MCHUNGAJI HANANJA AMVAA MFALME ZUMARIDI NA NABII GEORDAVIE KUSEMA WANAONGEA NA MUNGU

HUYU HAPA MCHUNGAJI RICHARD HANANJA AKIWAJIA JUU MFALME ZUMARIDI NA NABII GEORDAVIE KWAMBA WANATAFUTA PESA

Пікірлер: 437

  • @spendjulius-qz9mt
    @spendjulius-qz9mt Жыл бұрын

    Nimekuelewa “ hapo wewe ni nuru ya kweli 💪🏿🙏🏻🙏🏻👍🏿

  • @NuruMbongo
    @NuruMbongo7 ай бұрын

    Unajua na una hofu ya Mungu nimekupenda bule unajua kubariki moyo wangu ❤

  • @dastanfuraha2244
    @dastanfuraha2244 Жыл бұрын

    Mchungaji nakubali fact zako, maisha marefu nakutakia

  • @kosherasengasu5093
    @kosherasengasu5093 Жыл бұрын

    Barikiwa Sana mtumishi wa MUNGU.Umejibu maswali ya mwandishi Kwa hekima Sana.

  • @jennyalex4542
    @jennyalex4542 Жыл бұрын

    Jamani Mimi Nataman sana siku moja nimuone huyu mchungaji mungu nisaidie

  • @kambiyusufu2776
    @kambiyusufu2776 Жыл бұрын

    Dah mzee nimekuelewa sana mungu akubaliki sana ameni

  • @stanleybulla
    @stanleybulla6 ай бұрын

    Katika wachungaji wote nlowahi kuwasikiliza hapa dunia we ni namba moja hakuna anaekufikia uwezo ulokuwa nao you are a genius i ever see, God bless you forever and ever

  • @aloycemisigalo3983
    @aloycemisigalo3983 Жыл бұрын

    Mchungaji nimetokea kukuelewa bure kabisa, umeongea ukweli kabisa.

  • @mkambamaulid447
    @mkambamaulid447 Жыл бұрын

    Kiukweli mchuuungaji hananja uko sahihi kabisa 🙏🏼 Na kama ingekuwa Bure isiyo na malengo basi waumini wake wote wangepewa Ist 🤗👍💪🏽🤝

  • @patrickfanuel
    @patrickfanuel6 ай бұрын

    ❤❤Mchungaji nakukubali sana Mungu akupe maisha malefu hapa Duniani❤❤

  • @suzandavd5213
    @suzandavd52136 ай бұрын

    ❤ barikiwa mchungaji chukua maua yako baba

  • @valeriamtenga3384
    @valeriamtenga3384 Жыл бұрын

    Nimejifunza sana juu ya huyu baba! Baba una kitu cha Mungu ambapo mtu hawezi kukuelewa, Asante kwa maneno ya hekima Barikiwa

  • @sadatamal3655

    @sadatamal3655

    Жыл бұрын

    Kweli kabisa

  • @magrethmbaga1089

    @magrethmbaga1089

    Жыл бұрын

    Kweli kabisa baba

  • @wanyooshetv9987

    @wanyooshetv9987

    6 ай бұрын

    Sasa umemuelewaje na haeleweki?😁😏

  • @gabrielmoses6860

    @gabrielmoses6860

    5 ай бұрын

    ​@@wanyooshetv9987 Wenzako tunamuelewa

  • @1961nungwi

    @1961nungwi

    5 ай бұрын

    Mbona unasema mtu hawezi kumuelewa wakati ameele weka vizuri?😂

  • @nelsonmwaipaja3727
    @nelsonmwaipaja3727 Жыл бұрын

    Mch.Hananja cku zote anasema ukweli❤❤❤❤

  • @stanleybulla
    @stanleybulla6 ай бұрын

    Wewe ni pastor unaejua jinsi Mungu anavyotenda kazi, unajua kutenganisha Mungu anasimama wapi na Mambo ya kawaida yanatakiwa yaweje Hakuna muumin wako atakuwa mbumbumbu maana una madini ya kutosha. Nakukubali 💯

  • @priencedamdoek508
    @priencedamdoek508 Жыл бұрын

    Nakukubali sana mchungaji, Mungu akupe miaka mingi na Afya njema. Uendelee kutuelimisha Baba.

