ALIE TOKA KUZIMUNI KATOBOWA SILI YA MANABII WA UONGO WOTE SHUHUDIA MANABII HAWOO 2
Жүктеу.....
Пікірлер: 151
@user-os3tg5bo6vАй бұрын
Wewe hujifunzi na kuokoka wakala wa shetani na hayo unafikiri utumishi wa Mungu ,kuzimu okoka.Amen
@user-eq9hl9vg2x6 ай бұрын
Mungu akusaidie sanaa maan naona unataka kumgombanisha mtumishi Amieli na watu wengne Tena ushindwe katika Jina la yesu muache mtumishi wetu wew ni muogo mkubwa Tena usirudie tenaa muongop mungu
@lydiahnabwire1285 ай бұрын
Mtumishi katekela Mungu akulinde saana vita sio vyako ni vya Mungu mwachie Yesu akupiganie
@user-os3tg5bo6vАй бұрын
Sauti ni KATE KELA, picha ni Isaya Benson Nabii na Mwalimu wa uongo wakala na mjumbe ktk timu ya manabii wa uongo wa Arusha.Amen
@LodvolaLameck-jl5vs Жыл бұрын
Picha alizoweka hazina uhusiano na anchosema ingawa miongoni mwao wapo wa uongo
@BeullahBujah-lk3sx4 ай бұрын
Ubarikiwe
@user-fu6fx8if6w4 ай бұрын
Anacho sema davy sio kweli,Hawafi nabii, Amiel Katekela alitoka,wengi sana wametoka kina cassian,wako hai hadi leo.hapo kidogo sijakuelewa,acha Yesu Kristo atusaidie.
@linetmusee6431 Жыл бұрын
Mwenye anasimulia ni mchungaji Amiel Katekela
@mjumbewaaganoduniani Жыл бұрын
Njinsi ya kuwatambua manabii wengi wa uongo,Yesu alisema mtawatambua kwa matunda yao, matunda yapi? Mafundisho ya mwilini vitu vya duniani,mali vitu vya kimwili,maji,chumvi,udongo,nywele nk. Aliyetumwa na Mungu hunena habari njema ya ufalme wa mbinguni Neno,Yohana 3:31-36. Yohana 8:43-47.
@Bénigne-k4x16 күн бұрын
Jamani nilimfata Mch katekela ila yeye hakutaka kuwataja kwasababu yakulinda heshima YaMungu na akasema wenda rabda yawezekana wakaokoka rakini hakutaja mnabii hata mmoja,sasa huyo naye ninini?mbona anaweka picha
@elisantechanjarika1531 Жыл бұрын
Muonyeshe sura anayeongea acha kuigiza tunamfahamu mtumiahi wa Mungu anayeongea
@florianruttahindurwa1189
Жыл бұрын
Anaitwa aminiel katekela
@FlauraceNako-lm3pw Жыл бұрын
Ubarikiwe Sana mtumishi nakufata kutoka Congo
@usausatv2781
Жыл бұрын
Karibu Keribu Kwetu Tanzania
@simonsimolo9576 Жыл бұрын
Amen
@linetmusee6431 Жыл бұрын
Amina! Amina! Mchungaji Asante sana
@janewanjiru9062
Жыл бұрын
Kwanini picha na sauti haiendani huyo ni amiel katekela wacheni cha ovyo!
@janewanjiru9062
Жыл бұрын
Kwanini picha na sauti haiendani huyo ni amiel katekela wacheni cha ovyo!
@user-vo6vl1hq7x Жыл бұрын
Muongo we we unachafua watumishi wa Mungu tu. Labda una Mungu wako anaekufahamisha uongo ila sio Mungu huyu ninaemjua.
@christophermwandemange796 Жыл бұрын
Gwajima ni Mtumishi wa Mungu, wewe umechanganya katekela mwenyewe anajua
@tinnahagustinolyelu42479 ай бұрын
Jamani mbona kama haongei mwenyewe au macho yangu nisaidieni
@lydiahnabwire128
5 ай бұрын
Kweli sio yeye anae ongea ,anae ongea ni pastor katekela alie kua mchawi sai anaubiri
@godfreymollec8206 Жыл бұрын
Wacheni michongo zenu za uchochezi kumchongasha katekela na watu ': katekela ameongea tu hakumtaja mtu jina wee unaye unga unga picha zako tumejua ni mbinu zako 'lakini haitfaulu ktk jina la yesu kristo wa nazareti
@sarahmaro215
Жыл бұрын
Watumishi wa shetani wanatumiwa ili kuzuia vurugu, washindwa kwa Jina la YESU.
