MCHUNGAJI HANANJA amchana MANARA na DULAH MAKABILA acheni urimbukeni wa mapenzi ,ZAYLISA hana ndoa
Жүктеу.....
Пікірлер: 150
@namsamson34435 ай бұрын
Huyu mchungaji anaongea ukweli kabisa na Mungu akubariki mnooooo
@nurudinimkumbugo96015 ай бұрын
Umenena vyema sana Allah akubariki
@Siasia2095 ай бұрын
Hana Utu,hana huruma,hana,mapenzi na fasi ya mungu haipo ktk maisha yke maneno ya hekima kbs
@vibetz99915 ай бұрын
Mchungaji wala hajui kama anaulizwa maswali ya akina manara 😂😂😂😂
@mungamichael9354
5 ай бұрын
Maneno yake ni zaidi ya fedha
@MnangwaOmari19715 ай бұрын
Mwenyezi Mungu akujalie! Ww ni zaidi ya Mlezi
@jumapiliissa48355 ай бұрын
Uko sahihi mzee
@user-uo3vh8qf3c5 ай бұрын
Kweli mchungaji huo ni ushamba wa mapenzi
@leylaruhabaye90175 ай бұрын
Uyu mch. Ana akili nyingi sana apewe mauwa yk hata kwa kumsapot kwa hekma zke. Mm ni muislam lkn namkubali sana
@hassanbakari45255 ай бұрын
WANA KICHAA CHA NGONO NA MALIMBUKENI WA MADEMU😊,,,,TAFTA MWINGINE OA KIHALALI SONGA MBELE,,,
@fredylucas2484
5 ай бұрын
watamjibu huyu ajiandae kwa hawa vichaa wa ngono
@jafariabdillah85855 ай бұрын
Nakupenda sana mzee kwa busala zako
@hawababy1205 ай бұрын
😂😂😂mchungiji bhana eti unalilia uzinzi😂😂eti wanakicha cha ngono😂😂😂😂😂😂😂😂
@MuhammadHassan-xp6dc
5 ай бұрын
yani hapo nimecheka sana huyu mzee ni kiboko alafu wala hatumii nguvu
@DanfordSimon
4 ай бұрын
😅😅😅😅
@casmuiddy73045 ай бұрын
Mtumishi yupo na vitu chanya Sanaa na anawakilisha Kwa njia nzuriii na simple
@ramadhanikashimbiri48515 ай бұрын
Mzee yupo sawa kwa 100% , ukifwatilia ushauri wa huyu baba yetu utaumia kwa muda kidogo ila badae ni furaha tuu❤
@user-ls9lc4zu3z5 ай бұрын
Mchungaji uko byeeeee,,,waaaah
@MohammedSaid-tf5qc5 ай бұрын
Mzee mm nipo Misri huku na soma nakufuatilia sana mchungaji ukosawa sana ktk maneno yako inshallaah nikirudi nitakutafuta nipate hekima zako
@user-oc8uo9rl3u
5 ай бұрын
Acha kufatilia makafiri broo
@josephbonday8510
5 ай бұрын
@@user-oc8uo9rl3uKWANI hapo amekosea nini alichozungumza?.AU NDIO CHUKI TU ULIZONAZO?
