SIRI YA FICHULIWA UONGO WA MIUJIZA WANAYO IFANYA EV PASCHAL CASSIAN
#0766998994#call0688199370 #0688199370 #
Жүктеу.....
Пікірлер: 390
@user-uc1fj9wg6n8 ай бұрын
Mungu hashindwi na chochote ,kinyonge ndicho chenye nguvu,fahari za dunia tutaziacha,bila kuiponya roho sio mwili Mana mbinguni Kuna vzr kuliko vya duniani,mwenye masikio na asikie,Mungu anaongea na watu kupitia watumishi wake wa kweli,Mungu azidi kukulinda na kuokoa nafsi za watoto wake watiifu nakukubali Sana Sana ,huto kufa kwa Muda wa wanadamu Bali kwa muda aupendao Alie kupa pumzi ya uhai.🤝🙏
@blessymaureen Жыл бұрын
Only one in spirit will understand this man of God 😢😢😢😢😢😢preach man of God 😢😢😢🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@mistahkeytvkenya4211
Жыл бұрын
God is with you don't fear anything
@MoksMokah
Ай бұрын
Exactly
@mediavumbi92437 ай бұрын
Kweli kila Siku inaumiza, ubarikiwe mtumishi wa Mungu
@FrancoMsangawale3 күн бұрын
Mungu akutangulie kaka na azidi kukutangulia katika yoote.
@user-hs2vy6ir9i10 ай бұрын
Aise rafiki yangu Cassian Niko nawe sambamba sema kweli Mungu akuteteee kabisaaaa
@maryeer6392 Жыл бұрын
Amen barikiwa sana mtumishi, huo ndio ukweli,nafasi yanehema bado iko aje atubu Mungu anapenda 🇰🇪🇰🇪.
@mwamrasahamaro8473 Жыл бұрын
MUNGU wetu tunamwombea mtumishi wako huyu pamoja na wengine wa KWELI uwalinde dhidi ya manabii wa uongo.Amen
@user-yt2lv5en4e6 ай бұрын
Cassian jihadhari sana mdomo wako,unafanyia nini Yesu sasa,funga mdomo na ufanye kazi ile unaona ni sawa kwa Mungu acha kumsaidia Mungu,unatafuta pesa,na itakutesa.unachuja nini Mungu ni mpana sana Cassian fanya yako acha vita.
@paschalymlangale8964 Жыл бұрын
Heri waaminio kweli maana ufalme wa mbingu ni wao mungu akubariki
@ChrisantEmanuely279 ай бұрын
Mungu akulinde zaidi nakufatilia sana
@loraumuhire4755 Жыл бұрын
Usiogoke Yesu Kristo yupo na wenye wanamwamini, tuko karibu kwenda nyumbani , sema ukweri Mungu atakubariki, atakupa taji rako.
@user-lk3tp5cj3q21 сағат бұрын
Amina barikiwa Mtumidhi
@eligiusmapunda8111 ай бұрын
Mpaka machozi yamenitoka jinsi mtumishi wake anavyo pita katika ukweli wa biblia ili watu tuijue kweli! Wapendwa , tusipo yashika haya, amini tutadaiwa mbele za MUNGU , ubarikiwe sana mtumishi
@polycarpwingira9487 Жыл бұрын
Amen mtumishi wa mungu endelea kutuelemisha
@adriannebatakanwa690411 ай бұрын
Cassian Mungu Akulinde. Nilifanya kazi na GD nikatofautiana naye kwa misingi ya kimungu. Tuendelee kumuombea. Adui amemsahaulisha jinsi safari yake ilivokuwa. Alianza vizuri tu. Mungu Amrehemu.
@usrahismail3196
3 ай бұрын
Hebu tusimulie kidogo
@rowenalilie993 Жыл бұрын
YESU,MUNGU ROHO MTAKATIFU WOTE PAMOJA NA MALAIKA WAKO HAPO WAMEKUZUNGUKA!VITA YETU SI YA DAMU NA NYAMA BALI YA ROHO NA MAJESHI YA mapepo wabaya!YESU NDIYE NA MWISHO TUNAUJUA,jehanamu ipo na MBINGUNI IPO. Mungu atuokoe!hapendi Kifo cha mwenye dhambi. Ubarikiwe sana mtumishi Paschal!
@JaneWaweru-hn7tp2 ай бұрын
May God raise you up to another level
@user-pv1ze9ht4e Жыл бұрын
Keki ya upako..mafuta ya upako..hivyo vitu vyote nivya kishetani ,,,watu wametekwa ufahamu na nguvu za giza....uponyani wa Mungu unaweza pokea hata kwa kusoma Neno la Mungu sio mafuta wala keki ya upako..nguvu ya Mungu haipitii kwenye vyakula....waambie ukweli usipepesi macho..safi sana
@noelmbosa2736 Жыл бұрын
Mungu atusaidie YESU yuko jirani mnoooo!Tudumu katika maombi peke yetu hatuwezi tuombeane wapendwa dunia imekwisha
@richardsangano65925 ай бұрын
Mungu azidi kukuinua
@adamjulius9782 Жыл бұрын
Amina mtumishi. Yani mpaka kieleweke. Nibora kumwaga damu kama wanyama kuliko kunyamaza ezekieli 3:17-20
@sarahwanjiku4891 Жыл бұрын
God bless you man of God sasa watu tuombe sana MUNGU atupee roho mtakatifu atuoneshe ukweli
@user-oq8zj2py7e Жыл бұрын
Mtumikie Mungu na imani ni muhimu sana .jua kila mtu amepewa kipawa chake na imani inafanya matokeo unayoyaona kwa imani hata kivuli kinaponya . Wewe sio Mungu hubiri neno ulilojaliwa kulijua. Mungu anajua uongo na ukweli . Usihukumu au kukaa nafasi ya Mungu .
