MCHUNGAJI HANANJA AMVAA MFALME ZUMARIDI NA NABII GEORDAVIE KUSEMA WANAONGEA NA MUNGU
HUYU HAPA MCHUNGAJI RICHARD HANANJA AKIWAJIA JUU MFALME ZUMARIDI NA NABII GEORDAVIE KWAMBA WANATAFUTA PESA
Жүктеу.....
Пікірлер: 437
@spendjulius-qz9mt Жыл бұрын
Nimekuelewa “ hapo wewe ni nuru ya kweli 💪🏿🙏🏻🙏🏻👍🏿
@NuruMbongo7 ай бұрын
Unajua na una hofu ya Mungu nimekupenda bule unajua kubariki moyo wangu ❤
@dastanfuraha2244 Жыл бұрын
Mchungaji nakubali fact zako, maisha marefu nakutakia
@kosherasengasu5093 Жыл бұрын
Barikiwa Sana mtumishi wa MUNGU.Umejibu maswali ya mwandishi Kwa hekima Sana.
@jennyalex4542 Жыл бұрын
Jamani Mimi Nataman sana siku moja nimuone huyu mchungaji mungu nisaidie
@kambiyusufu2776 Жыл бұрын
Dah mzee nimekuelewa sana mungu akubaliki sana ameni
@stanleybulla6 ай бұрын
Katika wachungaji wote nlowahi kuwasikiliza hapa dunia we ni namba moja hakuna anaekufikia uwezo ulokuwa nao you are a genius i ever see, God bless you forever and ever
Kiukweli mchuuungaji hananja uko sahihi kabisa 🙏🏼 Na kama ingekuwa Bure isiyo na malengo basi waumini wake wote wangepewa Ist 🤗👍💪🏽🤝
@patrickfanuel6 ай бұрын
❤❤Mchungaji nakukubali sana Mungu akupe maisha malefu hapa Duniani❤❤
@suzandavd52136 ай бұрын
❤ barikiwa mchungaji chukua maua yako baba
@valeriamtenga3384 Жыл бұрын
Nimejifunza sana juu ya huyu baba! Baba una kitu cha Mungu ambapo mtu hawezi kukuelewa, Asante kwa maneno ya hekima Barikiwa
@sadatamal3655
Жыл бұрын
Kweli kabisa
@magrethmbaga1089
Жыл бұрын
Kweli kabisa baba
@wanyooshetv9987
6 ай бұрын
Sasa umemuelewaje na haeleweki?😁😏
@gabrielmoses6860
5 ай бұрын
@@wanyooshetv9987 Wenzako tunamuelewa
@1961nungwi
5 ай бұрын
Mbona unasema mtu hawezi kumuelewa wakati ameele weka vizuri?😂
@nelsonmwaipaja3727 Жыл бұрын
Mch.Hananja cku zote anasema ukweli❤❤❤❤
@stanleybulla6 ай бұрын
Wewe ni pastor unaejua jinsi Mungu anavyotenda kazi, unajua kutenganisha Mungu anasimama wapi na Mambo ya kawaida yanatakiwa yaweje Hakuna muumin wako atakuwa mbumbumbu maana una madini ya kutosha. Nakukubali 💯
@priencedamdoek508 Жыл бұрын
Nakukubali sana mchungaji, Mungu akupe miaka mingi na Afya njema. Uendelee kutuelimisha Baba.
@sarafinamlomo8132 Жыл бұрын
Amen!!! Ubarikiwe mchungaji!!! Yaani roho inaniuma sana kuhusu shusho Yaani kapigwa upofu kwa fedha kilichonichosha zaidi akampigia magoti Geordavi
@glaury9938
Жыл бұрын
Wewe hela ni muhimu na pia elia alihudumiwa na kunguru na kupiga magoti sio kusujudu acha kuhukumu napenda uendelee kumpenda kristina by glory france
@sebastianharun800 Жыл бұрын
Mchungaji nimekukubari kwa hii interview Mungu akubariki Sana ninakuombea
@user-vm2fq7ve1q11 ай бұрын
Nampenda huyu mchungaji, MUNGU azidi kukubariki.
