No video

UFUNGUZI HOTEL YA MTUME MWAMPOSA G7 WONDERS MBEYA

Kuendelea kupata mafundisho mengine zaidi tufuatilie kupitia mitandao yetu ya kijamiii:-
Facebook : / gospeltvshow
Instagram : / chomozanews
KZread : kzread.info?su...
#ChomozaTv#2022

Пікірлер: 187

  • @evamkonyi1642
    @evamkonyi1642 Жыл бұрын

    BINADAAMU kazi sana....mlitaka Asifanikiwe ili mseme,,, biblia inasema baba yetu wa imani Alikuwa Tajiri wa pesa na mali....uishi miaka mingi mtumshi wa MUNGU mwamposa umefanyika baraka sana kwa mamilioni wanakufatilia Amina

  • @prophetnkoronko1990
    @prophetnkoronko1990 Жыл бұрын

    Watu wengi wanamtazamo kwamba watumishi hawawezi kufanikiwa ,acha Mungu amuinue zaidi ,

  • @dianamakyara4210
    @dianamakyara4210 Жыл бұрын

    Acheni kuwasema watumishi wa Mungu,Kwa Nini wao wakifanikiwa mnachanganyikiwa,Mungu anaemtumikia ni tajiri sio maskini,nampongeza sana Mwamposa,natamani Kila mkoa ujenge hotel vijana wa Tanzania wapate Ajira. Hongera sana Mwamposa

  • @akimu-gl7zp

    @akimu-gl7zp

    Жыл бұрын

    Kwaio mungu anambaliki yeye tu. Waumini mungu hawasikii maombiyao? acheni hizo. Tambuenikua dunia itakunjwa kama karatasi. Nyie jisahauni namapambo yadunia siku inakuja

  • @mariamfritsi4943
    @mariamfritsi494310 ай бұрын

    Siku yoyote ile Mungu akinijaalia nitafika hotelini hapo kwa mtumishi ,kwani ina mandhari mazuri sana,ubarikiwe mtumishi.

  • @evamkonyi1642
    @evamkonyi1642 Жыл бұрын

    Hongera my dday.....MUNGU Aendelee kukuinua kama baba yangu Anavyozidiwa na mafanikio ndivyo nitakavyozidiwa na mafanikie kwa jina la YESU

  • @xhamzy
    @xhamzy Жыл бұрын

    nabii na hotel ni vitu viwili tofauti unaacha kujenga nyumba za ibada munafanya dini kitega uchumi

  • @gideongerald2846

    @gideongerald2846

    Жыл бұрын

    Kwani YESU alijenga wapi kanisa?

  • @paschalpaul3862

    @paschalpaul3862

    Жыл бұрын

    Na wewe anzisha dhehebu la kwako ili upate sadaka

  • @denismlwati3285

    @denismlwati3285

    Жыл бұрын

    Nashangaa sana

  • @angeldenis8262

    @angeldenis8262

    Жыл бұрын

    Una kazi ya kufanya acha rongorongo

  • @paulmbogo2141
    @paulmbogo2141 Жыл бұрын

    Hotel nzuri Sana, ila sijuwi kwanini nawiwa kuona hii GHARAMA ILIYOTUMIKA HAPA, INGEKUA NI JENGO LA IBADA, YAANI MBEYA NZIMA TUKASEMA HAKUNA JENGO KUBWA, ZURI LA KISASA KAMA YA AKINA OYEDEPO, TB JOSHUA N.K, MBEYA AU TANZANIA NZIMA, MTUME ANA WAFUASI WENGI, ASISAHAU NYUMBA ZA IBADA!!

  • @happinesslugiko2150

    @happinesslugiko2150

    Жыл бұрын

    Unaijua miradi ya hao ulowataja?

  • @MagrethKatondo-qs9oz

    @MagrethKatondo-qs9oz

    14 күн бұрын

    Mmmhhh jamani haya ni ya dunia tu yanapita tutaandamana na matndo tetutu mena

  • @vikimartin9441
    @vikimartin9441 Жыл бұрын

    Kiukweli,mwaka Huu,2023 nikipata kibali Cha kwenda mlima wa maamuzi MBEYA na Mungu akanipa mume na ndoa, nitatamani honeymoon iwe G7.

