Naomba Kama wewe unamjua Mungu unayemuabudu Mungu wa kweli gonga like
@DEBORAHMASANJA-yz3go
13 күн бұрын
Paschal sema baba wewe ni spika ya Mungu sema tu kile Mungu anacho kuelekeza kusema
@emmylema5911 Жыл бұрын
Amen nilikuwa nime miss mahubiri ya Mchungaji Kulola ila sasa naona Mungu anakutumia kukaripia kama Mzee Kulola amen!
@Parkchaehyung-4 күн бұрын
I'm from Kenya and this is my first time to know about this. But I Thank God I grew up in the church that we only use hymns book without dancing. Watu husema tunapaswa kuendelea kidigitali but I know this. I WILL NEVER CHANGE BECAUSE EVEN GOD WILL NEVER CHANGE.
@godisable2098 Жыл бұрын
Mungu nisamee kweli nime imba izo wimbo ni rehemu Yesu Christo
@user-lh7od6sk9w
Жыл бұрын
Mwenyezi mungu atu rehemu maana tulinaswa kwenye mitego za kishetani
@RahelSalumu-pm9qx
Жыл бұрын
Nimeelewa Mtumishi wa MUNGU
@chalokalunde9429 Жыл бұрын
Mtumishi wa Mungu hapo pameharibika sana Bado hapaja kemewa vizuri Pakemee sana hapo shetani kajificha hapo.BWANA Aendelee kukuhifadhi.
@user-gx8bo7cr4q
5 ай бұрын
Amen
@LebonKulumouche-mv9oh Жыл бұрын
Mimi napatikana congo Kinshasa iyo mafundisho ni kweli Baba barikiwa na Mungu kwa iyo kazi nzuri unayo ifanya na kumbuka Muchungaji wangu alipigiwaka na wa yibaji kwa sababu ya kuwaonya ju ya dansi za kukata kiuno na wengine waka jitenga wenyewe
@kaburajeanmarie1030 Жыл бұрын
Amen, barikiwa mtumishi wa Mungu, nafurahishwa Sana na huduma zako, Mungu akutie nguvu
@devisshirima6780 Жыл бұрын
[Danieli 12:4] Lakini wewe, Ee Danieli, yafunge maneno haya, ukakitie muhuri kitabu, hata wakati wa mwisho; wengi wataenda mbio huko na huko, na maarifa yataongezeka. Sisi tunaoijua siri hii ya Mungu bado kitambo kidogo kimebakia. Na hayo yoote hayana budi kutokea maana yalishanenwa na manabii, hakuna pa kujitetea siku itakapofika !! Ndani ya makanisa zipo biashara zinaendelea, yoote hayo yalikuwepo hata nyakati za Yesu !! Mkristo unayejielewa pindua meza zao na usimame katika haki nayo haki yako itadhihirika siku ile !! Nakutia moyo mtumishi wa Mungu endelea kuwa sauti nyikani watakaokusikia watazitengeneza njia zao ! BARIKIWA
@lilianmbeyu10 ай бұрын
Nashukuru Mungu kumbe si mimi tu nisiyekubali hii nyimbo nazinginezo kumbe ni roho wa Mungu,amina barikiwa mtumishi napata ufahamu kwa mafundisho yako may God keep you for his will
@zephaniamanembe6929
10 ай бұрын
Ubarikiwe na bwana
@user-oz2nd5ol7x
4 ай бұрын
I thought am confused,but now have learned something
@neemasanga5273
2 ай бұрын
Nitajuwaje mchungaji wakweli
@lilianmbeyu
2 ай бұрын
@@neemasanga5273 nikusaidie na vitu kidogo,awe mtumiaji wa neno kwa wingi,haombei watu mabaya hata kama wamekosa bali ni mwenye kuonya kwa upendo,anatumia maombi Sana katika ibada zake,hatumii vitambaa maji chumvi au mafuta mengine inabidi uhusishe maombi ili Mungu ajifunue kwako kma kujua kma anaongozwa na roho au la.
@drmahwa8166
Ай бұрын
Msipo silim hanana usalaama
@user-hs3us5fi3f4 ай бұрын
Shukrani Sana mutu wa Mungu kwa maneno Mazuri Sana baikiwa zaidi katika jina la yesu Kristo aliye hai , Samuel toka Congo DRC/Bukavu
@happinesshappiness418Күн бұрын
Vile nilikuwa naimba yerusalem hiyo rhythms kwa hakika waja Mungu atufungue macho na atupe ufahamu wa kutofautiza nyimbo za Mungu na za dunia
@Saidi158111 ай бұрын
Unasema ukweli maana zina mvuto waki shetani atakama hutaki kucheza haijalishi wewe ni Mtumishi lazima utashangaa una anza kucheza unasema ukweli mtupu Mtumishi wa mungu kama wapo watumisha ambao wanatangaza injili ya kweli wewe niwa kwanza Mtumishi wa Mungu Pascal cassian ubarikiwe saaana Amen🙏
@kingabriellairashoboye1489Ай бұрын
Yesu Kristo wa Nazarethi akubariki na Akulinde sana. Hongera. Tunakuombea Yesu Atakuwezesha
@phenymanga949 Жыл бұрын
Amen mtumishi wa Mungu kwa elimu hiyo ya kiungu.God bless you.sister pheny from mombasa.huwa nakufuatilia Sana kwa mahubiri yako na uimbaji wako.umenitoa mahalo na naonanikielekea mahali
@estonmnthali3719 Жыл бұрын
Powerful message, Good preaching 👏
@chamimdesa148 Жыл бұрын
Kwa asiyemuelewa hawezi elewa kitu, hao waimbaji wengi hawana makanisa maalumu ya kuabudu, pia hawana Wachungaji wa Kiroho wa kuwaongoza. Pia ukifuatilia wengi wameachana na wenzi wao Kwa kisingizio Cha Ufunuo, Huyu Mtumishi ni kama KANYE WEST, rapper wa Marekani anayehubiri Injili sana Kwa Sasa, ingawa watu hawamuelewi kama alivyo huyu. Namuombea Mungu aendelee kumtumia nasisi tuendelee kumsaport siyo kutext tu. Be blessed
@dostovan5142
Жыл бұрын
Kanye west sio mtumishi wa Mungu, ni wale wale tu. Anajitukuza yeye sana mpaka anajita ye
@chamimdesa148
Жыл бұрын
@@dostovan5142 ni kweli siyo Mtumishi wa madhabahuni, but anatangaza the will of God, kuitwa Mtumishi siyo lazima uvae joho, as long as you declare the will of God, ww ni Mtumishi wa Mungu.
@yudachelango6824
Жыл бұрын
Kanye west ni mhubiri
@alzawahirabdallah2299
Жыл бұрын
Hayo makanisa bila nyimbo waumini watakuwa hawatowi sadaka
@mercymumwi2788
Жыл бұрын
@@chamimdesa148 Mungu gani
@beatricemwasunda5027 Жыл бұрын
Ninakuelewa saana mtumishi Mungu aliyekupa hayo mafunuo azidi KUKUATAMIA,kwa kadri ya kusudi lake🙏
@heritier5119 Жыл бұрын
Wameambiwa wasitaje jina Yesu kwenye nyimbo zao za injili
@Sr.AnalisaShayoКүн бұрын
Mwenyezi Mungu atujalie Macho ya Imani ya kutambua yaliyo kinyume na mapenzi yake na kutuongoza kutimiza mapenzi yake.