@StephanoChalesi-or5ol
Жыл бұрын
We're ndio muongo pia umepungukiwa mwanadamu utasubiri ziki kuu inakuja Maana munaamini manabii wauongo mtakanyahishwa mafuta nakulishwa mkate
@sheilamaziku5980
Жыл бұрын
@@StephanoChalesi-or5olamen
@christinasebastian95468 ай бұрын
Mungu akufunike akutunze uendelee kuihubul kweli ya mungu
@SalomeSuleman-uz8kd8 ай бұрын
Hongera kwa kutafuta ukweli Wa mungu nakuelewa sana baba Chungaji
@adamjulius9782 Жыл бұрын
Tumekalibia nyumbani, sema tena kwa sauti kuu tumekalibia nyumbani 💪
@vumiliawambula1716
Жыл бұрын
Amina Amina Sana mtumishi wa Mungu umesema ukweli
@selinamrikaria61434 ай бұрын
Mungu akushindie vita vyako
@issakisalu9237 Жыл бұрын
Mungu YESU Kama mnavyomwita atakaporudi watu hawatamuona kwa sababu wakimuona watakufa kwa sababu wanadhambi hapo ndio utajua hujui, na hao aliokutana nao mwanzo huyu Mungu Yesu mnayemwita aliishi nao vipi hawakuonana. Au mnamzungumzia wa Tongaleni.
@dinairenge Жыл бұрын
Akuna mutu mwenye ashaka ona mungu mwache kukua napotoshawatu mungu ni roho
@JaliwaMbembelaАй бұрын
Mungu anawaona hawa manabii Mungu akubaliki baba huenda kuna watu wanaelewa hiki unachokifanya
@kobylwaho3191 Жыл бұрын
Mungu akulinde usiku na mchana akufunike ulinzi thabiti shetani asikudhuru hata kidogo
@marryezekiel Жыл бұрын
Amen mtumishi wa mungu, biblia inasema uwe mwaminifu mpaka kufa
@shadraachshadinho Жыл бұрын
Wewe ni kati ya watumishi ambawo Sina mashaka nawo hata kidogo hakika mungu anakutumia vema
@LovenesyMhame24 күн бұрын
Amen watu saiz wanatok kweny makanis yao kis kuskia miujiz tu wanatak kuombew baada y kuomb mung atusaidie
@immahkisuke1564Ай бұрын
Amen,,,Mungu akubark sana
@RebeccaFrancis-tb3we16 күн бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
@madubimabombe25 Жыл бұрын
Mk 16:17-18 SUV Na ishara hizi zitafuatana na hao waaminio; kwa jina langu watatoa pepo; watasema kwa lugha mpya; watashika nyoka; hata wakinywa kitu cha kufisha, hakitawadhuru kabisa; wataweka mikono yao juu ya wagonjwa, nao watapata afya.
@jumannemtawa4535
Жыл бұрын
Mpelekee Geodavie sumu anywe kama hatujamsahau
@user-bx3ko9ft5t6 күн бұрын
Mungu akutunze mtumishi
@nkalugiradio81402 ай бұрын
Exactly Mtumishi wa MUNGU, mimi yalinikuta na watumishi wa mafuta , naelew unachokiongelea ,dunia imeisha niwakati wakusali kabisa tena kwa kulia sana
@judithnjunwa666811 ай бұрын
Jamani IPO kazi duniani,,, MUNGU nisaidie na nipe macho ya rohoni,,,,,,, barikiwa mtumishi wa BWANA 🎉
@zephaniamanembe6929
10 ай бұрын
Hakika Kuna kitu ndani yako Mungu awe nawe
@dickson6684 Жыл бұрын
Mwandishi wa habari ukitoka hujaokoka hapo mmmh injiri ya uzima inaunguruma Mungu azidi kukutia mafuta ya kiroho mtumishi wa Mungu Pascal
@protasdmassawe
Жыл бұрын
❤
@oscanyakunga
Жыл бұрын
HAKIKA
@user-xx6pz6ry8y
10 ай бұрын
Ataokoka ata kwa fimbo
@adorateurpaulbukuru686411 ай бұрын
Amen Man of GOD...... GO on, we bihind you Sir🖊️✌️
@wakayakaya6 Жыл бұрын
Kwa Hilo ni Siri ya Mungu .Kwa hio watu wateseke na magonjwa huyo ndie Mungu. Kama watu hupona nawapone atajua mwenyewe alietuumba
@bahatimodestus9604 Жыл бұрын
Hongera sana mtumishi MUNGU akubariki sana
@dinairenge Жыл бұрын
Achakuhukumu watumishi wamungu kkangu mungu apendi kuzungumuziawatumishiwak kwanini munapenda ongea maisha ya wenzio sisitunaamini mungu wamwamposa kwasababu tunaona mukonowake nahatutachoka kwenda kawe
@user-qf4ok3wl2x
Жыл бұрын
Sasa kama yéyé haamini kama mungu iko siache kuwasengenya wezake huu jama ni mwivu wala sio mtumishi wangu huu
@eliasmyamba4767
4 ай бұрын
Mungu awasaidie maana naona teyale pepo limewakamata ndomana kweli linawaumiza.
