SIRI YA FICHULIWA UONGO WA MIUJIZA WANAYO IFANYA EV PASCHAL CASSIAN

#0766998994#call0688199370 #0688199370 #

Пікірлер: 390

  • @user-uc1fj9wg6n
    @user-uc1fj9wg6n8 ай бұрын

    Mungu hashindwi na chochote ,kinyonge ndicho chenye nguvu,fahari za dunia tutaziacha,bila kuiponya roho sio mwili Mana mbinguni Kuna vzr kuliko vya duniani,mwenye masikio na asikie,Mungu anaongea na watu kupitia watumishi wake wa kweli,Mungu azidi kukulinda na kuokoa nafsi za watoto wake watiifu nakukubali Sana Sana ,huto kufa kwa Muda wa wanadamu Bali kwa muda aupendao Alie kupa pumzi ya uhai.🤝🙏

  • @blessymaureen
    @blessymaureen Жыл бұрын

    Only one in spirit will understand this man of God 😢😢😢😢😢😢preach man of God 😢😢😢🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @mistahkeytvkenya4211

    @mistahkeytvkenya4211

    Жыл бұрын

    God is with you don't fear anything

  • @MoksMokah

    @MoksMokah

    Ай бұрын

    Exactly

  • @mediavumbi9243
    @mediavumbi92437 ай бұрын

    Kweli kila Siku inaumiza, ubarikiwe mtumishi wa Mungu

  • @FrancoMsangawale
    @FrancoMsangawale3 күн бұрын

    Mungu akutangulie kaka na azidi kukutangulia katika yoote.

  • @user-hs2vy6ir9i
    @user-hs2vy6ir9i10 ай бұрын

    Aise rafiki yangu Cassian Niko nawe sambamba sema kweli Mungu akuteteee kabisaaaa

  • @maryeer6392
    @maryeer6392 Жыл бұрын

    Amen barikiwa sana mtumishi, huo ndio ukweli,nafasi yanehema bado iko aje atubu Mungu anapenda 🇰🇪🇰🇪.

  • @mwamrasahamaro8473
    @mwamrasahamaro8473 Жыл бұрын

    MUNGU wetu tunamwombea mtumishi wako huyu pamoja na wengine wa KWELI uwalinde dhidi ya manabii wa uongo.Amen

  • @user-yt2lv5en4e
    @user-yt2lv5en4e6 ай бұрын

    Cassian jihadhari sana mdomo wako,unafanyia nini Yesu sasa,funga mdomo na ufanye kazi ile unaona ni sawa kwa Mungu acha kumsaidia Mungu,unatafuta pesa,na itakutesa.unachuja nini Mungu ni mpana sana Cassian fanya yako acha vita.

  • @paschalymlangale8964
    @paschalymlangale8964 Жыл бұрын

    Heri waaminio kweli maana ufalme wa mbingu ni wao mungu akubariki

  • @ChrisantEmanuely27
    @ChrisantEmanuely279 ай бұрын

    Mungu akulinde zaidi nakufatilia sana

  • @loraumuhire4755
    @loraumuhire4755 Жыл бұрын

    Usiogoke Yesu Kristo yupo na wenye wanamwamini, tuko karibu kwenda nyumbani , sema ukweri Mungu atakubariki, atakupa taji rako.

  • @user-lk3tp5cj3q
    @user-lk3tp5cj3q21 сағат бұрын

    Amina barikiwa Mtumidhi

  • @eligiusmapunda81
    @eligiusmapunda8111 ай бұрын

    Mpaka machozi yamenitoka jinsi mtumishi wake anavyo pita katika ukweli wa biblia ili watu tuijue kweli! Wapendwa , tusipo yashika haya, amini tutadaiwa mbele za MUNGU , ubarikiwe sana mtumishi

  • @polycarpwingira9487
    @polycarpwingira9487 Жыл бұрын

    Amen mtumishi wa mungu endelea kutuelemisha

  • @adriannebatakanwa6904
    @adriannebatakanwa690411 ай бұрын

    Cassian Mungu Akulinde. Nilifanya kazi na GD nikatofautiana naye kwa misingi ya kimungu. Tuendelee kumuombea. Adui amemsahaulisha jinsi safari yake ilivokuwa. Alianza vizuri tu. Mungu Amrehemu.