  • @Summerbtz

    @Summerbtz

    Жыл бұрын

    Mungu akupe haja ya moyo wako Pokea kibali mwaka huu mwaka ukawe na neema na baraka kwako

  • @edwinmbwilo6128

    @edwinmbwilo6128

    Жыл бұрын

    Huo mlima wa maamuzi unaitwaje?

  • @salmahassan3521

    @salmahassan3521

    Жыл бұрын

    ukitoka uko honeymoon na majini ya mafarakano kibao

  • @sophiekinyonga3182

    @sophiekinyonga3182

    Жыл бұрын

    @@salmahassan3521 ni vem kuw kimy

  • @danieljonathan6619

    @danieljonathan6619

    Жыл бұрын

    Kwenda kuzoa mapepo ya uzinzi

  • @neemagidion302
    @neemagidion302 Жыл бұрын

    Matunda mazuri sana Kumtumikia Mungu kuna faida be blessed more my spiritual father

  • @magretkijanga6038
    @magretkijanga6038 Жыл бұрын

    Maskini ya Mungu,watu wanakimbilia mafuta kumbe wengine wanaingiza siku🤣

  • @msuhahappy7016

    @msuhahappy7016

    Жыл бұрын

    Unasahau kuna wema wake hapo kuna ndugu zetu wanapata ajira mtumish kaajir watu weng mno wanakula na kusomesha kupitia yeye bado wafanya biashara kawe wapo kwa kuwa yupo wanapata kipato na maisha yanasonga mnapojadili angalien mmeisaidia jamii kwa kias gani

  • @AmeldaKavishe-ry9ow

    @AmeldaKavishe-ry9ow

    Жыл бұрын

    Ukifanya kazi na mungu lazima upewe vitu vikubwa namarifa yajuu ulitaka asibarikiwe

  • @piusmdoe3200
    @piusmdoe3200 Жыл бұрын

    Hotel ni nzuri,uwekezaji ni mzuri. Chanzo cha pesa za uwekezaji ndio shida. Hivi hii hotel mmiliki ni kanisa ama ni mtume,kama ni mtume haya bwana

  • @alenyema7738

    @alenyema7738

    Жыл бұрын

    Ukiona rahisi na wewe kuwa mtume mkuu

  • @ruthmosesmasanja6502
    @ruthmosesmasanja6502 Жыл бұрын

    Hongera sana Mtumishi wa Mungu, Mungu azidi kukuinua. Tunakuombea sana baba yetu

  • @mankacharles4559
    @mankacharles4559 Жыл бұрын

    Za kuambiwa changanya na za kwako

  • @princetygah_inspiration5912
    @princetygah_inspiration5912 Жыл бұрын

    Kashapga hela zake za maji.. Alizo changiwa na akina mama... fresh..

  • @eaglecrown6470

    @eaglecrown6470

    Жыл бұрын

    Kwenda huko

  • @geofreyg.mtensa4559

    @geofreyg.mtensa4559

    Жыл бұрын

    @@eaglecrown6470 jamaa kasema ukwel, apo watu watazini, zitauzwa pombe, daaah ...mashaka nishayapata mm

  • @eaglecrown6470

    @eaglecrown6470

    Жыл бұрын

    @@geofreyg.mtensa4559 MUNGU wa kweli atajibu juu ya nafsi zao kumhusu MUNGU wa kweli.

  • @marynice318
    @marynice318 Жыл бұрын

    Hungera baba 🙌❤️❤️ nataka na mimi nibalikiwe kama wewe kwenye mazabao yako ninayo sari nipate majumba magari viwanja pesa nyinge💸na za kuwasaidia watu wasio jiweza

  • @Bitlontravels555
    @Bitlontravels55510 ай бұрын

    Great Hotel! God bless his servant. Hii ni baraka.

  • @wiliamvicentewiliam4903
    @wiliamvicentewiliam4903 Жыл бұрын

    Mwamposa Mungu wa mbinguni YESU Cristo akusamehee sana.ibu rudi kwenye ukweli uwo ni winzi tupu

  • @IssaIbrahimu-gw5cs
    @IssaIbrahimu-gw5cs3 ай бұрын

    Na mimi nitafanya mambo makubwa kwa jina la Yesu kristo

  • @floramongi1410
    @floramongi141010 ай бұрын

    Yesu akasememaq enendeni duniani mkaihubiri injili mkawafanye watu kuwa wanafunzi wangu wala msiitamani dunia na mambo yaharibikayo msipende fedha muwe na kiasi kwani hayo yote ni ubatili