@ladymzana4511 Жыл бұрын
Umejibu vizuri, nyumba sio kanisa, muislamu unampangisha, na mkristo unampangisha. Muislamu akiwa na pesa nyingi unampangisha huchagui, binaadamu wote ni sawa, wewe ni mtu muhimu sana kwenye dini zetu, muislamu akiwa na hela nyingi unampangisha, hata maduka huchagui hili la mkristo ndio ununue hili la muislamu usinunue, maduka yote tunanunua bidhaa.
@NakembetwaKitundu-tn7xx6 ай бұрын
Barikiwa sana mtumishi maana nguvu ya MUNGU haiuzwi.
@PendoSilvester-gx3je6 ай бұрын
Baba Mungu akubark San upo sawasaw na neno.. Mungu azid kukupa upeo wa kuzibua akili za watu zilizo fungwa.. Amen
@mwanaikaomar8628Ай бұрын
Safi Sana mch.hananja.yaaa Allah tunakuomba MTU huyu usiichukue roho yake mpaka asilimu.akutambue Wewe na akuabudu Wewe yaa Rabby.tunampenda Hekma na busara zake.yaa Rabby tunaomba aslimu huyu.aijue dini ya kweli.mtu WA mana Sana hananja
@babyakasha40026 ай бұрын
Daaaah kwa comments hizi za wachangiaji Bwana azidi kuwa pamoja nawe🙏 Umefunguka Live bila chenga.
@user-lx6hx2wb8g5 ай бұрын
Wachungaji kama hawa hua hawadumu pia hua na maisha magumu kwa sababu hua wanahubir kweli wengi wanawachukia..mungu akutie nguvu
@glaury9938 Жыл бұрын
Nakupenda sana paster wewe ni mkweli kabisa asante yesu kwa huyu paster
@dancanasenaobondo189 Жыл бұрын
Swali hili limenisumbua kwa mda mrefu, Sasa nimejibiwa hongera sana mchungaji.
@charlescharles6375
6 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@shaamemchauru1365
5 ай бұрын
😅😅😅😅😅
@JSStationary8 ай бұрын
Aminaaa ubarikiwe sana Mchungaji Hananja unasema ukweliii.
@mangasakahuza2466 Жыл бұрын
Love Sana mzee hananja unaongea fact
@sekelakatitu94196 ай бұрын
Nakuelewa sanaaa na kukubali baba mchungaj
@AnneSampegete Жыл бұрын
Tungekua na wachungaji kama hawa maelf naona watu tungelikua tunaishi maisha ya kiukweli big up mchungaji msema kweli mungu akuzidishie uendelee kuelimisha
@EddySimonmushi5 ай бұрын
Kweli we ni pastor wa kweli kabisa mungu akubariki sana
@francisjohn2876 Жыл бұрын
Mchungaji ni muwazi sana ni msema kweli mungu akujaalie katika harakati zako Amin
@westmanmoses541
Жыл бұрын
Hananja anamuunga mkono lema
@jolemerci2155
Жыл бұрын
@@westmanmoses541 uyu mutumishi Wa mungu ni mu kweli mtupu ila naomba akumbuke kusema kuhusu kesi la muchungaji mbarikiwa Mwa kipesile mbona Tanzania ni kimya kuhusu kesi la mbalikiwa hâta vyombo vya habari kimya kabisa inamaana mbarikiwa ni mtu wa mbinguni kabisa kabisa sababu watu Wa hapa duniani hawaongelei ikiwa kwa wema ao kwa ubaya mbona kimya ?
