HISTORIA YA MWAMPOSA/NGUVU YA UPAKO/MIUJIZA/UTAJILI WAKE/BIASHARA ALIZOZIKATAA
Ойын-сауық
#dullysantz#santzmedia#mwamposa
Hii ni historia ya kweli kabisa kumuhusu mtume na mtumishi wa mungu Boniface MWAMPOSA
•wapo Wengi walioponywa na mtume huyu ila hawakuwahi kuyajua historia yake ni wapi alipotokea, niwapi alipozaliwa,ilikuwaje kuipenda dini wakati alishakuwa mwanaharakati na mfanyabiashara mkubwa
•yapo mengi kumuhusu mtume huyu ila ningekushauli uitazame video hii mwanzo Hadi mwisho ili uweze kujibiwa majibu Yako yaliyoko kichwanj mwako Kwa ufasahaa zaidd
•pia kama umevutiwa na makala hii ,unaweza ukachangia chochote kama sadaka Ili kuweza kukuza na kuendeleza channel yetu 🙏🙏
°Nmb no:
23310019136
(ABDUL HABIBU ABDUL)
°AIRTEL MONEY no:
0683171338
(ABDUL HABIBU ABDUL)
°HALOTEL PESA no:
0629509538
(Zuhura Mohamed Rais)
YEYOTE ATAKAECHANGIA MUNGU AMBALIKI SANA💌 AHSANTENI
• dullysantz@gmail.com
©2022
Пікірлер: 357
Mungu akuweke kwa ajili ya yetuu mtumixhii tufungulie kwenye vifungoo vya muovu
Mwamposa ni mwema sanaaaaaaaaaaaaa mungu akuweke baba
Apostle Mwamposa is the great true and genuine servant of God
Mungu akupe maisha marefu uendelee kusaidia wengi.❤
Amina sana mtumishi mwamposa nakupenda sana mtumishi wa mungu
Mungu akuinue na zaid ukasaidie watu dinia nzima na uwe mfanyabiashara wa dunia nzuma
Acha mungu azidi kumbariki mwamposa hakika mungu anamtumia kikamilifu sana
Mungu azidi kukubariki mtume,na uzidi kukupakibali kuendelea kiponya watu
KW upako WA dodoma naaminikuwa nitakuwa tajiri ghafla, mungu akupe maisha marefu
@AshaZephaniah
8 ай бұрын
Mwamposa mungu Ampe maisha marefu azidi kuwafungua watu
Mtumishi wa mungu mwposa naitwa Killian naomba uniombee sana na MUNGU akubariki
Ubarikiwe baba
Hata bwana Yesu alitukanwa tufundishe mtumishi wa Mungu.hawajui wasemalo wapotezee
Napokea upako Kwa jina la yesu na kufunguliwa mahusiano yangu Ameen
Ameena na mm ninaimani nitafunguliwa na kupata nyumba na kazi na gar na watoto kwakuwa Kwa mungu inawezekana ubarikiwe
@Santzmedia
10 ай бұрын
Utabarikiwa Zaid ukishawishi na wenzako wafahamu na kumjua mtume Boniface mwamposa , Kisha waendelee kutazama na kuwajua Mitume wengine Kwa kusubscribe channel hii🙏 SAN TZ MEDIA inakutakia Maisha Mema
Mkuu Mungu wa mbinguni aendelea kukuinua viwango vya juu Dunia
Mungu aendelee kukupa nguvu mtumishi kwa maono noliyo yapata kwa maji na mafuta
@Santzmedia
8 ай бұрын
Na wewe pia
Ujui historia ya mtumishi huyu mwehu wewe.
Mungu akurinde na wabaya wote uwendereye kusaidiya watu kupitia kazi ya mungu
Amina tunamshukuru Mungu aliekuumba mtumishi Neema yake Mungu isikupungukie
@Santzmedia
6 ай бұрын
Endelea kusambaza video hii kwa wale wasioiona wabarikiwe zaidi
Mutume..niombee.. Nibarikiwe
Ubarikiwe baba ang mwenyzimung akupe maish maref uzid kutufungua wanao ameeeen..
Mungu akulinde unatufundisha kumjua Mungu zaidi ya miujiza nami napokea uponyajii mtumishi wa Mungu.
