These new pastors are just huffing and puffin, sio kazi ya Mungu bali ni ibilisi, za Mungu zina utakatifu
@WilliamMaziku-l9c4 күн бұрын
Asante Dr kwa somo hili.
@marrykundya56294 күн бұрын
Jimy dk 5 ulizoongeza nzito sana,uwe unaongeza hivohvo,Asante Dr
@subiravenance23064 күн бұрын
Nakufuatiliaga mtumishi wa Mungu una neema ya Mungu mimi siku nikitembelewa na malaika hee natamani Mungu anaona sitamwa mpka anibariki Mungu akubariki
@DorethMselem4 күн бұрын
😊
@AFYAKWAWOTE-jp5eh4 күн бұрын
Your the best,, Mwalimu wangu wa faida ya leo na kesho yangu,, ubarikiwe sana pamoja na timu yako.
@WilliamMaziku-l9c5 күн бұрын
Asante Dr.
@DoricyMunishi5 күн бұрын
Habar, jaman mwenye namba ya dr .anisaidie nna shida nae mno
@mfungobryceson55305 күн бұрын
aongezewe muda
@hamidafundi-pw1gw5 күн бұрын
Usikivu ni kusikiliza. Umakini ni kusikiliza hulenga kuelewa maana mwanafunzi anasikiliza.Maono yanajengwa na sauti kwa kuona na kusikiliza.Maamuzi sahihi hutokana na KUSIKILIZA ili kuishi maisha bora.Utulivu ni USIKIVU. Kusikiliza ,hisia kusikiliza sauti, kusikiliza picha za watu wengine. Usipokuwa makini kwa hisia,picha na sauti zisipomatch utapoteza usikivu. Hivyo vitatu ni muhimu kupendana. Nimejifunza. Asante Chomoza, pongezi Dr Ellie
@hamidafundi-pw1gw5 күн бұрын
Tutangulize kazi tunazozifanya kuliko maslahi ili kuepusha msongo wa mawazo. Anayejizatiti ni yule anayeboresha anachokifanya ili kupata matokeo ya maana na ufanisi.Lenga na kuitunza amani. Tanguliza utendaji kuliko maslahi. Nimejifunza asante Chomoza ,pongezi Dr Ellie ❤❤❤❤❤🎉
@TusaKiblaga-vp9jg5 күн бұрын
Amen Mama barikiwa sana Mungu azidi kukutumia
@happystevemaganga18736 күн бұрын
Sauti haitulii kuna mvumo unasikika
@aishavogelmann50216 күн бұрын
Shukran sana mubarikiwe mpaka mushangae
@lone_laugh-bn5re6 күн бұрын
uyo awe ananyamaza tusikilize kwa makini 😮😢
@hamidafundi-pw1gw5 күн бұрын
Umeona eeh, kweli kabisa.
@ShabaniKarimu6 күн бұрын
Napona sanaa
@shantalismailhassan98786 күн бұрын
Bonge la somo dr. Asante na ubarikiwe sana.
@joycekajivo9156 күн бұрын
Be blessed team chomoza
@yvettekyalika9076 күн бұрын
😍😍 Kiswahili...luga tamu sana....Docta , Aksanti sana kwa mafundisho ! Merci beaucoup...
