"MTAFUTE FUNDI AJE HAPA SIONDOKI USILETE UJANJA" WAZIRI MKUU AMBANANISHA MHANDISI NA AFISA ELIMU
Жүктеу.....
Пікірлер: 238
@johnmalembo646412 күн бұрын
Yaani ukaguzi wa ubora wa majengo na vifaa Hadi waziri Mkuu..... Watz tunajiaibisha kiasi Gani.....hiii ingefaa iwe kazi ya mtendaji wa Kijiji....Mahalia tu kama tungejua tulitendalo
@nsajigwamwakalonge5702
12 күн бұрын
Mpaka mtakapobadilisha mfumo
@vallerinejesse229911 күн бұрын
Kama wewe ni team magu gonga like hapa kwa majaliwa! Tunaweza kumuona uncle magu ndani yako
@hamisimuhunzi7916
11 күн бұрын
hakuna kitu hapo ni changa la macho tu..PM atakagua madirisha mangapi nchi nzima!!
@salimalaquimane3077
10 күн бұрын
Alikua zaman Amna kitu hapo
@allanuslwena858512 күн бұрын
Hongera sana Mheshimiwa Mungu akuepushe na mabaya yote.
@costandunguru760312 күн бұрын
Hii Nchi kuna shida Sana, Hadi aje MP, wakati hapo wilayani kuna DC, Takukuru na watu wengi kabisa. Sijui tutatoka lini kny huu ujinga
@piusmdoe3200
12 күн бұрын
Wote ulipwataja wspigaji
@abdallahdataguy
12 күн бұрын
changamoto sana
@ramadhanishamtandulo1510
11 күн бұрын
Dah..alafu vitu ambavyo vipo obvious haviitaji kuwa professional
@benshark3212
11 күн бұрын
MP au PM?
@mochemba
11 күн бұрын
Hata mm hiki kitu huwa kinanikera Sana Sasa hawa viongozi watakuwa wanafika kila kona jmn kwa nn mali ni zetu jengo ni la watoto wetu, mradi wowote ule ni wa ndugu zetu kwa nn tunakuwa tunafanya ujanja ujanja kila sehemu, piga hela Lkni fanya kitu kionekane basi hata mtu akija anaona kweli kazi imefanyika. Watanzania tunajichelewesha wenyewe baadae tunalaumu oh Rais Rais kafanya nn, kumbe shida iko kwetu
@rkcomercialenterprises320912 күн бұрын
Ni jambo la kusikitisha waziri mkuu kusimamia fundi😢 Kuna haja ya kutafuta kiboko kitakachowafanya watanzania kuwajibika na kuwa waaminifu.
@allymoshi2053
11 күн бұрын
Hiyo bado sio suluhu watu wanaopewa kazi hawana uwezo wa kudeliver kk kazi haziangalii uwezo wa mtu kinachoangaliwa unajuana na nani ndio tatizo sana la nchi yetu
@fabianalfredy5557
11 күн бұрын
Kweli waziri mkuu. Ndiyo anafanya kazi hiyo kweli? Delegation siyo nzuri.
@upendoeliya9329
10 күн бұрын
Ukileta kiboko yao wanamuua
@maharagendondo12 күн бұрын
MAJALIWA, UTAFANYA KAZI NGAPI BABA WAKUU WA MIKOA WAKURUGENZI WAPO WAKUU WA WILAYA WAPO LAKINI MPAKA UFIKE WW DU, WATAKUCHOSHA BABA
@songombingo108
11 күн бұрын
Siasa baba... Siasa😂😂😂
@fabianalfredy5557
11 күн бұрын
Kweli!! Wanafanya kazi Gani?
@MbasaSanga12 күн бұрын
Tumebaki na viongozi wachache sana wa aina hii.hongera sana waziri mkuu
@JosseJone12 күн бұрын
Majaliwa Kama yupo bado iringa afike na stendikuu yamabas iringa 😂😂😂😂
@user-yt4si2th5k12 күн бұрын
Hao ndo watanzania eti wanataka maendeleo wakati ata uzalendo hawana tena kwa watoto wao
@kadokemarco996612 күн бұрын
Ila vyeo vingine bhana mkuu wa mkoa anakazi gani sasa! Ikiwa mpaka waziri mkuu ndiyo aje kuhojiana na mafundi/contractor kweli🤔🤔🤔?. Hayo alitakiwa ahoji mkuu wa mkoa ni aibu sana.
Mkuu wa mkoa ni mbali alitakiwa ahoji mtendaji wa kijiji tunajidharirisha sana watendaji tunaopewa mamlaka na serikali
@jumakapilima729512 күн бұрын
Sasa viongozi wa mikoa wako wapi? Mpaka aje waziri mkuu ndio ayaone hayo!!
@philemonmagesa5548
11 күн бұрын
Hapo ndo uone uozo wa nchi yetu hao wakuu wa mikoa sijui huwa wanafanya kazi Gani mpaka aje waZiri kugundua matatzo
@user-jm9og2wh5o12 күн бұрын
Hongera sana waziri awo wakipishwa tu wanaona serekari yao wanyoshe mkuuu
@CyprianKasilo-d8h12 күн бұрын
Hongera majaliwa mungu akubariki thawabu ipo mbinguni
@HamisMghuna-fj3vz12 күн бұрын
Mashaaalah waziri mkuu,asilete janjajanja
@nsajigwamwakalonge5702
12 күн бұрын
WATANZANIA MNA SAFARI NDEFU KAMA WAZIRI MKUU ANAENDA IRINGA KUKAGUA MILANGO NA FREMU!
