Mzee wa upako

Mzee wa upako

GOSPER MIX

GOSPER MIX

KISIMA CHA HEKIMAA

KISIMA CHA HEKIMAA

kisima cha hekima

kisima cha hekima

Usimtete Baba Mchungaji wako

Usimtete Baba Mchungaji wako

Tafakari Njia Zako

Tafakari Njia Zako

Kutana Na Mtu Sahihi

Kutana Na Mtu Sahihi

Ukiamini Utapigwa Vita

Ukiamini Utapigwa Vita

Tuimbe Tumepona

Tuimbe Tumepona

CHUMA CHA PUA

CHUMA CHA PUA

2024 MWAKA WA MAOKOTO

2024 MWAKA WA MAOKOTO

Пікірлер

  • @Jenestabenedkitor
    @JenestabenedkitorКүн бұрын

    naitwa mosses bingileki niko bukoba kagera mzee nakukubali sana waambiee hao matapeli mungu akupe maisha malefu katkika jina la yesu kristo mwana wa mungu aliye ahi

  • @JoshuaMutesa
    @JoshuaMutesaКүн бұрын

    Mzee huyu tuwe nae Makin Sana

  • @AnthonyKiwango
    @AnthonyKiwangoКүн бұрын

    SO YUKO MUNGU NA PIA YUKO YESU MWANA WA BABA

  • @AnthonyKiwango
    @AnthonyKiwangoКүн бұрын

    YESU NI MUNGU KWA SABABU AMETOKA KWA MUNGU ILA KWA ASILI YESU NI MWANA MZALIWA PEKEE WA MUNGU NI SAWA NA MTU ALIYEZALIWA NA MTU SI MTU: ILA MUNGU AMBAYE NI MMOJA MWENYE NAFSI MOJA NI BABA(YEHOVA)

  • @hamisially-c4x
    @hamisially-c4xКүн бұрын

    Huyu Mzee anaongea ukweli ndiyomaana wengi hawamkubali

  • @barakaayubu6126
    @barakaayubu6126Күн бұрын

    Uko sahihi Sana mzee

  • @ndolepeter2770
    @ndolepeter27702 күн бұрын

    mhh achen utapeli jaman mnawakamua waumin hadi basi kuen na huruma.

  • @AziziPonera
    @AziziPonera2 күн бұрын

    Karibu kwenye dini ya kweli Uislam ndio dini ya Allah

  • @ErastoNzibonera
    @ErastoNzibonera2 күн бұрын

    Nimekuelewa

  • @gdswai4479
    @gdswai44793 күн бұрын

    NIWASAIDIE MUSLIM'S ZINGATIENI HILI :- BIBLE HAIKUTOKANA NA HADITH NA HATUSOMI KWA UWEZO WA AKILI AU ELIMU YA DARASANI. INAITAJI KWANZA UWE NA [ROHO MTAKATIFU ] NDIPO UELEWE NENO LA MUNGU SO HAKUNA MTU ANAYESEMA AMWAMINI YESU KRISTO NA KUSEMA KUWA ANAHOJA ZA KUPINGA UKRISTO IMPOSSIBLE. WATU WA DINI ISIYO YA KRISTO LAZIMA KUNYAMAZA KIMYA KABISAA --- KWASABABU HAMNA NGUVU YAKULIJUA NENO. Ukitaka kupata hii nguvu lazima. UZALIWE MARA YA PILI(KUOKOKA) = KUZALIWA KATIKA NENO NA KUZALIWA KATIKA ROHO WA KRISTO. UKIFANYA HIVI UTAKUWA NA LEGITIMACY YAKULISEMA NENO NA KUWASAIDIA WATU. NB :_ BIBLE IS NOT A STORY BOOK that anyone can read and speak you must have sufficient power of the spirit of Jesus christ then you can talk.

