MWAMPOSA ATOA NENO KWA MARA YA KWANZA BAADA YA VIFO VYA WATU 20 MOSHI | WALIOKANYAGA MAFUTA.

Ойын-сауық

Mtumishi wa Mungu Boniface Mwamposa amezungumza kwa mara ya kwanza baada ya kutokea kwa viifo vya watu 20 waliokanganya mafuta kwenye ibaada yake Moshi.

Пікірлер: 917

  • @elisantemsuya1399
    @elisantemsuya13994 жыл бұрын

    Mungu ni Neema na Rehema, Mungu akuinue zaidi mt mwamposa

  • @shukhuranpetro5796

    @shukhuranpetro5796

    3 жыл бұрын

    Hakuna uponyaji kwenye mafuta someni maandiko

  • @merysamwel3100
    @merysamwel31004 жыл бұрын

    Mungu azidi kukuinua MTUME NA NABII WA MUNGU. Usijali maneno yao. Mungu yupo pamoja na wewe. We love you dady

  • @davidwatson4294
    @davidwatson4294Ай бұрын

    Mwamposa number one Mungu amlinde mtume wetu Aleruhja Aleruhja Aleruhja 🙏🏽

  • @tanunewstz
    @tanunewstz4 жыл бұрын

    Jim uko vizuri sana mungu akubatiki na nakutakia Sunday njema

  • @engineertarimo7345
    @engineertarimo73454 жыл бұрын

    Mtangazaji yuko smart sana kwenye kuuliza na kuhoji

  • @leylahley3542
    @leylahley35424 жыл бұрын

    Mbona hukuwafufua hao uliowauwa moshi..wew baba wew mwogope mungu kuna kufa...

  • @allyfaniture404

    @allyfaniture404

    4 жыл бұрын

    TUNAKUOMBA WW S UNAWEZO WA KUWAFUFUA WAFUUE BAS PUMBAV KABISA WW NILOGE BAS NA MM FALA WW

  • @praisekavy

    @praisekavy

    4 жыл бұрын

    Sio kila mtu ana karama hiyo, kama hujui biblia kaa kimya

  • @agathathobias8690

    @agathathobias8690

    4 жыл бұрын

    Hata Bwana Yesu alidhihakiwa kwa kuambiawa km wewe ni mwana wa Mungu jiokoe

  • @moreenmichael7482

    @moreenmichael7482

    4 жыл бұрын

    Nyoooo

  • @emmanueljohn8970
    @emmanueljohn89704 жыл бұрын

    Safi sana, Mungu ni Mtenda Miujiza,.... Nilisema kama ni Mungu huyu Atakuokoa ila Kama sio yeye unayemtumikia usingekuwa huru kwa Dhamana, Mungu awe pamoja nawe Siku zote.

  • @shukujaibu7143
    @shukujaibu7143 Жыл бұрын

    Kila bays na zuri in kutoka kwake Mungu. Tuseme alihamdulillah jina LA Bwana lihimidiwe. Pole bonifas mtumishi Wa Mungu pole wafiwa wore Mungu awatie nguvu

  • @godlivingjacobissangya8530
    @godlivingjacobissangya85304 жыл бұрын

    Ukweli anajua Mungu moyo wa mwanadamu ni kichaka aonae ni Mungu tu

  • @jumamlanzi8200
    @jumamlanzi82004 жыл бұрын

    anapigiwa adi salute

  • @devybernardlaizer7713
    @devybernardlaizer77134 жыл бұрын

    Mungu akubariki sana mtumishi ,Jimmy upo vizuri na kazi yako barikiwa

  • @winifridasylivestermachila9490
    @winifridasylivestermachila94904 жыл бұрын

    Ameni Mwamposa hata Yesu alifanya mengi mazuri lakin bado majaribu yaliibuka na hata kuuwawa kama ilivyo kawaida uongo na ukweli Ni vitu ambavyo havishabiiani kwa hiyo Kwakuwa Mungu hana chakufananishwa nacho wala wakufanana nae basi Ukweli utabainika na usisahau kuwa Kuna maadui wasiofurahia kabisa hata uwepo wako Ila Mungu akutie nguvu katika hili Mungu ajidhirishe pia katika hili inauma kwa ndugu waliopoteza ndugu zao Ila Mungu awatie nguvu katika Dunia kunaimani nyingi sana na kila mwanadamu ana Imani yake ambayo ana Amini Ni msaada kwenye maisha yao kwahiyo tusihukumiane kwa Ajili ya imani ya mtu Mwingine prngine wewe ukajiona Bora lakini kwake Mwenyezi Mungu so bora Tumuombe Mungu atujaalie Mwisho ulio Mwema na Tukaijue kweli na Kuifuta kweli hiyo 🙏

  • @amrimalumbo1712
    @amrimalumbo17124 жыл бұрын

    Mungu ndo wa kuabudiwa ty sio Binadam mwenzako

  • @aishakhamis2996

    @aishakhamis2996

    4 жыл бұрын

    Kweli kabisaa

  • @lunyabamapesa5575

    @lunyabamapesa5575

    4 жыл бұрын

    Nakuunga Mkono Brother

  • @cydrahope5251

    @cydrahope5251

    4 жыл бұрын

    Kwani hapo we unaona anaabudiwa nani?

