinaenda kwa nani?? Allah si Mungu!!
@ISAALMASIHI9823
Ай бұрын
Hizi aya waislamu hawatoboi
@ISAALMASIHI9823
Ай бұрын
Hakika umenena vema, waislamu hawatoboi ktk Aya hizi
@samwelimwanja4105
Ай бұрын
Mwislam ni mtu anaejisifu sana na ni mjuaji sana ila kumbe kinyume chake ni mtu kipofu na aliepotea milele wao wanapigia debe Dini ila sisi Tunamwabudu Mungu wa kweli na Mhamadi hakuna sehemu amenenwa kwenye Biblia yeye aliletwa na shetani kwa makusudi kabisa ndio maana sisi tunatumia Damu wao wanatumia maji.
@ISAALMASIHI9823
Ай бұрын
@@samwelimwanja4105 Yesu kristo ndio kiboko ya majini wanayayaabudu, ndio maana yanawatia hasira wamchukie Yesu kristo Mungu mkuu na mwokozi wetu kwani yanamjua sana Ila shetani kawaweza, yaani wanaswali nayo Kisha yanawapuliza matakoni lakini Bado wanayatetea, eti yapo majini mazuri na mabaya
@RamadhaniMaarifa
Ай бұрын
Mungu wenu alivyokufa siku 3 dunia ilikua inaendeshwa na nani kama sio ALLAH?
@dudemussa6715Ай бұрын
Mapadri hawana dini wanaharamisha alichokiharamisha Allah. Yeremia 8:8. Isaya 64:10. Mikafiri hiyo inakwenda motoni tu.
@user-hw7ce8gf6vАй бұрын
Nyie mungu wenu anasikiyaga lugha moja tu au 😂😂😂😂😂 Ndo maana mnaamini kwamba peponi watu wote wataongea kiarabu tu Muarabu kawaharibu akili 100%😂😂😂😂😂😂😂😂
@AlfredZacharia-of3jeАй бұрын
QURAN inamapungufu sana inasema eti Musa Ibrahim Yesu na wengine ni waislam wakati mhamad ndiye muislam wa kwanza soma QURAN 6:14 , 6:163b , 39:12
@dudemussa6715
Ай бұрын
Wewe kafiri, Allah anakusubiri kiama hana wasiwasi yupo kwenye dhati yake. Na utajuta kafiri wewe.
@sulealim6325
Ай бұрын
Samahan Nakhs ulitakiwa kumuelimisha ili ajifunze kwako@@dudemussa6715
@mobutu3884Ай бұрын
Umesema mwenye swali aulize, basi naomba tafsir au uzielezee aya hizi, quran 2:246-253
@MchaFakih-ij8kh
Ай бұрын
Suali au ombi hilo
@mobutu3884
Ай бұрын
@@MchaFakih-ij8kh kaelewa
@MsodokiTheson
Ай бұрын
Wewe tuambie inasemaje acha kutushughulisha
@mobutu3884
Ай бұрын
@@MsodokiTheson Na haya majibu yenu ndio yanaonesha kuwa nyie hamsomi mnasubiri sheikh au ustadh aongee halafu mkalale someni vijana, najua hata wewe ukisoma aya hizo huambulii kitu hapo.
@MsodokiTheson
Ай бұрын
Ukubwa wa udogo wa tatizo unaletwa na na akili yako!
@massco99hackerАй бұрын
Je! Afrika ilikuwa na dini kabla ya ujio wa Waarabu na Ulaya? Je! Umeona dini bila wamishonari? Je! Umeona dini bila waarabu? Je! Umeona dini bila ahadi / tishio la mbingu na kuzimu? Je! Umeona dini ambayo haibadilishi jina na kitambulisho cha watu wanaowateua? Je! Unajua juu ya uwepo wa kitu kama hicho barani Afrika kabla ya wakoloni kuja kutoka Ardhi ya Kiarabu na Ulaya? Je! Ni kwanini wakuone wewe ni mjinga sana na kwamba mtu atambulishe tamaduni na mila yako kama ibada zilizo na ajenda ya kupunguza njia zako za maisha na kuwafanya watumwa wa milele, bado, unakubali ufafanuzi wake bila swali? Waafrika, tuna tamaduni zetu, mila, na hali ya kiroho na hakuna hii ni dini. Safari ya umishonari ambayo ilifadhiliwa na majimbo na serikali za mataifa ya Kiarabu na Ulaya haiwezi kuwa ujumbe wa Mungu kweli pasipo kua maarifa na uelewa wa ndani juu ya hizi dini, lazima kukosoa kwanza, lakini dhamira ya utumwa na ukoloni. Acha kulala na fungua akili yako kwa mapana. kwa kumalizia nitoe maana ya utamaduni . njia zote za maisha ikijumuisha sanaa, imani na taasisi za watu ambazo hupitishwa kutoka kizazi hadi kizazi . Utamaduni umeitwa "njia ya maisha kwa jamii nzima." Kwa hivyo, inajumuisha kanuni za adabu, mavazi, lugha, dini, mila, sanaa. Je! kwanni uislam na ukristo ubadilishe mitindo ya mavazi, chakula sanaa na njia zote za waafrika na baada ya karne hii kuisha majina ya waafrika wengi yatakua ya kiarabu na ulaya mwanzo wakufa kwa ulithi wa kiafrika unaanza hapa na kusahau mazuri waliyofanya babu zetu tungependa kujua pia chimbuko la hizi dini kiundani na kuchukua yale mafunzo mema bila kuathiri utamaduni wetu. makatazo ya vyakula ama mavazi bado yanakinzana na uhalisia wa maisha yetu kuna sehemu jamii ya wanyama na vyakula vilivokatazwa kidini kumekua ndio zao kuu chanzo kikuu cha chakula pengine mungu angetupa sehemu nzuri moja ya kuishi kujitenga na vyanzo vya vyakula hivo kuna mambo ayapo sawa na tungependa mngejikita zaidi kwenye kueleza uhalisia wa hizi dini kuliko kukosoana tu kwani hakujengi na elimu yetu juu ya hizi dini inazidi kudumaa. Mtazamo tu
@RamadhanAlly-qg9hqАй бұрын
Wakirsto weng hawajui kuwa wachungaji nii wapotoshaji bibikia yao inawaambia
@user-xt4mi5zs2sАй бұрын
Uyo anaa laana akitoka kwenye uislam Ivo anakufuru nyingi namwbia hii ni Dunia umefata maslahi ya Dunia
@victorgasper7563Ай бұрын
wewe shekhe kweli auna akili sasa apo ndio umeongea mungu kaharamisha alafu ukira amekusahe tatizo la mashekhe awanaga uvumilivu yani apo bado ujasema mpaka mseme
@CharqueAli5 күн бұрын
Wacristo someni dini
@AlfredZacharia-of3jeАй бұрын