  • @sarafinamlomo8132
    @sarafinamlomo8132 Жыл бұрын

    Amen!!! Ubarikiwe mchungaji!!! Yaani roho inaniuma sana kuhusu shusho Yaani kapigwa upofu kwa fedha kilichonichosha zaidi akampigia magoti Geordavi

  • @glaury9938

    @glaury9938

    Жыл бұрын

    Wewe hela ni muhimu na pia elia alihudumiwa na kunguru na kupiga magoti sio kusujudu acha kuhukumu napenda uendelee kumpenda kristina by glory france

  • @sebastianharun800
    @sebastianharun800 Жыл бұрын

    Mchungaji nimekukubari kwa hii interview Mungu akubariki Sana ninakuombea

  • @user-vm2fq7ve1q
    @user-vm2fq7ve1q11 ай бұрын

    Nampenda huyu mchungaji, MUNGU azidi kukubariki.

  • @ladymzana4511
    @ladymzana4511 Жыл бұрын

    Umejibu vizuri, nyumba sio kanisa, muislamu unampangisha, na mkristo unampangisha. Muislamu akiwa na pesa nyingi unampangisha huchagui, binaadamu wote ni sawa, wewe ni mtu muhimu sana kwenye dini zetu, muislamu akiwa na hela nyingi unampangisha, hata maduka huchagui hili la mkristo ndio ununue hili la muislamu usinunue, maduka yote tunanunua bidhaa.

  • @NakembetwaKitundu-tn7xx
    @NakembetwaKitundu-tn7xx6 ай бұрын

    Barikiwa sana mtumishi maana nguvu ya MUNGU haiuzwi.

  • @PendoSilvester-gx3je
    @PendoSilvester-gx3je6 ай бұрын

    Baba Mungu akubark San upo sawasaw na neno.. Mungu azid kukupa upeo wa kuzibua akili za watu zilizo fungwa.. Amen

  • @mwanaikaomar8628
    @mwanaikaomar8628Ай бұрын

    Safi Sana mch.hananja.yaaa Allah tunakuomba MTU huyu usiichukue roho yake mpaka asilimu.akutambue Wewe na akuabudu Wewe yaa Rabby.tunampenda Hekma na busara zake.yaa Rabby tunaomba aslimu huyu.aijue dini ya kweli.mtu WA mana Sana hananja

  • @babyakasha4002
    @babyakasha40026 ай бұрын

    Daaaah kwa comments hizi za wachangiaji Bwana azidi kuwa pamoja nawe🙏 Umefunguka Live bila chenga.

  • @user-lx6hx2wb8g
    @user-lx6hx2wb8g5 ай бұрын

    Wachungaji kama hawa hua hawadumu pia hua na maisha magumu kwa sababu hua wanahubir kweli wengi wanawachukia..mungu akutie nguvu

  • @glaury9938
    @glaury9938 Жыл бұрын

    Nakupenda sana paster wewe ni mkweli kabisa asante yesu kwa huyu paster

  • @dancanasenaobondo189
    @dancanasenaobondo189 Жыл бұрын

    Swali hili limenisumbua kwa mda mrefu, Sasa nimejibiwa hongera sana mchungaji.

  • @charlescharles6375

    @charlescharles6375

    6 ай бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @shaamemchauru1365

    @shaamemchauru1365

    5 ай бұрын

    😅😅😅😅😅

  • @JSStationary
    @JSStationary8 ай бұрын

    Aminaaa ubarikiwe sana Mchungaji Hananja unasema ukweliii.

