Mashaallah Allah akulinde Dr sule amkupe umri mrefu kwa kuulinda uislam . Waislam takbir.🤲🤲🤲🤲
@SalumMustafa-hv2gh
18 күн бұрын
Wislam gan anaulinda bal anatia haibu
@Fatma99-ve7ys2 ай бұрын
Dkt sule mashallah mashallah Allah akubariki sana
@KennedyGideon-di8oh7 күн бұрын
Hongera Dacha , Dr sule hajajibu hoja ata moja ameagaika bure hadi akachoka bila point
@motivumotivunbktv44093 ай бұрын
Alhamdulillah Dr sule ww ni hatari sana,Allah SW akuzidishie
@myself4128
2 ай бұрын
Unashabikia mganga??
@FadhiliMbwambo-x1r11 күн бұрын
Mashaallah Dr.sule m/mungu akuzidishie ghelimu na ufahamu zaidi
@ZigashaneByamunguАй бұрын
Yesu si mungu bali ni mtume ❤❤❤❤❤❤❤
@user-vb4ek9jd7x4 ай бұрын
Ndacha unajielewa sana ubarikiwe ❤❤❤❤
@motivumotivunbktv44093 ай бұрын
Dr sule umepigaje apo😂😂 msomaji ubarikiwe uko vizuri sana
@raiyasaluum2 ай бұрын
Ndacha kweli ww ni innalilahi wanna ilaih rajiu unapotosha wenzio kwa Kur Ani yauongo.
@mwinyiamsobabel60616 ай бұрын
😂😂😂😂😂 dr. Sule umepigaje hapo
@JamesJastin-bg1rx3 ай бұрын
Ndacha ni mpuuzi tu mim mwenyewe kutokana na huo mdaharo nimeamua kusilimu (MaashaaAlla)
@zulekhaa6817
3 ай бұрын
Mashallah Allha akuongoze kwenye haki, Ww una akili, n km umesilimu basi Allah kakuchagua Kuwa muisilamu n neema kubwa kukliko chochote. Usirudi nyuma mdugi yangu silimu na ukasome uisilamu usikae tu.
@SANDUKUTV
3 ай бұрын
Allah Akbar
@peterluppy8843
3 ай бұрын
Mashallah ❤❤❤
@HappyMunisi-ig6he
2 ай бұрын
Huna akili
@directorhaji2023
2 ай бұрын
Mashallah
@shabanabudalah2 ай бұрын
Dini ya mungu Iko wazi ktk vtabu vya mungu ,soma,3,19
@godsknowledgeonlinetv38992 ай бұрын
😂😂😂😂 haki najifunza vitu ving kupitia hii midaharo asee 😂😂
@KhamisiJuma-xd7ilАй бұрын
Uislamu ni raha sana ukweli wote umeelezew ndacha kama hautaki kusilimu jiandae na Moto wa jianam
@AbinexHaje-rn5mv4 ай бұрын
Nilichokisoma na Nilichokiona ni tofauti... Mungu akurehemu sanaa
@allymugisha64314 ай бұрын
Ma sheikh wetu nyie.ALLAH.awaweke myaka miya pasina maradhi ao uze
@MaryamJumwa-mp2ds4 ай бұрын
Astaghafrullah mungu akusamehe ndacha...... Alhamdhulillah kwa mafunzo ya Dr. Sule Allah akuzidishie Insha'Allah 🙏
@johannesmusa1393
4 ай бұрын
Sijui jina lake, Lakini kiukweli Mkristo kashinda debating fosho!! Mungu ni Mkristo
@h.alshidhani8971
3 ай бұрын
Maryam ALLAH Hasemehe makafiri kamwe
@zulekhaa6817
3 ай бұрын
@@h.alshidhani8971 Mpaka asilimu
@ZigashaneByamunguАй бұрын
Ndacha ww ni kipuuzi sana 😢😢😢😢. Dt sule mungu. Akupe maisha marefu❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@LuisFaustinoLuis
25 күн бұрын
Unalana pa kumtukana mwalimu ndacha
@muhamedtwaha82253 ай бұрын
Jazzakallahu khair Dr Sule 🙏
@user-mv2zs6cx1e3 ай бұрын
Nafurahi kuwa muislamu ALHAMDULILLAH huyu ndacha hata mm namshinda🤣🤣🤣 hata hajui anaongea nn maskini karibu kwenye dini ya haki tunafurahi sana kuwa waislam tunafurahi sana wenzio washasilimu tunakusubiri ww tu unawaponza wenzio ndacha 🤣🤣🤣 UISLAM ndo dini ya haki wallah tunafurahi kuwa waislam DR.Sule ALLAHUMMA BAARIK INSHALLAH
@AbdirizakSiyat3 ай бұрын
Mashaallah by dr sule that is totally knockout
@cabylake23205 ай бұрын
Mashaallah Allah awabariki masheikh wetu
@mahamudsalim-uq4xc
4 ай бұрын
MashaALLAH hawa wakristo hawana muelekeo juu mapaster wao wanawadanganya juu ukiulizwa maana ukristo nini?..
@mahamudsalim-uq4xc
4 ай бұрын
Mungu inshaALLAH wajalie maustadh wetu awape nguvu maana hakuna cku mkristo ataweza mshinda muisilamu kwa mjadala hapo hakuna hata kidogo nadhani kila mtu anashuhudia
@user-xu7de2hb2c5 ай бұрын
Mungu akusamehe ww tubuu mapema maana umisha dini hiyo hako sahihi
@juliusmsangi68494 ай бұрын
Mwandishi acha ushabiki! Aliyechanganyikiwa ni Sule sio Ndacha! Hoja za Ndacha haziwezi kujibiwa na muislamu yeyote hapa duniani!
@peterluppy8843
3 ай бұрын
😂😂😂 kula chuma
@ismoodmohamed4581
2 ай бұрын
Wewe ukilicto nn
@mshamhemedy8567
2 ай бұрын
Wambie
@professorimmah
18 күн бұрын
Nyie wapakwa mafuta
@aminajuma8384 ай бұрын
Mungu akupe maisha malefu mtumish wa mungu ndacha wafundish wajue njia ya kweli ya mungu muumbaji wa vitu vyote
@ramadhanimwambeni12593 ай бұрын
Huwa mnanifurahisha 😂😂😂 mungu azidi kuwajalia uzima na afya wote waislamu na wakristo coz tunaelimishana kimpango
Ndacha win %100 mungu atazami kama tunavyo tazama sisi ukiwa mkristo upo sehem sahihi
@issackmohamed64211 күн бұрын
Mash Allah sh sulee mabruk alek
@MamboleoKalibikoJohn-Pet-uz3kt7 күн бұрын
Past. Ndacha ubarikiwe
@user-zv4sx9iv8z5 ай бұрын
Tume mushukuru Allah kupitiya Dr SULE
@molee2339
4 ай бұрын
Wewe, Mnafik, Allah HANA Broker, kama Sule, wala MTU yeyote!
