Asante kwa kuwasaidia jirani zao neno laMungi lasema mpende jirani yako kama nafsi yako. Tunawapenda Wakenya
@annmuriithi170128 күн бұрын
Amieli katekela alisema haya mambo unasema na akasema siku zimekwisha kurundi kwa yesu mara ya pili kumekalibia kwa hivyo tukeshe tukiomba
@collinscareen7245
24 күн бұрын
Una uhakika Mwinjilisti???hahahah
@mengindegeya278028 күн бұрын
Brother mungu akusaidie watu wakuelewe maana hali tete!!!
@TatuOmar00123 күн бұрын
Mimi ni mkenya nakubaliana wewe mtumishi wa Mungu 🙏👍👏👏👏❤
@nancykirigo587428 күн бұрын
Wacha uongo Pascal mtumishi nakupenda please keep off this heavy taxes to Kenya's ushoga ulipitishwa.
@nemuelochego415724 күн бұрын
Hii Ni uongo Paschal...We are Kenyans and we know what is behind Kenyan protests
@peterpreacher202528 күн бұрын
Mimi kama mkenya na mkristo ninayekupenda,kwa mara ya kwanza nakupinga kwa hili,,,natamani ungeishi kenya ukaelewa ugumu tulionao hasa kwa hili la finance bill,,,na nakuomba ukipata nafasi jisomee hiyo finance bill mwenyewe uielewe,,,na habari ya ushoga naomba ujue Ruto ndiye anayejipendekeza pakubwa kwa marekani kuhusu hili,,,,hapa mtumishi umeenda sana,,,, tunaelewa tunachopitia
@alicejumaa89
28 күн бұрын
Huyu jamaa views na likes zinampotosha siku hizi ..kusifia viongozi wajinga ashazoea.
@adylineamutamwa95928 күн бұрын
Huyu ruto alipochaguliwa n Mungu alirudi kusahau Mungu wake Sai amemezwa na dunia kwa hiyo wakenya tumuombee Sana asiendelee asikubali
@FruitfulMpanduji
15 күн бұрын
Wake ya tubuni Kwa ajiri ya nchi yenu . Mnadanganywa kumchukia raising wenu..msikubali kuuwanavnyiyi Kwa nyinyi ..na wakubwa wenu wanalundwa na mabodigard
@Mwasame_Official122 күн бұрын
Ushoga ni Kenya uongo ni Kenya 🇰🇪 uuaji ni Kenya 🇰🇪 Kenya wanamdanganya hadi mungu ooooh cassian mambo ya Kenya huyawezi ulikua wapi walipo pitisha hii sheria 😂😂😂😂😂😂
@SuzyDidas28 күн бұрын
Mtumish unayoyasema ni kweli kabisa maana vitu vinavyoendelea sasa havieleweki kabisa
@jestinakalage144228 күн бұрын
Ubarikiwe sana kwa ufafanuzi huu:: MBINGU zizidi kukulinda
@enochzakayo24 күн бұрын
very true mchungaji coz those guys had the flags to support during demonstrations ,Mungu tuhurumie kabisaa
@user-lx1vn4bq8j28 күн бұрын
Sema yòte juu wakenye wamesahau chakufanyaa na wanakufa na hawaoni kwamba wanaharibu maishayao
@alicejumaa89
28 күн бұрын
Kina nani hao wanaoharibu maisha yao.. pambaneni na tz yenu acheni udaku. Nonsense
@emmanuelodiga902023 күн бұрын
Habari Mtumishi, kwenye ili fatilia vizuri, mahakama ya Kenya ilipitisha sheria ya Ushoga na adi leo ni sheria na inafanya kazi. Pia GMO ruto ndie alieleta wakishirikiana na Bill Gates, kwa hiyo utetezi wako kwa ruto haiko sawa. Fanya utafiti vizuri
@faithmutua7728 күн бұрын
Nikweli mtumishi 🙏🙏🙏
@user-lx3bw1uk3e28 күн бұрын
Ruto alipo pata urais ushoga ulipitishwa sai watu wanaandamaana na uchumi ndio uko juu sana lakini si ushoga,ushoga ulipitshwa mwaka jana.
