MASWALI 9 YA DR SULLE YALIYO SHINDWA KUJIBIWA NA PASTA NDACHA DR SULLE AIBUKA KIDEDEYA KTK MDAHALO
#AdilTV
Жүктеу.....
Пікірлер: 129
@nadharismat17967 ай бұрын
Baada ya kuskiliza huu mjadala nmgundua waislamu tunatumia nguvu kuwafndsha na kuwaonyensha njia hawa wakristo ila wao wmesmamia huu ushabiki na haiwafai wao kusmamia ushabiki imani yangu kma watsklz mjadala kwa akili watakuwa waislamu soon In sha Allah Kazi kubwa Allah akufnyie wpes doctor sule kazi.iendlee
@deulemwangolo6 ай бұрын
Doctor Sulle Mungu akujaalie mwisho mwema
@adijaamur962
3 ай бұрын
Amiin
@nakundwamkubwe78237 ай бұрын
Sulle kama Sulle huna mpinzani Allah akuhifadhi Shekhe wetu .
@waheedaw19537 ай бұрын
ALLAHU AKBAR WALILLAHI L'HAMDU SHUKRAN SANA SHEIKH
@hamissimnyonge7 ай бұрын
Tatizo la wa kristo ni moja tuu Sio kwamba hawajui ao hawaelewi wanajua kila kitu tatizo ukristo ni mwepesi shauna Sheria za mungu wanajipangiy kila kitu bila kuangalia sheria ya mungu
@aliomar5954
7 ай бұрын
Swadakta kaka wanatafuta njia ya rahisi ya kumuendea MUNGU bila kutumia akili ipasavyo
@Tuyizererukuman
3 ай бұрын
ndio ni ukweli
@peterluppy8843
3 ай бұрын
Swadaktaaaa❤❤❤❤
@adamjrgong97574 ай бұрын
MashaAllah, Dr anaongea kwa point tupu, na evidence zilizonyooka. Allah auupaishe Uislam, na atulinde kweli na shetani. Sioni sababu ya kubiashana kwa hizo hoja za Dr Sulle.
@salhkasmm5587 ай бұрын
Ndacha ni mnafiki kwa ajili ya benefits za ulaya.
@JabirHamzaHamza
5 ай бұрын
Kama kila wanachopewa na kanisa ni sawa tayari wanatakiwa na wakuu wao washonane waume Kwa waume.
@peterluppy8843
3 ай бұрын
❤❤❤umepigaje hap
@stevenmwenda30057 ай бұрын
Kweli kabisa waislamu tunatumia nguvu kubwa na rungu zito kuwaelimishi wakristo na hawataki maana maneno ushahidi uko wazi kabisa uislamu ndo dini ya khaki ya Mungu na njia ya wanadamu wote kufwata ila ndugu zetu wakristo hawataki kabisa kufungua vichwa na kutaka kuelewa namshukuru Mungu kunitoa kwenye ukristo na kuningiza kwenye khaki uislamu
@jamalsamma3457
7 ай бұрын
Barakallahu fih
@Masjidfirdous-onlinetv
7 ай бұрын
جزاك الله خيرا
@asiamohamedy2643
7 ай бұрын
Masha Allah
@user-pc6io7wt5l
6 ай бұрын
MashaAllah
@jumarobertonyancha8605
6 ай бұрын
😂😂ngufu gani hapa,kama Dr sulle mwenyewe hajielewi had I kuleta ma bouncers kumlinda,😅😅 hataiteteaje Quran
@jafariemedi8214 ай бұрын
Mwenyezi mungu awazidishie mahisha marefu dr sulle pamoja na prfs mazinge nawengene nanao papana na kuwaelewesha ndugu zetu wanao jiita wakrist. Nawewe unayo sema awamuwezi ndacha nikuli wenda awatamuweza sababu ndacha sio muelewa
@nakundwamkubwe78237 ай бұрын
KasukuNdacha kanywea leo 😅😅😅chezea Dr Sulle wewe😅😅.
