MAZINGE AGEUZA KANISA KUWA MSIKITI|JE NI IPI DINI YA MANABII SHUHUDIYA KIFUMBI HIKI CHA HOJA ZA AKIL

#AdilTV
• MAZINGE AGEUZA KANISA ...

Пікірлер: 92

  • @user-cg5eg2cs2w
    @user-cg5eg2cs2w10 ай бұрын

    Uislam ni dino pekeee 2 Allah akueke professor mazinge amin

  • @FahadAbdullah-hr9zf

    @FahadAbdullah-hr9zf

    4 ай бұрын

    Allaahumma aaamin yaaa rabby

  • @user-wn3py7dn5v
    @user-wn3py7dn5v10 ай бұрын

    Allah azidi kumpa nguvu na Imani babu yetu mazinge azidi kupigania na kulingania uislamu na bi idhni Allah wakristowapate upeo juu ya uislamu, uislamu ndiyo dini sahihi

  • @FahadAbdullah-hr9zf

    @FahadAbdullah-hr9zf

    4 ай бұрын

    Allaahumma aaamin yaa rabby

  • @kitambalamosumbabo1829
    @kitambalamosumbabo1829 Жыл бұрын

    Tous les débats qui opposent les musulmans et les chrétiens Adventiste du 7eme Jour m'intéressent beaucoup !

  • @user-nd2ev5hu1m
    @user-nd2ev5hu1m6 ай бұрын

    Sheikh mbogho dozi yatosha iyo basi wagonywa waachie kwaleo

  • @user-vb4ek9jd7x
    @user-vb4ek9jd7x11 ай бұрын

    Yesu ndiye njia pekee ya kwenda mbinguni

  • @apostlejacksonkalinga5191
    @apostlejacksonkalinga5191 Жыл бұрын

    Kweli Yesu Hana mpinzani

  • @SalmaAbdul-zz7dy

    @SalmaAbdul-zz7dy

    Жыл бұрын

    Wapinzani wake SI waliomsulubu😂😂😂😂

  • @intisaralabrawi2566
    @intisaralabrawi2566 Жыл бұрын

    SubhanaAllah tunaomba Allah akufunguen macho msbadilishe maneno Bora msalim amri ya Allah ambae Hana mshirika Yuko peke yake

  • @rodgerskithi8600

    @rodgerskithi8600

    Жыл бұрын

    Kumbe uislamu sio dini ya kweli

  • @user-nd2ev5hu1m
    @user-nd2ev5hu1m6 ай бұрын

    Lete vitu sheikh habibu

  • @imanipirfa225
    @imanipirfa225 Жыл бұрын

    Mancha Allah, Ila nawaombeni msije mukakubali kuruani ichezewe Na wakristo, wakileta aya katika kuruani za uongo basi rekebisha uwo uongo wake.

  • @charokazungu1655
    @charokazungu165511 ай бұрын

    Huyu mazinge ni comedian tu Hana jipya

  • @barakafondo8090
    @barakafondo8090 Жыл бұрын

    Waislamu wanalialia ti

  • @AAA-zu1vy
    @AAA-zu1vy11 ай бұрын

    Mimi kama mami 😍 💓 💖 💕 eti na weza acha uislam afu ni we kafiri ayiiii iyo never

  • @jovinmancomedytz

    @jovinmancomedytz

    3 ай бұрын

    Kafiri ni wewe usiye nadini ya Mungu yakweli

  • @mwoso
    @mwoso Жыл бұрын

    Katika huu mjadala, waisilamu walimalizwa kabisa na huyu kidume Omar.

  • @AAA-zu1vy

    @AAA-zu1vy

    11 ай бұрын

    Wacha zako ww

  • @JumaK-rl5eg

    @JumaK-rl5eg

    8 ай бұрын

    kwa hoja gni??