@davidmembedalamethepsalmis2885
Жыл бұрын
Well answered my pastor
@burilohomestudio6783 Жыл бұрын
Daaah ila huyu mzee❤❤❤❤❤
@blaisemugisha7570 Жыл бұрын
Mungu azidi kk bariki sana kwa ukweli unavyo ogeya napenda sana mafudisho yako pastor 🙏🙏
@florencemwanansao834 Жыл бұрын
Dah huyu nimemuelewa. Mungu akubariki sana
@amisamaurid18826 ай бұрын
Mzee wangu mungu akupe maisha marefu xana, Tunduma border tunakukibali xana fyeka
@barakarichOfficial1
6 ай бұрын
Alafu Usiandike mungu apana sema Mungu elufi yakwanza kubwa mungu siyo mkuu ila Mungu ndio Mkuu
@user-tn7ic2ky3i6 ай бұрын
Ubarikiwe Mchungaji kwa maneno ya busara
@honestmsigwa920 Жыл бұрын
Nimekuelewa sana zaidi ya saaaana.
@johnsonkonyonyi2559 Жыл бұрын
Nimekulewa mchungaji uko vizuri unafafanua kuptia bibilia unaielewa bibilia vizuri sana mungu akubariki
@shebemsala26
Жыл бұрын
Watu wangu wanaangamia kwakukosa maarifa ..yaani wanatoa sadaka wengine wanafanya show up..barikiwa mchungaji umesema point.. mwenye sikio na asikie
@mariakisinda-pe7us
6 ай бұрын
Hongera mchungaji
@user-zt3ug9wv7f5 ай бұрын
Huyu mchungaji yupo vizur sana napenda uchanganuzi wake Mungu akubariki zaid 🇰🇪
@devotajulius75726 ай бұрын
Hongera sana mchungaji unaogea ukweli kabisa .
@user-un9qw8hv2h3 ай бұрын
Mungu akubariki sana mchungaji akupe maisha marefu.
@mulebyamatoke3493 Жыл бұрын
Isee dingi noma, nimekuelewa sana ubarikiwe!
@user-un9qw8hv2h3 ай бұрын
Mungu akubariki sana mchungaji akupemaish malef
@dorcasmasinde73494 ай бұрын
Tungekuwa na watumishi wa Mungu watatu wenye hekima kama Huyu ulimwenguni hatungelikuwa na dini nyingi duniani.mungu na amuzidishie huyu mtumishi hii hekima ya kipekee.
@abasingaruka18725 ай бұрын
Hongera mchungaji Hamanja mafundisho yako yanatosheleza na kueleweka, Fundisha zaidi,
@sunnynicks8440 Жыл бұрын
Pastor may Almighty God strengthen you🙏🙏
@kilianmalegea166 Жыл бұрын
Well said pastor !
@valeriamtenga3384 Жыл бұрын
Nuru haiwezi kuangaza nuru yenzake, bali nuru huangaza giza, ili giza likimbie,mana nuru ikiingia giza halikai Ameeeen
@user-cz7kz7cj9v5 ай бұрын
Mungu akubariki Mtumishi.
@peaceappolinarygahene9646 Жыл бұрын
Mungu akulinde uzidi kutuelewesha.
@jamessonjoro76506 ай бұрын
Mungu akubaliki sana unajua sana kusema kweli ubalikiwe
@MohammedAwadh-gq9si6 ай бұрын
Ni ukweli kabisa ! ALLAH akuongoze !
