"MTAFUTE FUNDI AJE HAPA SIONDOKI USILETE UJANJA" WAZIRI MKUU AMBANANISHA MHANDISI NA AFISA ELIMU

Пікірлер: 238

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo646412 күн бұрын

    Yaani ukaguzi wa ubora wa majengo na vifaa Hadi waziri Mkuu..... Watz tunajiaibisha kiasi Gani.....hiii ingefaa iwe kazi ya mtendaji wa Kijiji....Mahalia tu kama tungejua tulitendalo

  • @nsajigwamwakalonge5702

    @nsajigwamwakalonge5702

    12 күн бұрын

    Mpaka mtakapobadilisha mfumo

  • @vallerinejesse2299
    @vallerinejesse229911 күн бұрын

    Kama wewe ni team magu gonga like hapa kwa majaliwa! Tunaweza kumuona uncle magu ndani yako

  • @hamisimuhunzi7916

    @hamisimuhunzi7916

    11 күн бұрын

    hakuna kitu hapo ni changa la macho tu..PM atakagua madirisha mangapi nchi nzima!!

  • @salimalaquimane3077

    @salimalaquimane3077

    10 күн бұрын

    Alikua zaman Amna kitu hapo

  • @allanuslwena8585
    @allanuslwena858512 күн бұрын

    Hongera sana Mheshimiwa Mungu akuepushe na mabaya yote.

  • @costandunguru7603
    @costandunguru760312 күн бұрын

    Hii Nchi kuna shida Sana, Hadi aje MP, wakati hapo wilayani kuna DC, Takukuru na watu wengi kabisa. Sijui tutatoka lini kny huu ujinga

  • @piusmdoe3200

    @piusmdoe3200

    12 күн бұрын

    Wote ulipwataja wspigaji

  • @abdallahdataguy

    @abdallahdataguy

    12 күн бұрын

    changamoto sana

  • @ramadhanishamtandulo1510

    @ramadhanishamtandulo1510

    11 күн бұрын

    Dah..alafu vitu ambavyo vipo obvious haviitaji kuwa professional

  • @benshark3212

    @benshark3212

    11 күн бұрын

    MP au PM?

  • @mochemba

    @mochemba

    11 күн бұрын

    Hata mm hiki kitu huwa kinanikera Sana Sasa hawa viongozi watakuwa wanafika kila kona jmn kwa nn mali ni zetu jengo ni la watoto wetu, mradi wowote ule ni wa ndugu zetu kwa nn tunakuwa tunafanya ujanja ujanja kila sehemu, piga hela Lkni fanya kitu kionekane basi hata mtu akija anaona kweli kazi imefanyika. Watanzania tunajichelewesha wenyewe baadae tunalaumu oh Rais Rais kafanya nn, kumbe shida iko kwetu

  • @rkcomercialenterprises3209
    @rkcomercialenterprises320912 күн бұрын

    Ni jambo la kusikitisha waziri mkuu kusimamia fundi😢 Kuna haja ya kutafuta kiboko kitakachowafanya watanzania kuwajibika na kuwa waaminifu.

  • @allymoshi2053

    @allymoshi2053

    11 күн бұрын

    Hiyo bado sio suluhu watu wanaopewa kazi hawana uwezo wa kudeliver kk kazi haziangalii uwezo wa mtu kinachoangaliwa unajuana na nani ndio tatizo sana la nchi yetu

  • @fabianalfredy5557

    @fabianalfredy5557

    11 күн бұрын

    Kweli waziri mkuu. Ndiyo anafanya kazi hiyo kweli? Delegation siyo nzuri.