@PeterSavery-td3tz11 ай бұрын
Barikiwa
@lebeka2951 Жыл бұрын
Ongera sana mtumishi wa mungu ila wataje majina tuu na mungu wa mbinguni akubaliki na damu ya yesu ikufunike
@trophywilson7211
Жыл бұрын
Mmm huyo naye tu ni free mason
@gracekagoma3231 Жыл бұрын
Ni kweli
@lindakapongo8421 Жыл бұрын
barikiwa
@venancemgani2041 Жыл бұрын
Aaa siamini huo nao ni uongo
@usausatv2781 Жыл бұрын
Nikwamba Mtumishi Alie Wakweli Hawezi Kubadilishwa Na Video Hizo Zinazowekwa KZread Nikwamba Mtumishi Kati Yahawa Unaowaona Hapa Mkweli Mingu Anamjuwa Asiekua Mkweli Mungu Anamjuwa Hakuna Anayeweza Kualibu Jina La Mtumishi Wa Mungu Kweli Kipitia Njia Hii Anaechafuka Ni Mtumishi Mhongotu
@pirminmatumizi5464 Жыл бұрын
Huyu mnyakyusa tapeli kweli kweli, hii si sauti ya mch. Emiel Katekela?
@abduljumaa4376 Жыл бұрын
Wew mwenyewe kiazi😂😂
@user-qk9iz5lt8q11 күн бұрын
Picha ni ya MWALIMU WA uongo anayeitwa BENISON MWAKILEMBE MSEMAJI NI MCHUNGAJI A . KATEKETEKELA SASA IMEKUWAJE HAPA ?
@user-sf1xb9kz5n6 ай бұрын
Kama umeamuwa kuokoka wataje hawo manabi usiogope mana watu wanazidi kupotea
@gracious6317 Жыл бұрын
Nashangaa anayeongea ni mch Amiel katekela na hata maneno Yako haiyendani na maongeo yake kama mnania ya kumchochea hamtaweza kwa Jina LA yesu mshinwe.
@kaskereuinfo2181 Жыл бұрын
Apana, sio lazima afe wacha uongo, kuna wengi waliokombolewa, na wapo
@user-gl2qf3rh2j Жыл бұрын
Jamani njoo na iringa makambako mtumishi utoe sili hizo
@zawadimasweto8460 Жыл бұрын
Kakobe na gwajima ni watumishi wa Mungu aliehai mapungufu yapo maana hakuna aliehai mwenyehaki lakini acheni kuwachafua watu wa Mungu katekela anasema kweli lakini hapa hajawataja Hawa
@MeshackyElia8 ай бұрын
Hii ni sauti ya Katekela picha mtu mwingine
@frimasonidunia86 Жыл бұрын
Kaz
@gildernicco2492 Жыл бұрын
Mbona sio yeye anaongea mdomo haviendani na maneno
@catherinenicander7468 Жыл бұрын
Soma vizuri biblia na ufundishe watu neno sio uongo,sie tunajua Nani nabiii wa uongo,Saba mungu alisema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.tafuta maarifa yakumjua mungu omba hayo malango yaharibiwe sababu Mungu alisema ombeni chochote kupitia mwanang nitatenda,we unataja tu ili iweje Bora unyamaze
@charleskuyeko4400 Жыл бұрын
Endelea kutaja si kwa majina bali kwa wapi wanakohudumu kama ulivyosema Arusha imetosha. Tueleze wale wa Dar kwa kutaja maeneo walipo bila kutaja majina. Kwa kukaa kimya Mungu atakulaumu kwasababu utaacha watu waendelee kwenda huko. Tafadhali tutajie maeneo tu sisi tutaunganisha dots au kujiongeza tutajua. Utakuwa umetusaidia sana tutoke kwenye maangamivu.
@frankwilliams2018 Жыл бұрын
Huyu nabbing mkuu sio na nabii wa kweli ni mmoja wa manabii wa uhongo ndugu sasa hata wewe mwenye kuleta huu ujumbe sikuamini lazima uwe mmoja wao wachenni kupigia wanna ramri
@niyonkuruobasanjo3304 Жыл бұрын
We kaongea pumba maana alisema kuwa Gwajima ni mtumishi wa mungu.
@gracekagoma3231 Жыл бұрын
Wale ni nyau tu😢
@joshuabartonpolelaab4985 Жыл бұрын
isaya benson ni chawa wa nabii mkuu tapeli huyu
@ebenezerchurchsupremetv9490 Жыл бұрын
Tumuulize Roho Mtakatifu ndiye atuelezee nani ni wake nanani siyo wakwake? Lakini tukisema tusikilize Kila mtu huwezi kujua nani katumwa kuwadhoofisha watumishi wa kweli nanani katumwa kuinua ufalme wa Mungu.