@fettiemaganza1484
11 күн бұрын
@@nsajigwamwakalonge5702ifupishe tu hakuna tatizo
@KasianiTitus-un5rk11 күн бұрын
Kwa Hali hii waafrika kuendelea itakuwa ngumu mtu Hadi usimamiwe na kiongozi
@suleymanimixkatafighter26698 күн бұрын
Mh majaliwa hongera kwa kazi nzuri hapo mkandarasi na afisa elimu wote wapigani ni wezi tu kazi yao ina mashaka sana
@KilingohJuma11 күн бұрын
Wanachezea sana pesa za serkal ,Yaan dawat lmepasuka hata haljatumika , hivi Elmu yetu ni shda au ipoje ? Kwann mtu ni kiongoz hajtambui majukum yake , had waje viongoz wa juu wakosoe mirad namna hii jaman, Pole PM Kwa kaz nyng na hongera Kwa kubain uzembe wa viongoz ngaz mikoa na wilaya.
@RojamilaSamson12 күн бұрын
Mkuu Wa mkoa hawana kazi funuza anpokea pèsa za Bure hakanguwi miladi
@ezekielmadindula267911 күн бұрын
Lema anavituko Sana Eti Majaliwa anapaka Pico 😂😂😂😂
@CalvinShuma12 күн бұрын
Asante sana mweshimiwa waziri mkuu
@josephfelicianlugakingira83212 күн бұрын
Safi Sana PM
@daudimashimbi853012 күн бұрын
Hongera sana mheshimiwa majaaliwa
@AMBROSIJOSEPH-qc7xo11 күн бұрын
Big up big up waziri mkuu mungu akulinde wanakuangalia na jicho mbaya wasifanikiwe
@KwayayaUinjilistiHimo7 күн бұрын
Hii nchi bhana. Ina maana hakuna wakaguz, hakuna, Mkurugenzi, msimamiz wa mrad, Dc, Rc. Hadi waziri mkuu
@carlosditram2069Күн бұрын
Wzr mkuu wa sasa sio sawa na yule wa kipindi cha RAIS DOCTAR JPM kama unakubaliana na mimi gonga like hapo chini
@lucymtui868012 күн бұрын
Engineer wa ovyooo sanaa
@YOSHUAMWAMPETA
12 күн бұрын
KABISAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA
@mamodelmam
12 күн бұрын
Yani ongea yake tu unajua ni mwizi mtu ata sauti haitoki anakazi ya kumung'unya maneno
@FrancisMtema-s9t12 күн бұрын
Mungu akulinde pm.kwa kilolo Kuna mradi wa maji kata ya uhambingeto wa bilioni 2.25.tuma watu wako waukague kimyakimya.matenki ya zamani yanapakwa rangi kuonekana mapya.karibu Sana Baba kwetu.
@AmiriAmiri-x2z11 күн бұрын
jpm namba 2.hongera sana.ndoo ujue wapigaji wapo kila kona kila mahali.tunajua sisi wanainch mkuu wa mkoa ni mmoja Paul makonda.lakin mafisad wanampiga vita kweli.na fikili kwa arusha huna tabu napo.maana yupo kiongoz mzalendo.
@DeogratiusAndrew-zi7zv12 күн бұрын
Ninachokiona watu hofu ya Mungu hawana hata kidogo Mwenye kumuhofu.wenyezi Mungu hawaezi fanya ubaya huo hatakama pesa sio yake
@lukasmgaya652
12 күн бұрын
ofu ya Mungu ya nn aisee Acha ujinga kwa sababu hofu ya Mungu hiusiki na chochote Miht.19 2.Tena siyo vizuri roho ya mtu ikose #maarifa
@DeogratiusAndrew-zi7zv
12 күн бұрын
Unajua nimekuona wewe ni mjpumbavu sana , na ujinga unao wewe kwani hata maana ya andiko umeweka hujui , kuwa na adabu ,
@SalumMsafiri2010 күн бұрын
Watanzania tunapenda kujiibia wenyewe,afisa elimu anapokea vifaa ambavyo havina ubora. Na anaacha viendelee kuwepo sehemu husika. Me nazani,wanajeshi wapewe hizi kazi za jamii.
@lenniefei67108 күн бұрын
WaTZ bado wapo kwenye usingizi wa pono, wakati waaKenya tunawabana wanasiasa wao wanakubali kuchezea vibao kata tu na wanasiasa😂😂😂😂😂😂
@YakoboChambo7 күн бұрын
Kaka mkuu wanchi nakukubali sana yani ikiwezekana gombea URAIS naamini utapata
@mgoboibrahim12 күн бұрын
Hongera sana sana mheshimiwa Waziri Mkuu mana bila uzalendo wa dhati hatuwezi kuendelea
@Kinyerezi16 күн бұрын
Huyu kibonge wa CCM ndiye alikuwa anatrend akibwabwaja ubaguzi wa vyama..
@user-xx1je7sy4h12 күн бұрын
Tatizo ni mfumo wa serikali yetu kuleana kwingi majitu yanaiba sana sababu yanajuwana yote majizi mtoto umuleavyo ndivyo akuavyo hata hayaogopi kuiba
@chingaboy1149
11 күн бұрын
😂😂😂😂😂mmi langu jicho tu hii inchi ukijifanya mjuaji yanakukuta yahasani
@user-zs4qz4wm2n12 күн бұрын
Majariwa anaonekana siku moja atakua rais mi namuelewa sana( amenuna kazini)
@cassimoa921712 күн бұрын
Mkuu wa mkoa una kazi gani mpk aje waziri mkuu. Tumbua wote hapo kuanzia mkuu wa mkoa, tawala, mkurugenzi, mkuu wa wilaya wote
@danieljoseph670211 күн бұрын
Unaweza fikiri una wawakishi kumbe mizigo.Dawati kama yaliletwa na kichaa.Hatari sana.
@muksinimbaruku123311 күн бұрын
Majaliwa Rais, Jafari jafo Waziri mkuu alafu Paul makonda tunamuweka waziri wa Miundominu naiona Tz inakuwa Hong kon after 5 years later.