@emmanuelmayunga1518 Жыл бұрын
Super genius Mch Hananja nakukubali sanaaaaaaa
@blankedward9921
Жыл бұрын
U
@user-ve7gj5my7o6 ай бұрын
Kwa kwelii mm nakuelewa xana mungu akubariki xana
@faustinejoseph7702 Жыл бұрын
Bonge ya mtumishi! Angejengewa mnaraaa
@user-up6kc5xv4n6 ай бұрын
Heri anayesema ukweli maana huwaponya wengi,uishi maisha marefu baba
@janepherprince38335 ай бұрын
Amen Pastor nakuelewa sana
@tatuhamza46777 ай бұрын
Mm nashukuru Mungu nimezaliwa kwenye diniyahaki uislamu nidni yahaki❤❤❤
@lightnesselirehema1464
6 ай бұрын
Mungu akusaidie umjue Mungu
@DanielJackson-vd2jw6 ай бұрын
Be blessed, Fact is spoken
@daudinyello40335 ай бұрын
SAFI PASTOR, Hata Mtume wetu MUHAMMAD(s.a.w) wakati akiwa na Maswahaba/Wanafunzi wake aliona Jeneza kwa mbali likipita akatoa ishara ya kuhuzunika ndipo mmoja kati ya Wanafunzi wake wakamuuliza kwanini unahuzunika wakati yule aliekufa ni Mkristo? Akawajibu; YULE PIA NI BINADAMU. MTUME MUHAMMAD ALIPENDA WATU WOTE.
aaaaahhhhhhh aaaaahhhhh Nimepata elimu na kucheka sana
@esperenceamris Жыл бұрын
Well done Pastor
@user-up6kc5xv4n6 ай бұрын
Heri anayesema ukweli maana huwaponya wengi,,uishi miaka mingi,ukifa huozi❤❤
@TimotheoBulimwengu5 ай бұрын
Aminaaaaah Aminaaaah Aminaaaaah Baba fumbuwa wa kristo macho kabisa
@user-tn5gf5hz2e5 ай бұрын
Asante mchungaji napendaga mafundisho yako ya ndoa sana
@tunsumemwajumba7149 Жыл бұрын
Nakukubali sana mchungaji wangu
@mucochanella1672 Жыл бұрын
Mungu akubaliki pasta
@monicamsile2284 Жыл бұрын
Barikiwa sana mtumishi
@christianleonard8308 Жыл бұрын
Well say Pastor 🙌🙌🙌🙌
@loveme6056 Жыл бұрын
Aliyenisikitisha zaidi ni Christina Shusho,,,Mungu akupe macho ya Rohoni we mama
@ceciliahezron8794
Жыл бұрын
Amefanyaje?
@mohsixtus7048
7 ай бұрын
Ameipenda Sana Dunia
@KhamisFundi-rb9zp Жыл бұрын
Ahsanteee sana mzee
@andrewlkashusha135 Жыл бұрын
Namkubali kiongoz huyu sana !
@JanuaryNicholas-im7ee Жыл бұрын
Ubarkiw mchungaji
@juliusmshana7187 Жыл бұрын
Nakukubali Sana mtimishi
@mussayusuph6568 Жыл бұрын
MIMI NI MUISLAM LKN UYU JAMAA NAMUELEWA SANA HAPINDISHAGI HATA KDG
@saridboy8987
9 ай бұрын
Huyu mchungaji kwakweli ni kiboko😅😅😅
@nuruyawatu
7 ай бұрын
Ni kweli, Karibu pia Kwa Yesu Mpendwa,Uwe Huru
@maclaudismail6606
7 ай бұрын
anapoita kizazi cha Ibrahim upande wa waislam ni magaidi we unapenda hiyo ?
@user-cr7vi4qp9c
6 ай бұрын
Huyu ni nani?
@sama-_8368
6 ай бұрын
@@maclaudismail6606Hawezi kupatia kila kitu, lakini mengi anayasema ya kweli lakini huyo sio Mungu apatie kila kitu Kwa point ile ameonyesha kwanini yeye ni mkristo Hatuna mpango na ukristo wake lakini mengi anayasema ya kweli. Hawezi kupatia kila kitu.
@user-zp5ho5yo8x6 ай бұрын
Mungu akubaliki sana mtumishi
@ZAMYLFILM Жыл бұрын
Allah akujaalie uwe muislam nakupenda sana pastor unaongea ukweli, inshaallah Allah akufanyie wepesi uwe muislam.
@mohsixtus7048
7 ай бұрын
😂
@amosmasele1398
6 ай бұрын
Uislam Tena!
