SELASINI AMLIPUA MWAMPOSA BUNGENI - "YULE ROHO MTAKA VITU, NI UTAPELI TU"

SELASINI AMLIPUA MWAMPOSA BUNGENI - "YULE ROHO MTAKA VITU, NI UTAPELI TU"
MBUNGE wa Rombo, Joseph Selasini, ameitaka serikali kuhakikisha wanapitia upya usajili wa vikundi au wachungaji wanaoendesha makanisa ili kujihakikishia kama kweli wanafanya kazi zao kihalali..
Selasini ametoa hoja hiyo kufuatia matukio mengi ya kushangaza yaliyotokea hivi karibuni yakiwahusisha wachungaji likiwemo tukio la watu 20 waliofariki mkoani Kilimanjaro wakigombea kukanyaga mafuta ya mchungaji Mwamposa..
UNA HABARI? WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982)
( +255 676 229628)
HABARI MPYA DAILY:
kzread.info?list...
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
kzread.info?list...
GLOBAL RADIO TV:
kzread.info?list...
EXCLUSIVE INTERVIEW:
kzread.info?list...
Subscribe Global TV, Channel itakayokupa Habari na matukio ya kipekee nchini Tanzania
Subscribe bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 468

  • @habibukhamis5589
    @habibukhamis55894 жыл бұрын

    Allah nijalie mwisho mwema wewe ndie unaepaswa kuabudiwa pekeako 🙏

  • @ahmadbadawi9664

    @ahmadbadawi9664

    2 жыл бұрын

    Aamiin

  • @denisijosephat2361
    @denisijosephat2361 Жыл бұрын

    Asante kwa maneno yako maana yesu anahubiriwa ktk roho na kweri sio ktk mahi na mafta.

  • @amaninaupendo.3539
    @amaninaupendo.35394 жыл бұрын

    Amen amen. Kazi ya Mungu siyo ya kiganga. Kinacho tajiwa jina la Yesu kimesha kua takatifu. Tbs yetu ni Roho Mtakatifu. Amani posipo watumishi wa Mungu akuna. Hao wanaojita awatumishi uku wanachochea watu mabaya ukumu ipo juu yao. Uko kwenu rombo tumewamsha wengi kwa nguvu ya Mungu. Na hata wewe upo leo kwa ajili ya maombi ya hao watumishi unao wasema vibaya. nikweli mimi ni mwombaji sana lakini sijawa kumuombea mtu akapokea hela ,bali nimewaombea wengi wakapokea uponyaji na kubarikiwa kazi zao na kufunguliwa vifungo mbalimbali katika maisha. ( Neno moja toka kwa Mungu tupendane). Mh karibu nyumbani Ccm kumenoga. Mungu atusaidie. Amen..

  • @frankjohn8570
    @frankjohn85704 жыл бұрын

    Ili kumjua anaezungumza kama ni wa NURUNI au GIZANI ni matendo na maneno yake, maana imeandikwa kinywa cha mtu huyanena yaujazayo moyo wake, mtu wa siasa hawezi kujua NENO LA MUNGU wala kumhofia MUNGU lkn mtu wa ROHONI anaweza siasa ,na kama ni imani potofu anajua mtu aliyena ROHO MTAKATIFU sio aliejaa roho mtaka siasa,wala kwa siasa hatoki pepo kwa mtu , inaitwa siHASA bali HASA ni NENO LA MUNGU

  • @nurusunday3547
    @nurusunday35474 жыл бұрын

    pongezi kubwa kwako mweshimiwa Selasini. msema kweli mpenzi wa Mungu.

  • @ephraimmwandemange5083

    @ephraimmwandemange5083

    2 жыл бұрын

    Imeandikwa nyakatiza mwisho wengi watakuja kwa jina language na watafanyà miujiza mingi kupitia jina la yesu jihadharini nao

  • @janejohn2060

    @janejohn2060

    Жыл бұрын

    Shida mko gizani hamuoni wala jua kinachoendelea

  • @neemakamgisha2951
    @neemakamgisha2951 Жыл бұрын

    Mungu akulinde baba aione hekima iliyo ndani yako

  • @emmanuelnzaligo6262
    @emmanuelnzaligo62624 жыл бұрын

    Waacheni watu wapige neno kama wa kweli kama wa uongo wote waacheni ila mwisho ukifika kitaeleweka upi mchele zipi pumba

  • @rubyshamlaha2181

    @rubyshamlaha2181

    4 жыл бұрын

    Mwisho unaujua

  • @StevenMutale-xt9yj
    @StevenMutale-xt9yj4 күн бұрын

    Mungu akusaidie sana mtumishi wa Mungu alafu kiongozi

  • @generosemandari5537
    @generosemandari55374 жыл бұрын

    Ewe mwenyezi mungu naomba uzidi kumtiya nguvu mtumishi mwamposa

  • @benjamenshepa1000

    @benjamenshepa1000

    2 жыл бұрын

    Wewe umeshatiwa nguvu

  • @henesysolomon8196

    @henesysolomon8196

    Жыл бұрын

    Amen

  • @catherinechifebe5800
    @catherinechifebe58004 жыл бұрын

    Mungu akubariki kwa kukemea Makanisa yasiyo na asili ya KRISTO...