Mbona mnakula Ngamia wakati katika torati haruhusiwi? Kumbukumbu la Torati 14 : 7 Lakini, hawa msile katika wale wenye kucheua, na hao waliopasuliwa ukwato; ngamia, na sungura, na kwang'a, kwa kuwa hucheua, lakini hawakupasuliwa kwato, ni najisi kwenu;
@ibrahimmohd6859Ай бұрын
Yaani kwenye ukristo mtu anaswali bahat mbaya umemtika ushuzi na ibada inaendelea 😂😂
@AliNassor-qt6fm
Ай бұрын
😂😂😂😂😂
@ruu6592Ай бұрын
Sasa nimelewa kwa nn alikwenda kanisani upungufu wa Imani na kwenda kuwachuna kondoo😂
@aliabdallah8456Ай бұрын
Kumbe wakristo wote wanakula Nguruwe kwa nini hamna hata mkristo moja aliyepinga kuwa nguruwe haliwi wote ni kweli Nguruwe ni halali kuliwa nyinyi makafri hacheni ulafi mtochomwa na Mungu hacheni kudanganyana
@paulmushi2428
Ай бұрын
Waislamu mmeruhusiwa kula nyama ya nguruwe Kwa mlango wa dharula acha porojo
@binseif2216
Ай бұрын
@@paulmushi2428Leta Aya
@HappyKiteboarder-du9thАй бұрын
Unawafundisha ambayo hawayajuji tena ktk kitabu chao wenyewe kweli wewe ni mwalimu wa wakristo
@paulmushi2428Ай бұрын
Pia Unadai sijui Qur'an mpaka uisome sijui uitie viungo hayo yote ni maelezo yako Qur'an yenyewe inasema ni nyepesi kufahamika Soma Qur'an 54: 17-22-32 acha kuitia ugumu Qur'an ni nyepesi kufahamika Pia unasema Qur'an imekamilika huo ni UONGO Soma Khadith za mke wa Muhammad Aishah anasema Aya zingine zililiwa na mnyama Soma Kitabu (Sunan Ibn Majah, d 1277 kitabu 10-khadidh 102 Pia Soma Taz. Al itqan-juzuu 2 uk 32) (As suyut-al-itqan fii uluu al Qur'an pg 524 na Khadith nyingi tu zinasema baadhi za aya za Qur'an zilipotea utasemaje Qurani imekamilika danganya Maamuma wasiyoijua!!
@HappyKiteboarder-du9thАй бұрын
Siyo kama hawailewi au hawasikii bali ni elimuyao ndogo
@prochesernest5439Ай бұрын
Wewe shafi uongo unakusaifia nini hiyo 1.Wafalme 6:24 inasema inasema habari za Suleiman alivyo jenga hekalu nyumba ya Mungu hpo hakuna habari za njaa ni habari za vyumba walivyo tengeneza makerubi usifananishe biblia na Quran kabisa Quran hata uisifieje bado ni kitabu Cha majini maana wana sura Yao biblia haina kitu kama hicho biblia imewataja tu majini haikuwapa nafasi ya kujisifua kwenye biblia mashetani Quran 72:1,14
@selemanimchana3598
Ай бұрын
Wewe huna akili kabisa sio majini tu Kila unachokijua Quran imekielezea, ndio ujue hicho ni kitabu Cha mungu, Sasa bibli hata viumbe vya mungu vingine haivijui unajielewa kweli
@prochesernest5439
Ай бұрын
@@selemanimchana3598 wewe ndo unahakili kama unaiamini quruan imesema Kila kitu nihonyeshe kwenye Quran jina la mke WA Adam na nionyeshe jina la mwenyezi Mungu au Allah hicho ni kiarabu Sio jina hata wakristo WA kiarabu wanasema Allah ambaye ni Yehova hili utetee kitabu chenu nakusubili
@Naw89
Ай бұрын
Sasa najiuliza huyo mwenye alipewa hichokitabu unachokiamini wewe ni muislam bado umekaa huko unamuita Mungu wakati katahiriwa Wewe bakia huko huko mana tukienda peponi sote moto utakosa wateja
@martinmkoba361Ай бұрын
Haya ya kula ngamia je hipo???
@paulmushi2428Ай бұрын
Waislamu saa ingine kama hamnazo Mnasema Biblia siyo kitabu cha Mungu oooh Biblia imechafuliwa lakini Qur'an ikosa majibu mnakimbilia tena Biblia iwasaidie kuthibitisha hoja zenu hata hamueleweki kama Allah amnayesema Mungu huku na yeye anamswalia Muhamad 😅😅
@omarymbwana9798
Ай бұрын
Soma utaelewa acha ngonjera
@paulmushi2428
Ай бұрын
@@omarymbwana9798 Nimesoma Qur'an kuwa Waislamu mnaweza kula nyama ya nguruwe Kwa mlango wa dharula!!😅
@binseif2216
Ай бұрын
Tunawafundisha bible yenu sababu huenda mkienda kanisani mnapewa maelekezo na wachungaji wenu pakufungua ambayo yanawapinga hamuonyeshwi tupo kwa ajili ya kuwasaidieni na kukuepusheni na upagani
@Msumbwa23
Ай бұрын
Sisi waislamu tunaiamini biblia ikisema ukweli tunaamini na hata ikisema uongo tunaiamini kuwa hapo imesema uongo maana ukweli wote umebainishwa ndani ya Quran vilevile uongo wote umebainishwa, kuusu Muhammad kuswaliwa na mwenyezi Mungu huo ni uvivu wa kusoma maana Swala ni neno la kiarabu lenye maana zaidi ya moja kulingana na makusudio ya matumizi mfano maiti wa kiislamu anaswaliwa pia hapo kwa akili zako atakuwa Mungu..!? jibu hpo kwa kukusaidia ni kuwa tunamwombea dua , hpo maana ya swala imekua dua homework ifanye kwa hilo swali lako uchunguze kwa wanaojua wakujulishe sio kukurupuka tu..
@ndukulusudikucho_
Ай бұрын
Uislam Dini ya haki jiepushe na moto wa milele Kwa washirikina waabudu masanam
@salimakida95Ай бұрын
Kwani wewe ushatoka kwenye uislam,ukasema umeitwa na Yesu lakini mbona kil kukicha unakazi ya kuuzungumza uislam,wasome wakristo ingili
@babazungu3180Ай бұрын
Natoka usa kwenda tz ndan ya ndege angan kuna chakula halafu ni kuku na Ngo'mbe tu
@user-gy5en6cy8o
Ай бұрын
Kabla hujapanda ndege unaweza omba chakula gani unataka na option unayo
@user-hy5zd5rn6rАй бұрын
Pungufu zipo,aya ya kunyonyesha mabarubaru mara 10 iko wapi?