  • @yasinijuma6646
    @yasinijuma6646 Жыл бұрын

    Ameen ameen na mimi naomba MUNGU unibariki nifaye mambo makubwa bila kujali maneno ya wakosaji

  • @ombendaud5938
    @ombendaud5938 Жыл бұрын

    Ni hatari yaani hela tulizopigwa na kudanganywa yeye anajenga hotel sisi tunapokea kwa imani.Mwamposa mwamposa mnatuibia

  • @evelynekomba7216

    @evelynekomba7216

    Жыл бұрын

    Ha haahaa jameniii

  • @stellamsokwa6785

    @stellamsokwa6785

    Жыл бұрын

    Sema naibiwa acha kutujumuisha tunaobarikiwa we vip 😏

  • @liberatimsoma9742

    @liberatimsoma9742

    Жыл бұрын

    Acha roho ya chuki ndugu. Usishindane na mtumishi wa bwana. Acha awe mfano mzuri nakwa watumishi wengine wajue mali na vitu vyote vya dunia vinatoka kwa mwenyezi Mungu.

  • @ombendaud5938

    @ombendaud5938

    Жыл бұрын

    @@liberatimsoma9742 Yaani wewe anavyotuuzia mafuta na maji unaona sawa.Afungue kiwanda cha mafuta auze ya kupikia ila siyo ya upako wakupata hela halafu yeye tunampatia hela.Siyo vzr

  • @floramongi1410

    @floramongi1410

    10 ай бұрын

    Kama ni mtumishi mbona alisababisha wachagga wakafa vile na hakufanywa chochote hata kakobe alivuma sana lakini Yako walk tunajua utjiri na heshima vinatoka Kwa Mungu ila sio wa kuuza neno la Mungu

  • @marthamahule3346
    @marthamahule3346 Жыл бұрын

    Waooo!! Waooo! What a big blessings to area people!! May his name be glorified, Be blessed Apostle for such Investment, So wonderful 🤣🙏

  • @romanafrancis265
    @romanafrancis265 Жыл бұрын

    Mungu kakubariki kama alivyo mbariki Ibrahim, so usijali maneno ya wanadamu, hawakosagi lakusema, kama wanajua ulitapeli ndo ukawa tajiri nao siwakatapeli kwani utajiri hawautaki,

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 Жыл бұрын

    Najiulizza hii Hotel si inaweza kuwa chanzo cha uzinzi?Natamani angewekeza kingine hata shule chuo,hosp,bank, etc.

  • @danieljonathan6619

    @danieljonathan6619

    Жыл бұрын

    Umeonaeeee uzinzi mtupu humo

  • @nurunswebe4203

    @nurunswebe4203

    Жыл бұрын

    Wewe simzinzi lazima uwaze uzinzi

  • @atmcademy5435

    @atmcademy5435

    Жыл бұрын

    Kwan izo biashara ulizotaj aziwez kuwa chanzo cha maovu ..au upeo wa kufikir n mdogo..unakuw km yuda alivyomshauri Yesu...tuuze tugawie maskini

  • @benondominic1475

    @benondominic1475

    Жыл бұрын

    Shule wanafunzi ushoga.. hospital wanatoa Mimba..chuo ndio usisesema kila kitu kimekaa kimauv 😃

  • @nsajirobert

    @nsajirobert

    Жыл бұрын

    Sophia kimaro inategemea kuna siku moja nililala lodge moja karibu na stand kuu pale mbeya kama huna ndoa huwez lala na mwanamke pale ni utaratibu walio jiwekea

  • @floramongi1410
    @floramongi141010 ай бұрын

    Sisi hatuna wivu hata sisi tumejenga ila ukweli utajulikana kama alivyosema yoshua naijulikane leo Mungu wenu na Mungu wenu nani ni Mungu wa kweli

  • @elishaobadia8829
    @elishaobadia8829 Жыл бұрын

    Pesa za maskin Wanao LALa na njaa

  • @magretkijanga6038

    @magretkijanga6038

    Жыл бұрын

    😄😄😄😄

  • @nsibwenekaswaga6267
    @nsibwenekaswaga6267 Жыл бұрын

    Be blessed

  • @danieljonathan6619
    @danieljonathan6619 Жыл бұрын

    Watumishi wa mungu nao wanajenga majumba ya uzinzi!!!! Mungu tuponye,watu kujidanganya eti kitu cha thamani ni mali hapana cha thamani ni Roho anayoitafuta Mungu kila siku,acheni upumbavu kusema kabarikiwa mwizi huyo.