@celineachieng4963 Жыл бұрын
Kenya hunishangaza ya Kwanza nivile wanavaa wakituimbia hizi nyimbo natuna ignore .ama ukiongea watu wanakuangalia kama ambaye umechanganyikiwa...Sono langu ni, nikiona roho yangu imekataa, sitalazimisha juu wengine Hawaoni..Mungu atusamehe kwasababu na dabodabo nimeongoza Sana but yerusalema roho ilikataa toka mwanzo. Ahsante.
@user-oz2nd5ol7x
4 ай бұрын
Back to pentecost at all cost
@user-vs9kh8ql8f
10 күн бұрын
😢
@emmanuelmgeni273 Жыл бұрын
Ujumbe huu umeubaliki moyo wang na nimejifunza sana, barikiwa mtumishi wa MUNGU, na MUNGU azidi kukutumia Kila siku tupate kupona ameni
@julitansimire7407
Жыл бұрын
Mungu akufiche kwandamu ya Yesu Sababu unaiangusha ngome ya shetani
@MauridErias
Ай бұрын
Kweli kabisa
@felisianliheta3155 Жыл бұрын
Nimekuelewa Sana mtumishi kuna kitu umenifungua maana nilikua siju ila Leo umenifungua na nimekuelewa. Mungu akubariki sana
@Isayastephano-u1k
5 күн бұрын
Mazehebu simpango wa mungu ndio mana wanazalsha kwaya ya uzinzi niuzinzi Nikuzim tupu Kwa usalama token kwenye uzehebu mpone hata mhudum Bado umateka
@kennethirungu6906Ай бұрын
True man of God, may God protect you from the evil and preach the gospel of jesus christ in jesus name.
@yusuphshimei Жыл бұрын
BWANA akubariki sana na kukuinua zaidi asante kwa ujunbe huu umeondoa pazia lililokuwa limefunika macho yangu kuhusu waimbaji wa nyakati hizi
@faustinebakulu5892 Жыл бұрын
Isaya 58 1 Piga kelele, usiache, Paza sauti yako kama tarumbeta; Uwahubiri watu wangu kosa lao, Na nyumba ya Yakobo dhambi zao.
@faustinebakulu5892
Жыл бұрын
Mwenyezi Mungu Akubariki mtumwa wa Bwana Yesu Kristo
@carolineunguku9163
Ай бұрын
Amen
@leticiacharles2662 Жыл бұрын
Mungu akulinde mtumishi leo umenijibu maswali yangu,nilikua najiuliza nimziki gani unafaa kwa kumsifu Mungu?cku hizi hadi cngeli, amapiano yanapigwa na wa2 wanafurahia yaan uezi tofautisha nyimbo za kidunia na kiroho.
@GLORYCHOIR1 Жыл бұрын
Daaaaah 😭😭😭😭😭 YESU atusaidie makanisa Yameingiliwaa sana mapiano, tarabu zinapigwa makanisani uuuh ni hatari sanaa
@janetmakari9359 Жыл бұрын
Nimebarikiwa sana ni hayo maneno yako aki na My God bless you 🙏 Amen hallelujah
@rosemongi5273 Жыл бұрын
Ni kweli kabisa leo umenifungua pakubwa sana kwa sababu makanisa yaliyo mengi ndivyo yalivyo hadi roho inauma ukiwatizama watoto wetu wanavyokata viuno kanisani kwa kweli sio sawa 😭😭😭😭
@allanmwita2226
Жыл бұрын
Rose ni aibu sana watu wanacheza hovyo kanisani huku vijana wamevaa nguo za kubana na wanavyo cheza utafikiri wanaenda kuzimu
@deborahjeremia6856 Жыл бұрын
Sema tupone mtumishi wa Mungu,kweli kuna nyimbo hazibariki hazigusi moyo,ee Mungu utusaidie
@LucyWambui-qr1pwАй бұрын
Wah Asante sana mtumishi wa mungu kwanzia leo sitasikiliza nyimbo za kidunia tena kama vile diamond rayvanny n zinginezo kwanza hio yerusalemu naipenda sana lakini kwanzia leo nimeacha glory and honor be to God Ameeeen 🙏🙏🙏
@godfreymmassy8114
Ай бұрын
Amina 🙏
@ChristineDama-wf3sd2 күн бұрын
Amen ubarikiwe sana mchungaji nkweli kabisa sherehe nyingi nyimbo ni hizo za kishetani jamani mungu azidi kutupa mafunuo na ufahamu
@maryupendo8706 Жыл бұрын
Christina shusho ulianza vizuri,,omba Sana Mungu umalize salama uelekeako siko.
@KishiwaMisinzo
8 күн бұрын
Mungu wetu anatupenda Sana barikiwa mtumishi
@petermbugi2579
Сағат бұрын
Mungu atamsaidia atamaliza salama Mungu ni mwaminifu huyu Yesu kristo
@brivernyongesa8095 Жыл бұрын
Mungu akutie nguvu kweli unatufungua macho na mawaso maana tunaangamia Kwa kukosa maarifa na kukosa macho sa kiroho eah mungu tusaidie
@bernadetteshukuru9154 Жыл бұрын
Amen amen amen sema kweli yote wame sumbuwa watu kwanyimbo zawo za uwongo na kuwapotosha watu kwa ujinga na upumbafu wawo wa mashetani Mungu awa urumiya
@annewanyonyi-nb1zh Жыл бұрын
Asante Mtumishi wa Mungu kwa kunielewesha ili nisijitie doa kuukumbatia kila wimbo pasipo kuelewa mtindo na mfumo wa wimbo wenyewe katika mantik ya ukristo. Mwenyezi Mungu atupe neema na ufahamu kubainisha ila za shetani makanisani na maovu yote ili tuwe tayari kumpa sifa Bwana wetu Yesu Kristo katika roho na kweli amen.🙏🙏🙏
@hezronpeterhongoli9060
Жыл бұрын
Soma Zaburi 150: 1
@nanyamanganga3868 Жыл бұрын
More grace man of God ,,I really love your teaching and your songs be blessed always 🙏🏼
@pavlovbienfait6940 Жыл бұрын
God bless you my big brother Pastor 🔥🔥🇨🇩🇨🇩👏
@peterwandena82062 күн бұрын
Mungu mwenyewe ni Roho na anafundisha watu wake katika Roho , wimbaji nivile vile kuna zakimwil na pia sa Rohoni
@valelicky31183 сағат бұрын
May God forgive us 😢 we are sinners .may the God lights ✨️ 🙏 light upon our lives
@LoiceWangila-fv5cr Жыл бұрын
Amen brother, nakubaliana nawe asilimia mia Moja. Kupitia kwa mafundisho haya naenda mbali.
@ivanf.lekule5618 Жыл бұрын
Uvaaji wao tu, utajua sio nyimbo za kumsifu Mungu.