@mamawamoya33447 ай бұрын
Ma sha Allah
@saudaumar33547 ай бұрын
ndata ameshindwa ni Dr sule.Quran haina shaka ndani yake
@Hypertz1694 ай бұрын
I’m proud being a muslim.. kwan dini yngu haina shaka na kitabu chetu kinajieleza na ndio muongoz wa kila muislamu
@user-lo8zr4fn9i5 ай бұрын
Doctor sulle Allah akuhfadh na professor maznge p1 na ostadh shafi
@YahayaOmary-fp5uw2 ай бұрын
Mashaallah
@HassainMbwamboАй бұрын
Waelimishe bwana shekh wang mana elimu ndogo hao
@anzomtebwa34616 ай бұрын
Akuna dini yoyote inayo weza kupambana na uislamu kwasababu uislamu ndio dini pekee yaukweli zingine ni game tu na mashabiki wake.
@user-hp6gz6ln4k
3 ай бұрын
Akili yako iyo.
@peterluppy8843
3 ай бұрын
😂😂😂 swadakt
@HalimaRashidi-sd4fqm2 ай бұрын
Allah akulind inshaallah ❤😊
@mwanarusiali44305 ай бұрын
Wakristo kubalini tuh uislamu ndio dini ya haki katika vitabu alivyo teremsha Allah akuteremsha biblia....Allahu akabr Quran ndio kitabu kisichokua na shaka ndani yake na uislamu ndio dini iliyokamiliza❤
@LazarusKiprotich3 ай бұрын
Nashangazwa sana na waisilamu wakijifanyia dini na kuiabudu ambayo mwisho wake hauna maisha ya milele
@peterluppy8843
3 ай бұрын
Kwendraaaa😂😂😂😂
@pacifiquemuzo74465 ай бұрын
Miminipo Congo DRC sijuwi nitapata nehema lini yakukutana na sheh DR SULLE ili aniombee duwa,mimi nitakufa na wislam
@johnlyimo5971Ай бұрын
Dini ziko mbili moja ya majini na nyinginee ya binadamu uislam Niya majinii
@AmeirKhamis-lw9sb4 ай бұрын
Hakina dini mbele ya allah ni uislm tu💯%
@juliusmsangi6849
4 ай бұрын
Ni kweli mbele ya Allah dini ya uislamu 100% lakini mbele ya Mungu ni 0%
@SalmanMughal-lq5lt
2 ай бұрын
InshaAllahSubiriUfe.utajuaUjui@@juliusmsangi6849
@mamawamoya33447 ай бұрын
ALLAHU AKBAR
@juliusmsangi68495 ай бұрын
Wewe Sulle+Mazinge pamoja na vizazu vyenu hamumuwezi Ndacha!
@OmyGizo
4 ай бұрын
Km kiswaili unajua bs ushabiki utakuponza kupnda dini za urisii maana unaskia vzr lkn unalazmishaa sasa unamsifia kujibu Nini au ndo umependa kuswali skumoja ya wiki
@MbarokuMohammed18 күн бұрын
Wape vidonge vyao
@KelvinMwakilasa-ll3kzАй бұрын
Awa wametoka na akili za kuzimu , kumbuka shetani ni baba wa uwongo
@user-eb3sr5wi5v6 ай бұрын
Islaam❤❤
@Fatumarukasmlima-te1og3 ай бұрын
Wanajuwa ukweli ila wanachokifanya nikupoteza wenzake
@RobaaJattan2 ай бұрын
Takibbirt
@saudaumar33547 ай бұрын
mdahalo hauyaanza ameshindwa vipi wata umbeya
@barackamosi41163 ай бұрын
Yaaani waisilamu MUNGU awasaidie 2 maana hata biblia hawaielewi kwasababu wote ni wapumbavu
@user-ns2jd9in1x6 ай бұрын
Ndacha kashindwa hata mjinga anaona Hapa asilimu tuuu
@Tuyizererukuman3 ай бұрын
Wataishiya kwenye upotovu waachie huko huko
@rodgersmae-rc2pn6 ай бұрын
Mimi nilifutilia mjadala wote hakuna swali Sule aliuliza lika mshinda Ndacha na mbali na Sule hakuna Swali lolote muislam anaeza uliza mkristo wa kweli akashindwa labda wale makristo wa uongo wanaokula krismas
@Grety_etungano6 ай бұрын
Sasa ndacha ameshindwa wapi na amejibu wapi
@aboujanomarion6121
6 ай бұрын
Sasa wewe hukuskiza hiyo Vizuri hukuskia kunamahali ana rekebishwa anapo tajwa jina lake kuna makaribisho bibilia inasema kristo ni mpumbavu unakubali hiyo sasa wataka nni zaidi hapo .??