  • @roselugendo6943
    @roselugendo6943 Жыл бұрын

    Hongera baba. Mungu azidi kukuinua

  • @jamesjanuary6707
    @jamesjanuary6707 Жыл бұрын

    Mimi nasikitika watumishi wa Mungu kujenga sehemu ya kufanyia uzinzi

  • @maryandason1815

    @maryandason1815

    Жыл бұрын

    True Kwan ye amejenga kwa ajili ya Kaz ya uyo mungu wake,anemjuwa yye

  • @AvatiNdoghwe-od4hp

    @AvatiNdoghwe-od4hp

    Жыл бұрын

    Mcheza kwao hutunzwa mtumishi mungu akutunze niombee namimi nifanikiwe pamoja na Imani yangu nimefurahi sans hoteli nzr sans ameni

  • @floramongi1410
    @floramongi141010 ай бұрын

    Kwani hajajenga kanisa basi ni shida Mungu alisema katika malaki majenga nyumba nzuri mvua ikinyesha mnaiacha nyumba ya Bwana mnakimbilia nyumba zenu nzuri jamani!!!!!!!!!

  • @shashikantgajjar8941
    @shashikantgajjar8941 Жыл бұрын

    Nice Congratulations Baba

  • @martinisadru9899
    @martinisadru9899 Жыл бұрын

    Hongera sana mtumishi, MUNGU akuzidishe sana kama sulemani

  • @denismlwati3285
    @denismlwati3285 Жыл бұрын

    Wanaofanikiwa kwa Hawa jamaa wahuni labda udange na uibe bila ivyo utaishia kua maskini tu mpaka mwisho

  • @angeldenis8262

    @angeldenis8262

    Жыл бұрын

    Shda zako ndo zinakusubua

  • @emmanueljosephati3192
    @emmanueljosephati3192 Жыл бұрын

    Yeye anawapa maji Mnapa pesa and then anajega maotel wajiga ndo waliwao huyu agent wa shetani kibieni tafuteni ijili ya kwel abayo inawahimiza kufanya toba na kwenda mbiguni!?

  • @edinakyaruzi9226

    @edinakyaruzi9226

    Жыл бұрын

    Mama angu umwambii kitu nipesa akose tu ndio hatoenda

  • @happysophyr.mbasha2339

    @happysophyr.mbasha2339

    Жыл бұрын

    Siyo kosa lako, ndo kiwango chako cha kufikiri. Nahuko mbinguni utafika ukiwa hoi sana, maana unaishi kwa kukariri

  • @sophiekinyonga3182

    @sophiekinyonga3182

    Жыл бұрын

    Vp sis tunaoyaombea maj n mafut ya kupikia yakiw nyumban na tukapokea kufunguliw uponyaj uchum app tunamtajirisha nn unaropokwa tu wewe mtafute mungu kwa bidii ayo yote utazidishiw

  • @fredaandrea303

    @fredaandrea303

    7 ай бұрын

    Wengne hata hatujawah hata kufika ila tunasaidika sanaa kwa iman hakuna mkamilif ni Mungu peke

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 Жыл бұрын

    Mwenye macho haambiwi ona, jamani tufungue macho . Kama asemavyo yeye mwenyewe "SHINE YOUR EYES '

  • @fellisianholle9431
    @fellisianholle9431 Жыл бұрын

    Kazi nzuri

  • @shujaanduna2050
    @shujaanduna2050 Жыл бұрын

    Wanamchangia wamebaki maskini ye anatajirika.Kwa kuuza neno la mungu na maji,mafuta,nk na miujiza ya kishetani.