@SANDUKUTV
3 ай бұрын
@@molee2339hii inaweza kuwa shirki
@user-fu8iw8xb3n4 ай бұрын
Ndacha wafundishe neno waache maneno
@hajiameir86884 ай бұрын
Yesu sio mungu
@RehemaKingu
2 ай бұрын
yesu mwana wa mungu
@vinny.morales
Ай бұрын
Endeleeni kuabudu jiwe jeusi la Makka
@RobertMadolio3 ай бұрын
Akuna mwalimu wa kislamu anae weza ndacha kwa uchambuzi 🙋🙋🙋🙋🙋🙋🙋
@lulkul7784
3 ай бұрын
Dr sulle ndio dawa yake umejionea Wacha uwongo
@onesmusmathitu8313
3 ай бұрын
Tumekupa hizi haya Saba! Kwani walimpea wakiwa naa nani na mungu ni mmoja?
@peterluppy8843
3 ай бұрын
😂😂😂 Keisha habari yak
@HabasuFamily
Ай бұрын
Sasa kwa jina lk lilivyo unadhani utamkubali dk sule
@HabasuFamily
Ай бұрын
Ndacha kapigwa ambush
@babakayla41096 ай бұрын
Msomaji wa Kiislamu iko vizuri sana❤
@minabuelysee8
5 ай бұрын
MashaAllah
@ManenoDouglas2 ай бұрын
Mwalimu dacha Ako juu sana ,pia Ako na hoja zenye mzingi
@samueldoweramadhani68264 ай бұрын
Merci pasta wa chane
@FelixMallya-xv9xu3 ай бұрын
Ndacha have a good life broo watu mnaona dini n kama team zampra jaribu kujioneeni huruma
@SadalaMahamdu-vj7iy3 ай бұрын
Moto umewashwa kwa ajil ya majeuri allah aepushie mbali akuongoe na miongon mwa waliokufuata ndacha😭😭😭
@FrankAloyce-ic6rq2 ай бұрын
Safi ndacha kiboko yao waislamu hamuuwezi mziki wa yesu yesu Yuko kazini msipookoka basi Tena mnaenda kuhuukimiwa
@aminajumale68053 ай бұрын
Jazakallahu kheir
@Fatma99-ve7ys2 ай бұрын
Ndacha mbona mm sijakuelewa naona hapo ww wamkoseya mungu sana kwanza staghafiru sana piya msikilize dokt sule anavo kupa elimu vizur ila la muhimu rud kwa mola wako na umuombe maghafra akusamehe
@user-kd5eu3bn4g4 ай бұрын
Wislam wezangu ndacha mwache awe mbishi lakin ubishi wake ndo chanzo cha kusilimu Allah amfanyie mwepesi dokta sule ishaallah
@mahamudsalim-uq4xc
4 ай бұрын
InshaALLAH mungu ampe nia ndacha na atasilimu juu wengi wao hao wakristo walikua wabishani mwisho wakasilimu wote kwa hvo imebaki ndacha
@onesmusmathitu8313
3 ай бұрын
Tunakupa hizi haya Saba! Kwani mungu ni wangapi hao wanapea mtume Mohammed hizo haya?
@zulekhaa6817
3 ай бұрын
@@onesmusmathitu8313 Hiyo ni lugha tu inatumika, kwenue lugha y kiarabu inatumika hivyo kwa wingi km ni kujitukuza
@Nim68182
2 ай бұрын
@@zulekhaa6817 Quran inasema anaye mfanyia uadui malaika wake hasahas wawili jibrili na mikaeli ni adui wa Mungu, Pia ikasem kuwa alie teremsha Quran moyon mwa muhamad ni adui wa jibrili 🤔🤔🤔🤔🤔 Hoooo hio imekaaj
@claimministries45056 ай бұрын
Knowledge and power of God be with you Ndacha.Jesus is Lord.continual revealing Jesus to Them.
@user-sb2tz7sk6t
5 ай бұрын
wew acha upumbavu,kwahy had leo unaamin yesu ni mungu?mungu gan wa kumxhika nyie mukamuua mxalabak😂😂😂,hovyo mumetawaliwa na wazungu
@hanifa9153
5 ай бұрын
Hyu ni wazim kabisa yesu anakuaje mungu!?? Yaan ata kwa akili za kawaida tu hawezi kua binaadam mwenye amekua akienda haja anakula anakunywa jaman anapigwa na kusulubiwa yaan kiufupi hyo mungu yesu akakubali kdhalilishwa na binaadam innalillah😢😢😢 hii ni kufuru kabisa yesu ni nabii wa mungu jaman acheni kuzua ni gharam😮 tena bac tuwaulize kama mnashangaa yesu kutokea bila baba bac mtuambie kati ya kuku au yai kilianza kitu gani!???
@user-oh6pc7zd4s
5 ай бұрын
OH POOR ON YOU THE BLIND OR HEART AND SOUL
@hanifa9153
5 ай бұрын
@@user-oh6pc7zd4s Tuambie kati ya kuku na yai kilianza kitu gani ndo mshangae yesu ktokea dunian bila baba aya nabii Adam nae!?? Wakristu akili zenu mnazijua wenyewe dadeki
@basilejuma3 ай бұрын
Ndachaaaa mwalimu anae garagaza waislam
@gilbertfungameza4 ай бұрын
Ndaca Fundisha Hao Wahiitao Kwamba Wanamtumikia Mwenyezi Mungu Kumbe Mfalme Wao Ni Wa Kuzimu Jamani Wakubali Wabatizwe
@pettybrown26556 ай бұрын
Ndacha👋👋👋🤝🙏🔥📖
@user-pl8pn7qb9e6 ай бұрын
Mkristo wa kwanza ni Ibilisi pinga na hilo
@Nim68182
3 ай бұрын
Towa Aya kweny Biblia kama ulisoma kwel 😂😂😂 usidanganywe na sulee jisomee mwenyewe we nip andiko kweny Biblia Ila usisahau kuwa majini nawo walisilimu mpk sas niwaislam
@zulekhaa6817
3 ай бұрын
@@Nim68182 Sasa unataka waisilamu tuamini bibilia 😂 Qur'an ishatuambia kila asiefiata maamrishi y Allah anamfuata shetani, Sasa hapo kila dini nyengine ni shetani. Kuhusu majini kuwa nibwaisilamu ni kweli ni viumbe wameumbwa kumuabudu Allah. Na hao majini wapo mashetani ambao ndio wamemuasi Allah ambao sio waisilamu km iblis n wafuasi wake. N viumbe km sisi wapo waisilamu wapo n wasiokuwa waisilamu. Na wala hawataki dini nyengine kwa sababu wanajua dini zote sio z haki isipokuwa uisilamu. Sasa wawe wakiristo kwa nini na wkt wanajua sio dini y kweli
@HappyMunisi-ig6he
2 ай бұрын
Hahaaaa,,pole na Quran Yako ya kichawi
@user-pl8pn7qb9e
2 ай бұрын
@@HappyMunisi-ig6he mkristo wa ni ibilisi ndacha mwenyewe amekubali andiko Hilo we nani ,makao makuu ya shetani kanisani we unasoma biblia Gani
@user-kf5lh4jk3b6 ай бұрын
Ndacha wewe muongo ukristo sio dini
@BadruHisha22 сағат бұрын
Ndacha hana hoja hajuwi kujitetea masiiiiikiiini weeeee😅
@KulekatsengeHaruni-sb6qc6 ай бұрын
Mafundisho Mazuri mubarikiwe
@Dama-sd4qk
6 ай бұрын
Hi
@nelsonrunya46863 ай бұрын
Pongezi ndacha we love your❤
@aliabdallah84566 ай бұрын
Wakristo wengi hupewa maneno ya himani yao bila ushaidi wa maandiko ni dini propanganda tu haina ushaidi wa maandiko kazi yao ni uchawi tu wa wachungaji wao lakini hilo awalisemi kwa nini kila siku shetani toka kwa jina la yesu atatokaje na hapo ndiyo nyumbani kwake hiyo ni danganya toto tulakini hatoki hapo hamnadua kumtoa shetani kanisani hata siku moja wenyewe msharuusu ushoga kanisani sasa atatokaje apo na shetani anaupenda ushoga
@Nim68182
3 ай бұрын
Ushoga nidhambi mbele za Mungu kama dhambi zingine Ko hakuna muislam shoga???
