ALIE TOKA KUZIMUNI KATOBOWA SILI YA MANABII WA UONGO WOTE SHUHUDIA MANABII HAWOO 2

Пікірлер: 151

  • @user-os3tg5bo6v
    @user-os3tg5bo6vАй бұрын

    Wewe hujifunzi na kuokoka wakala wa shetani na hayo unafikiri utumishi wa Mungu ,kuzimu okoka.Amen

  • @user-eq9hl9vg2x
    @user-eq9hl9vg2x6 ай бұрын

    Mungu akusaidie sanaa maan naona unataka kumgombanisha mtumishi Amieli na watu wengne Tena ushindwe katika Jina la yesu muache mtumishi wetu wew ni muogo mkubwa Tena usirudie tenaa muongop mungu

  • @lydiahnabwire128
    @lydiahnabwire1285 ай бұрын

    Mtumishi katekela Mungu akulinde saana vita sio vyako ni vya Mungu mwachie Yesu akupiganie

  • @user-os3tg5bo6v
    @user-os3tg5bo6vАй бұрын

    Sauti ni KATE KELA, picha ni Isaya Benson Nabii na Mwalimu wa uongo wakala na mjumbe ktk timu ya manabii wa uongo wa Arusha.Amen

  • @LodvolaLameck-jl5vs
    @LodvolaLameck-jl5vs Жыл бұрын

    Picha alizoweka hazina uhusiano na anchosema ingawa miongoni mwao wapo wa uongo

  • @BeullahBujah-lk3sx
    @BeullahBujah-lk3sx4 ай бұрын

    Ubarikiwe

  • @user-fu6fx8if6w
    @user-fu6fx8if6w4 ай бұрын

    Anacho sema davy sio kweli,Hawafi nabii, Amiel Katekela alitoka,wengi sana wametoka kina cassian,wako hai hadi leo.hapo kidogo sijakuelewa,acha Yesu Kristo atusaidie.

  • @linetmusee6431
    @linetmusee6431 Жыл бұрын

    Mwenye anasimulia ni mchungaji Amiel Katekela

  • @mjumbewaaganoduniani
    @mjumbewaaganoduniani Жыл бұрын

    Njinsi ya kuwatambua manabii wengi wa uongo,Yesu alisema mtawatambua kwa matunda yao, matunda yapi? Mafundisho ya mwilini vitu vya duniani,mali vitu vya kimwili,maji,chumvi,udongo,nywele nk. Aliyetumwa na Mungu hunena habari njema ya ufalme wa mbinguni Neno,Yohana 3:31-36. Yohana 8:43-47.

  • @Bénigne-k4x
    @Bénigne-k4x16 күн бұрын

    Jamani nilimfata Mch katekela ila yeye hakutaka kuwataja kwasababu yakulinda heshima YaMungu na akasema wenda rabda yawezekana wakaokoka rakini hakutaja mnabii hata mmoja,sasa huyo naye ninini?mbona anaweka picha

  • @elisantechanjarika1531
    @elisantechanjarika1531 Жыл бұрын

    Muonyeshe sura anayeongea acha kuigiza tunamfahamu mtumiahi wa Mungu anayeongea

  • @florianruttahindurwa1189

    @florianruttahindurwa1189

    Жыл бұрын

    Anaitwa aminiel katekela

  • @FlauraceNako-lm3pw
    @FlauraceNako-lm3pw Жыл бұрын

    Ubarikiwe Sana mtumishi nakufata kutoka Congo

  • @usausatv2781

    @usausatv2781

    Жыл бұрын

    Karibu Keribu Kwetu Tanzania

  • @simonsimolo9576
    @simonsimolo9576 Жыл бұрын

    Amen

  • @linetmusee6431
    @linetmusee6431 Жыл бұрын

    Amina! Amina! Mchungaji Asante sana

  • @janewanjiru9062

    @janewanjiru9062

    Жыл бұрын

    Kwanini picha na sauti haiendani huyo ni amiel katekela wacheni cha ovyo!

  • @janewanjiru9062

    @janewanjiru9062

    Жыл бұрын

    Kwanini picha na sauti haiendani huyo ni amiel katekela wacheni cha ovyo!

  • @user-vo6vl1hq7x
    @user-vo6vl1hq7x Жыл бұрын

    Muongo we we unachafua watumishi wa Mungu tu. Labda una Mungu wako anaekufahamisha uongo ila sio Mungu huyu ninaemjua.

