Eeh ysu tuhurumieeee!!!! Tumekosa sana!! Mmhhh! Tusamehe waimbaji, katika wingi wa ghadhabu yako kumbuka rehema
@phaniceariviza4399
8 ай бұрын
Ni kweli mama tunahitaji rehema ila lazima tuchukue hatua za kutubu na kuiacha dhambi
@paschalcassianoriginal9411
8 ай бұрын
BWANA AKUKUMBATIE MTUMISHI NINA IMANI UPO DUNIANI ILI KUWA KIELELEZO KIZAZI HIKI KINA KUTEGEMEA SANA MAANA USHA ACHA ALAMA MYOYONI MWA WENG NA KUOMBEA
@paschalcassianoriginal9411
8 ай бұрын
BWANA AKUKUMBATIE MTUMISHI NINA IMANI UPO DUNIANI ILI KUWA KIELELEZO KIZAZI HIKI KINA KUTEGEMEA SANA MAANA USHA ACHA ALAMA MYOYONI MWA WENG NA KUOMBEA
@esterpeter8556
8 ай бұрын
Mama nawewe sikuizi kuvaa kwako mmmmmh!
@simonmdune9066
8 ай бұрын
@@esterpeter8556😂😂WWE unatabu aky
@ngugimundia63068 ай бұрын
Tumbua...mtumishi hawa ni wasanii si watumishi...kemea kabisaaa...kutoka kenya 🇰🇪 tunasema ubarikiwe!
@phaniceariviza43998 ай бұрын
Wachungaji wengi kenya wako biashara
@dorcasasia28198 ай бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi kweli mtupu hii ni sodoma na gomora ee BWANA YESU tusaidie na utuokoe
@furahag30988 ай бұрын
Kweli kabisa mtumishi tunakubaliana na wewe mmi ni mkenya umefanya vizuri eka wazi Amen mungu akulinde azidi kukupa ufunuo huo god bless you 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@lydiahnabwire128
8 ай бұрын
Aki bahati na willy paul wamezidi kuaribu kizazi hawa watu wawili wangefanya vijana waokoke but😢😢😢😢😢
@gahungubertin12148 ай бұрын
Ni wengi sana kenya baba, wakina madame twendi twendi(2020), tena uzinifu unapita kipimo kenya, iwe kwa wa kristo ao kwa wapagani hakuna utofauti...Mungu aturehemu kweli
@sarahkishaluli60878 ай бұрын
MUNGU wa rehema aturehemu,ni kweli huwezi kumtambua mtu kama hana cash, na pia huwezi kumtambua mtu mpaka awe katikati ya wengine, ni kwamba wengi tunajidangaya eti Mungu haangalii nje kwa kuwa eti mwili wa nje unabadilika yaani sisi wanadamu ni wapumbavu kama YESU KRISTO alivyowaambia mafarisayo (Luka 11:40) alisema "Enyi wapumbavu; aliyevifanya vya nje,siye yeye aliyevifanya vya ndani pia?", tuache ujinga mwili huu tuliopewa si wetu ni hekalu la Roho Mtakatifu anaishi ndani yetu( 1Wakorintho 6:19) "Au hamjui ya kuwa mwili wenu ni hekalu la Roho Mtakatifu aliye ndani yenu, mliyepewa na Mungu? Wala ninyi si mali yenu wenyewe;
@addamsuleiman8667
8 ай бұрын
Amina
@paschalcassianoriginal9411
8 ай бұрын
❤❤amen
@TuaircachimoNantola-po7oo
8 ай бұрын
Amina
@estermalembwamalembwa19368 ай бұрын
Mtumishi cassiani ubarikiwe kwa ujasiri ulionao kama Simba ukiunguruma na kusema ukweli bila kuogopa kitu chochote mtandaoni oohaleluya umenifurahisha sana
@happnesskitumbo57138 ай бұрын
Kaka cassian, biblia inasema tutawatambua kwa matendo yao hao ni maagent wa ibirisi 100%.