  • @georgebushmissg2830
    @georgebushmissg28304 жыл бұрын

    Utaulizwa juu ya vifo hivyo ,watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa mafuta ni mafuta ila Mungu ni Mungu

  • @reyjohnson624
    @reyjohnson6242 жыл бұрын

    MUNGU msaidie Baba Yetu aendelee kuombea watu kwa Iman iliyo yakwer nawatu wazidi kumwamin MUNGU AMINA

  • @alvaamisse7510

    @alvaamisse7510

    Жыл бұрын

    Hakuna hioo ata kamana mtamlilia mara ngapi Mungu hawezi saidia mtu wa shetani kama alivyo mwamposa wenu

  • @alicexavery1147
    @alicexavery11474 жыл бұрын

    Piga injili baba...injili lazima isonge mbele...majaribu ni mtaji..siyo lazima Kila mtu akuelewe...hata Yesu hakueleweka kwa Kila mtu Na hakulazimisha mtu kumwamini Na kumfata....Roho za marehemu zipumzike kwa amani...Wafiwa roho mtakatifu awape faraja yake... Amina

  • @helencharles2363
    @helencharles23634 жыл бұрын

    Nakuombea sana uishi miaka miamoja kaka Yangu mwamposa umenionyesha njia yakupita ili nisimchukize mungu wangu ubarikiwe sana

  • @shukhuranpetro5796

    @shukhuranpetro5796

    3 жыл бұрын

    Herena soma maandiko utaujua ukweli,hakuna mungu kwenye mafuta,chumvi,kitambaa,sabuni nk

  • @alvaamisse7510

    @alvaamisse7510

    Жыл бұрын

    Ni nabii wa wongo anaongozwa na freemason

  • @stanleyguthia7771

    @stanleyguthia7771

    6 ай бұрын

    ​@@alvaamisse7510 Jesus Kristo ni bwana na mwokozi wa dunia

  • @stanleyguthia7771

    @stanleyguthia7771

    6 ай бұрын

    ​@@shukhuranpetro5796 Yesu Kristo anaweza yote

  • @deuslwanga1426
    @deuslwanga14264 жыл бұрын

    YESU alisema mtaweka mikono juu ya wagonjwa nao watapata Afya, yametoka wapi ya kukanyagishana mafuta? Waurimwengu mwogopeni MUNGU

  • @emmanueljohn8970
    @emmanueljohn89704 жыл бұрын

    Mungu Azidi kuwa pamoja nawe achana na wanaokutukana Mungu atawabananisha kisawasawa, na watakuja kukuomba msamaha na Watafunguliwa, Na nguvu ya Mungu itendayo miujiza, waache wengine watapigwa na Ukoma hivi hivi wanajiona na lengo ni kufunzwa,.. Maandiko yanasema Usiwaguse wapakwa mafuta wa Bwana, sasa wewe endelea utakiona unachokitafuta. Mimi sio muumini wa dhehebu la Mwamposa ila ninaheshimu Mafuta aliyopakwa, nina amini Huduma zote Tano za Mitume na Manabii, Wainjilisti Wachungaji na walimu. 🔥 🙏 🔥

  • @boniphacemvungi9317

    @boniphacemvungi9317

    2 жыл бұрын

    Pole

  • @isayajerad

    @isayajerad

    Жыл бұрын

    wewe unafikiri mungu Ni wa kijinga kijinga tu anatumia Kira fara tafuta roho mtakatifu acha ushabiki maana Kira mmoja atasimama mbere za mungu kutoa hesabu

  • @ephraimrichard6701
    @ephraimrichard67014 жыл бұрын

    Kama umeoyona iyo gari ambayo kashuka gonga like

  • @sebastianhaward2617
    @sebastianhaward26174 жыл бұрын

    kama umemuelewa Jamaa anajua Jim's ya kuuliza maswali

  • @erodeshayo8672
    @erodeshayo86724 жыл бұрын

    Nyota izidi kungaa kwa kafara yako mzee uko vzr Siri ya maisha yako naijua mwenyewe mzee cwz kukuhukum mm Bali ni Mung pekee

  • @bulugubujashi6378

    @bulugubujashi6378

    4 жыл бұрын

    Ote mko chama kimoja kumbe

  • @neyjoseph813

    @neyjoseph813

    4 жыл бұрын

    Umuhukumu mara ngap hapo tayari ushamuhukumu na pia hongera kwa kushirikiana nae kwa maana hakuna hajuwae mchawi kama na yeye siyo mchawi

  • @neemamsanga253

    @neemamsanga253

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @user-nm1re5kp7m
    @user-nm1re5kp7mАй бұрын

    Nakupend sana mtumishi wa mungu mwamposa

  • @jeressjohn9105
    @jeressjohn91053 жыл бұрын

    Don't Give up dear Take heart mungu yupo

  • @stuartkamba1598
    @stuartkamba15984 жыл бұрын

    Mungu akubarki mwamposa uko saw tuko pamoja bro

  • @abuumaryam185
    @abuumaryam1854 жыл бұрын

    KAMA UMEONA JAMAA ANAPIGIWA SARUTI KAMA MKUU WA JESHI GONGA LIKE

  • @charlesnyembeke2985

    @charlesnyembeke2985

    4 жыл бұрын

    abuu maryam hyo Kam Sheria

  • @jenalamwanjala6729
    @jenalamwanjala67294 жыл бұрын

    Amina mtumishi mungu akutie nguvu kwa hili unalopitia

  • @GetrudaRomanus-nt3em
    @GetrudaRomanus-nt3em10 ай бұрын

    Mungu naomba ukaangalie biashara yangu mungu naomba ukaniongezee wateja pia Hela ikawe na mafanikio kwangu

  • @minzagabriel6150
    @minzagabriel61504 жыл бұрын

    🙏Amen

  • @tarsilakimaro7006
    @tarsilakimaro70064 жыл бұрын

    Imani ndio inaponya sio mafuta

  • @dainesmateru2121

    @dainesmateru2121

    Жыл бұрын

    Mungu akufanyie wepesi kwenye kila jambo na wanaokusema vibaya mungu hatawashuurikia.