@paulmushi2428Ай бұрын
HALLELUJAH HALLELUJAH HALLELUJAH yaani ukikosa yaani BIBLIA TAMUUUUUUUU na imejitoshereza Yaani Shifi hiyo ndiyo Biblia mkusanyiko wa vitabu vya manabii lazima ikupe nguvu hata kama ulikuwa umeishiwa aya za Qur'an
@1THEBRAIN
Ай бұрын
Biblia kitabu cha yohana, matayo, luka, hakuna maneno ya mungu humu 😂😂😂 kitabu hicho kina sema upumbavu wa mungu ni bora yani mungu ana upumbuvu, hayo yanaweza kua maneno ya mungu, biblia ilaeleza yesu kafufuka akapaa wakati yesu kapaa nani alie wapataarifa na yesu hayupo 😊😅😅
@paulmushi2428
Ай бұрын
@@1THEBRAIN Qur'an imeandikwa na Zaid Ibn Thabit mwaka 632BK Kwa amri ya Swahaba Omar na Ab Bakar baada ya kifo cha Muhammad Ile Qur'an ya Muhammad ya kifuani Iko wapi? Nipe Aya ndani ya Qur'an inayosema MIMI MWENYEZI MUNGU MUUMBA MBINGU NA ARDHI KITBU CHANGU ni Qur'an toa Aya Maamuma!
@paulmushi2428
Ай бұрын
@@1THEBRAINQur'an ya pili Iliandikwa Mwaka 652Bk na Zubair, Al-as, Hisham, na Thabit Kwa amri ya Uthuman Swahaba wa Muhamad Kisha akaichoma moto Qur'an iliyoandikwa Kwa amri ya Ab Bakar na Omar!!! Naomba Aya ndani ya Qur'an inayosema MIMI MWENYEZI MUNGU MUUMBA MBINGU NA ARDHI Kitabu CHANGU ni Qur'an!!
@makenaOG
Ай бұрын
@@paulmushi2428haya tupe aya katika Qur'an kuthibitisha madai yako
@shifaazawadi4438
Ай бұрын
Kujinasibuni kwako kwa biblia na hata kuhifadhi Bibili kwa kichwa kuisoma yote bila kufungua Biblia Hamjui na bado mnajinadi nahiyo Biblia ambayo hata kuisoma kuanzia mwanzo wa Biblia hadi Mwisho wa Biblia
@prochesernest5439Ай бұрын
Duuuuuuuu!!!!! Quran hakuna makosa au utata 2:97 47:7 Quran Allah anusuriwe 33:56 Allah anaswali
@user-go1rl6bb1z
Ай бұрын
Hawa watu hujisemea pasi nakuangalia wanacho sema.
@prochesernest5439
Ай бұрын
@@user-go1rl6bb1z waislamu mnatafuta biblia iwasaidie kumuharalisha mungu wenu WA kwenye Quran amtapata kame
@KeiFerouz-fn9ocАй бұрын
Lkn si imeandikwa? Mnabishana nini kwani vtbu mliandika nyinyi
@abelsuleimanshiliwa2150Ай бұрын
Sasa MUNGU anapokusamehe kwa kula kilichoharamishwa, huoni kama ameruhusu? ingekuwa hakuna msamaha kusingekuwa na ruhusa kitendo cha msamaha kinadhihirisha kuwa ni ruksa, na kwa mujibu wa IPM yeye hoja yake nikuwa sehemu ambayo hakuna chakula kingine ni ruhusa.
@user-cy1od5xr8xАй бұрын
Usije ukamfuata Dr Sule itakuwa amali zako zote ni kama vumbi
@prochesernest5439Ай бұрын
Wewe hiyo walawi imetaja Nguruwe na ngamia vip nyie mbona mnakula ngamia ? Usiitumie biblia kujitetea kwa mungu wenu Allah wa Quran hawafanani kabisa na Mungu Yehova
@daslamonline4665
Ай бұрын
Akili yako finyu katoa Aya vitabu vyote uroho tu kula nyamafu
@prochesernest5439
Ай бұрын
@@daslamonline4665 wewe usiwe WA kusomewa akasome mwenyewe huyo shekhe ni muongo 1 wafalme kilichoandik WA hapo sio alichokisoma msiwe kama mtume wenu aliyekuwa ajui kusoma Wala kuandika 7:157 quruan
@FrankAloyce-ic6rqАй бұрын
Unaleta siasa tu shafii hadithi nyingiiii pole imekuchomaa hiyo
@FrankAloyce-ic6rq
Ай бұрын
Unaomba biblia ikuseemee pole simnaikataaga biblia Leo unaitumia ili ujifichie siunasema mabamia Sasa una itumiaje mabamia Tena?umechangangikiwa?tumia koran kuvunja hoja acha polojo ww kwasababu uiamin biblia Sasa unatumika hapo ili iweje unaona unavyojivuruga au Iman yenu haisimam mbaka bible
@FrankAloyce-ic6rq
Ай бұрын
Hakuna mtu Tanzania anaeweza kushindana kwa elimu na wakristoo yan elimu yeyote iliyoulimwenguni kristo Yuko juu ataendelea kuwa juu daima ww shafii utapga kelelewee rakiki juwa unapoteza mda tu kufifisha ukristo ningumu kuvunja msingi wakristoo uwezi mbaka kiama kije
@binseif2216
Ай бұрын
@@FrankAloyce-ic6rqSasa sitoa Aya ndani ya bible tujue kuhusu ngurue?kwa ELIAZAR ambae mnamwamini ndani ya bible kuwa ni mchamungu mbona alikataa kula nyama ya ngurue huku akipewa adhabu nakushurutishwa
@paulmushi2428
Ай бұрын
@@binseif2216 Kwa hiyo mmekibali kuwa Waislamu kula nguruwe Kwa mlango wa dharula ukiwa na njaa ni halali!!
Huyu kafiri IPM hajakosea ,amesema sahihi kula kwake ni kwa kuzuia kilo,shekh hapo hujaelewa
@ISAALMASIHI9823Ай бұрын
Ila waislamu bhana Kula lakini usishibe Sasa nani anayekula Kwa lengo la kitoshiba?Hii dini ya majini ina shida
@paulmushi2428
Ай бұрын
😂😂😂😂 Hiyo sawa na kusema ukishikwa na dharula ya upwilu kama hujaoa au mke Yuko mbali basi zini!!
@ISAALMASIHI9823
Ай бұрын
@@paulmushi2428 Huu ndio uislamu dini ya ajabu aliyokuja nayo nabii Umi( mwarabu asiye na kitabu cha mungu) Yani waislamu 99.7% ya mashehe wao wanatumikishwa na majini, dokta sulle kawaumbua wenzake kina shafii, Sasa shafii anampinga sulle wakati naye anasema anajua namna ya kuita majini Mungu mkuu Yesu kristo kiboko ya majini wanaofugwa na kutumikiwa na waislamu, akubariki Mushi, umenena vema
@adinanimzimbiri
Ай бұрын
Umekaririshwa kanisani
@msambalamjukuu3866Ай бұрын
mbona nyny mnasema Yesu sio MUNGU na wala wakristo awaji juu kama nyny mnajifanya mjuaji
@princematumbo
Ай бұрын
Kwani huyo Yesu ni wenu? Yesu ni Wa waislamu,so lazima tumzungumzie
@shabamuhidin634
Ай бұрын
hakuna aliyekuja juu,hakuna andiko linalosema maneno hayo...na hatuwezi kukaa kimnya wakati Wengine wanapoteza watu,kwa mfano nikiona mkora anataka kukutapeli wewe kama jirani yangu lazima nikujulishe ukweli ili usiibiwe,siwezi kuacha uingie kwenye shimo
@ustadhfarouq7729
Ай бұрын
Kwani mungu alizaliwa ama aliumbwa?Aliyemuumba mungu tumboni mwa Maryam nani?Aliyekufa ni Mungu yupi?Na je siku ya mwisho atahukumiwa na mungu yupi?