  • @usrahismail3196

    @usrahismail3196

    3 ай бұрын

    Hebu tusimulie kidogo

  • @rowenalilie993
    @rowenalilie993 Жыл бұрын

    YESU,MUNGU ROHO MTAKATIFU WOTE PAMOJA NA MALAIKA WAKO HAPO WAMEKUZUNGUKA!VITA YETU SI YA DAMU NA NYAMA BALI YA ROHO NA MAJESHI YA mapepo wabaya!YESU NDIYE NA MWISHO TUNAUJUA,jehanamu ipo na MBINGUNI IPO. Mungu atuokoe!hapendi Kifo cha mwenye dhambi. Ubarikiwe sana mtumishi Paschal!

  • @JaneWaweru-hn7tp
    @JaneWaweru-hn7tp2 ай бұрын

    May God raise you up to another level

  • @user-pv1ze9ht4e
    @user-pv1ze9ht4e Жыл бұрын

    Keki ya upako..mafuta ya upako..hivyo vitu vyote nivya kishetani ,,,watu wametekwa ufahamu na nguvu za giza....uponyani wa Mungu unaweza pokea hata kwa kusoma Neno la Mungu sio mafuta wala keki ya upako..nguvu ya Mungu haipitii kwenye vyakula....waambie ukweli usipepesi macho..safi sana

  • @noelmbosa2736
    @noelmbosa2736 Жыл бұрын

    Mungu atusaidie YESU yuko jirani mnoooo!Tudumu katika maombi peke yetu hatuwezi tuombeane wapendwa dunia imekwisha

  • @richardsangano6592
    @richardsangano65925 ай бұрын

    Mungu azidi kukuinua

  • @adamjulius9782
    @adamjulius9782 Жыл бұрын

    Amina mtumishi. Yani mpaka kieleweke. Nibora kumwaga damu kama wanyama kuliko kunyamaza ezekieli 3:17-20

  • @sarahwanjiku4891
    @sarahwanjiku4891 Жыл бұрын

    God bless you man of God sasa watu tuombe sana MUNGU atupee roho mtakatifu atuoneshe ukweli

  • @user-oq8zj2py7e
    @user-oq8zj2py7e Жыл бұрын

    Mtumikie Mungu na imani ni muhimu sana .jua kila mtu amepewa kipawa chake na imani inafanya matokeo unayoyaona kwa imani hata kivuli kinaponya . Wewe sio Mungu hubiri neno ulilojaliwa kulijua. Mungu anajua uongo na ukweli . Usihukumu au kukaa nafasi ya Mungu .

  • @StephanoChalesi-or5ol

    @StephanoChalesi-or5ol

    Жыл бұрын

    We're ndio muongo pia umepungukiwa mwanadamu utasubiri ziki kuu inakuja Maana munaamini manabii wauongo mtakanyahishwa mafuta nakulishwa mkate

  • @sheilamaziku5980

    @sheilamaziku5980

    Жыл бұрын

    ​@@StephanoChalesi-or5olamen

  • @christinasebastian9546
    @christinasebastian95468 ай бұрын

    Mungu akufunike akutunze uendelee kuihubul kweli ya mungu

  • @SalomeSuleman-uz8kd
    @SalomeSuleman-uz8kd8 ай бұрын

    Hongera kwa kutafuta ukweli Wa mungu nakuelewa sana baba Chungaji

  • @adamjulius9782
    @adamjulius9782 Жыл бұрын

    Tumekalibia nyumbani, sema tena kwa sauti kuu tumekalibia nyumbani 💪

  • @vumiliawambula1716

    @vumiliawambula1716

    Жыл бұрын

    Amina Amina Sana mtumishi wa Mungu umesema ukweli

  • @selinamrikaria6143
    @selinamrikaria61434 ай бұрын

    Mungu akushindie vita vyako

  • @issakisalu9237
    @issakisalu9237 Жыл бұрын

    Mungu YESU Kama mnavyomwita atakaporudi watu hawatamuona kwa sababu wakimuona watakufa kwa sababu wanadhambi hapo ndio utajua hujui, na hao aliokutana nao mwanzo huyu Mungu Yesu mnayemwita aliishi nao vipi hawakuonana. Au mnamzungumzia wa Tongaleni.