@FestoYohana-ll4wk
4 ай бұрын
mbona hatuon ukiombea watu watu wakipona ww kaz kuponda watumishi wenzio
@WitnessSamson-qc9ie
3 ай бұрын
Sema ukweli Hawa wote wanaokusengenya wamepofushwa ufahamu wao
@LovenesyMhame
24 күн бұрын
Acha kumusifia mung wa mwamuposa unajua anamutumikua mung gan sif n za mung wa mbingn tu@@user-qf4ok3wl2x
@severinaseverinanyoni707 Жыл бұрын
Mimi nakukubali sana kwanza hakuna binadamu wa kumuona Mungu kwa dunia ya sqsa ukimuona Mungu lzm ufe
@mjumbewaaganoduniani Жыл бұрын
Tofauti ya manabii wengi wa uongo ni kutumia vitu vya mwilini, Na Nabii wa Mungu wa kweli anatumia Neno la MUNGU,.Yeremia 23:28-29.
@Chekakidogo2 Жыл бұрын
Nabarikiwa sana Mtumishi wa Mungu
@user-hi4gd5io1w2 ай бұрын
Barikiwa mtumishi wa Yesu ni ndiye Mungu pekee Yohana 8:24
@user-dg6im8uw5q4 ай бұрын
Mungu akusaidie mbaka mwisho
@sarahnambuya5818 Жыл бұрын
Uko sawa mtumishi nakuunga mkono
@lowasameliyo4027 Жыл бұрын
Hongera Sanaa ukweli naungana na wew kusema geordavid sio nabii wa kwelii, kwanza anajisifiu Sanaa hadi anadiriki kusema Mungu wa jeodevid ndio amekuponya na sio yesu, kumbe hyu jamaa ana Mungu wake anayemjua yey mwenyewe
@emmyrouchy647
Жыл бұрын
mbona mnasema Mungu wa Yakobo... elewa mantiki.. huwezi kula kwenu ukashukuru kwa jirani.. ata wewe ukiomba jambo kibinafsi nalikatiki unahaki ya kusema Mungu wako ni mkuu..sidhani kama inamaana unayowaza
@BarakaMazengo
Жыл бұрын
Umeona eee huwa anajisifu af et anaitagwa Baba nawaumini wake
@jaribuchussy4496 Жыл бұрын
Jamani mafundisho hayo ni sahihi kabisa, ubarikiwe sana mtumishi.
@ochidovictor9531 Жыл бұрын
Amen be blesse man of God
@jameskenzedex Жыл бұрын
Nmeishi kufutilia mhubiri yako kwa mua Sasa wa mwaka n yote unayoyasrma n kweli na Mungu akubariki
@medsonsanga4813 Жыл бұрын
AMEN. Mungu wetu mwema Kila wakati 🙏
@LokieLokie-ei8yz Жыл бұрын
❤Ameen mtumishi wew uko sahihi San Mungu akupiganie
@martinahlighare6495 Жыл бұрын
Ukiwa mkristo unayeamini neno la Mungu, usifuate miujiza. Jiamini kwa nafasi yako. Muombe Mungu akuokoe kwa changamoto unazopitia kwa maisha yako. Naye atakutetea.
@obinasimbeye1750
Жыл бұрын
Weglngine Mungu amewapa vipaji vya kuponya na SI Kila mtu anaponya so hata kama mkristo tunazidiana vipaji.
@WitnessSamson-qc9ie
3 ай бұрын
Kila mtu anapaswa kuomba pindi unapopata shida Mungu anasikiliza maombi ya Kila mwanadam sio kwamba Kuna baadhi ya wanaoponya hata wewe ukiomba Kwa uaminifu Mungu hataacha kukusikiliza sema tu watu wengi Hawana ukaribu na Mungu hata akipata shida anataka aombewe
@ErickLazaro-vo8uz
5 күн бұрын
Wana wa Israel waliokolewa kwa MIUJIZA MINGI pasipo miujiza hakuna wokovu ingekuwepo sasa??wewe kaa useme uombe Mungu akuokoe .utazunguka ukuta wa yeriko muda mrefu sana
@dinairenge Жыл бұрын
Auwezifanya vitu vyenye mwamposa anafaaka atutaacha kuomba mungu wamwamposa kamwe dunia anamungu mkbwasana mungu wamwamposa anatenda mungu wamwamposa anaponywa mungu wamwamposa anajibu mahitaji sasa sisi mutatuchukia bure kwasababu tunaamini mungu wamwamposa aishimilele tuna mpenda mwamposa mungu amulide amuepushe na nyinyi watu wakumuongea vibaya siovizuri kilamutu abakie na himaniyake na maleziake na mwamini mungu wamwamposa sana
@jumamwanza8909 Жыл бұрын
Call it a pure word of God,, I love it🙏🙏
@MamantontineАй бұрын
Unasema kweli Mungu akupe nguvu.manabii wa uwongo wanadanganya watu sana.