@paulmushi2428
Ай бұрын
@@ustadhfarouq7729 Wewe umeruhusiwa Kula nguruwe Kwa mgongo wa nyuma😂😂
@paulmushi2428
Ай бұрын
@@shabamuhidin634 Wewe umeruhusiwa Kula nguruwe Kwa mlango wa nyuma hivyo ukisikia tu njaa Kula nguruwe ila usishibe😂😂
@Excellent1MichaelАй бұрын
Unaweza ukauongelea vizuri uislamu au kuwafanya watu kuwa waislamu bila kuuzungumzia ukristo. Heshimu dini za watu wengine, haina haja ya kuwazungumzia ili watu waje kwenye dini yenu
@paulmushi2428Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🎉😂😂😂😂😂 Waislamuuuuuuuu mlikuwa mnajificha ficha kumbe mnakula nguruwe kwa mlango wa dharura!! Kuanzia leo acheni kukanusha eti nguruwe ni haramu!! Kwa hiyo nyie siku moja mtasema ukizidiwa na upwilu na mke yuko mbali au kama huna mke ruksa kuzini kwa mlango wa dharura😂😂😂😂 mna hatari nyie😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂.
@awatifsubeit4007
Ай бұрын
Upiru hauuwi kwa hiyo dharura iyo haipo
@paulmushi2428
Ай бұрын
@@awatifsubeit4007 Kwa maana ya kuruhusiwa kula nyama ya nguruwe Kwa mlango wa dharula hata upwilu mtakuwa mnaruhusiwa Kwa dharura
@SalmanMughal-lq5lt
Ай бұрын
NjaakubwaIsiyokubalikaweweVipi
@amirmohamedali7922
Ай бұрын
Wewe ndungu unamaana hayo yote shekh aliofundisha hukuelewa ilimu iliokamilika kwakweli nyie wakiristo mume jawa na chuki na hasad kwa uisilamu lolote munalofundishwa mwaligeuza kinyume ilivyo fundishwa
@prochesernest5439Ай бұрын
Duuuuuuuu!!! Kumbe quruan inategeme vitabu vingine quruan inategemea Hadith za Muhammad basi Muhammad na Allah wapo sawa Quran imejaa uongo mwingi sana
@AthumaniMwenendii-wm8xsАй бұрын
Sheikh picha sio angavu muonekano sio mzur
@shafiishomari2328
Ай бұрын
Kwel sina camera
@user-go1rl6bb1zАй бұрын
Wewe kafiri..unakinga quran ukitumia biblia duuuuuu!! 😂😂😂😂 waislamu ovyo!
@paulmushi2428Ай бұрын
Shafii, 😂😂😂Upige porojo vipi nyama ya nguruwe ni halali kula kwa Mwislamu Kasome Qur'an aya hizi za Qur'an 2: 173 na 6: 145 na 16: 115 soma maelezo ya Watafsiri wa Qur'an kama Sheikh Abdulla Saleh Al Farsy yote unaruhusiwa kula kwa hiyo huyo Mchungaji alikuwa sahihi kabisa!!
@rayisadesigns2646
Ай бұрын
Nguruwe ni haramu ila uislam umetoa ruhusa ya dharura ya kula nyama yake ikitokea upo ktk mazingira ambayo hakuna chakula chengine kabisa zaidi ya nguruwe na hali ya njaa uliyofikia usipokula lazima njaa itakuuwa. Ikifikia steji hiyo ndipo uislam unapokuruhusu kula kwa dharura ili unusurike kifo.
@Catherine-mh8sw
Ай бұрын
@@rayisadesigns2646shukran
@paulmushi2428
Ай бұрын
@@rayisadesigns2646 Yaani Allah kigeugeu Mungu gani huyo aseme haramu Kisha ukiwa na njaa akurusu kula? Hiyo ni sawa na kusema ukishikwa na dharula ya upwilu kama hujaoa au mke wako Yuko mbali basi ruksa kuzini ili kuondoa upwilu!! Sisi WAKRISTO MUNGU MUUMBA MBINGU ametuambia tuwe waaminifu mpaka kufa!!
@binseif2216
Ай бұрын
@@paulmushi2428Kwahiyo ngurue ni halali kwenu we Mgalatia????
Пікірлер: 180
ALLAH akulipe kinacho stahili kwako shehe wangu nakukubali sana nafatilia sana darsa zako unatoa elimu kwa mwenye kuelewa ataelewa na mwenye kupuuza asara yake
Swadakta sheikh wangu upo vizuri. Allah akuongezee umri Mrefu tupate elimu Zaidi.
Umetisha sana Shekh kama mkristo ameskia mawaidha haya na bado akabaki kua mfuasi wa mwamposa amepata hasara sana
Assalam alaykum warahmatulullah wabarkatu, Tupo pamoja tokea Lubumbashi Wantashi DRC
Assalamou anlaykum wa rahmatullahi wa BARAKATUHU Tupo pamoja Ustaadh wangu nakufata sana 100% piya nakupenda sana ajili ya Allah... Kutoka drc 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Alhamdulillah kwa katika mwema ya uislam sheikhe shafi Allah akuhifadhi
Mungu akupe maisha marefu
Allah akuhifadhi inshallah
Nimekuelewa sana Sheikhe wangu
@paulmushi2428
Ай бұрын
Kama umemuelewa Shafi Anza kutafuna nguruwe Kwa mlango wa dharula 😂😂😂😂😂
Shida ya wagalatia wanapelekwa na wachungaji wao lkn alhamdulillah wachungaji wengi wanasilimu kwa sasa
@martinmkoba361
Ай бұрын
Mchungaji yupi aliesilimu.au anaejiita mchungaji😂😂
Swadaqtta sheikh wetu Allah akihifadhi huwa unajibu maswali kutumia Ayaa na Hadith nde inatakiwa
Mwamba huyu hapa mashaallah
Mashaallah ustadh shaf..Allah akuhifaz
Ma sha Allah, Allah akulipe Jannah
Kama uko na moyo mwepesi unaeza kasirika haraka😂unaweza kuona kama unajibizana na mtoto mdogo,na uachane na kazi ya daawah kabsaa..hii kazi inahitaji uvumilivu sana
@mohamedtsuma9902
Ай бұрын
Wallah makafiri wanataka tutumie akili sababu wanaeza fanya ulie Kwa ujinga wanasema
Shafi unajuwa Mungu akuongoze inshallah
Mungu akuogeze
Asante sana Babangu 😢😢😢
Nilikuwa nasubir sana shehe Shafii kumuonya huyu kiumbe.Ilikuwa ni comments kwake wakati anaongea lakini alifunga comments maana alijuwa kitamkuta kitu.