  • @christophermwandemange796
    @christophermwandemange796 Жыл бұрын

    Gwajima ni Mtumishi wa Mungu, wewe umechanganya katekela mwenyewe anajua

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu42479 ай бұрын

    Jamani mbona kama haongei mwenyewe au macho yangu nisaidieni

  • @lydiahnabwire128

    @lydiahnabwire128

    5 ай бұрын

    Kweli sio yeye anae ongea ,anae ongea ni pastor katekela alie kua mchawi sai anaubiri

  • @godfreymollec8206
    @godfreymollec8206 Жыл бұрын

    Wacheni michongo zenu za uchochezi kumchongasha katekela na watu ': katekela ameongea tu hakumtaja mtu jina wee unaye unga unga picha zako tumejua ni mbinu zako 'lakini haitfaulu ktk jina la yesu kristo wa nazareti

  • @sarahmaro215

    @sarahmaro215

    Жыл бұрын

    Watumishi wa shetani wanatumiwa ili kuzuia vurugu, washindwa kwa Jina la YESU.

  • @PeterSavery-td3tz
    @PeterSavery-td3tz11 ай бұрын

    Barikiwa

  • @lebeka2951
    @lebeka2951 Жыл бұрын

    Ongera sana mtumishi wa mungu ila wataje majina tuu na mungu wa mbinguni akubaliki na damu ya yesu ikufunike

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    Жыл бұрын

    Mmm huyo naye tu ni free mason

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Жыл бұрын

    Ni kweli

  • @lindakapongo8421
    @lindakapongo8421 Жыл бұрын

    barikiwa

  • @venancemgani2041
    @venancemgani2041 Жыл бұрын

    Aaa siamini huo nao ni uongo

  • @usausatv2781
    @usausatv2781 Жыл бұрын

    Nikwamba Mtumishi Alie Wakweli Hawezi Kubadilishwa Na Video Hizo Zinazowekwa KZread Nikwamba Mtumishi Kati Yahawa Unaowaona Hapa Mkweli Mingu Anamjuwa Asiekua Mkweli Mungu Anamjuwa Hakuna Anayeweza Kualibu Jina La Mtumishi Wa Mungu Kweli Kipitia Njia Hii Anaechafuka Ni Mtumishi Mhongotu

  • @pirminmatumizi5464
    @pirminmatumizi5464 Жыл бұрын

    Huyu mnyakyusa tapeli kweli kweli, hii si sauti ya mch. Emiel Katekela?

  • @abduljumaa4376
    @abduljumaa4376 Жыл бұрын

    Wew mwenyewe kiazi😂😂

  • @user-qk9iz5lt8q
    @user-qk9iz5lt8q11 күн бұрын

    Picha ni ya MWALIMU WA uongo anayeitwa BENISON MWAKILEMBE MSEMAJI NI MCHUNGAJI A . KATEKETEKELA SASA IMEKUWAJE HAPA ?

  • @user-sf1xb9kz5n
    @user-sf1xb9kz5n6 ай бұрын

    Kama umeamuwa kuokoka wataje hawo manabi usiogope mana watu wanazidi kupotea

  • @gracious6317
    @gracious6317 Жыл бұрын

    Nashangaa anayeongea ni mch Amiel katekela na hata maneno Yako haiyendani na maongeo yake kama mnania ya kumchochea hamtaweza kwa Jina LA yesu mshinwe.

  • @kaskereuinfo2181
    @kaskereuinfo2181 Жыл бұрын

    Apana, sio lazima afe wacha uongo, kuna wengi waliokombolewa, na wapo

  • @user-gl2qf3rh2j
    @user-gl2qf3rh2j Жыл бұрын

    Jamani njoo na iringa makambako mtumishi utoe sili hizo

  • @zawadimasweto8460
    @zawadimasweto8460 Жыл бұрын

    Kakobe na gwajima ni watumishi wa Mungu aliehai mapungufu yapo maana hakuna aliehai mwenyehaki lakini acheni kuwachafua watu wa Mungu katekela anasema kweli lakini hapa hajawataja Hawa