@sarahmaro215
Жыл бұрын
Roho mtakatifu husema kupitia watu pia lakini wewe kuelewa kuwa Ni Roho mtakatifu lazima uwe na Roho mtakatifu na nguvu zake, vinginevyo utabaki unachanganyikiwa na kubaki njia panda
@irineochieng2455 Жыл бұрын
Wewe wacha hizo, mwenye kushuhudia(sauti) si wewe. Sauti ni ya mtumishi Amiell Katekela
@lindakapongo8421 Жыл бұрын
basilica sana
@naomicharles544410 ай бұрын
Huyo wa Arusha tushamjua😅😅
@rasgwandumikaisi7489 Жыл бұрын
Ushuhuda wako, unaonyesha kwa upande fulani,bado unataka hao manabii wa uongo, ambao ulishiriki kuwatengeneza kwenye hivyo vilinge, waendelee kuwapotosha watanzania., Je! Kwa nini unashindwa kuwakabili,ikiwa hivi sasa umeokoka? Si "uliwatengeneza" ulipokuwa kwa Lusifa? Ikiwa umeweza kutoka kwenye kilinge cha Lusifa, hawa manabii uliokuwa nao , vipi wakushinde !? Maana,kwa ushuhuda wa aina hii, ni kama vile unahitaji msaada wetu katika kupambana na hao wachungaji/ manabii wa uongo uliowatengeneza., Halafu umesema, mlipomaliza kikao ,mkasema ; alhamndulilah , labilaalamina, Allahuakbar (niwie radhi kwa maandishi yasiyo sahihi)., Inamaana Lusifa ni muislamu!? Au Lusifa ni Allah!? Je! Sheikh Mwaipopo anajua hili?! Na hili la bandari, hamkulitengeneza huko kwenye vilinge? Halafu naomba hao manabii wa uongo uliowatengeneza,wakikuletea hizo pesa, waambie wakurushie kwenye M-pesa (nitakupa namba yangu,ukijibu hayo maswali).
@joycejackson2320 Жыл бұрын
Sauti na huyo anaeongea vitu viwili tofauti cc sio wapumbavu! mnatafuta hela kwa kudanganya watu
@neemalambo9790 Жыл бұрын
Sauti ya Katekela
@komumbughuni8301 Жыл бұрын
Wataje vinginevyo hatutaamini kwa kuwa sisi ni binaadamu wenye udhaifu, 😮
@gracekagoma3231 Жыл бұрын
Ubarikiwe😊😊😊
@JaneMlangwa-qd1jc Жыл бұрын
Midomo na matamshi yko si sawa, hivyo ni uongo,acha uchochezi
@norahazan796 Жыл бұрын
Wewe mwenyewe unaengea na ulipo wote ni manabii wa uongo msichoche akili zetu
@nestorysospeter7162 Жыл бұрын
We huo ni utaira unawezaje kuweka picha ya gwajima kwenye tetesi hyoo hizoo za mana bii wa uongo
@KALULUALLI8 ай бұрын
zindukeni si kila mtu anakwambiyeni nabii mnamkubali
@emmanuelmuhigirwa4248 Жыл бұрын
hizi picha zina maana gani?
@jesusfirstchurch4162 Жыл бұрын
Mbona sauti ya katekela na anayeonekana ni mwingine?
izi picha zinazo slide zinahusiana vip na ushuhuda wako ?zinanipa mashaka pia inawezekana unatumwa kuchafua ukristo
@user-ux5sk4xd3o10 ай бұрын
Vichekesg 26:56
@audifansisafari5587 Жыл бұрын
Acha uwongo wako jina la YESU limekuwa lakutafuta kiki linakosa uhalisia
@veronicadavid4613 Жыл бұрын
Hio sauti niya mch katekela???
@amanielias772510 ай бұрын
Ndio maana hamuaminiki saut yamtu mwingine anaeonekana mwingine
@annehaysanday9214 Жыл бұрын
Sasa kwanini uweke sauti ya mtu mwingine. Huyo ni mchg.Amiel Katekela
@christophersimwinga6689 Жыл бұрын
Picha ndo zimeonesha Uongo wake huyu achanen naye .Ni kweli manabii wa Uongo wapo lakini baadhi ya alio waonesha sio..
@rosepallangyo1352
Жыл бұрын
Kuusu picha ni mtu kaiba sauti kajiwekea picha ili kuchonganisha tuu
@gabinusnkwera909 Жыл бұрын
Uliye weka hii video, unatafuta laana. Sauti ni ya Mch Katekela, Sura ya mtu uliyeka hapo kwenye kwenye video haina mahusiano na Mch Katekela.
@massband Жыл бұрын
Wataje tu unaogopa nini?
@rosemayunga4021 Жыл бұрын
Kaza kamba usirudi watakumaliza
@roseshijedi8744 Жыл бұрын
Siuseme kwanini unawafunikia Bado watae delea
@user-sk1pf7rb7i Жыл бұрын
Umeeumbuka Gwajima alisema n mtumishi wa Mungu
@nestorysospeter7162
Жыл бұрын
anaye ongea katekela lakn picha kaweka mwingne kutafuta viewer's
@rosedamiankabesa5092
Жыл бұрын
Mchungaji Katekela alisema toka alipotoka,hajui kama aliendelea kumtumikia Mungu katika kweli. Tusikariri utumishi wa mtu,watu hubadilika,, Bwana Yesu tu habadiliki kamwe,yeye ni Mtakatifu milele yote.