  • @theodosiavenasi3066
    @theodosiavenasi3066 Жыл бұрын

    Tunapo wacha Mungu bungeni barikiwa mtumishi wa Mungu

  • @emmanuelkimath2881
    @emmanuelkimath28814 жыл бұрын

    AKILI KUBWA NI AKILI KUBWA TUU.

  • @msellemsaid9348
    @msellemsaid93484 жыл бұрын

    Respect Muheshimiwa💪

  • @lusymakinya2229
    @lusymakinya22294 жыл бұрын

    Safi sana umeongea point sana

  • @rubyo.masuku5684

    @rubyo.masuku5684

    4 жыл бұрын

    🙏

  • @andreaassenga7663
    @andreaassenga76634 жыл бұрын

    Hongera sana Mh.Ubarikiwe kwa Baraka zako.

  • @peterfania1005
    @peterfania10054 жыл бұрын

    💪🏾🇹🇿 safi sana

  • @mpokimwakaje8178
    @mpokimwakaje81782 жыл бұрын

    Mtetezi wangu yesu anaishi Leo mtetezi wangu yuhai Leo kesho na kesho kutwa ,na hata milele,

  • @rechoraymond3396
    @rechoraymond33963 жыл бұрын

    Acha kuukumu watumishi wa mungu kwani wew ni binadamu2 kama ni wa kweli au si wa kweli wakuwaukumj ni mungu acha kijitafutia laana

  • @brigithashirima7760
    @brigithashirima77604 жыл бұрын

    Kweli kabisa Mbunge wetu Mungu akubariki sanaa umenena vyema,Waambie ukweli hao wataelewa tu🙏🙏

  • @faisalwaafrica7478
    @faisalwaafrica74784 жыл бұрын

    Wanaopenda mafuta ya upako na pochi zao ziwe wazi kanisani tujuwane👍

  • @user-ng6yt2od7l

    @user-ng6yt2od7l

    Жыл бұрын

    😄😄😄🖕

  • @stuartkamba1598
    @stuartkamba15983 жыл бұрын

    Leo mzee Wang nimekushusha sana thamani.

  • @moriscollins4494

    @moriscollins4494

    Жыл бұрын

    Tafakari

  • @namsamson3443
    @namsamson34434 жыл бұрын

    Very true Mr..usipofanya kazi huwezi kula eti mtu anasimama anafungua pochi zijae hela

  • @rubyo.masuku5684

    @rubyo.masuku5684

    4 жыл бұрын

    Wapo siyo mwamposa lani Wapo WENGI

  • @seyaorongo7466

    @seyaorongo7466

    4 жыл бұрын

    Yuster Zacharia Ni ujinga mkubwa sana yani mimi niliona clip moja Rwakatare anawaombea upepo wa kisulisuli wafungue pochi zao na wallet wanapokea muujiza wa pesa alafu anamalizia kwa kicheko cha kejeli yani anawaona wajinga kupitiliza

  • @seyaorongo7466

    @seyaorongo7466

    4 жыл бұрын

    Yuster Zacharia Ni ujinga mkubwa sana yani mimi niliona clip moja Rwakatare anawaombea upepo wa kisulisuli wafungue pochi zao na wallet wanapokea muujiza wa pesa alafu anamalizia kwa kicheko cha kejeli yani anawaona wajinga kupitiliza

  • @halimageorgesanga1018
    @halimageorgesanga10184 жыл бұрын

    Nimeelewa,Assnte sana

  • @daviesoscar1603
    @daviesoscar16034 жыл бұрын

    Asante Mbunge

  • @bakarikayugwa3295
    @bakarikayugwa32953 жыл бұрын

    We mzee sio kweli si bola washinde kanisa kumuomba mungu kuliko kushinda bar au kuvuta mibangi ushakunywa nyagi povu lakutoka wacha watu wamuombe mungu amini kile unachokiamini kinakuuma nini kama mtu alikua hajawahi kupata ujauzito miaaka gedegede leo kwenda kuombewa kafanikiwa eti akitoa sadaki anaibiwa mbona kwa waganga na mbuzi Hadi n.gombe Kaa kimya