  • @upendoeliya9329

    @upendoeliya9329

    10 күн бұрын

    Ukileta kiboko yao wanamuua

  • @maharagendondo
    @maharagendondo12 күн бұрын

    MAJALIWA, UTAFANYA KAZI NGAPI BABA WAKUU WA MIKOA WAKURUGENZI WAPO WAKUU WA WILAYA WAPO LAKINI MPAKA UFIKE WW DU, WATAKUCHOSHA BABA

  • @songombingo108

    @songombingo108

    11 күн бұрын

    Siasa baba... Siasa😂😂😂

  • @fabianalfredy5557

    @fabianalfredy5557

    11 күн бұрын

    Kweli!! Wanafanya kazi Gani?

  • @MbasaSanga
    @MbasaSanga12 күн бұрын

    Tumebaki na viongozi wachache sana wa aina hii.hongera sana waziri mkuu

  • @JosseJone
    @JosseJone12 күн бұрын

    Majaliwa Kama yupo bado iringa afike na stendikuu yamabas iringa 😂😂😂😂

  • @user-yt4si2th5k
    @user-yt4si2th5k12 күн бұрын

    Hao ndo watanzania eti wanataka maendeleo wakati ata uzalendo hawana tena kwa watoto wao

  • @kadokemarco9966
    @kadokemarco996612 күн бұрын

    Ila vyeo vingine bhana mkuu wa mkoa anakazi gani sasa! Ikiwa mpaka waziri mkuu ndiyo aje kuhojiana na mafundi/contractor kweli🤔🤔🤔?. Hayo alitakiwa ahoji mkuu wa mkoa ni aibu sana.

  • @mupinimulila1762

    @mupinimulila1762

    12 күн бұрын

    Nyie vimajitu vichwa ngumu, amutaki kurahisisha mambo.

  • @itiamekimbui722

    @itiamekimbui722

    12 күн бұрын

    this is the problem we have in Africa

  • @IsayaFidelys

    @IsayaFidelys

    12 күн бұрын

    Hapo ndo swali.lilipo.??

  • @nsajigwamwakalonge5702

    @nsajigwamwakalonge5702

    12 күн бұрын

    Watanzania wenyewe mna safari ndefu

  • @stevenmabungi3245

    @stevenmabungi3245

    11 күн бұрын

    Mkuu wa mkoa ni mbali alitakiwa ahoji mtendaji wa kijiji tunajidharirisha sana watendaji tunaopewa mamlaka na serikali

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima729512 күн бұрын

    Sasa viongozi wa mikoa wako wapi? Mpaka aje waziri mkuu ndio ayaone hayo!!

  • @philemonmagesa5548

    @philemonmagesa5548

    11 күн бұрын

    Hapo ndo uone uozo wa nchi yetu hao wakuu wa mikoa sijui huwa wanafanya kazi Gani mpaka aje waZiri kugundua matatzo

  • @user-jm9og2wh5o
    @user-jm9og2wh5o12 күн бұрын

    Hongera sana waziri awo wakipishwa tu wanaona serekari yao wanyoshe mkuuu

  • @CyprianKasilo-d8h
    @CyprianKasilo-d8h12 күн бұрын

    Hongera majaliwa mungu akubariki thawabu ipo mbinguni

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz12 күн бұрын

    Mashaaalah waziri mkuu,asilete janjajanja

  • @nsajigwamwakalonge5702

    @nsajigwamwakalonge5702

    12 күн бұрын

    WATANZANIA MNA SAFARI NDEFU KAMA WAZIRI MKUU ANAENDA IRINGA KUKAGUA MILANGO NA FREMU!