  • @isayajerad

    @isayajerad

    Жыл бұрын

    razima Kira mjiga awe na mavipofu nyuma yake yamo tu yanayo sapoti ujinga wa mganga wa kienyeji mwamposa hayanaga roho mtakatifu matomaso yasiyo amini mpaga yesu atarudi haya amini tu

  • @JacklineKoko-em9xb
    @JacklineKoko-em9xb2 ай бұрын

    Mungu mwema akutie nguvu na akupe miaka mingi yenye baraka🙏🙏🙏🙏🙏

  • @charlesedson5538
    @charlesedson55384 жыл бұрын

    Mungu akulinde mtumishi, Ahsanye Yesu Christo kwa kutupenda

  • @lunyabamapesa5575

    @lunyabamapesa5575

    4 жыл бұрын

    Ataendelea Kuwaua Hao Ndo Manabii Wa Uongo Kama Yy Ni Mtume Aende Mortuary Akawaamshe wote Think Big

  • @ibrahimujumanne5555
    @ibrahimujumanne55554 жыл бұрын

    Mafuta ya upako anatoa wapi,? Mbona yesu hajayatumia

  • @gracedaffa1606

    @gracedaffa1606

    4 жыл бұрын

    Kwan ww kilakitu alichofanya yesu ndo unatakaafanye asa atakuwa mtume au yesu kaka mkubwa a have a strong mind

  • @allyhassan537

    @allyhassan537

    4 жыл бұрын

    Dah kweli pesa kuipata akili za. watu ukizitia imani unatoboa

  • @bonifacejuma8248

    @bonifacejuma8248

    4 жыл бұрын

    Acha🍁🍁🍁

  • @kirupyseleman582
    @kirupyseleman5824 жыл бұрын

    Hapa ningesababisha mimi vifo vya watu wawili msingeniona hata kwa vyombo vya habari

  • @erickjeremiah6406

    @erickjeremiah6406

    4 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/hnaTyrWcZ7DRd6Q.html

  • @godlivingjacobissangya8530

    @godlivingjacobissangya8530

    4 жыл бұрын

    Kweli hata mm naamin ila Mungu ndo anajua Siri zote

  • @elimikasasa643

    @elimikasasa643

    4 жыл бұрын

    Kweli sbb wewe si Mwamposa. Watu hutofautiana

  • @moureenbernardy4912

    @moureenbernardy4912

    4 жыл бұрын

    😆😆😆

  • @kirupyseleman582

    @kirupyseleman582

    4 жыл бұрын

    @@elimikasasa643 kwa sababu mimi sio mwamposa sawa kabisa hata ww ni kama mimk kama unabisha sababisha

  • @faineschisunga7421
    @faineschisunga74214 жыл бұрын

    Mungu azidi kukuinuwa mtumishi

  • @evaaron3078
    @evaaron30782 жыл бұрын

    Mungu Akulinde mtumishi wa Mungu Amina

  • @enockchaula6292
    @enockchaula62924 жыл бұрын

    Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa, maarifa ni neno la mungu yesu alisema hao manabii wa uongo mtawatambua kwa matunda yao mti mzuri huzaa tunda zuri mti mbaya huzaa tunda baya matunda ni matokeo ya kazi zao ,,uliskia wapi watu walikufa katika huduma ya mtumishi wa kweli wa mungu,,, watakufa sana maana walipuuzia neno

  • @tiagomilanzi3290

    @tiagomilanzi3290

    2 жыл бұрын

    MKUTANO WA Yesu watu wanakufa vp Kwa KUKANYAGANA? Hio damu iliomwagika hapo inaenda wp?

  • @fraycokahise7932
    @fraycokahise79324 жыл бұрын

    Mengi yatazungumzwa ila ukweli hautakuja kueleweka kwamba ni mafuta ya kweli au la,la msingi ni watu kumwamini Yesu kama Bwana na mwokozi wa maisha yao na kuishi maisha ya utakatifu tu ndio dawa pekee. Mtu mwenye uwezo wa kujua imani ya uongo ni ipi ni yule ambae ana ukaribu wa hali ya juu sana na Mungu katika Kristo Yesu. Wengi wanaotoa hukumu katika hili hata wao maisha yao ni machafu kwa hiyo hawawezi kutoa tafsiri sahihi. Dunia inapita pamoja na mambo yake,la msingi ni kuikwepa dhambi kwa nguvu zote na kumchukia Shetani na kazi zake kwa nguvu zote,tofauti na hapo ukweli hautajulikana na Mungu atanyamaza kimya maana wote ni wachafu hakuna wa kumkosoa mwenzake tunaishia kutapatapa tu. Nichukue nafasi hii kuwapa pole wafiwa,wanapitia vipindi vigumu tusivyovijua.Wapo ambao huenda wanefariki wakiwa wamemwamini KRISTO na huenda wamerudi kwake. Tusitukane wala kubishana,dawa ya kuushinda ubaya ni kwa kutenda mema,ukitaka kuujua uongo ni lazima uujue ukweli kwanza, na ukitaka kumkosoa mkosaji jitakase wewe na uwe na ushuhuda mwema moyoni mwako kwanza. MUNGU AWABARIKI.