@MauridErias
Ай бұрын
Nikweli kabisa Yani me mwenyewe uwa naumia sana kiukweli Wala asemi uwogo kabisa
@josephkisinza6243
20 күн бұрын
Aami 26:😂😂45
@DeboraMwanja-fr6mu
14 күн бұрын
Kweli kabisa mi nikionaga tu mavazi yao nazima wimbo sisikilizi
@user-ul7xj3fp7w4 ай бұрын
Amen barikiwa mwanawa Mungu asante sana Nami eee Mungu anisaidie nimwabudu kwa roho na kweli nimaombi yangu
@thomasrobi44Ай бұрын
Asante kwa ujumbe mzuri,umebariki moyo wangu, Mungu wangu tusaidie 🙏
@mor177 Жыл бұрын
God have mercy on us... We have gone out your ways. May God Forgive us! B blessed pastor
@PK_wa_ndambuki Жыл бұрын
Amen mtumishi hapo ni kweli watu waache kutingisha kiuno kanisani
@selinageogre28815 ай бұрын
Amina sana tunamshukuru Mungu aliekutuma mjumbe wake tupone Kwa jina la Yesu
@user-servodeJesus3 ай бұрын
Ameeeen mtumishi,shangwe kwa Yesu kristo,nakupata kutoka Mozambique
@eunicepilly802 Жыл бұрын
Asante sana Mtumishi wa MUNGU kwa ujumbe huu Mungu azidi kukuinua zaidi na zaidi utujulishe mengi tu siyo yajua
@medsonsanga4813 Жыл бұрын
Amen gospel. Nyingi za Leo zinaimbwa uharisia wa kimwili hazina ukiroho mtu anachukuaq mstari mmoja kweenye Biblia anaweka misitari kumi ya kidunia yaan maneno yanayo vuma mitaania ndio anaweka. Kwenye Gospel hapo hapo na midundo ya kwaito mapiano kama yote Azidi kutufumbua ubarikiwe sana. 👋👋
@hasanygodda9242 Жыл бұрын
Barikiwa mtumishi ,,,Asante yesu masikio yangu hakika yamesikia 💪💪💪🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@ahaziyothambahalaye58582 ай бұрын
ubalikiwe sana mwijilisti mungu akupe nguvu uzidi kuwaambia haoo wapiga kristo hasa wanaijifanya waimbaj wa nyimbo za injiri na manabi wa hovyo
@judyogwora7965Ай бұрын
Hapo ni kweli,hebu angalia mtu ako kwa madhabahu ya Cape,hana hata dhamili ya kujihukumu mwenyewe.ladies with offshoulder dresses in the altar,waah dunia kwisha
@alainmuhigirwa5151 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wa Bwana. 100% right. 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇿🇦🇿🇦🇿🇦
@TravisNgondoАй бұрын
Nakukubari sana mtumishi wa mungu paschar Cassian, uko sahihi,
@BuzakeYvonne-cc4ge13 күн бұрын
Na kushukuru mutumishi kwa ufafa muzi wa nyimbo za nyimbo ambazo hatuwezi imba mungu akubariki na akuvuviye mengi
@happinesskwamboka1540 Жыл бұрын
Powerful and inspiring message my brother,may the Lord protect you and continue to lift you up to continue saying the truth,people will never like the truth they will always reject the truth,God bless you my brother 🙏🙏🙏
@LIGHTNESSISAYAMOLLEL17 күн бұрын
Mimi bado sijakuelewa.daudi alimchezea mungu mpaka vazi likachanika.tena nyimbo nzuri tu.na maneno ni ya mungu.ww tafuta sadaka Acha kazi waimbaji isonge mbele.nawao ni watumishi.
@marthafransi9868
16 күн бұрын
Haswaaaaa ahubiri Kwa namna yake sio kuwaponda wenzie mi watu wa hivyo siamini Huduma zao
@DjShalom-uw6sk
14 күн бұрын
Uyu ni pasta mgani anafuraga injili
@dennismorogoro6759
12 күн бұрын
Anasema ukweli kabisa na elewa daudi alicheza kwanini sio mungu ni majensi wake
@loicesau2959
8 күн бұрын
But mbona anasema,eeeeh my Lord is ludoo.....😂 Wimbo husema ,"eeeeeh my God is good-ooooh"..... mengine anaongeza tu kutuchanganya,Eeh Mungu tusaidie tumjue aliye mkweli 🙏🙏
@esterpeter8556
7 күн бұрын
Endelea Ivo Ivo na shingo yako ngumu,saa ipo yaja na haipo mbali utalia mno sana
@ELIASOINGEI-ir2ch Жыл бұрын
Amen mtumishi BWANA YESU ubarikiwe mno.
@rozariaexavery7159Ай бұрын
Tumshukuru Mungu Kwa kumtuma mtumishi wake kutufungua🙏
@zipporahshore9688 Жыл бұрын
Amen be blessed man of God
@alicejumaa89 Жыл бұрын
Amen! Amen! Amen!... be blessed man of God.. oooh may God protect you bcoz this must lead to a strong spiritual and physical war.. but Jesus Christ is our protector.i get you from Kenya.
@faithturere9928
Жыл бұрын
Amen. Pastor be blessed
@zephaniahmuhanda8158
Жыл бұрын
Pastor you are right... I been asking myself why is it that after this heavy dance people sleep off when the preaching begins...? Kumbe hii ndio sababu
@BOAZMAGANGA8 күн бұрын
Mungu huangalia ulivyomaliza sio ulivyoanza barikiwa mtumishi❤
@AmuriEzekiel-bb1kc4 ай бұрын
AMEN ubarikiwe sana Mtumishi wa BWANA YESU KRISTO Asante sana kwa kutuambia ukweli uzidishiwe mara dufu .
@NeemaMuguya-tr1rf Жыл бұрын
Ubarikiwe baba uishi kwaajili ya kazi ya mungu
@remitharwezaura9977
Жыл бұрын
@Neema Baba yetu jina lake linaanza kuandikwa kwa herufi kubwa, iwe mwanzo wa sentesi au katikati mwa sentesi "Mungu"
@GiftMpundu-sy9cb Жыл бұрын
My Almighty God please have mercy on me , for I was no aware to risen from this kind of songs
@nancyisoyi816411 ай бұрын
AMEN AMEN AMEN ASANTE SANA KWA KUTUELIMISHA MUNGU AKUONGEZEE NGUVU MAARIFA UFAHAMU NA REHEMA ZAKE ZIZIDI KUKUFUNIKA🙏🏾
@zaituniomollo11 ай бұрын
Amen amen endelea kusema ukweli ili tupone na kumgeukia Mungu Hakuna mchungaji anaependa kunena ukweli maanake wote tumeekewa giza mbele yetu naye shetani Haruno
@JumaFupi-lh6cr Жыл бұрын
MUNGU azidi kukuinua mtumishi Amen
@rabanphotostudionyakanazi_4115 Жыл бұрын
Amina..Mungu akuinue ili iendelee kufungua kweli Watu waokoke
@judymoraa861821 күн бұрын
Halleluuuuujah🔥sisemi kitu ila mungu akubariki zaidi na zaidi mtumishi for opening my eyes wauh👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏.