  • @dinairenge
    @dinairenge Жыл бұрын

    Akuna mutu mwenye ashaka ona mungu mwache kukua napotoshawatu mungu ni roho

  • @JaliwaMbembela
    @JaliwaMbembelaАй бұрын

    Mungu anawaona hawa manabii Mungu akubaliki baba huenda kuna watu wanaelewa hiki unachokifanya

  • @kobylwaho3191
    @kobylwaho3191 Жыл бұрын

    Mungu akulinde usiku na mchana akufunike ulinzi thabiti shetani asikudhuru hata kidogo

  • @marryezekiel
    @marryezekiel Жыл бұрын

    Amen mtumishi wa mungu, biblia inasema uwe mwaminifu mpaka kufa

  • @shadraachshadinho
    @shadraachshadinho Жыл бұрын

    Wewe ni kati ya watumishi ambawo Sina mashaka nawo hata kidogo hakika mungu anakutumia vema

  • @LovenesyMhame
    @LovenesyMhame24 күн бұрын

    Amen watu saiz wanatok kweny makanis yao kis kuskia miujiz tu wanatak kuombew baada y kuomb mung atusaidie

  • @immahkisuke1564
    @immahkisuke1564Ай бұрын

    Amen,,,Mungu akubark sana

  • @RebeccaFrancis-tb3we
    @RebeccaFrancis-tb3we16 күн бұрын

    Ubarikiwe mtumishi wa Mungu

  • @madubimabombe25
    @madubimabombe25 Жыл бұрын

    Mk 16:17-18 SUV Na ishara hizi zitafuatana na hao waaminio; kwa jina langu watatoa pepo; watasema kwa lugha mpya; watashika nyoka; hata wakinywa kitu cha kufisha, hakitawadhuru kabisa; wataweka mikono yao juu ya wagonjwa, nao watapata afya.

  • @jumannemtawa4535

    @jumannemtawa4535

    Жыл бұрын

    Mpelekee Geodavie sumu anywe kama hatujamsahau

  • @user-bx3ko9ft5t
    @user-bx3ko9ft5t6 күн бұрын

    Mungu akutunze mtumishi

  • @nkalugiradio8140
    @nkalugiradio81402 ай бұрын

    Exactly Mtumishi wa MUNGU, mimi yalinikuta na watumishi wa mafuta , naelew unachokiongelea ,dunia imeisha niwakati wakusali kabisa tena kwa kulia sana

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa666811 ай бұрын

    Jamani IPO kazi duniani,,, MUNGU nisaidie na nipe macho ya rohoni,,,,,,, barikiwa mtumishi wa BWANA 🎉

  • @zephaniamanembe6929

    @zephaniamanembe6929

    10 ай бұрын

    Hakika Kuna kitu ndani yako Mungu awe nawe

  • @dickson6684
    @dickson6684 Жыл бұрын

    Mwandishi wa habari ukitoka hujaokoka hapo mmmh injiri ya uzima inaunguruma Mungu azidi kukutia mafuta ya kiroho mtumishi wa Mungu Pascal

  • @protasdmassawe

    @protasdmassawe

    Жыл бұрын

  • @oscanyakunga

    @oscanyakunga

    Жыл бұрын

    HAKIKA

  • @user-xx6pz6ry8y

    @user-xx6pz6ry8y

    10 ай бұрын

    Ataokoka ata kwa fimbo

  • @adorateurpaulbukuru6864
    @adorateurpaulbukuru686411 ай бұрын

    Amen Man of GOD...... GO on, we bihind you Sir🖊️✌️

  • @wakayakaya6
    @wakayakaya6 Жыл бұрын

    Kwa Hilo ni Siri ya Mungu .Kwa hio watu wateseke na magonjwa huyo ndie Mungu. Kama watu hupona nawapone atajua mwenyewe alietuumba