  • @neemamsanga253
    @neemamsanga253 Жыл бұрын

    Baadhi ya wachungaji wanapoteza watu na kuchafua dini ,maana watu wanajikuta wako njia panda ,mungu atupiganie,🙏

  • @edwinelias8554
    @edwinelias85542 жыл бұрын

    Hapo kwenye makanisa umeongea point less Mungu haziakiwi kila mtu anachokiamin ndio kinampa majibu yake hatuwez kutembea kwenye maono ya aina moja , hivyo acha wivu wewe mabrich kwa kutoa kasoro za imani za watu juu ya kile wanachokiamini waache watu na imani zao wasonge mbele

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima56744 жыл бұрын

    Truly!!!!!!

  • @mariasimon7545
    @mariasimon75454 жыл бұрын

    UBARIKIWE MPENDWA NAKUUNGA MKONO KWA HILI, UTAPELI KWA NYAKATI HIZI ZA MWISHO UMEKUWA MWINGI WATU WANAIFEDHEHESHA IMANI YA MUNGU WETU MWOKOZI YESU KRISTO. WAMETUMWA NA shetani KUHARIBU IMANI YA KWELI YA KRISTO.

  • @richimuniko3578

    @richimuniko3578

    Жыл бұрын

    Ni kwa Nini hujaongelea waganga wa kienyeji wanaopiga pesa ndefu na kuibia raia wema zibiti wachawi kama Wewe unaweza.

  • @neemamsanga253
    @neemamsanga253 Жыл бұрын

    🙏 Amina, kiongoz mungu akutie nguvu maana msema ukwel mpenz wa mung hakika unatunz I ebu ona huyu mchungaj alikuj huku njombe alikusanya watu walikufa sana jmn ,.

  • @venitarugemalila9290
    @venitarugemalila929010 ай бұрын

    Hawa watu wanaomuelekea Mungu tusiwachukulie poa au kuwasema vibaya maana ukweli anao Mungu na wao wenyewe ni suala lakujiuliza mtu au mtumishi wa Mungu aliyeamua maisha yake n kusali yaani yeye na Mungu masaa zaidi ya kumi au kila iitwapo leo au mtu anachambua na kusoma quruan na Biblia anatenga muda mwingi kwa Mungu Ila sisi rumetenga muda kuzungumza na Mungu? au kusoma vitabu vyake tujisemeze wenyewe muda wetu tumetenga tupo ktk majukumu ya dunia au kaisali wengine tupo kwa starehe ivyo hawa mashekhe ,na watumishi wa Mungu yaaani wachungaji, mapadre na wengine waliojitosa ktk Mungu nawapa maua yenu hivi najiulizaga mwisho wangu nitapeleka hesabu gani kwa Mungu nilikusanya au nilitawanyisha kondoo wake toka nilipopata ufahamu wa zuri na baya kazi ninayo

  • @TheSalma1999
    @TheSalma19994 жыл бұрын

    Asante kuhusu watu tulio nje kupiga kura asante

  • @abelbenedicto5392
    @abelbenedicto53924 жыл бұрын

    Hoja ya Mh. ni nzuri Sana, Tatizo la Dini ni watu hutiwa Hofu Tena Hofu isiyo wiana na Utashi wa Fikra Halsii. Ninyi mnaotaka watumishi wasiaswe Ukweli mnataka kutwambia Watumishi ndo wenye haki ya Kufanya chochote Hata kikiwa hakiko sawa???? Tusipo ambiana sisi kwa sisi mwataka nani atwambie Ukweli huu??? Tufungue Utashi wetu tutajua mengi zaidi ya tunayoambiwa kwa vinywa vya Watumishi wetu. Acheni Imani za Uoga za kuwaogopa Watumishi. Mtumishi si Mungu ni Binadamu na anakosea Kuliko ww usie na Kanisa. Huu upuuzi wa Iman umekithiri na Madhara yake ni Makubwa tukizidi kunyamaza. Kama Mungu hadhihakiwi Mbona Watumishi ndo wanadhihaki kwa Kukufuru kwa Imani za Upotoshaji??? Tuweni na Utashi tuliopewa na Mungu.