  • @fredomondi8460
    @fredomondi8460 Жыл бұрын

    Ukristo ni ndini ya mungu

  • @JumaK-rl5eg

    @JumaK-rl5eg

    8 ай бұрын

    andiko

  • @zeinabmaneno81

    @zeinabmaneno81

    8 ай бұрын

    Lete andiko

  • @user-lq9ym8rc7n
    @user-lq9ym8rc7n3 ай бұрын

    Mazinge,,, MUNGU akusaidie ufumbuke macho

  • @aivanalexander
    @aivanalexander10 ай бұрын

    HAWA WAISLAMU WAMEFUNGWA UFAHAMU

  • @BihangwaAbel-fb5mj
    @BihangwaAbel-fb5mj8 ай бұрын

    Respect Mch Ndacha kweli unaijua théologie na wewe ni prof kuliko Mazinge

  • @mwoso
    @mwoso Жыл бұрын

    Mwalimu ndacha nae ndiye aliye maliza mjadala kabisa na kuzamisha meli ya waisilamu.😂

  • @robertnyabuto1593
    @robertnyabuto15933 ай бұрын

    Hasiye jua maana haambiwi maana Mazinge huelewi Yesu alikuwa anamanisha nini

  • @user-pt4df1mn1o
    @user-pt4df1mn1o7 ай бұрын

    mungu awasamehe wasilam yesu pekeyake muhamadi kitungani

  • @idrissaliidriss9925
    @idrissaliidriss9925 Жыл бұрын

    Asalaamu alaiku ninapendasana mungu aendeleyepamojananyi

  • @AAA-zu1vy

    @AAA-zu1vy

    11 ай бұрын

    Walaikm Salam warahmatullah wabarakat

  • @user-nd2ev5hu1m
    @user-nd2ev5hu1m6 ай бұрын

    Mbogho ubarikiwe

  • @hafidhjuma1741
    @hafidhjuma1741 Жыл бұрын

    Namshukuru Mwenyezi Mungu na nawashukuru Wazazi wangu kwa kunizaa Mimi kuwa Muislamu

  • @fredrickjohnson2692

    @fredrickjohnson2692

    Жыл бұрын

    sasa umezaliwa kuwa muislamu halafu ndo hivo isha vuja kuwa uislam ni ushetani

  • @AAA-zu1vy

    @AAA-zu1vy

    11 ай бұрын

    Alhamdulillah

  • @bobsaid4324
    @bobsaid4324 Жыл бұрын

    Yaani nyie Mungu atawahukumu, kwa kuwa jina lake mmelifanya biashara

  • @issafaquedalaura8279
    @issafaquedalaura8279 Жыл бұрын

    Masha Allah DD Pro Mazinge

  • @niragiraclaude9489
    @niragiraclaude9489 Жыл бұрын

    kusema ukwl hapo waislam mnafaa kuelewa kawafunza vizuli lkn bado mnang'angania mbona hamshikiki kubali yesu pekee ndie njia uzima upende usipende

  • @OmanOman-yk8kl

    @OmanOman-yk8kl

    Жыл бұрын

    Hao siku zote ni wabishi .

  • @kassimrajabu56

    @kassimrajabu56

    Жыл бұрын

    Unataka mtupeleke motoni??

  • @FauswalHamadi
    @FauswalHamadi3 ай бұрын

    Kwakweli ukrsto siyo Dini Hata wanawake wanawaongoza wanaume

  • @mose5839
    @mose5839 Жыл бұрын

    Mwamuona ndacha alivyokaa ni kama roho ina mhukumu

  • @user-nd3cm8ep1r
    @user-nd3cm8ep1r8 ай бұрын

    Munasema munaamini Daudi, na Daudi alikuwa muimbaji na nyinyi waisilamu hamuimmbi nyinyi ni wanafiki.

  • @jacobluhambe8038
    @jacobluhambe8038 Жыл бұрын

    Yani kinachowasumbua ndugu zetu waislamu katika imani ni Yesu . Hawajui kuwa huyu Yesu Bado ni Mungu ambaye aliwahi Kuja kwetu kupitia kwa mwili wa kibin adamu ili tupate kumuamini

  • @AAA-zu1vy

    @AAA-zu1vy

    11 ай бұрын

    Also kwambiya mung anabadilika ni nani

  • @zeinabmaneno81

    @zeinabmaneno81

    8 ай бұрын

    Kwahyo mungu asingekuja kwa mwili wa kibinadamu usingeamini

  • @zeinabmaneno81

    @zeinabmaneno81

    8 ай бұрын

    Waislam tunaaamini mungu bila kumjon wala kubadilila

  • @user-mc2xd4eu2p

    @user-mc2xd4eu2p

    6 ай бұрын

    Vipi katika Zama za nuhu Ibrahim na wengine waliotamgulia waliamini vipi?