  • @simonmtuka8473

    @simonmtuka8473

    4 жыл бұрын

    Amen

  • @mariamdimosso621

    @mariamdimosso621

    4 жыл бұрын

    Kweli tupu

  • @salumhemed2437

    @salumhemed2437

    4 жыл бұрын

    Apo umeenena

  • @jofreysanga9520

    @jofreysanga9520

    4 жыл бұрын

    Umeongea kitu sawa kabisa. Ubarikiwe sana

  • @jenngenes2364

    @jenngenes2364

    4 жыл бұрын

    Tuamini mafuta au tumwamini yesu nakama tuna mwamini yesu mafuta yana faida gani katika ibada kumekuwa na ukristo maigizo sana na ndio unatumaliza sisi wakristo

  • @kitasyajohn6033
    @kitasyajohn60334 жыл бұрын

    Amina sanaaaa shujaaaa mkuki wa sauli hautakupata kwa jina la yesu simama ewe shujaaaa

  • @FrankM384

    @FrankM384

    4 жыл бұрын

    Biblia inasema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa sio kosa lenu kosa ni kukosa maarifa na kuto kuijua biblia vizuri

  • @shukhuranpetro5796

    @shukhuranpetro5796

    3 жыл бұрын

    Sikumoja mtajua mafuta nnn

  • @namsamson3443
    @namsamson34434 жыл бұрын

    Sijamuelewa niliondoka kabla shida haijatokea kukimbilia kokangamano lingine..mara nilienda ili kule nako kusije kutokea shida nyingine. Mungu atafunua watu wake macho Watu wangu wanaaangamia kwa kukosa maarifa

  • @nasibugunda7927
    @nasibugunda79274 жыл бұрын

    Ukiwa ndani ya hiyo v8 ...uko sawa na aliyepanda ndege🤣🤣🤣 Mashimo unayasahau

  • @crershawmafia1009

    @crershawmafia1009

    4 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @saidabdul5586

    @saidabdul5586

    4 жыл бұрын

    Nasibu Gunda 😂

  • @patriciaboniface9975

    @patriciaboniface9975

    4 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂kabisaaa

  • @paulkessy5267
    @paulkessy52674 жыл бұрын

    Watu nyomi kanisani aisee Kama kawaida ..mwamposa oyee

  • @mlembamo

    @mlembamo

    4 жыл бұрын

    Sisi tunasema Yesu oyeee, wingi hau justify ukweli huu ni ushetani.

  • @siwemanyango7727

    @siwemanyango7727

    4 жыл бұрын

    Leo lile cheni lake hajalivaa au mpaka apande kwenye madhabahu yake YESU tuokoe na uturehemu kwa damu yako ya thamani AMEEN

  • @dasilvajunior3016

    @dasilvajunior3016

    4 жыл бұрын

    We fara nahisi ndio wale wale waliokunywa uji wa mgonjwa halafu wakafa...!!

  • @khadijakhadija6212

    @khadijakhadija6212

    4 жыл бұрын

    Paul kessy inaonekan ww humuabud Mungu unamuabudi mwanadam mwenzako huna hta aibuu eti mwamponsa oyee mxciuu 😏😏😏😏

  • @paulkessy5267

    @paulkessy5267

    4 жыл бұрын

    adija adija naisi ujanielewa kabisa ...Sina Mana iyo

  • @NeemaMinga-pl8ty
    @NeemaMinga-pl8ty Жыл бұрын

    Pole mtume, ninavyokupenda nakuombea afya na uzima baba.

  • @lidyabukhay1624
    @lidyabukhay16244 жыл бұрын

    Mungu atusaidie kuelewa kabisaa hapa ni upofu wa macho na fikraa na ndio maaana tunazidi kuangamia

  • @jumamwengwa4682
    @jumamwengwa46824 жыл бұрын

    Hv kiongoz wa kiroho anapigiwa saruti😇

  • @justinejulius3544
    @justinejulius35444 жыл бұрын

    Mwamposa ni mstarabu sana. .Jamaa wala hafanyi act nimeshawai kukutana nae sura kwa sura. . Anabusara sana. Mungu anasimamia. . Na wafiwa mungu awape nguvu

  • @TeamKRX

    @TeamKRX

    4 жыл бұрын

    Duu wee na yeye ni mashetani ya kihindi

  • @justinejulius3544

    @justinejulius3544

    4 жыл бұрын

    Tatizo unahukumu bila kujua uwezo wa Mungu. ... Mungu anajua yupi yupo sahihi. .. Sisi ni wanadam tutarudi udongoni wala hatutakiwi kuukumu

  • @simonmtuka8473

    @simonmtuka8473

    4 жыл бұрын

    @@justinejulius3544 kaka siyo kosa lao ni kosa la wale wanaopandikiza mbegu za chuki ktk mioyo yao badala ya upendo