  • @gdswai4479
    @gdswai44793 күн бұрын

    Kama una roho mtakatifu utaweza kujua kuwa jina la Yesu ni (Kristo Yesu or YESU KRISTO) Hivi ndivyo ukamilifu wa jina Hilo ikimaanisha kuwa Jina Yesu = ni mwili alioupata kutoka kwa Mariamu ambao ndio ulimpa kristo uwezo na uwalali wakufanya kazi duniani na ndio uliotumika kumshinda Dunia na mambo dhambi zake. Kristo ni roho iliyotoka kwa BABA NA YANI NAFSI YA MWANA. Ambapo hii nafsi inayoitwa Kristo sasa ndio iliyokuwa ikitenda kazi ndani ya mwili unaoitwa Yesu. Sasa. NB: kwakuwa ni nafsi ya MUNGU (Kristo) iliyokuwa inatenda KAZI ndani ya mwili unaoitwa (Yesu) sasa YESU KRISTO NI MUNGU. UKISOMA BIBLE NAYO INASEMA WAZI HAPA 13 tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu; Tito 2:13

  • @gdswai4479
    @gdswai44793 күн бұрын

    Ukileta hoja yoyote inayomhusu Yesu kristo lazima huwe na ushahidi kamili wa kwenye Bible sio kusema vile unavyowaza hiyo nimbaya na upotoshaji wa Neno la Mungu. ANGALIA = 13 tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu; (Tito 2:13)

  • @zxcvbnmmkh
    @zxcvbnmmkh3 күн бұрын

    Hapa hakuna kushinda maana yeye mwenyewe ameshashindwa, ukimkana Yesu kuwa si mwana wa Mungu maana yake mahubiri yako yoote ni bure. 😢😢 Kweli nyakati za mwisho kuna mambo. Ila hili ni fundisho kwa waumini wake , wanatakiwa kuchukua hatua maana kiongozi wao anahubiri mafundisho ya uongo je wameshadanganywa kwa kiasi gani? Pole wenye imani haba mliacha makanisa yenu mkaja kwa mfilisti huyu sasa ameanza kujiweka wazi kwamba hana upako zaidi ya ulevi na kuwarubuni achukue pesa zenu kama sadaka tu. Bado mapema amueni kabla mlango haujafungwa mtaangamia pamoja nae.😅😅😅

  • @feruzyjuma
    @feruzyjuma3 күн бұрын

    Hamna mbingu,,,hamna jahanam,,,acha kudanganya watu...msenge we

  • @josephmtikile-yf3pq
    @josephmtikile-yf3pq4 күн бұрын

    Soma mathayo 1-23

  • @jakoboamon9402
    @jakoboamon94024 күн бұрын

    Just comedy.

  • @RamadhaniRamadhani-yd4hq
    @RamadhaniRamadhani-yd4hq4 күн бұрын

    Nikweli, huwezinilazimisha kula mbwa wakati kwetu hatulagi

  • @Alexander-xp9zd
    @Alexander-xp9zd4 күн бұрын

    Wahubirien watu habari za wokovu na kumnjua mungu

  • @victorkalolo5350
    @victorkalolo53504 күн бұрын

    Kama hukuitiwa hicho mbona unakizungumzia ungekiacha kama kilivyo,nakwahabr kusema ww niwa mda mlefu Aina maana unauelewa wa neno Mzee wangu,unamzungumzia YESU alipo fanyika mwili

  • @drmauji1126
    @drmauji11264 күн бұрын

    Mzee wa upako unanena vema sana barikiwa sana

  • @ashelgabriel1696
    @ashelgabriel16965 күн бұрын

    Washirika wako nao ni mbimbum u kweli

  • @ashelgabriel1696
    @ashelgabriel16965 күн бұрын

    Alete hayo maandiko tuone hataleta hayo 90 anayosema hayapo yanayosema yesu siyo mungu hii hata waisllam imewashind sembuse huyu anywahabikia pombe?

  • @zxcvbnmmkh
    @zxcvbnmmkh3 күн бұрын

    ❤jibu lake liko hapa Yohane 21:25 kwamba biblia haijaandikwa yoote yaliyotendeka. Kama anakataa Yesu sio Mungu huyu ni wa shetani, huwezi ukasema Yesu sio Mungu kama roho mtakatifu yuko ndani yako. Huyu tapeli wakala wa kupeleka watu motoni

  • @ashelgabriel1696
    @ashelgabriel16965 күн бұрын

    Mhubiri wa miaka mingi familia ukoo mbona ndugu zake yesu jawakiamini mpaka baahdaye?? i mzee umri hata yesu hakuna na umri mkubwa tafuta mafunuo kama haukujua wewe no tatizo lako ahoda pia ukio na kanisa moja mhubiri mmoja biblia haisomwi maandiko macache hata hapo mengi tu mzee acha kukariri inaonekana hausomo ila uma agenda na watatu washuhudiao mbinguni ni nnini? Hii haitakusIdia mzee