  • @mangasakahuza2466
    @mangasakahuza2466 Жыл бұрын

    Love Sana mzee hananja unaongea fact

  • @sekelakatitu9419
    @sekelakatitu94196 ай бұрын

    Nakuelewa sanaaa na kukubali baba mchungaj

  • @AnneSampegete
    @AnneSampegete Жыл бұрын

    Tungekua na wachungaji kama hawa maelf naona watu tungelikua tunaishi maisha ya kiukweli big up mchungaji msema kweli mungu akuzidishie uendelee kuelimisha

  • @EddySimonmushi
    @EddySimonmushi5 ай бұрын

    Kweli we ni pastor wa kweli kabisa mungu akubariki sana

  • @francisjohn2876
    @francisjohn2876 Жыл бұрын

    Mchungaji ni muwazi sana ni msema kweli mungu akujaalie katika harakati zako Amin

  • @westmanmoses541

    @westmanmoses541

    Жыл бұрын

    Hananja anamuunga mkono lema

  • @jolemerci2155

    @jolemerci2155

    Жыл бұрын

    @@westmanmoses541 uyu mutumishi Wa mungu ni mu kweli mtupu ila naomba akumbuke kusema kuhusu kesi la muchungaji mbarikiwa Mwa kipesile mbona Tanzania ni kimya kuhusu kesi la mbalikiwa hâta vyombo vya habari kimya kabisa inamaana mbarikiwa ni mtu wa mbinguni kabisa kabisa sababu watu Wa hapa duniani hawaongelei ikiwa kwa wema ao kwa ubaya mbona kimya ?

  • @davidmembedalamethepsalmis2885

    @davidmembedalamethepsalmis2885

    Жыл бұрын

    Well answered my pastor

  • @burilohomestudio6783
    @burilohomestudio6783 Жыл бұрын

    Daaah ila huyu mzee❤❤❤❤❤

  • @blaisemugisha7570
    @blaisemugisha7570 Жыл бұрын

    Mungu azidi kk bariki sana kwa ukweli unavyo ogeya napenda sana mafudisho yako pastor 🙏🙏

  • @florencemwanansao834
    @florencemwanansao834 Жыл бұрын

    Dah huyu nimemuelewa. Mungu akubariki sana

  • @amisamaurid1882
    @amisamaurid18826 ай бұрын

    Mzee wangu mungu akupe maisha marefu xana, Tunduma border tunakukibali xana fyeka

  • @barakarichOfficial1

    @barakarichOfficial1

    6 ай бұрын

    Alafu Usiandike mungu apana sema Mungu elufi yakwanza kubwa mungu siyo mkuu ila Mungu ndio Mkuu

  • @user-tn7ic2ky3i
    @user-tn7ic2ky3i6 ай бұрын

    Ubarikiwe Mchungaji kwa maneno ya busara

  • @honestmsigwa920
    @honestmsigwa920 Жыл бұрын

    Nimekuelewa sana zaidi ya saaaana.

  • @johnsonkonyonyi2559
    @johnsonkonyonyi2559 Жыл бұрын

    Nimekulewa mchungaji uko vizuri unafafanua kuptia bibilia unaielewa bibilia vizuri sana mungu akubariki

  • @shebemsala26

    @shebemsala26

    Жыл бұрын

    Watu wangu wanaangamia kwakukosa maarifa ..yaani wanatoa sadaka wengine wanafanya show up..barikiwa mchungaji umesema point.. mwenye sikio na asikie

  • @mariakisinda-pe7us

    @mariakisinda-pe7us

    6 ай бұрын

    Hongera mchungaji

  • @user-zt3ug9wv7f
    @user-zt3ug9wv7f5 ай бұрын

    Huyu mchungaji yupo vizur sana napenda uchanganuzi wake Mungu akubariki zaid 🇰🇪

  • @devotajulius7572
    @devotajulius75726 ай бұрын

    Hongera sana mchungaji unaogea ukweli kabisa .

  • @user-un9qw8hv2h
    @user-un9qw8hv2h3 ай бұрын

    Mungu akubariki sana mchungaji akupe maisha marefu.

  • @mulebyamatoke3493
    @mulebyamatoke3493 Жыл бұрын

    Isee dingi noma, nimekuelewa sana ubarikiwe!