  • @stellamsokwa6785

    @stellamsokwa6785

    Жыл бұрын

    Ushindwe wewe ndo maskini.... Shubamiti zako mimi nachangia ipasavyo na MUNGU kanibariki pakubwa tu kulingana na kujituma kwangu.... ACHA mawazo ya kifukara.... Inuka na ungaze wewe

  • @wilfredisack6447

    @wilfredisack6447

    Жыл бұрын

    Kuwa mtume na ww uchangiwe kama n rahc ... utume n wito..Sio biashar kama unavyofkiria

  • @hildamsumal8628

    @hildamsumal8628

    Жыл бұрын

    unauhakika naunacho ongea au ndio roho yaki maskini inakusumbua.tafuta hela uwache kusumbuliwa na mafanikio ya watu 😏😏

  • @sophiekinyonga3182

    @sophiekinyonga3182

    Жыл бұрын

    Mawaz yako n pumba unapotoa ndipo unapobarikiw ujaijua hiyo Siri? Bak n mia mbili yako uiban kam utaongezeka tutampa mpka mwisho we waumia wap ushindwe kwa jin la yesu

  • @adventinarwegasira2341

    @adventinarwegasira2341

    Жыл бұрын

    Majibu ulojibiwa nadhani yamekutoshaaa

  • @margaretkapolesya3979
    @margaretkapolesya3979 Жыл бұрын

    Congratulations Daddy...MUNGU AZIDI kuzibariki kazi za MIKONO yako

  • @BettyMsongole
    @BettyMsongole4 ай бұрын

    Hongera baba tunaiona huduma yako inatuponya wengi

  • @osanamgallah4297
    @osanamgallah4297 Жыл бұрын

    PESA mnazo tapeli watu wala sio mkono wa Mungu wa mbinguni.. Endelea kupotosha watu ili uendelee kujinufaisha na familia yako ..utalipwa na Mungu

  • @liberatimsoma9742

    @liberatimsoma9742

    Жыл бұрын

    Ndugu uyo Mungu unaye muongelea ambaye sio wa mwamposa anaye mhubiri ni yupi uyo tunaomba somo. Kama huna mwombe msamaha muumba wako usimkufuru Mungu kwa kukejeli watumishi wake. Uwekezaji ni ajira kwa wengi pia serikali itapata kodi ambazo zinasaidia taifa kwa ujumla pasipo kubagua yeyote.

  • @denismlwati3285

    @denismlwati3285

    Жыл бұрын

    Eti muhubiri nabii ana mahotel duu Atari sana

  • @Churchofecclesia

    @Churchofecclesia

    Жыл бұрын

    Wewe famba kweli unaongea pumba gan unataka wasifanikiwe kwenda huko na roho yako ya umaskini

  • @Churchofecclesia

    @Churchofecclesia

    Жыл бұрын

    @@denismlwati3285 ww ulitakaje awe maskini mbna maagent wa kuzimu wakifanikiwa hampig kelele nyie ndo wachawi wenyewe msiotaka WANA WA MUNGU wafanikiwe halaf mnajiita wakristo, nyie ni makristo wa uongo hamn maana katika kuujenga UFALME WA YESU KRISTO bali ni kuubomoa

  • @osanamgallah4297

    @osanamgallah4297

    Жыл бұрын

    @@Churchofecclesia huyo ni WAKALA WA SHETANI hakuna mtumishi hapoo...WAKALA WA KUZIMU...funguka machooo..

  • @mkambatoleojipya5710
    @mkambatoleojipya5710 Жыл бұрын

    Wote wanao saport mafanikio ya huyu jambazi wa kutumia akili ni wale wanao umia na mafanikio yake wenyewe wanabaki kusubiri pokea miujiza kwa kukanyaga mafuta na kujitoa sadaka wao wenyewe kwa mafanikio ya mwenzao polen sana kwani mnaangamia kwa kukosa maarifa , 😭😭😭😭😭

  • @geofreyg.mtensa4559
    @geofreyg.mtensa4559 Жыл бұрын

    Ila Mwamposa ww ni mchungaji wng, huu mwaka wa 7 sasa, naomba jenga kanisa DAR la kisasa, hatuna kanisa mahalumu paster

  • @oscarmgeradinukauangaze1130

    @oscarmgeradinukauangaze1130

    Жыл бұрын

    Mpendwa mtume aliwahi kusema ukijenga kanisa NIKAMA unemuwekea mungu ukomo wa watu unao wataka kwaiyo mpaka Sasa navo kwambia mpaka mafunuo yafanye kazi yake

  • @geofreyg.mtensa4559

    @geofreyg.mtensa4559

    Жыл бұрын

    Ayo mafunuo ya kutomjengea Mungu nyumba ya ibada sio kweli mtumishi, sisi km waumin tunapenda tutulie sehemu 1, ipo cku ata kawe twaweza kuhamishwa

  • @israelmkaka2807

    @israelmkaka2807

    Жыл бұрын

    Waaaumini huwa mnahama Makanisa, mnatanga tanga kutafta miujiza. Mnyakyusa kawashtukia, ameona bora ajenge NSSF yake ya Uzeeni. Big up Mwamposa. Hivi, Kwa hiyo Hotel, Kuna UGIMBI???