@alicejumaa89
28 күн бұрын
Aliyeulazimisha ni huyo nabii Ruto 😂😂😂
@dimojaydan634424 күн бұрын
AMEN mungu akuinue zaidi
@SuzyDidas28 күн бұрын
Mungu atuhurumie jaman
@user-lx1vn4bq8j28 күн бұрын
Amen lord
@marrymakoi158817 күн бұрын
Hakika huyu ndiye mtumishi. Barikiwa uongezeke baba
@marrymakoi158817 күн бұрын
Wakenya jirani zetu kamani acheni vurugu mtaisha roho zetu zinauma sana. Kumbukeni nchi nyingi za Afrika anakabiliwa na hali ngumu ya maisha sio Kenya tu watu wanapambana na maisha na sio kukaa barabara kwa maandamano.
@user-qk9iz5lt8q23 күн бұрын
TULIA KWANZA MSIKILIZE SANA ROHO WA MUNGU USISIKILIZE WATU NA. MITANDAO, NDIPOSA ULETE SOMO LENYE MASHIKO, NA KUWA MSAADA KWA JAMII NA TAIFA NA ULIMWENGU MZIMA , TUNAKUPENDA SANA
@elishamalunde110623 күн бұрын
Ningumu mashoga kumuelewa mtumishi casian
@JosphatChai-om6lt22 күн бұрын
Hakuna kitu unajua kuhusu Kenya kuwa mpole mchungaji
@user-mo6hw6fx4s28 күн бұрын
sema mtumishi iliwapone 😢😢
@NzukoMwenge28 күн бұрын
Hizo ni pigo kwa rutho ili Aachekuingiliya vita vya Congo n'a ku chekeleya Congo hiyo nionyo Mungu anamupa arudiliye njiya sahihi mchungaji . Sio mambo ya ushoga Mungu anaendeleya kuteteya Congo 🇨🇩
@alicejumaa89
28 күн бұрын
Ushoga aliyeuleta Kenya ni Ruto. Huyu mtumishi hajui anaongea nini. Uhuru Kenyatta alishaukataa kitambo.. anataka ruto ampe pesa sahau hiyo.
@marrymakoi158817 күн бұрын
Sawa kabisa mtumishi wa Mungu ni kweli Ruto anateseka sana lakini Mungu atampigania atavuka tu
@janemwangi1288
15 күн бұрын
Apitishe mashoga abarikiwe?
@Mwasame_Official122 күн бұрын
Hapa Kenya 🇰🇪 nikwetu na ushoga ulipitiswa hadi pendera inapeperwa iko juu cassian sisi ndio tunajua haya rais ako chini ya maji alikubali haya yote hadi amepewa pesa na hayo mataifa cassian ooooh nakupenda lakini haya uyanenayo yamekushinda Acha mungu anayajua yote kuliko wewe😢😢😢😢
@wairimukimiri160321 күн бұрын
Mm ni mkenya na usiongee uwongo please, ruto alipitisha sheria ya ushoga kenya, angalia Uganda hakuna ushoga, Ruto anapitia haya yote juu ya ushoga aliptisha na Mungu hapendi uchafu
@owenomwanawayesu696128 күн бұрын
Mtumishi Pascal nakupenda sana lakini wacha kumtetea Muongo,Mfisadi…maana anawaonga wajumbe wapitishe miswada bungeni,amekuwa na kiburi…anavaa saa ya million kumi iwe aje!huo ni ukiristo?
@shukulanigodwithyou789819 күн бұрын
Ruto mwisho atahukumiwa ayache kuunga mukono ku wenye wNashamburiya Congo kupitiya chama cha ugaidi cha m23 kagame na museveni
@brianshomi72225 күн бұрын
Watakaokupinga ni waliopo gizani TU😢
@Maryc2G20 күн бұрын
Mungu atampiganie Rais Ruto, amtegemeae bwana hawataaibika kamwe. Ruto Mungu yuko upande wake, pastor umesema ukweli kabisa, Ushoga ndio Agenda. Nasimama na Ruto na wewe
@marymutavi17 күн бұрын
Ruto alipitisha hio ushoga hakukataa😢😢
@mtumewawengi_onlineTV23 күн бұрын
Mbona uganda mseveni hajakubali na bado hawana maandamano
@nurumwita9034
22 күн бұрын
Museveni hajaokoka
@GiliardKashimba19 күн бұрын
Ndio nimekwelewa sasa hivi lakini mwanzoni ulikwaunasema kama mwana siasa
@Shokolokobango938523 күн бұрын
Kama ingekua Africa tunaweza kujitawala bila kutegemea misaada yao wasingeweza kuchochea vurugu
@collya455119 күн бұрын
Uongo.. huo . Sisi wakenya tunapigania ushuru umezidi huku kenya
@mohamedikinu950221 күн бұрын
Nchi yeyote ambayo ina uhusiano na Marekani ujue ipo kwenye ajenda ya ushoga unakosea mtumishi
@PaulinaNyanzalashija20 күн бұрын
Na huko kenya panakuhusu cassian achana na nchi za watu huko kenya kuna manabii kokii
Ruto aliuza kenya na ushoga ashapitisha.wamtetea nini?