  • @fidiankwera530

    @fidiankwera530

    4 жыл бұрын

    Umenena... Nimekuelewa. Ukweli lazima usemwe

  • @venitarugemalila9290

    @venitarugemalila9290

    10 ай бұрын

    Kubishana sana ipo siku utajikuta unamkosea Mungu bora ukakamata Biblia na quruan vitabu vitakatifu ukapekua ukaujua ukweli basi utaijua kweli ya Mungu

  • @japhetbarton8268
    @japhetbarton82684 жыл бұрын

    😂😂😂 Ukigeuka nyuma unajkuta peke ako😂😂

  • @user-ng6yt2od7l

    @user-ng6yt2od7l

    3 жыл бұрын

    😄😄😄

  • @saulindama3697
    @saulindama36974 жыл бұрын

    Hakuna mtu wa kumteteaYesu yeye ni mwenye uweza na mamlaka anajitetea mwenyewe.

  • @tymchanneltv1143

    @tymchanneltv1143

    3 жыл бұрын

    Hapana SI kweli Mungu ndie mwenye kumtetea Yesu,, yeye Hana uwezo. Kwa maana Yesu sio Mungu., Soma Biblia. Huo Ni moja katika Aya nyingi. Mathayo 26:39.

  • @restutarhamis4609
    @restutarhamis46094 жыл бұрын

    Safi sana waache kutuwekea turbai

  • @amanijosiah5205
    @amanijosiah52054 жыл бұрын

    Ww huna akili angalia usimzihaki Mungu acje kukuhukumu acha kazi ya Mungu iendelee

  • @nicolausnyongole5611
    @nicolausnyongole56114 жыл бұрын

    Tunaangamia kwakukosa maarifa naikisoma bible kumcha mungu nichanzo chamaarifa mungu atuongoze kwenye njia zake

  • @herriethmwakifulefule165
    @herriethmwakifulefule1652 жыл бұрын

    Haya tangu lini Mbunge akaongelea dini???Mungu amekupumzisha naajungu,huwezi kumpiga majungu Yesu Kristo ukabaki salama

  • @hosianajosephu4296
    @hosianajosephu42964 жыл бұрын

    Big up mheshmiwa...

  • @eliakanyika8443
    @eliakanyika84434 жыл бұрын

    Amina

  • @byabatotv3283
    @byabatotv32834 жыл бұрын

    Mungu akubariki sana mkuu

  • @jumamwita9995

    @jumamwita9995

    Жыл бұрын

    Nikweri abarikiwe amenena

  • @shukujaibu7143
    @shukujaibu7143 Жыл бұрын

    Ya Mungu MPE Mungu ya Kaisari MPE kaisari we we endelea kuibia wananchi hapo bungeni na Mwamposa mwache afungue watu Nina LA Bwana lihimidiwe. Mwamposa tembea na jeshi lisiloonekana achana na madhabahu feki ya Hugo huko aliko

  • @frankjohn8570
    @frankjohn85704 жыл бұрын

    Ili kumjua anaezungumza kama ni wa NURUNI au GIZANI ni matendo na maneno yake, maana imeandikwa kinywa cha mtu huyanena yaujazayo moyo wake, mtu wa siasa hawezi kujua NENO ila mtu wa ROHO anaweza siasa na kama ni imani potofu anajua mtu alive na ROHO MTAKATIFU sio aliejaa roho mtaka siasa,wala kwa siasa hatoki pepo kwa mtu

  • @kabweharuna5569
    @kabweharuna55693 жыл бұрын

    Mbona waganga hamuwasemi au kwa sababu wanafanya GIZANi acha hizo

  • @eugenyraphael4334
    @eugenyraphael43344 жыл бұрын

    We ni mpumbavu natena umechanganikiwa natena mwaka ujao bungeni waRombo hatukurudishi, piga tatu mzuka achakumpiga vita Mungu.

  • @heavenlinkmedia2834

    @heavenlinkmedia2834

    4 жыл бұрын

    Hivi ww unaelewa alichokisema yesu au unalaumu tu paspokujua , brother omba mungu akupe uelewa au tafta kujua nn maan ya injili

  • @valenakomba7686
    @valenakomba76864 жыл бұрын

    IS Trueee!!

