Sijawahi Kusema, Ninao Maadui Mtume Mwamposa

Ойын-сауық

Kuendelea kupata mafundsho mengine zaidi tufuatilie kupitia mitandao yetu ya kijamiii:-
Facebook : / gospeltvshow
Instagram : / chomozanews
KZread : kzread.info?su...
#ChomozaTv#Mwamposa#UwezaWaMungu.

Пікірлер: 131

  • @matridaignas8255
    @matridaignas82553 жыл бұрын

    Ubarikiwe mtumishi wa Mungu,unamafundisho mazuri! Kupitia maombi yako nimefunguliwa na nimepona! Uishi miaka mingi

  • @JescarMwakipesile
    @JescarMwakipesile12 күн бұрын

    Ni mbaya sana watakatifu kutoelewana. Mungu atupe ufahamu wa Kiroho. Tuombeani tusihukumiane wala kudharauliana. Mungu atusaidie.

  • @jacklinebirusha292
    @jacklinebirusha2922 жыл бұрын

    Mafundisho mazuri sana hayachoshi kusikiliza asifiwe Mungu aliyekuleta Duniani kwa jina la Yesu Kristo

  • @rehemashaban6858
    @rehemashaban68584 жыл бұрын

    Asante sana baba wengi wetu tupo siku ya pili mungu atutie nguvu kweli

  • @anordsakaya9852
    @anordsakaya98524 жыл бұрын

    Eeeh Mungu naomba nikitoka kwenye Siku ya kwanza unipaishe mpaka Siku ya tatu maana Siku ya pili inakatisha tamaa.Amen. @HATARI YA SIKU YA PILI.

  • @willymfilima9936
    @willymfilima99362 жыл бұрын

    Mtume uko vizuri,ufanikiwe sana...!

  • @user-qv6fe2qt5r
    @user-qv6fe2qt5r17 күн бұрын

    Yaan mtumishi una hekimaa wewe ndo màana sichoki kusikiliza mahubili yako🙏🙏

  • @banguha
    @banguha Жыл бұрын

    Asante mtumishi kwa kweli mim nimekuwa nikiomba na kufunga lkin kazin kwangu ndo kwanza bos anazidisha chuki leo umenipa somo kumbe niko siku ya pili hakika leo nimeamka nimekata tamaa Mungu anisaidie na anisamehe kwa kukata tamaa kwangu

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith54792 жыл бұрын

    Manung'uniko ni dhambi,yanaongeza uharibifu🙏

  • @emmymatigula4870
    @emmymatigula48703 жыл бұрын

    Asante MUNGU ALIYEHAI,nimepokea kupitia kinywa cha Mtumishi wako.Amina

  • @dorotheawilliam2982
    @dorotheawilliam29822 жыл бұрын

    Amina nimepokea nimepona na nimeshinda kabla ya kushinda pia Mungu naomba univushe haraka siku ya pili

  • @gracepaulo7354
    @gracepaulo73543 жыл бұрын

    Nabarikiwa sana mtume..nakupenda pia baba wa iman ubarikiwe sana

  • @kenethkayuni8658

    @kenethkayuni8658

    2 жыл бұрын

    Ubarikiwe mtumishi waMungu uishi miaka 100

  • @WinWilly4162
    @WinWilly41624 жыл бұрын

    Ahsante Apostle,nimejifunza kitu kikubwa sanaa

  • @elinemsuya8651
    @elinemsuya86512 жыл бұрын

    Duuh I like this man of God

  • @rehemaiyanga5334
    @rehemaiyanga53343 жыл бұрын

    Apostle namuelewa sana hakika kaletwa na Mungu haleluya

  • @mukembanyikalinda8908
    @mukembanyikalinda8908 Жыл бұрын

    Mimi nayapenda saana

  • @graceasukile7029
    @graceasukile70292 жыл бұрын

    Namuelewa sana huyu Mtumishi..hakika Mungu,azidi kukutumia..japo ni ngumu sana kueleweka na walio wengi..