@nelsonrunya4686
3 ай бұрын
Lakini ndacha anakupea maandishi sio maneno kuruan inatibitisha
@francisnachan1045
2 ай бұрын
Hujui chochot ww ebu tulia waislam wamejaa majini ndo dini inayoongoza Kwa kuwa na wachawi wengi mnamiliki majini
@AmanMaker-wb5ss
Ай бұрын
Hv ww usiongee kwa kujinufaisha zungumza/andika kwa point nikuulize kitu labda hv kati ya Zanzibar na Bara wap mashoga wamejaa mm nitakwambia zenji na nitakupa ukweli ya kuwa hata bara mashoga wapemba wapo wengi na wanaonekana hivyo bas mbona husemi na nyie waislam msharuhusu ushoga mskitin kwa maana iyo usiishi kwa kukosoa dini ya mtu ama imani ya mtu ww amini tu unachoamin kwa maana hata hizi dini mbili kubwa duniani tumeletewa waafrica hatukuwa na dini kwahy mkuu amini unachoamin na sio kukandamiza dini ya mtu bro
@user-hg5vb5ct5g5 ай бұрын
Mkusanyiko wa vtabu?hamjiuliz tuu Allah Waongoze
@onesmusmathitu8313
3 ай бұрын
Swali gani?
@user-rg1fz7wr7p4 ай бұрын
Hakika dini mbele ya Allah ni dini ya kiislam.... Ukiristo ingekua dini wangeingia kanisani wakaanza kutumbuiza na mavazi ya Uchi, et wapo ibadani na muziki unaendelea Allah awasamehe na awaoneshe njia iliyonyooka... Amini inshallah
@aldinazani528
4 ай бұрын
Unaabudu mungu unampigia instrument na makelele zote
@aldinazani528
4 ай бұрын
Ndacha amekuja kutafuta pesa kwnye ukristo lkn ukwl anaujua ulipo
@aldinazani528
4 ай бұрын
Unashk bibilia na umetoka chooni kujipangusa na tissue,,dini gani hyo inaruhusu jina kitabu cha.mungu ukishike ukiwa mchafu
@user-pl8pn7qb9e
4 ай бұрын
@@aldinazani528 na janaba toopu ,maana nywele Toka alisuka Zina miezi 3 kichwa hakijatiwa maji janaba linaulizana tu we umingia lini we upo Toka lini ,aisee najivunia sanaaa kuwa muislamu
@user-sw4wi9iw5x5 ай бұрын
Mungu atu vushe
@peteremanuel80226 ай бұрын
Ndacha fundisha hawa waokoke na moto wa jehanamu hawaijui hawa maana njia ya kwenda kwa mungu ni moja tu. NI YESU KRISTO NDIYO NJIA KWELI NA UZIMA
@h.alshidhani8971
3 ай бұрын
Wewe una matatizo ki Akili. Huyu ndacha wako Kisha laanika utamwona baadae atakavyokuwa
@Onlyforfun1992tube
2 ай бұрын
Yesu katahiriwa
@user-ik2fz3kg9y4 ай бұрын
Allahu Akbar❤❤❤❤
@user-ik2fz3kg9y
4 ай бұрын
Naam Manshaallah
@mahamudsalim-uq4xc
4 ай бұрын
ALLAH AKBAR
@LinuslusianLinuslusian3 ай бұрын
Mimi nilisema kuwa sule hana imani na Mungu
@Omari-w6d5 күн бұрын
Huyu ndacha hajui wala haelewi anacho ongea zaidi ya kupiga makelele
@petermwelesa17494 ай бұрын
❤❤great
@user-ey9vf2xo6l2 ай бұрын
Ndacha hata ujikambe dini sahihi ni moja tu uisilim unapotea bure tu ila ww unajua vizur sana ila unapo tosha mwenzako
@MathewMaliva2 ай бұрын
Waislamu takbir...tubatizwe wazeee ndacha zamisha kwa maji wote hao
@user-rs7rg1kd7s5 ай бұрын
Uyu ndacha anajivuriga Sana Yan tatizo lake ajui kutofasir Aya za Quran anaipita hovyo hovyo shida anataka ubishi sio kuelewa na atajua anaotosha watu wengi
@user-hg5vb5ct5g5 ай бұрын
Pole msifuate mikusanyiko y a vitabu funguken Allah awaongoze
@Nim68182
3 ай бұрын
Niulize ,kwani taurati alopew nabii Moses katika Quran imo au
@EuniceNgigi-ot6pg6 ай бұрын
Sasa kuna mahali manabii na mitume na mungu wanajua kitabu kinaitwa koran religion will not take us to heaven mtu ajiangalie na akae kikamilifu kwa mwenyezi mungu
@user-sb2tz7sk6t5 ай бұрын
Na hamjiulizi manabii na mitume ote wamezaliwa bara la Asia iweje wazungu wa ulaya waijuwe din ya haki na halali?Munaaminije ukristo ulioletwa na wazungu toka ulaya?mumefeli kwa kweli
@LEAHHAMISI-gg7ov4 ай бұрын
Ubarikiwe saana mchungaji ,unachanganua vzr saana sielewi hata wanaposhindwa kuelewa ni wapi?