  • @neyleepallangyo8436
    @neyleepallangyo84364 жыл бұрын

    Pole sana mtumishi wa Mungu

  • @annamakomele339
    @annamakomele339 Жыл бұрын

    Mungu ni mwema sanaa na akubarikii mwamposa

  • @officialruqaiyah2881
    @officialruqaiyah28814 жыл бұрын

    Amen I love you so much mwamposa

  • @sheryphamwenevalley6124
    @sheryphamwenevalley61244 жыл бұрын

    Kafara imefuzu, tajirika baba, wenye akili tu ndio wataelewa km hii biashara hakuna zaidi 🤣🤣 mafuta my foot

  • @praisekavy

    @praisekavy

    4 жыл бұрын

    Hujui biblia kaa kimya, mafuta yameandikwa kwee biblia

  • @khadijakhadija6212

    @khadijakhadija6212

    4 жыл бұрын

    @@praisekavy Wajinga ndo waliwao

  • @sheryphamwenevalley6124

    @sheryphamwenevalley6124

    4 жыл бұрын

    @@praisekavy 😂😂 mazezeta wengi jiongezeni mtaendelea kfa kwa uzuzu.et mafuta ywko biblia ss huyo anayatoa wapi km yapo ndani biblia 😂😂? Kufrni tu wenzenu wanatajirika kwa ujinga wenu hao ni sawa na mganga wa kienyeji utapeli tu kufeni wapumbavu🤑

  • @catherinechifebe5800

    @catherinechifebe5800

    4 жыл бұрын

    @@praisekavy wapi na niwapi ilitamkwa watu wayakanyage.....AMKA

  • @renaldajohn7844

    @renaldajohn7844

    4 жыл бұрын

    @@catherinechifebe5800 kama unajua biblia mbona unabishana?kubishana tu hairuhusiwi

  • @giftyjackson2461
    @giftyjackson24614 жыл бұрын

    Mungu akutetee mtumish wa mungu

  • @samoramkama967
    @samoramkama9672 жыл бұрын

    Mtume mungu akutie nguvu ukatende kazi ya bwana

  • @browntiger4849
    @browntiger48494 жыл бұрын

    Unaaambiwa bunduki haiui watu ila watu ndio wanaua watu mtumishi hana makosa watu ndio hawana subra wangefuata utaratibu hapangekufa mtu

  • @lastymushi4584

    @lastymushi4584

    4 жыл бұрын

    Kabisa

  • @salimdiabyonlinetv4873

    @salimdiabyonlinetv4873

    4 жыл бұрын

    Watu ndo wanaua watu, Nae ndo hao amewaua, usiusingizie utaratibu na Mafuta.

  • @anthonynyange5930

    @anthonynyange5930

    4 жыл бұрын

    Kwahyo yeye malaika au?

  • @happymeshackmas6923

    @happymeshackmas6923

    4 жыл бұрын

    Brown uko sawa ma dear ,ila unajua nn ktk mambo Kama hya ya kidn mungu atuongoze kwa kweli mungu ndo anapasw kuhukumu na c ss bnadam

  • @erickjeremiah6406

    @erickjeremiah6406

    4 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/hnaTyrWcZ7DRd6Q.html

  • @irenemwanaa8160
    @irenemwanaa81604 жыл бұрын

    Waoooo! Nimefurahi kukuonatena

  • @ibrahimmaganga3429

    @ibrahimmaganga3429

    4 жыл бұрын

    Irene Mwanaa hay

  • @irenemwanaa8160

    @irenemwanaa8160

    4 жыл бұрын

    Hi

  • @ashaali7154

    @ashaali7154

    4 жыл бұрын

    Umefurahi kumuona yeye vipi wale waliopoteza Baba, mama, watoto, na ndugu zao? Ama kweli binaadam mins ubinafsi Sana. Mungu anawaona lakini na atawahukumu tu.

  • @hellenmasasi3850
    @hellenmasasi38504 жыл бұрын

    Mungu mwema amtetee mtumishi wa Mungu

  • @robertmtiba5604
    @robertmtiba56044 жыл бұрын

    Kama umeona askar anakunja saluti gonga like

  • @omaryshabani7221
    @omaryshabani72214 жыл бұрын

    Msachi seneta kiraka KZread msanii wa singeri

  • @christophermahawi4920
    @christophermahawi49204 жыл бұрын

    Siku za mwisho, kutakuwa na manabii wa uwongo.😂😂😂.

  • @marympemba8843
    @marympemba88434 жыл бұрын

    Mungu akupiganie mtumishi wa mungu

  • @mariamhamisi7519
    @mariamhamisi75194 жыл бұрын

    Arise and shine👍❤❤❤❤❤❤❤sana !Bro Mwamposa endelea kutangaza injili , kila jaribu lina mlango wakutokea ndomana Mungu amekupa jaribu hili!! Hakuna wakukubadili kamwe ❤

  • @lameckysulumbi4727
    @lameckysulumbi47274 жыл бұрын

    Kati ya watu walio kanyaga mafuta wakapona ni mimi mmoja wapo barikiwa sana mwamposa

  • @paulinamwenisongole8804

    @paulinamwenisongole8804

    4 жыл бұрын

    Waooo nice

  • @siwemamitingimahenge5270

    @siwemamitingimahenge5270

    4 жыл бұрын

    Damu yako hawakuitaka freemason, hakuna ukweli wowote wa kukanyaga Mafuta katika biblia, masikini mnaangamia kwa kukosa maarifa kasome hayo maandiko

  • @lameckysulumbi4727

    @lameckysulumbi4727

    4 жыл бұрын

    Siwema mitingi Mahenge Uwezi kuamini lakini nimepona ugonjwa niliokuanao baada ya kukanyaga mafuta majira ya sa12.30

  • @jacksontulito38

    @jacksontulito38

    4 жыл бұрын

    Pole sana kak kwahiyo umepona kabis?