@dativarichard1987 Жыл бұрын
Hizo nywele ni zipi
@joshuaelias8056 Жыл бұрын
Wewe. Ni. Mwongo. Mkubwa Sana. Hakuna. Wachungaji. Waongo? Uomchongo. Tu. We. Aduvantst. Msabato. Wewe. Mchawi. Mkubwa.
@annehaysanday9214 Жыл бұрын
Na mbona umeweka hizo picha za watumishi maana yake ni nini mnatuchanganya
@user-li7kj4oo9t Жыл бұрын
Mpuuzi mkubwa,tapeli weee
@amosichacha5022 Жыл бұрын
Wewe ni muongo!!
@sarahmgalama3503 Жыл бұрын
Sasa ndo useme kombyuta??
@mahershalalhashbazi2189 Жыл бұрын
Ni afadhali ukutane na dubu aliyenyanywa watoto wake kuliko kukutana na Benson katika upumbavu wake [Mithali 17:13]
@gadielshedaffa3333
Жыл бұрын
Sauti hii so ya kwake! Ni mch katekela
@cynthy282
Жыл бұрын
Hio andiko umenukuu ni uongo hakuna jina Benson Kwa andiko hilo, Bibilia usiongeze maneno zako
@mahershalalhashbazi2189
Жыл бұрын
@@cynthy282 Nimeattach andiko na Benson,maana tunaishi kwa neno. Au hutaki akemewe?
@hossanamvula Жыл бұрын
Wewe bado ni wa kuzimu tu acha kukufuru kazi ya Roho Mtakatifu
@anafikamugisha88344 ай бұрын
Nini tafsiri ya hayo majina/maneno hayo
@user-re7np5vt6s Жыл бұрын
Wewe una mpango wa kuwavuruga watu ndo agenda yako
@barack2692 Жыл бұрын
Sasa tutafanyaje? Mtumishi maana hatuelewi chochote tupo gizani ndugu
@amosichacha5022 Жыл бұрын
Kama wako waongo, ni lazima wa ukweli pia wapo, utuwaambie hao ni kina nani?
@catherinenicander7468 Жыл бұрын
Kwa hiyo hakuna kunena kwa lugha???
@nurumligo4862 Жыл бұрын
Mbwa kala mbwa !
@usausatv2781
Жыл бұрын
Dhuu Noma
@pastor.frank.tmwaisemba7401 Жыл бұрын
uongo tu huu . huyu ni Muongo kabisa
@deomajuva2432 Жыл бұрын
Mbona Sauti ya katekela halafu mtu mwingine
@joyprecious1642 Жыл бұрын
Sauti inayosikika ni ya Mch Amiel Katekela.
@AnithaMgeni
Жыл бұрын
Sijui kwa nini wameweka picha tofauti
@janemsinga7883
Жыл бұрын
@@AnithaMgeni à
@brunombele9108
Жыл бұрын
Sauti ni ya Amiel Katekela lakini picha ni tofauti!!!!
@judithnjunwa6668 Жыл бұрын
Binafsi cimuelewagi huyu baba
@laclassic1336
Жыл бұрын
LAKINI HIZI SHUHUDA ZIMEZIDI,,INAMAANA KWELI HAKUNA UKWELI WOWOTE KATIKA HIZI SHUHUDA,?????? MAANA NAONA ZIMEZIDI KUVUMA
@gadielshedaffa3333 Жыл бұрын
Mnafanya editing za kuchanganya watu
@bartsebandwari5365
Жыл бұрын
Kabisa hii ni editing wameiga sauti ya mch Amiel ata ukimtazama vizuri anavyoongea maneno yanapisha
@danielmartinKiondo-dq4jz
Жыл бұрын
Watu wenyewe tuwe makini tusipende kuambiwa na mtu huyu siye huyu ndiye kwani yeye ni nani anatuambia?wakati Yesu alikwisha tuambia kuwa wakat ukifika tutawatambua kwa ishara alizotueleza na tunazijua hivyo tuwe makini na watu hawa
@danielmartinKiondo-dq4jz
Жыл бұрын
Sasa hakuwataja huku anatuonyesha picha za baadhi ya manabii je tueleweje hapa?
@bartsebandwari5365
Жыл бұрын
@@danielmartinKiondo-dq4jz Nashangaa nikama wametumwa.....hii tabia yakuongea watumishi wa kweli sio vizuri ni tabia mbaya sana
@DorotheaNdomba-qu2eo Жыл бұрын
Changamo🤪🤪🤪🤪 tutafika mbinguni kwel?