  • @fettiemaganza1484

    @fettiemaganza1484

    11 күн бұрын

    ​@@nsajigwamwakalonge5702ifupishe tu hakuna tatizo

  • @KasianiTitus-un5rk
    @KasianiTitus-un5rk11 күн бұрын

    Kwa Hali hii waafrika kuendelea itakuwa ngumu mtu Hadi usimamiwe na kiongozi

  • @suleymanimixkatafighter2669
    @suleymanimixkatafighter26698 күн бұрын

    Mh majaliwa hongera kwa kazi nzuri hapo mkandarasi na afisa elimu wote wapigani ni wezi tu kazi yao ina mashaka sana

  • @KilingohJuma
    @KilingohJuma11 күн бұрын

    Wanachezea sana pesa za serkal ,Yaan dawat lmepasuka hata haljatumika , hivi Elmu yetu ni shda au ipoje ? Kwann mtu ni kiongoz hajtambui majukum yake , had waje viongoz wa juu wakosoe mirad namna hii jaman, Pole PM Kwa kaz nyng na hongera Kwa kubain uzembe wa viongoz ngaz mikoa na wilaya.

  • @RojamilaSamson
    @RojamilaSamson12 күн бұрын

    Mkuu Wa mkoa hawana kazi funuza anpokea pèsa za Bure hakanguwi miladi

  • @ezekielmadindula2679
    @ezekielmadindula267911 күн бұрын

    Lema anavituko Sana Eti Majaliwa anapaka Pico 😂😂😂😂

  • @CalvinShuma
    @CalvinShuma12 күн бұрын

    Asante sana mweshimiwa waziri mkuu

  • @josephfelicianlugakingira832
    @josephfelicianlugakingira83212 күн бұрын

    Safi Sana PM

  • @daudimashimbi8530
    @daudimashimbi853012 күн бұрын

    Hongera sana mheshimiwa majaaliwa

  • @AMBROSIJOSEPH-qc7xo
    @AMBROSIJOSEPH-qc7xo11 күн бұрын

    Big up big up waziri mkuu mungu akulinde wanakuangalia na jicho mbaya wasifanikiwe

  • @KwayayaUinjilistiHimo
    @KwayayaUinjilistiHimo7 күн бұрын

    Hii nchi bhana. Ina maana hakuna wakaguz, hakuna, Mkurugenzi, msimamiz wa mrad, Dc, Rc. Hadi waziri mkuu

  • @carlosditram2069
    @carlosditram2069Күн бұрын

    Wzr mkuu wa sasa sio sawa na yule wa kipindi cha RAIS DOCTAR JPM kama unakubaliana na mimi gonga like hapo chini

  • @lucymtui8680
    @lucymtui868012 күн бұрын

    Engineer wa ovyooo sanaa

  • @YOSHUAMWAMPETA

    @YOSHUAMWAMPETA

    12 күн бұрын

    KABISAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA

  • @mamodelmam

    @mamodelmam

    12 күн бұрын

    Yani ongea yake tu unajua ni mwizi mtu ata sauti haitoki anakazi ya kumung'unya maneno

  • @FrancisMtema-s9t
    @FrancisMtema-s9t12 күн бұрын

    Mungu akulinde pm.kwa kilolo Kuna mradi wa maji kata ya uhambingeto wa bilioni 2.25.tuma watu wako waukague kimyakimya.matenki ya zamani yanapakwa rangi kuonekana mapya.karibu Sana Baba kwetu.

  • @AmiriAmiri-x2z
    @AmiriAmiri-x2z11 күн бұрын

    jpm namba 2.hongera sana.ndoo ujue wapigaji wapo kila kona kila mahali.tunajua sisi wanainch mkuu wa mkoa ni mmoja Paul makonda.lakin mafisad wanampiga vita kweli.na fikili kwa arusha huna tabu napo.maana yupo kiongoz mzalendo.