@rogersndaiga5832 Жыл бұрын
Wakati wa sasa MUNGU anachekecha kanisa lake ili kupata mchele safi yaani watu safi. Cassian endelea kupiga kelele usiache, paza sauti kama tarumbeta, maana ukiacha utadaiwa.
@user-pf3ft9qf9q
9 ай бұрын
Pole baba Cassian songa mbele upo ushindi 15:40 15
@kisasigala Жыл бұрын
Mungu akiwekee sana wengi tuongoke Amen
@muriukigeoffrey4199 Жыл бұрын
Hii ndio injili ya kweli MUNGU akubariki
@user-me8qk9gu2y6 ай бұрын
Amina mtumish hawa wanagusa shida za watu na magonjwa ndio maana Wana kundi kubwa hasa wanawake ndio wengi Mungu tusaidie
@SaimonMwatwabana Жыл бұрын
Bwana akuhifadhi mpendwa wa Mungu
@machindafadhili3186 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
@marylineboola4236 Жыл бұрын
Usiogope anaye ua mwili peke yake bali muogope anaye ua mwli na roho simameni pamoja na mtumishi wa Mungu Katekela muitetee injili ya Bwana mbarikiwe sana
@ephraimndelwa40739 ай бұрын
Miujiza ya Mungu ni ipi? Au Mungu ni mnyonge sana hana miujiza? Nakushauri pambania karama yako uliyopewa na Mungu usipambane na karama za wenzako..
@Yohanakilamiani-yn1pb6 ай бұрын
kwekweli mungu akubari maana Mimi sijawai kuamini awa manabii wa uwongo mungu yupo pamoja na nami nimewatoa watu wengi sana kwa manabii wa uwongo
@yusufbarkari2333 Жыл бұрын
We are in the New Testament dispensation. So don't mix the two samani mungu hakukuwa amemtoa mwanawe Leo hii asha mtoa na yesu huwa anawatokea watu kama vile anawatokea kina mariamu na hata wafuanzi wake nafikili urundi kwa bibilia. Yesu alipatia wafuazi wake nguvu ya kuponya wagojwa katika mathayo 10:1-3
@nsabimanaalice5847 Жыл бұрын
Usipime kukanyagisha miguuu pale ao maali ali kuanda riya. Hakuna zaidi yayale anasikiya usiku na mcana ukiubiriya. Apo utakuwa una muasi Mungu. Kama anataka kutubu akukutanye kwenye weye uri andaaa Asante
@MargrethMlokaАй бұрын
Amina sema baba ukweli
@ClemenceMakutu Жыл бұрын
Chapa injili ya kweli mtumishi, Mungu akubariki kufungua watu macho.
@samuelmwakalinga6712 Жыл бұрын
AMEN MAN OF GOD
@gracepaul59016 ай бұрын
Paschal you're very right, some who opposes will one day agree with you
@pastorjanekanini6204 Жыл бұрын
Naomba kukuzaidia tu wachana na wao ambao wamejichanganya maana yesu alisema wacha mangungu na ngano zimee pamoja mungu atawahukumu mwenyewe , ambia watu ukweli ule unajua kuhusu biblia wacha kujisumbua na waaubiri wa uongo mungu anawajua .
@happnesskitumbo5713
Жыл бұрын
Acha awasaidie kwani ni kundi kubwa wanalolipotosha yawezekana wapo ambao wanaweza kusikia wakamgeukia Mungu wa kweli kabla Yesu hajarudi.
@EsterBernardoVumo8 ай бұрын
Mungu Azidi Kuwafunuli aWatumishi WaMungu.NaMungu Awarinde.Mikononi Mwa Adui.
@jacquelineblessing6879 Жыл бұрын
Be blessed Baba🙏🏾🙏🏾 , tunakusilizaa
@pauloropian2367 Жыл бұрын
Amen ubarikiwe.
@minanietienne-sz8xu5 ай бұрын
Really appreciate your preaching
@user-cp6uj8pr6q Жыл бұрын
2Nyakati 20:20 waaminini manabii wake ndivyo mtakavyofanikiwa
@ptElimu1234 Жыл бұрын
Mungu akulinde sana na kukupigania
@user-pv1ze9ht4e Жыл бұрын
Hongera sana mtumishi....kweli kabisa
@pavlovbienfait6940 Жыл бұрын
Merci vraiment pour la vérité, Dieu vous bénisse 🙌🙌🇨🇩🇨🇩
@omaar5693
6 ай бұрын
🇹🇿
@alicerugaitika1687 Жыл бұрын
Musa alikuwa na Dhambi pia umesahau alivyoua kule Misri!!kingine Musa alikuwa na hasira sana ni kwamba Mungu wetu ni upendo anatupenda Sanaaaaa ni kwa rehema na neema zake
@nuruabraham37697 ай бұрын
Mungu akutunze daima na atusaidie kuepuka moto wa jehanam
@doricemrema2177 Жыл бұрын
Amen barikiwa
@azizabuyonde8368 Жыл бұрын
Amen, ihubiri kweli, Mungu awe nawe
@madubimabombe25 Жыл бұрын
Mungu akupe ujasiri ufunuo zaidi ili tuujue ukweli wa miujiza pia.