@user-ii1qk9xn9z8 ай бұрын
Umebarikiwa kuwaliko wote mtumishi... uko na upondo wa ajabu kwa wote... maana bila upendo huwezi kuwaonya na kurekebisha kizazi hiki kilichopotoka. Wachungaji wengi kenya wapo tu kwa sababu ya faida zao. Mungu msaidie mtumishi kuona kila mtu kupitia macho yako. Na uwasaidie kukuona kwa mtumishi wako eeh Bwana. Naomba Amani, furaha, upendo na subira vitaongoza. Kwamba wema utakuwa masahaba; uaminifu huo utakuwa kauli mbiu, na upole vikaonekane kwa wote.... Mungu awe pamoja nawe mtumishi.
@paschalcassianoriginal9411
8 ай бұрын
Aaamen amen
@BerylSeer18 ай бұрын
Arambwe, Mungu Mkuu amhurumie, pastor mimi ni mtumishi Mungu Mkuu anasema Kenya 🇰🇪 itaanguka kwa janga
@benjaminmahega8 ай бұрын
Mungu tusamehe watoto wako tumekosea sana waimbaji tumesahau nafasi yetu
@yohanamp-ec7im8 ай бұрын
Hakika tunge kuwa na watumishi wengi wanao tumiwa na mungu kama pascal na amin maelfu wangebadilika lakin injil za saiz watu weng wanahitaji kubembelezwa na kutabiliana jinsi kua matajil. Ndugu zangu lazma tujue yesu amekalbia saaana kulud. Mungu tujaze nguvu tusikose kweny unyakuo.
@elibarikimollel71498 ай бұрын
Mtumishi wa Mungu kemea kwa nguvu zote maana ukikaa kimya kama hao wengine utatoa hesabu mbele zake! Kumbuka Hata hapa Nchini walitokea,mfano: mfalme Zumaridi lkn si kwa sura ya ushoga...
@LameckLameckmjwanga8 ай бұрын
Kabisa nidhahilikabisa hakunajambo litakalositilika ambalo halitafunuliwa amina mtumishi
@user-ro1tg1zn2j8 ай бұрын
Ee Mungu turehemu Wana wako tusikengeuke na kuifuata mambo ya dunia hii 😢😢
@BerylSeer18 ай бұрын
Huyo ni guardian angel na pia willy Paul
@Crabtree18448 ай бұрын
Nena kwa sauti kuu, Mtumishi. Mungu ainuliwe na tabia nzuri. Asante
@agnestunu55278 ай бұрын
Sio kenya tu dunia nzima,inafanya matukio ya ajabu sana Mungu turehem
@davidwambura59158 ай бұрын
Sio Bahati tu hata Guardian Angel.
@Crabtree1844
8 ай бұрын
Eti kuna mwingine aitwa 'Guardian Angel?' Ndoto kutoka shetani.
@judithnakoli8 ай бұрын
Kwa sababu ya mahubiri potovu watu wamepokea wokovu feki, Roho Mtakatifu anapokaa ndani yako hawezi kukuongoza kuvaa jaini, rastafara, kanisani, hao wanamatatizo na Mungu.usiano wao sio Muzuri
@BintiMwambapa-ev6kw8 ай бұрын
Bwana YESU azidi kukutunza mtumishi
@Crabtree18448 ай бұрын
Umesema ukweli mtupu kuhusu wanaojiita wachungaji nchini Kenya. Wao ni kundi la walimwengu, wanaojihusisha na uchawi, wake wengi, na wanavaa kama wale waliopagawa na mapepo. Jambo la kusikitisha zaidi ni kwamba washarika wanawaruhusu kuwawekea mikono. Huwezi kupata mchungaji kama Yohana Mbatizaji ambaye alimwambia Herode ukweli kuhusu uhusiano wake na Herodia.
@ABIGAIL67-triaАй бұрын
Waaambie mtumishi,,sisi wakenya tukisema tunaambiwa tuna wivu na mafanikio ya wengingi.🥲💔
@nancyfamilysharesmoments76348 ай бұрын
Yani Mimi nilinyoa nywele zangu jamani nilikuwa mbishi Mungu hataki nisuke nilivyolazimisha hahaha nikisuka nasukwa hovyoo napoteza pesa yangu aah nikaamua kutii na kunyoa nikaacha kupaka mavipodozi malipstik nikaacha Bwana Yesu kanitengeneza nilikuwa siwezi kuacha ahsante Yesu, vipodozi, mavazi ya hovyo na kusuka huendi mbinguni mwanamke.