@joycejackson2320 Жыл бұрын
Acheni kutuchezea nyie wote ni waongo tu mmekwisha hesabiwa haki zenu Mbinguni kwa unafiki wenu
@SARAHHALIFA-wm2kg
Жыл бұрын
WA ukweli ni nan
@wilfredlukowo9476 Жыл бұрын
Sauti ya mwingine video ya mwingine
@mjumbewaaganoduniani Жыл бұрын
Hii sio injli ya Mungu ni mambo yasiyotakiwa kufundisha mambo ambayo hayapo kwa mitume na manabii.
@waytvtz2549 Жыл бұрын
Unaongea Kama umekula makande mdomon umetengeneza hiz story kwa kugogle wewe unatafuta umaarufu labda weww ni pepo mwenyewe
@zenahjacob7773 Жыл бұрын
Ardhi ikumeze wewe
@risskibech1497 Жыл бұрын
Wengine kama Gwagima ni mtumishi was Mungu Katekela alisema kusimu humwogopa sana
@pericykiko6198
Жыл бұрын
Hiyo ilikuwa mwaka 2013 ndio wakati Gwajima alikua na Mungu kweli ila kuanzia 2016 mmmh ombeni sana mtajua mengi
@lucykapinga369
Жыл бұрын
@@pericykiko6198 mpaka Sasa gwajima Ni motroo pia yyko vizur
@pericykiko6198
Жыл бұрын
@@lucykapinga369 hakuna kujisifia wakati inajulikana itakua faida gani kumpamba wakati anateketea ukiona kitu kinasemwa na uko rohoni km unaguswa ingia maombi ya ndani uone nini utaona na ikawa baraka kuokoa waliotekwa
@lebeka2951
Жыл бұрын
@@pericykiko6198 kweli kabisa tatizo hawana mda wakumsihi mungu nakusoma neno
@peterdaiman5813
Жыл бұрын
Uongo
@zenahjacob7773 Жыл бұрын
Umekufa wewe acha uongo
@jamesmatulu2992 Жыл бұрын
Uyo c wewe
@joysongoi5353
Жыл бұрын
This is personification, you are not the servant of God Amiel.
@janeth5378 Жыл бұрын
Kama wewe unasema kweli tunaomba uwataje uweze kuokoa watu vinginevyo wewe unaongea uongo
Пікірлер: 151
Wewe hujifunzi na kuokoka wakala wa shetani na hayo unafikiri utumishi wa Mungu ,kuzimu okoka.Amen
Mungu akusaidie sanaa maan naona unataka kumgombanisha mtumishi Amieli na watu wengne Tena ushindwe katika Jina la yesu muache mtumishi wetu wew ni muogo mkubwa Tena usirudie tenaa muongop mungu
Mtumishi katekela Mungu akulinde saana vita sio vyako ni vya Mungu mwachie Yesu akupiganie
Sauti ni KATE KELA, picha ni Isaya Benson Nabii na Mwalimu wa uongo wakala na mjumbe ktk timu ya manabii wa uongo wa Arusha.Amen
Picha alizoweka hazina uhusiano na anchosema ingawa miongoni mwao wapo wa uongo
Ubarikiwe
Anacho sema davy sio kweli,Hawafi nabii, Amiel Katekela alitoka,wengi sana wametoka kina cassian,wako hai hadi leo.hapo kidogo sijakuelewa,acha Yesu Kristo atusaidie.
Mwenye anasimulia ni mchungaji Amiel Katekela
Njinsi ya kuwatambua manabii wengi wa uongo,Yesu alisema mtawatambua kwa matunda yao, matunda yapi? Mafundisho ya mwilini vitu vya duniani,mali vitu vya kimwili,maji,chumvi,udongo,nywele nk. Aliyetumwa na Mungu hunena habari njema ya ufalme wa mbinguni Neno,Yohana 3:31-36. Yohana 8:43-47.
Jamani nilimfata Mch katekela ila yeye hakutaka kuwataja kwasababu yakulinda heshima YaMungu na akasema wenda rabda yawezekana wakaokoka rakini hakutaja mnabii hata mmoja,sasa huyo naye ninini?mbona anaweka picha
Muonyeshe sura anayeongea acha kuigiza tunamfahamu mtumiahi wa Mungu anayeongea
@florianruttahindurwa1189
Жыл бұрын
Anaitwa aminiel katekela
Ubarikiwe Sana mtumishi nakufata kutoka Congo
@usausatv2781
Жыл бұрын
Karibu Keribu Kwetu Tanzania
Amen
Amina! Amina! Mchungaji Asante sana
@janewanjiru9062
Жыл бұрын
Kwanini picha na sauti haiendani huyo ni amiel katekela wacheni cha ovyo!