@zaituniomollo
Жыл бұрын
❤ Amen 🙏 man of God be blessed
@emmyfoyi84616 ай бұрын
Kwel kbs nakuelewa pascal
@Rashid-vm1fk6 ай бұрын
Sahihi kabisa Mtumishi wa Bwana
@AmeldaKavishe-ry9ow Жыл бұрын
Mtapata tabu Sana pia wewe ujui ukweli Ila juaribu kuwakamata watu
@user-wi9kr6ib2bАй бұрын
Nimeelewa mheshimiwa your true
@saidmwatenguri4951 Жыл бұрын
Pastor muongo sana sasa ikiwa watu zamani waliomuona mungu utuambie mmoja ambae alimuona mungu
@SamwelJoseph-yk3cw
10 ай бұрын
The man msikilize kwa makini
@ridiajofrey8276 Жыл бұрын
Paschal Cassian na katekela no vijana ambao wametumwa na mungu ph
@Vantende10 ай бұрын
Rezemos para esses irmãos que o Espírito Santo ilumine os seus corações.🇲🇿🇲🇿
@Catekathika88 Жыл бұрын
barikiwa sana pastor 🙏🙏🙏
@daudinyello40337 ай бұрын
MUNGU HAMUOMBI YEYOTE SABABU YEYE NDIO MKUU ALIYEUMBA MBINGU NA ARDHI,VIUMBE HAI NA VISIVYO HAI. YESU SIO MUNGU KWASABABU ALIOMBA CHAKULA TOKA MBINGUNI, ALISINZIA,ALITESWA NA KUVULIWA NGUO ILA MUNGU HAJAWAHI TESWA NA KUVULIWA NGUO, ALIKUFA ILA MUNGU HAJAWAHI KUFA NA HATAKUFA MILELE, ALIZALIWA ILA MUNGU HAJAZALIWA, YESU ALIKUTA ARDHI NA MBINGU VIMESHAUMBWA, ALIFUFUA WAFU NA KUUMBA UDONGO KWA MFANO WA NDEGE NA KUUPULIZA KUWA NDEGE ILA NI KWA IDHINI YA MUNGU SIO YEYE.
Пікірлер: 390
Mungu hashindwi na chochote ,kinyonge ndicho chenye nguvu,fahari za dunia tutaziacha,bila kuiponya roho sio mwili Mana mbinguni Kuna vzr kuliko vya duniani,mwenye masikio na asikie,Mungu anaongea na watu kupitia watumishi wake wa kweli,Mungu azidi kukulinda na kuokoa nafsi za watoto wake watiifu nakukubali Sana Sana ,huto kufa kwa Muda wa wanadamu Bali kwa muda aupendao Alie kupa pumzi ya uhai.🤝🙏
Only one in spirit will understand this man of God 😢😢😢😢😢😢preach man of God 😢😢😢🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@mistahkeytvkenya4211
Жыл бұрын
God is with you don't fear anything
@MoksMokah
Ай бұрын
Exactly
Kweli kila Siku inaumiza, ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Mungu akutangulie kaka na azidi kukutangulia katika yoote.
Aise rafiki yangu Cassian Niko nawe sambamba sema kweli Mungu akuteteee kabisaaaa
Amen barikiwa sana mtumishi, huo ndio ukweli,nafasi yanehema bado iko aje atubu Mungu anapenda 🇰🇪🇰🇪.
MUNGU wetu tunamwombea mtumishi wako huyu pamoja na wengine wa KWELI uwalinde dhidi ya manabii wa uongo.Amen
Cassian jihadhari sana mdomo wako,unafanyia nini Yesu sasa,funga mdomo na ufanye kazi ile unaona ni sawa kwa Mungu acha kumsaidia Mungu,unatafuta pesa,na itakutesa.unachuja nini Mungu ni mpana sana Cassian fanya yako acha vita.
Heri waaminio kweli maana ufalme wa mbingu ni wao mungu akubariki
Mungu akulinde zaidi nakufatilia sana
Usiogoke Yesu Kristo yupo na wenye wanamwamini, tuko karibu kwenda nyumbani , sema ukweri Mungu atakubariki, atakupa taji rako.
Amina barikiwa Mtumidhi
Mpaka machozi yamenitoka jinsi mtumishi wake anavyo pita katika ukweli wa biblia ili watu tuijue kweli! Wapendwa , tusipo yashika haya, amini tutadaiwa mbele za MUNGU , ubarikiwe sana mtumishi
Amen mtumishi wa mungu endelea kutuelemisha
Cassian Mungu Akulinde. Nilifanya kazi na GD nikatofautiana naye kwa misingi ya kimungu. Tuendelee kumuombea. Adui amemsahaulisha jinsi safari yake ilivokuwa. Alianza vizuri tu. Mungu Amrehemu.