Yaani we ndacha kweli chenga unakataa biblia ya kiafrika alafu unaitumia hiyohiyo kujengea hoja
@user-nw9ds9qe5i6 ай бұрын
Hallelujah mwalimu ndacha ubarikiwe sana wewe ndiyo uitwe Dr. Siyo huyo anae jiita Dr sule hajui kitu. Waislamu poleni.
@AishaAbbas-mw6ef
6 ай бұрын
Pole ww usie elewa maan ya dini Sasa hunukristo ndo dini Gani na imeandikwa wapi 😅😅😂
@Mwendoo5 ай бұрын
Mimi nimewapenda wote kwa kunipa ufahamu lakini napenda uyu ndacha anavyochambua vitabu vyote viwili nmekuwa mkristo toka utotoni na sioni pa kwenda.
@RehemaKingu
2 ай бұрын
safi
@ashakijaji5869Ай бұрын
Ukihamia ukiristo kumbe tunamuabudu Yesu sio MUNGU,hasara tupu.
@user-ph7ty4qd7k6 ай бұрын
NDG WAISLAM TUTOE COMMENT ZA BUSARA JAMANI. KAMA TUTATOA COMMENT CHAFU NAO PIA WATATOA HIVYO HIVYO. NA TUTASABABISHA KUMUASI ALLAH KWA MANENO MACHAFU. TUACHE
@henelckneatunga2720
3 ай бұрын
NDUGU ASILI YENU NI HASIRA SI UPOLE,NDIO MAANA WENZAKO WANAPANIC,KUUA NI KITU CHA KAWAIDA NA HATA KITABU CHENI KINARUHUSU MTU ASOMEWE DUA NA AFE.WAKATI SISI WAKRISTO HATUNA HICHO KITABU CHA KUUA WATU.MAANA MUNGU MWENYEWE ALISEMA HAFURAHI KIFO CHA MWENYE DHAMBI.
@user-pl8pn7qb9e6 ай бұрын
tofautisha kati ya sura wewe na aya kiswahili hujui si uombe wakufundishe tu ili upate kuelewa
@user-wg2gd2nl6c2 ай бұрын
Maraika toka lini akaandika. Malaika kazi yake nikuleta ujumbe kwa mtu alie teuliwa na mungu. Ndyo hao huandika. Vitabu. Sasa huyo maraika wakuandika. Qraani cvituko hivyo. Halafu shetani naye. Mmoja wenu😮 kituko
@alphapetro490120 күн бұрын
Ndacha wewe umetumwa na mungu kuwaelimisha dini saf dini aliyoileta mungu duniani
@user-ct9fb5or2n4 ай бұрын
Ndacha we kiboko umefanya nianze kufuatilia chanel hii una mafundisho mazuri zaidi
@Timonlangat
4 ай бұрын
True
@user-ek7bx6sk6f6 ай бұрын
Subhanallah Mwemyezi Mungu Akusamehe wewe ndacha na Matusi unayozungumuza kwamaana wewe usipopata neema ya kupata Uislamu unaishiya jahannamu milele ,so hivyo nikusahauri tu Tafuta haki Bado unanafasi ukiwa bado ungali hai
@EmanuelNicholaus-vn9gl
6 ай бұрын
Kitabu mnachokikataa ndicho mnachokitumia basi tumieni Maandiko yenu kuliko kutukana Injili ya Kristo acheni kulazimisha imani
@Melikzedek-dy1nv
6 ай бұрын
Ndacha ana kipaji
@ZeroBlen
6 ай бұрын
Tunatumia kitabu chenu Kwa sababu ndicho mnachokiamini,,so tunatumia ili kukufundisha usichokielewA
@meshacknyandongo577
6 ай бұрын
Ndacha ni mkali waislamu hamumuwezi
@AyubuIbrahim
6 ай бұрын
Ndacha hajui anachokisema maskini ya mungu ya mungu anainge mladi ashinde ila anazima ya kumjibu mungu kesho na nyie wengine msishikwe akili mwenzenu anaonge ushindani kuwaongezea maudambwi ila ukweli unajulikana uislamu ndio unaojulikana
@josephkaveya428412 күн бұрын
Kuanzia leo nabatizwa natoka uisilamu kumbe uisilamu sio dini
@user-bv2cb9qj9j2 ай бұрын
Mara corowani kateremushwa Mbinguni Leo mwakubali ya kuwa kiliandikwa kwa mikono ya wamalaika watakatifu je huo Mtakatifu waandishi WA Muhamadi wakautosha wapi!
@faqueabudo1615 ай бұрын
Ndacha Ana utafauti na abujahar
@RehemaKingu2 ай бұрын
DR SULE MASWALI YAKO YANA PASWA KULIZWA NA MTOT WA MIAKA 10 UKO NAUWELEWA MDOGO
@user-wl5pu4qe1z5 ай бұрын
Inshaallah nimeujua ukweli najiunga na wakristo
@cabylake2320
5 ай бұрын
Umepotea kabisa
@punyetoke9343
4 ай бұрын
karibu kwa dini ya ukweli,,,
@hajiameir8688
4 ай бұрын
Toka na mwanzo tu ww ni kafiri kwa lipi kubwa alilolisema ndacha kuacha dini yako yahaki na kuufuata ukiristo we huna akili kama ndacha
@zahorsuleyman3429
4 ай бұрын
Huyu kafiri zaman
@user-wl8cq2rn8z
4 ай бұрын
Ni kafiri tangia mwanzo,
@zulekhaa68173 ай бұрын
Yaani maswali ma 3 ya kimsingi hakuna mkiristo yeyote atakaejibu mpaka mwisho w dunia. 1: walete aya inayosema ukiristo ni dini ktk vitabu vyao. 2: walete aya inayosema Yesu ni mungu au mwana w Mungu ambayo katamka mwenyewe. Sio ya kuzuliwa na kina Paulo.😂 3: Walete aya inayosema bibilia ni kitabu cha mungu . Haya maswali wakiulizwa siku zote wanjibabaisha tu na wakiwadanganya wafuasi wao. Ewe mkiristo funuka akili huo ndio msingi w dini yeyote, na km dini hiyo hajaeleza dini yako n mungu wako au mtume wako na kitanu chako basi ihame hiyo sio dini.
@user-ws4rd3ub3d3 ай бұрын
Uislamu ndio dini ya ukweli inawezekanaje huyo yesu ni mungu kisha ni binaadamu kama ww na kama ni mungu hao wazamani waliumbwa na nani kabla yake kizaliwa
@jovinmancomedytz3 ай бұрын
Ndacha ubarikiwe sana Mungu akutunze unaeleweka sana
@nelsonrunya4686
3 ай бұрын
Abarikiwe na mungu amueke....