  • @msuhahappy7016

    @msuhahappy7016

    Жыл бұрын

    Mwaka 2022 alisema anatafuta eneo kubwa la kanisa la kwake nazan n issue ya mda

  • @tajimwambole3115

    @tajimwambole3115

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣kwa kweli .kesho wapo kwa musa kesho kwa mzee wa upako .

  • @PillyjoshuaJoshuamahinja
    @PillyjoshuaJoshuamahinja6 ай бұрын

    Naomba kazi hapo hotel

  • @japhetdaudmaneno8440
    @japhetdaudmaneno8440 Жыл бұрын

    Shida siyo kuwekeza,vyanzo vya mapato,njia anazopatia na matokeo yake Hilo ndilo tatizo" neno liko wazi mtawatambua kwa matunda yao'

  • @restitutanjau2585
    @restitutanjau2585 Жыл бұрын

    Mungu tupe akili ya kung'amua mambo

  • @amosidamian7273
    @amosidamian7273 Жыл бұрын

    Angejenga nyumba ya ibada amejenga nyumba yawashalati wazinifu Sasa nn amefanya ndo ataendelea kupnga kawe kweli nihatali kabisa

  • @AmeldaKavishe-ry9ow
    @AmeldaKavishe-ry9ow Жыл бұрын

    Hongera yake ❤❤❤❤❤

  • @yasinijuma6646
    @yasinijuma6646 Жыл бұрын

    we love you Mwamposa

  • @eliudezekiel8615
    @eliudezekiel861510 ай бұрын

    Mwamposaa ungefunguwa hata hospital kubwaaaa ningesema sawaa ilaaaaa mh

  • @user-kb8wv6kg8g
    @user-kb8wv6kg8g2 ай бұрын

    Mbona watu wanafunguliwa? Mnapata mafanikio? Msihukumu Mungu njia zake hazitafutikani amempa zawadi ya kazi zake mtajuaje?

  • @meeknessmaziku2156
    @meeknessmaziku2156 Жыл бұрын

    Hii inaweza kuwa imepandishwa Kama ilivyo kutoka kuzimu! Ata sishagai😳

  • @sophiekinyonga3182

    @sophiekinyonga3182

    Жыл бұрын

    Imeandikwa kwenye biblia na abarikiwe akubarikie na walaaniwe wakulaanio Jambo usilolijua n vema kukaa kimy au omb mungu akupe hekim unawez kubeba laan bila kujijua mwenzen apiganag wala kushindan na mtu anashindaniw n Bwana, Mungu naomb nifundishe kunyamaza

  • @floramongi1410

    @floramongi1410

    10 ай бұрын

    Tunachoshangaa Kwanini anauza hago Mami na kuyaita yaupako yananini

  • @lidyateddy6950
    @lidyateddy6950 Жыл бұрын

    Watu mnalaumu bure huo ni wivu wa maendeleo,Sasa kama mwamposa kapewa kibali na anaweza kubariki wengine na wakapata baraka teletele Sasa kwann yeye asiwe baba wa mfano wa baraka hizo 🥰watoto ndio tunatakiwa kufuata mfano huu nakuziteka baraka.kanisa zuri ni kweli tunatamani lakini Kama alivo sema tunahitaji umakini mkubwa na eneo kubwa kwa maana inabidi kujenga kanisa kubwa bila kubomoa bomoa watu wanazidi kuongezeka kila siku,Mimi naamini kuhusu kanisa mtume analifikiria na tuombe Mungu amuwezeshe afanye Jambo juu ujenzi huo.