  • @bahatimodestus9604
    @bahatimodestus9604 Жыл бұрын

    Hongera sana mtumishi MUNGU akubariki sana

  • @dinairenge
    @dinairenge Жыл бұрын

    Achakuhukumu watumishi wamungu kkangu mungu apendi kuzungumuziawatumishiwak kwanini munapenda ongea maisha ya wenzio sisitunaamini mungu wamwamposa kwasababu tunaona mukonowake nahatutachoka kwenda kawe

  • @user-qf4ok3wl2x

    @user-qf4ok3wl2x

    Жыл бұрын

    Sasa kama yéyé haamini kama mungu iko siache kuwasengenya wezake huu jama ni mwivu wala sio mtumishi wangu huu

  • @eliasmyamba4767

    @eliasmyamba4767

    4 ай бұрын

    Mungu awasaidie maana naona teyale pepo limewakamata ndomana kweli linawaumiza.

  • @FestoYohana-ll4wk

    @FestoYohana-ll4wk

    4 ай бұрын

    mbona hatuon ukiombea watu watu wakipona ww kaz kuponda watumishi wenzio

  • @WitnessSamson-qc9ie

    @WitnessSamson-qc9ie

    3 ай бұрын

    Sema ukweli Hawa wote wanaokusengenya wamepofushwa ufahamu wao

  • @LovenesyMhame

    @LovenesyMhame

    24 күн бұрын

    Acha kumusifia mung wa mwamuposa unajua anamutumikua mung gan sif n za mung wa mbingn tu​@@user-qf4ok3wl2x

  • @severinaseverinanyoni707
    @severinaseverinanyoni707 Жыл бұрын

    Mimi nakukubali sana kwanza hakuna binadamu wa kumuona Mungu kwa dunia ya sqsa ukimuona Mungu lzm ufe

  • @mjumbewaaganoduniani
    @mjumbewaaganoduniani Жыл бұрын

    Tofauti ya manabii wengi wa uongo ni kutumia vitu vya mwilini, Na Nabii wa Mungu wa kweli anatumia Neno la MUNGU,.Yeremia 23:28-29.

  • @Chekakidogo2
    @Chekakidogo2 Жыл бұрын

    Nabarikiwa sana Mtumishi wa Mungu

  • @user-hi4gd5io1w
    @user-hi4gd5io1w2 ай бұрын

    Barikiwa mtumishi wa Yesu ni ndiye Mungu pekee Yohana 8:24

  • @user-dg6im8uw5q
    @user-dg6im8uw5q4 ай бұрын

    Mungu akusaidie mbaka mwisho

  • @sarahnambuya5818
    @sarahnambuya5818 Жыл бұрын

    Uko sawa mtumishi nakuunga mkono

  • @lowasameliyo4027
    @lowasameliyo4027 Жыл бұрын

    Hongera Sanaa ukweli naungana na wew kusema geordavid sio nabii wa kwelii, kwanza anajisifiu Sanaa hadi anadiriki kusema Mungu wa jeodevid ndio amekuponya na sio yesu, kumbe hyu jamaa ana Mungu wake anayemjua yey mwenyewe

  • @emmyrouchy647

    @emmyrouchy647

    Жыл бұрын

    mbona mnasema Mungu wa Yakobo... elewa mantiki.. huwezi kula kwenu ukashukuru kwa jirani.. ata wewe ukiomba jambo kibinafsi nalikatiki unahaki ya kusema Mungu wako ni mkuu..sidhani kama inamaana unayowaza

  • @BarakaMazengo

    @BarakaMazengo

    Жыл бұрын

    Umeona eee huwa anajisifu af et anaitagwa Baba nawaumini wake

  • @jaribuchussy4496
    @jaribuchussy4496 Жыл бұрын

    Jamani mafundisho hayo ni sahihi kabisa, ubarikiwe sana mtumishi.