  • @HelenaTembo-dz4pr
    @HelenaTembo-dz4pr Жыл бұрын

    Ubarikiwe sana Kwa Kaz njema hata yesu wakuu wa makuhani wali msulubisha tupo pamoja

  • @mbassa5070
    @mbassa5070 Жыл бұрын

    Baba anahekima sana

  • @jengatech_tanzania
    @jengatech_tanzania4 жыл бұрын

    Amen apostle

  • @aleckkinyoa6571
    @aleckkinyoa65713 жыл бұрын

    Ameen baba Neno hili limegusa full maisha yangu niombee nivuke salama siku hii ya pili

  • @JanethAmosi-i1f
    @JanethAmosi-i1f24 күн бұрын

    Mungu akuweke mtume

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith54792 жыл бұрын

    Safi sana,Bwana ana watu I jus love this revelation!🙏Yesu ni Mungu, hallelujah

  • @stelladomani4429
    @stelladomani44294 жыл бұрын

    Apostle nahitaji hicho kitabu.nguvu ya kuona ninacho kizuri sana. Mungu akubariki sana.

  • @prijoseph4665

    @prijoseph4665

    5 ай бұрын

    Habari Mpendwa

  • @julianlaurent2107
    @julianlaurent21073 жыл бұрын

    Yaani mtume baba wa Imani wengi wamepona kupitia maombi yako

  • @Jasinthaamon
    @Jasinthaamon8 ай бұрын

    Ameeeeeeeeen 👏👏👏👏

  • @graysonkewe1004
    @graysonkewe10042 жыл бұрын

    Amen Baba, Asee am never the same

  • @MWAMASIMBI_TV
    @MWAMASIMBI_TV2 жыл бұрын

    This is deep Major

  • @user-nf9nw7xd6y
    @user-nf9nw7xd6y7 ай бұрын

    Mtumishi wangu pendwa Mwamposa amenipa amani na kuijua kweli

  • @ameniameni617
    @ameniameni6173 жыл бұрын

    Amen mtumishi kitabu cha nguvu yakuona kimenisaidia kuwa na Imani kubwa pia mafundisho yako yamenijenga mpaka sasa siogopi chochote .Mungu azidi kukuinua

  • @senimsangi677
    @senimsangi677 Жыл бұрын

    Asante sana mtumishi wa wangungu nimejifunza mengi na nimebarikiwa sana

  • @sarahmgaiwa8808
    @sarahmgaiwa88082 жыл бұрын

    Barikiwaa mtumishi wa MUNGU

  • @zainatoji1965
    @zainatoji19653 жыл бұрын

    Asante mtume nimepona magonjwa mengi kupitia mungu wa mwamposa ndoa yangu inapona mungu azidi kukupa maono

  • @hongeradulle1553

    @hongeradulle1553

    3 жыл бұрын

    Aminaa naamini Nani nitapona kwa jina la yesu aminaa

  • @gladnessjoseph9847
    @gladnessjoseph9847 Жыл бұрын

    Mungu akutunzeee babaaa naponaaa kwa mafundisho tu

  • @vujadonald2244
    @vujadonald22446 ай бұрын

    Bonge la mafundisho barikiwa mtumishi

  • @zulfafengu3783
    @zulfafengu37836 ай бұрын

    Mbona Sasa hivi chomoza mwamposa atumuon chomoza

  • @AshuraYasini
    @AshuraYasini9 ай бұрын

    Ameen mafundsho haya nimeyaelewa mungu akubariki mtumishi

  • @carenhilary8067
    @carenhilary806710 ай бұрын

    Haleluya, nimepata kitu zaidi ya Madini.

  • @mberwasevelian7406
    @mberwasevelian74068 ай бұрын

    Mungu wa madhabau ya rise and shine bariki kazi ya mikono yangu nyota yangu ingae Kila niendako nipendwe nakila mtu nizidiwe mafanikio makubwa nimiliki pesa na Mali Kila nifanyalo lifanikiwe niwe tajili mkubwa ninuke nakuangaz Kila Kona nipendwe mpk nizidiwe

  • @Jasinthaamon
    @Jasinthaamon8 ай бұрын

    Jamani SoMo zurii mnoooo

  • @venitarugemalila9290
    @venitarugemalila929010 ай бұрын

    Ameeeni nimepokea

  • @odethadeodatus5906
    @odethadeodatus59064 жыл бұрын

    Barikiwa sana Mtumishi kwa mafundisho yako mazuri ya kutufundisha lmani .