Thank you
Asante shukran hatanamimi nilikua sifahamu hivo
We nzee unatisha tafsili tam sana hio kweli wislwm ni mtamu
Quran Sikama Gazeti Kusoma Quran yahutaji Elimu
Ahsante
uposahihi yakhe❤
Mimi ni Mpentecoste na sina chuki na waislam kwa sababu islam ina maana kubwa sana na si jina tu la mtu
kila mtu afuate imani yake,kuna ubaya gani mtu kubadili dini!
Usthaz shafi cuide bem de sule
MAMBO YA WALAWI 11 : 4 Pamoja na hayo, wanyama hawa hamtawala katika wale wenye kucheua, na katika wale walio na kwato; ngamia, kwa sababu yuacheua lakini hana kwato, yeye ni najisi kwenu.
@NganziSalimu
Ай бұрын
Tuambie wanapatikan wapi ngamia wenye kucha.. au kwato kwa mujibu wa akili yako inakuwaje
prophety yupo sawa waislam mnaleta mbambamba
Ni kama vile mnatuambia Kuna majini Wazuri Na wabaya inalilaah.
@AlfredZacharia-of3je
Ай бұрын
Hakuna Majin wazur yote ni mashetwan tu
@salimmbilu4524
Ай бұрын
Hujui omba ufundishwe sheikh wangu
Ngamia ni haram pia Mambo ya Walawi 11 : 4 Pamoja na hayo, wanyama hawa hamtawala katika wale wenye kucheua, na katika wale walio na kwato; ngamia, kwa sababu yuacheua lakini hana kwato, yeye ni najisi kwenu.
Mungu akipenda tutaonana keshoo😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kweli mikafir inapotosha watu sana makanisani kwa maslahi Yao ya dunia wakati na hayo makondoo yanasapoti
@paulmushi2428
Ай бұрын
Wewe ndiyo uliyepotosjwa na Muhammad eti wakati wa kisali lazima usujudi kuelekea Makka kwenye Kaaba yenye Jiwe jeusi yaani Al hajar Al aswad wewe umepotoshwa unasujudia JIWE ukidhani unasujudia Mungu kumbe jiwe mungu wa Waarabu Maqureishi wa Makka
@user-pl8pn7qb9e
Ай бұрын
Usilo lijua ni sawa na usiku wa Giza ,@@paulmushi2428
@adinanimzimbiri
Ай бұрын
je ww unayesema yesu mungu wakati ni mtu
@paulmushi2428
Ай бұрын
@@adinanimzimbiri YESU KRISTO NI MWANA WA MUNGU ALIYE HAI AMBAYE NDIYO YA KWELI NA UZIMA wewe unasujudia JIWE JEUSI lililoko Makka kwenye Kaaba linaitwa Al hajar Al aswad bila kujitambua umepotoshwa na Muhammad hilo jiwe ni mungu wa Waarabu Maqureishi Wapagani wa Makka!! Shituka jitambue Njoo Kwa YESU KRISTO uepuke ibada ya shiriki
@SalmanMughal-lq5lt
Ай бұрын
Innanilah.wewe.hujielewi.lete.maandiko.kusadikisha.manenoyako@@paulmushi2428
Allah siyo Mungu kwanza anahitaji usaidizi wa waamini yaani Mwanadamu Qur'an 6: 14 Enyi mlioamini! Kuweni wasaidizi wa Allah kama alivyosema Isa bin Mariam Qur'an 47: 7 Enyi mlioamini! Mkimnusuru Allah Naye atawanusuruni na ataithibitisha miguu yenu!! Hapo inaonyesha Allah anahitaji nusura kwa waamini sijui kapata ajali? Qur'an 33: 56 Hakika Allah na Malaika wake wanamsalia Nabii. Enyi mlioamini msalieni na mumsalimu kwa salamu!! Je kama Allah ni MUNGU hizo sala zake zinaenda kwa nani?? Allah si Mungu!!
@ISAALMASIHI9823
Ай бұрын
Hizi aya waislamu hawatoboi
@ISAALMASIHI9823
Ай бұрын
Hakika umenena vema, waislamu hawatoboi ktk Aya hizi
@samwelimwanja4105
Ай бұрын
Mwislam ni mtu anaejisifu sana na ni mjuaji sana ila kumbe kinyume chake ni mtu kipofu na aliepotea milele wao wanapigia debe Dini ila sisi Tunamwabudu Mungu wa kweli na Mhamadi hakuna sehemu amenenwa kwenye Biblia yeye aliletwa na shetani kwa makusudi kabisa ndio maana sisi tunatumia Damu wao wanatumia maji.
@ISAALMASIHI9823
Ай бұрын
@@samwelimwanja4105 Yesu kristo ndio kiboko ya majini wanayayaabudu, ndio maana yanawatia hasira wamchukie Yesu kristo Mungu mkuu na mwokozi wetu kwani yanamjua sana Ila shetani kawaweza, yaani wanaswali nayo Kisha yanawapuliza matakoni lakini Bado wanayatetea, eti yapo majini mazuri na mabaya
@RamadhaniMaarifa
Ай бұрын
Mungu wenu alivyokufa siku 3 dunia ilikua inaendeshwa na nani kama sio ALLAH?
Mapadri hawana dini wanaharamisha alichokiharamisha Allah. Yeremia 8:8. Isaya 64:10. Mikafiri hiyo inakwenda motoni tu.
Nyie mungu wenu anasikiyaga lugha moja tu au 😂😂😂😂😂 Ndo maana mnaamini kwamba peponi watu wote wataongea kiarabu tu Muarabu kawaharibu akili 100%😂😂😂😂😂😂😂😂
QURAN inamapungufu sana inasema eti Musa Ibrahim Yesu na wengine ni waislam wakati mhamad ndiye muislam wa kwanza soma QURAN 6:14 , 6:163b , 39:12
@dudemussa6715
Ай бұрын
Wewe kafiri, Allah anakusubiri kiama hana wasiwasi yupo kwenye dhati yake. Na utajuta kafiri wewe.
@sulealim6325
Ай бұрын
Samahan Nakhs ulitakiwa kumuelimisha ili ajifunze kwako@@dudemussa6715
Umesema mwenye swali aulize, basi naomba tafsir au uzielezee aya hizi, quran 2:246-253
@MchaFakih-ij8kh
Ай бұрын
Suali au ombi hilo
@mobutu3884
Ай бұрын
@@MchaFakih-ij8kh kaelewa
@MsodokiTheson
Ай бұрын
Wewe tuambie inasemaje acha kutushughulisha
@mobutu3884
Ай бұрын
@@MsodokiTheson Na haya majibu yenu ndio yanaonesha kuwa nyie hamsomi mnasubiri sheikh au ustadh aongee halafu mkalale someni vijana, najua hata wewe ukisoma aya hizo huambulii kitu hapo.
@MsodokiTheson
Ай бұрын
Ukubwa wa udogo wa tatizo unaletwa na na akili yako!
