MCHUNGAJI HANANJA Afunguka kuhusu wachungaji wanaotabiri vifo
Жүктеу.....
Пікірлер: 28
@edwardkamau88044 ай бұрын
AM A GREAT FAN OF MCHUNGAJI HANANJA..HE IS ALWAYS ON POINT AND MOSTLY STRAIGHT 👌 TO THE POINT
@melkizedekwiliam-hi7bz4 ай бұрын
Sawa sawa mchungaj. Mm nawashangaa sanahawa watabir wa vifo vya watu. Hv! Lengo lao ni nin hasa? Yaan! Kifo cha Lowasa manabii baadh walisema tulitabir!! Najiuliza mbona visipotokea hawasemi tulitabir? Mungu anapoonyesha hatar lengo tuimbe lisitokee. Mbona likitokea manabii baadh wanafuhia?
@user-jt1ex9if6f3 ай бұрын
Nakukubali sana Ananja unachosema ni kweli kabisa mchungaji.
@user-ox2iu7rm7e4 ай бұрын
Mungu akuongoze katika njia tá Haji
@minanikafugugu60354 ай бұрын
Nakukubali sana baba
@benjaminmartin45484 ай бұрын
Tunakusubiri United kingdom
@mburuumbe56594 ай бұрын
Jiooooooni sio mbaya baba wewe mwenyewe unasema uzoefu ni elimu so nadhani muda uliopita mchana ilikuwa muda wa kupata uzoefu unaoshea na sisi leo lakini pia hata mapito yako unayosimulia yanatia moyo kwamba kumbe ukiamua kubadilika inawezekana na hakuna kukata tamaa maisha ni hatua kwa hatua upande ujana uote uzee daaah Yan mie napata nguvu sana ya kusonga mbele kupitia wewe ubarikiwe baba
@jomba65144 ай бұрын
Mchungaji umeongea ukweli kabisa
@charleskaponya60634 ай бұрын
Mungu akusimamie. Mzee wa kusema ukweli. Mchungaji, ni wajinga tu ndo wanaokuchukia. Usiwajali chapa kazi.
@zebedayokatamaduni96764 ай бұрын
🔥 moto, kimbunga, tofali😂😂😂.
@user-iz3ux3nn8n4 ай бұрын
Uyuuu mzee apewe Mai yake tu
@coolpara81924 ай бұрын
Anayosema mengi nakukubali lkn kuwa mkweli dini ya haki ni ipi kwa wakati huu
@bosssyedmund87854 ай бұрын
TOFALI😂😂😂😂😂🙌🏿
@jameskilowoko71534 ай бұрын
,❤
@jacksonbayyo29374 ай бұрын
Ni kweli
@jesuspower23904 ай бұрын
wewe babu ni mnafiki
@Kuminamoja19954 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣👈👉🙌 points 👉 👈 silimu
@user-cw8zn2dn6m
4 ай бұрын
Anza ww!!
@jesuspower23904 ай бұрын
Halafu tuonyeshe cheti cha kuzaliwa eti una miaka 60 ahahahahah we una 78 + si uhamie msikitini hujalazimishwa kuwa mkristo.
@zebedayokatamaduni9676
4 ай бұрын
Mbona unapaniki vip
@rauhiaomar977
4 ай бұрын
Hananja wala ata hana muda na comment yako unajisumbua bure, keshasema si lazima kumskiliza. Mnapendag sana matusi
@emanuelleopod3949
4 ай бұрын
Mla sadaka nakuona tu umehumuka baada ya kupigwa na nondo
@zebedayokatamaduni9676
4 ай бұрын
Mtu asiye mjua Kristo utamjua tu Kwa maneno yake na matendo yake. Emmanueli bado hujamjua Kristo bado ,Jifunze Neno la Mungu ili ukue
@jesuspower23904 ай бұрын
Kuhusu sadaka wewe mwenyewe unaanza kusafiri sasa hivi kwa ajili ya sadaka , unapenda kuongelea wenzako... kama ukristo hujauelewa na uzee wako huo una Matatizo.. kama ulizaliwa kwa mchanganyiko sio shida zetu ni shida za njaa zako .
Mchungaji Hananja kasema UKWELI MCHUNGU. Wakristo wote bado hatujauelewa Ukristo kwa undani. Hata hawa wanaoitwa PAPA (BABA MTAKATIFU WA ROMA), WACHUNGAJI,WAENJILISTI,MITUME,MANABII, WAALIMU WA BIBLIA, ni kama wanafunzi wa chekechea kwenye KIKRISTO, kubali usikubali Habari ndiyo hiyo.