@yamungummungulo6336 күн бұрын
Dr ukimaliza somo la mawazo utufundishe kuhusu siku za mwisho kwa mujibu wa kitabu cha Daniel na ufunuo kam ikikupendeza
@user-tu8se3oo7u6 күн бұрын
🙏
@wazirimfilinge26106 күн бұрын
Wow Chomoza
@CharlesKagama6 күн бұрын
Nice
@bediabahati77007 күн бұрын
giza lina enda kuacha uso wangu leo in Jesus name ameeen 🙌🏾🙏🏾
@GloryMartin-ds6fs8 күн бұрын
🙏🏼
@ThadeeNduwayo8 күн бұрын
Asante dokta
@Lovenessimon-zz8qg1jz6j8 күн бұрын
Asante kwa maarifa haya
@Lovenessimon-zz8qg1jz6j8 күн бұрын
Ubarikiwe sana baba
@Paulomollel-n3n8 күн бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏
@davidelisa2519 күн бұрын
Ujumbe muhimu wa kuonya na kujihadhari
@felistamtendanaombanipokeenyum9 күн бұрын
Mungu hatubari sote kwa neno lake kupitia wewe Dr nakuerewa sana tena nasema nilicherewa
@VenitaMwikola-qo9jt9 күн бұрын
Najiunganisha na neema ya madhabahu hii kuokoa Mimi na familia yangu kwenye Roho za maji in Jesus name
Пікірлер
Amina
Mungu nimwema
Maombi yako iwenasi
Nasisi tunaitaji maombi yako
Amina
Mungu asifiwe
Pamoja sana dada yangu
Mmh hakika unenusaidia
Kwakweli chomoza mbarikiwe sana 🙏🙏🙏
🙏
Napokea kibali kwenye uso wangu Ameni
Sina hasara kila nimsikilizapo docka
These new pastors are just huffing and puffin, sio kazi ya Mungu bali ni ibilisi, za Mungu zina utakatifu
Asante Dr kwa somo hili.
Jimy dk 5 ulizoongeza nzito sana,uwe unaongeza hivohvo,Asante Dr
Nakufuatiliaga mtumishi wa Mungu una neema ya Mungu mimi siku nikitembelewa na malaika hee natamani Mungu anaona sitamwa mpka anibariki Mungu akubariki
😊
Your the best,, Mwalimu wangu wa faida ya leo na kesho yangu,, ubarikiwe sana pamoja na timu yako.
Asante Dr.
Habar, jaman mwenye namba ya dr .anisaidie nna shida nae mno
aongezewe muda
Usikivu ni kusikiliza. Umakini ni kusikiliza hulenga kuelewa maana mwanafunzi anasikiliza.Maono yanajengwa na sauti kwa kuona na kusikiliza.Maamuzi sahihi hutokana na KUSIKILIZA ili kuishi maisha bora.Utulivu ni USIKIVU. Kusikiliza ,hisia kusikiliza sauti, kusikiliza picha za watu wengine. Usipokuwa makini kwa hisia,picha na sauti zisipomatch utapoteza usikivu. Hivyo vitatu ni muhimu kupendana. Nimejifunza. Asante Chomoza, pongezi Dr Ellie
Tutangulize kazi tunazozifanya kuliko maslahi ili kuepusha msongo wa mawazo. Anayejizatiti ni yule anayeboresha anachokifanya ili kupata matokeo ya maana na ufanisi.Lenga na kuitunza amani. Tanguliza utendaji kuliko maslahi. Nimejifunza asante Chomoza ,pongezi Dr Ellie ❤❤❤❤❤🎉
Amen Mama barikiwa sana Mungu azidi kukutumia
Sauti haitulii kuna mvumo unasikika
Shukran sana mubarikiwe mpaka mushangae
uyo awe ananyamaza tusikilize kwa makini 😮😢
Umeona eeh, kweli kabisa.
Napona sanaa
Bonge la somo dr. Asante na ubarikiwe sana.
Be blessed team chomoza
😍😍 Kiswahili...luga tamu sana....Docta , Aksanti sana kwa mafundisho ! Merci beaucoup...
Dr ukimaliza somo la mawazo utufundishe kuhusu siku za mwisho kwa mujibu wa kitabu cha Daniel na ufunuo kam ikikupendeza
🙏
Wow Chomoza
Nice
giza lina enda kuacha uso wangu leo in Jesus name ameeen 🙌🏾🙏🏾
🙏🏼
Asante dokta
Asante kwa maarifa haya
Ubarikiwe sana baba
🙏🙏🙏🙏🙏
Ujumbe muhimu wa kuonya na kujihadhari
Mungu hatubari sote kwa neno lake kupitia wewe Dr nakuerewa sana tena nasema nilicherewa
Najiunganisha na neema ya madhabahu hii kuokoa Mimi na familia yangu kwenye Roho za maji in Jesus name
Amen
Nahitaji huruma ya Mungu tu Babaangu
Amen Amen Amen 🙌
power of spell! thank you Dr
Amen Amen Amen 🙏
Amen Amen Amen