@juliusmsangi68495 ай бұрын
Dini ya kiislamu ilianzishwa miaka 630 baada ya dini ya kikristo! Ni maajabu walioibuka miska 630 baadaye ndio wanajifanya wanaujua vizuri ukristo😅😢😅😊
@user-sv3em3hm8u
5 ай бұрын
Wewe ndoa hujui kaka usilamiu ulikuwepo tangu mwanzo waduniaa ila usilamiu zama za muhamadi wapaulo walitunga ukriso ndoa man
@kisosekatere62827 ай бұрын
Ninyi waisalqm waongo sana Liko wazi mbona Sule Kashindwa na Hoja zote la sivyo wekeni mdaalo wote sio Ku Ed
@hamissima
6 ай бұрын
😂😂😂😂
@mahmoudmussa28006 ай бұрын
Shida ilio kuepo ni hii. Utawala wa mtume YESU (ISSA) umeisha kwa kufatia mtume wa mwisho nae ni MUHAMMAD (swala llahu alayhi wassalam) Kama ulivyo maliza ummati wa mtume ADAM NUHU HUUD...........IBRAHIIIM.....MUSSA.....ISSA (YESU) na sasa hivi ni ummati wa MUHAMMAD (swalla llahu alayhi wasalam) Tatizo ndio hilo kwamba bado baadhi ya wanaadamu wanaendeleza utawa huo na kuukosea kwa kusema YESU (issa) ni mungu au mtoto wa mungu
@barackamosi4116
3 ай бұрын
Acha ujinga umfate muamadi muhuni mmoja 2 Alie kuwa anapenda mademu malaya 2 yeye mwenyewe anasema sijuwi niendako hata wanao nifata sijuwi watafanywa nini unamfataje kipofu akuongoze na yeye mwenyewe hajuwi aendako
Kulingana na koran wafuasi wa issah ni watu wa injili yaani wakristo.waislam mlimuasi issah na kufata uongo wa muhamad aliemsilisha shetani alielaaniwa na mwenyezi mungu,hiyo ni dini ya majini itakuaje dini ya haki.
@mahmoudmussa2800
6 ай бұрын
Hapana Yesu(issa) tunamuamini ni mtume wa mwenye enzi mungu. Alimtuma kama alivyo watuma mitume na manabii wengine kuja kuwafundisha watu na majini neno. Kuwa mungu ni mmoja tu, hana mshirika na yeye nabii yoyote ni mtume wa mungu. Sio mungu wala sio mtoto wa mungu
@user-yu7oi8ne8r6 ай бұрын
Na bona kwa hii mdaalo mliondoa majibu ya mwalimu dacha kwanini mnaongopa manjibu rahiiisi ya watoto WA Sunday school sisi atutaki kutoka waislamu kwa misikiti Yao Hila kuwaangazia ukweli hili siku ya kihama ikifika wawe wanajua ukweli
@tomborathomas2124
6 ай бұрын
Waoga hawa hawana lolote mimi nilifuatilia live
@josephsevelinibeho12236 ай бұрын
Uifuate iliukifa uzikwe kama mzoga
@jumarobertonyancha86056 ай бұрын
Kwanza wew wajitetea na kitabu ja pastor mkorofi eti hiyo ndiyo elimu ya dr sulle😅😅😅😅nami nitakuja na mwisilamumkorofi
@abasingaruka18726 ай бұрын
Mimi namkubali Ndacha anao uwezo kumuelimasha mtu ukaelewa, kipi unaweza muelewa, wengine Ni ubabaishaji tu,
@WiklifAloyce-oe9hf6 ай бұрын
Alafu mbona vipande wa ndacha hazionekani?au hazionekani kwangu tu
@tomborathomas2124
6 ай бұрын
Wamechukya upande mmoja tuu wajanja hawana lolote
@user-nw9ds9qe5i6 ай бұрын
Dr sule hujui kusoma biblia ujui sana vizuri.