@dorcasmukhanji523116 күн бұрын
Wewe muongo Ruto ni mja Mungu wapi? Ruto;;;,,,,,,Mwizi Ruto, , Muongo Ruto,,,,,,,,mnafiki Ruto,,,,,likes revenge Ruto,,,Soho mbaya Hizi sofa zote hata ashetani anashangaa
@happnesskitumbo571325 күн бұрын
Walio wa rohoni wanaweza kukuelewa.
@dfremac24 күн бұрын
WW NILIKUWA NAKUPENDA BT UMEANZA KUONGEA UONGO MKUBWA KEEP OFF KENYA LINE. HUJUI TUNACHOPITIA WEWE.
@babugilbert692228 күн бұрын
Kitu Cha kwanza Ruto anaunga mkono ushoga ndio maana korti ya Kenya ilipitisha huo mswada wa ndoa za kijinsia Uhuru ndio alikataa wewe mtumishi hapo nimekukosoa
@janemwangi128815 күн бұрын
Ruto ameshapitisha lgbtq kenya.mbona wadanganya?raira na uhuru ndio wachocheao but ushoga umepitishwa na huyo huyo ruto.
@fridalyanguka173322 күн бұрын
Watu weusi mrudieni Muumba wa kweli (Loba)
@shukulanigodwithyou789819 күн бұрын
Ruto arifanya kosa kusikiriza shauli ya ndugu yake Kagame yeye arihuriza kagame vipi Rwanda anaendereya akamwambia kuhusu kodi enda ugapandisha kodi kuwana inchi soyo ushoga sababu nirafiki na wakubua ya washoga usiseme yivo , na yiko anamusikiriza sana na kagame ni mutu wakuraaniwa Mungu anataka amuhukumu kwadamu arie mwaga , sikiya nathani si mars yakwanza wanageshi wako Congo kuunga mukono mageshi yarwanda hiyo nikosa kubua Mungu anataka ahukumu na wewe hukataa wewe ninani mbere ajirepushe namambo yakuunga mukono m23 inayo wuwa nana inchi ya CONGo
@TumbaMbayo21 күн бұрын
Ruto muizi toka kule weye mujinga
@silivestatesha926220 күн бұрын
Anapinduliwa sasa hana muda atakimbia kenya huzakayo
@benjaminwafula28 күн бұрын
Mtumishi wa mungu siku zote twakufatilia vzr sana unatupa neno na mafundisho mema sana lkn kwa hili umenoa tazama ww hapo ulipo nji yako imetulia hakuna ushoga na kama upo n ule wa kujificha tu huku mambo n live alafu sasa hii kitu imefanya wakenya waandamane sio ushoga n uchumi na huyo mswada wake angelikua anawapa wakenya nafasi na kuwaskiliza hayo yote yasingetokea lkn kwa yy kua kichwa ngumu ndio unaona vitu kaa hv kwanza kbs tengeza kwako anza na kwako ww kama kiongozi uone hili jambo linafaa kama linafaa lisonge mbele kama halina maana life kingine waingeza watawezaje kuwashawishi wakenya wote kufanya maandamano wakati yy ndie huenda huko na sio ss wao hata hawatujui labda wangempa supot yy kwa kila kitu anachotaka kiwe waingeza hawana mda ya kuwashawishi wana nji labda kiongozi na sio wana nji
@shigongoshuli6320
28 күн бұрын
Yamkini kuna kitu nyuma ya huo mswada.Yamkini misaada ya nje mfano mikopo imezuiliwa kwa kutokubari mashariti hayo ya ushoga na yamkini ugumu wa maisha umeanzia hapo hatimaye miswada ya kuumiza inaibuka .you never know😢
@owenomwanawayesu696128 күн бұрын
Ushoga ndio chanzo maana yeye ndiye aliruhusu mahakama kuu kuukubali.Anakataa hadharani na kukubali sirini. Ushoga ndio chanzo maana yeye ameukubali kisiri na akawa rafiki ya mashoga(USA).