@janewanjiru9062
Жыл бұрын
Kwanini picha na sauti haiendani huyo ni amiel katekela wacheni cha ovyo!
Muongo we we unachafua watumishi wa Mungu tu. Labda una Mungu wako anaekufahamisha uongo ila sio Mungu huyu ninaemjua.
Gwajima ni Mtumishi wa Mungu, wewe umechanganya katekela mwenyewe anajua
Jamani mbona kama haongei mwenyewe au macho yangu nisaidieni
@lydiahnabwire128
5 ай бұрын
Kweli sio yeye anae ongea ,anae ongea ni pastor katekela alie kua mchawi sai anaubiri
Wacheni michongo zenu za uchochezi kumchongasha katekela na watu ': katekela ameongea tu hakumtaja mtu jina wee unaye unga unga picha zako tumejua ni mbinu zako 'lakini haitfaulu ktk jina la yesu kristo wa nazareti
@sarahmaro215
Жыл бұрын
Watumishi wa shetani wanatumiwa ili kuzuia vurugu, washindwa kwa Jina la YESU.
Barikiwa
Ongera sana mtumishi wa mungu ila wataje majina tuu na mungu wa mbinguni akubaliki na damu ya yesu ikufunike
@trophywilson7211
Жыл бұрын
Mmm huyo naye tu ni free mason
Ni kweli
barikiwa
Aaa siamini huo nao ni uongo
Nikwamba Mtumishi Alie Wakweli Hawezi Kubadilishwa Na Video Hizo Zinazowekwa KZread Nikwamba Mtumishi Kati Yahawa Unaowaona Hapa Mkweli Mingu Anamjuwa Asiekua Mkweli Mungu Anamjuwa Hakuna Anayeweza Kualibu Jina La Mtumishi Wa Mungu Kweli Kipitia Njia Hii Anaechafuka Ni Mtumishi Mhongotu
Huyu mnyakyusa tapeli kweli kweli, hii si sauti ya mch. Emiel Katekela?
Wew mwenyewe kiazi😂😂
Picha ni ya MWALIMU WA uongo anayeitwa BENISON MWAKILEMBE MSEMAJI NI MCHUNGAJI A . KATEKETEKELA SASA IMEKUWAJE HAPA ?
Kama umeamuwa kuokoka wataje hawo manabi usiogope mana watu wanazidi kupotea
Nashangaa anayeongea ni mch Amiel katekela na hata maneno Yako haiyendani na maongeo yake kama mnania ya kumchochea hamtaweza kwa Jina LA yesu mshinwe.
Apana, sio lazima afe wacha uongo, kuna wengi waliokombolewa, na wapo
Jamani njoo na iringa makambako mtumishi utoe sili hizo
Kakobe na gwajima ni watumishi wa Mungu aliehai mapungufu yapo maana hakuna aliehai mwenyehaki lakini acheni kuwachafua watu wa Mungu katekela anasema kweli lakini hapa hajawataja Hawa
Hii ni sauti ya Katekela picha mtu mwingine
Kaz
Mbona sio yeye anaongea mdomo haviendani na maneno
Soma vizuri biblia na ufundishe watu neno sio uongo,sie tunajua Nani nabiii wa uongo,Saba mungu alisema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.tafuta maarifa yakumjua mungu omba hayo malango yaharibiwe sababu Mungu alisema ombeni chochote kupitia mwanang nitatenda,we unataja tu ili iweje Bora unyamaze
Endelea kutaja si kwa majina bali kwa wapi wanakohudumu kama ulivyosema Arusha imetosha. Tueleze wale wa Dar kwa kutaja maeneo walipo bila kutaja majina. Kwa kukaa kimya Mungu atakulaumu kwasababu utaacha watu waendelee kwenda huko. Tafadhali tutajie maeneo tu sisi tutaunganisha dots au kujiongeza tutajua. Utakuwa umetusaidia sana tutoke kwenye maangamivu.
Huyu nabbing mkuu sio na nabii wa kweli ni mmoja wa manabii wa uhongo ndugu sasa hata wewe mwenye kuleta huu ujumbe sikuamini lazima uwe mmoja wao wachenni kupigia wanna ramri
We kaongea pumba maana alisema kuwa Gwajima ni mtumishi wa mungu.
Wale ni nyau tu😢
isaya benson ni chawa wa nabii mkuu tapeli huyu
Tumuulize Roho Mtakatifu ndiye atuelezee nani ni wake nanani siyo wakwake? Lakini tukisema tusikilize Kila mtu huwezi kujua nani katumwa kuwadhoofisha watumishi wa kweli nanani katumwa kuinua ufalme wa Mungu.