  • @lavianaalbert9006

    @lavianaalbert9006

    3 жыл бұрын

    Kiukweli umenivusha sana sku pili nimekua jasri siogopi wala stajibizana na watesi

  • @dianamwakitega6111
    @dianamwakitega61113 жыл бұрын

    Asante mtumishi wa Mungu

  • @aloycekibiki9618
    @aloycekibiki96189 ай бұрын

    Songa mbele mtumishi wa Mungu

  • @johnnjau2028
    @johnnjau202811 ай бұрын

    Dah kiukweli nimejifunza sana

  • @pauloalex5152
    @pauloalex51522 жыл бұрын

    Amna mtumishi

  • @amokizzymc705
    @amokizzymc7053 жыл бұрын

    Ubarikiwe sana mtume mungu akuweke miaka mingi sana

  • @pastorgodsonjohn8562
    @pastorgodsonjohn85623 жыл бұрын

    Kitabu kinapatikanaje hicho

  • @wordoffaithanddeliverencem4365
    @wordoffaithanddeliverencem43652 жыл бұрын

    Neno la kweli kabsa

  • @Rodahpaschal
    @Rodahpaschal Жыл бұрын

    Anaongea point

  • @mukembanyikalinda8908
    @mukembanyikalinda8908 Жыл бұрын

    Ubarikiwe saana

  • @yasinijuma6646
    @yasinijuma6646 Жыл бұрын

    absalute mr. mwamposa

  • @jeressjohn9105
    @jeressjohn91053 жыл бұрын

    Barikiwa sana 🙏🙏

  • @benjaminlijongwa3715
    @benjaminlijongwa37153 жыл бұрын

    Watesi wangu wa siku ya pili wajiandae kunishuhudia nikila Bata mbele yao siku ya tatu imekaribia

  • @pastorgodsonjohn8562
    @pastorgodsonjohn85623 жыл бұрын

    Mwambie dr sam akanyage chini ananinginia kwa kiti sjui haumii😂😂😂

  • @yohanayohana888
    @yohanayohana8882 жыл бұрын

    Amen

  • @edykiwele878
    @edykiwele8782 жыл бұрын

    Duh una mawe yakujenga na kuokoa we noma

  • @elizabethkambi5221
    @elizabethkambi5221 Жыл бұрын

    Mafundisho mazuri sana

  • @madatapeter2218
    @madatapeter22183 жыл бұрын

    Amini kua ukiona unapata madui ndio utapa mafanikio kumbe nilikua sijui kumbee ukiwana maono nilazima upte madui ameni nashukuru Sana kwa kujua hii 🙏🙏🙏🙏ameni

  • @nzumimawa9853
    @nzumimawa9853 Жыл бұрын

    Kwa kweli Akili aliyonayo Apostle Mwamposa kama ni degree za duniani sijui zingekuwa ni ngapi. Naomba Mtumishi atutoletee hicho kitabu cha siku ya pili uchambuzi wake umenishangaza sana kwani si rahisi kama mtu wa kawaida anavyoweza kufikiri, cha nguvu ya kuona chenyewe kinanitoa jasho, I sometimes fail to read between the lines and keep on repiting.

  • @aleckkinyoa6571
    @aleckkinyoa65713 жыл бұрын

    Ameen ndimi mrs Aleck

  • @lilyrose7983
    @lilyrose79834 жыл бұрын

    Ameen mbarikiwe sana

  • @kyaruzitz4994
    @kyaruzitz49944 жыл бұрын

    MUNGU AWABARIKI SANA

  • @matridaignas8255

    @matridaignas8255

    3 жыл бұрын

    Ameeeeeen

  • @tezrantangeki5845

    @tezrantangeki5845

    3 жыл бұрын

    Amen! Barikiwa mtume! Unafundisha kwa umakini mkubwa,mno!

  • @semakogamtende3929

    @semakogamtende3929

    3 жыл бұрын

    Mungu akubariki sana mtumishi

  • @simonielisha9041
    @simonielisha90413 жыл бұрын

    Naelewa Sana Hapa unachokosema mtume

  • @roselugendo6943
    @roselugendo69433 жыл бұрын

    Asante baba kwa somo zuri

  • @paskalmagiri4466
    @paskalmagiri44663 жыл бұрын

    Bwana mwenyewe ana maadui ufu 12;7_20

  • @rainfalling103
    @rainfalling1033 жыл бұрын

    Ameni!