  • @DeogratiusAndrew-zi7zv
    @DeogratiusAndrew-zi7zv12 күн бұрын

    Ninachokiona watu hofu ya Mungu hawana hata kidogo Mwenye kumuhofu.wenyezi Mungu hawaezi fanya ubaya huo hatakama pesa sio yake

  • @lukasmgaya652

    @lukasmgaya652

    12 күн бұрын

    ofu ya Mungu ya nn aisee Acha ujinga kwa sababu hofu ya Mungu hiusiki na chochote Miht.19 2.Tena siyo vizuri roho ya mtu ikose #maarifa

  • @DeogratiusAndrew-zi7zv

    @DeogratiusAndrew-zi7zv

    12 күн бұрын

    Unajua nimekuona wewe ni mjpumbavu sana , na ujinga unao wewe kwani hata maana ya andiko umeweka hujui , kuwa na adabu ,

  • @SalumMsafiri20
    @SalumMsafiri2010 күн бұрын

    Watanzania tunapenda kujiibia wenyewe,afisa elimu anapokea vifaa ambavyo havina ubora. Na anaacha viendelee kuwepo sehemu husika. Me nazani,wanajeshi wapewe hizi kazi za jamii.

  • @lenniefei6710
    @lenniefei67108 күн бұрын

    WaTZ bado wapo kwenye usingizi wa pono, wakati waaKenya tunawabana wanasiasa wao wanakubali kuchezea vibao kata tu na wanasiasa😂😂😂😂😂😂

  • @YakoboChambo
    @YakoboChambo7 күн бұрын

    Kaka mkuu wanchi nakukubali sana yani ikiwezekana gombea URAIS naamini utapata

  • @mgoboibrahim
    @mgoboibrahim12 күн бұрын

    Hongera sana sana mheshimiwa Waziri Mkuu mana bila uzalendo wa dhati hatuwezi kuendelea

  • @Kinyerezi1
    @Kinyerezi16 күн бұрын

    Huyu kibonge wa CCM ndiye alikuwa anatrend akibwabwaja ubaguzi wa vyama..

  • @user-xx1je7sy4h
    @user-xx1je7sy4h12 күн бұрын

    Tatizo ni mfumo wa serikali yetu kuleana kwingi majitu yanaiba sana sababu yanajuwana yote majizi mtoto umuleavyo ndivyo akuavyo hata hayaogopi kuiba

  • @chingaboy1149

    @chingaboy1149

    11 күн бұрын

    😂😂😂😂😂mmi langu jicho tu hii inchi ukijifanya mjuaji yanakukuta yahasani

  • @user-zs4qz4wm2n
    @user-zs4qz4wm2n12 күн бұрын

    Majariwa anaonekana siku moja atakua rais mi namuelewa sana( amenuna kazini)

  • @cassimoa9217
    @cassimoa921712 күн бұрын

    Mkuu wa mkoa una kazi gani mpk aje waziri mkuu. Tumbua wote hapo kuanzia mkuu wa mkoa, tawala, mkurugenzi, mkuu wa wilaya wote

  • @danieljoseph6702
    @danieljoseph670211 күн бұрын

    Unaweza fikiri una wawakishi kumbe mizigo.Dawati kama yaliletwa na kichaa.Hatari sana.

  • @muksinimbaruku1233
    @muksinimbaruku123311 күн бұрын

    Majaliwa Rais, Jafari jafo Waziri mkuu alafu Paul makonda tunamuweka waziri wa Miundominu naiona Tz inakuwa Hong kon after 5 years later.

  • @chui99
    @chui9912 күн бұрын

    Magu wapili sasa uyu tumpe nchi tu

  • @Optionxll_Playz1
    @Optionxll_Playz111 күн бұрын

    Uwa nasshindwa kuelewa hivi mkuu wa Mkoa na WA watawa WA wilaya uwa wanafanya Kazi gani Ni Kwa nini wasifungwe ? Watoe lipoti ya kila mwezi ndio itajulikana ,na pia sio mpka Waziri mkuu afike kukagua.

  • @leobalige7069
    @leobalige706911 күн бұрын

    Waziri mkuu. Inafaa utembelee miradi nchi nzima. Miradi ni mibovu sana.

  • @danielelikana2615
    @danielelikana261511 күн бұрын

    Watendaji wanaiangusha sana hii serikali!..Hizi kazi zinatakiwa zisimamiwe vizuri na wakuu wa idara bila hata kusubiri Waziri Mkuu kuja kuibua madudu!! Inasikitisha sana watu wanalipwa mishahara halafu hawawajibiki kwenye nafasi zao!!