@usrahismail3196
3 ай бұрын
Hebu tusimulie kidogo
YESU,MUNGU ROHO MTAKATIFU WOTE PAMOJA NA MALAIKA WAKO HAPO WAMEKUZUNGUKA!VITA YETU SI YA DAMU NA NYAMA BALI YA ROHO NA MAJESHI YA mapepo wabaya!YESU NDIYE NA MWISHO TUNAUJUA,jehanamu ipo na MBINGUNI IPO. Mungu atuokoe!hapendi Kifo cha mwenye dhambi. Ubarikiwe sana mtumishi Paschal!
May God raise you up to another level
Keki ya upako..mafuta ya upako..hivyo vitu vyote nivya kishetani ,,,watu wametekwa ufahamu na nguvu za giza....uponyani wa Mungu unaweza pokea hata kwa kusoma Neno la Mungu sio mafuta wala keki ya upako..nguvu ya Mungu haipitii kwenye vyakula....waambie ukweli usipepesi macho..safi sana
Mungu atusaidie YESU yuko jirani mnoooo!Tudumu katika maombi peke yetu hatuwezi tuombeane wapendwa dunia imekwisha
Mungu azidi kukuinua
Amina mtumishi. Yani mpaka kieleweke. Nibora kumwaga damu kama wanyama kuliko kunyamaza ezekieli 3:17-20
God bless you man of God sasa watu tuombe sana MUNGU atupee roho mtakatifu atuoneshe ukweli
Mtumikie Mungu na imani ni muhimu sana .jua kila mtu amepewa kipawa chake na imani inafanya matokeo unayoyaona kwa imani hata kivuli kinaponya . Wewe sio Mungu hubiri neno ulilojaliwa kulijua. Mungu anajua uongo na ukweli . Usihukumu au kukaa nafasi ya Mungu .
@StephanoChalesi-or5ol
Жыл бұрын
We're ndio muongo pia umepungukiwa mwanadamu utasubiri ziki kuu inakuja Maana munaamini manabii wauongo mtakanyahishwa mafuta nakulishwa mkate
@sheilamaziku5980
Жыл бұрын
@@StephanoChalesi-or5olamen
Mungu akufunike akutunze uendelee kuihubul kweli ya mungu
Hongera kwa kutafuta ukweli Wa mungu nakuelewa sana baba Chungaji
Tumekalibia nyumbani, sema tena kwa sauti kuu tumekalibia nyumbani 💪
@vumiliawambula1716
Жыл бұрын
Amina Amina Sana mtumishi wa Mungu umesema ukweli
Mungu akushindie vita vyako
Mungu YESU Kama mnavyomwita atakaporudi watu hawatamuona kwa sababu wakimuona watakufa kwa sababu wanadhambi hapo ndio utajua hujui, na hao aliokutana nao mwanzo huyu Mungu Yesu mnayemwita aliishi nao vipi hawakuonana. Au mnamzungumzia wa Tongaleni.
Akuna mutu mwenye ashaka ona mungu mwache kukua napotoshawatu mungu ni roho
Mungu anawaona hawa manabii Mungu akubaliki baba huenda kuna watu wanaelewa hiki unachokifanya
Mungu akulinde usiku na mchana akufunike ulinzi thabiti shetani asikudhuru hata kidogo
Amen mtumishi wa mungu, biblia inasema uwe mwaminifu mpaka kufa
Wewe ni kati ya watumishi ambawo Sina mashaka nawo hata kidogo hakika mungu anakutumia vema
Amen watu saiz wanatok kweny makanis yao kis kuskia miujiz tu wanatak kuombew baada y kuomb mung atusaidie
Amen,,,Mungu akubark sana
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Mk 16:17-18 SUV Na ishara hizi zitafuatana na hao waaminio; kwa jina langu watatoa pepo; watasema kwa lugha mpya; watashika nyoka; hata wakinywa kitu cha kufisha, hakitawadhuru kabisa; wataweka mikono yao juu ya wagonjwa, nao watapata afya.
@jumannemtawa4535
Жыл бұрын
Mpelekee Geodavie sumu anywe kama hatujamsahau
Mungu akutunze mtumishi
Exactly Mtumishi wa MUNGU, mimi yalinikuta na watumishi wa mafuta , naelew unachokiongelea ,dunia imeisha niwakati wakusali kabisa tena kwa kulia sana
Jamani IPO kazi duniani,,, MUNGU nisaidie na nipe macho ya rohoni,,,,,,, barikiwa mtumishi wa BWANA 🎉
@zephaniamanembe6929
10 ай бұрын
Hakika Kuna kitu ndani yako Mungu awe nawe
Mwandishi wa habari ukitoka hujaokoka hapo mmmh injiri ya uzima inaunguruma Mungu azidi kukutia mafuta ya kiroho mtumishi wa Mungu Pascal
@protasdmassawe
Жыл бұрын
❤
@oscanyakunga
Жыл бұрын
HAKIKA
@user-xx6pz6ry8y
10 ай бұрын
Ataokoka ata kwa fimbo
Amen Man of GOD...... GO on, we bihind you Sir🖊️✌️
Kwa Hilo ni Siri ya Mungu .Kwa hio watu wateseke na magonjwa huyo ndie Mungu. Kama watu hupona nawapone atajua mwenyewe alietuumba
Hongera sana mtumishi MUNGU akubariki sana
Achakuhukumu watumishi wamungu kkangu mungu apendi kuzungumuziawatumishiwak kwanini munapenda ongea maisha ya wenzio sisitunaamini mungu wamwamposa kwasababu tunaona mukonowake nahatutachoka kwenda kawe
@user-qf4ok3wl2x
Жыл бұрын
Sasa kama yéyé haamini kama mungu iko siache kuwasengenya wezake huu jama ni mwivu wala sio mtumishi wangu huu
@eliasmyamba4767
4 ай бұрын
Mungu awasaidie maana naona teyale pepo limewakamata ndomana kweli linawaumiza.