  • @daudisaba7808
    @daudisaba78082 жыл бұрын

    Hapa ktv tanzania

  • @johnnjau2028
    @johnnjau202811 ай бұрын

    Amen halelluhy

  • @adarashidi8178
    @adarashidi81782 жыл бұрын

    Amen 🙏🙏🙏

  • @lovenessmwamengo7090
    @lovenessmwamengo70902 жыл бұрын

    Jamani tunaitaji kitabu hicho

  • @elizabethmgimba
    @elizabethmgimba Жыл бұрын

    Amna

  • @amashalwijajo5698
    @amashalwijajo5698 Жыл бұрын

    mafundisho mzr sana

  • @happinessakim2679
    @happinessakim2679 Жыл бұрын

    🙏🙏🙏

  • @naikenjau1686
    @naikenjau1686 Жыл бұрын

    Kweli kabisa bila maadui hufikiii mafanikio yako

  • @venitarugemalila9290
    @venitarugemalila929010 ай бұрын

    Unapoinuka au inuliwa adui au maadui lazima

  • @analucas7606
    @analucas7606 Жыл бұрын

    Amém

  • @noelmarapachi1808
    @noelmarapachi18084 жыл бұрын

    Kazi nzuri wapendwa, ila ficheni hizo transmitor za mic

  • @atanito1327

    @atanito1327

    3 жыл бұрын

    udat iyooo aninga'ng'nie

  • @albertomsolansimbi1512
    @albertomsolansimbi1512 Жыл бұрын

    So inspirational!

  • @leonardmtweve

    @leonardmtweve

    Жыл бұрын

    Wewe Ni Mtume wa kweli kutoka kwa MUNGU hakika mapenzi ya MUNGU yaendelee kutimizwa kwenye maisha yetu sisi wanadamu wote Katika Jina la YESU KRISTO AMEEN . MUNGU akulinde zaidi Mtume wetu Boniface Mwamposa ❤️❤️❤️

  • @pastorsthenksrojaskapunga6843
    @pastorsthenksrojaskapunga684311 ай бұрын

    Akili inaitajika hekika kweli kuishi na ndugu hekika

  • @seniorprophetmaxmbise737
    @seniorprophetmaxmbise7372 жыл бұрын

    ✋✋✋👏

  • @paulmassawe1591
    @paulmassawe15912 жыл бұрын

    Mwandishi anamawenge kweli kweli wanaume weupe Ndio kawaida yao

  • @RaphaelGerald-ip4vs
    @RaphaelGerald-ip4vs2 ай бұрын

    Hatali yacku yapili

  • @user-nf9nw7xd6y
    @user-nf9nw7xd6y7 ай бұрын

    Mtangazaji unachekacheka tulia usikilize nn mtumishi anaongea

  • @atanito1327
    @atanito13273 жыл бұрын

    aleluyaaa naomba bos wangu aniogope hata kuniomba hesabu yake na kila anae nidai aniogope kwa jina la yesu amen

  • @joycechaz2840

    @joycechaz2840

    3 жыл бұрын

    Lipa madeni ya watu huko!! wakuogope nini wakati ulikopa

  • @joycechaz2840

    @joycechaz2840

    3 жыл бұрын

    Boss asikuombe hesabu kweli? Ungekuwa wewe ndo boss ungejiskiaje?

  • @jonathanmnyone4003

    @jonathanmnyone4003

    2 жыл бұрын

    Nadhani unamuelewa vibaya Apostle. Hakuwa anamaanisha usiwajibike. Ni wajibu wako kulipwa deni na kutimiza kazi ulizopewa na boss wako.