@user-eq9hl9vg2x5 ай бұрын
😂😂😂aise nakupenda bulee mchungaji wetu mungu akubaliki sanaa kwakwel upo vzr sanaa 😂😂😂
@user-xy7ir3eg1d5 ай бұрын
Uyu mchungaji ana akili namqubar sana
@Pangolin_TV5 ай бұрын
Ubarikiwe Mtumishi🙏🙏
@sallymurembo8154 ай бұрын
Mchungaji wangu umeongea vitu vizuri mno na muhimu sana ❤
@zabrongermanus-co1jj5 ай бұрын
Barikiwa sana mtumishi
@neemacharles98485 ай бұрын
Uko sahihi mchungaji Mungu akulinde uzidi kutufundisha
@VeronicaRugoyi5 ай бұрын
Mungu akupe maisha malefu Baba❤❤❤❤❤❤
@wiza23095 ай бұрын
Yaani mnamvunjia heshima Mch kumuuliza maswali ambayo jibu lake unalo. Mambo ya udaku msimtafute Mchungaji, yapo mambo mengi ya maana ya kumtafuta lkn siyo udaku
@melosta5 ай бұрын
Uwa sichok kumsikilza 😂
@fabianbenardngatunga27135 ай бұрын
Barikiwa sana mchungaji mpaka ushangae kwa maneno yako
@user-lt1bi5nr1x5 ай бұрын
Hananja nakukubali sana mzee
@stellamunisi40385 ай бұрын
Uishi miaka mingi baba..una busara sana...nakuombea heri na utajiri wa afya na mali pia❤
@BeullahBujah-lk3sx5 ай бұрын
Ubarikiwe Pst
@husseinmaula49655 ай бұрын
Ktk maisha yangu mwanamke akinikataa naona kanipunguzia mzigo.
Kweli kabisa mchungaji.Mungu akubariki sana.Makanisa mengi yanazuka sio kwa lengo la kuponya roho za hao waumini ila ni kwa ajili ya wamiliki kuwapokonya fedha waumini wao.
@user-vr5bi8rb8y5 ай бұрын
Baba nashkur,Mungu akuinue zaid🙏🙏💪🥰
@mousaoswego82575 ай бұрын
Ameongea vzr na kwa hisia adi imenigusa, vijana wanaumia sana
@edsonmlelwa58144 ай бұрын
Ukweli kabisa umegusa Kila Kona Yani ukweli mtupu ubarikiwe ameni udumu
@user-zk6mx6de3q5 ай бұрын
Asante mchungaji
@benjaminshayo325 ай бұрын
Baba kwanza nikushukuru, ila mimi nipende kuchangia kitu, Kwanza ckuiz watu hawawazi kuoana...na huo ni ukuzimu kabisa... Watu wanataka tu kuwa na mahuciano ya kizinaa..... Wengine wanataka kuwa na rekodi ya kuwa na mahuciano na mabinti wengi wazuri, Wengine wanataka tu kwasababu ya tamaa, tena hasa tamaa.... Wengine wanaona kuoa ni uzamani, yaani mambo ni mengi...na kwa utafiti wangu mdogo nloufanya nkaja kugundua ustaa ndio unachochea sana uharibufu wa kizazi hiki...mastaa wengi wameharbika kimaadili na wao kwa kujua ama pasipokujua wamesagau kama wao wameinfluence sana kizazi hiki...tukifanikiwa kucontrol mastaa naamini tutaweza kuokoa kizazi hiki sana.
@Dullz-yt9gk
5 ай бұрын
Yaaan hiyo ni bonge moja la elimu watu wengu awajui hilo
@user-vu2th5fe6y5 ай бұрын
Kwr mchungaj huyu namwerew
@siwonikewilliam91465 ай бұрын
Kweli kabisa mtumishi haujakosea
@mwanaishaabubakar50134 ай бұрын
Nimecheka kwa sauti bila ya kukusudia. Umenena wote wanawake
@user-mh2nk6oi7p5 ай бұрын
Nakupenda baba❤❤❤
@user-bv2oe6iv3e5 ай бұрын
Nakukubali San mchungaji
@user-ih4kw5eb3d5 ай бұрын
Huyu mchungaji namfagilia sana kwa kuwapa watu ukweli 😂😂😂😂😂😂
@dennisezakiel33805 ай бұрын
Mimi nataka kuonana na mchungaji,nitampata wapi Huyo mchungaji
@mwanzangafesto71105 ай бұрын
Ukweli nakuelewa sn mchungaji uwa nakufatilia maelekezo yako yapo vzuli sn mungu azidi kukupa uzma utuelimishe
@MuhammadHassan-xp6dc5 ай бұрын
eti nyumbu wa mapenzi😃😃😃😃
@zephaniazacharia5195 ай бұрын
Fact
@ilynpayne74915 ай бұрын
Usi lilie uzinzi 😂😂 hilo neno zuri sana
@HanifaOman-oo4pl
5 ай бұрын
Umeonaee unae unaulilia,moto
@rehemarwanda60395 ай бұрын
Utafikiri tumetoka mbinguni juzi😂😂😂😂😂
@emmanuelakutulaga97565 ай бұрын
Pastor kuanzia Leo nakuelewa.