@anajohn8132
5 ай бұрын
Kwa nn wewe usiwe mkristo😂
@maryeer6392 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣 napenda huyu mchungaji 🤣🤣🤣 si choki kumsikiza gai 🇰🇪🇰🇪🙏.
@williammollel97 Жыл бұрын
Uko sawa paster nimeelewa sana
@user-es4jv6pb8xАй бұрын
Mtumishi Hongera sana kwa kweli
@herriethabdallah598 Жыл бұрын
Nampenda San jamani uyu baba
@jofisdory2108 Жыл бұрын
Akil nyingi mungu ambarik
@amanidicksoni39456 ай бұрын
Mchungaji ww ni nooma uko vizuri 🎉
@mwanabucheyeki226 Жыл бұрын
Kwa Maelezo mazuri hivyo, napendekeza uwe NABII MKUU TANZANIA. Sijawahi ona mwingine wa Imani za Kiroho aliye Mkweli kama wewe!
@yesunialamayakiama.9013
6 ай бұрын
Wapo ila hawajioneshagi mitandaoni. Hata mimi mbali na kuwa Mwl. wa Biblia ninamkubali sana. ❤
@oliviaseth4652 Жыл бұрын
MWAMPOSA KAJENGA HOTEL KUBWA SANA, WAJINGA NDIO WALIWAO, WATU WALIBEBA MAJI WAKASAFIRI NAYO MPAKA MWANZA, TOKA DAR, MAKATUNI NA MAKATUNI.
@nantaembanusurupia5674
Жыл бұрын
Eeeh 😂😂😂 na tutaenda kunyanduana humohumo hotelini
@DANIELMZAVA
Жыл бұрын
Kiukwel much huyu apewe ulinzi Mungu amulinde
@jumafish233 Жыл бұрын
😂😂😂aisee huyu mchungaji nakubali sana anahekma sana😂😂😂
Пікірлер: 437
Nimekuelewa “ hapo wewe ni nuru ya kweli 💪🏿🙏🏻🙏🏻👍🏿
Unajua na una hofu ya Mungu nimekupenda bule unajua kubariki moyo wangu ❤
Mchungaji nakubali fact zako, maisha marefu nakutakia
Barikiwa Sana mtumishi wa MUNGU.Umejibu maswali ya mwandishi Kwa hekima Sana.
Jamani Mimi Nataman sana siku moja nimuone huyu mchungaji mungu nisaidie
Dah mzee nimekuelewa sana mungu akubaliki sana ameni
Katika wachungaji wote nlowahi kuwasikiliza hapa dunia we ni namba moja hakuna anaekufikia uwezo ulokuwa nao you are a genius i ever see, God bless you forever and ever
Mchungaji nimetokea kukuelewa bure kabisa, umeongea ukweli kabisa.
Kiukweli mchuuungaji hananja uko sahihi kabisa 🙏🏼 Na kama ingekuwa Bure isiyo na malengo basi waumini wake wote wangepewa Ist 🤗👍💪🏽🤝
❤❤Mchungaji nakukubali sana Mungu akupe maisha malefu hapa Duniani❤❤
❤ barikiwa mchungaji chukua maua yako baba
Nimejifunza sana juu ya huyu baba! Baba una kitu cha Mungu ambapo mtu hawezi kukuelewa, Asante kwa maneno ya hekima Barikiwa
@sadatamal3655
Жыл бұрын
Kweli kabisa
@magrethmbaga1089
Жыл бұрын
Kweli kabisa baba
@wanyooshetv9987
6 ай бұрын
Sasa umemuelewaje na haeleweki?😁😏
@gabrielmoses6860
5 ай бұрын
@@wanyooshetv9987 Wenzako tunamuelewa
@1961nungwi
5 ай бұрын
Mbona unasema mtu hawezi kumuelewa wakati ameele weka vizuri?😂
Mch.Hananja cku zote anasema ukweli❤❤❤❤
Wewe ni pastor unaejua jinsi Mungu anavyotenda kazi, unajua kutenganisha Mungu anasimama wapi na Mambo ya kawaida yanatakiwa yaweje Hakuna muumin wako atakuwa mbumbumbu maana una madini ya kutosha. Nakukubali 💯
Nakukubali sana mchungaji, Mungu akupe miaka mingi na Afya njema. Uendelee kutuelimisha Baba.