@rebeccamaunde4085 Жыл бұрын
Very true story...watching from arabs
@suvenkanyolo6104 Жыл бұрын
Umbarikiwe sana kabisa Mtumishi wa Mungu❤❤❤❤❤❤❤❤
@DhekanaNyiro-b7k21 күн бұрын
ASante sana kwa maubiri na Mungu atusamehe sana kwani tunaimba hii wimbo pasipo ku jua ni dugu toka Congo Drc.
@cecilia.godfrey Жыл бұрын
Aminaaaaa mtumishi mungu akubarik uzidi kutufunza zaidi
@oswardndihokubwayo80 Жыл бұрын
Asante kwa ujumbe huu muhimu wakutukumbusha tusifuate mkumbo wa dunia. Ubarikiwe sana CASSIAN
@sabihaibrahim143
Жыл бұрын
@Rosemary Nyagawa muziki wote chanzo chake shetani mbinguni hakuna mpiga vinanda mumepotoshwa vibaya
@sabihaibrahim143
Жыл бұрын
@Rosemary Nyagawa sasa lini uloona msikitini munapigwa kaswida si kila siku wanaambiwa ni haramu na husikii msikitini kaswida anayetaka kupiga hukooo atajuana na Allah kama wapiga ngoma wengine ila makanisani mimi hapa nipo jirani na kanisa wewee he hapatoshi uwanja wa disko unapumzika kama hapa
@sabihaibrahim143
Жыл бұрын
@Rosemary Nyagawa ni lazima nikukumbushe ukikataa wewe kataa ila hivo na yapo waziii matendo makanisani uchafu mtupuu wanawake uchiii eti yupo kwa mungu ndo mana makanisani zinaa imetawala kila mtu na demu wake na pakipigwa ngoma wanademuka hatarii kila mtu anamchezea mpenzi wake amuone
@sabihaibrahim143
Жыл бұрын
@Rosemary Nyagawa hayo mengine mumechomekewa tu mupotee vizuri walotengeneza bibilia unafikiri wajinga wameiteka dunia sasa hivi maovu yao yapo wazi wazi ndo mana hata hao wazungu wanakimbia hio dini ni ushetani mtupu ukiangalia matendo yao unajua hapa hapana kitu hakuna nabii alocheza magoma wote walikuwa wacha mungu ngoma mwenzake shetani na yesu aliyakataa hataki hata kusikia lakini munafurahisha nafsi zenu tu
@sabihaibrahim143
Жыл бұрын
@Rosemary Nyagawa Mimi jicho langu naliona eti lipo sawa sawa halitikisiki ndo nikaona lakwako haliposawa wenzenu miili inafukuliwa huko kenya kwa kumchezea shetani kanisa zima kushnehi ushetani mtupu
@barakakings Жыл бұрын
Oooh Ooh My God is Good, everything double double. Ndio kilicho imbwa ila hatusikii vizuri tuna sikia neno kama my God is gudo sababu ya rafudhi ya walio imba,ni wayoruba we mzee.
@rockevarist4299
Жыл бұрын
Tatizo la kuwa kiroho kuliko Mungu ndo kinacho msumbuwa , alie muweka juge wa wana mziki wa gospel ni nani.
@edwardzakalia9196 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi bwana yesu awe nawe daima
@masikanasta1027 Жыл бұрын
Amen Amen ubarikiwe sana na Mungu
@hannahmaina-hb4pj Жыл бұрын
True man of God. Be blessed
@mikidadimpagama Жыл бұрын
Hallelujah. Amen
@stamilinyakunga Жыл бұрын
Ahsante mtumishi kwa mafundisho mazuri nimepona.
@EzekielyPhilemon-ro5et Жыл бұрын
Ahsante nimekuelewa mtumishi,Mungu akulinde
@AdmiroCristiano-xe8bj Жыл бұрын
God bless you my young brother 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@hillarymaende9872
Жыл бұрын
Amen Amen 🙏 mung u azidi kukulinda na kukupigania kwa maana ulimwengu ulimo wakati wa sasa ni ulinwengu wafita,mungu akufunije man of God asanti kwa kutuelimisha ambayo hatujuwi
@kennethngoleka
Жыл бұрын
Mimi sioni tatizo wa hizo nyimbo,ninaimani sisi binaadam tunatokea ktk maeneo tofauti,ukitaka kumvuta aliyopo Toka ktk mashetani mchote kupitia njia aliyopo na umtie ktk kundi lako kwa neno la uzima la beans,atabadilika tu,njia za kufikisha neno la bwana.
@abelmwebraniammennonite Жыл бұрын
This is true, Angalia nimekuweka leo juu ya na juu ya falme, ili kung'oa, na kubomoa, na kujaribu, na kuangamiza, ili kupanda na kujenga, Go ahead mtumishi, Mungu akutangulie ,tunajifunza kupitia wewe
@user-yg5ef1kz3v
Ай бұрын
Amina😢
@BerthaMmari-kc2bi
Ай бұрын
Nguo za waimbaji wa kike ni shiiida. Hawapendi kuvaa nguo ndefu wanapenda fupi na ni lazima ziwabane
@judithbett42015 күн бұрын
Asante sana mtumishi wa Mungu kwa mafunzo mazuri sana.
@laurentraphael5470 Жыл бұрын
Amen. Mungu akubariki sana. Watu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa Hosea 4 :6.. Mimi sasa hivi nasikiliza nyimbo za kizamani zile za mapigo ulyankulu na waimbaji wa zamani sio hawa wanaocheza kama magenge ya WCB na wenzio.
@billionairef897
Жыл бұрын
Hata na mimi piya
@alzawahirabdallah2299
Жыл бұрын
Amosi 5 23 Niondoleeni kelele za nyimbo zenu; kwa maana sitaki kuzisikia sauti za vinanda vyenu Mungu hataki kelele msikilize kabisa sawa ehee
@christinewomanoffaith5479
Жыл бұрын
Nyimbo zipo sana tu Ila wapo wachache ambao wako nje ya line Km una Roho Mtakatifu utajua tu wala hupati shida
@alzawahirabdallah2299
Жыл бұрын
@@christinewomanoffaith5479 Hosea 9 7 Siku za kupatilizwa zimekuja, siku za kulipa zimefika; Israeli atayajua hayo; huyo nabii ni mpumbavu, huyo mtu mwenye roho ana wazimu; kwa sababu ya wingi wa uovu wako, na kwa sababu uadui umekuwa mkubwa Biblia inasema huyo mtu mwenye roho ana wazimu kwa sababu ya wingi wa uwovu wake sasa kila kitu unatudanganya unasema kiroho unataka tuwe na wazimu
@sabihaibrahim143
Жыл бұрын
@@christinewomanoffaith5479 mungu wa kweli hapendi nyimbo
@mwanzavictor7551 Жыл бұрын
Keep it up and I wish you more of God's grace in Jesus Christ of Nazareth might name.
@merinadismas745628 күн бұрын
Amen mtu wa Mungu Cassian,huduma Yako ni njema,Mungu akuagizie malaika wakulinde
@RebeccaAsha-cc9vw Жыл бұрын
Amen pastor ni true kabisa,mungu atusamehe kabisa
@BenjaminGitonga-tj1qv Жыл бұрын
True man of God,l agree
@valentinanduku8718 Жыл бұрын
Powerful message God bless you and protect you
@loureensarah9943
Жыл бұрын
Hallelujah,barikiwa sana mtumishi wa Mungu.