@burhanhusseintv48795 ай бұрын
I'm from England I don't understanding that language but mchungaji kasema ukweli🙏
@khadijamohamed3389
5 ай бұрын
😂
@user-vk8pv8gg6k
5 ай бұрын
😂😂😂😂
@aminatanzanya7475
5 ай бұрын
😂😂😂
@user-yn2lr9qh9y
5 ай бұрын
😂😂😂 Shenzi kabisa
@user-ho8gk9os7f5 ай бұрын
Uko vizur mzee
@user-sb5du8rv9g4 ай бұрын
Uchungaji unahitaji elimu kubwa kwel unafaa kuwa kioo Cha jamii kwa elimu bora
@user-zv5ny8np8d5 ай бұрын
Hananja nimchungaji mzuri ❤❤❤❤
@TheAlman5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 kweri kabisa
@emmanuelshila98854 ай бұрын
kijana mbonyeza kinanda na wabeba spika hata kodi ya nyumba hawana wanatia huruma
@VeronicaRugoyi5 ай бұрын
Asanteee Babaa umetishaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@BarakaMwaikenda-ty1bt5 ай бұрын
Huyu mchungaji wa kweli kutoka moyoni
@hudhaimarajab91035 ай бұрын
Kwaiy dula na manara nyumbu 😂
@MuhammadHassan-xp6dc5 ай бұрын
huyu mzee ananifurahisha sana yani nacheka tu kama mazuri vile
@brigitaassenga52305 ай бұрын
perfect advisor👏👏👏hakika Mungu azid kukup maisha marefu😂😂😂"unalilia usinzi,?"😂😂🤣🤣💯hio imeenda....
@helenpeter55225 ай бұрын
Amen
@user-up1py2tk9x5 ай бұрын
Unasema kweli mchungaji
@user-li1lx9fi9h4 ай бұрын
Waelimishe mzee wangu maana wamekuwa limbukeni sana hawa vijana
@user-up2ix5vq1o5 ай бұрын
❤❤❤
@user-du4dt5gz3t5 ай бұрын
Huyu mzee hanaga kupepesa macho anachana live na haogopi lolote😀😀😀
@greatwallhotelandktv2665 ай бұрын
Mchungaji uishi sana
@suleimanmohd24515 ай бұрын
Mimi Suleiman ila ninampenda sana huyu jamaa nimkweli sana
@maryam4va5385 ай бұрын
Mchungaji big up😊😅
@kulwasuleiman27985 ай бұрын
Mademu watatu nimecheka sna aisee.
@salimashambi70475 ай бұрын
Tuna mdemu wa tatu 😂😂😂😂chukua maua yako🎉🎉🎉🌹🌹
@user-ur3pw2rw8r5 ай бұрын
Uko poa Mzee
@mohammedsarehe68575 ай бұрын
Uyu ndo hiribd awe mwamposa namuerewaga sana japo razima ucheke
@NeemaDesheshe5 ай бұрын
Ameen
@AfricaYangu5 ай бұрын
Uzinzi ni mapokezi ya jehanamu 😂
@user-lt1bi5nr1x5 ай бұрын
Umemalizaa BABA
@user-gu6en8ct4m5 ай бұрын
😂😂kichaa Cha ngono😂😂😂kabisa wote wanawake..
@user-jz1mc5qg1j4 ай бұрын
Baba niombee na mm niolewe
@khamisjuma38415 ай бұрын
Mchungaji hananja punguza ukali wa maneno dah, yaani unasema wanaume wanaogombana kwa ajili ya wanawake nao wote ni wanawake uuuuwi umeua hiyo. Imefika hiyo sent.