@neemamsanga253
10 күн бұрын
àmina 🙏
@TuaircachimoNantola-po7oo8 ай бұрын
Asante mungu anisaidie nimalize salama safari ya kwenda kwake, nikiwa Moçambique nayapenda sana mafundisho ya bwana.❤
@diana56-lorient8 ай бұрын
Asanti sana mungu, ubarikiwa sana MTUMISHI 🙏🏻 🙏🏻 🙏🏻 ❤❤
@elizabethnzula67048 ай бұрын
Kweli kabisa hawaeleweki wanaenda wapi ama wanamtumikia nani
@michaeljm-dz7nh8 ай бұрын
Ubarikiwe sana Mchungaji 🙏
@SarahMauka-ii1gd8 ай бұрын
Mungu wangu
@joannekesa18358 ай бұрын
MUNGU aturehemu na atuongoze amen ubarikiwe mtumishi wa MUNGU 🇰🇪
@Rashid-vm1fk8 ай бұрын
Sema kweli maana watu wamechanganyikiwa shetani amewateka watu kwa fedha na kufanya watu wamuasi Mungu,Ee Mungu tusaidie
@ClovisMushagalusa-b7v25 күн бұрын
Asante kwamafundisho mungu azindikutiya. nguvu
@joannekesa18358 ай бұрын
Amen amen mtumishi wa MUNGU 🇰🇪
@martinahlighare64958 ай бұрын
Hao ni wana wa giza, alama ya Mungu iliwatoka.
@estherwairimu87608 ай бұрын
Imagine afadhari wache kuwazia na nyimbo injili waazie nanyimbo za dunia because wanalihaibisha kanisa la mungu
@rogersjoseph7363
8 ай бұрын
Waimbaji wengi wamegeuka na kuwa vibaraka vya kuzimu badilika mala moja yesu anarudi yeye ajaye anakuja wala hatakawia
@noelmbosa27368 ай бұрын
Mungu atusaidie, pekeyetu hatuwezi,hivyo barikiwa sana baba
@ElizabethMuia-ro9yhАй бұрын
Bahati agemuoa mwanamke mucha mungu,ata wa waleo agekuwa ana mtukuza Mungu but akapatana na mpeda rahaha
@joramndirangu22638 ай бұрын
No pastor here in Kenya can say that .washirika watakimbia
@johnngana72078 ай бұрын
Amen
@lilymwashumbe48907 ай бұрын
Mungu akubariki tunaendelea kutubu ili Mungu aturehemu
@samisaya98198 ай бұрын
Amina Mtumishii wa Bwanaa
@salesianamlowe17518 ай бұрын
Mungu atuhulumie
@laickwilinerd53758 ай бұрын
Piga kelele usiache pazasautiyako kama tarmbeta uwambie watu wangu kosalao 🙏🙏
@annijulius49538 ай бұрын
Mkristo utafugaje nywele kama mwehu kwanini ku act kama mad person wakati uko mzima? Kuna Nguvu chafu inawasukuma wa chane hiyo style.
@erickrao8 ай бұрын
Amen 🙏 man of God 🇰🇪 asante napenda ukweli wako
@lawmaina788 ай бұрын
Shukrani sana nduguye.
@BoscoMbungu8 ай бұрын
Kwakweli unatufunulia mengi, ubarikiwe baba Casiani
@OyengelaMariam-wk6qm8 ай бұрын
Amen 🙏🙏🙏 mtumishi Mungu aturehemu
@user-dc8xl3ti2d8 ай бұрын
Huyu Mungu aturehemu sana maana tunasikia lkn ni kama hatusikii au kuona jaman jaman 🙆🙆🙆🙆🤷🤷🤷🤷🤷🤷🙌🙌🙌🙌🙌
@JedidaNdutuu-ys3lx3 ай бұрын
Tuombeeni sisi, ushonga umejaa nchini Kenya,
@doricemrema21778 ай бұрын
Eee MUNGU mwenye rehema uturehemu,,,utupe moyo wa kupondeka na kunyenyekea MBELE zako BWANA YESU KRISTO,,,,weka hofu na woga ndani yetu tukuogope wewe zaid kuliko kuwaogopa wanadamu,,,,tukimbie dhambi,,na tukukimbilie wewe YESU KRISTO TUBADILIKE KATIKA ROHO,,NA KATIKA MWILI PIA.