@elisubiraelica3916 Жыл бұрын
Eee Bwana yesu nisamehe mmi nimecheza Sana nyimbo hizo Ata kanisani zimejaa,, nasikia mpka kutetemeka roho yangu,, Ila namtukuza Mungu aliyejuu ya mbingu zote anayetupenda hataki tupotee ktk upotovu uliojificha anaufichua uovu wa shetani,,,
@blessingmapazia9545 Жыл бұрын
Umenifumbua macho,Ubarikiwe na Bwana Yesu Kristo
@josephnyakundi2196 Жыл бұрын
Very true the church has fallen Messiah is coming very soon 😢
@josephnjogu9341 Жыл бұрын
Everything is God and all is God, Satan is the absence of good vice, lets not give that absence prominence and create what we are calling satan. we should love one another and praise God all the time, judging is creating satan.
@chahirajohn3885
2 күн бұрын
Its not judging, truth must be told we can't sugarcoat evil we must be against what's God is against, soothing will lead many to hell
@chahirajohn3885
2 күн бұрын
When someone corrects doesn't want you to perish
@violetsumba5429 Жыл бұрын
Thank uthe man of God , I have seen what you are saying or talking ,oooooo you are true violet sumba kutoka Mombasa
@HareneKipande Жыл бұрын
Mungu akubariki sana sema kweli japo nigumu kuamini lakini Mungu akulinde
@janeluhinda9955 Жыл бұрын
Huwo wimbo wa kwanza wanaimba "my god is good" wakimaanisha; mungu wangu ni mzuri (mungu wake yenye anayeimba). Neno "good" (gud) wanalitamka gudo kwa lafudhi za watu wa magharibi mfano Nigeria.
@paulinakiswaga7505
Жыл бұрын
Shida sio maneno ya wimbo shida ni beat ya wimbo na namna wanavyocheza beat la wimbo huo nila nyimbo za kidunia na jinsi wanavyo cheza sio waki Mungu cjui kama nimejaribu kukuelewesha
@everlynenanzala576
19 күн бұрын
😂😂 watu wamebaki kutafuta likes u tube
@janeluhinda9955 Жыл бұрын
MUNGU akubariki sana na azidi kukutumia ili uzidi kutufundisha maana watu wengi hawajui mitego anayoitumia shetani kupotosha watu.
Пікірлер: 1 100
Naomba Kama wewe unamjua Mungu unayemuabudu Mungu wa kweli gonga like
@DEBORAHMASANJA-yz3go
13 күн бұрын
Paschal sema baba wewe ni spika ya Mungu sema tu kile Mungu anacho kuelekeza kusema
Amen nilikuwa nime miss mahubiri ya Mchungaji Kulola ila sasa naona Mungu anakutumia kukaripia kama Mzee Kulola amen!
I'm from Kenya and this is my first time to know about this. But I Thank God I grew up in the church that we only use hymns book without dancing. Watu husema tunapaswa kuendelea kidigitali but I know this. I WILL NEVER CHANGE BECAUSE EVEN GOD WILL NEVER CHANGE.
Mungu nisamee kweli nime imba izo wimbo ni rehemu Yesu Christo
@user-lh7od6sk9w
Жыл бұрын
Mwenyezi mungu atu rehemu maana tulinaswa kwenye mitego za kishetani
@RahelSalumu-pm9qx
Жыл бұрын
Nimeelewa Mtumishi wa MUNGU
Mtumishi wa Mungu hapo pameharibika sana Bado hapaja kemewa vizuri Pakemee sana hapo shetani kajificha hapo.BWANA Aendelee kukuhifadhi.
@user-gx8bo7cr4q
5 ай бұрын
Amen
Mimi napatikana congo Kinshasa iyo mafundisho ni kweli Baba barikiwa na Mungu kwa iyo kazi nzuri unayo ifanya na kumbuka Muchungaji wangu alipigiwaka na wa yibaji kwa sababu ya kuwaonya ju ya dansi za kukata kiuno na wengine waka jitenga wenyewe
Amen, barikiwa mtumishi wa Mungu, nafurahishwa Sana na huduma zako, Mungu akutie nguvu
[Danieli 12:4] Lakini wewe, Ee Danieli, yafunge maneno haya, ukakitie muhuri kitabu, hata wakati wa mwisho; wengi wataenda mbio huko na huko, na maarifa yataongezeka. Sisi tunaoijua siri hii ya Mungu bado kitambo kidogo kimebakia. Na hayo yoote hayana budi kutokea maana yalishanenwa na manabii, hakuna pa kujitetea siku itakapofika !! Ndani ya makanisa zipo biashara zinaendelea, yoote hayo yalikuwepo hata nyakati za Yesu !! Mkristo unayejielewa pindua meza zao na usimame katika haki nayo haki yako itadhihirika siku ile !! Nakutia moyo mtumishi wa Mungu endelea kuwa sauti nyikani watakaokusikia watazitengeneza njia zao ! BARIKIWA
Nashukuru Mungu kumbe si mimi tu nisiyekubali hii nyimbo nazinginezo kumbe ni roho wa Mungu,amina barikiwa mtumishi napata ufahamu kwa mafundisho yako may God keep you for his will
@zephaniamanembe6929
10 ай бұрын
Ubarikiwe na bwana
@user-oz2nd5ol7x
4 ай бұрын
I thought am confused,but now have learned something
@neemasanga5273
2 ай бұрын
Nitajuwaje mchungaji wakweli
@lilianmbeyu
2 ай бұрын
@@neemasanga5273 nikusaidie na vitu kidogo,awe mtumiaji wa neno kwa wingi,haombei watu mabaya hata kama wamekosa bali ni mwenye kuonya kwa upendo,anatumia maombi Sana katika ibada zake,hatumii vitambaa maji chumvi au mafuta mengine inabidi uhusishe maombi ili Mungu ajifunue kwako kma kujua kma anaongozwa na roho au la.
@drmahwa8166
Ай бұрын
Msipo silim hanana usalaama
Shukrani Sana mutu wa Mungu kwa maneno Mazuri Sana baikiwa zaidi katika jina la yesu Kristo aliye hai , Samuel toka Congo DRC/Bukavu
Vile nilikuwa naimba yerusalem hiyo rhythms kwa hakika waja Mungu atufungue macho na atupe ufahamu wa kutofautiza nyimbo za Mungu na za dunia
Unasema ukweli maana zina mvuto waki shetani atakama hutaki kucheza haijalishi wewe ni Mtumishi lazima utashangaa una anza kucheza unasema ukweli mtupu Mtumishi wa mungu kama wapo watumisha ambao wanatangaza injili ya kweli wewe niwa kwanza Mtumishi wa Mungu Pascal cassian ubarikiwe saaana Amen🙏
Yesu Kristo wa Nazarethi akubariki na Akulinde sana. Hongera. Tunakuombea Yesu Atakuwezesha
Amen mtumishi wa Mungu kwa elimu hiyo ya kiungu.God bless you.sister pheny from mombasa.huwa nakufuatilia Sana kwa mahubiri yako na uimbaji wako.umenitoa mahalo na naonanikielekea mahali
Powerful message, Good preaching 👏
Kwa asiyemuelewa hawezi elewa kitu, hao waimbaji wengi hawana makanisa maalumu ya kuabudu, pia hawana Wachungaji wa Kiroho wa kuwaongoza. Pia ukifuatilia wengi wameachana na wenzi wao Kwa kisingizio Cha Ufunuo, Huyu Mtumishi ni kama KANYE WEST, rapper wa Marekani anayehubiri Injili sana Kwa Sasa, ingawa watu hawamuelewi kama alivyo huyu. Namuombea Mungu aendelee kumtumia nasisi tuendelee kumsaport siyo kutext tu. Be blessed
@dostovan5142
Жыл бұрын
Kanye west sio mtumishi wa Mungu, ni wale wale tu. Anajitukuza yeye sana mpaka anajita ye
@chamimdesa148
Жыл бұрын
@@dostovan5142 ni kweli siyo Mtumishi wa madhabahuni, but anatangaza the will of God, kuitwa Mtumishi siyo lazima uvae joho, as long as you declare the will of God, ww ni Mtumishi wa Mungu.