Je! Afrika ilikuwa na dini kabla ya ujio wa Waarabu na Ulaya? Je! Umeona dini bila wamishonari? Je! Umeona dini bila waarabu? Je! Umeona dini bila ahadi / tishio la mbingu na kuzimu? Je! Umeona dini ambayo haibadilishi jina na kitambulisho cha watu wanaowateua? Je! Unajua juu ya uwepo wa kitu kama hicho barani Afrika kabla ya wakoloni kuja kutoka Ardhi ya Kiarabu na Ulaya? Je! Ni kwanini wakuone wewe ni mjinga sana na kwamba mtu atambulishe tamaduni na mila yako kama ibada zilizo na ajenda ya kupunguza njia zako za maisha na kuwafanya watumwa wa milele, bado, unakubali ufafanuzi wake bila swali? Waafrika, tuna tamaduni zetu, mila, na hali ya kiroho na hakuna hii ni dini. Safari ya umishonari ambayo ilifadhiliwa na majimbo na serikali za mataifa ya Kiarabu na Ulaya haiwezi kuwa ujumbe wa Mungu kweli pasipo kua maarifa na uelewa wa ndani juu ya hizi dini, lazima kukosoa kwanza, lakini dhamira ya utumwa na ukoloni. Acha kulala na fungua akili yako kwa mapana. kwa kumalizia nitoe maana ya utamaduni . njia zote za maisha ikijumuisha sanaa, imani na taasisi za watu ambazo hupitishwa kutoka kizazi hadi kizazi . Utamaduni umeitwa "njia ya maisha kwa jamii nzima." Kwa hivyo, inajumuisha kanuni za adabu, mavazi, lugha, dini, mila, sanaa. Je! kwanni uislam na ukristo ubadilishe mitindo ya mavazi, chakula sanaa na njia zote za waafrika na baada ya karne hii kuisha majina ya waafrika wengi yatakua ya kiarabu na ulaya mwanzo wakufa kwa ulithi wa kiafrika unaanza hapa na kusahau mazuri waliyofanya babu zetu tungependa kujua pia chimbuko la hizi dini kiundani na kuchukua yale mafunzo mema bila kuathiri utamaduni wetu. makatazo ya vyakula ama mavazi bado yanakinzana na uhalisia wa maisha yetu kuna sehemu jamii ya wanyama na vyakula vilivokatazwa kidini kumekua ndio zao kuu chanzo kikuu cha chakula pengine mungu angetupa sehemu nzuri moja ya kuishi kujitenga na vyanzo vya vyakula hivo kuna mambo ayapo sawa na tungependa mngejikita zaidi kwenye kueleza uhalisia wa hizi dini kuliko kukosoana tu kwani hakujengi na elimu yetu juu ya hizi dini inazidi kudumaa. Mtazamo tu
Wakirsto weng hawajui kuwa wachungaji nii wapotoshaji bibikia yao inawaambia
Uyo anaa laana akitoka kwenye uislam Ivo anakufuru nyingi namwbia hii ni Dunia umefata maslahi ya Dunia
wewe shekhe kweli auna akili sasa apo ndio umeongea mungu kaharamisha alafu ukira amekusahe tatizo la mashekhe awanaga uvumilivu yani apo bado ujasema mpaka mseme
Wacristo someni dini
Mbona mnakula Ngamia wakati katika torati haruhusiwi? Kumbukumbu la Torati 14 : 7 Lakini, hawa msile katika wale wenye kucheua, na hao waliopasuliwa ukwato; ngamia, na sungura, na kwang'a, kwa kuwa hucheua, lakini hawakupasuliwa kwato, ni najisi kwenu;
Yaani kwenye ukristo mtu anaswali bahat mbaya umemtika ushuzi na ibada inaendelea 😂😂
@AliNassor-qt6fm
Ай бұрын
😂😂😂😂😂
Sasa nimelewa kwa nn alikwenda kanisani upungufu wa Imani na kwenda kuwachuna kondoo😂
Kumbe wakristo wote wanakula Nguruwe kwa nini hamna hata mkristo moja aliyepinga kuwa nguruwe haliwi wote ni kweli Nguruwe ni halali kuliwa nyinyi makafri hacheni ulafi mtochomwa na Mungu hacheni kudanganyana
@paulmushi2428
Ай бұрын
Waislamu mmeruhusiwa kula nyama ya nguruwe Kwa mlango wa dharula acha porojo
@binseif2216
Ай бұрын
@@paulmushi2428Leta Aya
Unawafundisha ambayo hawayajuji tena ktk kitabu chao wenyewe kweli wewe ni mwalimu wa wakristo
Pia Unadai sijui Qur'an mpaka uisome sijui uitie viungo hayo yote ni maelezo yako Qur'an yenyewe inasema ni nyepesi kufahamika Soma Qur'an 54: 17-22-32 acha kuitia ugumu Qur'an ni nyepesi kufahamika Pia unasema Qur'an imekamilika huo ni UONGO Soma Khadith za mke wa Muhammad Aishah anasema Aya zingine zililiwa na mnyama Soma Kitabu (Sunan Ibn Majah, d 1277 kitabu 10-khadidh 102 Pia Soma Taz. Al itqan-juzuu 2 uk 32) (As suyut-al-itqan fii uluu al Qur'an pg 524 na Khadith nyingi tu zinasema baadhi za aya za Qur'an zilipotea utasemaje Qurani imekamilika danganya Maamuma wasiyoijua!!
Siyo kama hawailewi au hawasikii bali ni elimuyao ndogo
Wewe shafi uongo unakusaifia nini hiyo 1.Wafalme 6:24 inasema inasema habari za Suleiman alivyo jenga hekalu nyumba ya Mungu hpo hakuna habari za njaa ni habari za vyumba walivyo tengeneza makerubi usifananishe biblia na Quran kabisa Quran hata uisifieje bado ni kitabu Cha majini maana wana sura Yao biblia haina kitu kama hicho biblia imewataja tu majini haikuwapa nafasi ya kujisifua kwenye biblia mashetani Quran 72:1,14
@selemanimchana3598
Ай бұрын
Wewe huna akili kabisa sio majini tu Kila unachokijua Quran imekielezea, ndio ujue hicho ni kitabu Cha mungu, Sasa bibli hata viumbe vya mungu vingine haivijui unajielewa kweli
@prochesernest5439
Ай бұрын
@@selemanimchana3598 wewe ndo unahakili kama unaiamini quruan imesema Kila kitu nihonyeshe kwenye Quran jina la mke WA Adam na nionyeshe jina la mwenyezi Mungu au Allah hicho ni kiarabu Sio jina hata wakristo WA kiarabu wanasema Allah ambaye ni Yehova hili utetee kitabu chenu nakusubili
@Naw89
Ай бұрын
Sasa najiuliza huyo mwenye alipewa hichokitabu unachokiamini wewe ni muislam bado umekaa huko unamuita Mungu wakati katahiriwa Wewe bakia huko huko mana tukienda peponi sote moto utakosa wateja
Haya ya kula ngamia je hipo???