  • @jacksontulito38

    @jacksontulito38

    4 жыл бұрын

    Gharam yake ni nin?

  • @samsonmagesa3959
    @samsonmagesa39594 жыл бұрын

    Kama Umemuona Mlinzi Akipiga Saruti gonga like hapa!

  • @saidihamisi550

    @saidihamisi550

    4 жыл бұрын

    🤣🤣🤣

  • @mfamba2926
    @mfamba29262 жыл бұрын

    Mungu baba azidi kukutetea mtumishi Boniface Godwin Mwamposa Bulldozer na watumishi wote Kwa kuendeleza neno lake

  • @neemamsanga253

    @neemamsanga253

    Жыл бұрын

    Amennnn🤣🤣🤣🤣

  • @agnesschaless3261
    @agnesschaless32614 жыл бұрын

    Amina🙏🙏

  • @mosesngesi3333
    @mosesngesi33334 жыл бұрын

    Watu wapo nyomi kanisani utadhn hakukukuwa na shida tena shida ya vifooo

  • @chazijoji7183

    @chazijoji7183

    4 жыл бұрын

    Mwamposa upon vizuri, hayo ni majaribu tu, na mungu atasimama, kwa kuwa unafanya Nazi bwana,👏👏

  • @khadijakhadija6212

    @khadijakhadija6212

    4 жыл бұрын

    Wakufe tu tena maan hawasikii

  • @chazijoji7183

    @chazijoji7183

    4 жыл бұрын

    Wakufe tu, kama walivyo kufa kule maka wakati wakimpiga mawe shetani pale alkaba, usiombee binadamu wenzio vifo, tafakari juu ya maombi ya ubaya,

  • @jovintosssi3287

    @jovintosssi3287

    4 жыл бұрын

    @@khadijakhadija6212 😢😢😢😢

  • @kitasyajohn6033

    @kitasyajohn6033

    4 жыл бұрын

    Weee ulitakaje

  • @mercyjesus6637
    @mercyjesus66374 жыл бұрын

    Baba nakuombea Yesu akutie nguvu

  • @isayakimbe9610
    @isayakimbe96104 жыл бұрын

    Only GOD he know the Truth

  • @abellawilson3372
    @abellawilson33724 жыл бұрын

    Mungu akutie nguvu mtumishi ktk kipindi hiki kigumu

  • @youngmasta5444
    @youngmasta54444 жыл бұрын

    Iv kuna mtu alishawahi kufunguliwa nakua tajiri au mtumishi ndio anazid tu kua tajiri?

  • @allyfaniture404

    @allyfaniture404

    4 жыл бұрын

    Bibilia ndo nini nikae kimya ndo nini kwann ww hukuenda kufa na wale Moshi kama unaipenda Bibilia Acha ushamba ww nenda naww kafe bas

  • @bukobatalentsnanimkali9423

    @bukobatalentsnanimkali9423

    4 жыл бұрын

    @@allyfaniture404 wewe tayari unaitwa Ally na babaako ni faniture so huwezi jua chochote kuhusu bible

  • @allyfaniture404

    @allyfaniture404

    4 жыл бұрын

    Hahaha haya bhana amiin ivyo ivyo

  • @issaahmady9644

    @issaahmady9644

    4 жыл бұрын

    Wanaomtetea hao ndio wasaidiziwake hata baiskeli hawana

  • @sekundambilinyi5450
    @sekundambilinyi54504 жыл бұрын

    Kula pesa mtumishi wajinga ndio waliwao😂😂

  • @cecymaro1374

    @cecymaro1374

    4 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @siwemanyango7727

    @siwemanyango7727

    4 жыл бұрын

    🤣🤣🤣

  • @aishakhamis2996

    @aishakhamis2996

    4 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @hamisingae4963

    @hamisingae4963

    4 жыл бұрын

    hahahahaha

  • @sadamissa5687

    @sadamissa5687

    4 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂🤣

  • @ndetaulwapallangyo8408
    @ndetaulwapallangyo8408 Жыл бұрын

    Uwezi lipa dam za watu walio poteza maisha yao kwa utapeli wako zidi ya taamaa za kujipatia Mali kwa njia za Udanganyifu!