  • @evangelistdanielsenyagwa4018

    @evangelistdanielsenyagwa4018

    Жыл бұрын

    😂😂😭😭

  • @admirabilismallaso9468

    @admirabilismallaso9468

    Жыл бұрын

    Mitume na manabii wa kale walijilimbikizia mali namna hii? Nauliza tu msijeniumiza

  • @admirabilismallaso9468

    @admirabilismallaso9468

    Жыл бұрын

    Mitume na manabii wa kale walijilimbikizia mali namna hii? Nauliza tu msijeniumiza

  • @shukujaibu7143

    @shukujaibu7143

    Жыл бұрын

    Waambie wachawi hao watapigwa na majeshi yasiooneka hao akina Yuda

  • @lidyateddy6950

    @lidyateddy6950

    Жыл бұрын

    @@shukujaibu7143 na watajikuta na manundu kwa kudundwa na majeshi yasiyo onekana🤣🤣🤣mlitaka awe masikini?Soma biblia vizuri wewe unaesema mitume na manabii eti walikuwa masikini🙄🙄🙄hakuna mtume au nabii aliye kuwa masikini na nilazima wale madhabahuni🤪🤪🤪

  • @enezermwafrica7443
    @enezermwafrica7443 Жыл бұрын

    Mimi ndio maana nimeacha kutolea Sadaka kwa watu wa stahili za kukanyaga mafuta

  • @victoriamaige2862
    @victoriamaige2862 Жыл бұрын

    Mimi nawashangaa siyo kila mtu Ana neema hii ukisema mafuta ya mwamposa ni bei sw na bure ni elf tu kulinganisha bei za wengine maji hauzi ni wewe unabeba hiyo ni akili yake tu km wewe unavyopigana na ndoto zako

  • @nalingarowl7048
    @nalingarowl7048 Жыл бұрын

    Full busness time

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb10 ай бұрын

    Mtumshi hongera

  • @adriankamareck8151
    @adriankamareck8151 Жыл бұрын

    Inapendeza nzuli

  • @abigailbateyunga8187
    @abigailbateyunga8187 Жыл бұрын

    Thanks 👏💯 Dad be blessed 🍾🍾🎁

  • @marthakimia4075
    @marthakimia4075 Жыл бұрын

    Mungu atubariki sana pamoja na mtumishi wetu wa Mungu. Mungu atakupa zaidi na zaidi in Jesus's Name

  • @AlfaniMohammed-zk1hn
    @AlfaniMohammed-zk1hnАй бұрын

    Sadaka za maji ya upako

  • @siajohn6866
    @siajohn6866 Жыл бұрын

    Glory to God,, bless bless bless 🙏🙏🙏

  • @AmeldaKavishe-ry9ow
    @AmeldaKavishe-ry9ow Жыл бұрын

    Mwamposa afungue kanisa jamani

  • @saumsaum1916
    @saumsaum1916 Жыл бұрын

    Si angejenga hospitali ya wagonjwa au kituo cha kulelea watoto yatima kwl mpako una nguvu

  • @AmeldaKavishe-ry9ow
    @AmeldaKavishe-ry9ow Жыл бұрын

    Maarifa sindio hayo ukibari nawe utabarikiwa

  • @sophiekinyonga3182
    @sophiekinyonga3182 Жыл бұрын

    Mungu akikuinua uinuka maadui sishangai hilo mungu azid kukubarik mtumish kwan umefnyika barak kweny familia yangu

  • @japhetdaudmaneno8440
    @japhetdaudmaneno8440 Жыл бұрын

    Kama ni halali ni vema la sivyo MATH:7:15-25;inamhusu

  • @suzanafransis1449
    @suzanafransis1449 Жыл бұрын

    Hongera sana mtume mungu afanye Jambo lingine zaidi ya hili

  • @msowamhokole7714
    @msowamhokole7714 Жыл бұрын

    Vipi hapo bia zitakuwepo ama

  • @adkajisi4536

    @adkajisi4536

    Жыл бұрын

    Razma ziwepo

  • @modestwenceslaus9

    @modestwenceslaus9

    Жыл бұрын

    Ukipata jibu nishutue

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe457811 ай бұрын

    Sadaka za walala hoi

  • @gulionigulioni3234
    @gulionigulioni3234 Жыл бұрын

    Nani aliwaambia kuna mitume iliyo hai hadi leo? Punguzeni laana makafiri nyie.