@akothchristine47528 ай бұрын
You are right God bless you so much
@maryandason18158 ай бұрын
Amen blessed❤
@IsayaBienvenu8 ай бұрын
Good
@margretchipkwemoi82978 ай бұрын
Asante mtumishi ume gonga ntipo mungu akuinue 😭🖐️
@selinageogre28818 ай бұрын
Mungu aturehemu sana ubarikiwe Mtumishi wa Mungu
@user-rj2sh1hg4f2 ай бұрын
Mchungaji nimekubaliana na wewe unasema kweli kabisa linet Mimi ni mkenya siezi tetea dhambi
@faridashabanifaridashabani59508 ай бұрын
Amina sana baba Mungu atuongoze sana
@user-qf9uj2oc1b8 ай бұрын
Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu 🙏
@jovettedenise25918 ай бұрын
Ubarikiwe sana paschal.
@gracegasper66948 ай бұрын
Amina!
@Nani-ww8yg8 ай бұрын
T Aman of God you are saying bitter truth Expose them they are many hiding like guardian angel namushangaa huyo mwanaume hadi anatapoa masikio end times
@sarahjacobs88148 ай бұрын
Umesema kweli kabisa Kenya waimbaji hamna MUNGU atuokoe
@elmasroj97128 ай бұрын
Eeeh Bwana katika wingi wa gadhabu yako kumbuka rehema
@geoffreyembasa84836 ай бұрын
Samson,John the baptist wore dreadlocks. Everyone in Nazareth,all Nazarenes like Jesus wore dreadlocks. Waafrika tembeeni mataifa mengi muone na kujua mengi
@bonfaslazaro22898 ай бұрын
Sema Baba tunakuombea
@sarahjacobs88148 ай бұрын
Wala sisikii gospel ya Kenya maana hakuna
@AyubuFumbi8 ай бұрын
Kaa jamani sema
@estonmnthali37198 ай бұрын
Amen 🙏
@cristinarashid12458 ай бұрын
Ameen
@AlfredMilinga8 ай бұрын
Ubalikiwe.onya kalipia kemea dhambi kabisa
@farajafleva8 ай бұрын
Waimbaji wengi wanaodai kuwa kwa yesu hawapo naye tena
@carolinederi5690
8 ай бұрын
By the way tusiangalie waimbaji tu though ni role model ila kila mtu atabeba msalaba wake so tujiengalie pia
@faridashabanifaridashabani59508 ай бұрын
EeeMungu nisaidie nimalize huu mwendo salama😢🙏🙏🧎🧎
@geoffreyembasa84836 ай бұрын
Bahati alivalishwa marinda 😅😅
@Farajahelene230318 ай бұрын
Diana shes not good wife for bahati
@daudilangat61237 ай бұрын
Pastor kale kajamaa kanaitwa bahadi ni kaajendi kaa shetani kaambie ukweli
@brighterantony87078 ай бұрын
Ee Mungu tunusuru tumekosa tusamehe kumbuka rehema
@user-qq8bk8iv7l3 ай бұрын
Hiyo ni ukweli kabisa
@estherwairimu87608 ай бұрын
Nikweli kabisa amepotoka kabisa
@Dukeswanya-vm7cb8 ай бұрын
Cassian, ni ukweli mtupu unasema. Kwa mfano humu Kenya kuanzia Disemba watoto watakaozaliwa wataanza kupandikiziwa Micro-chip
@lucywilson5875
8 ай бұрын
Mungu wangu!!!!!!!!!!!