Amen!!! Ubarikiwe mchungaji!!! Yaani roho inaniuma sana kuhusu shusho Yaani kapigwa upofu kwa fedha kilichonichosha zaidi akampigia magoti Geordavi
@glaury9938
Жыл бұрын
Wewe hela ni muhimu na pia elia alihudumiwa na kunguru na kupiga magoti sio kusujudu acha kuhukumu napenda uendelee kumpenda kristina by glory france
Mchungaji nimekukubari kwa hii interview Mungu akubariki Sana ninakuombea
Nampenda huyu mchungaji, MUNGU azidi kukubariki.
Umejibu vizuri, nyumba sio kanisa, muislamu unampangisha, na mkristo unampangisha. Muislamu akiwa na pesa nyingi unampangisha huchagui, binaadamu wote ni sawa, wewe ni mtu muhimu sana kwenye dini zetu, muislamu akiwa na hela nyingi unampangisha, hata maduka huchagui hili la mkristo ndio ununue hili la muislamu usinunue, maduka yote tunanunua bidhaa.
Barikiwa sana mtumishi maana nguvu ya MUNGU haiuzwi.
Baba Mungu akubark San upo sawasaw na neno.. Mungu azid kukupa upeo wa kuzibua akili za watu zilizo fungwa.. Amen
Safi Sana mch.hananja.yaaa Allah tunakuomba MTU huyu usiichukue roho yake mpaka asilimu.akutambue Wewe na akuabudu Wewe yaa Rabby.tunampenda Hekma na busara zake.yaa Rabby tunaomba aslimu huyu.aijue dini ya kweli.mtu WA mana Sana hananja
Daaaah kwa comments hizi za wachangiaji Bwana azidi kuwa pamoja nawe🙏 Umefunguka Live bila chenga.
Wachungaji kama hawa hua hawadumu pia hua na maisha magumu kwa sababu hua wanahubir kweli wengi wanawachukia..mungu akutie nguvu
Nakupenda sana paster wewe ni mkweli kabisa asante yesu kwa huyu paster
Swali hili limenisumbua kwa mda mrefu, Sasa nimejibiwa hongera sana mchungaji.
@charlescharles6375
6 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@shaamemchauru1365
5 ай бұрын
😅😅😅😅😅
Aminaaa ubarikiwe sana Mchungaji Hananja unasema ukweliii.
Love Sana mzee hananja unaongea fact
Nakuelewa sanaaa na kukubali baba mchungaj
Tungekua na wachungaji kama hawa maelf naona watu tungelikua tunaishi maisha ya kiukweli big up mchungaji msema kweli mungu akuzidishie uendelee kuelimisha
Kweli we ni pastor wa kweli kabisa mungu akubariki sana
Mchungaji ni muwazi sana ni msema kweli mungu akujaalie katika harakati zako Amin
@westmanmoses541
Жыл бұрын
Hananja anamuunga mkono lema
@jolemerci2155
Жыл бұрын
@@westmanmoses541 uyu mutumishi Wa mungu ni mu kweli mtupu ila naomba akumbuke kusema kuhusu kesi la muchungaji mbarikiwa Mwa kipesile mbona Tanzania ni kimya kuhusu kesi la mbalikiwa hâta vyombo vya habari kimya kabisa inamaana mbarikiwa ni mtu wa mbinguni kabisa kabisa sababu watu Wa hapa duniani hawaongelei ikiwa kwa wema ao kwa ubaya mbona kimya ?