@prudentbulambo2 ай бұрын
Wa islamu ni wapinga kristo wapinga kristo ni watumwa wa shetani 😢
@Fatma99-ve7ys2 ай бұрын
Ndacha utamueza wapi dokt sulee
@user-ek4fk3hb7e3 ай бұрын
Hakuna vya subuhana huo ndooo ukweliii mwamini Yesu upate uzima wa milele achana na hadisi za watu ndugu walizo tunga wakiwa kwenye mapango
@user-fm8bq4pt9q13 күн бұрын
Waislam takbirrrri
@user-pg2pe6ye4i3 ай бұрын
Issipo kupendelea sisi atumuwezi ndasha, ana upeo wa kuchambuwa vizuri maandiko ya Allah tena ampe nema ya kuwa mwisilamu ili tuongezewe na walimo
@RehemaKingu
2 ай бұрын
yupo kwenye dini ya kweri maelezo ya menyooka
@el_khaydary2 ай бұрын
Ndacha unawapoteza wenzako huku hawajui km wanapotezwa😊
@RehemaKingu
2 ай бұрын
ndacha ni umeme
@kamandadubu25634 ай бұрын
Dakika tano pastor katoa aya 27 wala hajaeleweka anaongelea nini kajichosha tu
@user-mj2jw2ms4o5 ай бұрын
Ndasha siyo hiyo pole sana
@user-jl9yj1gf9u4 ай бұрын
Waislam acheni upinzani wa dini fateni dini na mbona nyinyi mnaswal msikitin na majini na mnaamini kuwa maji yanaswa jini hawezi kuiingia nyumba takatifu je inawezekanaje kwa waislam
@AtanasioBento-sy8xn4 ай бұрын
Wape vidonge..yesu ni mashindi milele watake au wasitake
@JamesJastin-bg1rx
3 ай бұрын
Toka huko ktk ukristo mim mwezako nishatoka huko kitambo tu kwasababu dini yenyewe inaruhusu ushoga Sasa hiyo ni dini yamungu kweli? Tafakali ww huu ndy muda Sasa wa kusilimu kama mim mwezako nilivyoamua kusilimu
Пікірлер: 600
Waislam taq taq taqbiiiiirrrr!!!! Dr. Sule maashaallah!
@user-vg3hw5gi7j
Ай бұрын
Allahu Akbar
Msomaji wakiislam nampenda maashaallah anasoma vizuri❤
Dr sule JazakaAllah Kheir Mungu akuzidishie elimu
Mashaallah Allah akulinde Dr sule amkupe umri mrefu kwa kuulinda uislam . Waislam takbir.🤲🤲🤲🤲
@SalumMustafa-hv2gh
18 күн бұрын
Wislam gan anaulinda bal anatia haibu
Dkt sule mashallah mashallah Allah akubariki sana
Hongera Dacha , Dr sule hajajibu hoja ata moja ameagaika bure hadi akachoka bila point
Alhamdulillah Dr sule ww ni hatari sana,Allah SW akuzidishie
@myself4128
2 ай бұрын
Unashabikia mganga??
Mashaallah Dr.sule m/mungu akuzidishie ghelimu na ufahamu zaidi
Yesu si mungu bali ni mtume ❤❤❤❤❤❤❤
Ndacha unajielewa sana ubarikiwe ❤❤❤❤
Dr sule umepigaje apo😂😂 msomaji ubarikiwe uko vizuri sana
Ndacha kweli ww ni innalilahi wanna ilaih rajiu unapotosha wenzio kwa Kur Ani yauongo.
😂😂😂😂😂 dr. Sule umepigaje hapo
Ndacha ni mpuuzi tu mim mwenyewe kutokana na huo mdaharo nimeamua kusilimu (MaashaaAlla)
@zulekhaa6817
3 ай бұрын
Mashallah Allha akuongoze kwenye haki, Ww una akili, n km umesilimu basi Allah kakuchagua Kuwa muisilamu n neema kubwa kukliko chochote. Usirudi nyuma mdugi yangu silimu na ukasome uisilamu usikae tu.
@SANDUKUTV
3 ай бұрын
Allah Akbar
@peterluppy8843
3 ай бұрын
Mashallah ❤❤❤
@HappyMunisi-ig6he
2 ай бұрын
Huna akili
@directorhaji2023
2 ай бұрын
Mashallah
Dini ya mungu Iko wazi ktk vtabu vya mungu ,soma,3,19
😂😂😂😂 haki najifunza vitu ving kupitia hii midaharo asee 😂😂
Uislamu ni raha sana ukweli wote umeelezew ndacha kama hautaki kusilimu jiandae na Moto wa jianam
Nilichokisoma na Nilichokiona ni tofauti... Mungu akurehemu sanaa
Ma sheikh wetu nyie.ALLAH.awaweke myaka miya pasina maradhi ao uze
Astaghafrullah mungu akusamehe ndacha...... Alhamdhulillah kwa mafunzo ya Dr. Sule Allah akuzidishie Insha'Allah 🙏
@johannesmusa1393
4 ай бұрын
Sijui jina lake, Lakini kiukweli Mkristo kashinda debating fosho!! Mungu ni Mkristo
@h.alshidhani8971
3 ай бұрын
Maryam ALLAH Hasemehe makafiri kamwe
@zulekhaa6817
3 ай бұрын
@@h.alshidhani8971 Mpaka asilimu
Ndacha ww ni kipuuzi sana 😢😢😢😢. Dt sule mungu. Akupe maisha marefu❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@LuisFaustinoLuis
25 күн бұрын
Unalana pa kumtukana mwalimu ndacha
Jazzakallahu khair Dr Sule 🙏
Nafurahi kuwa muislamu ALHAMDULILLAH huyu ndacha hata mm namshinda🤣🤣🤣 hata hajui anaongea nn maskini karibu kwenye dini ya haki tunafurahi sana kuwa waislam tunafurahi sana wenzio washasilimu tunakusubiri ww tu unawaponza wenzio ndacha 🤣🤣🤣 UISLAM ndo dini ya haki wallah tunafurahi kuwa waislam DR.Sule ALLAHUMMA BAARIK INSHALLAH
Mashaallah by dr sule that is totally knockout
Mashaallah Allah awabariki masheikh wetu
@mahamudsalim-uq4xc
4 ай бұрын
MashaALLAH hawa wakristo hawana muelekeo juu mapaster wao wanawadanganya juu ukiulizwa maana ukristo nini?..
@mahamudsalim-uq4xc
4 ай бұрын
Mungu inshaALLAH wajalie maustadh wetu awape nguvu maana hakuna cku mkristo ataweza mshinda muisilamu kwa mjadala hapo hakuna hata kidogo nadhani kila mtu anashuhudia
Mungu akusamehe ww tubuu mapema maana umisha dini hiyo hako sahihi
Mwandishi acha ushabiki! Aliyechanganyikiwa ni Sule sio Ndacha! Hoja za Ndacha haziwezi kujibiwa na muislamu yeyote hapa duniani!