@yudachelango6824
Жыл бұрын
Kanye west ni mhubiri
@alzawahirabdallah2299
Жыл бұрын
Hayo makanisa bila nyimbo waumini watakuwa hawatowi sadaka
@mercymumwi2788
Жыл бұрын
@@chamimdesa148 Mungu gani
Ninakuelewa saana mtumishi Mungu aliyekupa hayo mafunuo azidi KUKUATAMIA,kwa kadri ya kusudi lake🙏
Wameambiwa wasitaje jina Yesu kwenye nyimbo zao za injili
Mwenyezi Mungu atujalie Macho ya Imani ya kutambua yaliyo kinyume na mapenzi yake na kutuongoza kutimiza mapenzi yake.
Kenya hunishangaza ya Kwanza nivile wanavaa wakituimbia hizi nyimbo natuna ignore .ama ukiongea watu wanakuangalia kama ambaye umechanganyikiwa...Sono langu ni, nikiona roho yangu imekataa, sitalazimisha juu wengine Hawaoni..Mungu atusamehe kwasababu na dabodabo nimeongoza Sana but yerusalema roho ilikataa toka mwanzo. Ahsante.
@user-oz2nd5ol7x
4 ай бұрын
Back to pentecost at all cost
@user-vs9kh8ql8f
10 күн бұрын
😢
Ujumbe huu umeubaliki moyo wang na nimejifunza sana, barikiwa mtumishi wa MUNGU, na MUNGU azidi kukutumia Kila siku tupate kupona ameni
@julitansimire7407
Жыл бұрын
Mungu akufiche kwandamu ya Yesu Sababu unaiangusha ngome ya shetani
@MauridErias
Ай бұрын
Kweli kabisa
Nimekuelewa Sana mtumishi kuna kitu umenifungua maana nilikua siju ila Leo umenifungua na nimekuelewa. Mungu akubariki sana
@Isayastephano-u1k
5 күн бұрын
Mazehebu simpango wa mungu ndio mana wanazalsha kwaya ya uzinzi niuzinzi Nikuzim tupu Kwa usalama token kwenye uzehebu mpone hata mhudum Bado umateka
True man of God, may God protect you from the evil and preach the gospel of jesus christ in jesus name.
BWANA akubariki sana na kukuinua zaidi asante kwa ujunbe huu umeondoa pazia lililokuwa limefunika macho yangu kuhusu waimbaji wa nyakati hizi
Isaya 58 1 Piga kelele, usiache, Paza sauti yako kama tarumbeta; Uwahubiri watu wangu kosa lao, Na nyumba ya Yakobo dhambi zao.
@faustinebakulu5892
Жыл бұрын
Mwenyezi Mungu Akubariki mtumwa wa Bwana Yesu Kristo
@carolineunguku9163
Ай бұрын
Amen
Mungu akulinde mtumishi leo umenijibu maswali yangu,nilikua najiuliza nimziki gani unafaa kwa kumsifu Mungu?cku hizi hadi cngeli, amapiano yanapigwa na wa2 wanafurahia yaan uezi tofautisha nyimbo za kidunia na kiroho.
Daaaaah 😭😭😭😭😭 YESU atusaidie makanisa Yameingiliwaa sana mapiano, tarabu zinapigwa makanisani uuuh ni hatari sanaa
Nimebarikiwa sana ni hayo maneno yako aki na My God bless you 🙏 Amen hallelujah
Ni kweli kabisa leo umenifungua pakubwa sana kwa sababu makanisa yaliyo mengi ndivyo yalivyo hadi roho inauma ukiwatizama watoto wetu wanavyokata viuno kanisani kwa kweli sio sawa 😭😭😭😭
@allanmwita2226
Жыл бұрын
Rose ni aibu sana watu wanacheza hovyo kanisani huku vijana wamevaa nguo za kubana na wanavyo cheza utafikiri wanaenda kuzimu
Sema tupone mtumishi wa Mungu,kweli kuna nyimbo hazibariki hazigusi moyo,ee Mungu utusaidie
Wah Asante sana mtumishi wa mungu kwanzia leo sitasikiliza nyimbo za kidunia tena kama vile diamond rayvanny n zinginezo kwanza hio yerusalemu naipenda sana lakini kwanzia leo nimeacha glory and honor be to God Ameeeen 🙏🙏🙏
@godfreymmassy8114
Ай бұрын
Amina 🙏
Amen ubarikiwe sana mchungaji nkweli kabisa sherehe nyingi nyimbo ni hizo za kishetani jamani mungu azidi kutupa mafunuo na ufahamu
Christina shusho ulianza vizuri,,omba Sana Mungu umalize salama uelekeako siko.
@KishiwaMisinzo
8 күн бұрын
Mungu wetu anatupenda Sana barikiwa mtumishi
@petermbugi2579
Сағат бұрын
Mungu atamsaidia atamaliza salama Mungu ni mwaminifu huyu Yesu kristo
Mungu akutie nguvu kweli unatufungua macho na mawaso maana tunaangamia Kwa kukosa maarifa na kukosa macho sa kiroho eah mungu tusaidie
Amen amen amen sema kweli yote wame sumbuwa watu kwanyimbo zawo za uwongo na kuwapotosha watu kwa ujinga na upumbafu wawo wa mashetani Mungu awa urumiya
Asante Mtumishi wa Mungu kwa kunielewesha ili nisijitie doa kuukumbatia kila wimbo pasipo kuelewa mtindo na mfumo wa wimbo wenyewe katika mantik ya ukristo. Mwenyezi Mungu atupe neema na ufahamu kubainisha ila za shetani makanisani na maovu yote ili tuwe tayari kumpa sifa Bwana wetu Yesu Kristo katika roho na kweli amen.🙏🙏🙏
@hezronpeterhongoli9060
Жыл бұрын
Soma Zaburi 150: 1
More grace man of God ,,I really love your teaching and your songs be blessed always 🙏🏼
God bless you my big brother Pastor 🔥🔥🇨🇩🇨🇩👏
Mungu mwenyewe ni Roho na anafundisha watu wake katika Roho , wimbaji nivile vile kuna zakimwil na pia sa Rohoni
May God forgive us 😢 we are sinners .may the God lights ✨️ 🙏 light upon our lives
Amen brother, nakubaliana nawe asilimia mia Moja. Kupitia kwa mafundisho haya naenda mbali.