@chui9912 күн бұрын
Magu wapili sasa uyu tumpe nchi tu
@Optionxll_Playz111 күн бұрын
Uwa nasshindwa kuelewa hivi mkuu wa Mkoa na WA watawa WA wilaya uwa wanafanya Kazi gani Ni Kwa nini wasifungwe ? Watoe lipoti ya kila mwezi ndio itajulikana ,na pia sio mpka Waziri mkuu afike kukagua.
@leobalige706911 күн бұрын
Waziri mkuu. Inafaa utembelee miradi nchi nzima. Miradi ni mibovu sana.
@danielelikana261511 күн бұрын
Watendaji wanaiangusha sana hii serikali!..Hizi kazi zinatakiwa zisimamiwe vizuri na wakuu wa idara bila hata kusubiri Waziri Mkuu kuja kuibua madudu!! Inasikitisha sana watu wanalipwa mishahara halafu hawawajibiki kwenye nafasi zao!!
@Mapenzi263512 күн бұрын
Pole sana Mh. Waziri Mkuu. Unateswa na falsafa ya umasoko inayoendesha Serikali. Tukobadilisha falsafa utaondokewa na ubadhirifu, wizi, na uadilifu utaongezeka.
@user-io6yj9fs2h11 күн бұрын
Huyu anatakiwa awe rais ndo atainyoosha nchi hii maana majizi tomach
@jamalnaheka11319 күн бұрын
aisee tuna kaz ss waafrik,..njaa tunaendekez sana.
@francisgituti249411 күн бұрын
Hivi Hawa watu hata kudanganya hawajui duh!kitu kinaonekana bado wanadanganya wape za uso hao
@festohaule971612 күн бұрын
Kama Mkoa tunaviongozi wengi inakuwaje mpaka madawati aje akague Waziri Mkuu... Afrika kitovu changu pole sana!!!!! Kazi ya uchawa tu kufanya kazi njema ahaaaa!!!!!
@user-yv7xg4em4s12 күн бұрын
Mtakoma mmezoea kuiba
@janethferous11 күн бұрын
Naomba ufike na kitowo wananchi wanaushi Kama wakimbizi mtendaj anawapiga viboko wananchi Kama watoto wanawalipisha fedha kwa makosa madog madogo rushwa
@volcaremigius688111 күн бұрын
Huyo jamaa anaeulizwa akili hana anakwambia meza zilikua nzima ety😂😂
@salamaalladini11 күн бұрын
Mm ktk moyo Wang nnaiman utakuj kuwa rais wa nchi hii
@mcback43846 күн бұрын
Hivi kwani kwenye hii miradi ya serikali si huwa na BOQ kwamba constructor anatakiwa kufata aligned specifications and qualifications? Kwanini ya natokea haya yote na kuna consultant wa serikali anaecontrol yote hayo?
@elisantemrita949011 күн бұрын
Yani tunaitaji wasimamizi kutoka Dubai waje wawe wakuu wa wilaya na mikoa na mawaziri
@paulokateme761511 күн бұрын
Itapendeza ufanyike ukaguzi wa shule zote na madudu utakayoyagundua yatakushangaza ni watu wasio na utu.
@elisantemrita949011 күн бұрын
Majaliwa kwann sikuizi huwatii viboko Tembea na kiboko sasaivi mkuu
@RAJABWADIGOGO11 күн бұрын
hongera mheshimiwa kwa ukaguzi makin
@majaliwaharuna406411 күн бұрын
Fanya kazi mh waziri mkuu,huku kwenye halmashauri Kuna madudu mengi sana yanafanywa na wakurugenzi kwa makusudi wakijuwa hakuna wa kuwashughulikia .wewe ndio tumaini letu PM
@YOSHUAMWAMPETA12 күн бұрын
NINGEKUWA mimi nawatimua KAZI HAWAPATI HATA KIINUA MGONGO INAKUWA AMRI NA SHERIA
@user-og9jt3mg4c11 күн бұрын
Tanzania yetu jamani kilakitu wanachakachua, wizi mtupu!! Mungu aturudishie roho ya utu!
@bir445010 күн бұрын
Hapo kuweka wavu kipengele maana inaonesha jamaa hakuweka hesabu ya wavu.unawaza kama ingekua nyumban kwake angefanya hivo
@kalebphilip342611 күн бұрын
Uliza dawati moja bei yake utakimbia yaan hii nchi ni mm tu sio mwz
@paterinishayo-ef4sx11 күн бұрын
Watanzania wengi hatujui tulitendalo jambo dogo hata mjinga analiona lakin mpka aje kiongoz wa juu hivi tunakumnwa na nn ni rushwa au tuwajinga hatudhamin mali zetu tulizojengewa na serikali daah
@user-pi1st6pj3w12 күн бұрын
Piga kaziii Mheshimiwa Waziri Mkuu MUNGU BABA wa Mbinguni Akubariki Sana
@The1979bornagain7 күн бұрын
Hivi unawezaje kumsimamisha kazi Mkurugenzi, Mhandisi na Afisa manunuzi halafu ukawaacha DC na RC kwa wizi na ubadhirifu uliotokea ktk miradi iliyo ktk eneo lao la utawala? Na haya matatizo ya kula fedha za miradi na miradi kuachwa hivyo hivyo bila kukamilika yako kila wilaya na kila mkoa. Na ulaji huu unawahusisha hadi ma-DCs na ma - RCs. Hawa ma-DC na ma- RCs ndiyo wenyeviti wa kamati za ulinzi za wilaya na mikoa respectively. Maana yake ni kuwa vyombo hivi PCCP na POLISI ambavyo ndivyo vinavyoshughulika kuchunguza na kuchukua hatua za wizi na ubadhirifu viko chini ya hawa. Tunategemea watafanya nini kama hawa mabosi wao yaani DCs au RCs ni washiriki wa wizi au ubadhirifu huo? Waziri mkuu naye hata halioni hili. Eti anampa jukumu DC au RC mshiriki wa wizi na ubadhirifu kusimamia uchunguzi. Si ataandaa ripoti feki kwa kujilinda yeye mwenyewe? Tukubali kuwa kuna tatizo ktk mfumo wetu wa utawala. Na hiki ndicho chanzo cha mkwamo wa maendeleo yetu. Kwa hiyo hapa Waziri Mkuu anatwanga maji kwenye kinu tu. Ataondoka na mambo yatabaki vilevile tu. Tutengeneze mfumo mpya wa utawala unaoleta uwajibikaji wenye tija!!