  • @lilianmbangwa6151
    @lilianmbangwa61514 жыл бұрын

    Amen Mungu tusaidie kwa hawa watakavitu

  • @barnabamollelysaruni4613

    @barnabamollelysaruni4613

    4 жыл бұрын

    Umesema kweli Baba kuna roho mtaka vituuu

  • @user-ng6yt2od7l

    @user-ng6yt2od7l

    Жыл бұрын

    Kwa huyo roho mtaka vitu usitoe kabisa😄Ila Kwa Mungu toa

  • @herriethmwakifulefule165
    @herriethmwakifulefule1652 жыл бұрын

    Haya tangu lini Mbunge akaongelea dini???Mungu amekupumzisha na majungu,huwezi kumpiga majungu Yesu Kristo ukabaki salama

  • @mtanzaniamzalendo7001
    @mtanzaniamzalendo70014 жыл бұрын

    Point

  • @meshackraphael9638
    @meshackraphael96384 жыл бұрын

    Mmzeeee umeongea point MUNGU akubariki

  • @ramadhaniamiri4535
    @ramadhaniamiri45354 жыл бұрын

    Safi sana mbunge 30

  • @loner_wolf
    @loner_wolf4 жыл бұрын

    Mzee akili kubwa Sana kuhusu makanisa ya kitapeli na wajibu was serikali kulinda raia na Mali zao ......BIG UP Hilo la wafungwa kupiga kura ni jema lkn kwanza kabla hawajapiga kura wangepata Haki ya kuhabarika ili wasije chagua mazuzu bure😂😂😂

  • @zephaniakisumo4477
    @zephaniakisumo44774 жыл бұрын

    Najua wengi watanuna sababu kweli inauma,lakini wanayesimama katika njia ya kweli wamekubaliana na haya yaliyosemwa.

  • @PastorsTz

    @PastorsTz

    4 жыл бұрын

    Aminaaaa sana asiyefanya kazi na asile

  • @magrethmagreth8900

    @magrethmagreth8900

    3 жыл бұрын

    Roho mtaka vitu

  • @janethjackson1257
    @janethjackson12574 жыл бұрын

    Nakuelewa

  • @matridawilium9945
    @matridawilium9945 Жыл бұрын

    Jina la yesu ndo jibu

  • @ibrahimmusician2355
    @ibrahimmusician23554 жыл бұрын

    KwA wenye akili njema,umeongea pointi Sana,

  • @lazarominga896

    @lazarominga896

    4 жыл бұрын

    Kbsa

  • @kuburilinyama8111
    @kuburilinyama81114 жыл бұрын

    respect

  • @rutakihama3523
    @rutakihama35234 жыл бұрын

    Safi sana leo umenena point

  • @pettymbomela7663

    @pettymbomela7663

    4 жыл бұрын

    Uko sawa Mheshimiwa hawa Mitume wamezidi

  • @benjaminlijongwa3715
    @benjaminlijongwa37154 жыл бұрын

    Mauaji ya Rwanda ni ya kikabila sio ya kidini. Huko uarabuni wote ni waislamu na wanauana

  • @hassanshaban4168

    @hassanshaban4168

    4 жыл бұрын

    Jamaaa we kila kitu unapinga tuuu sikiliza point usibishe tuu

  • @rubyshamlaha2181

    @rubyshamlaha2181

    4 жыл бұрын

    @@hassanshaban4168 ndo shida yakukanyaga mafuta kila point unaona ya hovyo mwee

  • @unknownafrica5568

    @unknownafrica5568

    2 жыл бұрын

    Wanapo wafutinisha wakauana ni hao wazungu wanao tafuta kwa dunia mzima faida mnao wafata dini zao za kutungwa mzungu lini akawa na dini. Hata isa atawakana Na makanisa yao ya ushoga na kuva uchi isa asili yake ni kutoka kwa ibrahim na ibrahim na isa ni waislam safi hakuna alie toka marekani na rome isa bin mariam hajaleta maji ombeni wenyewe msifate watu wawaombee ni utapeli tu

  • @syliviakente9460

    @syliviakente9460

    2 жыл бұрын

    Hukusikiliza viziri

  • @sungula100
    @sungula1004 жыл бұрын

    Mmh, umeongea vitu vyepesi sana kuhusu suala zito sana la imani!

  • @hussenimlimati9592
    @hussenimlimati95924 жыл бұрын

    Apo kabisaaaaaaa kuna roh mtakatifu na rooooooo MTAKAVITU. MWAMPOSYA

  • @nyamtayachamriho7065
    @nyamtayachamriho70654 жыл бұрын

    umeua baba big up sana uwe unaongea una point hamna mrombo mjinga wote point tupu

  • @beatricesoka3134
    @beatricesoka31344 жыл бұрын

    Ya kaisari mpe kaisari na ya mungu mpe mungu

  • @burkardkayombo5271
    @burkardkayombo52714 жыл бұрын

    Huwezi kuingilia matatizo ya mtu mwingine na kumsemea, hii ni kama ajali tuu, kama ni hivyo basi hata wabunge wafutwe. Tunakwenda kwenye uchaguzi Arubino wapo mashakani. Hapa panataka busara tu, siyo vijembe.