@peterluppy8843
3 ай бұрын
😂😂😂 kula chuma
@ismoodmohamed4581
2 ай бұрын
Wewe ukilicto nn
@mshamhemedy8567
2 ай бұрын
Wambie
@professorimmah
18 күн бұрын
Nyie wapakwa mafuta
Mungu akupe maisha malefu mtumish wa mungu ndacha wafundish wajue njia ya kweli ya mungu muumbaji wa vitu vyote
Huwa mnanifurahisha 😂😂😂 mungu azidi kuwajalia uzima na afya wote waislamu na wakristo coz tunaelimishana kimpango
Dr sule takbiriiiiii
Mashallah ushindi wetu waislamu innadina idallah al,islam
@h.alshidhani8971
3 ай бұрын
INNA DIIN GHINDA ALLAH AL ISLAAM
Ndacha win %100 mungu atazami kama tunavyo tazama sisi ukiwa mkristo upo sehem sahihi
Mash Allah sh sulee mabruk alek
Past. Ndacha ubarikiwe
Tume mushukuru Allah kupitiya Dr SULE
@molee2339
4 ай бұрын
Wewe, Mnafik, Allah HANA Broker, kama Sule, wala MTU yeyote!
@SANDUKUTV
3 ай бұрын
@@molee2339hii inaweza kuwa shirki
Ndacha wafundishe neno waache maneno
Yesu sio mungu
@RehemaKingu
2 ай бұрын
yesu mwana wa mungu
@vinny.morales
Ай бұрын
Endeleeni kuabudu jiwe jeusi la Makka
Akuna mwalimu wa kislamu anae weza ndacha kwa uchambuzi 🙋🙋🙋🙋🙋🙋🙋
@lulkul7784
3 ай бұрын
Dr sulle ndio dawa yake umejionea Wacha uwongo
@onesmusmathitu8313
3 ай бұрын
Tumekupa hizi haya Saba! Kwani walimpea wakiwa naa nani na mungu ni mmoja?
@peterluppy8843
3 ай бұрын
😂😂😂 Keisha habari yak
@HabasuFamily
Ай бұрын
Sasa kwa jina lk lilivyo unadhani utamkubali dk sule
@HabasuFamily
Ай бұрын
Ndacha kapigwa ambush
Msomaji wa Kiislamu iko vizuri sana❤
@minabuelysee8
5 ай бұрын
MashaAllah
Mwalimu dacha Ako juu sana ,pia Ako na hoja zenye mzingi
Merci pasta wa chane
Ndacha have a good life broo watu mnaona dini n kama team zampra jaribu kujioneeni huruma
Moto umewashwa kwa ajil ya majeuri allah aepushie mbali akuongoe na miongon mwa waliokufuata ndacha😭😭😭
Safi ndacha kiboko yao waislamu hamuuwezi mziki wa yesu yesu Yuko kazini msipookoka basi Tena mnaenda kuhuukimiwa
Jazakallahu kheir
Ndacha mbona mm sijakuelewa naona hapo ww wamkoseya mungu sana kwanza staghafiru sana piya msikilize dokt sule anavo kupa elimu vizur ila la muhimu rud kwa mola wako na umuombe maghafra akusamehe
Wislam wezangu ndacha mwache awe mbishi lakin ubishi wake ndo chanzo cha kusilimu Allah amfanyie mwepesi dokta sule ishaallah
@mahamudsalim-uq4xc
4 ай бұрын
InshaALLAH mungu ampe nia ndacha na atasilimu juu wengi wao hao wakristo walikua wabishani mwisho wakasilimu wote kwa hvo imebaki ndacha
@onesmusmathitu8313
3 ай бұрын
Tunakupa hizi haya Saba! Kwani mungu ni wangapi hao wanapea mtume Mohammed hizo haya?
@zulekhaa6817
3 ай бұрын
@@onesmusmathitu8313 Hiyo ni lugha tu inatumika, kwenue lugha y kiarabu inatumika hivyo kwa wingi km ni kujitukuza
@Nim68182
2 ай бұрын
@@zulekhaa6817 Quran inasema anaye mfanyia uadui malaika wake hasahas wawili jibrili na mikaeli ni adui wa Mungu, Pia ikasem kuwa alie teremsha Quran moyon mwa muhamad ni adui wa jibrili 🤔🤔🤔🤔🤔 Hoooo hio imekaaj
Knowledge and power of God be with you Ndacha.Jesus is Lord.continual revealing Jesus to Them.
@user-sb2tz7sk6t
5 ай бұрын
wew acha upumbavu,kwahy had leo unaamin yesu ni mungu?mungu gan wa kumxhika nyie mukamuua mxalabak😂😂😂,hovyo mumetawaliwa na wazungu
@hanifa9153
5 ай бұрын
Hyu ni wazim kabisa yesu anakuaje mungu!?? Yaan ata kwa akili za kawaida tu hawezi kua binaadam mwenye amekua akienda haja anakula anakunywa jaman anapigwa na kusulubiwa yaan kiufupi hyo mungu yesu akakubali kdhalilishwa na binaadam innalillah😢😢😢 hii ni kufuru kabisa yesu ni nabii wa mungu jaman acheni kuzua ni gharam😮 tena bac tuwaulize kama mnashangaa yesu kutokea bila baba bac mtuambie kati ya kuku au yai kilianza kitu gani!???