@nakundwamkubwe78237 ай бұрын
Ndacha hasomi maandiko yeye kazoea kufukia viraka na kupotosha watu 😅😅😅. Kwa hakika Ndacha anatia watu motoni. Laana tulwai .
@jumarobertonyancha8605
6 ай бұрын
Wazee wa viraka wako hapo wakina masinge,mbogo,sulle na shafi hawana hoja za kimzingi kabisa,eti hiki ndicho kitabu kizijokuwa na saka ndaniyake na kumbe in kitabu cha MTU na mkewe wako kaburini mecca ndicho mwatuambia ni ja mungu
@anwarambar6141
6 ай бұрын
Ndacha ni hodari wa kupoteza watu katika njia ya haki, na kuwapeleka jahannam
@anwarambar6141
6 ай бұрын
@@jumarobertonyancha8605ngia ndani ya uislamu wewe, uwepukane na jahannam, usidanganywe na Ndacha
@mahmoudmussa2800
6 ай бұрын
Sio kwamba hasomi, anasoma na pia naamini ukweli anaujua. ila sio rahisi waislamu tujue. Mtu kama ndacha kukubali ukweli. Maana ni mtu maarufu na huenda akawa anaogopa juu ya umaarufu wake. Tangia hapo zamani makafiri walikuwa wakiujua ukweli ila shida kuuamini kwa kuhofia vyeo vyao.
@EmanuelNicholaus-vn9gl6 ай бұрын
Biblia ni kitabu chenye pumzi ya Mungu na yeyote aiminiye anapata Wokovu
@arnoldmtaita79366 ай бұрын
Cc waislam mwamba😂😂😂😂 ukweli n huo usiposlim n ww mwenyewe tu
@GeraldMswazi-bp2kw6 ай бұрын
Uislam ni dini yenye uongo unao fanana na ukweli jamani fungukeni vichwa vyenu muhamad aliwatia motoni nyote.
@hamissima
6 ай бұрын
😂😂😂
@peterluppy8843
3 ай бұрын
Wewe ndo muongo wa kwanza😂😂😂
@GeraldMswazi-bp2kw6 ай бұрын
Sulle alishindwa kuthibisha makosa ya biblia akaona atumie propaganda ya kitabu cha yehova matatani,huku mwalim wake ndacha akiichambua koran utadhani yeye ndo muislam.
@davooman6 ай бұрын
Quran inajitetea yenyewe lkn biblia imeshindwa kujitetea bali watu ndo wanaitetea
@EmanuelNicholaus-vn9gl6 ай бұрын
Uongo mtupu nyinyi watu
@user-sv3em3hm8u
5 ай бұрын
Unatakiwa usome mwenyewe ujuee usiamin tu unacho uamin
Пікірлер: 129
Baada ya kuskiliza huu mjadala nmgundua waislamu tunatumia nguvu kuwafndsha na kuwaonyensha njia hawa wakristo ila wao wmesmamia huu ushabiki na haiwafai wao kusmamia ushabiki imani yangu kma watsklz mjadala kwa akili watakuwa waislamu soon In sha Allah Kazi kubwa Allah akufnyie wpes doctor sule kazi.iendlee
Doctor Sulle Mungu akujaalie mwisho mwema
@adijaamur962
3 ай бұрын
Amiin
Sulle kama Sulle huna mpinzani Allah akuhifadhi Shekhe wetu .