  • @luindamchwakanigee4811
    @luindamchwakanigee48114 жыл бұрын

    Da!noma sana

  • @nibomadavid1129
    @nibomadavid11294 жыл бұрын

    Kweli watu wamepigwa upofu

  • @joeljulius6389

    @joeljulius6389

    4 жыл бұрын

    Niboma David hamna kipofu wewe ndo kipofuu

  • @saidhamad5931

    @saidhamad5931

    4 жыл бұрын

    Kinapalilia ujira wake

  • @mercyjesus6637
    @mercyjesus66374 жыл бұрын

    Nimekuhurumia baba,Yesu akutie nguvu tena

  • @zakialustan722

    @zakialustan722

    4 жыл бұрын

    Juhaa

  • @princess-uf5ux

    @princess-uf5ux

    4 жыл бұрын

    Amen

  • @erickjeremiah6406

    @erickjeremiah6406

    4 жыл бұрын

    Duuh kzread.info/dash/bejne/hnaTyrWcZ7DRd6Q.html

  • @dotnatajoseph2620
    @dotnatajoseph26204 жыл бұрын

    Amina🙏

  • @rechoraymond3396
    @rechoraymond33963 жыл бұрын

    Mungu azidi kukuinua baba katika kipindi ichi kigumu

  • @eliuskamwelwe1018
    @eliuskamwelwe10184 жыл бұрын

    TOYOTA LAND CRUISER V8😂😂😂

  • @isshaclassic195

    @isshaclassic195

    4 жыл бұрын

    elius kamwelwe pesa za maskini michango yenu wenyewe

  • @erickjeremiah6406

    @erickjeremiah6406

    4 жыл бұрын

    Mwamposa

  • @wisdomuta1039

    @wisdomuta1039

    4 жыл бұрын

    Hatari sana V nane

  • @selinathidwa9783

    @selinathidwa9783

    4 жыл бұрын

    We una gari gani elius kamwelwe

  • @ramanhoibrahim3383
    @ramanhoibrahim33834 жыл бұрын

    Eeh anapigiwa na salute pia aysee 😲

  • @dainagano3656
    @dainagano36564 жыл бұрын

    Mchungaji wangu nakupenda, mungu akutie nguvu baba

  • @saidathsalum9325
    @saidathsalum93254 жыл бұрын

    Mungu akutie moyo mtumish

  • @amrimalumbo1712
    @amrimalumbo17124 жыл бұрын

    Kesho kwa Allah kuna kqz kubwa san

  • @hamidaawadhi835

    @hamidaawadhi835

    4 жыл бұрын

    Kabisa,et mtume!

  • @nasramwalimu2900

    @nasramwalimu2900

    4 жыл бұрын

    Amri Malumbo hahahhahah

  • @khadijambarouk2983

    @khadijambarouk2983

    4 жыл бұрын

    Hakika kazi ipo

  • @naimamunishi1241

    @naimamunishi1241

    4 жыл бұрын

    Sana wallah

  • @rhodamalembo7873
    @rhodamalembo78734 жыл бұрын

    Had amepungua jmn kwel hil n jarib litapita

  • @lunyabamapesa5575

    @lunyabamapesa5575

    4 жыл бұрын

    Kuua watu Ni Jaribio Ingekuwa Ww Umefiwa Ungesema Ni Jaribio Think Big

  • @issaahmady9644

    @issaahmady9644

    4 жыл бұрын

    @@lunyabamapesa5575 wizitu kama kweli mtume mbona kashindwa kuwaombea watu wakafufuka na waliolemaa wakapona? Hapo ndio utajua huyo ni mpigaji tu

  • @ashaali7154

    @ashaali7154

    4 жыл бұрын

    Yeye kapungua vipi wale ishirini ambao hawapo kabisa duniani watu wamepoteza wazazi, watoto zao na ndugu zao eti unaongelea kupunguza kweli,?

  • @hanskidd2290
    @hanskidd22904 жыл бұрын

    Alijiimbia pastor Emmanuel mgogo watu hawautaki ukweli wanataka miujiza watu hawataki kusoma neno wanafnya yao 😞

  • @khamisally6743
    @khamisally67434 жыл бұрын

    nacheka sna . al hamdulillah kua muislamu.

  • @nasloyal5886
    @nasloyal58864 жыл бұрын

    Mafuta as dangerous thing's ever 😂😂

  • @allyhassan537

    @allyhassan537

    4 жыл бұрын

    Kumbukeni kibwetere uganda alichokifanya akili yako tu

  • @cydrahope5251

    @cydrahope5251

    4 жыл бұрын

    Mmeshindwa

  • @doitampesa7449

    @doitampesa7449

    4 жыл бұрын

    @@allyhassan537 gosp

  • @abubakaryyahaya9245

    @abubakaryyahaya9245

    4 жыл бұрын

    eti uyu ninbiibkwel

  • @meryimanuel7238
    @meryimanuel72384 жыл бұрын

    Hivi Haya mafuta. Justis wap maan papa mtume Paulo mwenyew hana Mmmmmh hii Kali yao wakomexhe Mzee baba

  • @meryimanuel7238

    @meryimanuel7238

    4 жыл бұрын

    Kayatoa wap

  • @GetrudaRomanus-nt3em
    @GetrudaRomanus-nt3em10 ай бұрын

    Mungu akutie nguvu mwamposa

  • @brightonchedego8100
    @brightonchedego81004 жыл бұрын

    Kama umemsikia mtangazaj alitaka kujchanganya kwa kuanza kumwambia Mambo vipi naomba tujuane🤣🤣😂😂😂

  • @bricthamahwinku566

    @bricthamahwinku566

    4 жыл бұрын

    Mbona nimerudia kusikiliza sijaona😃

  • @isdorysilivery5722

    @isdorysilivery5722

    4 жыл бұрын

    V8 imemchanganya

  • @brightonchedego8100

    @brightonchedego8100

    4 жыл бұрын

    Sikiliza kwa makini mwanzo wa salamu😂😂🤣🤣🤣

  • @naimamunishi1241
    @naimamunishi12414 жыл бұрын

    Hamna kitu apo utapeli tu,kaifanya dini kuw biashara tu hapo...waliemtuma wamefaulu sasa akili kwenu endeleen kumfwata...Akili kunkichwa apo