  • @MeshackyElia
    @MeshackyElia8 ай бұрын

    Hii ni sauti ya Katekela picha mtu mwingine

  • @frimasonidunia86
    @frimasonidunia86 Жыл бұрын

    Kaz

  • @gildernicco2492
    @gildernicco2492 Жыл бұрын

    Mbona sio yeye anaongea mdomo haviendani na maneno

  • @catherinenicander7468
    @catherinenicander7468 Жыл бұрын

    Soma vizuri biblia na ufundishe watu neno sio uongo,sie tunajua Nani nabiii wa uongo,Saba mungu alisema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.tafuta maarifa yakumjua mungu omba hayo malango yaharibiwe sababu Mungu alisema ombeni chochote kupitia mwanang nitatenda,we unataja tu ili iweje Bora unyamaze

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 Жыл бұрын

    Endelea kutaja si kwa majina bali kwa wapi wanakohudumu kama ulivyosema Arusha imetosha. Tueleze wale wa Dar kwa kutaja maeneo walipo bila kutaja majina. Kwa kukaa kimya Mungu atakulaumu kwasababu utaacha watu waendelee kwenda huko. Tafadhali tutajie maeneo tu sisi tutaunganisha dots au kujiongeza tutajua. Utakuwa umetusaidia sana tutoke kwenye maangamivu.

  • @frankwilliams2018
    @frankwilliams2018 Жыл бұрын

    Huyu nabbing mkuu sio na nabii wa kweli ni mmoja wa manabii wa uhongo ndugu sasa hata wewe mwenye kuleta huu ujumbe sikuamini lazima uwe mmoja wao wachenni kupigia wanna ramri

  • @niyonkuruobasanjo3304
    @niyonkuruobasanjo3304 Жыл бұрын

    We kaongea pumba maana alisema kuwa Gwajima ni mtumishi wa mungu.

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Жыл бұрын

    Wale ni nyau tu😢

  • @joshuabartonpolelaab4985
    @joshuabartonpolelaab4985 Жыл бұрын

    isaya benson ni chawa wa nabii mkuu tapeli huyu

  • @ebenezerchurchsupremetv9490
    @ebenezerchurchsupremetv9490 Жыл бұрын

    Tumuulize Roho Mtakatifu ndiye atuelezee nani ni wake nanani siyo wakwake? Lakini tukisema tusikilize Kila mtu huwezi kujua nani katumwa kuwadhoofisha watumishi wa kweli nanani katumwa kuinua ufalme wa Mungu.

  • @sarahmaro215

    @sarahmaro215

    Жыл бұрын

    Roho mtakatifu husema kupitia watu pia lakini wewe kuelewa kuwa Ni Roho mtakatifu lazima uwe na Roho mtakatifu na nguvu zake, vinginevyo utabaki unachanganyikiwa na kubaki njia panda

  • @irineochieng2455
    @irineochieng2455 Жыл бұрын

    Wewe wacha hizo, mwenye kushuhudia(sauti) si wewe. Sauti ni ya mtumishi Amiell Katekela

  • @lindakapongo8421
    @lindakapongo8421 Жыл бұрын

    basilica sana

  • @naomicharles5444
    @naomicharles544410 ай бұрын

    Huyo wa Arusha tushamjua😅😅

  • @rasgwandumikaisi7489
    @rasgwandumikaisi7489 Жыл бұрын

    Ushuhuda wako, unaonyesha kwa upande fulani,bado unataka hao manabii wa uongo, ambao ulishiriki kuwatengeneza kwenye hivyo vilinge, waendelee kuwapotosha watanzania., Je! Kwa nini unashindwa kuwakabili,ikiwa hivi sasa umeokoka? Si "uliwatengeneza" ulipokuwa kwa Lusifa? Ikiwa umeweza kutoka kwenye kilinge cha Lusifa, hawa manabii uliokuwa nao , vipi wakushinde !? Maana,kwa ushuhuda wa aina hii, ni kama vile unahitaji msaada wetu katika kupambana na hao wachungaji/ manabii wa uongo uliowatengeneza., Halafu umesema, mlipomaliza kikao ,mkasema ; alhamndulilah , labilaalamina, Allahuakbar (niwie radhi kwa maandishi yasiyo sahihi)., Inamaana Lusifa ni muislamu!? Au Lusifa ni Allah!? Je! Sheikh Mwaipopo anajua hili?! Na hili la bandari, hamkulitengeneza huko kwenye vilinge? Halafu naomba hao manabii wa uongo uliowatengeneza,wakikuletea hizo pesa, waambie wakurushie kwenye M-pesa (nitakupa namba yangu,ukijibu hayo maswali).