@carolinederi5690
8 ай бұрын
It will not happen in Jesus name we demolished every evil plan upon our country
@lydiaaruba66708 ай бұрын
Bahati alikuwa amesimama hadi pale Hawa alipopindua maandiko kule Bustani akampa tunda😂my Kenya land sihami😂Ila SIO KENYA TUUU NI DUNIA YOTE
Пікірлер: 114
Eeh ysu tuhurumieeee!!!! Tumekosa sana!! Mmhhh! Tusamehe waimbaji, katika wingi wa ghadhabu yako kumbuka rehema
@phaniceariviza4399
8 ай бұрын
Ni kweli mama tunahitaji rehema ila lazima tuchukue hatua za kutubu na kuiacha dhambi
@paschalcassianoriginal9411
8 ай бұрын
BWANA AKUKUMBATIE MTUMISHI NINA IMANI UPO DUNIANI ILI KUWA KIELELEZO KIZAZI HIKI KINA KUTEGEMEA SANA MAANA USHA ACHA ALAMA MYOYONI MWA WENG NA KUOMBEA
@paschalcassianoriginal9411
8 ай бұрын
BWANA AKUKUMBATIE MTUMISHI NINA IMANI UPO DUNIANI ILI KUWA KIELELEZO KIZAZI HIKI KINA KUTEGEMEA SANA MAANA USHA ACHA ALAMA MYOYONI MWA WENG NA KUOMBEA
@esterpeter8556
8 ай бұрын
Mama nawewe sikuizi kuvaa kwako mmmmmh!
@simonmdune9066
8 ай бұрын
@@esterpeter8556😂😂WWE unatabu aky
Tumbua...mtumishi hawa ni wasanii si watumishi...kemea kabisaaa...kutoka kenya 🇰🇪 tunasema ubarikiwe!
Wachungaji wengi kenya wako biashara
Mungu akubariki sana mtumishi kweli mtupu hii ni sodoma na gomora ee BWANA YESU tusaidie na utuokoe
Kweli kabisa mtumishi tunakubaliana na wewe mmi ni mkenya umefanya vizuri eka wazi Amen mungu akulinde azidi kukupa ufunuo huo god bless you 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@lydiahnabwire128
8 ай бұрын
Aki bahati na willy paul wamezidi kuaribu kizazi hawa watu wawili wangefanya vijana waokoke but😢😢😢😢😢
Ni wengi sana kenya baba, wakina madame twendi twendi(2020), tena uzinifu unapita kipimo kenya, iwe kwa wa kristo ao kwa wapagani hakuna utofauti...Mungu aturehemu kweli
MUNGU wa rehema aturehemu,ni kweli huwezi kumtambua mtu kama hana cash, na pia huwezi kumtambua mtu mpaka awe katikati ya wengine, ni kwamba wengi tunajidangaya eti Mungu haangalii nje kwa kuwa eti mwili wa nje unabadilika yaani sisi wanadamu ni wapumbavu kama YESU KRISTO alivyowaambia mafarisayo (Luka 11:40) alisema "Enyi wapumbavu; aliyevifanya vya nje,siye yeye aliyevifanya vya ndani pia?", tuache ujinga mwili huu tuliopewa si wetu ni hekalu la Roho Mtakatifu anaishi ndani yetu( 1Wakorintho 6:19) "Au hamjui ya kuwa mwili wenu ni hekalu la Roho Mtakatifu aliye ndani yenu, mliyepewa na Mungu? Wala ninyi si mali yenu wenyewe;
@addamsuleiman8667
8 ай бұрын
Amina
@paschalcassianoriginal9411
8 ай бұрын
❤❤amen
@TuaircachimoNantola-po7oo
8 ай бұрын
Amina
Mtumishi cassiani ubarikiwe kwa ujasiri ulionao kama Simba ukiunguruma na kusema ukweli bila kuogopa kitu chochote mtandaoni oohaleluya umenifurahisha sana
Kaka cassian, biblia inasema tutawatambua kwa matendo yao hao ni maagent wa ibirisi 100%.
Umebarikiwa kuwaliko wote mtumishi... uko na upondo wa ajabu kwa wote... maana bila upendo huwezi kuwaonya na kurekebisha kizazi hiki kilichopotoka. Wachungaji wengi kenya wapo tu kwa sababu ya faida zao. Mungu msaidie mtumishi kuona kila mtu kupitia macho yako. Na uwasaidie kukuona kwa mtumishi wako eeh Bwana. Naomba Amani, furaha, upendo na subira vitaongoza. Kwamba wema utakuwa masahaba; uaminifu huo utakuwa kauli mbiu, na upole vikaonekane kwa wote.... Mungu awe pamoja nawe mtumishi.