  • @maryangela107

    @maryangela107

    4 жыл бұрын

    Tuliza kimdomo chako wewe dada Acha kuongelea uchawi kwenye mdomo wako Acha laana zako fanya yako

  • @chazijoji7183

    @chazijoji7183

    4 жыл бұрын

    Hanna kitu hapo, wewe una nini? kama hamnakitu wewe ulika kuwe na nini, mbona maka watu wanakufa kwenye hija tena wengi lakini watu hawaachi kwenda kuhiji,

  • @neylatikilango401

    @neylatikilango401

    4 жыл бұрын

    @@chazijoji7183 atapeli na yy kama rahisi

  • @bahatiagustino5047

    @bahatiagustino5047

    4 жыл бұрын

    Naima pole kwa sababu hujui mafuta na hujawahi fika fika uone siyo unasema matapeli wew ndo tapeli

  • @deborahrehema5819
    @deborahrehema58194 жыл бұрын

    Mungu awasameheee maana wote mnajuana

  • @user-ng6yt2od7l
    @user-ng6yt2od7l2 жыл бұрын

    Mwandishi big up unajua Kazi yako

  • @tabumussa9406
    @tabumussa94064 жыл бұрын

    jikisanyie mapesa ya mazumbukuku hao si wanaleta wenyewe bwana

  • @praisekavy

    @praisekavy

    4 жыл бұрын

    Biblia hujui kaa kimya

  • @agneslimbe578

    @agneslimbe578

    4 жыл бұрын

    Na kweli awajielwi kabisa hao

  • @chrismassawe326

    @chrismassawe326

    4 жыл бұрын

    Nabii alietoa wengine sadaka

  • @stanleyrububura4000

    @stanleyrububura4000

    4 жыл бұрын

    Acha dharau na kumwita mwanadamu mwenzako zumbukuku, jiheshimu au unadhani ww ni wa thamani au wa maana sana kuliko wengine?

  • @stanleyrububura4000

    @stanleyrububura4000

    4 жыл бұрын

    @@agneslimbe578 Muwe mnaweka akiba ya maneno.

  • @mpwapwamedia7279
    @mpwapwamedia72794 жыл бұрын

    Vijimama Ndo viko shapu kuchangamkia mafuta yani wanawake sijui watazinduka linii walianza kuzingua eden,hawajakoma aloo jamani jamani mbona mna macho na hamuoni roho inaniuma sana

  • @maryjoseph1949
    @maryjoseph19494 жыл бұрын

    Mungu unae muabudu akutie nguvu yakusonga mbele because dhahabu ili ingae nilazma ipitishwe kwenye moto.

  • @magrethsanga942
    @magrethsanga9424 жыл бұрын

    Mtumishi simama na neno wa kuhukumu ni Mungu si mwanadamu Isaya 41 10:_15

  • @devotamkwawi7145

    @devotamkwawi7145

    4 жыл бұрын

    Mungu azidi kukuinua kwenye huduma yako. Nimefurahi kukuona tena unasimama na neno la mungu

  • @dnaofgodtv4873
    @dnaofgodtv48734 жыл бұрын

    Usicheze na kitu "unafiki"!!!

  • @agneslimbe578
    @agneslimbe5784 жыл бұрын

    Unaambia watu wamuamini mungu mbona we unatembea na walinzi kibao inamaana weww uamini Mungu ,jamani binadam

  • @florakabado3543

    @florakabado3543

    4 жыл бұрын

    Angines omba Mungu akupe hekima sana usiwe na mihemuko ya kutukana mtumishi.

  • @erickjeremiah6406

    @erickjeremiah6406

    4 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/hnaTyrWcZ7DRd6Q.html Duuh mwamposa

  • @chikumuya8063
    @chikumuya80634 жыл бұрын

    Amen baba, napokea kufunguliwa

  • @wavinonoclassic1274

    @wavinonoclassic1274

    4 жыл бұрын

    Chiku Muya hongera sana

  • @ramosfally2318
    @ramosfally23184 жыл бұрын

    kwa allah kuna kazi sana sema kila mtu na njia yake akuna kucheleweshana .piga pesa wacristo si wamilala bwana.afu jama ni fremasson kama nihona bendera ya mericani na msumbji inakuaje kafala imikubalika.im musilim kudadeki

  • @alphoncegambuna440

    @alphoncegambuna440

    4 жыл бұрын

    Wivu tu unakusumbua we jahidina mambo ya wakristo yanakuhusu nini?

  • @iflamusa7645
    @iflamusa76454 жыл бұрын

    Jaman nimefurah kumuona mtumishi wangu hadi raha jaman mpak amepungua

  • @barakajoseph202

    @barakajoseph202

    4 жыл бұрын

    Mwuuuu

  • @FrankM384

    @FrankM384

    4 жыл бұрын

    Sawa na raha lkn huwezi jua maumivu tulio jisikia wengine kwa mungu wote tupo kwenye foren na huyo mwamposa wenu sie atakae wapeleka mbinguni ila na yeye yupo kwenye foleni muabuduni tu

Келесі