PASTER HANANJA AONGEA MAZITO KUHUSU MACKENZIE KENYA

Пікірлер: 113

  • @salummhina4857
    @salummhina4857 Жыл бұрын

    Legendary speaking Paster Hananja I salute you Kofia down

  • @farijalamhanga5097
    @farijalamhanga5097 Жыл бұрын

    Asante mchungaji kwa ushauri ni kweli wengi tunataka miujiza bila kujiuliza kwenye neno ,,,haraka za mafanikio matokeo yake ndio hayo

  • @maisaalawy8549
    @maisaalawy8549 Жыл бұрын

    Ila nimegundua Watanzania tunakili sana mtanzania umwambie usile uende mbinguni subutu humuoni mtu church.

  • @WILLIAMCHINA
    @WILLIAMCHINA Жыл бұрын

    Mzee Unaferi Unaposhawishi Watu Wapo Wenye Uelewa Mdogo Na Wenye Ufahamu ya Kuamini Kila Kitu Kazi ya Serikali Ni Kulinda Kutetea , Wewe Ni Mwiigizaji Bana Ebu Acheni Sheria Itimize Wajibu wake Swala la Imani Inatokana Na Ushawishi Nyote Mnapaswa mkemee Hilo usiweke Sanaa

  • @lawrencemalika9687
    @lawrencemalika9687 Жыл бұрын

    Mimi mkenya ndo wa kwanza hapa pastor unanena kweli

  • @hukukanairo047
    @hukukanairo047 Жыл бұрын

    Thank you pastor 🇰🇪🇰🇪😍

  • @abdulahali2438
    @abdulahali2438 Жыл бұрын

    Amina mchungaji nimekupata

  • @gloriamichael7935
    @gloriamichael7935 Жыл бұрын

    Umesema km ninavyo semaga ❤

  • @philliplangat-eo5in
    @philliplangat-eo5in Жыл бұрын

    Thank you pastor you really have the answer.

  • @josephmusagasa5566
    @josephmusagasa5566 Жыл бұрын

    Huyu mchungaji ana hekima sana na huongea kweli muda wote

  • @RosseMwenda-fw8js
    @RosseMwenda-fw8js Жыл бұрын

    Nakupenda mchungaji unasema ukweli mtupu asante

  • @hamisijm8437
    @hamisijm8437 Жыл бұрын

    Kweli kabsa lakn Wamepata Funzo

  • @nasambulilian380
    @nasambulilian380 Жыл бұрын

    Mwamini neno wala sio nabii wa tajiri, wa some mandko visuri, waelewe mungu ni neno na huu ndiyo ukweli ❤

  • @geofreyg.mtensa4559
    @geofreyg.mtensa4559 Жыл бұрын

    Kwanza mm naomba serikali ipige marufuku, nchi nzima mtu yeyote kujiita Nabii au Mtume, kumamake awa wanaojiita ivyo ndio wako na mambo ya ajabu ya kishetani..pumbavu..sana mm roho inaniuma sana, naludi Roman mm..

  • @kazinzangonda230
    @kazinzangonda230 Жыл бұрын

    Uko sawa kabisaa

  • @Godneverfailed
    @Godneverfailed Жыл бұрын

    Walikamatwa akili ,Kuna wachungaji wachawi,alafu hawakufunga kupenda kwao,Kule msituni kulikua na wahuni walikua wanazuia watu wasitoroke ilikua wafunge Kwa lazima mpaka wafe

  • @josphatoyaro9714
    @josphatoyaro9714 Жыл бұрын

    I sulite you Man of God 💕🙏🙏

  • @innat04
    @innat04 Жыл бұрын

    Mi nampenda huyu presenter, she is the best. Maswali yake ni respectful na niyale ambayo watu wanahitaji majibu. Keep it up!

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 Жыл бұрын

    😂😂😂❤mwenye sikio na asikie🙏🙏😂😂😂

  • @damariskavolo1829
    @damariskavolo1829 Жыл бұрын

    This pastor is very right

  • @hassanambarakmbarak8759
    @hassanambarakmbarak8759 Жыл бұрын

    Kuna mmoja ajiita yesu muulize pastor huyo yesu wa kitongaren

  • @rosechelagat2314
    @rosechelagat2314 Жыл бұрын

    Thank you Mchungaji

  • @DestinyJoy-fu9pp
    @DestinyJoy-fu9pp Жыл бұрын

    Nakubali mchungaji

  • @martinahlighare6495
    @martinahlighare6495 Жыл бұрын

    Ukweli kabisa

  • @kabhikachambala3392
    @kabhikachambala3392 Жыл бұрын

    Mchungaji wangu huyo! Hataki kulemba

  • @faithmarcho-yf3sb
    @faithmarcho-yf3sb Жыл бұрын

    Very true pastor you make my day😅😅😅

  • @aplokimo405
    @aplokimo405 Жыл бұрын

    Nikweli

  • @geofreyg.mtensa4559
    @geofreyg.mtensa4559 Жыл бұрын

    Au tusilimu jmn, km vp tukamtaje YESU uko kmykmy ukouko, wazanie tupo nao kumbe gizani tunamkili Yesu masihi

  • @tabby6064

    @tabby6064

    Жыл бұрын

    Ht mm hilo naliwaza....tuingie uislamu lkn tumbebe Yesu wetu huko tusimkane😢😢

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    Жыл бұрын

    ​@@tabby6064 kwa nini muingie uislam kwa uongo

  • @geofreyg.mtensa4559

    @geofreyg.mtensa4559

    Жыл бұрын

    @@Catherine-mh8sw ww km mkristo, unajiona nn km kwa Mwamposa, yanatajwa mafuta kuliko jina la YESU, pia niambie km sifa za kiutume anazo kweli..?? then mambie na wale namabii wa uongo ulosema YESU wako wp...?

  • @tembarooney7899

    @tembarooney7899

    Жыл бұрын

    Imani yenu ndio ita waponya...wala sio dini wapendwa

  • @ArcoiriscelestialTv
    @ArcoiriscelestialTv Жыл бұрын

    Leo Unakwenda kubaya mzee jangalie. . . .

  • @jeremiatitus4414
    @jeremiatitus4414 Жыл бұрын

    Hapana MCH. Fikiri Tena upande wa pili,huyu Makenzie ana mbinu za giza

  • @fatmaabeid9668
    @fatmaabeid9668 Жыл бұрын

    Namkubali saaanaa😂😂❤🤝

  • @yousupjabri7304

    @yousupjabri7304

    Жыл бұрын

    Hapo sasa..nampenda nyie huyu kasema kufunga kwao sio nguzo...yani sio lazima ukitaka funga hutaki acha yan wana uhulu😪😭😂😂nyie jaman khaaa wallah alhamdulillah..et ana waambia hawatumii akili..nimecheka...lkn ni kweli

  • @stellah3844
    @stellah3844 Жыл бұрын

    Mtangazaji leo umependeza ila wanazengo jaman😅😅😅,,,,Hananja shida ndo zinawapeleka ndyo maana mtu akiwa anaumwa akiona hospital hii hajapona anaenda nyingine akiona bado mwingne anaenda kwa mganga na mwingne anamlilia Mungu na mwingne makanisani,,,,kwahyo wachungaji wanachangia kupotosha watu si wote waumin wanauelewa sawa

  • @user-cq5rs5in2y
    @user-cq5rs5in2yАй бұрын

    huyu mwalimu wa Imani kwasasa mnaona comedi akifaviongozi wetu mtaanza maneno yauwongo hekima ndio hiyo huyo anahekima yakutosha

  • @user-vq8bc7fi3j
    @user-vq8bc7fi3j3 ай бұрын

    Kweli kabisa

  • @johnmligo6966
    @johnmligo6966 Жыл бұрын

    Yohane 8:32 UKWELI utawaweka HURU

  • @juliuskitaluka1206
    @juliuskitaluka1206 Жыл бұрын

    Nikweli kipimo chetu ni biblia neno la MUNGU

  • @dorissanita2745
    @dorissanita2745 Жыл бұрын

    Aliwalazimisha.. ju kuna wengine walipigwa walipo patikana wamekunywa maji.. fatilia hizo video vzr..

  • @kainimlowe9646
    @kainimlowe9646 Жыл бұрын

    Na kwa nini azike mwenyewe

  • @amanichazy4047
    @amanichazy4047 Жыл бұрын

    Nimeelewa sana mchungaji wangu sema ukwel mpka shetani akimbie

  • @shiru449
    @shiru449 Жыл бұрын

    Lakini ata tukuwaita wajinga hawa weda zao. Walieda tu na roho safi wakithani ni mtumichi wa Mungu bila kujua ni shetani . Akatumia power zake zaa ngiza wakawa blind na kubrainwashiwa then ni raisi kuwa control kwa jia yoyote. Kumbuka hapo ni sacriface ya bina damu .iliwawesa lakini serikari ilitukosea kabisa.

  • @joybrinnah5690
    @joybrinnah5690 Жыл бұрын

    Ukweli mtupu......people have become spiritual stupid

  • @bakarikuphuma911
    @bakarikuphuma911 Жыл бұрын

    Ukweli mtupu asante wajinga Bado wapo

  • @dfremac
    @dfremac Жыл бұрын

    Pasta Hananja hapa tunaelewana asilimia mia moja lkn pale pa eliona nilitofautiana na ww sana.

  • @yusufkiptanui400
    @yusufkiptanui4005 ай бұрын

    Umasaao kutaja vitambaa sinauzwa kanisani 😂

  • @cellnet7265
    @cellnet7265 Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣 kabisaa baba upo nakupenda bure

  • @branchonline-yq9mv
    @branchonline-yq9mv Жыл бұрын

    Mtumishi umenichekesha jmn daaah

  • @falesbanda7520
    @falesbanda7520 Жыл бұрын

    Nizoona Yesu kulibe kwamene anakhamba kuti pamene muzafunga mpaka kufa iyaye

  • @omolorns
    @omolorns Жыл бұрын

    Asiachiliwe he is dangerous

  • @havilabujeje3256
    @havilabujeje3256 Жыл бұрын

    Makenzie ahukumiwe Kwa dhambi ya kuua watoto wadogo wasiokuwa na hatia, hao watu wazima walienda Kwa hiari Yao wenyewe

  • @thobiasyphaustine3714
    @thobiasyphaustine3714 Жыл бұрын

    Akili kiduchu tu kupokea wokovu

  • @thobiasyphaustine3714

    @thobiasyphaustine3714

    Жыл бұрын

    Ukweli haswaaa ukielewa

  • @zulfasaeed7445
    @zulfasaeed7445 Жыл бұрын

    Nimekuelewa baba wajinga waliwao 😂😂😂😂😂😂kuta maisha mazur haraka tamaaa zimewaponza 😂😂😂😂

  • @yousupjabri7304

    @yousupjabri7304

    Жыл бұрын

    Hahahaaa wallah nimecheka nyie huyu...wale wa miujiza na kusomewa nyota..

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw Жыл бұрын

    Africa kuna watu wajinga lazima tufundishe afya ya akili bila hivyo tutateketea .ufahamu kweli na itakuweka huru.

  • @rayaalraqady6400
    @rayaalraqady6400 Жыл бұрын

    Mtangazaji hakupata nafasi ya kuongea.hivi ndivo inavotakiwa .

  • @joshuamuro9494

    @joshuamuro9494

    Жыл бұрын

    Hahaha

  • @mohamedmahmudali9346
    @mohamedmahmudali9346 Жыл бұрын

    Mtangazaji uko vizuri Mashallah 🙏

  • @mercy342
    @mercy342 Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂makenzi Kula ubwabwa weee

  • @georgekanari357
    @georgekanari3573 ай бұрын

    Wambiwe ukweli

  • @johnmunga2359
    @johnmunga2359 Жыл бұрын

    Don't blame those who literally took the teachings of McKenzie! Rather than being a big brother, this man became a predator! I believe he did so not because of his evilness so to speak but because of his rawness intelligence! In this case, the big brother, aka government, totally failed those between hard rock and the moment reality! Let's be honest in the spirit of big brother big sister! Amen!

  • @fahadfaraj6474

    @fahadfaraj6474

    Жыл бұрын

    Yes cause as we understand always big brother is watching us,

  • @evelinemlay5572

    @evelinemlay5572

    Жыл бұрын

    Well said dear! The children who got killed were innocent, how can you starve a child to death to death and the parent watching, I believe the victims were not in their right mind! My heart goes to those children who suffered cruel death!

  • @zulfasaeed7445
    @zulfasaeed7445 Жыл бұрын

    Nimecheka sana 😂😂😂😂

  • @ameenaameena1224
    @ameenaameena1224 Жыл бұрын

    Huenda alikuwa na afya ya akili wao ni kufata tu😢😢😢

  • @faithi7216
    @faithi7216 Жыл бұрын

    Don't blame them because those people are die there's alter hold them let God judge those people but called them fools don't have right to to judge and no one is perfect in this world all of us we are sins

  • @franciscanyangayi1269
    @franciscanyangayi1269 Жыл бұрын

    😂😂😂Wajinga kabisa

  • @evelinemlay5572
    @evelinemlay5572 Жыл бұрын

    I'm Tanzanian but disagree with this pastor over mackenzie's innocence, he brainwashed them, in his early teachings he sounded as true man of God, plus those children involved were innocent. May justice be served for the victims

  • @September69able

    @September69able

    Жыл бұрын

    U missed a satire there, he was satarizing him😄

  • @charleskibiro9159

    @charleskibiro9159

    Жыл бұрын

    Wamama nyinyi mwanandanganywa sana sana rahisi. Huyu pasta anakufungua macho lakini unazidi kufunga. Mtaendelea kundanganywa kwasababu hamusikii.

  • @noelwandera8617

    @noelwandera8617

    Жыл бұрын

    Kinda simplistic yes

  • @evelinemlay5572

    @evelinemlay5572

    Жыл бұрын

    @@charleskibiro9159 ni kweli kabisa wanawake ndiyo wengi kwenye haya makanisa yasiyoeleweka, ila kwa mackenzie hata wanaume walikuwepo, tena wengi tu. Ninachosema hapa ni kuwa sikubaliani na hoja yake kwamba mackenzie hana hatia na ansstahili kuachiwa huru, hao watoto waliolazimishwa kuteseka hadi kufa kwa upumbavu wa wazazi wao wakiongozwa na mackenzie wanastahili justice.

  • @estherimbotsi7553
    @estherimbotsi7553 Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂🤣🤣🤣 jamani NIKWELI

  • @monicahmumbua9224
    @monicahmumbua9224 Жыл бұрын

    Pastor Wacha zako eti Makenzie Hana makosa!!Wewe twajua most of the pastors wanatumia majini ni madevil worshipers na WA freemason, wanapumbasa waumini kupitia hizi !!Ningepewa nimuukumie ningemlasimisha afunge Hadi sfe aendehio Mbinguni anaodanganys waumini wake akakutanie na wale wake wamekufa waendelee na kufungua ,Kasia mjinga Makenzie,!

  • @tembarooney7899

    @tembarooney7899

    Жыл бұрын

    Ndio ila amesema kweli kwani aliwaita na majini au walijipeleka wenyewe?pili unadanganywaje ukose kula pasta akila...tatu wapi kumeandikwa watu wafunge ndio waone mbinguni??Tumia akili mpendwa

  • @mwanashagladys4581
    @mwanashagladys4581 Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂🤣Hananja🇰🇪

  • @esthermuturi89
    @esthermuturi89 Жыл бұрын

    Makosa iko kuwazika pameti Alitoa wapi ? wakuzikana lazima serikari ufuate sheria ya nji ya ulimwengu binandamu si i umbwa ? Lazima wachguze angetagaza vifo talk sense

  • @rayaalhabsi1725
    @rayaalhabsi1725 Жыл бұрын

    Na watoto maskini wana hatia gani

  • @evelinemlay5572

    @evelinemlay5572

    Жыл бұрын

    Hata mimi nashangaa anavyomtetea mackenzie wakati kuna watoto wasiojua chochote wamekufa

  • @rayaalhabsi1725

    @rayaalhabsi1725

    Жыл бұрын

    @@evelinemlay5572 kwa kweli lazima achukuliwe hatuwa kali sana

  • @lutternelson5754
    @lutternelson5754 Жыл бұрын

    Katika Waraka wa Mtume Paulo kwa Wagalatia, anawauliza" enyi wagalatia msio na akili, ni nani aliye waroga"!!???? Hakika Pr. Hananja ni level nyingine ktk Uinjilishaji na akili yake ni pevu!

  • @lutternelson5754

    @lutternelson5754

    Жыл бұрын

    Ukristu, katiba yake ni Biblia; tujikite zaidi ktk maandiko/neno, kinyume chake ni ukengeufu uletao maangamizi kama ya kina Mackenzie!

  • @jumamataro4870
    @jumamataro4870 Жыл бұрын

    Yan mananja usinge kuwa frmashon

  • @lilyrose7983

    @lilyrose7983

    Жыл бұрын

    Sasa nani kakwambia huyu ni Freemason?

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    Жыл бұрын

    ​@@lilyrose7983 😂😂😂😂

  • @lilyrose7983

    @lilyrose7983

    Жыл бұрын

    @@Catherine-mh8sw Vipimo vya macho 😒

  • @micjob783
    @micjob783 Жыл бұрын

    😅😅

  • @faridamwanjala4856
    @faridamwanjala4856 Жыл бұрын

    😅😅😅

  • @zainababudalla8063
    @zainababudalla8063 Жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @alanlugano3322
    @alanlugano3322 Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @ALIKHAMIS-un4fv
    @ALIKHAMIS-un4fv Жыл бұрын

    Kumbe unajua mchungaji kama ukristo unaenda ujinga ujinga mtupu hongera kwa kujua kama dini yenu wajinga wingi na matapeli wingi

  • @ameenaameena1224
    @ameenaameena1224 Жыл бұрын

    ,😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @zulfasaeed7445
    @zulfasaeed7445 Жыл бұрын

    Kwel akili awana wakenye 😂😂😂😂😂

  • @yousupjabri7304

    @yousupjabri7304

    Жыл бұрын

    😂😂😂usi walaum tatizo lao hawana mipaka yani kila kitu ndio

  • @zulfasaeed7445

    @zulfasaeed7445

    Жыл бұрын

    @@yousupjabri7304 wapo kama mchwa tuu kila kitu haaaa ukikanyaga mjan wao wamo haaa 😂😂😂😂😂hii faida ya ujuaji mwingi hii na kujiamin zaid kila kitu ww wapo juu wanaweza sasa shida hii 😂😂😂

  • @marygregory7566
    @marygregory7566 Жыл бұрын

    Walikuwa ktk jitihada za kumtafuta Mungu

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 Жыл бұрын

    Mafundisho Kama nyundo 😂😂😂Safi sana

  • @hendricaoduba6028
    @hendricaoduba6028 Жыл бұрын

    Je wale watoto wadogo wengine wachanga, pia walikua wajinga?

  • @umalqasimalhamhami6707
    @umalqasimalhamhami6707 Жыл бұрын

    Nikweli wa kenye awana akili😂😂😂😂

  • @Xplossives

    @Xplossives

    Жыл бұрын

    Wanaofwata zamaradi niwakenya pia?

  • @rajah9328

    @rajah9328

    Жыл бұрын

    Wew mwenye akili ata Kenya yenyewe uwezi kuandika

  • @tembarooney7899

    @tembarooney7899

    Жыл бұрын

    Acha ubaguzi pumbavu...usitogombanishe na mandugizetu.....kuandika Kenya mwenyewe hujui...enda shule

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Жыл бұрын

    Hananja ana busara sana.wajinga ndio Waliwao.wanawafuata Hao wachungaji fake ndio wajinga

  • @honestmsigwa920
    @honestmsigwa920 Жыл бұрын

    Hananja kweli wewe ni kiboko,wasiokuelewa ni wajinga zaidi ya wajinga unaongea kama komedy ndani Kuna madini mazuri.

  • @hillaryorondo9729
    @hillaryorondo9729 Жыл бұрын

    Kweli kabisa

  • @mashafestusmramba7577
    @mashafestusmramba7577 Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @anordgerison8639
    @anordgerison8639 Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂

Келесі