@stevemsola43711 күн бұрын
Mpaka waziri mkuu hamna viongozi wengine jmn
@roudhamahmoud76311 күн бұрын
Kweli punda haendi mpaka kwa magongo jamani😢😢😢.ivi inakuwaje watu mnakula tu hela kila kukicha watu hawahanyi wajibu wao lazima washikiwe magongo jamani 😢😢😢😢😢 inauma mno
@nassibuduma71624 күн бұрын
Bado kuna tabu ya usimamizi wa utekelezaji wa miradi ya selikari
@johnkalibonamchungaji308211 күн бұрын
Hiv kweri waziri mkuu ndo akakague hali hii wasaidizi wachini wako wapi? baba Mungu akutunze
@webrand230511 күн бұрын
Hii nchi ngumu sana, hivi kweli kwa mambo haya tutuaendelea kweli???
@stn487311 күн бұрын
Ujue kuwa watu wanachekesha kweli😂😂😂😂😂
@MenelusCzar11 күн бұрын
YAANI WATU WANATIA AIBU SANA ET WIRE NI DIFFERENT CONTRACT🙌🏻
@MasaluMartine-xe1kb11 күн бұрын
Hiii inaonesha wazi kwamba. Hamna haja ya kuwa na wakuu wa wilaya , na wa mikoa ,kama waziri anatoka huko kote anagundua mapungufu , wao wako wapi, kwakweli kazi ni ngumu sana
@firo0ozdawah37812 күн бұрын
Watanzania shkamooooo🙌🙌🙌
@YOSHUAMWAMPETA
12 күн бұрын
MARAHABAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA.
@upendoeliya9329
10 күн бұрын
Marahaba mwanangu hamjambo!!!!😅😅😅 Haya ni matokeo ya ajira za kujuana na kutoa kitu kidogo 😂😂😂😂.
@mathayomwashambwa123811 күн бұрын
ASANTE MKUU KWA KUFUATILIA, MOYO UKIWA MWOVU MATENDO YOTE YANAKUWA KAMA MOYO WAKO.. WATANZANIA MMM! UKIFUKUZWA KAZI NDO UTAIONA THAMANI YA KAZI HIYO
@kalebphilip342611 күн бұрын
Hii ndo Tanzania ya ccm Kama viongoz wakubwa ni waiz,Hawa wachin nao ni walewale tu mtoto wa nyoka ni nyoka tu ndo maana ni Tanzania tu dunian kote barabara znavirakavraka Kama chatu,na kiraka kimoja nasikia kinawekwa kwa milion mia tatu
@emmanueldavid950612 күн бұрын
Piga chini hao ni bora mgetuajiri sisi mafundi local tunafanya kazi nzuri kuliko hao mnaowalipa hela nyingi
@tztanzania2262
12 күн бұрын
Shda hatuna mitaji tu maana malipo ya serikali mpaka ukabidh kwanza Sasa kwa mitaji yetu 😢😢
@YohanaKamota-vl2ir6 күн бұрын
Wakati uchakachuzi wa Mali ya selikari unafanyika mkuu wa mkoa yupo mkuu wa wilaya yupo ujuwe Hawa wanachangia maana haiwezekan kila uharibifu hadi waziri ndo Aubain Hilo rais wangu kwakweli liangalie Hawa viongozi watakuangusha kwenye uchanguzi wamekalia nafasi na kutokuzitumikia sawasawa ilbidi Kayla ya kuwafukuza wakandalasi waaziwe wao
@charlesmwambinga435512 күн бұрын
Ifike Mahara Tumsaidie Mheshimiwa Raisi kwa kua wazalendo..zamani tulikua tunalalamika pesa haifiki saivi zinafika watu Mnachota Chota sio sawaaaa..kabisa
@Esterkomba-ef7eb11 күн бұрын
Watanzani wenye vyeo ujauja tu kila Kona utapeli bira kuwafatilia niwizi tu
@justinkasanga846311 күн бұрын
Moja Kati ya vitu ambavyo serikali inafeli Ni kutokuunda monitoring and evaluation body ambayo inapaswa kufuatilia kwa ukaribu huu utendaji kazi! Haya ambayo Leo hii yanafanywa na waziri mkuu yamesababishwa na serikali yake mwenyewe! Mifumo ya utekelezaji wa miradi ya serikali Ni mibovu na tunaiacha hivyo hivyo alaf tunategemea tuje mwishoni kuweka mambo sawa! This is not okay! Hapa Ni siasa tuu zinatumika. Tubadilishe mifumo M&E ziwepo katika utekelezaji wa miradi katika Kila sector! Tutafanikiwa kwa kiwango kikubwa
@danielsostenes164012 күн бұрын
Wawajibishe mkuu nakukubal sana wazir mkuu wang chapa kazi
@JuliusKiria-j7i11 күн бұрын
Sasa hamuwapi adhabu inamanagan kutuonesha kasoro yani viongozi mlalamikaji na mwananchi mlalamikaji mtawala nan sas
@ilynpayne749111 күн бұрын
Kazi ya RC na DC ni nini had anakuja waziri mkuu 😢
@saudmohammed339011 күн бұрын
Woooooote wizi tu dawa ni kufuza kazi ili iwe fundisho kwa wizi wengine
@bakarikasimu-gn8xj12 күн бұрын
Viongozi wa wilaya walijua Waziri hatayaona hayo madudu
@godsonrwegasira441412 күн бұрын
Tatizo hao waalim wanabanaga sana mm mwenyew fundi wa vioo lakin dirisha anakwambia linabdi likamilike kwa sh. laki mbili wakat we umempa gharama ya lak 280, fundi mwenye njaa anapokea kaz afu analeta baadh ya vitu hakuna hapo mh angekagua na size ya kioo unaeza kumbana na mm. 4
@japhetygodfrey92111 күн бұрын
Mheshimiwa wabane kabisa hao wsmezoea kupita njia zamkato mungu akupe wepesi kusimamia majikumu yako
@mwanaafrika_tz11 күн бұрын
Sa mkurugenzi kazi yake nini😂😂
@Mckiatu11 күн бұрын
Mheshimiwa naomba hii tenda ya furnitures pleas
@peterchesam573711 күн бұрын
Duuu hao waongo Dirisha lipi la Aluminium litawekwa bila Wavu haalfu useme utaweka tena???