  • @joycejackson2320
    @joycejackson2320 Жыл бұрын

    Sauti na huyo anaeongea vitu viwili tofauti cc sio wapumbavu! mnatafuta hela kwa kudanganya watu

  • @neemalambo9790
    @neemalambo9790 Жыл бұрын

    Sauti ya Katekela

  • @komumbughuni8301
    @komumbughuni8301 Жыл бұрын

    Wataje vinginevyo hatutaamini kwa kuwa sisi ni binaadamu wenye udhaifu, 😮

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Жыл бұрын

    Ubarikiwe😊😊😊

  • @JaneMlangwa-qd1jc
    @JaneMlangwa-qd1jc Жыл бұрын

    Midomo na matamshi yko si sawa, hivyo ni uongo,acha uchochezi

  • @norahazan796
    @norahazan796 Жыл бұрын

    Wewe mwenyewe unaengea na ulipo wote ni manabii wa uongo msichoche akili zetu

  • @nestorysospeter7162
    @nestorysospeter7162 Жыл бұрын

    We huo ni utaira unawezaje kuweka picha ya gwajima kwenye tetesi hyoo hizoo za mana bii wa uongo

  • @KALULUALLI
    @KALULUALLI8 ай бұрын

    zindukeni si kila mtu anakwambiyeni nabii mnamkubali

  • @emmanuelmuhigirwa4248
    @emmanuelmuhigirwa4248 Жыл бұрын

    hizi picha zina maana gani?

  • @jesusfirstchurch4162
    @jesusfirstchurch4162 Жыл бұрын

    Mbona sauti ya katekela na anayeonekana ni mwingine?

  • @rosemayunga4021
    @rosemayunga4021 Жыл бұрын

    Kama papa fransis

  • @bonabonala5559
    @bonabonala55596 ай бұрын

    wewe mwenyewe mongo mwskilembwe mbwa yakayaka wrwe

  • @christophermwandemange796
    @christophermwandemange796 Жыл бұрын

    Sauti ya Mch Anieli Katekela

  • @samwelpaul4279
    @samwelpaul4279 Жыл бұрын

    izi picha zinazo slide zinahusiana vip na ushuhuda wako ?zinanipa mashaka pia inawezekana unatumwa kuchafua ukristo

  • @user-ux5sk4xd3o
    @user-ux5sk4xd3o10 ай бұрын

    Vichekesg 26:56

  • @audifansisafari5587
    @audifansisafari5587 Жыл бұрын

    Acha uwongo wako jina la YESU limekuwa lakutafuta kiki linakosa uhalisia

  • @veronicadavid4613
    @veronicadavid4613 Жыл бұрын

    Hio sauti niya mch katekela???

  • @amanielias7725
    @amanielias772510 ай бұрын

    Ndio maana hamuaminiki saut yamtu mwingine anaeonekana mwingine

  • @annehaysanday9214
    @annehaysanday9214 Жыл бұрын

    Sasa kwanini uweke sauti ya mtu mwingine. Huyo ni mchg.Amiel Katekela

  • @christophersimwinga6689
    @christophersimwinga6689 Жыл бұрын

    Picha ndo zimeonesha Uongo wake huyu achanen naye .Ni kweli manabii wa Uongo wapo lakini baadhi ya alio waonesha sio..

  • @rosepallangyo1352

    @rosepallangyo1352

    Жыл бұрын

    Kuusu picha ni mtu kaiba sauti kajiwekea picha ili kuchonganisha tuu

  • @gabinusnkwera909
    @gabinusnkwera909 Жыл бұрын

    Uliye weka hii video, unatafuta laana. Sauti ni ya Mch Katekela, Sura ya mtu uliyeka hapo kwenye kwenye video haina mahusiano na Mch Katekela.

  • @massband
    @massband Жыл бұрын

    Wataje tu unaogopa nini?

  • @rosemayunga4021
    @rosemayunga4021 Жыл бұрын

    Kaza kamba usirudi watakumaliza

  • @roseshijedi8744
    @roseshijedi8744 Жыл бұрын

    Siuseme kwanini unawafunikia Bado watae delea

  • @user-sk1pf7rb7i
    @user-sk1pf7rb7i Жыл бұрын

    Umeeumbuka Gwajima alisema n mtumishi wa Mungu

  • @nestorysospeter7162

    @nestorysospeter7162

    Жыл бұрын

    anaye ongea katekela lakn picha kaweka mwingne kutafuta viewer's

  • @rosedamiankabesa5092

    @rosedamiankabesa5092

    Жыл бұрын

    Mchungaji Katekela alisema toka alipotoka,hajui kama aliendelea kumtumikia Mungu katika kweli. Tusikariri utumishi wa mtu,watu hubadilika,, Bwana Yesu tu habadiliki kamwe,yeye ni Mtakatifu milele yote.