  • @aminamollel3571
    @aminamollel35714 ай бұрын

    Oooh god Bless you My dad, Mungu akuinue zaidi na Zaidi ni furaha ilioje Acha Mungu Aitwe Mungu, Barikiwa Zaidi❤❤❤

  • @nsibwenekaswaga6267
    @nsibwenekaswaga6267 Жыл бұрын

    Nimefurahi sana kwa kuona hii hotel iliyojengwa na mzawa

  • @mohammedamour4930
    @mohammedamour4930 Жыл бұрын

    Hotel ya mtume misba mkubwa

  • @rosekigombola7737
    @rosekigombola7737 Жыл бұрын

    Glory To GOD Above All.. Congrats Dad.. We ar Soo Proud of U Spiritual Dad.. Always 🌹 💖

  • @marryamos6526

    @marryamos6526

    Жыл бұрын

    Hotel sio yake jamani kapewa heshima ya ufunguzi tu na maombi kwa ujumla roho zimewatoka wengine lol mh

  • @harrieth56

    @harrieth56

    Жыл бұрын

    Hongera sana Apostle Boniface Mwamposa, KAZI yako ni njema, umekumbuka nyumbani

  • @harrieth56

    @harrieth56

    Жыл бұрын

    Namwomba Mungu anipe KIBALI nitembelee G7 WONDERS within the First Six Months of 2023 na yule Partner wangu wa AHADÌ, LM, NILIYEPEWA NA MUNGU BAADA YA MIAKA MINGI YA KUMLILIA MUNGU.

  • @valenakomba9218

    @valenakomba9218

    Жыл бұрын

    Ubatili mtupuu.

  • @dinalema732
    @dinalema732 Жыл бұрын

    Hela za mafuta ya maji ya kuuza..kwa wajinga.....WAJINGA NDIO WALIWAO.....KADANGANYA HADI KAJENIGA HOTELI WATU WAZINI HUKO VZR..

  • @angeldenis8262

    @angeldenis8262

    Жыл бұрын

    Ayakuusuu fanya yako

  • @danieljonathan6619

    @danieljonathan6619

    Жыл бұрын

    Washirika wake wamesaidia uzinzi ufanyike vizuri watatoa hesabu siku zinakuja asema BWANA wa Majeshi.

  • @danieljonathan6619

    @danieljonathan6619

    Жыл бұрын

    @@angeldenis8262 nawewe umeshaliwaaaa

  • @angeldenis8262

    @angeldenis8262

    Жыл бұрын

    @@danieljonathan6619 mh una jipy wat tunapambana atukai na majungu

  • @rubefabi8366
    @rubefabi8366 Жыл бұрын

    Ana haki ya kujenga chupa za mafuta 100000×2000=? Kwa kongamano la mkoa mmoja mara mikoa kadhaa ni tsh ngapi bila kodi yoyote.

  • @mariaclaver7721

    @mariaclaver7721

    Жыл бұрын

    Msome ujinga wenu mtakao lala humo no ninyi mliomchangia kwa mafuta, mwishowe anachukua roho zenu maskini nyieee.

  • @shukujaibu7143

    @shukujaibu7143

    Жыл бұрын

    Acheni wivu machoko

  • @shukujaibu7143

    @shukujaibu7143

    Жыл бұрын

    Hubiri na wewe uza maji na mafuta ujenge heshima var

  • @lidyateddy6950

    @lidyateddy6950

    Жыл бұрын

    Uza na wewe tununue

  • @joycejames3892

    @joycejames3892

    Жыл бұрын

    Mungu akuinuwe kwa viwango vya juu zaidi ya hapo mtume uliye retwa na mungu kutukomboa sisi na kutujenga kiimani. Ameen🙏🙏🙏🙏

  • @mariamdarwesh4388
    @mariamdarwesh4388 Жыл бұрын

    Wajinga ndy waliwao!!! Na wajinga hawaishi kila siku wanazaliwa

  • @fredaandrea303

    @fredaandrea303

    7 ай бұрын

    Usihukum tu kwan hapana mkamilif haraf hayo ni maono yakoo na uelewa wako hasa kuna wengne hata hatujawah kufikaa hata kutoa hata mia ila iman tu imetuponyaa acha kuhukum

  • @adamzablon8939
    @adamzablon8939 Жыл бұрын

    Kama kutapeli watu ni rahisi nawewe fungua kanisa ukawatapeli.

  • @neemagidion302

    @neemagidion302

    Жыл бұрын

    Kabisa

  • @AmeldaKavishe-ry9ow
    @AmeldaKavishe-ry9ow Жыл бұрын

    Mwamposa afungue kanisa jamani