  • @user-un9qw8hv2h
    @user-un9qw8hv2h3 ай бұрын

    Mungu akubariki sana mchungaji akupemaish malef

  • @dorcasmasinde7349
    @dorcasmasinde73494 ай бұрын

    Tungekuwa na watumishi wa Mungu watatu wenye hekima kama Huyu ulimwenguni hatungelikuwa na dini nyingi duniani.mungu na amuzidishie huyu mtumishi hii hekima ya kipekee.

  • @abasingaruka1872
    @abasingaruka18725 ай бұрын

    Hongera mchungaji Hamanja mafundisho yako yanatosheleza na kueleweka, Fundisha zaidi,

  • @sunnynicks8440
    @sunnynicks8440 Жыл бұрын

    Pastor may Almighty God strengthen you🙏🙏

  • @kilianmalegea166
    @kilianmalegea166 Жыл бұрын

    Well said pastor !

  • @valeriamtenga3384
    @valeriamtenga3384 Жыл бұрын

    Nuru haiwezi kuangaza nuru yenzake, bali nuru huangaza giza, ili giza likimbie,mana nuru ikiingia giza halikai Ameeeen

  • @user-cz7kz7cj9v
    @user-cz7kz7cj9v5 ай бұрын

    Mungu akubariki Mtumishi.

  • @peaceappolinarygahene9646
    @peaceappolinarygahene9646 Жыл бұрын

    Mungu akulinde uzidi kutuelewesha.

  • @jamessonjoro7650
    @jamessonjoro76506 ай бұрын

    Mungu akubaliki sana unajua sana kusema kweli ubalikiwe

  • @MohammedAwadh-gq9si
    @MohammedAwadh-gq9si6 ай бұрын

    Ni ukweli kabisa ! ALLAH akuongoze !

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga1518 Жыл бұрын

    Super genius Mch Hananja nakukubali sanaaaaaaa

  • @blankedward9921

    @blankedward9921

    Жыл бұрын

    U

  • @user-ve7gj5my7o
    @user-ve7gj5my7o6 ай бұрын

    Kwa kwelii mm nakuelewa xana mungu akubariki xana

  • @faustinejoseph7702
    @faustinejoseph7702 Жыл бұрын

    Bonge ya mtumishi! Angejengewa mnaraaa

  • @user-up6kc5xv4n
    @user-up6kc5xv4n6 ай бұрын

    Heri anayesema ukweli maana huwaponya wengi,uishi maisha marefu baba

  • @janepherprince3833
    @janepherprince38335 ай бұрын

    Amen Pastor nakuelewa sana

  • @tatuhamza4677
    @tatuhamza46777 ай бұрын

    Mm nashukuru Mungu nimezaliwa kwenye diniyahaki uislamu nidni yahaki❤❤❤

  • @lightnesselirehema1464

    @lightnesselirehema1464

    6 ай бұрын

    Mungu akusaidie umjue Mungu

  • @DanielJackson-vd2jw
    @DanielJackson-vd2jw6 ай бұрын

    Be blessed, Fact is spoken

  • @daudinyello4033
    @daudinyello40335 ай бұрын

    SAFI PASTOR, Hata Mtume wetu MUHAMMAD(s.a.w) wakati akiwa na Maswahaba/Wanafunzi wake aliona Jeneza kwa mbali likipita akatoa ishara ya kuhuzunika ndipo mmoja kati ya Wanafunzi wake wakamuuliza kwanini unahuzunika wakati yule aliekufa ni Mkristo? Akawajibu; YULE PIA NI BINADAMU. MTUME MUHAMMAD ALIPENDA WATU WOTE.