@yohanamuumbe462812 күн бұрын
Kwanini mh. Waziri mkuu. Havai nguo za ccm na watu wengine wavaa nguo za ccm kwa maendeleo ni ya chama au ya wananchi wote wa Tanzania!
@andrewjohn930811 күн бұрын
Bongo bwana hii nchi Kazi ipo
@ilynpayne749111 күн бұрын
Daah viti vipya vimesha pasuka😂
@husseinkarim766310 күн бұрын
Desk hilo sh 65000? Ni wizi halifiki sh 25000 kama mbao mzuri
@antonjohn13412 күн бұрын
Yaan nchi yetu bwana vichelesho yaan vitu kama hivy nimpaka waziri aseme kweri duuh
@butogwabuyegi276312 күн бұрын
Kwani hakuna mkuu wa wilaya au wa mkoa mpaka Waziri mkuu aje tumwogope Mungu jamani
@festohaule971612 күн бұрын
Kazi ni uchawa tu.. kazi ahaaaa..Pesa zipo kwanini Hatuwezi kujenga Nchi yetu pasipo dosari!!!!
Пікірлер: 238
Yaani ukaguzi wa ubora wa majengo na vifaa Hadi waziri Mkuu..... Watz tunajiaibisha kiasi Gani.....hiii ingefaa iwe kazi ya mtendaji wa Kijiji....Mahalia tu kama tungejua tulitendalo
@nsajigwamwakalonge5702
12 күн бұрын
Mpaka mtakapobadilisha mfumo
Kama wewe ni team magu gonga like hapa kwa majaliwa! Tunaweza kumuona uncle magu ndani yako
@hamisimuhunzi7916
11 күн бұрын
hakuna kitu hapo ni changa la macho tu..PM atakagua madirisha mangapi nchi nzima!!
@salimalaquimane3077
10 күн бұрын
Alikua zaman Amna kitu hapo
Hongera sana Mheshimiwa Mungu akuepushe na mabaya yote.
Hii Nchi kuna shida Sana, Hadi aje MP, wakati hapo wilayani kuna DC, Takukuru na watu wengi kabisa. Sijui tutatoka lini kny huu ujinga
@piusmdoe3200
12 күн бұрын
Wote ulipwataja wspigaji
@abdallahdataguy
12 күн бұрын
changamoto sana
@ramadhanishamtandulo1510
11 күн бұрын
Dah..alafu vitu ambavyo vipo obvious haviitaji kuwa professional
@benshark3212
11 күн бұрын
MP au PM?
@mochemba
11 күн бұрын
Hata mm hiki kitu huwa kinanikera Sana Sasa hawa viongozi watakuwa wanafika kila kona jmn kwa nn mali ni zetu jengo ni la watoto wetu, mradi wowote ule ni wa ndugu zetu kwa nn tunakuwa tunafanya ujanja ujanja kila sehemu, piga hela Lkni fanya kitu kionekane basi hata mtu akija anaona kweli kazi imefanyika. Watanzania tunajichelewesha wenyewe baadae tunalaumu oh Rais Rais kafanya nn, kumbe shida iko kwetu
Ni jambo la kusikitisha waziri mkuu kusimamia fundi😢 Kuna haja ya kutafuta kiboko kitakachowafanya watanzania kuwajibika na kuwa waaminifu.
@allymoshi2053
11 күн бұрын
Hiyo bado sio suluhu watu wanaopewa kazi hawana uwezo wa kudeliver kk kazi haziangalii uwezo wa mtu kinachoangaliwa unajuana na nani ndio tatizo sana la nchi yetu
@fabianalfredy5557
11 күн бұрын
Kweli waziri mkuu. Ndiyo anafanya kazi hiyo kweli? Delegation siyo nzuri.
@upendoeliya9329
10 күн бұрын
Ukileta kiboko yao wanamuua
MAJALIWA, UTAFANYA KAZI NGAPI BABA WAKUU WA MIKOA WAKURUGENZI WAPO WAKUU WA WILAYA WAPO LAKINI MPAKA UFIKE WW DU, WATAKUCHOSHA BABA
@songombingo108
11 күн бұрын
Siasa baba... Siasa😂😂😂
@fabianalfredy5557
11 күн бұрын
Kweli!! Wanafanya kazi Gani?
Tumebaki na viongozi wachache sana wa aina hii.hongera sana waziri mkuu
Majaliwa Kama yupo bado iringa afike na stendikuu yamabas iringa 😂😂😂😂
Hao ndo watanzania eti wanataka maendeleo wakati ata uzalendo hawana tena kwa watoto wao
Ila vyeo vingine bhana mkuu wa mkoa anakazi gani sasa! Ikiwa mpaka waziri mkuu ndiyo aje kuhojiana na mafundi/contractor kweli🤔🤔🤔?. Hayo alitakiwa ahoji mkuu wa mkoa ni aibu sana.