@user-oh6pc7zd4s
5 ай бұрын
OH POOR ON YOU THE BLIND OR HEART AND SOUL
@hanifa9153
5 ай бұрын
@@user-oh6pc7zd4s Tuambie kati ya kuku na yai kilianza kitu gani ndo mshangae yesu ktokea dunian bila baba aya nabii Adam nae!?? Wakristu akili zenu mnazijua wenyewe dadeki
Ndachaaaa mwalimu anae garagaza waislam
Ndaca Fundisha Hao Wahiitao Kwamba Wanamtumikia Mwenyezi Mungu Kumbe Mfalme Wao Ni Wa Kuzimu Jamani Wakubali Wabatizwe
Ndacha👋👋👋🤝🙏🔥📖
Mkristo wa kwanza ni Ibilisi pinga na hilo
@Nim68182
3 ай бұрын
Towa Aya kweny Biblia kama ulisoma kwel 😂😂😂 usidanganywe na sulee jisomee mwenyewe we nip andiko kweny Biblia Ila usisahau kuwa majini nawo walisilimu mpk sas niwaislam
@zulekhaa6817
3 ай бұрын
@@Nim68182 Sasa unataka waisilamu tuamini bibilia 😂 Qur'an ishatuambia kila asiefiata maamrishi y Allah anamfuata shetani, Sasa hapo kila dini nyengine ni shetani. Kuhusu majini kuwa nibwaisilamu ni kweli ni viumbe wameumbwa kumuabudu Allah. Na hao majini wapo mashetani ambao ndio wamemuasi Allah ambao sio waisilamu km iblis n wafuasi wake. N viumbe km sisi wapo waisilamu wapo n wasiokuwa waisilamu. Na wala hawataki dini nyengine kwa sababu wanajua dini zote sio z haki isipokuwa uisilamu. Sasa wawe wakiristo kwa nini na wkt wanajua sio dini y kweli
@HappyMunisi-ig6he
2 ай бұрын
Hahaaaa,,pole na Quran Yako ya kichawi
@user-pl8pn7qb9e
2 ай бұрын
@@HappyMunisi-ig6he mkristo wa ni ibilisi ndacha mwenyewe amekubali andiko Hilo we nani ,makao makuu ya shetani kanisani we unasoma biblia Gani
Ndacha wewe muongo ukristo sio dini
Ndacha hana hoja hajuwi kujitetea masiiiiikiiini weeeee😅
Mafundisho Mazuri mubarikiwe
@Dama-sd4qk
6 ай бұрын
Hi
Pongezi ndacha we love your❤
Wakristo wengi hupewa maneno ya himani yao bila ushaidi wa maandiko ni dini propanganda tu haina ushaidi wa maandiko kazi yao ni uchawi tu wa wachungaji wao lakini hilo awalisemi kwa nini kila siku shetani toka kwa jina la yesu atatokaje na hapo ndiyo nyumbani kwake hiyo ni danganya toto tulakini hatoki hapo hamnadua kumtoa shetani kanisani hata siku moja wenyewe msharuusu ushoga kanisani sasa atatokaje apo na shetani anaupenda ushoga
@Nim68182
3 ай бұрын
Ushoga nidhambi mbele za Mungu kama dhambi zingine Ko hakuna muislam shoga???
@nelsonrunya4686
3 ай бұрын
Lakini ndacha anakupea maandishi sio maneno kuruan inatibitisha
@francisnachan1045
2 ай бұрын
Hujui chochot ww ebu tulia waislam wamejaa majini ndo dini inayoongoza Kwa kuwa na wachawi wengi mnamiliki majini
@AmanMaker-wb5ss
Ай бұрын
Hv ww usiongee kwa kujinufaisha zungumza/andika kwa point nikuulize kitu labda hv kati ya Zanzibar na Bara wap mashoga wamejaa mm nitakwambia zenji na nitakupa ukweli ya kuwa hata bara mashoga wapemba wapo wengi na wanaonekana hivyo bas mbona husemi na nyie waislam msharuhusu ushoga mskitin kwa maana iyo usiishi kwa kukosoa dini ya mtu ama imani ya mtu ww amini tu unachoamin kwa maana hata hizi dini mbili kubwa duniani tumeletewa waafrica hatukuwa na dini kwahy mkuu amini unachoamin na sio kukandamiza dini ya mtu bro
Mkusanyiko wa vtabu?hamjiuliz tuu Allah Waongoze
@onesmusmathitu8313
3 ай бұрын
Swali gani?
Hakika dini mbele ya Allah ni dini ya kiislam.... Ukiristo ingekua dini wangeingia kanisani wakaanza kutumbuiza na mavazi ya Uchi, et wapo ibadani na muziki unaendelea Allah awasamehe na awaoneshe njia iliyonyooka... Amini inshallah
@aldinazani528
4 ай бұрын
Unaabudu mungu unampigia instrument na makelele zote
@aldinazani528
4 ай бұрын
Ndacha amekuja kutafuta pesa kwnye ukristo lkn ukwl anaujua ulipo
@aldinazani528
4 ай бұрын
Unashk bibilia na umetoka chooni kujipangusa na tissue,,dini gani hyo inaruhusu jina kitabu cha.mungu ukishike ukiwa mchafu
@user-pl8pn7qb9e
4 ай бұрын
@@aldinazani528 na janaba toopu ,maana nywele Toka alisuka Zina miezi 3 kichwa hakijatiwa maji janaba linaulizana tu we umingia lini we upo Toka lini ,aisee najivunia sanaaa kuwa muislamu
Mungu atu vushe
Ndacha fundisha hawa waokoke na moto wa jehanamu hawaijui hawa maana njia ya kwenda kwa mungu ni moja tu. NI YESU KRISTO NDIYO NJIA KWELI NA UZIMA
@h.alshidhani8971
3 ай бұрын
Wewe una matatizo ki Akili. Huyu ndacha wako Kisha laanika utamwona baadae atakavyokuwa
@Onlyforfun1992tube
2 ай бұрын
Yesu katahiriwa
Allahu Akbar❤❤❤❤
@user-ik2fz3kg9y
4 ай бұрын
Naam Manshaallah
@mahamudsalim-uq4xc
4 ай бұрын
ALLAH AKBAR
Mimi nilisema kuwa sule hana imani na Mungu
Huyu ndacha hajui wala haelewi anacho ongea zaidi ya kupiga makelele
❤❤great
Ndacha hata ujikambe dini sahihi ni moja tu uisilim unapotea bure tu ila ww unajua vizur sana ila unapo tosha mwenzako
Waislamu takbir...tubatizwe wazeee ndacha zamisha kwa maji wote hao
Uyu ndacha anajivuriga Sana Yan tatizo lake ajui kutofasir Aya za Quran anaipita hovyo hovyo shida anataka ubishi sio kuelewa na atajua anaotosha watu wengi
Pole msifuate mikusanyiko y a vitabu funguken Allah awaongoze
@Nim68182
3 ай бұрын
Niulize ,kwani taurati alopew nabii Moses katika Quran imo au
Sasa kuna mahali manabii na mitume na mungu wanajua kitabu kinaitwa koran religion will not take us to heaven mtu ajiangalie na akae kikamilifu kwa mwenyezi mungu
Na hamjiulizi manabii na mitume ote wamezaliwa bara la Asia iweje wazungu wa ulaya waijuwe din ya haki na halali?Munaaminije ukristo ulioletwa na wazungu toka ulaya?mumefeli kwa kweli
Ubarikiwe saana mchungaji ,unachanganua vzr saana sielewi hata wanaposhindwa kuelewa ni wapi?
@mahamudsalim-uq4xc
4 ай бұрын
Ushawai sikia musilamu amemuelewa mcristo akiongia
Yaani we ndacha kweli chenga unakataa biblia ya kiafrika alafu unaitumia hiyohiyo kujengea hoja
Hallelujah mwalimu ndacha ubarikiwe sana wewe ndiyo uitwe Dr. Siyo huyo anae jiita Dr sule hajui kitu. Waislamu poleni.
@AishaAbbas-mw6ef
6 ай бұрын
Pole ww usie elewa maan ya dini Sasa hunukristo ndo dini Gani na imeandikwa wapi 😅😅😂
Mimi nimewapenda wote kwa kunipa ufahamu lakini napenda uyu ndacha anavyochambua vitabu vyote viwili nmekuwa mkristo toka utotoni na sioni pa kwenda.