  • @ochidovictor9531
    @ochidovictor9531 Жыл бұрын

    Amen be blesse man of God

  • @jameskenzedex
    @jameskenzedex Жыл бұрын

    Nmeishi kufutilia mhubiri yako kwa mua Sasa wa mwaka n yote unayoyasrma n kweli na Mungu akubariki

  • @medsonsanga4813
    @medsonsanga4813 Жыл бұрын

    AMEN. Mungu wetu mwema Kila wakati 🙏

  • @LokieLokie-ei8yz
    @LokieLokie-ei8yz Жыл бұрын

    ❤Ameen mtumishi wew uko sahihi San Mungu akupiganie

  • @martinahlighare6495
    @martinahlighare6495 Жыл бұрын

    Ukiwa mkristo unayeamini neno la Mungu, usifuate miujiza. Jiamini kwa nafasi yako. Muombe Mungu akuokoe kwa changamoto unazopitia kwa maisha yako. Naye atakutetea.

  • @obinasimbeye1750

    @obinasimbeye1750

    Жыл бұрын

    Weglngine Mungu amewapa vipaji vya kuponya na SI Kila mtu anaponya so hata kama mkristo tunazidiana vipaji.

  • @WitnessSamson-qc9ie

    @WitnessSamson-qc9ie

    3 ай бұрын

    Kila mtu anapaswa kuomba pindi unapopata shida Mungu anasikiliza maombi ya Kila mwanadam sio kwamba Kuna baadhi ya wanaoponya hata wewe ukiomba Kwa uaminifu Mungu hataacha kukusikiliza sema tu watu wengi Hawana ukaribu na Mungu hata akipata shida anataka aombewe

  • @ErickLazaro-vo8uz

    @ErickLazaro-vo8uz

    5 күн бұрын

    Wana wa Israel waliokolewa kwa MIUJIZA MINGI pasipo miujiza hakuna wokovu ingekuwepo sasa??wewe kaa useme uombe Mungu akuokoe .utazunguka ukuta wa yeriko muda mrefu sana

  • @dinairenge
    @dinairenge Жыл бұрын

    Auwezifanya vitu vyenye mwamposa anafaaka atutaacha kuomba mungu wamwamposa kamwe dunia anamungu mkbwasana mungu wamwamposa anatenda mungu wamwamposa anaponywa mungu wamwamposa anajibu mahitaji sasa sisi mutatuchukia bure kwasababu tunaamini mungu wamwamposa aishimilele tuna mpenda mwamposa mungu amulide amuepushe na nyinyi watu wakumuongea vibaya siovizuri kilamutu abakie na himaniyake na maleziake na mwamini mungu wamwamposa sana

  • @jumamwanza8909
    @jumamwanza8909 Жыл бұрын

    Call it a pure word of God,, I love it🙏🙏

  • @Mamantontine
    @MamantontineАй бұрын

    Unasema kweli Mungu akupe nguvu.manabii wa uwongo wanadanganya watu sana.

  • @rogersndaiga5832
    @rogersndaiga5832 Жыл бұрын

    Wakati wa sasa MUNGU anachekecha kanisa lake ili kupata mchele safi yaani watu safi. Cassian endelea kupiga kelele usiache, paza sauti kama tarumbeta, maana ukiacha utadaiwa.

  • @user-pf3ft9qf9q

    @user-pf3ft9qf9q

    9 ай бұрын

    Pole baba Cassian songa mbele upo ushindi 15:40 15

  • @kisasigala
    @kisasigala Жыл бұрын

    Mungu akiwekee sana wengi tuongoke Amen

  • @muriukigeoffrey4199
    @muriukigeoffrey4199 Жыл бұрын

    Hii ndio injili ya kweli MUNGU akubariki

  • @user-me8qk9gu2y
    @user-me8qk9gu2y6 ай бұрын

    Amina mtumish hawa wanagusa shida za watu na magonjwa ndio maana Wana kundi kubwa hasa wanawake ndio wengi Mungu tusaidie