@sarahmaro215
Жыл бұрын
Roho mtakatifu husema kupitia watu pia lakini wewe kuelewa kuwa Ni Roho mtakatifu lazima uwe na Roho mtakatifu na nguvu zake, vinginevyo utabaki unachanganyikiwa na kubaki njia panda
Wewe wacha hizo, mwenye kushuhudia(sauti) si wewe. Sauti ni ya mtumishi Amiell Katekela
basilica sana
Huyo wa Arusha tushamjua😅😅
Ushuhuda wako, unaonyesha kwa upande fulani,bado unataka hao manabii wa uongo, ambao ulishiriki kuwatengeneza kwenye hivyo vilinge, waendelee kuwapotosha watanzania., Je! Kwa nini unashindwa kuwakabili,ikiwa hivi sasa umeokoka? Si "uliwatengeneza" ulipokuwa kwa Lusifa? Ikiwa umeweza kutoka kwenye kilinge cha Lusifa, hawa manabii uliokuwa nao , vipi wakushinde !? Maana,kwa ushuhuda wa aina hii, ni kama vile unahitaji msaada wetu katika kupambana na hao wachungaji/ manabii wa uongo uliowatengeneza., Halafu umesema, mlipomaliza kikao ,mkasema ; alhamndulilah , labilaalamina, Allahuakbar (niwie radhi kwa maandishi yasiyo sahihi)., Inamaana Lusifa ni muislamu!? Au Lusifa ni Allah!? Je! Sheikh Mwaipopo anajua hili?! Na hili la bandari, hamkulitengeneza huko kwenye vilinge? Halafu naomba hao manabii wa uongo uliowatengeneza,wakikuletea hizo pesa, waambie wakurushie kwenye M-pesa (nitakupa namba yangu,ukijibu hayo maswali).
Sauti na huyo anaeongea vitu viwili tofauti cc sio wapumbavu! mnatafuta hela kwa kudanganya watu
Sauti ya Katekela
Wataje vinginevyo hatutaamini kwa kuwa sisi ni binaadamu wenye udhaifu, 😮
Ubarikiwe😊😊😊
Midomo na matamshi yko si sawa, hivyo ni uongo,acha uchochezi
Wewe mwenyewe unaengea na ulipo wote ni manabii wa uongo msichoche akili zetu
We huo ni utaira unawezaje kuweka picha ya gwajima kwenye tetesi hyoo hizoo za mana bii wa uongo
zindukeni si kila mtu anakwambiyeni nabii mnamkubali
hizi picha zina maana gani?
Mbona sauti ya katekela na anayeonekana ni mwingine?
Kama papa fransis
wewe mwenyewe mongo mwskilembwe mbwa yakayaka wrwe
Sauti ya Mch Anieli Katekela
izi picha zinazo slide zinahusiana vip na ushuhuda wako ?zinanipa mashaka pia inawezekana unatumwa kuchafua ukristo
Vichekesg 26:56
Acha uwongo wako jina la YESU limekuwa lakutafuta kiki linakosa uhalisia
Hio sauti niya mch katekela???
Ndio maana hamuaminiki saut yamtu mwingine anaeonekana mwingine
Sasa kwanini uweke sauti ya mtu mwingine. Huyo ni mchg.Amiel Katekela
Picha ndo zimeonesha Uongo wake huyu achanen naye .Ni kweli manabii wa Uongo wapo lakini baadhi ya alio waonesha sio..
@rosepallangyo1352
Жыл бұрын
Kuusu picha ni mtu kaiba sauti kajiwekea picha ili kuchonganisha tuu
Uliye weka hii video, unatafuta laana. Sauti ni ya Mch Katekela, Sura ya mtu uliyeka hapo kwenye kwenye video haina mahusiano na Mch Katekela.
Wataje tu unaogopa nini?
Kaza kamba usirudi watakumaliza
Siuseme kwanini unawafunikia Bado watae delea
Umeeumbuka Gwajima alisema n mtumishi wa Mungu
@nestorysospeter7162
Жыл бұрын
anaye ongea katekela lakn picha kaweka mwingne kutafuta viewer's
@rosedamiankabesa5092
Жыл бұрын
Mchungaji Katekela alisema toka alipotoka,hajui kama aliendelea kumtumikia Mungu katika kweli. Tusikariri utumishi wa mtu,watu hubadilika,, Bwana Yesu tu habadiliki kamwe,yeye ni Mtakatifu milele yote.
Hizo nywele ni zipi
Wewe. Ni. Mwongo. Mkubwa Sana. Hakuna. Wachungaji. Waongo? Uomchongo. Tu. We. Aduvantst. Msabato. Wewe. Mchawi. Mkubwa.
Na mbona umeweka hizo picha za watumishi maana yake ni nini mnatuchanganya
Mpuuzi mkubwa,tapeli weee
Wewe ni muongo!!
Sasa ndo useme kombyuta??