@aminatanzanya74755 ай бұрын
Mchungaj umesem kweli kabisa kwa wenye akili ndio wataelewa
@user-tl9zq4ue5g4 ай бұрын
Reception ya jehanamu😂😂😂😂
@yohanamazengo32425 ай бұрын
❤❤❤❤
@user-gu6en8ct4m5 ай бұрын
😂😂kichaa Cha gono kabisaa😂😂
@bushbabytz5 ай бұрын
huyu mchungaji alishawahi kuvuta bangi
@HanifaOman-oo4pl
5 ай бұрын
😂😂😂kwanini
@user-zv1xc1cv7p
5 ай бұрын
😂😂😂 anasema.kweli
@user-kn8tp6lk6i5 ай бұрын
Kweli😂
@jacklinetimothy16415 ай бұрын
Ukweli mtupu baba
@user-zv1xc1cv7p5 ай бұрын
😂😂😂 mchungaji unichekesha mpaka
@ramadhanikiseko2226Ай бұрын
Achana nayeeeee😅😅😅
@user-kn8tp6lk6i5 ай бұрын
Kabsa mchungaji😂😂
@rahmaabdalla76435 ай бұрын
Chakula cha mbiguni hakina chunvi wala bizari 😂😂😂.
@solomoneglesias97525 ай бұрын
I dont want peace i want problem any time🤣🤣🤣🤣hiii imeeendaaa🙋🙋🙋
@denisshimela1695 ай бұрын
Huo ndio ukweli ipo cku na wewe utaachwa kwa sababu usizo cjua
@nyamarungujr78345 ай бұрын
Unyumbuuu😅😅😅
@jalinachilala84655 ай бұрын
Ni ulimbukeni😂😂😂
@joshuaalsel58285 ай бұрын
Nabii mswahili (MADEBE LIDAI) Linamuhusu, hivyo vitu ahana, ....
@heritier51195 ай бұрын
Dulla si amchukue ex mke wa manara
@user-lt1bi5nr1x5 ай бұрын
Tumeruhusiwa wa 4. Dula acha ufala
@user-gu6en8ct4m5 ай бұрын
😂niushamba kweli😂😂😂😂
@dennisezakiel33805 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 unakaa mapokezi
@erickkilasi61825 ай бұрын
Sema baadhi ya ma journalist wa hii nchi mna akili ndogo sana, based on questions that u guys are asking
Пікірлер: 150
Huyu mchungaji anaongea ukweli kabisa na Mungu akubariki mnooooo
Umenena vyema sana Allah akubariki
Hana Utu,hana huruma,hana,mapenzi na fasi ya mungu haipo ktk maisha yke maneno ya hekima kbs
Mchungaji wala hajui kama anaulizwa maswali ya akina manara 😂😂😂😂
@mungamichael9354
5 ай бұрын
Maneno yake ni zaidi ya fedha
Mwenyezi Mungu akujalie! Ww ni zaidi ya Mlezi
Uko sahihi mzee
Kweli mchungaji huo ni ushamba wa mapenzi
Uyu mch. Ana akili nyingi sana apewe mauwa yk hata kwa kumsapot kwa hekma zke. Mm ni muislam lkn namkubali sana
WANA KICHAA CHA NGONO NA MALIMBUKENI WA MADEMU😊,,,,TAFTA MWINGINE OA KIHALALI SONGA MBELE,,,
@fredylucas2484
5 ай бұрын
watamjibu huyu ajiandae kwa hawa vichaa wa ngono
Nakupenda sana mzee kwa busala zako
😂😂😂mchungiji bhana eti unalilia uzinzi😂😂eti wanakicha cha ngono😂😂😂😂😂😂😂😂
@MuhammadHassan-xp6dc
5 ай бұрын
yani hapo nimecheka sana huyu mzee ni kiboko alafu wala hatumii nguvu
@DanfordSimon
4 ай бұрын
😅😅😅😅
Mtumishi yupo na vitu chanya Sanaa na anawakilisha Kwa njia nzuriii na simple
Mzee yupo sawa kwa 100% , ukifwatilia ushauri wa huyu baba yetu utaumia kwa muda kidogo ila badae ni furaha tuu❤
Mchungaji uko byeeeee,,,waaaah
Mzee mm nipo Misri huku na soma nakufuatilia sana mchungaji ukosawa sana ktk maneno yako inshallaah nikirudi nitakutafuta nipate hekima zako
@user-oc8uo9rl3u
5 ай бұрын
Acha kufatilia makafiri broo
@josephbonday8510
5 ай бұрын
@@user-oc8uo9rl3uKWANI hapo amekosea nini alichozungumza?.AU NDIO CHUKI TU ULIZONAZO?