  • @SaimonMwatwabana
    @SaimonMwatwabana Жыл бұрын

    Bwana akuhifadhi mpendwa wa Mungu

  • @machindafadhili3186
    @machindafadhili3186 Жыл бұрын

    Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu

  • @marylineboola4236
    @marylineboola4236 Жыл бұрын

    Usiogope anaye ua mwili peke yake bali muogope anaye ua mwli na roho simameni pamoja na mtumishi wa Mungu Katekela muitetee injili ya Bwana mbarikiwe sana

  • @ephraimndelwa4073
    @ephraimndelwa40739 ай бұрын

    Miujiza ya Mungu ni ipi? Au Mungu ni mnyonge sana hana miujiza? Nakushauri pambania karama yako uliyopewa na Mungu usipambane na karama za wenzako..

  • @Yohanakilamiani-yn1pb
    @Yohanakilamiani-yn1pb6 ай бұрын

    kwekweli mungu akubari maana Mimi sijawai kuamini awa manabii wa uwongo mungu yupo pamoja na nami nimewatoa watu wengi sana kwa manabii wa uwongo

  • @yusufbarkari2333
    @yusufbarkari2333 Жыл бұрын

    We are in the New Testament dispensation. So don't mix the two samani mungu hakukuwa amemtoa mwanawe Leo hii asha mtoa na yesu huwa anawatokea watu kama vile anawatokea kina mariamu na hata wafuanzi wake nafikili urundi kwa bibilia. Yesu alipatia wafuazi wake nguvu ya kuponya wagojwa katika mathayo 10:1-3

  • @nsabimanaalice5847
    @nsabimanaalice5847 Жыл бұрын

    Usipime kukanyagisha miguuu pale ao maali ali kuanda riya. Hakuna zaidi yayale anasikiya usiku na mcana ukiubiriya. Apo utakuwa una muasi Mungu. Kama anataka kutubu akukutanye kwenye weye uri andaaa Asante

  • @MargrethMloka
    @MargrethMlokaАй бұрын

    Amina sema baba ukweli

  • @ClemenceMakutu
    @ClemenceMakutu Жыл бұрын

    Chapa injili ya kweli mtumishi, Mungu akubariki kufungua watu macho.

  • @samuelmwakalinga6712
    @samuelmwakalinga6712 Жыл бұрын

    AMEN MAN OF GOD

  • @gracepaul5901
    @gracepaul59016 ай бұрын

    Paschal you're very right, some who opposes will one day agree with you

  • @pastorjanekanini6204
    @pastorjanekanini6204 Жыл бұрын

    Naomba kukuzaidia tu wachana na wao ambao wamejichanganya maana yesu alisema wacha mangungu na ngano zimee pamoja mungu atawahukumu mwenyewe , ambia watu ukweli ule unajua kuhusu biblia wacha kujisumbua na waaubiri wa uongo mungu anawajua .

  • @happnesskitumbo5713

    @happnesskitumbo5713

    Жыл бұрын

    Acha awasaidie kwani ni kundi kubwa wanalolipotosha yawezekana wapo ambao wanaweza kusikia wakamgeukia Mungu wa kweli kabla Yesu hajarudi.

  • @EsterBernardoVumo
    @EsterBernardoVumo8 ай бұрын

    Mungu Azidi Kuwafunuli aWatumishi WaMungu.NaMungu Awarinde.Mikononi Mwa Adui.

  • @jacquelineblessing6879
    @jacquelineblessing6879 Жыл бұрын

    Be blessed Baba🙏🏾🙏🏾 , tunakusilizaa

  • @pauloropian2367
    @pauloropian2367 Жыл бұрын

    Amen ubarikiwe.