@FestoYohana-ll4wk
4 ай бұрын
mbona hatuon ukiombea watu watu wakipona ww kaz kuponda watumishi wenzio
@WitnessSamson-qc9ie
3 ай бұрын
Sema ukweli Hawa wote wanaokusengenya wamepofushwa ufahamu wao
@LovenesyMhame
24 күн бұрын
Acha kumusifia mung wa mwamuposa unajua anamutumikua mung gan sif n za mung wa mbingn tu@@user-qf4ok3wl2x
Mimi nakukubali sana kwanza hakuna binadamu wa kumuona Mungu kwa dunia ya sqsa ukimuona Mungu lzm ufe
Tofauti ya manabii wengi wa uongo ni kutumia vitu vya mwilini, Na Nabii wa Mungu wa kweli anatumia Neno la MUNGU,.Yeremia 23:28-29.
Nabarikiwa sana Mtumishi wa Mungu
Barikiwa mtumishi wa Yesu ni ndiye Mungu pekee Yohana 8:24
Mungu akusaidie mbaka mwisho
Uko sawa mtumishi nakuunga mkono
Hongera Sanaa ukweli naungana na wew kusema geordavid sio nabii wa kwelii, kwanza anajisifiu Sanaa hadi anadiriki kusema Mungu wa jeodevid ndio amekuponya na sio yesu, kumbe hyu jamaa ana Mungu wake anayemjua yey mwenyewe
@emmyrouchy647
Жыл бұрын
mbona mnasema Mungu wa Yakobo... elewa mantiki.. huwezi kula kwenu ukashukuru kwa jirani.. ata wewe ukiomba jambo kibinafsi nalikatiki unahaki ya kusema Mungu wako ni mkuu..sidhani kama inamaana unayowaza
@BarakaMazengo
Жыл бұрын
Umeona eee huwa anajisifu af et anaitagwa Baba nawaumini wake
Jamani mafundisho hayo ni sahihi kabisa, ubarikiwe sana mtumishi.
Amen be blesse man of God
Nmeishi kufutilia mhubiri yako kwa mua Sasa wa mwaka n yote unayoyasrma n kweli na Mungu akubariki
AMEN. Mungu wetu mwema Kila wakati 🙏
❤Ameen mtumishi wew uko sahihi San Mungu akupiganie
Ukiwa mkristo unayeamini neno la Mungu, usifuate miujiza. Jiamini kwa nafasi yako. Muombe Mungu akuokoe kwa changamoto unazopitia kwa maisha yako. Naye atakutetea.
@obinasimbeye1750
Жыл бұрын
Weglngine Mungu amewapa vipaji vya kuponya na SI Kila mtu anaponya so hata kama mkristo tunazidiana vipaji.
@WitnessSamson-qc9ie
3 ай бұрын
Kila mtu anapaswa kuomba pindi unapopata shida Mungu anasikiliza maombi ya Kila mwanadam sio kwamba Kuna baadhi ya wanaoponya hata wewe ukiomba Kwa uaminifu Mungu hataacha kukusikiliza sema tu watu wengi Hawana ukaribu na Mungu hata akipata shida anataka aombewe
@ErickLazaro-vo8uz
5 күн бұрын
Wana wa Israel waliokolewa kwa MIUJIZA MINGI pasipo miujiza hakuna wokovu ingekuwepo sasa??wewe kaa useme uombe Mungu akuokoe .utazunguka ukuta wa yeriko muda mrefu sana
Auwezifanya vitu vyenye mwamposa anafaaka atutaacha kuomba mungu wamwamposa kamwe dunia anamungu mkbwasana mungu wamwamposa anatenda mungu wamwamposa anaponywa mungu wamwamposa anajibu mahitaji sasa sisi mutatuchukia bure kwasababu tunaamini mungu wamwamposa aishimilele tuna mpenda mwamposa mungu amulide amuepushe na nyinyi watu wakumuongea vibaya siovizuri kilamutu abakie na himaniyake na maleziake na mwamini mungu wamwamposa sana
Call it a pure word of God,, I love it🙏🙏
Unasema kweli Mungu akupe nguvu.manabii wa uwongo wanadanganya watu sana.
Wakati wa sasa MUNGU anachekecha kanisa lake ili kupata mchele safi yaani watu safi. Cassian endelea kupiga kelele usiache, paza sauti kama tarumbeta, maana ukiacha utadaiwa.