ALLAHU AKBAR WALILLAHI L'HAMDU SHUKRAN SANA SHEIKH
Tatizo la wa kristo ni moja tuu Sio kwamba hawajui ao hawaelewi wanajua kila kitu tatizo ukristo ni mwepesi shauna Sheria za mungu wanajipangiy kila kitu bila kuangalia sheria ya mungu
@aliomar5954
7 ай бұрын
Swadakta kaka wanatafuta njia ya rahisi ya kumuendea MUNGU bila kutumia akili ipasavyo
@Tuyizererukuman
3 ай бұрын
ndio ni ukweli
@peterluppy8843
3 ай бұрын
Swadaktaaaa❤❤❤❤
MashaAllah, Dr anaongea kwa point tupu, na evidence zilizonyooka. Allah auupaishe Uislam, na atulinde kweli na shetani. Sioni sababu ya kubiashana kwa hizo hoja za Dr Sulle.
Ndacha ni mnafiki kwa ajili ya benefits za ulaya.
@JabirHamzaHamza
5 ай бұрын
Kama kila wanachopewa na kanisa ni sawa tayari wanatakiwa na wakuu wao washonane waume Kwa waume.
@peterluppy8843
3 ай бұрын
❤❤❤umepigaje hap
Kweli kabisa waislamu tunatumia nguvu kubwa na rungu zito kuwaelimishi wakristo na hawataki maana maneno ushahidi uko wazi kabisa uislamu ndo dini ya khaki ya Mungu na njia ya wanadamu wote kufwata ila ndugu zetu wakristo hawataki kabisa kufungua vichwa na kutaka kuelewa namshukuru Mungu kunitoa kwenye ukristo na kuningiza kwenye khaki uislamu
@jamalsamma3457
7 ай бұрын
Barakallahu fih
@Masjidfirdous-onlinetv
7 ай бұрын
جزاك الله خيرا
@asiamohamedy2643
7 ай бұрын
Masha Allah
@user-pc6io7wt5l
6 ай бұрын
MashaAllah
@jumarobertonyancha8605
6 ай бұрын
😂😂ngufu gani hapa,kama Dr sulle mwenyewe hajielewi had I kuleta ma bouncers kumlinda,😅😅 hataiteteaje Quran
Mwenyezi mungu awazidishie mahisha marefu dr sulle pamoja na prfs mazinge nawengene nanao papana na kuwaelewesha ndugu zetu wanao jiita wakrist. Nawewe unayo sema awamuwezi ndacha nikuli wenda awatamuweza sababu ndacha sio muelewa
KasukuNdacha kanywea leo 😅😅😅chezea Dr Sulle wewe😅😅.
Ma sha Allah
ndata ameshindwa ni Dr sule.Quran haina shaka ndani yake
I’m proud being a muslim.. kwan dini yngu haina shaka na kitabu chetu kinajieleza na ndio muongoz wa kila muislamu
Doctor sulle Allah akuhfadh na professor maznge p1 na ostadh shafi
Mashaallah
Waelimishe bwana shekh wang mana elimu ndogo hao
Akuna dini yoyote inayo weza kupambana na uislamu kwasababu uislamu ndio dini pekee yaukweli zingine ni game tu na mashabiki wake.
@user-hp6gz6ln4k
3 ай бұрын
Akili yako iyo.
@peterluppy8843
3 ай бұрын
😂😂😂 swadakt
Allah akulind inshaallah ❤😊
Wakristo kubalini tuh uislamu ndio dini ya haki katika vitabu alivyo teremsha Allah akuteremsha biblia....Allahu akabr Quran ndio kitabu kisichokua na shaka ndani yake na uislamu ndio dini iliyokamiliza❤
Nashangazwa sana na waisilamu wakijifanyia dini na kuiabudu ambayo mwisho wake hauna maisha ya milele
@peterluppy8843
3 ай бұрын
Kwendraaaa😂😂😂😂
Miminipo Congo DRC sijuwi nitapata nehema lini yakukutana na sheh DR SULLE ili aniombee duwa,mimi nitakufa na wislam
Dini ziko mbili moja ya majini na nyinginee ya binadamu uislam Niya majinii
Hakina dini mbele ya allah ni uislm tu💯%
@juliusmsangi6849
4 ай бұрын
Ni kweli mbele ya Allah dini ya uislamu 100% lakini mbele ya Mungu ni 0%
@SalmanMughal-lq5lt
2 ай бұрын
InshaAllahSubiriUfe.utajuaUjui@@juliusmsangi6849
ALLAHU AKBAR
Wewe Sulle+Mazinge pamoja na vizazu vyenu hamumuwezi Ndacha!