  • @Mapenzi2635
    @Mapenzi263512 күн бұрын

    Pole sana Mh. Waziri Mkuu. Unateswa na falsafa ya umasoko inayoendesha Serikali. Tukobadilisha falsafa utaondokewa na ubadhirifu, wizi, na uadilifu utaongezeka.

  • @user-io6yj9fs2h
    @user-io6yj9fs2h11 күн бұрын

    Huyu anatakiwa awe rais ndo atainyoosha nchi hii maana majizi tomach

  • @jamalnaheka1131
    @jamalnaheka11319 күн бұрын

    aisee tuna kaz ss waafrik,..njaa tunaendekez sana.

  • @francisgituti2494
    @francisgituti249411 күн бұрын

    Hivi Hawa watu hata kudanganya hawajui duh!kitu kinaonekana bado wanadanganya wape za uso hao

  • @festohaule9716
    @festohaule971612 күн бұрын

    Kama Mkoa tunaviongozi wengi inakuwaje mpaka madawati aje akague Waziri Mkuu... Afrika kitovu changu pole sana!!!!! Kazi ya uchawa tu kufanya kazi njema ahaaaa!!!!!

  • @user-yv7xg4em4s
    @user-yv7xg4em4s12 күн бұрын

    Mtakoma mmezoea kuiba

  • @janethferous
    @janethferous11 күн бұрын

    Naomba ufike na kitowo wananchi wanaushi Kama wakimbizi mtendaj anawapiga viboko wananchi Kama watoto wanawalipisha fedha kwa makosa madog madogo rushwa

  • @volcaremigius6881
    @volcaremigius688111 күн бұрын

    Huyo jamaa anaeulizwa akili hana anakwambia meza zilikua nzima ety😂😂

  • @salamaalladini
    @salamaalladini11 күн бұрын

    Mm ktk moyo Wang nnaiman utakuj kuwa rais wa nchi hii

  • @mcback4384
    @mcback43846 күн бұрын

    Hivi kwani kwenye hii miradi ya serikali si huwa na BOQ kwamba constructor anatakiwa kufata aligned specifications and qualifications? Kwanini ya natokea haya yote na kuna consultant wa serikali anaecontrol yote hayo?

  • @elisantemrita9490
    @elisantemrita949011 күн бұрын

    Yani tunaitaji wasimamizi kutoka Dubai waje wawe wakuu wa wilaya na mikoa na mawaziri

  • @paulokateme7615
    @paulokateme761511 күн бұрын

    Itapendeza ufanyike ukaguzi wa shule zote na madudu utakayoyagundua yatakushangaza ni watu wasio na utu.

  • @elisantemrita9490
    @elisantemrita949011 күн бұрын

    Majaliwa kwann sikuizi huwatii viboko Tembea na kiboko sasaivi mkuu

  • @RAJABWADIGOGO
    @RAJABWADIGOGO11 күн бұрын

    hongera mheshimiwa kwa ukaguzi makin

  • @majaliwaharuna4064
    @majaliwaharuna406411 күн бұрын

    Fanya kazi mh waziri mkuu,huku kwenye halmashauri Kuna madudu mengi sana yanafanywa na wakurugenzi kwa makusudi wakijuwa hakuna wa kuwashughulikia .wewe ndio tumaini letu PM

  • @YOSHUAMWAMPETA
    @YOSHUAMWAMPETA12 күн бұрын

    NINGEKUWA mimi nawatimua KAZI HAWAPATI HATA KIINUA MGONGO INAKUWA AMRI NA SHERIA

  • @user-og9jt3mg4c
    @user-og9jt3mg4c11 күн бұрын

    Tanzania yetu jamani kilakitu wanachakachua, wizi mtupu!! Mungu aturudishie roho ya utu!