😂😂😂aise nakupenda bulee mchungaji wetu mungu akubaliki sanaa kwakwel upo vzr sanaa 😂😂😂
Uyu mchungaji ana akili namqubar sana
Ubarikiwe Mtumishi🙏🙏
Mchungaji wangu umeongea vitu vizuri mno na muhimu sana ❤
Barikiwa sana mtumishi
Uko sahihi mchungaji Mungu akulinde uzidi kutufundisha
Mungu akupe maisha malefu Baba❤❤❤❤❤❤
Yaani mnamvunjia heshima Mch kumuuliza maswali ambayo jibu lake unalo. Mambo ya udaku msimtafute Mchungaji, yapo mambo mengi ya maana ya kumtafuta lkn siyo udaku
Uwa sichok kumsikilza 😂
Barikiwa sana mchungaji mpaka ushangae kwa maneno yako
Hananja nakukubali sana mzee
Uishi miaka mingi baba..una busara sana...nakuombea heri na utajiri wa afya na mali pia❤
Ubarikiwe Pst
Ktk maisha yangu mwanamke akinikataa naona kanipunguzia mzigo.
@HanifaOman-oo4pl
5 ай бұрын
Tatizo.ujui.unaempenda moyoni mwako. Dheyuss motoni
Wampe balozi matangazo mzee anafaa
Kweli kabisa mchungaji.Mungu akubariki sana.Makanisa mengi yanazuka sio kwa lengo la kuponya roho za hao waumini ila ni kwa ajili ya wamiliki kuwapokonya fedha waumini wao.
Baba nashkur,Mungu akuinue zaid🙏🙏💪🥰
Ameongea vzr na kwa hisia adi imenigusa, vijana wanaumia sana
Ukweli kabisa umegusa Kila Kona Yani ukweli mtupu ubarikiwe ameni udumu
Asante mchungaji
Baba kwanza nikushukuru, ila mimi nipende kuchangia kitu, Kwanza ckuiz watu hawawazi kuoana...na huo ni ukuzimu kabisa... Watu wanataka tu kuwa na mahuciano ya kizinaa..... Wengine wanataka kuwa na rekodi ya kuwa na mahuciano na mabinti wengi wazuri, Wengine wanataka tu kwasababu ya tamaa, tena hasa tamaa.... Wengine wanaona kuoa ni uzamani, yaani mambo ni mengi...na kwa utafiti wangu mdogo nloufanya nkaja kugundua ustaa ndio unachochea sana uharibufu wa kizazi hiki...mastaa wengi wameharbika kimaadili na wao kwa kujua ama pasipokujua wamesagau kama wao wameinfluence sana kizazi hiki...tukifanikiwa kucontrol mastaa naamini tutaweza kuokoa kizazi hiki sana.
@Dullz-yt9gk
5 ай бұрын
Yaaan hiyo ni bonge moja la elimu watu wengu awajui hilo
Kwr mchungaj huyu namwerew
Kweli kabisa mtumishi haujakosea
Nimecheka kwa sauti bila ya kukusudia. Umenena wote wanawake
Nakupenda baba❤❤❤
Nakukubali San mchungaji
Huyu mchungaji namfagilia sana kwa kuwapa watu ukweli 😂😂😂😂😂😂
Mimi nataka kuonana na mchungaji,nitampata wapi Huyo mchungaji
Ukweli nakuelewa sn mchungaji uwa nakufatilia maelekezo yako yapo vzuli sn mungu azidi kukupa uzma utuelimishe
eti nyumbu wa mapenzi😃😃😃😃
Fact
Usi lilie uzinzi 😂😂 hilo neno zuri sana
@HanifaOman-oo4pl
5 ай бұрын
Umeonaee unae unaulilia,moto
Utafikiri tumetoka mbinguni juzi😂😂😂😂😂
Pastor kuanzia Leo nakuelewa.