@OmyGizo
4 ай бұрын
Km kiswaili unajua bs ushabiki utakuponza kupnda dini za urisii maana unaskia vzr lkn unalazmishaa sasa unamsifia kujibu Nini au ndo umependa kuswali skumoja ya wiki
Wape vidonge vyao
Awa wametoka na akili za kuzimu , kumbuka shetani ni baba wa uwongo
Islaam❤❤
Wanajuwa ukweli ila wanachokifanya nikupoteza wenzake
Takibbirt
mdahalo hauyaanza ameshindwa vipi wata umbeya
Yaaani waisilamu MUNGU awasaidie 2 maana hata biblia hawaielewi kwasababu wote ni wapumbavu
Ndacha kashindwa hata mjinga anaona Hapa asilimu tuuu
Wataishiya kwenye upotovu waachie huko huko
Mimi nilifutilia mjadala wote hakuna swali Sule aliuliza lika mshinda Ndacha na mbali na Sule hakuna Swali lolote muislam anaeza uliza mkristo wa kweli akashindwa labda wale makristo wa uongo wanaokula krismas
Sasa ndacha ameshindwa wapi na amejibu wapi
@aboujanomarion6121
6 ай бұрын
Sasa wewe hukuskiza hiyo Vizuri hukuskia kunamahali ana rekebishwa anapo tajwa jina lake kuna makaribisho bibilia inasema kristo ni mpumbavu unakubali hiyo sasa wataka nni zaidi hapo .??
Dini ya kiislamu ilianzishwa miaka 630 baada ya dini ya kikristo! Ni maajabu walioibuka miska 630 baadaye ndio wanajifanya wanaujua vizuri ukristo😅😢😅😊
@user-sv3em3hm8u
5 ай бұрын
Wewe ndoa hujui kaka usilamiu ulikuwepo tangu mwanzo waduniaa ila usilamiu zama za muhamadi wapaulo walitunga ukriso ndoa man
Ninyi waisalqm waongo sana Liko wazi mbona Sule Kashindwa na Hoja zote la sivyo wekeni mdaalo wote sio Ku Ed
@hamissima
6 ай бұрын
😂😂😂😂
Shida ilio kuepo ni hii. Utawala wa mtume YESU (ISSA) umeisha kwa kufatia mtume wa mwisho nae ni MUHAMMAD (swala llahu alayhi wassalam) Kama ulivyo maliza ummati wa mtume ADAM NUHU HUUD...........IBRAHIIIM.....MUSSA.....ISSA (YESU) na sasa hivi ni ummati wa MUHAMMAD (swalla llahu alayhi wasalam) Tatizo ndio hilo kwamba bado baadhi ya wanaadamu wanaendeleza utawa huo na kuukosea kwa kusema YESU (issa) ni mungu au mtoto wa mungu
@barackamosi4116
3 ай бұрын
Acha ujinga umfate muamadi muhuni mmoja 2 Alie kuwa anapenda mademu malaya 2 yeye mwenyewe anasema sijuwi niendako hata wanao nifata sijuwi watafanywa nini unamfataje kipofu akuongoze na yeye mwenyewe hajuwi aendako
Nduguzangutusomen.natusomeshen.watoto.wetu.tutajua ukweli.niupi.lasivo.tutaenda.angamia
Kulingana na koran wafuasi wa issah ni watu wa injili yaani wakristo.waislam mlimuasi issah na kufata uongo wa muhamad aliemsilisha shetani alielaaniwa na mwenyezi mungu,hiyo ni dini ya majini itakuaje dini ya haki.