  • @dativarichard1987
    @dativarichard1987 Жыл бұрын

    Hizo nywele ni zipi

  • @joshuaelias8056
    @joshuaelias8056 Жыл бұрын

    Wewe. Ni. Mwongo. Mkubwa Sana. Hakuna. Wachungaji. Waongo? Uomchongo. Tu. We. Aduvantst. Msabato. Wewe. Mchawi. Mkubwa.

  • @annehaysanday9214
    @annehaysanday9214 Жыл бұрын

    Na mbona umeweka hizo picha za watumishi maana yake ni nini mnatuchanganya

  • @user-li7kj4oo9t
    @user-li7kj4oo9t Жыл бұрын

    Mpuuzi mkubwa,tapeli weee

  • @amosichacha5022
    @amosichacha5022 Жыл бұрын

    Wewe ni muongo!!

  • @sarahmgalama3503
    @sarahmgalama3503 Жыл бұрын

    Sasa ndo useme kombyuta??

  • @mahershalalhashbazi2189
    @mahershalalhashbazi2189 Жыл бұрын

    Ni afadhali ukutane na dubu aliyenyanywa watoto wake kuliko kukutana na Benson katika upumbavu wake [Mithali 17:13]

  • @gadielshedaffa3333

    @gadielshedaffa3333

    Жыл бұрын

    Sauti hii so ya kwake! Ni mch katekela

  • @cynthy282

    @cynthy282

    Жыл бұрын

    Hio andiko umenukuu ni uongo hakuna jina Benson Kwa andiko hilo, Bibilia usiongeze maneno zako

  • @mahershalalhashbazi2189

    @mahershalalhashbazi2189

    Жыл бұрын

    @@cynthy282 Nimeattach andiko na Benson,maana tunaishi kwa neno. Au hutaki akemewe?

  • @hossanamvula
    @hossanamvula Жыл бұрын

    Wewe bado ni wa kuzimu tu acha kukufuru kazi ya Roho Mtakatifu

  • @anafikamugisha8834
    @anafikamugisha88344 ай бұрын

    Nini tafsiri ya hayo majina/maneno hayo

  • @user-re7np5vt6s
    @user-re7np5vt6s Жыл бұрын

    Wewe una mpango wa kuwavuruga watu ndo agenda yako

  • @barack2692
    @barack2692 Жыл бұрын

    Sasa tutafanyaje? Mtumishi maana hatuelewi chochote tupo gizani ndugu

  • @amosichacha5022
    @amosichacha5022 Жыл бұрын

    Kama wako waongo, ni lazima wa ukweli pia wapo, utuwaambie hao ni kina nani?

  • @catherinenicander7468
    @catherinenicander7468 Жыл бұрын

    Kwa hiyo hakuna kunena kwa lugha???

  • @nurumligo4862
    @nurumligo4862 Жыл бұрын

    Mbwa kala mbwa !

  • @usausatv2781

    @usausatv2781

    Жыл бұрын

    Dhuu Noma

  • @pastor.frank.tmwaisemba7401
    @pastor.frank.tmwaisemba7401 Жыл бұрын

    uongo tu huu . huyu ni Muongo kabisa

  • @deomajuva2432
    @deomajuva2432 Жыл бұрын

    Mbona Sauti ya katekela halafu mtu mwingine

  • @joyprecious1642
    @joyprecious1642 Жыл бұрын

    Sauti inayosikika ni ya Mch Amiel Katekela.

  • @AnithaMgeni

    @AnithaMgeni

    Жыл бұрын

    Sijui kwa nini wameweka picha tofauti

  • @janemsinga7883

    @janemsinga7883

    Жыл бұрын

    @@AnithaMgeni à

  • @brunombele9108

    @brunombele9108

    Жыл бұрын

    Sauti ni ya Amiel Katekela lakini picha ni tofauti!!!!