  • @user-mc2xd4eu2p

    @user-mc2xd4eu2p

    6 ай бұрын

    au watu walianza kuamini walianza baada ya yesu kuvaa mwili wa binadamu kama msemavyo😂😂😂😂 yesu alivaa kanzu sio mwili

  • @user-jo4je4fv3o
    @user-jo4je4fv3o5 ай бұрын

    Mwanzo2:1-4 Kutoka20:1-17 Mwanzo wa Sabato Ni Mungu mwenyewe 1Petro 2:21 Njia(Dini) ya haki 1Petro 3:18-20 Nuhu - safina Ni mfano wa ubatizo 1Korintho10:2-4 wakabatizwa wawe wa Musa Kuran3:48 Isa alifundishwa Torati na Injili / Luka 4:16Mwanzo 26:5; 22:12 Ibrahimu mcha Mungu,alitii AMRI za Mungu Kurani16:1,,,Amri za Mwenyezi Mungu msizihimize, 2Petro 2:21 Kuran 3:48 Njia iliyonyooka

  • @benjaminmukabana1496
    @benjaminmukabana14966 ай бұрын

    Ndacha amemaliza kila kitu ukristo dini hizo zingine ni others mungu azijui hata kidongo

  • @babad1288
    @babad1288 Жыл бұрын

    Waislam povu lina watoka

  • @user-lq9ym8rc7n
    @user-lq9ym8rc7n3 ай бұрын

    Waislamu amkeni someni vitabu mpate maarifa

  • @FatmaMohamed-zl8lt
    @FatmaMohamed-zl8lt Жыл бұрын

    Mazinge unakubalika snaa Allaah akuongoze ktk kupeleke dini ya Allah mbele mpaka kieleweke hao watajuwa tu

  • @erickmaisha4773

    @erickmaisha4773

    Жыл бұрын

    Huyu akiombewa majini yoote yatoke ataokoka tu

  • @aminamhina9129

    @aminamhina9129

    11 ай бұрын

    Amiina dhumma Amiina

  • @user-nd2ev5hu1m
    @user-nd2ev5hu1m6 ай бұрын

    Sheikh yohana hana iyo

  • @mohdnassor5508
    @mohdnassor5508 Жыл бұрын

    ndacha ana maanisha yesu ndio dini yao

  • @nyimbozakuabudu2650

    @nyimbozakuabudu2650

    Жыл бұрын

    Ndio dini yetu yaan yeye ndio kiongozi wetu na ndiye tunaye mfuata

  • @ngomafrancis1659
    @ngomafrancis1659 Жыл бұрын

    Mazinge una matusi yakwamba wa mama wakikristo wataenda motoni uhongo bwana Mazinge Yesu ni Njia kweli na uzima ndo dini.

  • @JumaK-rl5eg

    @JumaK-rl5eg

    8 ай бұрын

    😂😂pole

  • @richardkiarie7445
    @richardkiarie7445 Жыл бұрын

    James 1:27

  • @mwoso
    @mwoso Жыл бұрын

    Huyo babu mazinge, iko siku yesu atamuonekania. Tuzidi kumuombea tu. Siku yake haijafika. Kwa hivyo mungu ana mpango nae ambao hatujui mpaka hio siku itakapo fika.

  • @erickmaisha4773

    @erickmaisha4773

    11 ай бұрын

    Ako na majini wale serious hee huyu anafaa kubatizwa Indian Ocean

  • @zeinabmaneno81

    @zeinabmaneno81

    8 ай бұрын

    Utaomba sana mna alikuw mukristo akaon dini y kwely uislam n akaslimu

  • @user-nd2ev5hu1m
    @user-nd2ev5hu1m6 ай бұрын

    Mm sitokuja kuwapa ata maji

  • @user-nd2ev5hu1m
    @user-nd2ev5hu1m6 ай бұрын

    Sheikh zama kwenye bible

  • @user-nd2ev5hu1m
    @user-nd2ev5hu1m6 ай бұрын

    Mbogho lete vitu

  • @christophertarimo3044
    @christophertarimo3044 Жыл бұрын

    Tushakuzoea kwa kuapa

  • @user-nd2ev5hu1m
    @user-nd2ev5hu1m6 ай бұрын

    Sheikh lete maandiko

  • @nalingarowl7048
    @nalingarowl7048 Жыл бұрын

    Kanisa ni kubwa,Kanisa sio jengo.Yesu Ameliacha Kanisa moja tu. Vaticani.soma Biblia Mt 16.16.18. Kanisa ambalo haliwezi kushindwa. Kama kweli wewe ni Profesa nenda Vatican kulibadi Kanisa,maana ndiyo ukuu wa Kanisa ulipo na lilipojengwa Kanisa kupitia mwamba Mt Petro.hayo mengine sio makanisa ni madhebu ya kiktriso ambayo yapo mengi mengine yapo hoi kielimu ya Ukristu,kama Vatican ni mbali mtafute Askofu Kilain au Fr Titus upate kulifahamu kanisa.sio Kila jengo analotajwa Yesu ni Kanisa. *2.4 bilion idadi ya waumini,ni kubwa mno- kuanzia 00- mpaka 2023 jina la Yesu linatawala*