@mupinimulila1762
12 күн бұрын
Nyie vimajitu vichwa ngumu, amutaki kurahisisha mambo.
@itiamekimbui722
12 күн бұрын
this is the problem we have in Africa
@IsayaFidelys
12 күн бұрын
Hapo ndo swali.lilipo.??
@nsajigwamwakalonge5702
12 күн бұрын
Watanzania wenyewe mna safari ndefu
@stevenmabungi3245
11 күн бұрын
Mkuu wa mkoa ni mbali alitakiwa ahoji mtendaji wa kijiji tunajidharirisha sana watendaji tunaopewa mamlaka na serikali
Sasa viongozi wa mikoa wako wapi? Mpaka aje waziri mkuu ndio ayaone hayo!!
@philemonmagesa5548
11 күн бұрын
Hapo ndo uone uozo wa nchi yetu hao wakuu wa mikoa sijui huwa wanafanya kazi Gani mpaka aje waZiri kugundua matatzo
Hongera sana waziri awo wakipishwa tu wanaona serekari yao wanyoshe mkuuu
Hongera majaliwa mungu akubariki thawabu ipo mbinguni
Mashaaalah waziri mkuu,asilete janjajanja
@nsajigwamwakalonge5702
12 күн бұрын
WATANZANIA MNA SAFARI NDEFU KAMA WAZIRI MKUU ANAENDA IRINGA KUKAGUA MILANGO NA FREMU!
@fettiemaganza1484
11 күн бұрын
@@nsajigwamwakalonge5702ifupishe tu hakuna tatizo
Kwa Hali hii waafrika kuendelea itakuwa ngumu mtu Hadi usimamiwe na kiongozi
Mh majaliwa hongera kwa kazi nzuri hapo mkandarasi na afisa elimu wote wapigani ni wezi tu kazi yao ina mashaka sana
Wanachezea sana pesa za serkal ,Yaan dawat lmepasuka hata haljatumika , hivi Elmu yetu ni shda au ipoje ? Kwann mtu ni kiongoz hajtambui majukum yake , had waje viongoz wa juu wakosoe mirad namna hii jaman, Pole PM Kwa kaz nyng na hongera Kwa kubain uzembe wa viongoz ngaz mikoa na wilaya.
Mkuu Wa mkoa hawana kazi funuza anpokea pèsa za Bure hakanguwi miladi
Lema anavituko Sana Eti Majaliwa anapaka Pico 😂😂😂😂
Asante sana mweshimiwa waziri mkuu
Safi Sana PM
Hongera sana mheshimiwa majaaliwa
Big up big up waziri mkuu mungu akulinde wanakuangalia na jicho mbaya wasifanikiwe
Hii nchi bhana. Ina maana hakuna wakaguz, hakuna, Mkurugenzi, msimamiz wa mrad, Dc, Rc. Hadi waziri mkuu
Wzr mkuu wa sasa sio sawa na yule wa kipindi cha RAIS DOCTAR JPM kama unakubaliana na mimi gonga like hapo chini
Engineer wa ovyooo sanaa
@YOSHUAMWAMPETA
12 күн бұрын
KABISAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA
@mamodelmam
12 күн бұрын
Yani ongea yake tu unajua ni mwizi mtu ata sauti haitoki anakazi ya kumung'unya maneno
Mungu akulinde pm.kwa kilolo Kuna mradi wa maji kata ya uhambingeto wa bilioni 2.25.tuma watu wako waukague kimyakimya.matenki ya zamani yanapakwa rangi kuonekana mapya.karibu Sana Baba kwetu.
jpm namba 2.hongera sana.ndoo ujue wapigaji wapo kila kona kila mahali.tunajua sisi wanainch mkuu wa mkoa ni mmoja Paul makonda.lakin mafisad wanampiga vita kweli.na fikili kwa arusha huna tabu napo.maana yupo kiongoz mzalendo.
Ninachokiona watu hofu ya Mungu hawana hata kidogo Mwenye kumuhofu.wenyezi Mungu hawaezi fanya ubaya huo hatakama pesa sio yake
@lukasmgaya652
12 күн бұрын
ofu ya Mungu ya nn aisee Acha ujinga kwa sababu hofu ya Mungu hiusiki na chochote Miht.19 2.Tena siyo vizuri roho ya mtu ikose #maarifa
@DeogratiusAndrew-zi7zv
12 күн бұрын
Unajua nimekuona wewe ni mjpumbavu sana , na ujinga unao wewe kwani hata maana ya andiko umeweka hujui , kuwa na adabu ,
Watanzania tunapenda kujiibia wenyewe,afisa elimu anapokea vifaa ambavyo havina ubora. Na anaacha viendelee kuwepo sehemu husika. Me nazani,wanajeshi wapewe hizi kazi za jamii.
WaTZ bado wapo kwenye usingizi wa pono, wakati waaKenya tunawabana wanasiasa wao wanakubali kuchezea vibao kata tu na wanasiasa😂😂😂😂😂😂
Kaka mkuu wanchi nakukubali sana yani ikiwezekana gombea URAIS naamini utapata
Hongera sana sana mheshimiwa Waziri Mkuu mana bila uzalendo wa dhati hatuwezi kuendelea
Huyu kibonge wa CCM ndiye alikuwa anatrend akibwabwaja ubaguzi wa vyama..
Tatizo ni mfumo wa serikali yetu kuleana kwingi majitu yanaiba sana sababu yanajuwana yote majizi mtoto umuleavyo ndivyo akuavyo hata hayaogopi kuiba
@chingaboy1149
11 күн бұрын
😂😂😂😂😂mmi langu jicho tu hii inchi ukijifanya mjuaji yanakukuta yahasani
Majariwa anaonekana siku moja atakua rais mi namuelewa sana( amenuna kazini)
Mkuu wa mkoa una kazi gani mpk aje waziri mkuu. Tumbua wote hapo kuanzia mkuu wa mkoa, tawala, mkurugenzi, mkuu wa wilaya wote
Unaweza fikiri una wawakishi kumbe mizigo.Dawati kama yaliletwa na kichaa.Hatari sana.
