Mzee wa Upako Aungwa Mkono na Ustadh Shafii Kuhusu Ukiristo na Uungu wa Yesu

usisahau ku subscribe channels hii

Пікірлер: 54

  • @mashakabundala9955
    @mashakabundala99552 ай бұрын

    Maasha Allah Alhamdulilah

  • @shifaazawadi4438
    @shifaazawadi44382 ай бұрын

    Hayo Maandiko Wanayasoma lakini wanajitoa ufahamu wapate sadaka

  • @babazungu3180
    @babazungu31802 ай бұрын

    Wakristo hawajui,hawajui,hawajui bibilia jamaa hiki ni kiswahili

  • @hamisially2055
    @hamisially20552 ай бұрын

    ALLAH AKBAR MZEE WA UPAKO KASOMA IKHLAS KANISANI

  • @HappyKiteboarder-du9th
    @HappyKiteboarder-du9th2 ай бұрын

    Wanamasikio lakini hawasikii wanamacho lakini hawaoni

  • @mdidiomari7351
    @mdidiomari73512 ай бұрын

    MashaAllah

  • @ibraimodinodino828
    @ibraimodinodino8282 ай бұрын

    allah akbar

  • @ashuramuhammed3257
    @ashuramuhammed32572 ай бұрын

    Mm muislam lakini Mzee was upako na hananja Hawa watu wako timamu kuliko wachungaji wote tz naamini wanajua ukwel kama uislam ndo dini ya haki ila njaa TU zinawauma

  • @sultansallah8772
    @sultansallah87722 ай бұрын

    Yaani kitendo tu cha kumwita yesu MUNGU kinatosha kupina akili za WAKIRISTO

  • @DaudaBilikesi
    @DaudaBilikesi2 ай бұрын

    Alfred Zacharia,Leta ushahidi wa kushikika.Ni ama kauli ya Mungu au Yesu mwenyewe siyo habari za Paulo akiwahubiri Wafilipi.Ni wapi yeye alisema 'Mimi Yesu ni Mungu' ,niabuduni'.

  • @user-ip4ie7pt6i
    @user-ip4ie7pt6i2 ай бұрын

    Afadhali mnapo sema ni mwana wa Mungu kidogo tunaweza kuwaelewa kwa maana ata sisi sote ni wana wa Mungu kwa sababu yeye ni mwenye kumiliki dunia pamoja na vilivyomo.

  • @zuberkasim7150
    @zuberkasim71502 ай бұрын

    Nandiomana huwezi kusikia Mkristo kampa mwanae jina la ismaili tatizo chuki pandikizi jina lilitoka kwa mungu chukitupu

  • @dudemussa6715
    @dudemussa67152 ай бұрын

    Si kila mchungaji anajua dini, ila wanatafuta hela tu kwa vile hawajui watendayo. Taire taire Mzee wa upako, waamshe waliolala kwamba mungu azaliwe, anyonye, ale, atahiriwe, afukuzwe ili auawe kisha afufuke!!!!!! Lo! Mungu gani huyo!!!! Yohana 27:17, 12:13, 8:40 na 17:3. Basi wachungaji hawa ni Isaya 56:10-11.

  • @zuberkasim7150
    @zuberkasim71502 ай бұрын

    Mwalim awa wakristo atausemeje siokwamba hawaelewi tatizo ni ushabiki

  • @AziziMachweo
    @AziziMachweo2 ай бұрын

    Shafi shomar👊

  • @AlfredZacharia-of3je
    @AlfredZacharia-of3je2 ай бұрын

    QURAN 10:102 Muhammad anangojea moto kama wengine, kwahiyo si mtume wa Mungu. maana mjumbe wa Mungu hawezi kungojea hukumu.

  • @idrissmutinda6243

    @idrissmutinda6243

    2 ай бұрын

    Maoni yako hayo tu.nilitia uislam Shaka nikaamua kusoma na hatimaye nilijipata muislam.pia wewe karibu.

  • @AlfredZacharia-of3je

    @AlfredZacharia-of3je

    2 ай бұрын

    Pole sana maana sasa unaundugu na majini ambao ni maraika wa shetani.