  • @bir4450
    @bir445010 күн бұрын

    Hapo kuweka wavu kipengele maana inaonesha jamaa hakuweka hesabu ya wavu.unawaza kama ingekua nyumban kwake angefanya hivo

  • @kalebphilip3426
    @kalebphilip342611 күн бұрын

    Uliza dawati moja bei yake utakimbia yaan hii nchi ni mm tu sio mwz

  • @paterinishayo-ef4sx
    @paterinishayo-ef4sx11 күн бұрын

    Watanzania wengi hatujui tulitendalo jambo dogo hata mjinga analiona lakin mpka aje kiongoz wa juu hivi tunakumnwa na nn ni rushwa au tuwajinga hatudhamin mali zetu tulizojengewa na serikali daah

  • @user-pi1st6pj3w
    @user-pi1st6pj3w12 күн бұрын

    Piga kaziii Mheshimiwa Waziri Mkuu MUNGU BABA wa Mbinguni Akubariki Sana

  • @The1979bornagain
    @The1979bornagain7 күн бұрын

    Hivi unawezaje kumsimamisha kazi Mkurugenzi, Mhandisi na Afisa manunuzi halafu ukawaacha DC na RC kwa wizi na ubadhirifu uliotokea ktk miradi iliyo ktk eneo lao la utawala? Na haya matatizo ya kula fedha za miradi na miradi kuachwa hivyo hivyo bila kukamilika yako kila wilaya na kila mkoa. Na ulaji huu unawahusisha hadi ma-DCs na ma - RCs. Hawa ma-DC na ma- RCs ndiyo wenyeviti wa kamati za ulinzi za wilaya na mikoa respectively. Maana yake ni kuwa vyombo hivi PCCP na POLISI ambavyo ndivyo vinavyoshughulika kuchunguza na kuchukua hatua za wizi na ubadhirifu viko chini ya hawa. Tunategemea watafanya nini kama hawa mabosi wao yaani DCs au RCs ni washiriki wa wizi au ubadhirifu huo? Waziri mkuu naye hata halioni hili. Eti anampa jukumu DC au RC mshiriki wa wizi na ubadhirifu kusimamia uchunguzi. Si ataandaa ripoti feki kwa kujilinda yeye mwenyewe? Tukubali kuwa kuna tatizo ktk mfumo wetu wa utawala. Na hiki ndicho chanzo cha mkwamo wa maendeleo yetu. Kwa hiyo hapa Waziri Mkuu anatwanga maji kwenye kinu tu. Ataondoka na mambo yatabaki vilevile tu. Tutengeneze mfumo mpya wa utawala unaoleta uwajibikaji wenye tija!!

  • @stevemsola437
    @stevemsola43711 күн бұрын

    Mpaka waziri mkuu hamna viongozi wengine jmn

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud76311 күн бұрын

    Kweli punda haendi mpaka kwa magongo jamani😢😢😢.ivi inakuwaje watu mnakula tu hela kila kukicha watu hawahanyi wajibu wao lazima washikiwe magongo jamani 😢😢😢😢😢 inauma mno

  • @nassibuduma7162
    @nassibuduma71624 күн бұрын

    Bado kuna tabu ya usimamizi wa utekelezaji wa miradi ya selikari

  • @johnkalibonamchungaji3082
    @johnkalibonamchungaji308211 күн бұрын

    Hiv kweri waziri mkuu ndo akakague hali hii wasaidizi wachini wako wapi? baba Mungu akutunze

  • @webrand2305
    @webrand230511 күн бұрын

    Hii nchi ngumu sana, hivi kweli kwa mambo haya tutuaendelea kweli???