  • @samadoushujaa7028

    @samadoushujaa7028

    4 жыл бұрын

    Mnaangamia kwa kukosa maarifa..

  • @rubyshamlaha2181

    @rubyshamlaha2181

    4 жыл бұрын

    Ajali ungekufa ww au ndugu yako

  • @nelsabugo3613
    @nelsabugo36134 жыл бұрын

    Mungu ndie muhukumu

  • @slyvesterkameo6847

    @slyvesterkameo6847

    4 жыл бұрын

    Kama ni waongo, matapeli na malaghai watendelea kuhukumiwa hapa duniani maana wanaolaghaiwa na kuibiwa wapo duniani!

  • @justinekashiriririka8690
    @justinekashiriririka86904 жыл бұрын

    Duh mzee umeongea point leo

  • @offecalmsechu8739
    @offecalmsechu87394 жыл бұрын

    Ungekuwa ata mh rais wewe kweli tungekutoa ndo maana watU kama nyie pepo ingekuwa adisi tu

  • @rebeccajohn724
    @rebeccajohn7244 жыл бұрын

    Mheshimiwa mseme wasaudieye tanzania

  • @happinessseroin2336
    @happinessseroin2336 Жыл бұрын

    Mungu aendelee kyongeza viongozi wenye hekima

  • @ngumbaonzaro5716
    @ngumbaonzaro57162 жыл бұрын

    Ngumbao nzaro

  • @daudirajabu6798
    @daudirajabu67984 жыл бұрын

    Mzee yuko sawa point sana ila kwaharaka haraka huta muelewa chunguza utapata jibu

  • @frankjohn8570

    @frankjohn8570

    4 жыл бұрын

    Mheshimiwa je ukiletewa mtu mwenye pepo utamtoa ili tujue ulivyosimama? Maana imeandikwa aliemwanafunzi wa YESU atatoa pepo na kuweka mkono kwa mgonjwa akapona VP hapo imani iko wp Mana bila matendo imekufa

  • @noahmbalwa4167
    @noahmbalwa41674 жыл бұрын

    Sio kweli

  • @faustinmarko3472

    @faustinmarko3472

    4 жыл бұрын

    Moto unakuhusu wewe

  • @salamhapachavi5371
    @salamhapachavi53712 жыл бұрын

    Sema kweli

  • @ngometvarusha4030
    @ngometvarusha40304 жыл бұрын

    Acha kuchafua kanisa la katoliki unachokifanya mzee mwaka huu tutaona kama wale waganga wako kama watakusaidia kitu kurudi hapo.

  • @fahadfaraj1822

    @fahadfaraj1822

    4 жыл бұрын

    Anachafua nini unajua nini historia ya kanisa 1994 rwanda watu walichinjwa ndani ya makanisa na kuna maaskofu walishiriki kuchinja waumini wao kisa ya tofauti ya kabila hope we ndo hujui ila dunia inajua na hata papa john paul akiwa hai alipata kulaani ilo jambo kama una mengine sawa ila si hilo alilotoa mfano

  • @valenakomba7686
    @valenakomba76864 жыл бұрын

    And we also real want to vote if chance will be given as you said.

  • @christophermwandemange796
    @christophermwandemange796 Жыл бұрын

    Acha Mambo ya kanisani, ngumu sana kuyaelewa ukitaka kuelewa jiungeni Acha mambo ya kanisa

  • @lubatikoseme6613
    @lubatikoseme66134 жыл бұрын

    Sawasawa baba

  • @janetkiwelu2429
    @janetkiwelu24294 жыл бұрын

    Kweli kabisa baba

  • @shukujaibu7143
    @shukujaibu7143 Жыл бұрын

    Tutapaka sana mafuta na hayo majungu yako hayashindani na Nuru wewe ni giza tembea nalo tuache sisi tutembee na Yesu vipi babuuu

  • @joshuamatagane8105
    @joshuamatagane81054 жыл бұрын

    MBONA NINYI MNAKWENDA KWA WAGANGA WA KIENYEJI NA MNAKAA UCHI HUKO WENZENU HAWASEMI?? AU TUWAITE HAPA WAWAUMBUE????

  • @jackpaul9825

    @jackpaul9825

    Жыл бұрын

    Wewe huna Sera ulaaniwe mala 7

  • @venerandamagesa9509

    @venerandamagesa9509

    Жыл бұрын

    Waambie ndugu yangu maana waganga hawaongelewi kabisa mbona tunatumiwa mpaka sms za waganga Hilo haliwakeli😂😂

  • @pamelakasambala9589
    @pamelakasambala95894 жыл бұрын

    Acha hiyo

  • @evethaasey1791
    @evethaasey17914 жыл бұрын

    OK OK OK BABU ubunge 2020 kz unayo

  • @jovithaabraham6375

    @jovithaabraham6375

    4 жыл бұрын

    Kabisa evetha. Mimi jovitha Asey

  • @eugenyraphael4334

    @eugenyraphael4334

    4 жыл бұрын

    Kura yangu sitompa kichaa ka huyu.