Ni afadhali ukutane na dubu aliyenyanywa watoto wake kuliko kukutana na Benson katika upumbavu wake [Mithali 17:13]
@gadielshedaffa3333
Жыл бұрын
Sauti hii so ya kwake! Ni mch katekela
@cynthy282
Жыл бұрын
Hio andiko umenukuu ni uongo hakuna jina Benson Kwa andiko hilo, Bibilia usiongeze maneno zako
@mahershalalhashbazi2189
Жыл бұрын
@@cynthy282 Nimeattach andiko na Benson,maana tunaishi kwa neno. Au hutaki akemewe?
Wewe bado ni wa kuzimu tu acha kukufuru kazi ya Roho Mtakatifu
Nini tafsiri ya hayo majina/maneno hayo
Wewe una mpango wa kuwavuruga watu ndo agenda yako
Sasa tutafanyaje? Mtumishi maana hatuelewi chochote tupo gizani ndugu
Kama wako waongo, ni lazima wa ukweli pia wapo, utuwaambie hao ni kina nani?
Kwa hiyo hakuna kunena kwa lugha???
Mbwa kala mbwa !
@usausatv2781
Жыл бұрын
Dhuu Noma
uongo tu huu . huyu ni Muongo kabisa
Mbona Sauti ya katekela halafu mtu mwingine
Sauti inayosikika ni ya Mch Amiel Katekela.
@AnithaMgeni
Жыл бұрын
Sijui kwa nini wameweka picha tofauti
@janemsinga7883
Жыл бұрын
@@AnithaMgeni à
@brunombele9108
Жыл бұрын
Sauti ni ya Amiel Katekela lakini picha ni tofauti!!!!
Binafsi cimuelewagi huyu baba
@laclassic1336
Жыл бұрын
LAKINI HIZI SHUHUDA ZIMEZIDI,,INAMAANA KWELI HAKUNA UKWELI WOWOTE KATIKA HIZI SHUHUDA,?????? MAANA NAONA ZIMEZIDI KUVUMA
Mnafanya editing za kuchanganya watu
@bartsebandwari5365
Жыл бұрын
Kabisa hii ni editing wameiga sauti ya mch Amiel ata ukimtazama vizuri anavyoongea maneno yanapisha
@danielmartinKiondo-dq4jz
Жыл бұрын
Watu wenyewe tuwe makini tusipende kuambiwa na mtu huyu siye huyu ndiye kwani yeye ni nani anatuambia?wakati Yesu alikwisha tuambia kuwa wakat ukifika tutawatambua kwa ishara alizotueleza na tunazijua hivyo tuwe makini na watu hawa
@danielmartinKiondo-dq4jz
Жыл бұрын
Sasa hakuwataja huku anatuonyesha picha za baadhi ya manabii je tueleweje hapa?
@bartsebandwari5365
Жыл бұрын
@@danielmartinKiondo-dq4jz Nashangaa nikama wametumwa.....hii tabia yakuongea watumishi wa kweli sio vizuri ni tabia mbaya sana
Changamo🤪🤪🤪🤪 tutafika mbinguni kwel?
Acheni kutuchezea nyie wote ni waongo tu mmekwisha hesabiwa haki zenu Mbinguni kwa unafiki wenu
@SARAHHALIFA-wm2kg
Жыл бұрын
WA ukweli ni nan
Sauti ya mwingine video ya mwingine
Hii sio injli ya Mungu ni mambo yasiyotakiwa kufundisha mambo ambayo hayapo kwa mitume na manabii.
Unaongea Kama umekula makande mdomon umetengeneza hiz story kwa kugogle wewe unatafuta umaarufu labda weww ni pepo mwenyewe
Ardhi ikumeze wewe
Wengine kama Gwagima ni mtumishi was Mungu Katekela alisema kusimu humwogopa sana
@pericykiko6198
Жыл бұрын
Hiyo ilikuwa mwaka 2013 ndio wakati Gwajima alikua na Mungu kweli ila kuanzia 2016 mmmh ombeni sana mtajua mengi
@lucykapinga369
Жыл бұрын
@@pericykiko6198 mpaka Sasa gwajima Ni motroo pia yyko vizur
@pericykiko6198
Жыл бұрын
@@lucykapinga369 hakuna kujisifia wakati inajulikana itakua faida gani kumpamba wakati anateketea ukiona kitu kinasemwa na uko rohoni km unaguswa ingia maombi ya ndani uone nini utaona na ikawa baraka kuokoa waliotekwa
@lebeka2951
Жыл бұрын
@@pericykiko6198 kweli kabisa tatizo hawana mda wakumsihi mungu nakusoma neno
@peterdaiman5813
Жыл бұрын
Uongo
Umekufa wewe acha uongo
Uyo c wewe
@joysongoi5353
Жыл бұрын
This is personification, you are not the servant of God Amiel.
Kama wewe unasema kweli tunaomba uwataje uweze kuokoa watu vinginevyo wewe unaongea uongo