Majaliwa Rais, Jafari jafo Waziri mkuu alafu Paul makonda tunamuweka waziri wa Miundominu naiona Tz inakuwa Hong kon after 5 years later.
Magu wapili sasa uyu tumpe nchi tu
Uwa nasshindwa kuelewa hivi mkuu wa Mkoa na WA watawa WA wilaya uwa wanafanya Kazi gani Ni Kwa nini wasifungwe ? Watoe lipoti ya kila mwezi ndio itajulikana ,na pia sio mpka Waziri mkuu afike kukagua.
Waziri mkuu. Inafaa utembelee miradi nchi nzima. Miradi ni mibovu sana.
Watendaji wanaiangusha sana hii serikali!..Hizi kazi zinatakiwa zisimamiwe vizuri na wakuu wa idara bila hata kusubiri Waziri Mkuu kuja kuibua madudu!! Inasikitisha sana watu wanalipwa mishahara halafu hawawajibiki kwenye nafasi zao!!
Pole sana Mh. Waziri Mkuu. Unateswa na falsafa ya umasoko inayoendesha Serikali. Tukobadilisha falsafa utaondokewa na ubadhirifu, wizi, na uadilifu utaongezeka.
Huyu anatakiwa awe rais ndo atainyoosha nchi hii maana majizi tomach
aisee tuna kaz ss waafrik,..njaa tunaendekez sana.
Hivi Hawa watu hata kudanganya hawajui duh!kitu kinaonekana bado wanadanganya wape za uso hao
Kama Mkoa tunaviongozi wengi inakuwaje mpaka madawati aje akague Waziri Mkuu... Afrika kitovu changu pole sana!!!!! Kazi ya uchawa tu kufanya kazi njema ahaaaa!!!!!
Mtakoma mmezoea kuiba
Naomba ufike na kitowo wananchi wanaushi Kama wakimbizi mtendaj anawapiga viboko wananchi Kama watoto wanawalipisha fedha kwa makosa madog madogo rushwa
Huyo jamaa anaeulizwa akili hana anakwambia meza zilikua nzima ety😂😂
Mm ktk moyo Wang nnaiman utakuj kuwa rais wa nchi hii
Hivi kwani kwenye hii miradi ya serikali si huwa na BOQ kwamba constructor anatakiwa kufata aligned specifications and qualifications? Kwanini ya natokea haya yote na kuna consultant wa serikali anaecontrol yote hayo?
Yani tunaitaji wasimamizi kutoka Dubai waje wawe wakuu wa wilaya na mikoa na mawaziri
Itapendeza ufanyike ukaguzi wa shule zote na madudu utakayoyagundua yatakushangaza ni watu wasio na utu.
Majaliwa kwann sikuizi huwatii viboko Tembea na kiboko sasaivi mkuu
hongera mheshimiwa kwa ukaguzi makin
Fanya kazi mh waziri mkuu,huku kwenye halmashauri Kuna madudu mengi sana yanafanywa na wakurugenzi kwa makusudi wakijuwa hakuna wa kuwashughulikia .wewe ndio tumaini letu PM
NINGEKUWA mimi nawatimua KAZI HAWAPATI HATA KIINUA MGONGO INAKUWA AMRI NA SHERIA
Tanzania yetu jamani kilakitu wanachakachua, wizi mtupu!! Mungu aturudishie roho ya utu!
Hapo kuweka wavu kipengele maana inaonesha jamaa hakuweka hesabu ya wavu.unawaza kama ingekua nyumban kwake angefanya hivo
Uliza dawati moja bei yake utakimbia yaan hii nchi ni mm tu sio mwz
Watanzania wengi hatujui tulitendalo jambo dogo hata mjinga analiona lakin mpka aje kiongoz wa juu hivi tunakumnwa na nn ni rushwa au tuwajinga hatudhamin mali zetu tulizojengewa na serikali daah
Piga kaziii Mheshimiwa Waziri Mkuu MUNGU BABA wa Mbinguni Akubariki Sana
Hivi unawezaje kumsimamisha kazi Mkurugenzi, Mhandisi na Afisa manunuzi halafu ukawaacha DC na RC kwa wizi na ubadhirifu uliotokea ktk miradi iliyo ktk eneo lao la utawala? Na haya matatizo ya kula fedha za miradi na miradi kuachwa hivyo hivyo bila kukamilika yako kila wilaya na kila mkoa. Na ulaji huu unawahusisha hadi ma-DCs na ma - RCs. Hawa ma-DC na ma- RCs ndiyo wenyeviti wa kamati za ulinzi za wilaya na mikoa respectively. Maana yake ni kuwa vyombo hivi PCCP na POLISI ambavyo ndivyo vinavyoshughulika kuchunguza na kuchukua hatua za wizi na ubadhirifu viko chini ya hawa. Tunategemea watafanya nini kama hawa mabosi wao yaani DCs au RCs ni washiriki wa wizi au ubadhirifu huo? Waziri mkuu naye hata halioni hili. Eti anampa jukumu DC au RC mshiriki wa wizi na ubadhirifu kusimamia uchunguzi. Si ataandaa ripoti feki kwa kujilinda yeye mwenyewe? Tukubali kuwa kuna tatizo ktk mfumo wetu wa utawala. Na hiki ndicho chanzo cha mkwamo wa maendeleo yetu. Kwa hiyo hapa Waziri Mkuu anatwanga maji kwenye kinu tu. Ataondoka na mambo yatabaki vilevile tu. Tutengeneze mfumo mpya wa utawala unaoleta uwajibikaji wenye tija!!