@paschalcassianoriginal9411
8 ай бұрын
Aaamen amen
Arambwe, Mungu Mkuu amhurumie, pastor mimi ni mtumishi Mungu Mkuu anasema Kenya 🇰🇪 itaanguka kwa janga
Mungu tusamehe watoto wako tumekosea sana waimbaji tumesahau nafasi yetu
Hakika tunge kuwa na watumishi wengi wanao tumiwa na mungu kama pascal na amin maelfu wangebadilika lakin injil za saiz watu weng wanahitaji kubembelezwa na kutabiliana jinsi kua matajil. Ndugu zangu lazma tujue yesu amekalbia saaana kulud. Mungu tujaze nguvu tusikose kweny unyakuo.
Mtumishi wa Mungu kemea kwa nguvu zote maana ukikaa kimya kama hao wengine utatoa hesabu mbele zake! Kumbuka Hata hapa Nchini walitokea,mfano: mfalme Zumaridi lkn si kwa sura ya ushoga...
Kabisa nidhahilikabisa hakunajambo litakalositilika ambalo halitafunuliwa amina mtumishi
Ee Mungu turehemu Wana wako tusikengeuke na kuifuata mambo ya dunia hii 😢😢
Huyo ni guardian angel na pia willy Paul
Nena kwa sauti kuu, Mtumishi. Mungu ainuliwe na tabia nzuri. Asante
Sio kenya tu dunia nzima,inafanya matukio ya ajabu sana Mungu turehem
Sio Bahati tu hata Guardian Angel.
@Crabtree1844
8 ай бұрын
Eti kuna mwingine aitwa 'Guardian Angel?' Ndoto kutoka shetani.
Kwa sababu ya mahubiri potovu watu wamepokea wokovu feki, Roho Mtakatifu anapokaa ndani yako hawezi kukuongoza kuvaa jaini, rastafara, kanisani, hao wanamatatizo na Mungu.usiano wao sio Muzuri
Bwana YESU azidi kukutunza mtumishi
Umesema ukweli mtupu kuhusu wanaojiita wachungaji nchini Kenya. Wao ni kundi la walimwengu, wanaojihusisha na uchawi, wake wengi, na wanavaa kama wale waliopagawa na mapepo. Jambo la kusikitisha zaidi ni kwamba washarika wanawaruhusu kuwawekea mikono. Huwezi kupata mchungaji kama Yohana Mbatizaji ambaye alimwambia Herode ukweli kuhusu uhusiano wake na Herodia.
Waaambie mtumishi,,sisi wakenya tukisema tunaambiwa tuna wivu na mafanikio ya wengingi.🥲💔
Yani Mimi nilinyoa nywele zangu jamani nilikuwa mbishi Mungu hataki nisuke nilivyolazimisha hahaha nikisuka nasukwa hovyoo napoteza pesa yangu aah nikaamua kutii na kunyoa nikaacha kupaka mavipodozi malipstik nikaacha Bwana Yesu kanitengeneza nilikuwa siwezi kuacha ahsante Yesu, vipodozi, mavazi ya hovyo na kusuka huendi mbinguni mwanamke.
@neemamsanga253
10 күн бұрын
àmina 🙏
Asante mungu anisaidie nimalize salama safari ya kwenda kwake, nikiwa Moçambique nayapenda sana mafundisho ya bwana.❤
Asanti sana mungu, ubarikiwa sana MTUMISHI 🙏🏻 🙏🏻 🙏🏻 ❤❤
Kweli kabisa hawaeleweki wanaenda wapi ama wanamtumikia nani
Ubarikiwe sana Mchungaji 🙏
Mungu wangu
MUNGU aturehemu na atuongoze amen ubarikiwe mtumishi wa MUNGU 🇰🇪
Sema kweli maana watu wamechanganyikiwa shetani amewateka watu kwa fedha na kufanya watu wamuasi Mungu,Ee Mungu tusaidie
Asante kwamafundisho mungu azindikutiya. nguvu
Amen amen mtumishi wa MUNGU 🇰🇪
Hao ni wana wa giza, alama ya Mungu iliwatoka.