I'm from England I don't understanding that language but mchungaji kasema ukweli🙏
@khadijamohamed3389
5 ай бұрын
😂
@user-vk8pv8gg6k
5 ай бұрын
😂😂😂😂
@aminatanzanya7475
5 ай бұрын
😂😂😂
@user-yn2lr9qh9y
5 ай бұрын
😂😂😂 Shenzi kabisa
Uko vizur mzee
Uchungaji unahitaji elimu kubwa kwel unafaa kuwa kioo Cha jamii kwa elimu bora
Hananja nimchungaji mzuri ❤❤❤❤
😂😂😂😂😂😂 kweri kabisa
kijana mbonyeza kinanda na wabeba spika hata kodi ya nyumba hawana wanatia huruma
Asanteee Babaa umetishaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Huyu mchungaji wa kweli kutoka moyoni
Kwaiy dula na manara nyumbu 😂
huyu mzee ananifurahisha sana yani nacheka tu kama mazuri vile
perfect advisor👏👏👏hakika Mungu azid kukup maisha marefu😂😂😂"unalilia usinzi,?"😂😂🤣🤣💯hio imeenda....
Amen
Unasema kweli mchungaji
Waelimishe mzee wangu maana wamekuwa limbukeni sana hawa vijana
❤❤❤
Huyu mzee hanaga kupepesa macho anachana live na haogopi lolote😀😀😀
Mchungaji uishi sana
Mimi Suleiman ila ninampenda sana huyu jamaa nimkweli sana
Mchungaji big up😊😅
Mademu watatu nimecheka sna aisee.
Tuna mdemu wa tatu 😂😂😂😂chukua maua yako🎉🎉🎉🌹🌹
Uko poa Mzee
Uyu ndo hiribd awe mwamposa namuerewaga sana japo razima ucheke
Ameen
Uzinzi ni mapokezi ya jehanamu 😂
Umemalizaa BABA
😂😂kichaa Cha ngono😂😂😂kabisa wote wanawake..
Baba niombee na mm niolewe
Mchungaji hananja punguza ukali wa maneno dah, yaani unasema wanaume wanaogombana kwa ajili ya wanawake nao wote ni wanawake uuuuwi umeua hiyo. Imefika hiyo sent.
Mchungaj umesem kweli kabisa kwa wenye akili ndio wataelewa
Reception ya jehanamu😂😂😂😂
❤❤❤❤
😂😂kichaa Cha gono kabisaa😂😂
huyu mchungaji alishawahi kuvuta bangi
@HanifaOman-oo4pl
5 ай бұрын
😂😂😂kwanini
@user-zv1xc1cv7p
5 ай бұрын
😂😂😂 anasema.kweli
Kweli😂
Ukweli mtupu baba
😂😂😂 mchungaji unichekesha mpaka
Achana nayeeeee😅😅😅
Kabsa mchungaji😂😂
Chakula cha mbiguni hakina chunvi wala bizari 😂😂😂.
I dont want peace i want problem any time🤣🤣🤣🤣hiii imeeendaaa🙋🙋🙋
Huo ndio ukweli ipo cku na wewe utaachwa kwa sababu usizo cjua
Unyumbuuu😅😅😅
Ni ulimbukeni😂😂😂
Nabii mswahili (MADEBE LIDAI) Linamuhusu, hivyo vitu ahana, ....
Dulla si amchukue ex mke wa manara
Tumeruhusiwa wa 4. Dula acha ufala
😂niushamba kweli😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂 unakaa mapokezi
Sema baadhi ya ma journalist wa hii nchi mna akili ndogo sana, based on questions that u guys are asking
😂😂😂😂asee hii kali