  • @juventjustinianaloyse6640
    @juventjustinianaloyse6640 Жыл бұрын

    duuuuu uyu mchungaji Kiboko nmekupenda bure alelleluyaaaaaa

  • @burilohomestudio6783
    @burilohomestudio6783 Жыл бұрын

    Jamani huyu jamaa n genius

  • @hamadiselemani8665
    @hamadiselemani8665 Жыл бұрын

    aaaaahhhhhhh aaaaahhhhh Nimepata elimu na kucheka sana

  • @esperenceamris
    @esperenceamris Жыл бұрын

    Well done Pastor

  • @user-up6kc5xv4n
    @user-up6kc5xv4n6 ай бұрын

    Heri anayesema ukweli maana huwaponya wengi,,uishi miaka mingi,ukifa huozi❤❤

  • @TimotheoBulimwengu
    @TimotheoBulimwengu5 ай бұрын

    Aminaaaaah Aminaaaah Aminaaaaah Baba fumbuwa wa kristo macho kabisa

  • @user-tn5gf5hz2e
    @user-tn5gf5hz2e5 ай бұрын

    Asante mchungaji napendaga mafundisho yako ya ndoa sana

  • @tunsumemwajumba7149
    @tunsumemwajumba7149 Жыл бұрын

    Nakukubali sana mchungaji wangu

  • @mucochanella1672
    @mucochanella1672 Жыл бұрын

    Mungu akubaliki pasta

  • @monicamsile2284
    @monicamsile2284 Жыл бұрын

    Barikiwa sana mtumishi

  • @christianleonard8308
    @christianleonard8308 Жыл бұрын

    Well say Pastor 🙌🙌🙌🙌

  • @loveme6056
    @loveme6056 Жыл бұрын

    Aliyenisikitisha zaidi ni Christina Shusho,,,Mungu akupe macho ya Rohoni we mama

  • @ceciliahezron8794

    @ceciliahezron8794

    Жыл бұрын

    Amefanyaje?

  • @mohsixtus7048

    @mohsixtus7048

    7 ай бұрын

    Ameipenda Sana Dunia

  • @KhamisFundi-rb9zp
    @KhamisFundi-rb9zp Жыл бұрын

    Ahsanteee sana mzee

  • @andrewlkashusha135
    @andrewlkashusha135 Жыл бұрын

    Namkubali kiongoz huyu sana !

  • @JanuaryNicholas-im7ee
    @JanuaryNicholas-im7ee Жыл бұрын

    Ubarkiw mchungaji

  • @juliusmshana7187
    @juliusmshana7187 Жыл бұрын

    Nakukubali Sana mtimishi

  • @mussayusuph6568
    @mussayusuph6568 Жыл бұрын

    MIMI NI MUISLAM LKN UYU JAMAA NAMUELEWA SANA HAPINDISHAGI HATA KDG

  • @saridboy8987

    @saridboy8987

    9 ай бұрын

    Huyu mchungaji kwakweli ni kiboko😅😅😅

  • @nuruyawatu

    @nuruyawatu

    7 ай бұрын

    Ni kweli, Karibu pia Kwa Yesu Mpendwa,Uwe Huru

  • @maclaudismail6606

    @maclaudismail6606

    7 ай бұрын

    anapoita kizazi cha Ibrahim upande wa waislam ni magaidi we unapenda hiyo ?

  • @user-cr7vi4qp9c

    @user-cr7vi4qp9c

    6 ай бұрын

    Huyu ni nani?

  • @sama-_8368

    @sama-_8368

    6 ай бұрын

    ​@@maclaudismail6606Hawezi kupatia kila kitu, lakini mengi anayasema ya kweli lakini huyo sio Mungu apatie kila kitu Kwa point ile ameonyesha kwanini yeye ni mkristo Hatuna mpango na ukristo wake lakini mengi anayasema ya kweli. Hawezi kupatia kila kitu.

  • @user-zp5ho5yo8x
    @user-zp5ho5yo8x6 ай бұрын

    Mungu akubaliki sana mtumishi

  • @ZAMYLFILM
    @ZAMYLFILM Жыл бұрын

    Allah akujaalie uwe muislam nakupenda sana pastor unaongea ukweli, inshaallah Allah akufanyie wepesi uwe muislam.