@RehemaKingu
2 ай бұрын
safi
Ukihamia ukiristo kumbe tunamuabudu Yesu sio MUNGU,hasara tupu.
NDG WAISLAM TUTOE COMMENT ZA BUSARA JAMANI. KAMA TUTATOA COMMENT CHAFU NAO PIA WATATOA HIVYO HIVYO. NA TUTASABABISHA KUMUASI ALLAH KWA MANENO MACHAFU. TUACHE
@henelckneatunga2720
3 ай бұрын
NDUGU ASILI YENU NI HASIRA SI UPOLE,NDIO MAANA WENZAKO WANAPANIC,KUUA NI KITU CHA KAWAIDA NA HATA KITABU CHENI KINARUHUSU MTU ASOMEWE DUA NA AFE.WAKATI SISI WAKRISTO HATUNA HICHO KITABU CHA KUUA WATU.MAANA MUNGU MWENYEWE ALISEMA HAFURAHI KIFO CHA MWENYE DHAMBI.
tofautisha kati ya sura wewe na aya kiswahili hujui si uombe wakufundishe tu ili upate kuelewa
Maraika toka lini akaandika. Malaika kazi yake nikuleta ujumbe kwa mtu alie teuliwa na mungu. Ndyo hao huandika. Vitabu. Sasa huyo maraika wakuandika. Qraani cvituko hivyo. Halafu shetani naye. Mmoja wenu😮 kituko
Ndacha wewe umetumwa na mungu kuwaelimisha dini saf dini aliyoileta mungu duniani
Ndacha we kiboko umefanya nianze kufuatilia chanel hii una mafundisho mazuri zaidi
@Timonlangat
4 ай бұрын
True
Subhanallah Mwemyezi Mungu Akusamehe wewe ndacha na Matusi unayozungumuza kwamaana wewe usipopata neema ya kupata Uislamu unaishiya jahannamu milele ,so hivyo nikusahauri tu Tafuta haki Bado unanafasi ukiwa bado ungali hai
@EmanuelNicholaus-vn9gl
6 ай бұрын
Kitabu mnachokikataa ndicho mnachokitumia basi tumieni Maandiko yenu kuliko kutukana Injili ya Kristo acheni kulazimisha imani
@Melikzedek-dy1nv
6 ай бұрын
Ndacha ana kipaji
@ZeroBlen
6 ай бұрын
Tunatumia kitabu chenu Kwa sababu ndicho mnachokiamini,,so tunatumia ili kukufundisha usichokielewA
@meshacknyandongo577
6 ай бұрын
Ndacha ni mkali waislamu hamumuwezi
@AyubuIbrahim
6 ай бұрын
Ndacha hajui anachokisema maskini ya mungu ya mungu anainge mladi ashinde ila anazima ya kumjibu mungu kesho na nyie wengine msishikwe akili mwenzenu anaonge ushindani kuwaongezea maudambwi ila ukweli unajulikana uislamu ndio unaojulikana
Kuanzia leo nabatizwa natoka uisilamu kumbe uisilamu sio dini
Mara corowani kateremushwa Mbinguni Leo mwakubali ya kuwa kiliandikwa kwa mikono ya wamalaika watakatifu je huo Mtakatifu waandishi WA Muhamadi wakautosha wapi!
Ndacha Ana utafauti na abujahar
DR SULE MASWALI YAKO YANA PASWA KULIZWA NA MTOT WA MIAKA 10 UKO NAUWELEWA MDOGO
Inshaallah nimeujua ukweli najiunga na wakristo
@cabylake2320
5 ай бұрын
Umepotea kabisa
@punyetoke9343
4 ай бұрын
karibu kwa dini ya ukweli,,,
@hajiameir8688
4 ай бұрын
Toka na mwanzo tu ww ni kafiri kwa lipi kubwa alilolisema ndacha kuacha dini yako yahaki na kuufuata ukiristo we huna akili kama ndacha
@zahorsuleyman3429
4 ай бұрын
Huyu kafiri zaman
@user-wl8cq2rn8z
4 ай бұрын
Ni kafiri tangia mwanzo,
Yaani maswali ma 3 ya kimsingi hakuna mkiristo yeyote atakaejibu mpaka mwisho w dunia. 1: walete aya inayosema ukiristo ni dini ktk vitabu vyao. 2: walete aya inayosema Yesu ni mungu au mwana w Mungu ambayo katamka mwenyewe. Sio ya kuzuliwa na kina Paulo.😂 3: Walete aya inayosema bibilia ni kitabu cha mungu . Haya maswali wakiulizwa siku zote wanjibabaisha tu na wakiwadanganya wafuasi wao. Ewe mkiristo funuka akili huo ndio msingi w dini yeyote, na km dini hiyo hajaeleza dini yako n mungu wako au mtume wako na kitanu chako basi ihame hiyo sio dini.
Uislamu ndio dini ya ukweli inawezekanaje huyo yesu ni mungu kisha ni binaadamu kama ww na kama ni mungu hao wazamani waliumbwa na nani kabla yake kizaliwa
Ndacha ubarikiwe sana Mungu akutunze unaeleweka sana
@nelsonrunya4686
3 ай бұрын
Abarikiwe na mungu amueke....
Wa islamu ni wapinga kristo wapinga kristo ni watumwa wa shetani 😢
Ndacha utamueza wapi dokt sulee
Hakuna vya subuhana huo ndooo ukweliii mwamini Yesu upate uzima wa milele achana na hadisi za watu ndugu walizo tunga wakiwa kwenye mapango
Waislam takbirrrri
Issipo kupendelea sisi atumuwezi ndasha, ana upeo wa kuchambuwa vizuri maandiko ya Allah tena ampe nema ya kuwa mwisilamu ili tuongezewe na walimo
@RehemaKingu
2 ай бұрын
yupo kwenye dini ya kweri maelezo ya menyooka
Ndacha unawapoteza wenzako huku hawajui km wanapotezwa😊
@RehemaKingu
2 ай бұрын
ndacha ni umeme
Dakika tano pastor katoa aya 27 wala hajaeleweka anaongelea nini kajichosha tu
Ndasha siyo hiyo pole sana
Waislam acheni upinzani wa dini fateni dini na mbona nyinyi mnaswal msikitin na majini na mnaamini kuwa maji yanaswa jini hawezi kuiingia nyumba takatifu je inawezekanaje kwa waislam
Wape vidonge..yesu ni mashindi milele watake au wasitake
@JamesJastin-bg1rx
3 ай бұрын
Toka huko ktk ukristo mim mwezako nishatoka huko kitambo tu kwasababu dini yenyewe inaruhusu ushoga Sasa hiyo ni dini yamungu kweli? Tafakali ww huu ndy muda Sasa wa kusilimu kama mim mwezako nilivyoamua kusilimu