  • @zuberkasim7150
    @zuberkasim71502 ай бұрын

    Wakristo wametengenezewa chuki wasimkubali nabii muhammad wamesahau kua muhammad nimjukuu wa ibrahim kupitia ismaili mtoto wakwanza wa ibrahim lakini wamemuamini malisa gwajima kua ni manabii

  • @blues4life633
    @blues4life6332 ай бұрын

    4:24 John Mungu ni roho ", Quran 17 85 hamkupewa elim ya roho mtamiulia wap Mungu? Mnaendeshwa na mihemko ya Mudi😢

  • @thehomeoffootballskills4358

    @thehomeoffootballskills4358

    2 ай бұрын

    Quran 17:85 Sahihi kabisa kasome waulize hilo jibu Muhammad s.a.w aluliziwa na wayahudi ndipo ALLAH awajibu mayahudi waloenda kumuliza Mtume kuhusu Roho ni nini naye akawambia kuwajibu mayahudi jibu hilo na waulize wachungaji wenu kuhusu elimu ya Roho hawajui why elimu ya Roho ALLAH hakuwapa zama zilizopita kabla ya mtume s.a.w isipokuwa kidogo ila sisi tumepewa elimu ya roho

  • @blues4life633
    @blues4life6332 ай бұрын

    Lazma mumuunge mkono 7bu nyote ni mapnga Kristo Walim vipofu wanafik na waongo kama huyo kiongoz wenu Mudi😢

  • @omaar5693

    @omaar5693

    2 ай бұрын

    wewe si muelewa upo tu hata aje mungu mwenyewe

  • @AlfredZacharia-of3je
    @AlfredZacharia-of3je2 ай бұрын

    QURAN 46:9 Muhammad hajui atakavyofanywa wala mtakavyofanywa. Duuh hiyo ni hasala na kupotea kwa waislam maana mtume wenu hajui kama atakwenda motoni au wapi.

  • @djoe8266

    @djoe8266

    2 ай бұрын

    Naamesema hivyo kwakua yy simungu bali nimjumbe wa mungu

  • @alzawahirabdallah2299
    @alzawahirabdallah22992 ай бұрын

    Waache waabudu mtu wawe kuni siku ya mwisho

  • @EmmanuelJulius-vw2dl
    @EmmanuelJulius-vw2dl2 ай бұрын

    Dini ya majini ety inatufundisha wakristo tumsikilize mzee wa upako😅😅😅😅 Em ngoja nikamsikilize tu sule ndio ananifundisha kweli kuhus uhusiano wa uislam na majin jinn😂😂 Wachawi wakubwa😂😂😂

  • @awaziloya-yj6yq

    @awaziloya-yj6yq

    2 ай бұрын

    Mwenyez mungu aliumba malaika majini na bin Adam kusudi wapate kumwabudu na Allah kawapen delea uislamu iwe ndio dini yao kwahyo si ajabu majini kuwa waislamu Bali wale majini walio kufuru yaan mapepo sio waislam

  • @AlfredZacharia-of3je
    @AlfredZacharia-of3je2 ай бұрын

    Wafilipi 2 : 6 ambaye yeye mwanzo alikuwa yuna namna ya Mungu, naye hakuona kule kuwa sawa na Mungu kuwa ni kitu cha kushikamana nacho; Wafilipi 2 : 7 bali alijifanya kuwa hana utukufu, akatwaa namna ya mtumwa, akawa ana mfano wa wanadamu; Wafilipi 2:8 tena, alipoonekana ana umbo kama mwanadamu, alijinyenyekeza akawa mtii hata mauti, naam, mauti ya msalaba.

  • @mussamohammedy8014

    @mussamohammedy8014

    2 ай бұрын

    Kaka kaka kaka acha fikra za kumezeshwa kwani wapi yesu mwenyewe ktk injili yesu kajiita mungu huo ni utumwa mliojazwa na wazungu

  • @user-ip4ie7pt6i

    @user-ip4ie7pt6i

    2 ай бұрын

    Mwenyezi Mungu afanye yote hayo azunguke kote huko ili iweje?

  • @mwawekomiuda9779

    @mwawekomiuda9779

    2 ай бұрын

    Umelala fo fo fo ukiamka uko Akhera. Kwa hyo Mungu katahiriwa na viumbe vyake hlf viumbe wake hao2 wakamtundika msalabani. Wacheni kumtania ALLAH nyinyi na fikra zenu potofu.

  • @AlfredZacharia-of3je

    @AlfredZacharia-of3je

    2 ай бұрын

    Yohana 14 : 9 Yesu akamwambia, Mimi nimekuwapo pamoja nanyi siku hizi zote, wewe usinijue, Filipo? Aliyeniona mimi amemwona Baba; basi wewe wasemaje, Utuonyeshe Baba?

  • @jafarimpawa8237

    @jafarimpawa8237

    2 ай бұрын

    Yohana 5:30,Mimi sifanyi neno mwenyewe Bali nisikialo toka kwa baba kwa maana baba ni mkuu kuliko mimi

  • @DavidMatata
    @DavidMatata2 ай бұрын

    Sisi wakristo hatumtaki Muhammad Wala hatutaki kuabudu pamoja na majini,tutaendelea kumfuata Yesu hadi mwisho... Takbirrr.