Mpaka waziri mkuu hamna viongozi wengine jmn
Kweli punda haendi mpaka kwa magongo jamani😢😢😢.ivi inakuwaje watu mnakula tu hela kila kukicha watu hawahanyi wajibu wao lazima washikiwe magongo jamani 😢😢😢😢😢 inauma mno
Bado kuna tabu ya usimamizi wa utekelezaji wa miradi ya selikari
Hiv kweri waziri mkuu ndo akakague hali hii wasaidizi wachini wako wapi? baba Mungu akutunze
Hii nchi ngumu sana, hivi kweli kwa mambo haya tutuaendelea kweli???
Ujue kuwa watu wanachekesha kweli😂😂😂😂😂
YAANI WATU WANATIA AIBU SANA ET WIRE NI DIFFERENT CONTRACT🙌🏻
Hiii inaonesha wazi kwamba. Hamna haja ya kuwa na wakuu wa wilaya , na wa mikoa ,kama waziri anatoka huko kote anagundua mapungufu , wao wako wapi, kwakweli kazi ni ngumu sana
Watanzania shkamooooo🙌🙌🙌
@YOSHUAMWAMPETA
12 күн бұрын
MARAHABAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA.
@upendoeliya9329
10 күн бұрын
Marahaba mwanangu hamjambo!!!!😅😅😅 Haya ni matokeo ya ajira za kujuana na kutoa kitu kidogo 😂😂😂😂.
ASANTE MKUU KWA KUFUATILIA, MOYO UKIWA MWOVU MATENDO YOTE YANAKUWA KAMA MOYO WAKO.. WATANZANIA MMM! UKIFUKUZWA KAZI NDO UTAIONA THAMANI YA KAZI HIYO
Hii ndo Tanzania ya ccm Kama viongoz wakubwa ni waiz,Hawa wachin nao ni walewale tu mtoto wa nyoka ni nyoka tu ndo maana ni Tanzania tu dunian kote barabara znavirakavraka Kama chatu,na kiraka kimoja nasikia kinawekwa kwa milion mia tatu
Piga chini hao ni bora mgetuajiri sisi mafundi local tunafanya kazi nzuri kuliko hao mnaowalipa hela nyingi
@tztanzania2262
12 күн бұрын
Shda hatuna mitaji tu maana malipo ya serikali mpaka ukabidh kwanza Sasa kwa mitaji yetu 😢😢
Wakati uchakachuzi wa Mali ya selikari unafanyika mkuu wa mkoa yupo mkuu wa wilaya yupo ujuwe Hawa wanachangia maana haiwezekan kila uharibifu hadi waziri ndo Aubain Hilo rais wangu kwakweli liangalie Hawa viongozi watakuangusha kwenye uchanguzi wamekalia nafasi na kutokuzitumikia sawasawa ilbidi Kayla ya kuwafukuza wakandalasi waaziwe wao
Ifike Mahara Tumsaidie Mheshimiwa Raisi kwa kua wazalendo..zamani tulikua tunalalamika pesa haifiki saivi zinafika watu Mnachota Chota sio sawaaaa..kabisa
Watanzani wenye vyeo ujauja tu kila Kona utapeli bira kuwafatilia niwizi tu
Moja Kati ya vitu ambavyo serikali inafeli Ni kutokuunda monitoring and evaluation body ambayo inapaswa kufuatilia kwa ukaribu huu utendaji kazi! Haya ambayo Leo hii yanafanywa na waziri mkuu yamesababishwa na serikali yake mwenyewe! Mifumo ya utekelezaji wa miradi ya serikali Ni mibovu na tunaiacha hivyo hivyo alaf tunategemea tuje mwishoni kuweka mambo sawa! This is not okay! Hapa Ni siasa tuu zinatumika. Tubadilishe mifumo M&E ziwepo katika utekelezaji wa miradi katika Kila sector! Tutafanikiwa kwa kiwango kikubwa
Wawajibishe mkuu nakukubal sana wazir mkuu wang chapa kazi
Sasa hamuwapi adhabu inamanagan kutuonesha kasoro yani viongozi mlalamikaji na mwananchi mlalamikaji mtawala nan sas
Kazi ya RC na DC ni nini had anakuja waziri mkuu 😢
Woooooote wizi tu dawa ni kufuza kazi ili iwe fundisho kwa wizi wengine
Viongozi wa wilaya walijua Waziri hatayaona hayo madudu
Tatizo hao waalim wanabanaga sana mm mwenyew fundi wa vioo lakin dirisha anakwambia linabdi likamilike kwa sh. laki mbili wakat we umempa gharama ya lak 280, fundi mwenye njaa anapokea kaz afu analeta baadh ya vitu hakuna hapo mh angekagua na size ya kioo unaeza kumbana na mm. 4
Mheshimiwa wabane kabisa hao wsmezoea kupita njia zamkato mungu akupe wepesi kusimamia majikumu yako
Sa mkurugenzi kazi yake nini😂😂
Mheshimiwa naomba hii tenda ya furnitures pleas
Duuu hao waongo Dirisha lipi la Aluminium litawekwa bila Wavu haalfu useme utaweka tena???
Kwanini mh. Waziri mkuu. Havai nguo za ccm na watu wengine wavaa nguo za ccm kwa maendeleo ni ya chama au ya wananchi wote wa Tanzania!
Bongo bwana hii nchi Kazi ipo
Daah viti vipya vimesha pasuka😂
Desk hilo sh 65000? Ni wizi halifiki sh 25000 kama mbao mzuri
Yaan nchi yetu bwana vichelesho yaan vitu kama hivy nimpaka waziri aseme kweri duuh
Kwani hakuna mkuu wa wilaya au wa mkoa mpaka Waziri mkuu aje tumwogope Mungu jamani
Kazi ni uchawa tu.. kazi ahaaaa..Pesa zipo kwanini Hatuwezi kujenga Nchi yetu pasipo dosari!!!!
Waongo hao wameshapiga hela zao
Watanzania mnaiba Hadi aibu!