@davidmembedalamethepsalmis2885
Жыл бұрын
Well answered my pastor
Daaah ila huyu mzee❤❤❤❤❤
Mungu azidi kk bariki sana kwa ukweli unavyo ogeya napenda sana mafudisho yako pastor 🙏🙏
Dah huyu nimemuelewa. Mungu akubariki sana
Mzee wangu mungu akupe maisha marefu xana, Tunduma border tunakukibali xana fyeka
@barakarichOfficial1
6 ай бұрын
Alafu Usiandike mungu apana sema Mungu elufi yakwanza kubwa mungu siyo mkuu ila Mungu ndio Mkuu
Ubarikiwe Mchungaji kwa maneno ya busara
Nimekuelewa sana zaidi ya saaaana.
Nimekulewa mchungaji uko vizuri unafafanua kuptia bibilia unaielewa bibilia vizuri sana mungu akubariki
@shebemsala26
Жыл бұрын
Watu wangu wanaangamia kwakukosa maarifa ..yaani wanatoa sadaka wengine wanafanya show up..barikiwa mchungaji umesema point.. mwenye sikio na asikie
@mariakisinda-pe7us
6 ай бұрын
Hongera mchungaji
Huyu mchungaji yupo vizur sana napenda uchanganuzi wake Mungu akubariki zaid 🇰🇪
Hongera sana mchungaji unaogea ukweli kabisa .
Mungu akubariki sana mchungaji akupe maisha marefu.
Isee dingi noma, nimekuelewa sana ubarikiwe!
Mungu akubariki sana mchungaji akupemaish malef
Tungekuwa na watumishi wa Mungu watatu wenye hekima kama Huyu ulimwenguni hatungelikuwa na dini nyingi duniani.mungu na amuzidishie huyu mtumishi hii hekima ya kipekee.
Hongera mchungaji Hamanja mafundisho yako yanatosheleza na kueleweka, Fundisha zaidi,
Pastor may Almighty God strengthen you🙏🙏
Well said pastor !
Nuru haiwezi kuangaza nuru yenzake, bali nuru huangaza giza, ili giza likimbie,mana nuru ikiingia giza halikai Ameeeen
Mungu akubariki Mtumishi.
Mungu akulinde uzidi kutuelewesha.
Mungu akubaliki sana unajua sana kusema kweli ubalikiwe
Ni ukweli kabisa ! ALLAH akuongoze !
Super genius Mch Hananja nakukubali sanaaaaaaa
@blankedward9921
Жыл бұрын
U
Kwa kwelii mm nakuelewa xana mungu akubariki xana
Bonge ya mtumishi! Angejengewa mnaraaa
Heri anayesema ukweli maana huwaponya wengi,uishi maisha marefu baba
Amen Pastor nakuelewa sana
Mm nashukuru Mungu nimezaliwa kwenye diniyahaki uislamu nidni yahaki❤❤❤
@lightnesselirehema1464
6 ай бұрын
Mungu akusaidie umjue Mungu
Be blessed, Fact is spoken
SAFI PASTOR, Hata Mtume wetu MUHAMMAD(s.a.w) wakati akiwa na Maswahaba/Wanafunzi wake aliona Jeneza kwa mbali likipita akatoa ishara ya kuhuzunika ndipo mmoja kati ya Wanafunzi wake wakamuuliza kwanini unahuzunika wakati yule aliekufa ni Mkristo? Akawajibu; YULE PIA NI BINADAMU. MTUME MUHAMMAD ALIPENDA WATU WOTE.
duuuuu uyu mchungaji Kiboko nmekupenda bure alelleluyaaaaaa
Jamani huyu jamaa n genius
aaaaahhhhhhh aaaaahhhhh Nimepata elimu na kucheka sana
Well done Pastor
Heri anayesema ukweli maana huwaponya wengi,,uishi miaka mingi,ukifa huozi❤❤
Aminaaaaah Aminaaaah Aminaaaaah Baba fumbuwa wa kristo macho kabisa
Asante mchungaji napendaga mafundisho yako ya ndoa sana
Nakukubali sana mchungaji wangu
Mungu akubaliki pasta
Barikiwa sana mtumishi
Well say Pastor 🙌🙌🙌🙌
Aliyenisikitisha zaidi ni Christina Shusho,,,Mungu akupe macho ya Rohoni we mama
@ceciliahezron8794
Жыл бұрын
Amefanyaje?