  • @stn4873
    @stn487311 күн бұрын

    Ujue kuwa watu wanachekesha kweli😂😂😂😂😂

  • @MenelusCzar
    @MenelusCzar11 күн бұрын

    YAANI WATU WANATIA AIBU SANA ET WIRE NI DIFFERENT CONTRACT🙌🏻

  • @MasaluMartine-xe1kb
    @MasaluMartine-xe1kb11 күн бұрын

    Hiii inaonesha wazi kwamba. Hamna haja ya kuwa na wakuu wa wilaya , na wa mikoa ,kama waziri anatoka huko kote anagundua mapungufu , wao wako wapi, kwakweli kazi ni ngumu sana

  • @firo0ozdawah378
    @firo0ozdawah37812 күн бұрын

    Watanzania shkamooooo🙌🙌🙌

  • @YOSHUAMWAMPETA

    @YOSHUAMWAMPETA

    12 күн бұрын

    MARAHABAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA.

  • @upendoeliya9329

    @upendoeliya9329

    10 күн бұрын

    Marahaba mwanangu hamjambo!!!!😅😅😅 Haya ni matokeo ya ajira za kujuana na kutoa kitu kidogo 😂😂😂😂.

  • @mathayomwashambwa1238
    @mathayomwashambwa123811 күн бұрын

    ASANTE MKUU KWA KUFUATILIA, MOYO UKIWA MWOVU MATENDO YOTE YANAKUWA KAMA MOYO WAKO.. WATANZANIA MMM! UKIFUKUZWA KAZI NDO UTAIONA THAMANI YA KAZI HIYO

  • @kalebphilip3426
    @kalebphilip342611 күн бұрын

    Hii ndo Tanzania ya ccm Kama viongoz wakubwa ni waiz,Hawa wachin nao ni walewale tu mtoto wa nyoka ni nyoka tu ndo maana ni Tanzania tu dunian kote barabara znavirakavraka Kama chatu,na kiraka kimoja nasikia kinawekwa kwa milion mia tatu

  • @emmanueldavid9506
    @emmanueldavid950612 күн бұрын

    Piga chini hao ni bora mgetuajiri sisi mafundi local tunafanya kazi nzuri kuliko hao mnaowalipa hela nyingi

  • @tztanzania2262

    @tztanzania2262

    12 күн бұрын

    Shda hatuna mitaji tu maana malipo ya serikali mpaka ukabidh kwanza Sasa kwa mitaji yetu 😢😢

  • @YohanaKamota-vl2ir
    @YohanaKamota-vl2ir6 күн бұрын

    Wakati uchakachuzi wa Mali ya selikari unafanyika mkuu wa mkoa yupo mkuu wa wilaya yupo ujuwe Hawa wanachangia maana haiwezekan kila uharibifu hadi waziri ndo Aubain Hilo rais wangu kwakweli liangalie Hawa viongozi watakuangusha kwenye uchanguzi wamekalia nafasi na kutokuzitumikia sawasawa ilbidi Kayla ya kuwafukuza wakandalasi waaziwe wao

  • @charlesmwambinga4355
    @charlesmwambinga435512 күн бұрын

    Ifike Mahara Tumsaidie Mheshimiwa Raisi kwa kua wazalendo..zamani tulikua tunalalamika pesa haifiki saivi zinafika watu Mnachota Chota sio sawaaaa..kabisa

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb11 күн бұрын

    Watanzani wenye vyeo ujauja tu kila Kona utapeli bira kuwafatilia niwizi tu

  • @justinkasanga8463
    @justinkasanga846311 күн бұрын

    Moja Kati ya vitu ambavyo serikali inafeli Ni kutokuunda monitoring and evaluation body ambayo inapaswa kufuatilia kwa ukaribu huu utendaji kazi! Haya ambayo Leo hii yanafanywa na waziri mkuu yamesababishwa na serikali yake mwenyewe! Mifumo ya utekelezaji wa miradi ya serikali Ni mibovu na tunaiacha hivyo hivyo alaf tunategemea tuje mwishoni kuweka mambo sawa! This is not okay! Hapa Ni siasa tuu zinatumika. Tubadilishe mifumo M&E ziwepo katika utekelezaji wa miradi katika Kila sector! Tutafanikiwa kwa kiwango kikubwa