  • @rubyshamlaha2181

    @rubyshamlaha2181

    4 жыл бұрын

    @@eugenyraphael4334 Hana shida kishafaidi

  • @musahassan4606
    @musahassan4606 Жыл бұрын

    Kweli

  • @eischerschwederm7876
    @eischerschwederm78764 жыл бұрын

    Fact

  • @emmanuelsundaymtosa2366

    @emmanuelsundaymtosa2366

    4 жыл бұрын

    Ashindanae na yesu atapondwa kabisa imekua . usinyoshe kidole kwa masihi Bwana

  • @neemamsanga253
    @neemamsanga253 Жыл бұрын

    Nimejalibu kupitia comment Kuna watu wa mafuta wanekupinga hakuna kukata tamaa baba 30 ni heri ufe Kwa kusema ukwel kuliko kunyamaza damu ya yesu ikutawale milele Niko nyuma Yako, me Huwa naira shujaa twende mbele binadam wa sasa ni wanyama,.

  • @kuziririzaisabatosiitegeko7088
    @kuziririzaisabatosiitegeko70882 жыл бұрын

    Wa Tanzaniya muwe hange munapo ongeya kuhusu rwanda,ya rwanda ni marefu kiasi kwamba hamuwezi kuyaelewa.kinyarwanda ni lugha mbali nanyi hata ukoloni ni tofauti .

  • @emanuelgadiye2911
    @emanuelgadiye29114 жыл бұрын

    Imani ni kitu cha tofauti sana spiritual things huwezi jadili kimwili utapotea

  • @pioustrevol3468
    @pioustrevol3468 Жыл бұрын

    usiwaseemee watu ndugu yangu wanaosali na wenye shida walopata nafuu kupitia kwenye ayo makanisa ndo wanajua ndugu yangu mda mwengingine upweke unawafanya wakae makanisan ww endelea kula kiyoyoz chukua posho bungeni enda kula na familia ako serikali ilinde kdg cha raia akat ndo mnaanzisha sera za kuchukua pesa zao mkuu

  • @crintonkapamba1290
    @crintonkapamba12904 жыл бұрын

    Amina baba maana sikuhizi matapeli wameingilia pabaya

  • @furahinimbise1804
    @furahinimbise18044 жыл бұрын

    Wewe hatujakupa Ubenge ili ukawakashifu wajumbe wa Mungu, fanya kazi tulio kutuma, Watumishi wetu tulio letewa na Mungu achana nao.

  • @erickmachua8829

    @erickmachua8829

    4 жыл бұрын

    Shindwa.. Selasini yuko sawa.

  • @anicethpeter4944
    @anicethpeter49444 жыл бұрын

    Unachesema ni kweli mzee wanao maindi ukweli umewafika moja kwa moja

  • @yankstyma1966
    @yankstyma19662 жыл бұрын

    Ooh my God hii ni giza ya sina gani?Mmesikia kuna roho ya mpinga kristo itakuja lakini maandiko yanatuambia roho tayari inafanya kazi hata sasa.Kupinga ni kwenda ya kitu au mtu.yule asiyekuwa upande wetu yu kinyume nasi.Hii ni laana ya kuitafutia maana vita ya watumishi wa Mungu ni juu ya Mungu sio yao.yaani kwa kifupi unapofanya vita watumishi wa Mungu unagombana na Mungu, who are u to judge someone's servant

  • @waboyboyboy402
    @waboyboyboy4024 жыл бұрын

    Awo wanaojifanya manabii kwaajili yakutowa watu kafara kwa tamaa zao za pesa mlaaniwe wote kama mkekosa kazi zakufanya nenden ata mashambani mkalime nasio kuwamaliza watu wasio na hatia kwa tamaa zenu za pesa muache .....