Imagine afadhari wache kuwazia na nyimbo injili waazie nanyimbo za dunia because wanalihaibisha kanisa la mungu
@rogersjoseph7363
8 ай бұрын
Waimbaji wengi wamegeuka na kuwa vibaraka vya kuzimu badilika mala moja yesu anarudi yeye ajaye anakuja wala hatakawia
Mungu atusaidie, pekeyetu hatuwezi,hivyo barikiwa sana baba
Bahati agemuoa mwanamke mucha mungu,ata wa waleo agekuwa ana mtukuza Mungu but akapatana na mpeda rahaha
No pastor here in Kenya can say that .washirika watakimbia
Amen
Mungu akubariki tunaendelea kutubu ili Mungu aturehemu
Amina Mtumishii wa Bwanaa
Mungu atuhulumie
Piga kelele usiache pazasautiyako kama tarmbeta uwambie watu wangu kosalao 🙏🙏
Mkristo utafugaje nywele kama mwehu kwanini ku act kama mad person wakati uko mzima? Kuna Nguvu chafu inawasukuma wa chane hiyo style.
Amen 🙏 man of God 🇰🇪 asante napenda ukweli wako
Shukrani sana nduguye.
Kwakweli unatufunulia mengi, ubarikiwe baba Casiani
Amen 🙏🙏🙏 mtumishi Mungu aturehemu
Huyu Mungu aturehemu sana maana tunasikia lkn ni kama hatusikii au kuona jaman jaman 🙆🙆🙆🙆🤷🤷🤷🤷🤷🤷🙌🙌🙌🙌🙌
Tuombeeni sisi, ushonga umejaa nchini Kenya,
Eee MUNGU mwenye rehema uturehemu,,,utupe moyo wa kupondeka na kunyenyekea MBELE zako BWANA YESU KRISTO,,,,weka hofu na woga ndani yetu tukuogope wewe zaid kuliko kuwaogopa wanadamu,,,,tukimbie dhambi,,na tukukimbilie wewe YESU KRISTO TUBADILIKE KATIKA ROHO,,NA KATIKA MWILI PIA.
You are right God bless you so much
Amen blessed❤
Good
Asante mtumishi ume gonga ntipo mungu akuinue 😭🖐️
Mungu aturehemu sana ubarikiwe Mtumishi wa Mungu
Mchungaji nimekubaliana na wewe unasema kweli kabisa linet Mimi ni mkenya siezi tetea dhambi
Amina sana baba Mungu atuongoze sana
Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu 🙏
Ubarikiwe sana paschal.
Amina!
T Aman of God you are saying bitter truth Expose them they are many hiding like guardian angel namushangaa huyo mwanaume hadi anatapoa masikio end times
Umesema kweli kabisa Kenya waimbaji hamna MUNGU atuokoe
Eeeh Bwana katika wingi wa gadhabu yako kumbuka rehema
Samson,John the baptist wore dreadlocks. Everyone in Nazareth,all Nazarenes like Jesus wore dreadlocks. Waafrika tembeeni mataifa mengi muone na kujua mengi
Sema Baba tunakuombea
Wala sisikii gospel ya Kenya maana hakuna
Kaa jamani sema
Amen 🙏
Ameen
Ubalikiwe.onya kalipia kemea dhambi kabisa
Waimbaji wengi wanaodai kuwa kwa yesu hawapo naye tena
@carolinederi5690
8 ай бұрын
By the way tusiangalie waimbaji tu though ni role model ila kila mtu atabeba msalaba wake so tujiengalie pia
EeeMungu nisaidie nimalize huu mwendo salama😢🙏🙏🧎🧎
Bahati alivalishwa marinda 😅😅
Diana shes not good wife for bahati
Pastor kale kajamaa kanaitwa bahadi ni kaajendi kaa shetani kaambie ukweli
Ee Mungu tunusuru tumekosa tusamehe kumbuka rehema
Hiyo ni ukweli kabisa
Nikweli kabisa amepotoka kabisa
Cassian, ni ukweli mtupu unasema. Kwa mfano humu Kenya kuanzia Disemba watoto watakaozaliwa wataanza kupandikiziwa Micro-chip
@lucywilson5875
8 ай бұрын
Mungu wangu!!!!!!!!!!!
@carolinederi5690
8 ай бұрын
It will not happen in Jesus name we demolished every evil plan upon our country
Bahati alikuwa amesimama hadi pale Hawa alipopindua maandiko kule Bustani akampa tunda😂my Kenya land sihami😂Ila SIO KENYA TUUU NI DUNIA YOTE
Amen
N ukweli kabisa mtumishi wa MUNGU 🇰🇪