Nakuamini sana weww baba tena sana naomba unisaidie kupiti mazabau unayo ihabudu
Mungu akutie nguvu uendelee kutuombea mungu akubariki
Nimebalikiwa Sana namaombi ya mtumishi huyu Mungu akubaliki baba
@Santzmedia
Жыл бұрын
🙏🙏🙏
Mungu azidi kukutumia baba, uishi miaka mingi ya kuwaombea watanzania
mungu aendelee kukupa nguvu naomba nipokee upo uponyaji kwa jina layesu
Mungu naomba nizidiwe na wateja kwenye biashara yangu naomba mume sahihi nipate na watoto
@marksulle6120
Жыл бұрын
Mambo veep unaishi wap
Mungu akubarik uzd kutuombea wahitaj ma mahitaj mbalimbali ajira, ndoa nzuri
Mungu akupe maisha marefu mtume
Mwenye mungu akutuze ili uendelee kufungua wangu ukweli utabaki kuwa ukweli kuwa wewe nimtushi wa mungu uriye itwa kuwafunguwa waliyo fungu ❤
Mungu akupe maisha malefu mtume
Haumjui mwamposa unasimulia Mambo ya juzi tu
Mungu amlinde Aishi miaka elf moja
Mungu akubaliki mchungaji
The most powerful man of God,Mungu akuwekee mtumishi wa Mungu
@Santzmedia
Жыл бұрын
Usisahau ku Subscribe ili kuwajua watumishi wa mungu zaid
Nakupenda babangu mwamposa
Ubarikiwe baba mngu akupe Manisha marefu
Ubarikiwe mtumishi
Ubalikiwe baba uishi maisha malefu
Glory to God, and God bless you 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Ubarikiwe kwa ufafanuzimzuri
Mungu akupe miaka mingi ya kuishi umenisaidia sana saiv natamba kwa muujiza wa mungu
@Santzmedia
Жыл бұрын
🙏🙏
Kwa upako uliouacha Tabora sasa mvua zinanyesha ubarikiwe mtume Tabora neema imetawala Ameeen
@Santzmedia
Жыл бұрын
Ubarikiwe sana
@anodearsulusi7536
Жыл бұрын
Kumbe yeye ndo analet mvua
@magejofrey8466
Жыл бұрын
Ee mwenzi mungu naomb unibark mim n maish yngu
@halifaalliy6332
Жыл бұрын
Huyu ni balaa maombi 12 yamejibiwa 3 ndani ya wiki moja ni neema
@lucykapinga369
Жыл бұрын
@@halifaalliy6332 mmh!
Kweli kabisa mungu aendelee kumutiya nguvu mtumishi wake🙏🙏
@Santzmedia
Жыл бұрын
Amina Ila Endelea kuufuatilia SAN TZ MEDIA Subscribe mapema
Ameen na mm napokea miujiza Kwa jina la yesu ameen
Mungu akueke sana baba
Mungu amzidishie na kumbariki
@Santzmedia
Жыл бұрын
💓
Mungu anifungue katika vifungo vyote
Bravo BABA! KAZI IENDEELEEEEE
@Santzmedia
7 ай бұрын
Good
Mungu akutunze babaangu
😭😭😭😭 Baba naomba unisaidi
Ubarikiwe MUTUMISHI WAMUNGU nabarikiwa sanaa AMEEEEEEEEEEEE🙏🙏🙏
@Santzmedia
Жыл бұрын
Ubarikiwe sana na ww
❤❤❤❤ aman
Mungu akutunze mtumishi
Mungu akuinue Zaid mtume
Mtume was bwana ninaombi langu naomba mungu anitendee
Mungu akutunze Baba.
❤❤❤❤❤ubarikiwe sanaaaa baba
Mtumish wamung mm nataka unisaidie
Mungu azidi kumpa mahono ya kufunguwa watu na kumbariki
Nazidi kuona mafundisho Yako muheshimiwa mtumishi was Mungu
Hongera yakoooo
Barikiwa Mtumishi
Mungu akupe maisha marefu 3:57 4:07 4:14
Huyu SI mtumishi wa Mungu
Napokeaa upakooo na meme
@Santzmedia
7 ай бұрын
Amina
Ee mungu nipe hekima niyajue mapenzi yak amin
@Santzmedia
Жыл бұрын
Milele Amina uzidi kubarikiwa
Acheni kudanganya watu. Mungu sio wa hivyo. Yaani aongee na Mungu?
Please pray to us ee servant of God!!!