  • @bakariphilip3859
    @bakariphilip38595 күн бұрын

    Utakatifu watutosha roho zampinga kristo yupo kazini

  • @nomamatata754
    @nomamatata7545 күн бұрын

    Mwongo huyu na mnafiki anazungumza kutafuta huruna na aonekanw mtu wa watu. Mitume wasema ukweli walichukiwa kwa sababu walitaja uovu kama helode na umalaya wake. Yohana akakatwa kichwa alisema wazi.

  • @zacharianyanda5424
    @zacharianyanda54245 күн бұрын

    Pombe imekuchanganya. Pombe siyo chai.

  • @BenjaminGwambaye
    @BenjaminGwambaye5 күн бұрын

    Mzee wa upako unapofundisha wape na maandko maana watu wanhis unatoka kichwani usiwasomee wape misitari wakasome wenyewe

  • @zxcvbnmmkh
    @zxcvbnmmkh3 күн бұрын

    Inasikitisha sana kuona watu mmeshindwa kumwelewa Mungu, ni mpumbavu peke yake atakayefikiria kwamba kila kitu kimeandikwa kwenye biblia, na yote yaliyomo ndio ukomo wa kila kitu. Soma hii Yohani 21:25 "Kuna mambo mengine mengi aliyoyafanya Yesu, ambayo yakiandikwa moja moja, nadhani hata ulimwengu usingetosha kwa vile vitabu vitakavyoandikwa. Akina mzee wa Upako sasa soma 2 Thimotheo 3:1-4, 5 ndio huyu mlevi, anajidai mchungaji ana upako kwamba yu safi ila anakana uwezo wa Mungu

  • @UpendoChurch-u6c
    @UpendoChurch-u6c5 күн бұрын

    Sasa ata sikuelewi

  • @shefatiakeleye897
    @shefatiakeleye8975 күн бұрын

    Ukuu wa Mungu haufikiliki kwa akili za kibinadamu. Chukua hiyo.

  • @shefatiakeleye897
    @shefatiakeleye8975 күн бұрын

    Kweli pombe sio soda

  • @sylivesterandrewsylvester9120
    @sylivesterandrewsylvester91205 күн бұрын

    Unafiki

  • @themoredwamichano8636
    @themoredwamichano86365 күн бұрын

    Points tupu

  • @VictoriaOmela
    @VictoriaOmela5 күн бұрын

    Amina

  • @alexanderchacha8585
    @alexanderchacha85855 күн бұрын

    Mzee wangu nimekuelewa❤❤🎉🎉

  • @JescarkarugabaJescar
    @JescarkarugabaJescar5 күн бұрын

    Kaeni makini,haya hayana budi kuwepo

  • @JescarkarugabaJescar
    @JescarkarugabaJescar5 күн бұрын

    Ee,siku za mwisho hzi

  • @AllyRamadhani-wl3um
    @AllyRamadhani-wl3um5 күн бұрын

    Mzee wa upako ninakufatilaga kitambo na ninakuelewaga Sana zindua watu waliopelekwa Chaka na wazungu Kama yesu alipingwA Vita sembuse we chapa kazi

  • @AndrewEzekiel-jp7ed
    @AndrewEzekiel-jp7ed5 күн бұрын

    mnatupotosha sana lakini siku zinakuja mtatoa hesabu mnatufanya kama mazombi

  • @SmilingApron-zw6ne
    @SmilingApron-zw6ne5 күн бұрын

    MIMI NPO PAMOJA NAWE MZEEWA UPAKO, MUNGU WA MBINGUNI AKUBARIKI MNO

  • @JoramGeofrey-qo2kl
    @JoramGeofrey-qo2kl6 күн бұрын

    Amina babayangu

  • @hassansaid7304
    @hassansaid73046 күн бұрын

    Game linachangamka😂😂😂

  • @christopherlissa816
    @christopherlissa8166 күн бұрын

    Leteni Mandiko hapa palipoandikwa katika Biblia utatu mtakatifu wa Mungu.. akiwemo Mungu+Yesu na Roho Mtakatifu.. Uongo mkubwa,,

  • @zxcvbnmmkh
    @zxcvbnmmkh4 күн бұрын

    😂😂😂 mjinga kweli wewe, Yesu alipowapatia mitume mamlaka aliwaambia nini, wakipatiza wabatize kwa namna gani?