Waislamu saa ingine kama hamnazo Mnasema Biblia siyo kitabu cha Mungu oooh Biblia imechafuliwa lakini Qur'an ikosa majibu mnakimbilia tena Biblia iwasaidie kuthibitisha hoja zenu hata hamueleweki kama Allah amnayesema Mungu huku na yeye anamswalia Muhamad 😅😅
@omarymbwana9798
Ай бұрын
Soma utaelewa acha ngonjera
@paulmushi2428
Ай бұрын
@@omarymbwana9798 Nimesoma Qur'an kuwa Waislamu mnaweza kula nyama ya nguruwe Kwa mlango wa dharula!!😅
@binseif2216
Ай бұрын
Tunawafundisha bible yenu sababu huenda mkienda kanisani mnapewa maelekezo na wachungaji wenu pakufungua ambayo yanawapinga hamuonyeshwi tupo kwa ajili ya kuwasaidieni na kukuepusheni na upagani
@Msumbwa23
Ай бұрын
Sisi waislamu tunaiamini biblia ikisema ukweli tunaamini na hata ikisema uongo tunaiamini kuwa hapo imesema uongo maana ukweli wote umebainishwa ndani ya Quran vilevile uongo wote umebainishwa, kuusu Muhammad kuswaliwa na mwenyezi Mungu huo ni uvivu wa kusoma maana Swala ni neno la kiarabu lenye maana zaidi ya moja kulingana na makusudio ya matumizi mfano maiti wa kiislamu anaswaliwa pia hapo kwa akili zako atakuwa Mungu..!? jibu hpo kwa kukusaidia ni kuwa tunamwombea dua , hpo maana ya swala imekua dua homework ifanye kwa hilo swali lako uchunguze kwa wanaojua wakujulishe sio kukurupuka tu..
@ndukulusudikucho_
Ай бұрын
Uislam Dini ya haki jiepushe na moto wa milele Kwa washirikina waabudu masanam
Kwani wewe ushatoka kwenye uislam,ukasema umeitwa na Yesu lakini mbona kil kukicha unakazi ya kuuzungumza uislam,wasome wakristo ingili
Natoka usa kwenda tz ndan ya ndege angan kuna chakula halafu ni kuku na Ngo'mbe tu
@user-gy5en6cy8o
Ай бұрын
Kabla hujapanda ndege unaweza omba chakula gani unataka na option unayo
Pungufu zipo,aya ya kunyonyesha mabarubaru mara 10 iko wapi?
HALLELUJAH HALLELUJAH HALLELUJAH yaani ukikosa yaani BIBLIA TAMUUUUUUUU na imejitoshereza Yaani Shifi hiyo ndiyo Biblia mkusanyiko wa vitabu vya manabii lazima ikupe nguvu hata kama ulikuwa umeishiwa aya za Qur'an
@1THEBRAIN
Ай бұрын
Biblia kitabu cha yohana, matayo, luka, hakuna maneno ya mungu humu 😂😂😂 kitabu hicho kina sema upumbavu wa mungu ni bora yani mungu ana upumbuvu, hayo yanaweza kua maneno ya mungu, biblia ilaeleza yesu kafufuka akapaa wakati yesu kapaa nani alie wapataarifa na yesu hayupo 😊😅😅
@paulmushi2428
Ай бұрын
@@1THEBRAIN Qur'an imeandikwa na Zaid Ibn Thabit mwaka 632BK Kwa amri ya Swahaba Omar na Ab Bakar baada ya kifo cha Muhammad Ile Qur'an ya Muhammad ya kifuani Iko wapi? Nipe Aya ndani ya Qur'an inayosema MIMI MWENYEZI MUNGU MUUMBA MBINGU NA ARDHI KITBU CHANGU ni Qur'an toa Aya Maamuma!
@paulmushi2428
Ай бұрын
@@1THEBRAINQur'an ya pili Iliandikwa Mwaka 652Bk na Zubair, Al-as, Hisham, na Thabit Kwa amri ya Uthuman Swahaba wa Muhamad Kisha akaichoma moto Qur'an iliyoandikwa Kwa amri ya Ab Bakar na Omar!!! Naomba Aya ndani ya Qur'an inayosema MIMI MWENYEZI MUNGU MUUMBA MBINGU NA ARDHI Kitabu CHANGU ni Qur'an!!
@makenaOG
Ай бұрын
@@paulmushi2428haya tupe aya katika Qur'an kuthibitisha madai yako
@shifaazawadi4438
Ай бұрын
Kujinasibuni kwako kwa biblia na hata kuhifadhi Bibili kwa kichwa kuisoma yote bila kufungua Biblia Hamjui na bado mnajinadi nahiyo Biblia ambayo hata kuisoma kuanzia mwanzo wa Biblia hadi Mwisho wa Biblia
Duuuuuuuu!!!!! Quran hakuna makosa au utata 2:97 47:7 Quran Allah anusuriwe 33:56 Allah anaswali
@user-go1rl6bb1z
Ай бұрын
Hawa watu hujisemea pasi nakuangalia wanacho sema.
@prochesernest5439
Ай бұрын
@@user-go1rl6bb1z waislamu mnatafuta biblia iwasaidie kumuharalisha mungu wenu WA kwenye Quran amtapata kame
Lkn si imeandikwa? Mnabishana nini kwani vtbu mliandika nyinyi
Sasa MUNGU anapokusamehe kwa kula kilichoharamishwa, huoni kama ameruhusu? ingekuwa hakuna msamaha kusingekuwa na ruhusa kitendo cha msamaha kinadhihirisha kuwa ni ruksa, na kwa mujibu wa IPM yeye hoja yake nikuwa sehemu ambayo hakuna chakula kingine ni ruhusa.
Usije ukamfuata Dr Sule itakuwa amali zako zote ni kama vumbi
Wewe hiyo walawi imetaja Nguruwe na ngamia vip nyie mbona mnakula ngamia ? Usiitumie biblia kujitetea kwa mungu wenu Allah wa Quran hawafanani kabisa na Mungu Yehova
@daslamonline4665
Ай бұрын
Akili yako finyu katoa Aya vitabu vyote uroho tu kula nyamafu
@prochesernest5439
Ай бұрын
@@daslamonline4665 wewe usiwe WA kusomewa akasome mwenyewe huyo shekhe ni muongo 1 wafalme kilichoandik WA hapo sio alichokisoma msiwe kama mtume wenu aliyekuwa ajui kusoma Wala kuandika 7:157 quruan
Unaleta siasa tu shafii hadithi nyingiiii pole imekuchomaa hiyo
@FrankAloyce-ic6rq
Ай бұрын
Unaomba biblia ikuseemee pole simnaikataaga biblia Leo unaitumia ili ujifichie siunasema mabamia Sasa una itumiaje mabamia Tena?umechangangikiwa?tumia koran kuvunja hoja acha polojo ww kwasababu uiamin biblia Sasa unatumika hapo ili iweje unaona unavyojivuruga au Iman yenu haisimam mbaka bible
@FrankAloyce-ic6rq
Ай бұрын
Hakuna mtu Tanzania anaeweza kushindana kwa elimu na wakristoo yan elimu yeyote iliyoulimwenguni kristo Yuko juu ataendelea kuwa juu daima ww shafii utapga kelelewee rakiki juwa unapoteza mda tu kufifisha ukristo ningumu kuvunja msingi wakristoo uwezi mbaka kiama kije
@binseif2216
Ай бұрын
@@FrankAloyce-ic6rqSasa sitoa Aya ndani ya bible tujue kuhusu ngurue?kwa ELIAZAR ambae mnamwamini ndani ya bible kuwa ni mchamungu mbona alikataa kula nyama ya ngurue huku akipewa adhabu nakushurutishwa
@paulmushi2428
Ай бұрын
@@binseif2216 Kwa hiyo mmekibali kuwa Waislamu kula nguruwe Kwa mlango wa dharula ukiwa na njaa ni halali!!