@user-nv7sf2iu2v
2 ай бұрын
Acha wivu Sasa ukifikisha umri wa hananja SI utakuwa mchawi kabisa wewe
Пікірлер: 28
AM A GREAT FAN OF MCHUNGAJI HANANJA..HE IS ALWAYS ON POINT AND MOSTLY STRAIGHT 👌 TO THE POINT
Sawa sawa mchungaj. Mm nawashangaa sanahawa watabir wa vifo vya watu. Hv! Lengo lao ni nin hasa? Yaan! Kifo cha Lowasa manabii baadh walisema tulitabir!! Najiuliza mbona visipotokea hawasemi tulitabir? Mungu anapoonyesha hatar lengo tuimbe lisitokee. Mbona likitokea manabii baadh wanafuhia?
Nakukubali sana Ananja unachosema ni kweli kabisa mchungaji.
Mungu akuongoze katika njia tá Haji
Nakukubali sana baba
Tunakusubiri United kingdom
Jiooooooni sio mbaya baba wewe mwenyewe unasema uzoefu ni elimu so nadhani muda uliopita mchana ilikuwa muda wa kupata uzoefu unaoshea na sisi leo lakini pia hata mapito yako unayosimulia yanatia moyo kwamba kumbe ukiamua kubadilika inawezekana na hakuna kukata tamaa maisha ni hatua kwa hatua upande ujana uote uzee daaah Yan mie napata nguvu sana ya kusonga mbele kupitia wewe ubarikiwe baba
Mchungaji umeongea ukweli kabisa
Mungu akusimamie. Mzee wa kusema ukweli. Mchungaji, ni wajinga tu ndo wanaokuchukia. Usiwajali chapa kazi.
🔥 moto, kimbunga, tofali😂😂😂.
Uyuuu mzee apewe Mai yake tu
Anayosema mengi nakukubali lkn kuwa mkweli dini ya haki ni ipi kwa wakati huu
TOFALI😂😂😂😂😂🙌🏿
,❤
Ni kweli
wewe babu ni mnafiki
🤣🤣🤣🤣🤣👈👉🙌 points 👉 👈 silimu
@user-cw8zn2dn6m
4 ай бұрын
Anza ww!!
Halafu tuonyeshe cheti cha kuzaliwa eti una miaka 60 ahahahahah we una 78 + si uhamie msikitini hujalazimishwa kuwa mkristo.
@zebedayokatamaduni9676
4 ай бұрын
Mbona unapaniki vip
@rauhiaomar977
4 ай бұрын
Hananja wala ata hana muda na comment yako unajisumbua bure, keshasema si lazima kumskiliza. Mnapendag sana matusi
@emanuelleopod3949
4 ай бұрын
Mla sadaka nakuona tu umehumuka baada ya kupigwa na nondo
@zebedayokatamaduni9676
4 ай бұрын
Mtu asiye mjua Kristo utamjua tu Kwa maneno yake na matendo yake. Emmanueli bado hujamjua Kristo bado ,Jifunze Neno la Mungu ili ukue
Kuhusu sadaka wewe mwenyewe unaanza kusafiri sasa hivi kwa ajili ya sadaka , unapenda kuongelea wenzako... kama ukristo hujauelewa na uzee wako huo una Matatizo.. kama ulizaliwa kwa mchanganyiko sio shida zetu ni shida za njaa zako .
@shaibumbwilo9938
4 ай бұрын
@jesuspower2390,vipi unatesekea wapi,inaonesha anakukera eeeh😂.relax
@user-gq2zr6mm7t
4 ай бұрын
Mchungaji Hananja kasema UKWELI MCHUNGU. Wakristo wote bado hatujauelewa Ukristo kwa undani. Hata hawa wanaoitwa PAPA (BABA MTAKATIFU WA ROMA), WACHUNGAJI,WAENJILISTI,MITUME,MANABII, WAALIMU WA BIBLIA, ni kama wanafunzi wa chekechea kwenye KIKRISTO, kubali usikubali Habari ndiyo hiyo.
@user-nv7sf2iu2v
2 ай бұрын
Acha wivu Sasa ukifikisha umri wa hananja SI utakuwa mchawi kabisa wewe
@IsraeiMwankwasya
Ай бұрын
Binadamu jamani wabaya sana mchungaji hana baya