  • @zxcvbnmmkh
    @zxcvbnmmkh4 күн бұрын

    Ndio nyie mnabakia kupotezwa kila siku mara ubatizo sijui fyoko fyoko aliagiza nendeni mkaihibiri injili kwa kila kiumbe na mkiwabatiza kwa jina gani......, halafu jiulize alisema mkawaogeshe kwenye maji mengi au mkabatize?. Sasa wenye kuelewa walielewa wakabatiza watu hadi leo kwa njia waliyofundishwa na kutumia maji kama ishara ya kimwili kwamba umetakaswa. Ukigusa kilichotakaswa unatakasika ila kwa kuwa wachungaji hawana nguvu ya kutakasa maji ndio maana wanawapeleka mtoni, ziwani hata baharini sishangai hata kwenye mabawa ya kuogelea. Nimekuongezea hii ili uone ujinga wapo ulipo, kama hiyo ya utatu mtakatifu limekushinda kuelewa basi kawe mpagani tu.

  • @christopherlissa816
    @christopherlissa8166 күн бұрын

    Mzeee wa Upako Unganile Kinyamana!! Umeanza kunigusa kumoyo!! Na wachungaji wengi wataenda motoni kwa kuongea uongo.Siku hizi Yesu ndiye anayeabudiwa kuliko hata Mungu..

  • @christopherlissa816
    @christopherlissa8166 күн бұрын

    Huu ni kweli!! Sisi watu weusi tuna mapungufu. Israel kwenyewe Yesu hayupo!! Ila sisi tuna mwabudu Mungu wa Isaka, Mungu wa Yakobo, Mungu wa Ibrahim. Yaani sisi watu wa Ajabu kabisa pumbavu zetu. Yesu hakuwa Mungu siyo Mungu na hajawahi kuwa Mungu na hata kuwa Mungu.. Yenu pengine ni nabii au mtume tu...

  • @zxcvbnmmkh
    @zxcvbnmmkh3 күн бұрын

    😂😂😂 Yaani wewe ndio jiwe kabisa kama umewahi kwenda kanisani labda ukiwa mtoto kabisaa, soma biblia utapata ufahamu ila kama utakua uasikiliza hawa mawakala wa shetani utapotea kama ambavyo hueleweki hata sasa.

  • @christopherlissa816
    @christopherlissa8166 күн бұрын

    Ni kweli Mzee wa Upako, Mwaisa Nashukuru wachungaji mmeanza kuelewa hili

  • @aggreyprince3983
    @aggreyprince39836 күн бұрын

    Et Familia ya wacha MUNGU ila kweli hili ni kopo

  • @isaacmligo9187
    @isaacmligo91876 күн бұрын

    Ni kweli lakini Biblia inafundisha kuonyana ikiwa watu wanaenda tofauti na maandiko ya Biblia mtumishi