Uvaaji wao tu, utajua sio nyimbo za kumsifu Mungu.
@MauridErias
Ай бұрын
Nikweli kabisa Yani me mwenyewe uwa naumia sana kiukweli Wala asemi uwogo kabisa
@josephkisinza6243
20 күн бұрын
Aami 26:😂😂45
@DeboraMwanja-fr6mu
14 күн бұрын
Kweli kabisa mi nikionaga tu mavazi yao nazima wimbo sisikilizi
Amen barikiwa mwanawa Mungu asante sana Nami eee Mungu anisaidie nimwabudu kwa roho na kweli nimaombi yangu
Asante kwa ujumbe mzuri,umebariki moyo wangu, Mungu wangu tusaidie 🙏
God have mercy on us... We have gone out your ways. May God Forgive us! B blessed pastor
Amen mtumishi hapo ni kweli watu waache kutingisha kiuno kanisani
Amina sana tunamshukuru Mungu aliekutuma mjumbe wake tupone Kwa jina la Yesu
Ameeeen mtumishi,shangwe kwa Yesu kristo,nakupata kutoka Mozambique
Asante sana Mtumishi wa MUNGU kwa ujumbe huu Mungu azidi kukuinua zaidi na zaidi utujulishe mengi tu siyo yajua
Amen gospel. Nyingi za Leo zinaimbwa uharisia wa kimwili hazina ukiroho mtu anachukuaq mstari mmoja kweenye Biblia anaweka misitari kumi ya kidunia yaan maneno yanayo vuma mitaania ndio anaweka. Kwenye Gospel hapo hapo na midundo ya kwaito mapiano kama yote Azidi kutufumbua ubarikiwe sana. 👋👋
Barikiwa mtumishi ,,,Asante yesu masikio yangu hakika yamesikia 💪💪💪🙏🙏🙏🙏🙏🙏
ubalikiwe sana mwijilisti mungu akupe nguvu uzidi kuwaambia haoo wapiga kristo hasa wanaijifanya waimbaj wa nyimbo za injiri na manabi wa hovyo
Hapo ni kweli,hebu angalia mtu ako kwa madhabahu ya Cape,hana hata dhamili ya kujihukumu mwenyewe.ladies with offshoulder dresses in the altar,waah dunia kwisha
Ubarikiwe sana mtumishi wa Bwana. 100% right. 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇿🇦🇿🇦🇿🇦
Nakukubari sana mtumishi wa mungu paschar Cassian, uko sahihi,
Na kushukuru mutumishi kwa ufafa muzi wa nyimbo za nyimbo ambazo hatuwezi imba mungu akubariki na akuvuviye mengi
Powerful and inspiring message my brother,may the Lord protect you and continue to lift you up to continue saying the truth,people will never like the truth they will always reject the truth,God bless you my brother 🙏🙏🙏
Mimi bado sijakuelewa.daudi alimchezea mungu mpaka vazi likachanika.tena nyimbo nzuri tu.na maneno ni ya mungu.ww tafuta sadaka Acha kazi waimbaji isonge mbele.nawao ni watumishi.
@marthafransi9868
16 күн бұрын
Haswaaaaa ahubiri Kwa namna yake sio kuwaponda wenzie mi watu wa hivyo siamini Huduma zao
@DjShalom-uw6sk
14 күн бұрын
Uyu ni pasta mgani anafuraga injili
@dennismorogoro6759
12 күн бұрын
Anasema ukweli kabisa na elewa daudi alicheza kwanini sio mungu ni majensi wake
@loicesau2959
8 күн бұрын
But mbona anasema,eeeeh my Lord is ludoo.....😂 Wimbo husema ,"eeeeeh my God is good-ooooh"..... mengine anaongeza tu kutuchanganya,Eeh Mungu tusaidie tumjue aliye mkweli 🙏🙏
@esterpeter8556
7 күн бұрын
Endelea Ivo Ivo na shingo yako ngumu,saa ipo yaja na haipo mbali utalia mno sana
Amen mtumishi BWANA YESU ubarikiwe mno.
Tumshukuru Mungu Kwa kumtuma mtumishi wake kutufungua🙏
Amen be blessed man of God
Amen! Amen! Amen!... be blessed man of God.. oooh may God protect you bcoz this must lead to a strong spiritual and physical war.. but Jesus Christ is our protector.i get you from Kenya.
@faithturere9928
Жыл бұрын
Amen. Pastor be blessed
@zephaniahmuhanda8158
Жыл бұрын
Pastor you are right... I been asking myself why is it that after this heavy dance people sleep off when the preaching begins...? Kumbe hii ndio sababu
Mungu huangalia ulivyomaliza sio ulivyoanza barikiwa mtumishi❤
AMEN ubarikiwe sana Mtumishi wa BWANA YESU KRISTO Asante sana kwa kutuambia ukweli uzidishiwe mara dufu .
Ubarikiwe baba uishi kwaajili ya kazi ya mungu
@remitharwezaura9977
Жыл бұрын
@Neema Baba yetu jina lake linaanza kuandikwa kwa herufi kubwa, iwe mwanzo wa sentesi au katikati mwa sentesi "Mungu"
My Almighty God please have mercy on me , for I was no aware to risen from this kind of songs
AMEN AMEN AMEN ASANTE SANA KWA KUTUELIMISHA MUNGU AKUONGEZEE NGUVU MAARIFA UFAHAMU NA REHEMA ZAKE ZIZIDI KUKUFUNIKA🙏🏾
Amen amen endelea kusema ukweli ili tupone na kumgeukia Mungu Hakuna mchungaji anaependa kunena ukweli maanake wote tumeekewa giza mbele yetu naye shetani Haruno
MUNGU azidi kukuinua mtumishi Amen
Amina..Mungu akuinue ili iendelee kufungua kweli Watu waokoke
Halleluuuuujah🔥sisemi kitu ila mungu akubariki zaidi na zaidi mtumishi for opening my eyes wauh👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏.
Very true story...watching from arabs
Umbarikiwe sana kabisa Mtumishi wa Mungu❤❤❤❤❤❤❤❤
ASante sana kwa maubiri na Mungu atusamehe sana kwani tunaimba hii wimbo pasipo ku jua ni dugu toka Congo Drc.