  • @SabraNassor-hv1xi

    @SabraNassor-hv1xi

    2 ай бұрын

    ww jamaa akili yako ipo sawa nani kakwambia sisi Waislamu tunaabudu Mungu na majini nyinyi wakristo ndio mnawakemeea mapepo kanisani

  • @DavidMatata

    @DavidMatata

    2 ай бұрын

    @@SabraNassor-hv1xi Soma surah Al jinni (72) majini wenyewe wanasema kwamba wao ni waislam,...Bro!Siyo Mimi ninayesema isipokuwa ni wao wenyewe.

  • @AhmedyyMicharazo-wi4mx

    @AhmedyyMicharazo-wi4mx

    2 ай бұрын

    Akili yako ndogo she wg, maana majini pia ni viumbe wa mungu hivo na wao wanatakiwa wamuabudu mungu so wapo wanaomjua mungu na wapo wasomjua mungu, ndugu jiongeze pia ww humfati yesu, mana yesu alisema kumjibu shetani, imeandikwa muabudu bwana mungu wako na umuabudu yeye pekeake, ss ww umekua unamuabudu yesu haha eka akiliako Sawa usiwe mjinga mpaka kupitiliza

  • @DavidMatata

    @DavidMatata

    2 ай бұрын

    @@AhmedyyMicharazo-wi4mx Mungu wa majini ni huyo Mungu wenu allah peke yake na mtume wenu Mohamed na Wala siyo Jehova.

  • @SuweidJuma

    @SuweidJuma

    2 ай бұрын

    Ukifa utajuwa

  • @HappyFireDragon-io4kn
    @HappyFireDragon-io4kn2 ай бұрын

    Nyenye mtachoka tu kuhusu YESU,YESU ndiye njia kweli na uzima.huyo nabii isa wenu na YESU ni watu wawil tofaut.na usiwadanganye watu.yesu ni mwokoz ndo maana hata ipm ameokolewa.hayo Majin mnayoyaamin kusema mazur hayatoki Kwa MUNGU bal shetan na Wala wewe uwez kuijua biblia Kwa sababu biblia wanaoielewa ni wenye roho WA MUNGU.na maneno Yako YESU anakusikia na usipobadilika utamwona uyo uliyesema sio MUNGU.na Allah wako utamwona kama MUNGU.

  • @AlfredZacharia-of3je

    @AlfredZacharia-of3je

    2 ай бұрын

    Ubarikiwe

  • @AlfredZacharia-of3je
    @AlfredZacharia-of3je2 ай бұрын

    Majini hayawezi kuwakubalia waislam waamini kuwa Yesu ni MUNGU ila biblia inasema Yesu ni Mungu Wafiripi 2:6_8

  • @jacksonmwafongo1917

    @jacksonmwafongo1917

    2 ай бұрын

    Yesu mutu soma yohana 8-40 eye mwenyewe kajisemea acha kuabudu mutu

  • @maclaudismail6606

    @maclaudismail6606

    2 ай бұрын

    Amelaaniwa anaefia msalabani. Je haijaandikwa hivyo ?

  • @AlfredZacharia-of3je

    @AlfredZacharia-of3je

    2 ай бұрын

    ​Soma Wafilipi 2 : 6 ambaye yeye mwanzo alikuwa yuna namna ya Mungu, naye hakuona kule kuwa sawa na Mungu kuwa ni kitu cha kushikamana nacho; Wafilipi 2 : 7 bali alijifanya kuwa hana utukufu, akatwaa namna ya mtumwa, akawa ana mfano wa wanadamu;Wafilipi 2 : 8 tena, alipoonekana ana umbo kama mwanadamu, alijinyenyekeza akawa mtii hata mauti, naam, mauti ya msalaba.

  • @AlfredZacharia-of3je

    @AlfredZacharia-of3je

    2 ай бұрын

    Waefeso 1 : 7 Katika yeye huyo, kwa damu yake, tunao ukombozi wetu, masamaha ya dhambi, sawasawa na wingi wa neema yake.