  • @themoredwamichano8636
    @themoredwamichano86365 күн бұрын

    Ndyo ila anamaanisha ndege wanaoruka pamoja ndyo wanaweza kulekebishana

  • @kamwene
    @kamwene6 күн бұрын

    UPO SAHIHI SANA.... Hili nimelifahamu binafsi baada ya tafakari sana.... Nakuongezea Nondo ingine! Yesu alikuja kama "Mwalimu" au RABBI. Anaaposema kwenye maandiko Yohana 13: 12-17..."12 Alipomaliza kuwaosha miguu alivaa tena vazi lake, akarudi alipokuwa amekaa, ndipo akawaambia, “Je, mnaelewa maana ya jambo nililowafanyia? 13 Ninyi mnaniita mimi, Mwalimu na Bwana, na hii ni sawa, kwani ni kweli. 14 Kwa hiyo ikiwa mimi niliye Bwana wenu na Mwalimu wenu nimewaosha miguu, ninyi pia hamna budi kuoshana miguu. 15 Mimi nimewaonyesha mfano, ili mtendeane kama nilivyowafanyia. 16 Ninawaambia hakika, mtumishi hawezi kuwa mkuu kuliko bwana wake; wala anayetumwa hawezi kuwa mkuu kuliko aliyemtuma. 17 Kwa kuwa sasa mnafahamu mambo haya, mtabarikiwa na Mungu ikiwa mtayafanya." Anaposema kwenye Yoh 14:1-13 ...."mnamuamini Mungu ...Niaminini na mimi "... haina maana Kumuabudu! Mfano Mwalimu wako wa hesabu anaitwa "Rashidi....anapokufundisha fomula anakuambia "niamini hili ninalokuelekeza utafaulu hesabu" ..haimaanishi anapofanya hesabu unasema "namuamini Rashidi hesabu hii naiweza....unafanya kile alichokufundisha hapo mdiyo umeamini mafundisho ya mwalimu wako.🤓🤓......tena imeandikwa ...Yesu Akasema ''Yeye aniaminiye, ...atafanya kazi kubwa....".. Akupaye maarifa ndiye akupaye wokovu...ila yeye siyo wokovu..yeye ni "njia" mafundisho ya "Kweli na ya "Uzima" na mtu hatafika kwenye hatma ya mafanikio anayoyalenga"Baba" asipozingatia mafundisho haya..... Endelea kutusanua Chief Mwasandube Lusekelo🙌

  • @zxcvbnmmkh
    @zxcvbnmmkh3 күн бұрын

    Unaposoma biblia soma kwa kuelewa usisome kwa kubahatisha. Tuanzie hapa Yohani 1:29-34 uone ulivyo mpumbavu. luka 3:21-22, Mathayo 3:13-17 kama biblia yako imefutika sema takununulia mpyaaaa, mtoto mdogo unatumiwa na shetani kudanganya watu.

  • @user-qk9iz5lt8q
    @user-qk9iz5lt8q6 күн бұрын

    KILA MTU ATAKWENDA VILE ANAVYO KTK KUMTAMBUA YESU NI NANI ISIPOKUWA KTK ROHO NA KWELI ILA MIMI NINAMTAMBUA YESU KUWA NI MUNGU NA NINAMUABUDU NA KUMTUMIKIA MAANA MWANANA WA MUNGU NI MUNGU

  • @kamwene
    @kamwene6 күн бұрын

    UPO SAHIHI SANA.... Hili nimelifahamu binafsi baada ya tafakari sana.... Nakuongezea Nondo ingine! Yesu alikuja kama "Mwalimu" au RABBI. Anaaposema kwenye maandiko Yohana 13: 12-17..."12 Alipomaliza kuwaosha miguu alivaa tena vazi lake, akarudi alipokuwa amekaa, ndipo akawaambia, “Je, mnaelewa maana ya jambo nililowafanyia? 13 Ninyi mnaniita mimi, Mwalimu na Bwana, na hii ni sawa, kwani ni kweli. 14 Kwa hiyo ikiwa mimi niliye Bwana wenu na Mwalimu wenu nimewaosha miguu, ninyi pia hamna budi kuoshana miguu. 15 Mimi nimewaonyesha mfano, ili mtendeane kama nilivyowafanyia. 16 Ninawaambia hakika, mtumishi hawezi kuwa mkuu kuliko bwana wake; wala anayetumwa hawezi kuwa mkuu kuliko aliyemtuma. 17 Kwa kuwa sasa mnafahamu mambo haya, mtabarikiwa na Mungu ikiwa mtayafanya." Anaposema kwenye Yoh 14:1-13 ...."mnamuamini Mungu ...Niaminini na mimi "... haina maana Kumuabudu! Mfano Mwalimu wako wa hesabu anaitwa "Rashidi....anapokufundisha fomula anakuambia "niamini hili ninalokuelekeza utafaulu hesabu" ..haimaanishi anapofanya hesabu unasema "namuamini Rashidi hesabu hii naiweza😄😄....unafanya kile alichokufundisha hapo mdiyo umeamini mafundisho ya mwalimu wako.......tena imeandikwa ...Yesu Akasema ''Yeye aniaminiye, ...atafanya kazi kubwa....".. Akupaye maarifa ndiye akupaye wokovu...ila yeye siyo wokovu..yeye ni "njia" mafundisho ya "Kweli na ya "Uzima" na mtu hatafika kwenye hatma ya mafanikio anayoyalenga"Baba" asipozingatia mafundisho haya..... Endelea kutusanua Lusekelo🙌