  • @jumamwita9995

    @jumamwita9995

    Жыл бұрын

    Amina

  • @elizabethbwire1480
    @elizabethbwire1480 Жыл бұрын

    Imani yako ndio inakuponya hataukisali zehebi lolote bila Imani nikazi bule kinacho tufanya tuamini maneno ya mwaposa nimaandiko kwani anayo yahubiri yamo kwenye bibilia

  • @maryberege3093
    @maryberege30932 жыл бұрын

    Imeandikwa watatokea wachungaji wa ukweli na wa uongo. Ukiona hakufai ukung'ute mavumbi na utokomee

  • @jenifamtima9325
    @jenifamtima9325 Жыл бұрын

    Watu ni wavivu kweli unaombewa kupata gari wakati unauza ndimu wanataka mseleleko,,,eti munaombea watu,,,wakati Mungu anasikia sala na dua ya mtu mmoja mjomba. Mukafie Mbele uko na maombi yenu ,,,,watu wamechoka viongozi wa dini munazingua si makanisani sio wachungaji kwenye makanisa yenu....amko tofauti na wana siasa waongo munajali pesaaaa tu yaani,,,ubatizo pesa kipa imara pesa sahani ya upendo..gari la Mchungaji ifike mahala wachungaji wafanye kazi ...na nyinyi wengine uko muache kuwaongopea waumini watapata magari ...selekali itowe tamko viongozi wa dini wawe na kazi ndio wasajiliwe kutegemea sadaka uku ndio maana wanakuwa waongo ili waumini watowe pesa ....

  • @awitiyjosure5163
    @awitiyjosure51634 жыл бұрын

    Mmmmm mwaposa

  • @veronicamnico4773
    @veronicamnico47734 жыл бұрын

    Safiiii mtumishi wa Mungu

  • @anordsakaya9852

    @anordsakaya9852

    4 жыл бұрын

    Usipoangalia vizur na kubadilika utaimba kway mpaka unakufa na mbingun unawez usiende please badilika bint yang usitukan wal kudharau watumish wa mungu itakuletea laana mwanangu

  • @veronicamnico4773

    @veronicamnico4773

    4 жыл бұрын

    @@anordsakaya9852nimefanyaje mpaka niimbe niishie jehanamu? Yesu wangu hakuingia gharama ili niende jehanamu, na ktk jina la Yesu jehanamu hakutengezewa mwanadamu, na MUNGU angekuwa na hasira watumishi wanao tudanganya kwa polojo nyingi angewaaibisha lkn yet ni wa rehema, mtumishi ungeijua NEEMA usingesapoti mafuta ambayo ni mfano wa mafuta ya Roho mtakatifu kabla Yesu hajapaa, mwana wa MUNGU nashangaa kusikia sitaenda nbinguni kwa sababu nimesema Safi mtumishi mh

  • @anordsakaya9852

    @anordsakaya9852

    4 жыл бұрын

    @@veronicamnico4773 tuwaache. Wafanye ibada zao wanazozipenda Ili mrad watu waokoke na kumjua Mungu sisi tuliokoka hatuhitaj kuwaita hawa Wa kienyeji hata kama hatuelew ibada zao inabid tuwe mfano Wa kuigwa kwa kuwaheshimu tu hawa wachungaj na si kuwatukana kwa kufanya hivyo Mungu atakuinua kwa viwango vya juu zaidi Amen

  • @veronicamnico4773

    @veronicamnico4773

    4 жыл бұрын

    @@anordsakaya9852 kosa langu nini? kusema (Safi mtumishi?) Mtumishi Mimi nilishainuliwa na Yesu tangu alipoenda carvali laana zangu zote zilibaki carvali, kuinuliwa ni haki yangu na kubarikiwa ni haki yangu kupitia Yesu, hata siku moja siwezi kumtukana mtumishi wa MUNGU, isipokuwa siwezi kushabikia polojo, tena mtumishi naomba tujuane zaidi, ninasali kanisa la Philadelphia niko mwanza buswelu kwa Askof ISAYA. Na nikushirikishe kusoma chuo cha biblia huku mwanza Cha WIBI utajua ninacho maanisha. Asante

  • @anordsakaya9852

    @anordsakaya9852

    4 жыл бұрын

    Niliona comment yako kwenye post ya nabii mwammposa niliisioma ns kuipotezea ni weng waliotukana lakin hata sielew mbona nimekufata nahis Mungu ana mpango na,wew ndo maana nilikushaur nimekushsur mwanangu mim TAG tabata kimanga Dar es salaam na nimemwona Mungu kupitia kuwaheshimu na kuwaombea tu hawa watumishi Wa Mungu Amen

  • @bahatimwase3432
    @bahatimwase34324 жыл бұрын

    Mh. mambo ya imani yaache kama yalivyo usije ukapata laana ya kizazi hadi vizazi. Ni vizur zaidi kunyamaza

  • @rubyshamlaha2181

    @rubyshamlaha2181

    4 жыл бұрын

    Hakuna laana kwa hili

Келесі