Aminaaaaa mtumishi mungu akubarik uzidi kutufunza zaidi
Asante kwa ujumbe huu muhimu wakutukumbusha tusifuate mkumbo wa dunia. Ubarikiwe sana CASSIAN
@sabihaibrahim143
Жыл бұрын
@Rosemary Nyagawa muziki wote chanzo chake shetani mbinguni hakuna mpiga vinanda mumepotoshwa vibaya
@sabihaibrahim143
Жыл бұрын
@Rosemary Nyagawa sasa lini uloona msikitini munapigwa kaswida si kila siku wanaambiwa ni haramu na husikii msikitini kaswida anayetaka kupiga hukooo atajuana na Allah kama wapiga ngoma wengine ila makanisani mimi hapa nipo jirani na kanisa wewee he hapatoshi uwanja wa disko unapumzika kama hapa
@sabihaibrahim143
Жыл бұрын
@Rosemary Nyagawa ni lazima nikukumbushe ukikataa wewe kataa ila hivo na yapo waziii matendo makanisani uchafu mtupuu wanawake uchiii eti yupo kwa mungu ndo mana makanisani zinaa imetawala kila mtu na demu wake na pakipigwa ngoma wanademuka hatarii kila mtu anamchezea mpenzi wake amuone
@sabihaibrahim143
Жыл бұрын
@Rosemary Nyagawa hayo mengine mumechomekewa tu mupotee vizuri walotengeneza bibilia unafikiri wajinga wameiteka dunia sasa hivi maovu yao yapo wazi wazi ndo mana hata hao wazungu wanakimbia hio dini ni ushetani mtupu ukiangalia matendo yao unajua hapa hapana kitu hakuna nabii alocheza magoma wote walikuwa wacha mungu ngoma mwenzake shetani na yesu aliyakataa hataki hata kusikia lakini munafurahisha nafsi zenu tu
@sabihaibrahim143
Жыл бұрын
@Rosemary Nyagawa Mimi jicho langu naliona eti lipo sawa sawa halitikisiki ndo nikaona lakwako haliposawa wenzenu miili inafukuliwa huko kenya kwa kumchezea shetani kanisa zima kushnehi ushetani mtupu
Oooh Ooh My God is Good, everything double double. Ndio kilicho imbwa ila hatusikii vizuri tuna sikia neno kama my God is gudo sababu ya rafudhi ya walio imba,ni wayoruba we mzee.
@rockevarist4299
Жыл бұрын
Tatizo la kuwa kiroho kuliko Mungu ndo kinacho msumbuwa , alie muweka juge wa wana mziki wa gospel ni nani.
Ubarikiwe sana mtumishi bwana yesu awe nawe daima
Amen Amen ubarikiwe sana na Mungu
True man of God. Be blessed
Hallelujah. Amen
Ahsante mtumishi kwa mafundisho mazuri nimepona.
Ahsante nimekuelewa mtumishi,Mungu akulinde
God bless you my young brother 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@hillarymaende9872
Жыл бұрын
Amen Amen 🙏 mung u azidi kukulinda na kukupigania kwa maana ulimwengu ulimo wakati wa sasa ni ulinwengu wafita,mungu akufunije man of God asanti kwa kutuelimisha ambayo hatujuwi
@kennethngoleka
Жыл бұрын
Mimi sioni tatizo wa hizo nyimbo,ninaimani sisi binaadam tunatokea ktk maeneo tofauti,ukitaka kumvuta aliyopo Toka ktk mashetani mchote kupitia njia aliyopo na umtie ktk kundi lako kwa neno la uzima la beans,atabadilika tu,njia za kufikisha neno la bwana.
This is true, Angalia nimekuweka leo juu ya na juu ya falme, ili kung'oa, na kubomoa, na kujaribu, na kuangamiza, ili kupanda na kujenga, Go ahead mtumishi, Mungu akutangulie ,tunajifunza kupitia wewe
@user-yg5ef1kz3v
Ай бұрын
Amina😢
@BerthaMmari-kc2bi
Ай бұрын
Nguo za waimbaji wa kike ni shiiida. Hawapendi kuvaa nguo ndefu wanapenda fupi na ni lazima ziwabane
Asante sana mtumishi wa Mungu kwa mafunzo mazuri sana.
Amen. Mungu akubariki sana. Watu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa Hosea 4 :6.. Mimi sasa hivi nasikiliza nyimbo za kizamani zile za mapigo ulyankulu na waimbaji wa zamani sio hawa wanaocheza kama magenge ya WCB na wenzio.
@billionairef897
Жыл бұрын
Hata na mimi piya
@alzawahirabdallah2299
Жыл бұрын
Amosi 5 23 Niondoleeni kelele za nyimbo zenu; kwa maana sitaki kuzisikia sauti za vinanda vyenu Mungu hataki kelele msikilize kabisa sawa ehee
@christinewomanoffaith5479
Жыл бұрын
Nyimbo zipo sana tu Ila wapo wachache ambao wako nje ya line Km una Roho Mtakatifu utajua tu wala hupati shida
@alzawahirabdallah2299
Жыл бұрын
@@christinewomanoffaith5479 Hosea 9 7 Siku za kupatilizwa zimekuja, siku za kulipa zimefika; Israeli atayajua hayo; huyo nabii ni mpumbavu, huyo mtu mwenye roho ana wazimu; kwa sababu ya wingi wa uovu wako, na kwa sababu uadui umekuwa mkubwa Biblia inasema huyo mtu mwenye roho ana wazimu kwa sababu ya wingi wa uwovu wake sasa kila kitu unatudanganya unasema kiroho unataka tuwe na wazimu
@sabihaibrahim143
Жыл бұрын
@@christinewomanoffaith5479 mungu wa kweli hapendi nyimbo
Keep it up and I wish you more of God's grace in Jesus Christ of Nazareth might name.
Amen mtu wa Mungu Cassian,huduma Yako ni njema,Mungu akuagizie malaika wakulinde
Amen pastor ni true kabisa,mungu atusamehe kabisa
True man of God,l agree
Powerful message God bless you and protect you
@loureensarah9943
Жыл бұрын
Hallelujah,barikiwa sana mtumishi wa Mungu.
Eee Bwana yesu nisamehe mmi nimecheza Sana nyimbo hizo Ata kanisani zimejaa,, nasikia mpka kutetemeka roho yangu,, Ila namtukuza Mungu aliyejuu ya mbingu zote anayetupenda hataki tupotee ktk upotovu uliojificha anaufichua uovu wa shetani,,,
Umenifumbua macho,Ubarikiwe na Bwana Yesu Kristo
Very true the church has fallen Messiah is coming very soon 😢
Everything is God and all is God, Satan is the absence of good vice, lets not give that absence prominence and create what we are calling satan. we should love one another and praise God all the time, judging is creating satan.
@chahirajohn3885
2 күн бұрын
Its not judging, truth must be told we can't sugarcoat evil we must be against what's God is against, soothing will lead many to hell
@chahirajohn3885
2 күн бұрын
When someone corrects doesn't want you to perish
Thank uthe man of God , I have seen what you are saying or talking ,oooooo you are true violet sumba kutoka Mombasa
Mungu akubariki sana sema kweli japo nigumu kuamini lakini Mungu akulinde
Huwo wimbo wa kwanza wanaimba "my god is good" wakimaanisha; mungu wangu ni mzuri (mungu wake yenye anayeimba). Neno "good" (gud) wanalitamka gudo kwa lafudhi za watu wa magharibi mfano Nigeria.
@paulinakiswaga7505
Жыл бұрын
Shida sio maneno ya wimbo shida ni beat ya wimbo na namna wanavyocheza beat la wimbo huo nila nyimbo za kidunia na jinsi wanavyo cheza sio waki Mungu cjui kama nimejaribu kukuelewesha
@everlynenanzala576
19 күн бұрын
😂😂 watu wamebaki kutafuta likes u tube
MUNGU akubariki sana na azidi kukutumia ili uzidi kutufundisha maana watu wengi hawajui mitego anayoitumia shetani kupotosha watu.