  • @minanietienne-sz8xu
    @minanietienne-sz8xu5 ай бұрын

    Really appreciate your preaching

  • @user-cp6uj8pr6q
    @user-cp6uj8pr6q Жыл бұрын

    2Nyakati 20:20 waaminini manabii wake ndivyo mtakavyofanikiwa

  • @ptElimu1234
    @ptElimu1234 Жыл бұрын

    Mungu akulinde sana na kukupigania

  • @user-pv1ze9ht4e
    @user-pv1ze9ht4e Жыл бұрын

    Hongera sana mtumishi....kweli kabisa

  • @pavlovbienfait6940
    @pavlovbienfait6940 Жыл бұрын

    Merci vraiment pour la vérité, Dieu vous bénisse 🙌🙌🇨🇩🇨🇩

  • @omaar5693

    @omaar5693

    6 ай бұрын

    🇹🇿

  • @alicerugaitika1687
    @alicerugaitika1687 Жыл бұрын

    Musa alikuwa na Dhambi pia umesahau alivyoua kule Misri!!kingine Musa alikuwa na hasira sana ni kwamba Mungu wetu ni upendo anatupenda Sanaaaaa ni kwa rehema na neema zake

  • @nuruabraham3769
    @nuruabraham37697 ай бұрын

    Mungu akutunze daima na atusaidie kuepuka moto wa jehanam

  • @doricemrema2177
    @doricemrema2177 Жыл бұрын

    Amen barikiwa

  • @azizabuyonde8368
    @azizabuyonde8368 Жыл бұрын

    Amen, ihubiri kweli, Mungu awe nawe

  • @madubimabombe25
    @madubimabombe25 Жыл бұрын

    Mungu akupe ujasiri ufunuo zaidi ili tuujue ukweli wa miujiza pia.

  • @zaituniomollo

    @zaituniomollo

    Жыл бұрын

    ❤ Amen 🙏 man of God be blessed

  • @emmyfoyi8461
    @emmyfoyi84616 ай бұрын

    Kwel kbs nakuelewa pascal

  • @Rashid-vm1fk
    @Rashid-vm1fk6 ай бұрын

    Sahihi kabisa Mtumishi wa Bwana

  • @AmeldaKavishe-ry9ow
    @AmeldaKavishe-ry9ow Жыл бұрын

    Mtapata tabu Sana pia wewe ujui ukweli Ila juaribu kuwakamata watu

  • @user-wi9kr6ib2b
    @user-wi9kr6ib2bАй бұрын

    Nimeelewa mheshimiwa your true

  • @saidmwatenguri4951
    @saidmwatenguri4951 Жыл бұрын

    Pastor muongo sana sasa ikiwa watu zamani waliomuona mungu utuambie mmoja ambae alimuona mungu

  • @SamwelJoseph-yk3cw

    @SamwelJoseph-yk3cw

    10 ай бұрын

    The man msikilize kwa makini

  • @ridiajofrey8276
    @ridiajofrey8276 Жыл бұрын

    Paschal Cassian na katekela no vijana ambao wametumwa na mungu ph

  • @Vantende
    @Vantende10 ай бұрын

    Rezemos para esses irmãos que o Espírito Santo ilumine os seus corações.🇲🇿🇲🇿

  • @Catekathika88
    @Catekathika88 Жыл бұрын

    barikiwa sana pastor 🙏🙏🙏

  • @daudinyello4033
    @daudinyello40337 ай бұрын

    MUNGU HAMUOMBI YEYOTE SABABU YEYE NDIO MKUU ALIYEUMBA MBINGU NA ARDHI,VIUMBE HAI NA VISIVYO HAI. YESU SIO MUNGU KWASABABU ALIOMBA CHAKULA TOKA MBINGUNI, ALISINZIA,ALITESWA NA KUVULIWA NGUO ILA MUNGU HAJAWAHI TESWA NA KUVULIWA NGUO, ALIKUFA ILA MUNGU HAJAWAHI KUFA NA HATAKUFA MILELE, ALIZALIWA ILA MUNGU HAJAZALIWA, YESU ALIKUTA ARDHI NA MBINGU VIMESHAUMBWA, ALIFUFUA WAFU NA KUUMBA UDONGO KWA MFANO WA NDEGE NA KUUPULIZA KUWA NDEGE ILA NI KWA IDHINI YA MUNGU SIO YEYE.

  • @mussamkalawa2101
    @mussamkalawa2101 Жыл бұрын

    Ameen mtumishi usikate taama Mungu atakushindia

Келесі