  • @mohsixtus7048

    @mohsixtus7048

    7 ай бұрын

    😂

  • @amosmasele1398

    @amosmasele1398

    6 ай бұрын

    Uislam Tena!

  • @anajohn8132

    @anajohn8132

    5 ай бұрын

    Kwa nn wewe usiwe mkristo😂

  • @maryeer6392
    @maryeer6392 Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣 napenda huyu mchungaji 🤣🤣🤣 si choki kumsikiza gai 🇰🇪🇰🇪🙏.

  • @williammollel97
    @williammollel97 Жыл бұрын

    Uko sawa paster nimeelewa sana

  • @user-es4jv6pb8x
    @user-es4jv6pb8xАй бұрын

    Mtumishi Hongera sana kwa kweli

  • @herriethabdallah598
    @herriethabdallah598 Жыл бұрын

    Nampenda San jamani uyu baba

  • @jofisdory2108
    @jofisdory2108 Жыл бұрын

    Akil nyingi mungu ambarik

  • @amanidicksoni3945
    @amanidicksoni39456 ай бұрын

    Mchungaji ww ni nooma uko vizuri 🎉

  • @mwanabucheyeki226
    @mwanabucheyeki226 Жыл бұрын

    Kwa Maelezo mazuri hivyo, napendekeza uwe NABII MKUU TANZANIA. Sijawahi ona mwingine wa Imani za Kiroho aliye Mkweli kama wewe!

  • @yesunialamayakiama.9013

    @yesunialamayakiama.9013

    6 ай бұрын

    Wapo ila hawajioneshagi mitandaoni. Hata mimi mbali na kuwa Mwl. wa Biblia ninamkubali sana. ❤

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 Жыл бұрын

    MWAMPOSA KAJENGA HOTEL KUBWA SANA, WAJINGA NDIO WALIWAO, WATU WALIBEBA MAJI WAKASAFIRI NAYO MPAKA MWANZA, TOKA DAR, MAKATUNI NA MAKATUNI.

  • @nantaembanusurupia5674

    @nantaembanusurupia5674

    Жыл бұрын

    Eeeh 😂😂😂 na tutaenda kunyanduana humohumo hotelini

  • @DANIELMZAVA

    @DANIELMZAVA

    Жыл бұрын

    Kiukwel much huyu apewe ulinzi Mungu amulinde

  • @jumafish233
    @jumafish233 Жыл бұрын

    😂😂😂aisee huyu mchungaji nakubali sana anahekma sana😂😂😂

  • @jofuprince2294
    @jofuprince2294 Жыл бұрын

    Daaah aiseee nimecheka kinoma noma tena kwasauti kubwa, kwasababu umeongea ukweli mtupu

  • @fredkyara6595
    @fredkyara65956 ай бұрын

    Hakika nnakukubali sana. mtumish

  • @tusekelegemonje645
    @tusekelegemonje645 Жыл бұрын

    Safi sana mtumishi

  • @frankmwakalinga7455
    @frankmwakalinga7455 Жыл бұрын

    Ameen 🙏 kweli watu hawasomi Bible kama waumini wa kibwetele alichoma zaidi ya watu700 kwa kutokusoma biblia

  • @kiptoojeison
    @kiptoojeisonАй бұрын

    Nimekuelewa sana❤❤❤

  • @saidishineni7966
    @saidishineni79667 ай бұрын

    Hananja big UP BROTHER kwenye macho haambiwi tizama

  • @JulianaMisangu
    @JulianaMisangu6 ай бұрын

    Amen pastor

  • @abdremaneali7818
    @abdremaneali781811 ай бұрын

    Nankubali huyu mzee.

  • @zuwenaissa2690
    @zuwenaissa2690 Жыл бұрын

    Saluti mzee baba uesomeka

  • @Filopolazalo
    @Filopolazalo Жыл бұрын

    safi sans baba yangu wa kiroho

  • @kassimhashi49
    @kassimhashi49 Жыл бұрын

    Mzee mimi niko kenya .na mm mimi ni muislamu .lkn naakupenda sana