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 Жыл бұрын

    Binafsi cimuelewagi huyu baba

  • @laclassic1336

    @laclassic1336

    Жыл бұрын

    LAKINI HIZI SHUHUDA ZIMEZIDI,,INAMAANA KWELI HAKUNA UKWELI WOWOTE KATIKA HIZI SHUHUDA,?????? MAANA NAONA ZIMEZIDI KUVUMA

  • @gadielshedaffa3333
    @gadielshedaffa3333 Жыл бұрын

    Mnafanya editing za kuchanganya watu

  • @bartsebandwari5365

    @bartsebandwari5365

    Жыл бұрын

    Kabisa hii ni editing wameiga sauti ya mch Amiel ata ukimtazama vizuri anavyoongea maneno yanapisha

  • @danielmartinKiondo-dq4jz

    @danielmartinKiondo-dq4jz

    Жыл бұрын

    Watu wenyewe tuwe makini tusipende kuambiwa na mtu huyu siye huyu ndiye kwani yeye ni nani anatuambia?wakati Yesu alikwisha tuambia kuwa wakat ukifika tutawatambua kwa ishara alizotueleza na tunazijua hivyo tuwe makini na watu hawa

  • @danielmartinKiondo-dq4jz

    @danielmartinKiondo-dq4jz

    Жыл бұрын

    Sasa hakuwataja huku anatuonyesha picha za baadhi ya manabii je tueleweje hapa?

  • @bartsebandwari5365

    @bartsebandwari5365

    Жыл бұрын

    @@danielmartinKiondo-dq4jz Nashangaa nikama wametumwa.....hii tabia yakuongea watumishi wa kweli sio vizuri ni tabia mbaya sana

  • @DorotheaNdomba-qu2eo
    @DorotheaNdomba-qu2eo Жыл бұрын

    Changamo🤪🤪🤪🤪 tutafika mbinguni kwel?

  • @joycejackson2320
    @joycejackson2320 Жыл бұрын

    Acheni kutuchezea nyie wote ni waongo tu mmekwisha hesabiwa haki zenu Mbinguni kwa unafiki wenu

  • @SARAHHALIFA-wm2kg

    @SARAHHALIFA-wm2kg

    Жыл бұрын

    WA ukweli ni nan

  • @wilfredlukowo9476
    @wilfredlukowo9476 Жыл бұрын

    Sauti ya mwingine video ya mwingine

  • @mjumbewaaganoduniani
    @mjumbewaaganoduniani Жыл бұрын

    Hii sio injli ya Mungu ni mambo yasiyotakiwa kufundisha mambo ambayo hayapo kwa mitume na manabii.

  • @waytvtz2549
    @waytvtz2549 Жыл бұрын

    Unaongea Kama umekula makande mdomon umetengeneza hiz story kwa kugogle wewe unatafuta umaarufu labda weww ni pepo mwenyewe

  • @zenahjacob7773
    @zenahjacob7773 Жыл бұрын

    Ardhi ikumeze wewe

  • @risskibech1497
    @risskibech1497 Жыл бұрын

    Wengine kama Gwagima ni mtumishi was Mungu Katekela alisema kusimu humwogopa sana

  • @pericykiko6198

    @pericykiko6198

    Жыл бұрын

    Hiyo ilikuwa mwaka 2013 ndio wakati Gwajima alikua na Mungu kweli ila kuanzia 2016 mmmh ombeni sana mtajua mengi

  • @lucykapinga369

    @lucykapinga369

    Жыл бұрын

    ​@@pericykiko6198 mpaka Sasa gwajima Ni motroo pia yyko vizur

  • @pericykiko6198

    @pericykiko6198

    Жыл бұрын

    @@lucykapinga369 hakuna kujisifia wakati inajulikana itakua faida gani kumpamba wakati anateketea ukiona kitu kinasemwa na uko rohoni km unaguswa ingia maombi ya ndani uone nini utaona na ikawa baraka kuokoa waliotekwa

  • @lebeka2951

    @lebeka2951

    Жыл бұрын

    @@pericykiko6198 kweli kabisa tatizo hawana mda wakumsihi mungu nakusoma neno

  • @peterdaiman5813

    @peterdaiman5813

    Жыл бұрын

    Uongo

  • @zenahjacob7773
    @zenahjacob7773 Жыл бұрын

    Umekufa wewe acha uongo

  • @jamesmatulu2992
    @jamesmatulu2992 Жыл бұрын

    Uyo c wewe

  • @joysongoi5353

    @joysongoi5353

    Жыл бұрын

    This is personification, you are not the servant of God Amiel.

  • @janeth5378
    @janeth5378 Жыл бұрын

    Kama wewe unasema kweli tunaomba uwataje uweze kuokoa watu vinginevyo wewe unaongea uongo

Келесі