  • @realrzzocmg485
    @realrzzocmg4854 ай бұрын

    MSHAWAHI KUJIULIZA KWANINI AMNA NABII MWAFRICA AU MNSHOBOKEA DIN ZA WATU TU

  • @erickmaisha4773
    @erickmaisha4773 Жыл бұрын

    Huwa mnaandika upuzi tilte eti kanisa lageuzwa kanisa ndo waislamu wafurahie🤣

  • @RIO-jf9mo

    @RIO-jf9mo

    Жыл бұрын

    😂🤣😂🤣😂🤣😂

  • @priscahochami1099

    @priscahochami1099

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @jonathangithinji2652

    @jonathangithinji2652

    3 ай бұрын

    apana ndio waisilamu wafuatilie juu huwa hawafuati wakijua Ndacha aliwaumbua vibaya 😅😅

  • @FredLazaro
    @FredLazaroАй бұрын

    😂

  • @charlesmgonja8689
    @charlesmgonja8689 Жыл бұрын

    Ce pauvre Docteur en theologies faux professeur Mazinge.

  • @shamsiyasalim6866

    @shamsiyasalim6866

    Жыл бұрын

    Wewe Erick wewe umeumbwa na Nani? Unajuwa maana ya Allah? Allah ni mwenyezi mungu ndie aliye umba dunia mbingu na aridh hata wewe pia umeumbwa na yeye

  • @idrissaliidriss9925
    @idrissaliidriss9925 Жыл бұрын

    Muslamu nijiya yamungu

  • @erickmaisha4773
    @erickmaisha4773 Жыл бұрын

    Allah Kaumba nini?

  • @FathimaFathima-yq1xv

    @FathimaFathima-yq1xv

    Жыл бұрын

    Ww umeumbwa na nani???

  • @AAA-zu1vy

    @AAA-zu1vy

    11 ай бұрын

    Kwan mu umbaji ni nan ka Tika akili yak

  • @erickmaisha4773

    @erickmaisha4773

    11 ай бұрын

    Toa andiko linasema Mimi Allah nimeumba hiiiiacha matusi

  • @AAA-zu1vy

    @AAA-zu1vy

    11 ай бұрын

    Wew acha dram Allah kiyarabu so kwa kiswahil tuon kama hata Taj mimi Mung ni mu ubaji my friend ususem yes ndo mu umbaj ye mwenyew ka ubwa we vip

  • @user-rg7ts6gd8g
    @user-rg7ts6gd8g5 ай бұрын

    Waeslam shida moja wakonayo ni kwamba hawajui kama kuna yesu wa Kiroho na yesu wa kibinadamu

  • @user-nd2ev5hu1m
    @user-nd2ev5hu1m6 ай бұрын

    Tutafika hadi majumbani mwao

  • @mwambiretv9092
    @mwambiretv90928 ай бұрын

    Muhamad aliwadanganya wenzake ndio mana hadi leo waislamu wanamswalia mtu ....sasa kama mtume anataka kuswaliwa yeye atakusaidiaje

  • @zeinabmaneno81

    @zeinabmaneno81

    8 ай бұрын

    Soma kitabu Acha imani n maneno y uongo hkuna mwislam anamuabudu Muhammad

  • @user-mc2xd4eu2p
    @user-mc2xd4eu2p6 ай бұрын

    Huyu yohana tanga anaongea kiarabu hicho na quran mbovu anasema yeye shekhe hawa watu mbona wanapenda maigizo

  • @kisaujibabou9436
    @kisaujibabou94368 ай бұрын

    Kama kachenga chenga hawajatowa hoja ukristo ni dini

  • @user-yb3mz2jg9j

    @user-yb3mz2jg9j

    8 ай бұрын

    Basi wew umeelewa unakitu utafika mbali

Келесі