@mahmoudmussa2800
6 ай бұрын
Hapana Yesu(issa) tunamuamini ni mtume wa mwenye enzi mungu. Alimtuma kama alivyo watuma mitume na manabii wengine kuja kuwafundisha watu na majini neno. Kuwa mungu ni mmoja tu, hana mshirika na yeye nabii yoyote ni mtume wa mungu. Sio mungu wala sio mtoto wa mungu
Na bona kwa hii mdaalo mliondoa majibu ya mwalimu dacha kwanini mnaongopa manjibu rahiiisi ya watoto WA Sunday school sisi atutaki kutoka waislamu kwa misikiti Yao Hila kuwaangazia ukweli hili siku ya kihama ikifika wawe wanajua ukweli
@tomborathomas2124
6 ай бұрын
Waoga hawa hawana lolote mimi nilifuatilia live
Uifuate iliukifa uzikwe kama mzoga
Kwanza wew wajitetea na kitabu ja pastor mkorofi eti hiyo ndiyo elimu ya dr sulle😅😅😅😅nami nitakuja na mwisilamumkorofi
Mimi namkubali Ndacha anao uwezo kumuelimasha mtu ukaelewa, kipi unaweza muelewa, wengine Ni ubabaishaji tu,
Alafu mbona vipande wa ndacha hazionekani?au hazionekani kwangu tu
@tomborathomas2124
6 ай бұрын
Wamechukya upande mmoja tuu wajanja hawana lolote
Dr sule hujui kusoma biblia ujui sana vizuri.
Ndacha hasomi maandiko yeye kazoea kufukia viraka na kupotosha watu 😅😅😅. Kwa hakika Ndacha anatia watu motoni. Laana tulwai .
@jumarobertonyancha8605
6 ай бұрын
Wazee wa viraka wako hapo wakina masinge,mbogo,sulle na shafi hawana hoja za kimzingi kabisa,eti hiki ndicho kitabu kizijokuwa na saka ndaniyake na kumbe in kitabu cha MTU na mkewe wako kaburini mecca ndicho mwatuambia ni ja mungu
@anwarambar6141
6 ай бұрын
Ndacha ni hodari wa kupoteza watu katika njia ya haki, na kuwapeleka jahannam
@anwarambar6141
6 ай бұрын
@@jumarobertonyancha8605ngia ndani ya uislamu wewe, uwepukane na jahannam, usidanganywe na Ndacha
@mahmoudmussa2800
6 ай бұрын
Sio kwamba hasomi, anasoma na pia naamini ukweli anaujua. ila sio rahisi waislamu tujue. Mtu kama ndacha kukubali ukweli. Maana ni mtu maarufu na huenda akawa anaogopa juu ya umaarufu wake. Tangia hapo zamani makafiri walikuwa wakiujua ukweli ila shida kuuamini kwa kuhofia vyeo vyao.
Biblia ni kitabu chenye pumzi ya Mungu na yeyote aiminiye anapata Wokovu
Cc waislam mwamba😂😂😂😂 ukweli n huo usiposlim n ww mwenyewe tu
Uislam ni dini yenye uongo unao fanana na ukweli jamani fungukeni vichwa vyenu muhamad aliwatia motoni nyote.
@hamissima
6 ай бұрын
😂😂😂
@peterluppy8843
3 ай бұрын
Wewe ndo muongo wa kwanza😂😂😂
Sulle alishindwa kuthibisha makosa ya biblia akaona atumie propaganda ya kitabu cha yehova matatani,huku mwalim wake ndacha akiichambua koran utadhani yeye ndo muislam.
Quran inajitetea yenyewe lkn biblia imeshindwa kujitetea bali watu ndo wanaitetea
Uongo mtupu nyinyi watu
@user-sv3em3hm8u
5 ай бұрын
Unatakiwa usome mwenyewe ujuee usiamin tu unacho uamin
@Fidia-ie3fi
3 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤dr sule