PASTER HANANJA AONGEA MAZITO KUHUSU MACKENZIE KENYA
Жүктеу.....
Пікірлер: 113
@salummhina4857 Жыл бұрын
Legendary speaking Paster Hananja I salute you Kofia down
@farijalamhanga5097 Жыл бұрын
Asante mchungaji kwa ushauri ni kweli wengi tunataka miujiza bila kujiuliza kwenye neno ,,,haraka za mafanikio matokeo yake ndio hayo
@maisaalawy8549 Жыл бұрын
Ila nimegundua Watanzania tunakili sana mtanzania umwambie usile uende mbinguni subutu humuoni mtu church.
@WILLIAMCHINA Жыл бұрын
Mzee Unaferi Unaposhawishi Watu Wapo Wenye Uelewa Mdogo Na Wenye Ufahamu ya Kuamini Kila Kitu Kazi ya Serikali Ni Kulinda Kutetea , Wewe Ni Mwiigizaji Bana Ebu Acheni Sheria Itimize Wajibu wake Swala la Imani Inatokana Na Ushawishi Nyote Mnapaswa mkemee Hilo usiweke Sanaa
@lawrencemalika9687 Жыл бұрын
Mimi mkenya ndo wa kwanza hapa pastor unanena kweli
@hukukanairo047 Жыл бұрын
Thank you pastor 🇰🇪🇰🇪😍
@abdulahali2438 Жыл бұрын
Amina mchungaji nimekupata
@gloriamichael7935 Жыл бұрын
Umesema km ninavyo semaga ❤
@philliplangat-eo5in Жыл бұрын
Thank you pastor you really have the answer.
@josephmusagasa5566 Жыл бұрын
Huyu mchungaji ana hekima sana na huongea kweli muda wote
@RosseMwenda-fw8js Жыл бұрын
Nakupenda mchungaji unasema ukweli mtupu asante
@hamisijm8437 Жыл бұрын
Kweli kabsa lakn Wamepata Funzo
@nasambulilian380 Жыл бұрын
Mwamini neno wala sio nabii wa tajiri, wa some mandko visuri, waelewe mungu ni neno na huu ndiyo ukweli ❤
@geofreyg.mtensa4559 Жыл бұрын
Kwanza mm naomba serikali ipige marufuku, nchi nzima mtu yeyote kujiita Nabii au Mtume, kumamake awa wanaojiita ivyo ndio wako na mambo ya ajabu ya kishetani..pumbavu..sana mm roho inaniuma sana, naludi Roman mm..
@kazinzangonda230 Жыл бұрын
Uko sawa kabisaa
@Godneverfailed Жыл бұрын
Walikamatwa akili ,Kuna wachungaji wachawi,alafu hawakufunga kupenda kwao,Kule msituni kulikua na wahuni walikua wanazuia watu wasitoroke ilikua wafunge Kwa lazima mpaka wafe
@josphatoyaro9714 Жыл бұрын
I sulite you Man of God 💕🙏🙏
@innat04 Жыл бұрын
Mi nampenda huyu presenter, she is the best. Maswali yake ni respectful na niyale ambayo watu wanahitaji majibu. Keep it up!
@rosetreffert4179 Жыл бұрын
😂😂😂❤mwenye sikio na asikie🙏🙏😂😂😂
@damariskavolo1829 Жыл бұрын
This pastor is very right
@hassanambarakmbarak8759 Жыл бұрын
Kuna mmoja ajiita yesu muulize pastor huyo yesu wa kitongaren
@rosechelagat2314 Жыл бұрын
Thank you Mchungaji
@DestinyJoy-fu9pp Жыл бұрын
Nakubali mchungaji
@martinahlighare6495 Жыл бұрын
Ukweli kabisa
@kabhikachambala3392 Жыл бұрын
Mchungaji wangu huyo! Hataki kulemba
@faithmarcho-yf3sb Жыл бұрын
Very true pastor you make my day😅😅😅
@aplokimo405 Жыл бұрын
Nikweli
@geofreyg.mtensa4559 Жыл бұрын
Au tusilimu jmn, km vp tukamtaje YESU uko kmykmy ukouko, wazanie tupo nao kumbe gizani tunamkili Yesu masihi
@tabby6064
Жыл бұрын
Ht mm hilo naliwaza....tuingie uislamu lkn tumbebe Yesu wetu huko tusimkane😢😢
@Catherine-mh8sw
Жыл бұрын
@@tabby6064 kwa nini muingie uislam kwa uongo
@geofreyg.mtensa4559
Жыл бұрын
@@Catherine-mh8sw ww km mkristo, unajiona nn km kwa Mwamposa, yanatajwa mafuta kuliko jina la YESU, pia niambie km sifa za kiutume anazo kweli..?? then mambie na wale namabii wa uongo ulosema YESU wako wp...?
@tembarooney7899
Жыл бұрын
Imani yenu ndio ita waponya...wala sio dini wapendwa
@ArcoiriscelestialTv Жыл бұрын
Leo Unakwenda kubaya mzee jangalie. . . .
@jeremiatitus4414 Жыл бұрын
Hapana MCH. Fikiri Tena upande wa pili,huyu Makenzie ana mbinu za giza
@fatmaabeid9668 Жыл бұрын
Namkubali saaanaa😂😂❤🤝
@yousupjabri7304
Жыл бұрын
Hapo sasa..nampenda nyie huyu kasema kufunga kwao sio nguzo...yani sio lazima ukitaka funga hutaki acha yan wana uhulu😪😭😂😂nyie jaman khaaa wallah alhamdulillah..et ana waambia hawatumii akili..nimecheka...lkn ni kweli
@stellah3844 Жыл бұрын
Mtangazaji leo umependeza ila wanazengo jaman😅😅😅,,,,Hananja shida ndo zinawapeleka ndyo maana mtu akiwa anaumwa akiona hospital hii hajapona anaenda nyingine akiona bado mwingne anaenda kwa mganga na mwingne anamlilia Mungu na mwingne makanisani,,,,kwahyo wachungaji wanachangia kupotosha watu si wote waumin wanauelewa sawa
@user-cq5rs5in2yАй бұрын
huyu mwalimu wa Imani kwasasa mnaona comedi akifaviongozi wetu mtaanza maneno yauwongo hekima ndio hiyo huyo anahekima yakutosha
@user-vq8bc7fi3j3 ай бұрын
Kweli kabisa
@johnmligo6966 Жыл бұрын
Yohane 8:32 UKWELI utawaweka HURU
@juliuskitaluka1206 Жыл бұрын
Nikweli kipimo chetu ni biblia neno la MUNGU
@dorissanita2745 Жыл бұрын
Aliwalazimisha.. ju kuna wengine walipigwa walipo patikana wamekunywa maji.. fatilia hizo video vzr..
@kainimlowe9646 Жыл бұрын
Na kwa nini azike mwenyewe
@amanichazy4047 Жыл бұрын
Nimeelewa sana mchungaji wangu sema ukwel mpka shetani akimbie
@shiru449 Жыл бұрын
Lakini ata tukuwaita wajinga hawa weda zao. Walieda tu na roho safi wakithani ni mtumichi wa Mungu bila kujua ni shetani . Akatumia power zake zaa ngiza wakawa blind na kubrainwashiwa then ni raisi kuwa control kwa jia yoyote. Kumbuka hapo ni sacriface ya bina damu .iliwawesa lakini serikari ilitukosea kabisa.
@joybrinnah5690 Жыл бұрын
Ukweli mtupu......people have become spiritual stupid
@bakarikuphuma911 Жыл бұрын
Ukweli mtupu asante wajinga Bado wapo
@dfremac Жыл бұрын
Pasta Hananja hapa tunaelewana asilimia mia moja lkn pale pa eliona nilitofautiana na ww sana.
@yusufkiptanui4005 ай бұрын
Umasaao kutaja vitambaa sinauzwa kanisani 😂
@cellnet7265 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 kabisaa baba upo nakupenda bure
@branchonline-yq9mv Жыл бұрын
Mtumishi umenichekesha jmn daaah
@falesbanda7520 Жыл бұрын
Nizoona Yesu kulibe kwamene anakhamba kuti pamene muzafunga mpaka kufa iyaye
@omolorns Жыл бұрын
Asiachiliwe he is dangerous
@havilabujeje3256 Жыл бұрын
Makenzie ahukumiwe Kwa dhambi ya kuua watoto wadogo wasiokuwa na hatia, hao watu wazima walienda Kwa hiari Yao wenyewe
@thobiasyphaustine3714 Жыл бұрын
Akili kiduchu tu kupokea wokovu
@thobiasyphaustine3714
Жыл бұрын
Ukweli haswaaa ukielewa
@zulfasaeed7445 Жыл бұрын
Nimekuelewa baba wajinga waliwao 😂😂😂😂😂😂kuta maisha mazur haraka tamaaa zimewaponza 😂😂😂😂
@yousupjabri7304
Жыл бұрын
Hahahaaa wallah nimecheka nyie huyu...wale wa miujiza na kusomewa nyota..
@fidelfidel-jz4iw Жыл бұрын
Africa kuna watu wajinga lazima tufundishe afya ya akili bila hivyo tutateketea .ufahamu kweli na itakuweka huru.
@rayaalraqady6400 Жыл бұрын
Mtangazaji hakupata nafasi ya kuongea.hivi ndivo inavotakiwa .
@joshuamuro9494
Жыл бұрын
Hahaha
@mohamedmahmudali9346 Жыл бұрын
Mtangazaji uko vizuri Mashallah 🙏
@mercy342 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂makenzi Kula ubwabwa weee
@georgekanari3573 ай бұрын
Wambiwe ukweli
@johnmunga2359 Жыл бұрын
Don't blame those who literally took the teachings of McKenzie! Rather than being a big brother, this man became a predator! I believe he did so not because of his evilness so to speak but because of his rawness intelligence! In this case, the big brother, aka government, totally failed those between hard rock and the moment reality! Let's be honest in the spirit of big brother big sister! Amen!
@fahadfaraj6474
Жыл бұрын
Yes cause as we understand always big brother is watching us,
@evelinemlay5572
Жыл бұрын
Well said dear! The children who got killed were innocent, how can you starve a child to death to death and the parent watching, I believe the victims were not in their right mind! My heart goes to those children who suffered cruel death!
@zulfasaeed7445 Жыл бұрын
Nimecheka sana 😂😂😂😂
@ameenaameena1224 Жыл бұрын
Huenda alikuwa na afya ya akili wao ni kufata tu😢😢😢
@faithi7216 Жыл бұрын
Don't blame them because those people are die there's alter hold them let God judge those people but called them fools don't have right to to judge and no one is perfect in this world all of us we are sins
@franciscanyangayi1269 Жыл бұрын
😂😂😂Wajinga kabisa
@evelinemlay5572 Жыл бұрын
I'm Tanzanian but disagree with this pastor over mackenzie's innocence, he brainwashed them, in his early teachings he sounded as true man of God, plus those children involved were innocent. May justice be served for the victims
@September69able
Жыл бұрын
U missed a satire there, he was satarizing him😄
@charleskibiro9159
Жыл бұрын
Wamama nyinyi mwanandanganywa sana sana rahisi. Huyu pasta anakufungua macho lakini unazidi kufunga. Mtaendelea kundanganywa kwasababu hamusikii.
@noelwandera8617
Жыл бұрын
Kinda simplistic yes
@evelinemlay5572
Жыл бұрын
@@charleskibiro9159 ni kweli kabisa wanawake ndiyo wengi kwenye haya makanisa yasiyoeleweka, ila kwa mackenzie hata wanaume walikuwepo, tena wengi tu. Ninachosema hapa ni kuwa sikubaliani na hoja yake kwamba mackenzie hana hatia na ansstahili kuachiwa huru, hao watoto waliolazimishwa kuteseka hadi kufa kwa upumbavu wa wazazi wao wakiongozwa na mackenzie wanastahili justice.
@estherimbotsi7553 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂🤣🤣🤣 jamani NIKWELI
@monicahmumbua9224 Жыл бұрын
Pastor Wacha zako eti Makenzie Hana makosa!!Wewe twajua most of the pastors wanatumia majini ni madevil worshipers na WA freemason, wanapumbasa waumini kupitia hizi !!Ningepewa nimuukumie ningemlasimisha afunge Hadi sfe aendehio Mbinguni anaodanganys waumini wake akakutanie na wale wake wamekufa waendelee na kufungua ,Kasia mjinga Makenzie,!
@tembarooney7899
Жыл бұрын
Ndio ila amesema kweli kwani aliwaita na majini au walijipeleka wenyewe?pili unadanganywaje ukose kula pasta akila...tatu wapi kumeandikwa watu wafunge ndio waone mbinguni??Tumia akili mpendwa
@mwanashagladys4581 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂🤣Hananja🇰🇪
@esthermuturi89 Жыл бұрын
Makosa iko kuwazika pameti Alitoa wapi ? wakuzikana lazima serikari ufuate sheria ya nji ya ulimwengu binandamu si i umbwa ? Lazima wachguze angetagaza vifo talk sense
@rayaalhabsi1725 Жыл бұрын
Na watoto maskini wana hatia gani
@evelinemlay5572
Жыл бұрын
Hata mimi nashangaa anavyomtetea mackenzie wakati kuna watoto wasiojua chochote wamekufa
@rayaalhabsi1725
Жыл бұрын
@@evelinemlay5572 kwa kweli lazima achukuliwe hatuwa kali sana
@lutternelson5754 Жыл бұрын
Katika Waraka wa Mtume Paulo kwa Wagalatia, anawauliza" enyi wagalatia msio na akili, ni nani aliye waroga"!!???? Hakika Pr. Hananja ni level nyingine ktk Uinjilishaji na akili yake ni pevu!
@lutternelson5754
Жыл бұрын
Ukristu, katiba yake ni Biblia; tujikite zaidi ktk maandiko/neno, kinyume chake ni ukengeufu uletao maangamizi kama ya kina Mackenzie!
@jumamataro4870 Жыл бұрын
Yan mananja usinge kuwa frmashon
@lilyrose7983
Жыл бұрын
Sasa nani kakwambia huyu ni Freemason?
@Catherine-mh8sw
Жыл бұрын
@@lilyrose7983 😂😂😂😂
@lilyrose7983
Жыл бұрын
@@Catherine-mh8sw Vipimo vya macho 😒
@micjob783 Жыл бұрын
😅😅
@faridamwanjala4856 Жыл бұрын
😅😅😅
@zainababudalla8063 Жыл бұрын
😂😂😂😂
@alanlugano3322 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@ALIKHAMIS-un4fv Жыл бұрын
Kumbe unajua mchungaji kama ukristo unaenda ujinga ujinga mtupu hongera kwa kujua kama dini yenu wajinga wingi na matapeli wingi
@ameenaameena1224 Жыл бұрын
,😂😂😂😂😂😂😂😂
@zulfasaeed7445 Жыл бұрын
Kwel akili awana wakenye 😂😂😂😂😂
@yousupjabri7304
Жыл бұрын
😂😂😂usi walaum tatizo lao hawana mipaka yani kila kitu ndio
@zulfasaeed7445
Жыл бұрын
@@yousupjabri7304 wapo kama mchwa tuu kila kitu haaaa ukikanyaga mjan wao wamo haaa 😂😂😂😂😂hii faida ya ujuaji mwingi hii na kujiamin zaid kila kitu ww wapo juu wanaweza sasa shida hii 😂😂😂
@marygregory7566 Жыл бұрын
Walikuwa ktk jitihada za kumtafuta Mungu
@rosetreffert4179 Жыл бұрын
Mafundisho Kama nyundo 😂😂😂Safi sana
@hendricaoduba6028 Жыл бұрын
Je wale watoto wadogo wengine wachanga, pia walikua wajinga?
@umalqasimalhamhami6707 Жыл бұрын
Nikweli wa kenye awana akili😂😂😂😂
@Xplossives
Жыл бұрын
Wanaofwata zamaradi niwakenya pia?
@rajah9328
Жыл бұрын
Wew mwenye akili ata Kenya yenyewe uwezi kuandika
@tembarooney7899
Жыл бұрын
Acha ubaguzi pumbavu...usitogombanishe na mandugizetu.....kuandika Kenya mwenyewe hujui...enda shule
@gracekagoma3231 Жыл бұрын
Hananja ana busara sana.wajinga ndio Waliwao.wanawafuata Hao wachungaji fake ndio wajinga
@honestmsigwa920 Жыл бұрын
Hananja kweli wewe ni kiboko,wasiokuelewa ni wajinga zaidi ya wajinga unaongea kama komedy ndani Kuna madini mazuri.
Пікірлер: 113
Legendary speaking Paster Hananja I salute you Kofia down
Asante mchungaji kwa ushauri ni kweli wengi tunataka miujiza bila kujiuliza kwenye neno ,,,haraka za mafanikio matokeo yake ndio hayo
Ila nimegundua Watanzania tunakili sana mtanzania umwambie usile uende mbinguni subutu humuoni mtu church.
Mzee Unaferi Unaposhawishi Watu Wapo Wenye Uelewa Mdogo Na Wenye Ufahamu ya Kuamini Kila Kitu Kazi ya Serikali Ni Kulinda Kutetea , Wewe Ni Mwiigizaji Bana Ebu Acheni Sheria Itimize Wajibu wake Swala la Imani Inatokana Na Ushawishi Nyote Mnapaswa mkemee Hilo usiweke Sanaa
Mimi mkenya ndo wa kwanza hapa pastor unanena kweli
Thank you pastor 🇰🇪🇰🇪😍
Amina mchungaji nimekupata
Umesema km ninavyo semaga ❤
Thank you pastor you really have the answer.
Huyu mchungaji ana hekima sana na huongea kweli muda wote
Nakupenda mchungaji unasema ukweli mtupu asante
Kweli kabsa lakn Wamepata Funzo
Mwamini neno wala sio nabii wa tajiri, wa some mandko visuri, waelewe mungu ni neno na huu ndiyo ukweli ❤
Kwanza mm naomba serikali ipige marufuku, nchi nzima mtu yeyote kujiita Nabii au Mtume, kumamake awa wanaojiita ivyo ndio wako na mambo ya ajabu ya kishetani..pumbavu..sana mm roho inaniuma sana, naludi Roman mm..
Uko sawa kabisaa
Walikamatwa akili ,Kuna wachungaji wachawi,alafu hawakufunga kupenda kwao,Kule msituni kulikua na wahuni walikua wanazuia watu wasitoroke ilikua wafunge Kwa lazima mpaka wafe
I sulite you Man of God 💕🙏🙏
Mi nampenda huyu presenter, she is the best. Maswali yake ni respectful na niyale ambayo watu wanahitaji majibu. Keep it up!
😂😂😂❤mwenye sikio na asikie🙏🙏😂😂😂
This pastor is very right
Kuna mmoja ajiita yesu muulize pastor huyo yesu wa kitongaren
Thank you Mchungaji
Nakubali mchungaji
Ukweli kabisa
Mchungaji wangu huyo! Hataki kulemba
Very true pastor you make my day😅😅😅
Nikweli
Au tusilimu jmn, km vp tukamtaje YESU uko kmykmy ukouko, wazanie tupo nao kumbe gizani tunamkili Yesu masihi
@tabby6064
Жыл бұрын
Ht mm hilo naliwaza....tuingie uislamu lkn tumbebe Yesu wetu huko tusimkane😢😢
@Catherine-mh8sw
Жыл бұрын
@@tabby6064 kwa nini muingie uislam kwa uongo
@geofreyg.mtensa4559
Жыл бұрын
@@Catherine-mh8sw ww km mkristo, unajiona nn km kwa Mwamposa, yanatajwa mafuta kuliko jina la YESU, pia niambie km sifa za kiutume anazo kweli..?? then mambie na wale namabii wa uongo ulosema YESU wako wp...?
@tembarooney7899
Жыл бұрын
Imani yenu ndio ita waponya...wala sio dini wapendwa
Leo Unakwenda kubaya mzee jangalie. . . .
Hapana MCH. Fikiri Tena upande wa pili,huyu Makenzie ana mbinu za giza
Namkubali saaanaa😂😂❤🤝
@yousupjabri7304
Жыл бұрын
Hapo sasa..nampenda nyie huyu kasema kufunga kwao sio nguzo...yani sio lazima ukitaka funga hutaki acha yan wana uhulu😪😭😂😂nyie jaman khaaa wallah alhamdulillah..et ana waambia hawatumii akili..nimecheka...lkn ni kweli
Mtangazaji leo umependeza ila wanazengo jaman😅😅😅,,,,Hananja shida ndo zinawapeleka ndyo maana mtu akiwa anaumwa akiona hospital hii hajapona anaenda nyingine akiona bado mwingne anaenda kwa mganga na mwingne anamlilia Mungu na mwingne makanisani,,,,kwahyo wachungaji wanachangia kupotosha watu si wote waumin wanauelewa sawa
huyu mwalimu wa Imani kwasasa mnaona comedi akifaviongozi wetu mtaanza maneno yauwongo hekima ndio hiyo huyo anahekima yakutosha
Kweli kabisa
Yohane 8:32 UKWELI utawaweka HURU
Nikweli kipimo chetu ni biblia neno la MUNGU
Aliwalazimisha.. ju kuna wengine walipigwa walipo patikana wamekunywa maji.. fatilia hizo video vzr..
Na kwa nini azike mwenyewe
Nimeelewa sana mchungaji wangu sema ukwel mpka shetani akimbie
Lakini ata tukuwaita wajinga hawa weda zao. Walieda tu na roho safi wakithani ni mtumichi wa Mungu bila kujua ni shetani . Akatumia power zake zaa ngiza wakawa blind na kubrainwashiwa then ni raisi kuwa control kwa jia yoyote. Kumbuka hapo ni sacriface ya bina damu .iliwawesa lakini serikari ilitukosea kabisa.
Ukweli mtupu......people have become spiritual stupid
Ukweli mtupu asante wajinga Bado wapo
Pasta Hananja hapa tunaelewana asilimia mia moja lkn pale pa eliona nilitofautiana na ww sana.
Umasaao kutaja vitambaa sinauzwa kanisani 😂
🤣🤣🤣🤣 kabisaa baba upo nakupenda bure
Mtumishi umenichekesha jmn daaah
Nizoona Yesu kulibe kwamene anakhamba kuti pamene muzafunga mpaka kufa iyaye
Asiachiliwe he is dangerous
Makenzie ahukumiwe Kwa dhambi ya kuua watoto wadogo wasiokuwa na hatia, hao watu wazima walienda Kwa hiari Yao wenyewe
Akili kiduchu tu kupokea wokovu
@thobiasyphaustine3714
Жыл бұрын
Ukweli haswaaa ukielewa
Nimekuelewa baba wajinga waliwao 😂😂😂😂😂😂kuta maisha mazur haraka tamaaa zimewaponza 😂😂😂😂
@yousupjabri7304
Жыл бұрын
Hahahaaa wallah nimecheka nyie huyu...wale wa miujiza na kusomewa nyota..
Africa kuna watu wajinga lazima tufundishe afya ya akili bila hivyo tutateketea .ufahamu kweli na itakuweka huru.
Mtangazaji hakupata nafasi ya kuongea.hivi ndivo inavotakiwa .
@joshuamuro9494
Жыл бұрын
Hahaha
Mtangazaji uko vizuri Mashallah 🙏
😂😂😂😂😂😂makenzi Kula ubwabwa weee
Wambiwe ukweli
Don't blame those who literally took the teachings of McKenzie! Rather than being a big brother, this man became a predator! I believe he did so not because of his evilness so to speak but because of his rawness intelligence! In this case, the big brother, aka government, totally failed those between hard rock and the moment reality! Let's be honest in the spirit of big brother big sister! Amen!
@fahadfaraj6474
Жыл бұрын
Yes cause as we understand always big brother is watching us,
@evelinemlay5572
Жыл бұрын
Well said dear! The children who got killed were innocent, how can you starve a child to death to death and the parent watching, I believe the victims were not in their right mind! My heart goes to those children who suffered cruel death!
Nimecheka sana 😂😂😂😂
Huenda alikuwa na afya ya akili wao ni kufata tu😢😢😢
Don't blame them because those people are die there's alter hold them let God judge those people but called them fools don't have right to to judge and no one is perfect in this world all of us we are sins
😂😂😂Wajinga kabisa
I'm Tanzanian but disagree with this pastor over mackenzie's innocence, he brainwashed them, in his early teachings he sounded as true man of God, plus those children involved were innocent. May justice be served for the victims
@September69able
Жыл бұрын
U missed a satire there, he was satarizing him😄
@charleskibiro9159
Жыл бұрын
Wamama nyinyi mwanandanganywa sana sana rahisi. Huyu pasta anakufungua macho lakini unazidi kufunga. Mtaendelea kundanganywa kwasababu hamusikii.
@noelwandera8617
Жыл бұрын
Kinda simplistic yes
@evelinemlay5572
Жыл бұрын
@@charleskibiro9159 ni kweli kabisa wanawake ndiyo wengi kwenye haya makanisa yasiyoeleweka, ila kwa mackenzie hata wanaume walikuwepo, tena wengi tu. Ninachosema hapa ni kuwa sikubaliani na hoja yake kwamba mackenzie hana hatia na ansstahili kuachiwa huru, hao watoto waliolazimishwa kuteseka hadi kufa kwa upumbavu wa wazazi wao wakiongozwa na mackenzie wanastahili justice.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂🤣🤣🤣 jamani NIKWELI
Pastor Wacha zako eti Makenzie Hana makosa!!Wewe twajua most of the pastors wanatumia majini ni madevil worshipers na WA freemason, wanapumbasa waumini kupitia hizi !!Ningepewa nimuukumie ningemlasimisha afunge Hadi sfe aendehio Mbinguni anaodanganys waumini wake akakutanie na wale wake wamekufa waendelee na kufungua ,Kasia mjinga Makenzie,!
@tembarooney7899
Жыл бұрын
Ndio ila amesema kweli kwani aliwaita na majini au walijipeleka wenyewe?pili unadanganywaje ukose kula pasta akila...tatu wapi kumeandikwa watu wafunge ndio waone mbinguni??Tumia akili mpendwa
😂😂😂😂😂😂🤣Hananja🇰🇪
Makosa iko kuwazika pameti Alitoa wapi ? wakuzikana lazima serikari ufuate sheria ya nji ya ulimwengu binandamu si i umbwa ? Lazima wachguze angetagaza vifo talk sense
Na watoto maskini wana hatia gani
@evelinemlay5572
Жыл бұрын
Hata mimi nashangaa anavyomtetea mackenzie wakati kuna watoto wasiojua chochote wamekufa
@rayaalhabsi1725
Жыл бұрын
@@evelinemlay5572 kwa kweli lazima achukuliwe hatuwa kali sana
Katika Waraka wa Mtume Paulo kwa Wagalatia, anawauliza" enyi wagalatia msio na akili, ni nani aliye waroga"!!???? Hakika Pr. Hananja ni level nyingine ktk Uinjilishaji na akili yake ni pevu!
@lutternelson5754
Жыл бұрын
Ukristu, katiba yake ni Biblia; tujikite zaidi ktk maandiko/neno, kinyume chake ni ukengeufu uletao maangamizi kama ya kina Mackenzie!
Yan mananja usinge kuwa frmashon
@lilyrose7983
Жыл бұрын
Sasa nani kakwambia huyu ni Freemason?
@Catherine-mh8sw
Жыл бұрын
@@lilyrose7983 😂😂😂😂
@lilyrose7983
Жыл бұрын
@@Catherine-mh8sw Vipimo vya macho 😒
😅😅
😅😅😅
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kumbe unajua mchungaji kama ukristo unaenda ujinga ujinga mtupu hongera kwa kujua kama dini yenu wajinga wingi na matapeli wingi
,😂😂😂😂😂😂😂😂
Kwel akili awana wakenye 😂😂😂😂😂
@yousupjabri7304
Жыл бұрын
😂😂😂usi walaum tatizo lao hawana mipaka yani kila kitu ndio
@zulfasaeed7445
Жыл бұрын
@@yousupjabri7304 wapo kama mchwa tuu kila kitu haaaa ukikanyaga mjan wao wamo haaa 😂😂😂😂😂hii faida ya ujuaji mwingi hii na kujiamin zaid kila kitu ww wapo juu wanaweza sasa shida hii 😂😂😂
Walikuwa ktk jitihada za kumtafuta Mungu
Mafundisho Kama nyundo 😂😂😂Safi sana
Je wale watoto wadogo wengine wachanga, pia walikua wajinga?
Nikweli wa kenye awana akili😂😂😂😂
@Xplossives
Жыл бұрын
Wanaofwata zamaradi niwakenya pia?
@rajah9328
Жыл бұрын
Wew mwenye akili ata Kenya yenyewe uwezi kuandika
@tembarooney7899
Жыл бұрын
Acha ubaguzi pumbavu...usitogombanishe na mandugizetu.....kuandika Kenya mwenyewe hujui...enda shule
Hananja ana busara sana.wajinga ndio Waliwao.wanawafuata Hao wachungaji fake ndio wajinga
Hananja kweli wewe ni kiboko,wasiokuelewa ni wajinga zaidi ya wajinga unaongea kama komedy ndani Kuna madini mazuri.
Kweli kabisa
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