@user-pf3ft9qf9q
9 ай бұрын
Pole baba Cassian songa mbele upo ushindi 15:40 15
Mungu akiwekee sana wengi tuongoke Amen
Hii ndio injili ya kweli MUNGU akubariki
Amina mtumish hawa wanagusa shida za watu na magonjwa ndio maana Wana kundi kubwa hasa wanawake ndio wengi Mungu tusaidie
Bwana akuhifadhi mpendwa wa Mungu
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
Usiogope anaye ua mwili peke yake bali muogope anaye ua mwli na roho simameni pamoja na mtumishi wa Mungu Katekela muitetee injili ya Bwana mbarikiwe sana
Miujiza ya Mungu ni ipi? Au Mungu ni mnyonge sana hana miujiza? Nakushauri pambania karama yako uliyopewa na Mungu usipambane na karama za wenzako..
kwekweli mungu akubari maana Mimi sijawai kuamini awa manabii wa uwongo mungu yupo pamoja na nami nimewatoa watu wengi sana kwa manabii wa uwongo
We are in the New Testament dispensation. So don't mix the two samani mungu hakukuwa amemtoa mwanawe Leo hii asha mtoa na yesu huwa anawatokea watu kama vile anawatokea kina mariamu na hata wafuanzi wake nafikili urundi kwa bibilia. Yesu alipatia wafuazi wake nguvu ya kuponya wagojwa katika mathayo 10:1-3
Usipime kukanyagisha miguuu pale ao maali ali kuanda riya. Hakuna zaidi yayale anasikiya usiku na mcana ukiubiriya. Apo utakuwa una muasi Mungu. Kama anataka kutubu akukutanye kwenye weye uri andaaa Asante
Amina sema baba ukweli
Chapa injili ya kweli mtumishi, Mungu akubariki kufungua watu macho.
AMEN MAN OF GOD
Paschal you're very right, some who opposes will one day agree with you
Naomba kukuzaidia tu wachana na wao ambao wamejichanganya maana yesu alisema wacha mangungu na ngano zimee pamoja mungu atawahukumu mwenyewe , ambia watu ukweli ule unajua kuhusu biblia wacha kujisumbua na waaubiri wa uongo mungu anawajua .
@happnesskitumbo5713
Жыл бұрын
Acha awasaidie kwani ni kundi kubwa wanalolipotosha yawezekana wapo ambao wanaweza kusikia wakamgeukia Mungu wa kweli kabla Yesu hajarudi.
Mungu Azidi Kuwafunuli aWatumishi WaMungu.NaMungu Awarinde.Mikononi Mwa Adui.
Be blessed Baba🙏🏾🙏🏾 , tunakusilizaa
Amen ubarikiwe.
Really appreciate your preaching
2Nyakati 20:20 waaminini manabii wake ndivyo mtakavyofanikiwa
Mungu akulinde sana na kukupigania
Hongera sana mtumishi....kweli kabisa
Merci vraiment pour la vérité, Dieu vous bénisse 🙌🙌🇨🇩🇨🇩
@omaar5693
6 ай бұрын
🇹🇿
Musa alikuwa na Dhambi pia umesahau alivyoua kule Misri!!kingine Musa alikuwa na hasira sana ni kwamba Mungu wetu ni upendo anatupenda Sanaaaaa ni kwa rehema na neema zake
Mungu akutunze daima na atusaidie kuepuka moto wa jehanam
Amen barikiwa
Amen, ihubiri kweli, Mungu awe nawe
Mungu akupe ujasiri ufunuo zaidi ili tuujue ukweli wa miujiza pia.
@zaituniomollo
Жыл бұрын
❤ Amen 🙏 man of God be blessed
Kwel kbs nakuelewa pascal
Sahihi kabisa Mtumishi wa Bwana
Mtapata tabu Sana pia wewe ujui ukweli Ila juaribu kuwakamata watu
Nimeelewa mheshimiwa your true
Pastor muongo sana sasa ikiwa watu zamani waliomuona mungu utuambie mmoja ambae alimuona mungu
@SamwelJoseph-yk3cw
10 ай бұрын
The man msikilize kwa makini
Paschal Cassian na katekela no vijana ambao wametumwa na mungu ph
Rezemos para esses irmãos que o Espírito Santo ilumine os seus corações.🇲🇿🇲🇿
barikiwa sana pastor 🙏🙏🙏
MUNGU HAMUOMBI YEYOTE SABABU YEYE NDIO MKUU ALIYEUMBA MBINGU NA ARDHI,VIUMBE HAI NA VISIVYO HAI. YESU SIO MUNGU KWASABABU ALIOMBA CHAKULA TOKA MBINGUNI, ALISINZIA,ALITESWA NA KUVULIWA NGUO ILA MUNGU HAJAWAHI TESWA NA KUVULIWA NGUO, ALIKUFA ILA MUNGU HAJAWAHI KUFA NA HATAKUFA MILELE, ALIZALIWA ILA MUNGU HAJAZALIWA, YESU ALIKUTA ARDHI NA MBINGU VIMESHAUMBWA, ALIFUFUA WAFU NA KUUMBA UDONGO KWA MFANO WA NDEGE NA KUUPULIZA KUWA NDEGE ILA NI KWA IDHINI YA MUNGU SIO YEYE.
Ameen mtumishi usikate taama Mungu atakushindia