  • @jonathanmnyone4003

    @jonathanmnyone4003

    2 жыл бұрын

    Kulipwa= kulipa

  • @archkeels3753

    @archkeels3753

    Жыл бұрын

    Nataka nisikuelewe lakin najikuta ovias

  • @janetmwasokwa4016
    @janetmwasokwa4016 Жыл бұрын

    Nivushe siku ya pili leo baba na niupushe na madui

  • @seebs1156
    @seebs11563 жыл бұрын

    Nimejifunza kitu kuhusu siku ya pili

  • @shadrack1425
    @shadrack1425 Жыл бұрын

    Mwamba huyo

  • @yohanayohana888
    @yohanayohana8882 жыл бұрын

    🙏🙏🙏🙏🤣🤣

  • @user-wz8xc6gz5q
    @user-wz8xc6gz5q7 ай бұрын

    Kiki tka hcho kitabu cha mateso sku ya pili mtangaze

  • @priscadaniel7
    @priscadaniel73 жыл бұрын

    Mutume mwpoosa mungu awe na wewe siku zte tumepona kupitia wewe

  • @jastinshukabwanakatikatiya7230

    @jastinshukabwanakatikatiya7230

    3 жыл бұрын

    Amina mtumishi nimebarikiwa sana na mafundisho yako

  • @omarikereda2888

    @omarikereda2888

    3 жыл бұрын

    Ubatikiwe Sana mtume,nimefunguliwa,nimepokea,nimezidishiwa imani

  • @hongeradulle1553

    @hongeradulle1553

    3 жыл бұрын

    Namimi naamini nitatembea kwa uwezo wa mwenyezi mungu amina

  • @kiazikitamu3985
    @kiazikitamu39853 жыл бұрын

    Watu waliomfata Yesu awaombee walisema shida zao hawakuzificha kama unaumwa sema naumwa usisemw siumwi kama hauumwi unahitaji maombi ya nini, wogonjwa ndio wanaomfata Daktari si wazima, halafu Yesu alisema nimekuja kwa ajilinya wenye dhambi na wale wenye ndambi walimpokea hawakukana kwamba hawana dhambi,batimayo alipoulizwa unataka nini batimayo alijua yeye ni kipofu na akamwambia Yesu ninataka kuona hivi Batimayo angeficha tatizo lake je angeponywa? Utakuta mtu anakataa eti haumwi wakati unamwoma anakwenda hospitali au anakwenda kuombewa wakati kasema haumwi duh inachanganya sana

  • @phinaisaya3953
    @phinaisaya39533 жыл бұрын

    Huyu ndo baba yangu wa kiroho, wachape neno baba hapo watatafutana hao

  • @davidwilliam1189
    @davidwilliam11893 жыл бұрын

    Jamani hivi mmesahau huyu ndio alisababisha Yale mauaji ya moshi pale

  • @lavianaalbert9006

    @lavianaalbert9006

    3 жыл бұрын

    Hujatushawishi kwa uongo wako watu tushapona tunarojua hirotu uongo peleka huko

  • @yasinijuma6646
    @yasinijuma6646 Жыл бұрын

    J

  • @charlesjamesmwandusa

    @charlesjamesmwandusa

    Жыл бұрын

    Mtumishi unanipa somo kubwa

  • @davidwilliam1189
    @davidwilliam11893 жыл бұрын

    Wewe ni mtume wa kuua watu mwamposa

  • @rehemaconeriocostance9011

    @rehemaconeriocostance9011

    3 жыл бұрын

    Usiukumu usijr ukaukumiwa, unaushahdi gani juu ya hilo

  • @rehemaconeriocostance9011

    @rehemaconeriocostance9011

    3 жыл бұрын

    Usiukumu usijr ukaukumiwa, unaushahdi gani juu ya hilo

  • @ameniameni617

    @ameniameni617

    3 жыл бұрын

    David William mwamposa kwani aliwangonga au aliwapa Sumu au aliwapiga Risasi Moshi mbona waislamu wakienda kuiji maka wanakufa nawatu awaachi kwenda tena

  • @lavianaalbert9006

    @lavianaalbert9006

    3 жыл бұрын

    Wivu nikidonda farisayo kaumia na huyu mungu ahusike na kinywa chako akufundishe

  • @elizabetty-rt7py
    @elizabetty-rt7py3 ай бұрын

    Amen

  • @sekelagatusekelege9325
    @sekelagatusekelege9325 Жыл бұрын

    Majibu yanayojitosheleza

  • @RaphaelRoyal-yb3bg
    @RaphaelRoyal-yb3bg Жыл бұрын

    Amen

  • @GreatCalmtz
    @GreatCalmtz3 жыл бұрын

    Amen

Келесі