@mohsixtus7048
7 ай бұрын
Ameipenda Sana Dunia
Ahsanteee sana mzee
Namkubali kiongoz huyu sana !
Ubarkiw mchungaji
Nakukubali Sana mtimishi
MIMI NI MUISLAM LKN UYU JAMAA NAMUELEWA SANA HAPINDISHAGI HATA KDG
@saridboy8987
9 ай бұрын
Huyu mchungaji kwakweli ni kiboko😅😅😅
@nuruyawatu
7 ай бұрын
Ni kweli, Karibu pia Kwa Yesu Mpendwa,Uwe Huru
@maclaudismail6606
7 ай бұрын
anapoita kizazi cha Ibrahim upande wa waislam ni magaidi we unapenda hiyo ?
@user-cr7vi4qp9c
6 ай бұрын
Huyu ni nani?
@sama-_8368
6 ай бұрын
@@maclaudismail6606Hawezi kupatia kila kitu, lakini mengi anayasema ya kweli lakini huyo sio Mungu apatie kila kitu Kwa point ile ameonyesha kwanini yeye ni mkristo Hatuna mpango na ukristo wake lakini mengi anayasema ya kweli. Hawezi kupatia kila kitu.
Mungu akubaliki sana mtumishi
Allah akujaalie uwe muislam nakupenda sana pastor unaongea ukweli, inshaallah Allah akufanyie wepesi uwe muislam.
@mohsixtus7048
7 ай бұрын
😂
@amosmasele1398
6 ай бұрын
Uislam Tena!
@anajohn8132
5 ай бұрын
Kwa nn wewe usiwe mkristo😂
🤣🤣🤣🤣🤣 napenda huyu mchungaji 🤣🤣🤣 si choki kumsikiza gai 🇰🇪🇰🇪🙏.
Uko sawa paster nimeelewa sana
Mtumishi Hongera sana kwa kweli
Nampenda San jamani uyu baba
Akil nyingi mungu ambarik
Mchungaji ww ni nooma uko vizuri 🎉
Kwa Maelezo mazuri hivyo, napendekeza uwe NABII MKUU TANZANIA. Sijawahi ona mwingine wa Imani za Kiroho aliye Mkweli kama wewe!
@yesunialamayakiama.9013
6 ай бұрын
Wapo ila hawajioneshagi mitandaoni. Hata mimi mbali na kuwa Mwl. wa Biblia ninamkubali sana. ❤
MWAMPOSA KAJENGA HOTEL KUBWA SANA, WAJINGA NDIO WALIWAO, WATU WALIBEBA MAJI WAKASAFIRI NAYO MPAKA MWANZA, TOKA DAR, MAKATUNI NA MAKATUNI.
@nantaembanusurupia5674
Жыл бұрын
Eeeh 😂😂😂 na tutaenda kunyanduana humohumo hotelini
@DANIELMZAVA
Жыл бұрын
Kiukwel much huyu apewe ulinzi Mungu amulinde
😂😂😂aisee huyu mchungaji nakubali sana anahekma sana😂😂😂
Daaah aiseee nimecheka kinoma noma tena kwasauti kubwa, kwasababu umeongea ukweli mtupu
Hakika nnakukubali sana. mtumish
Safi sana mtumishi
Ameen 🙏 kweli watu hawasomi Bible kama waumini wa kibwetele alichoma zaidi ya watu700 kwa kutokusoma biblia
Nimekuelewa sana❤❤❤
Hananja big UP BROTHER kwenye macho haambiwi tizama
Amen pastor
Nankubali huyu mzee.
Saluti mzee baba uesomeka
safi sans baba yangu wa kiroho
Mzee mimi niko kenya .na mm mimi ni muislamu .lkn naakupenda sana