@binseif2216
Ай бұрын
@@paulmushi2428 unaniuliza mimi kwani shafii hujamskia?nyie wagalatia vp?
Huyu kafiri IPM hajakosea ,amesema sahihi kula kwake ni kwa kuzuia kilo,shekh hapo hujaelewa
Ila waislamu bhana Kula lakini usishibe Sasa nani anayekula Kwa lengo la kitoshiba?Hii dini ya majini ina shida
@paulmushi2428
Ай бұрын
😂😂😂😂 Hiyo sawa na kusema ukishikwa na dharula ya upwilu kama hujaoa au mke Yuko mbali basi zini!!
@ISAALMASIHI9823
Ай бұрын
@@paulmushi2428 Huu ndio uislamu dini ya ajabu aliyokuja nayo nabii Umi( mwarabu asiye na kitabu cha mungu) Yani waislamu 99.7% ya mashehe wao wanatumikishwa na majini, dokta sulle kawaumbua wenzake kina shafii, Sasa shafii anampinga sulle wakati naye anasema anajua namna ya kuita majini Mungu mkuu Yesu kristo kiboko ya majini wanaofugwa na kutumikiwa na waislamu, akubariki Mushi, umenena vema
@adinanimzimbiri
Ай бұрын
Umekaririshwa kanisani
mbona nyny mnasema Yesu sio MUNGU na wala wakristo awaji juu kama nyny mnajifanya mjuaji
@princematumbo
Ай бұрын
Kwani huyo Yesu ni wenu? Yesu ni Wa waislamu,so lazima tumzungumzie
@shabamuhidin634
Ай бұрын
hakuna aliyekuja juu,hakuna andiko linalosema maneno hayo...na hatuwezi kukaa kimnya wakati Wengine wanapoteza watu,kwa mfano nikiona mkora anataka kukutapeli wewe kama jirani yangu lazima nikujulishe ukweli ili usiibiwe,siwezi kuacha uingie kwenye shimo
@ustadhfarouq7729
Ай бұрын
Kwani mungu alizaliwa ama aliumbwa?Aliyemuumba mungu tumboni mwa Maryam nani?Aliyekufa ni Mungu yupi?Na je siku ya mwisho atahukumiwa na mungu yupi?
@paulmushi2428
Ай бұрын
@@ustadhfarouq7729 Wewe umeruhusiwa Kula nguruwe Kwa mgongo wa nyuma😂😂
@paulmushi2428
Ай бұрын
@@shabamuhidin634 Wewe umeruhusiwa Kula nguruwe Kwa mlango wa nyuma hivyo ukisikia tu njaa Kula nguruwe ila usishibe😂😂
Unaweza ukauongelea vizuri uislamu au kuwafanya watu kuwa waislamu bila kuuzungumzia ukristo. Heshimu dini za watu wengine, haina haja ya kuwazungumzia ili watu waje kwenye dini yenu
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🎉😂😂😂😂😂 Waislamuuuuuuuu mlikuwa mnajificha ficha kumbe mnakula nguruwe kwa mlango wa dharura!! Kuanzia leo acheni kukanusha eti nguruwe ni haramu!! Kwa hiyo nyie siku moja mtasema ukizidiwa na upwilu na mke yuko mbali au kama huna mke ruksa kuzini kwa mlango wa dharura😂😂😂😂 mna hatari nyie😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂.
@awatifsubeit4007
Ай бұрын
Upiru hauuwi kwa hiyo dharura iyo haipo
@paulmushi2428
Ай бұрын
@@awatifsubeit4007 Kwa maana ya kuruhusiwa kula nyama ya nguruwe Kwa mlango wa dharula hata upwilu mtakuwa mnaruhusiwa Kwa dharura
@SalmanMughal-lq5lt
Ай бұрын
NjaakubwaIsiyokubalikaweweVipi
@amirmohamedali7922
Ай бұрын
Wewe ndungu unamaana hayo yote shekh aliofundisha hukuelewa ilimu iliokamilika kwakweli nyie wakiristo mume jawa na chuki na hasad kwa uisilamu lolote munalofundishwa mwaligeuza kinyume ilivyo fundishwa
Duuuuuuuu!!! Kumbe quruan inategeme vitabu vingine quruan inategemea Hadith za Muhammad basi Muhammad na Allah wapo sawa Quran imejaa uongo mwingi sana
Sheikh picha sio angavu muonekano sio mzur
@shafiishomari2328
Ай бұрын
Kwel sina camera
Wewe kafiri..unakinga quran ukitumia biblia duuuuuu!! 😂😂😂😂 waislamu ovyo!
Shafii, 😂😂😂Upige porojo vipi nyama ya nguruwe ni halali kula kwa Mwislamu Kasome Qur'an aya hizi za Qur'an 2: 173 na 6: 145 na 16: 115 soma maelezo ya Watafsiri wa Qur'an kama Sheikh Abdulla Saleh Al Farsy yote unaruhusiwa kula kwa hiyo huyo Mchungaji alikuwa sahihi kabisa!!
@rayisadesigns2646
Ай бұрын
Nguruwe ni haramu ila uislam umetoa ruhusa ya dharura ya kula nyama yake ikitokea upo ktk mazingira ambayo hakuna chakula chengine kabisa zaidi ya nguruwe na hali ya njaa uliyofikia usipokula lazima njaa itakuuwa. Ikifikia steji hiyo ndipo uislam unapokuruhusu kula kwa dharura ili unusurike kifo.
@Catherine-mh8sw
Ай бұрын
@@rayisadesigns2646shukran
@paulmushi2428
Ай бұрын
@@rayisadesigns2646 Yaani Allah kigeugeu Mungu gani huyo aseme haramu Kisha ukiwa na njaa akurusu kula? Hiyo ni sawa na kusema ukishikwa na dharula ya upwilu kama hujaoa au mke wako Yuko mbali basi ruksa kuzini ili kuondoa upwilu!! Sisi WAKRISTO MUNGU MUUMBA MBINGU ametuambia tuwe waaminifu mpaka kufa!!
@binseif2216
Ай бұрын
@@paulmushi2428Kwahiyo ngurue ni halali kwenu we Mgalatia????