Mungu akusimamie uishi miaka mingi Ameen 🙏🏼
@Santzmedia
10 ай бұрын
Ameen
@naishiyemollel
9 ай бұрын
Shalom naomba Mtumishi uniombee mungu amponye mume wangu kidonda
Mungu amlinde
Mimi ni mtumishi mwalimu lakini mchungaji mapato yangu hayaonekani hata kidogo naomba msaada wako mchungaji nimependa Sana mafundisho Yako.asanteni
Mungu akutunze baba
Bwana yes asifiwe, naitw Aisha kutok kigambn naomb uniombee nipate watto
Today umeniombea kazi nimepata nakushukulu
MUNGU ambariki mno mtumishi wetu nimejifunza mengi Sana kutoka kwake hasa kiroho Asante Sana babaa🙏
@Santzmedia
Жыл бұрын
Pia usiache kuifuatilia SAN TZ MEDIA
@neemamselewa6701
Жыл бұрын
Mungu azidi kumwinua babayetu
Ubarikiwe baba yetu
Naomba mazabau ya mwamposa yanisaidie kupita mafuta na maji mana mm napitia shida sana Tena sana
@user-ic4fk7gy4g
7 ай бұрын
Familia yangu inateseka sana Tena kunamambo ya natusumbua naomba mwamposa unisaidie mungu akubaliki
Sawa sawa
Mungu azidi kukubariki Mtumishi. Kama Mungu akikuwezesha jenga Kanisa kubwa kuliko uwanja wa Mkapa kwani kwenye uwanja wa Mkapa tulikaa wengi inje ni kipimo chako kuwaza Kanisa kubwa na liwe na orofa kama 4 bado waumini waweze kukuona vizuri. Na uwe na Kituo hicho ili watu tuje kukuona hapo. Uwe na safari za Mikoa mara chache kwa sababu hakuna viwanja vya kutosha kuweza kubeba watu wanao kutafuta hata kukuona tu.
@Santzmedia
Жыл бұрын
🙏🙏🙏😊😊
Napokea dabo
Siyo kweli mm historia yake naifahamu vizuri
@Santzmedia
8 ай бұрын
Ahsante kwa kuifahamu vizuri "Tupe madini nasisi Tujifunze kupitia wewe . Ahsante
Mungu akupe miak ming bab
Bwana yesu asifiwe mtume
Nakushukuru mtumishi wa mungu
Mtoa history uneruka vipengele vingine Ving tuu,hujataja sehemu alizopitia kutoa huduma hujataja umeng'ang'ania Zambia tuu
@Santzmedia
Жыл бұрын
Shukran next time mambo yatakuwa sawa tu
@mwashambwacharle5750
Жыл бұрын
Hujataja alizaliwa mbeya sehemu Gani?
Naomba uniombee mtume nifanikiwe kibiashara na ndoa naitwa Maria msangi
Naomba unibariki nipate mtoto
@user-rd6lf7gd1j
6 ай бұрын
Nina mwaka wapili sijapata mtoto nilikua nakuomba uniombee kwa umezo wa munguu
Mungu kwa kweli we wajua sababu
@Santzmedia
Жыл бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi wa mungu 🙏🙏 ila Usisahau SUBSCRIBE Yako ni muhimu sana pia usiache kuufuatilia SAN TZ MEDIA Ili uendelee kuwafahamu zaid mastaar ote wa TANZANIA
Ameen 🙏 uishi miaka mingi
@Santzmedia
Жыл бұрын
Vzr subscribe Ili uweze kupata mapema kbs na uwe mtu wa kwanza kupata story zetu zitazokuja na tupate maoni yako
Ishi sana mtumishi 🙏🏼
@Santzmedia
Жыл бұрын
🙏🇹🇿
Naomba uniombee naitwa sara
Mungu 😭😭😭😭 akunde sana
Hilo Kanisa liwe karibu na mjini kwani Kanisa liweze kufikika kwa watu wote wenye mahitaji. Pamoja na Mungu wetu yanawezekana.
@Santzmedia
Жыл бұрын
Kanisa lake liko kawe
Amen
Ubalikiwe
Napokea
Atashindwaje kutajirika.
Haachane na uongo awaache watu wamuue mungu wa kweli katuzalilisha watu wambeya tunampenda mungu yeye sijyi niwawapi na nguvu zake za hiza
@Santzmedia
Жыл бұрын
😂👊👊
@sarahedwin9841
11 ай бұрын
Kwan umelazimisha kumuamini nguvu za giza ulimpa ww acheni ushwahili amini unachoamin acha sisi tupokee upako Dabo dabo