  • @danielsostenes1640
    @danielsostenes164012 күн бұрын

    Wawajibishe mkuu nakukubal sana wazir mkuu wang chapa kazi

  • @JuliusKiria-j7i
    @JuliusKiria-j7i11 күн бұрын

    Sasa hamuwapi adhabu inamanagan kutuonesha kasoro yani viongozi mlalamikaji na mwananchi mlalamikaji mtawala nan sas

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne749111 күн бұрын

    Kazi ya RC na DC ni nini had anakuja waziri mkuu 😢

  • @saudmohammed3390
    @saudmohammed339011 күн бұрын

    Woooooote wizi tu dawa ni kufuza kazi ili iwe fundisho kwa wizi wengine

  • @bakarikasimu-gn8xj
    @bakarikasimu-gn8xj12 күн бұрын

    Viongozi wa wilaya walijua Waziri hatayaona hayo madudu

  • @godsonrwegasira4414
    @godsonrwegasira441412 күн бұрын

    Tatizo hao waalim wanabanaga sana mm mwenyew fundi wa vioo lakin dirisha anakwambia linabdi likamilike kwa sh. laki mbili wakat we umempa gharama ya lak 280, fundi mwenye njaa anapokea kaz afu analeta baadh ya vitu hakuna hapo mh angekagua na size ya kioo unaeza kumbana na mm. 4

  • @japhetygodfrey921
    @japhetygodfrey92111 күн бұрын

    Mheshimiwa wabane kabisa hao wsmezoea kupita njia zamkato mungu akupe wepesi kusimamia majikumu yako

  • @mwanaafrika_tz
    @mwanaafrika_tz11 күн бұрын

    Sa mkurugenzi kazi yake nini😂😂

  • @Mckiatu
    @Mckiatu11 күн бұрын

    Mheshimiwa naomba hii tenda ya furnitures pleas

  • @peterchesam5737
    @peterchesam573711 күн бұрын

    Duuu hao waongo Dirisha lipi la Aluminium litawekwa bila Wavu haalfu useme utaweka tena???

  • @yohanamuumbe4628
    @yohanamuumbe462812 күн бұрын

    Kwanini mh. Waziri mkuu. Havai nguo za ccm na watu wengine wavaa nguo za ccm kwa maendeleo ni ya chama au ya wananchi wote wa Tanzania!

  • @andrewjohn9308
    @andrewjohn930811 күн бұрын

    Bongo bwana hii nchi Kazi ipo

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne749111 күн бұрын

    Daah viti vipya vimesha pasuka😂

  • @husseinkarim7663
    @husseinkarim766310 күн бұрын

    Desk hilo sh 65000? Ni wizi halifiki sh 25000 kama mbao mzuri

  • @antonjohn134
    @antonjohn13412 күн бұрын

    Yaan nchi yetu bwana vichelesho yaan vitu kama hivy nimpaka waziri aseme kweri duuh

  • @butogwabuyegi2763
    @butogwabuyegi276312 күн бұрын

    Kwani hakuna mkuu wa wilaya au wa mkoa mpaka Waziri mkuu aje tumwogope Mungu jamani

  • @festohaule9716
    @festohaule971612 күн бұрын

    Kazi ni uchawa tu.. kazi ahaaaa..Pesa zipo kwanini Hatuwezi kujenga Nchi yetu pasipo dosari!!!!

  • @MOHAMEDMBAROUK-tc4ch
    @MOHAMEDMBAROUK-tc4ch11 күн бұрын

    Waongo hao wameshapiga hela zao

  • @user-pl6cl6um4l
    @user-pl6cl6um4l8 күн бұрын

    Watanzania mnaiba Hadi aibu!