  • @francisjoseph1074

    @francisjoseph1074

    2 ай бұрын

    ​@@maclaudismail6606unaongea usichokijua soma ,1 Enyi Wagalatia msio na akili, ni nani aliyewaloga, ninyi ambao Yesu Kristo aliwekwa wazi mbele ya macho yenu ya kuwa amesulibiwa? 2 Nataka kujifunza neno hili moja kwenu. Je! Mlipokea Roho kwa matendo ya sheria, au kwa kusikia kunakotokana na imani? 3 Je! Mmekuwa wajinga namna hii? Baada ya kuanza katika Roho, mnataka kukamilishwa sasa katika mwili? 4 Mmepatikana na mateso makubwa namna hii bure? Ikiwa ni bure kweli. 5 Basi, yeye awapaye Roho na kufanya miujiza kati yenu, je! Afanya hayo kwa matendo ya sheria, au kwa kusikia kunakotokana na imani? 6 Kama vile Ibrahimu alivyomwamini Mungu akahesabiwa haki. 7 Fahamuni basi, ya kuwa wale walio wa imani, hao ndio wana wa Ibrahimu. 8 Na andiko, kwa vile lilivyoona tangu zamani kwamba Mungu atawahesabia haki Mataifa kwa imani, lilimhubiri Ibrahimu habari njema zamani, kusema, Katika wewe Mataifa yote watabarikiwa. 9 Basi hao walio wa imani hubarikiwa pamoja na Ibrahimu aliyekuwa mwenye imani. 10 Kwa maana wale wote walio wa matendo ya sheria, wako chini ya laana; maana imeandikwa, Amelaaniwa kila mtu asiyedumu katika yote yaliyoandikwa katika kitabu cha torati, ayafanye. 11 Ni dhahiri ya kwamba hakuna mtu ahesabiwaye haki mbele za Mungu katika sheria; kwa sababu Mwenye haki ataishi kwa imani. 12 Na torati haikuja kwa imani, bali, Ayatendaye hayo ataishi katika hayo. 13 Kristo alitukomboa katika laana ya torati, kwa kuwa alifanywa laana kwa ajili yetu; maana imeandikwa, Amelaaniwa kila mtu aangikwaye juu ya mti; 14 ili kwamba baraka ya Ibrahimu iwafikilie Mataifa katika Yesu Kristo, tupate kupokea ahadi ya Roho kwa njia ya imani. 15 Ndugu zangu, nanena kwa jinsi ya kibinadamu. Lijapokuwa ni agano la mwanadamu, hata hivyo likiisha kuthibitika, hakuna mtu alibatilishaye, wala kuliongeza neno. 16 Basi ahadi zilinenwa kwa Ibrahimu na kwa mzao wake. Hasemi, Kwa wazao, kana kwamba ni wengi, bali kana kwamba ni mmoja, Kwa mzao wako, yaani, Kristo. 17 Nisemalo ni hili; agano lililothibitishwa kwanza na Mungu, torati iliyotokea miaka mia nne na thelathini baadaye hailitangui, hata kuibatilisha ile ahadi. 18 Kwa maana urithi ukiwa kwa sheria, hauwi tena kwa ahadi; lakini Mungu alimkirimia Ibrahimu kwa njia ya ahadi. 19 Torati ni nini basi? Iliingizwa kwa sababu ya makosa, hata aje huyo mzao aliyepewa ile ahadi; iliamriwa kwa utumishi wa malaika kwa mkono wa mjumbe. 20 Basi aliye mjumbe si mjumbe wa mmoja; bali Mungu ni mmoja. 21 Basi je! Torati haipatani na ahadi za Mungu? Hasha! Kwa kuwa, kama ingalitolewa sheria iwezayo kuhuisha, yakini haki ingalipatikana kwa sheria. 22 Lakini andiko limeyafunga yote chini ya nguvu ya dhambi, makusudi hao waaminio wapewe ile ahadi kwa imani ya Yesu Kristo. 23 Lakini kabla ya kuja ile imani tulikuwa tumewekwa chini ya sheria, tumefungwa mpaka ije ile imani itakayofunuliwa. 24 Hivyo torati imekuwa kiongozi kutuleta kwa Kristo, ili tuhesabiwe haki kwa imani. 25 Lakini, iwapo imani imekuja, hatupo tena chini ya kiongozi. 26 Kwa kuwa ninyi nyote mmekuwa wana wa Mungu kwa njia ya imani katika Kristo Yesu. 27 Maana ninyi nyote mliobatizwa katika Kristo mmemvaa Kristo. 28 Hapana Myahudi wala Myunani. Hapana mtumwa wala huru. Hapana mtu mume wala mtu mke. Maana ninyi nyote mmekuwa mmoja katika Kristo Yesu.

  • @AlfredZacharia-of3je
    @AlfredZacharia-of3je2 ай бұрын

    QURAN 7:188 Muhammad si kitu wala si chochote ni yaani hana msaada wowote kwa watu

  • @KhamisSuleimanAbasi

    @KhamisSuleimanAbasi

    Ай бұрын

    Soma na hii yohane 5:30 huyo ni yesu alafu uitofautishe na hio Quran 7:188 huyo ni Muhammad. Alafu tafuta upenyo Soma kiswahili ili kikuingie akilini

Келесі