@expertsmovespodcast183023 күн бұрын
Maraisi wengi wanaopenda kusafiri walikubari kisirisiri ,wameruhusu makampuni hayo kuingia na kupewa maiofisi ndani ya hizo nchi Ila Marais wanaongea kwa ku act kwenye vyombo vya habari kama wamekataa .
@badmeetsevil764321 күн бұрын
Zakayo mwengine huyu mnafik tu ww achana na kenya ww mchawi tu ww
@vomalizavomaliza74616 күн бұрын
Kwenda huko hunawaurinza wakenya nini
@alimau793921 күн бұрын
Kama ruto anapinga ushoga marekani ameenda kufanya nini wacha uboya ww
@user-tt1nm9xs4n
21 күн бұрын
Kweli alijipeleka mwenyewe
@EdwinEdward-ze2eq28 күн бұрын
Unajua mwanadamu uwa anaenda kichwa kichwa bila kujua tu
@benardcharo433227 күн бұрын
Je? Huyu Paschal anaroho wa mungu?
@Betty-bp4gp18 күн бұрын
NA VILE NAKUPENDA SURELY UNATETEA RUTO? UNATOA JA SHO BURE.DLT THIS THING
@renatus568721 күн бұрын
Ww nae uo ni upeo wako ndo umeishia hapo walofanya ukamjua mungu ndo unaowapinga maana hata bible ndo wameandika wao na Kenya maandamano ni kawaida Yao usije Fanya watu wakaacha kufanya kazi kisa tuko siku za mwisho usisahau mwaka 2000 pia ilikua mwisho wa Dunia iliishia wapi iyo
@rehemashariff311924 күн бұрын
Hakupiga wala kukubali yye
@dorcasmukhanji523116 күн бұрын
Wacha uongo
@alicejumaa8928 күн бұрын
Pascal cassian kabla ufanye video yoyote omba kwanza mungu akuongoze na wala sio kupayuka kwa kuwa uko na camera ikiwa hujui unasema nini na watu wanapitia nini hususan.. maana ni kiki unatafuta ndio ruto akupe pande lkn hata hujui shida ni nini. Ongelelea mwamposa wenu Kenya haikuhusu.
@user-zd9hy1yd7c
27 күн бұрын
Unakosea kusema ivyo
@caromafumbo608825 күн бұрын
Wacha uongo umelipwa
@michaelmwamanda841823 күн бұрын
Lakini na wewe nilopokajitu 😓
@petersaitotilaizar917627 күн бұрын
Nilikuwa nakuchukulia kama mtumishi but wewe nimtumishi mwango
@user-lx1vn4bq8j28 күн бұрын
Na ubarikiwe mutumishi wa mungu
@keruboirene28 күн бұрын
Leave the Kenyans completely,,,,,we were born with our understanding.... You have been exposing pastors and gospel singers so badly... *So you and Ruto are the only holy ones who fear GOD and walk in the ways of GOD.... right???*
@SuzyDidas28 күн бұрын
Sasa kama hatutanunua au kuuza tutafanya nn ss kama wakristo
@annmuriithi1701
28 күн бұрын
Hapo ndipo bibilia inasema atakaye fumilia mpaka dakika ya mwisho ataokoka heri kufa kuliko kuichukua hiyo machro chip ama hiyo namba ya huyo mtu kiongozi wa new world order
@annmuriithi1701
28 күн бұрын
Kufumilia mpaka kufa
@anntaaka563128 күн бұрын
Wewe pascal kasiani hua unaribia watu majina na watumishi wa Mungu kumbe ni content hua unatengeneza wewe ni shoga mwanzo alafu Kenya ifwate sisi tunapigania usharu Kenya alafu uje from no where eti tunapigania ushoga weweqe
@ministerwillan24 күн бұрын
Tafadhali mtumish nawe nakweshimu lakin umeanza kukosa maadil ruto alikubali ruto si mtu wa mungu kabisa you preach gospel what's you are saying ur wrong
@BerylSeer128 күн бұрын
Wewe wacha kuchafulia wakenya Jina, wewe unajua chenye kinafanyika huku,,, ebu mkuwe na information before mtengeneze video, Ata pesa haramu hazisaidii.... Videos mnatengeneza ndio mpate views na pesa, Mungu Aliye Hai awakemee!! Mimi kama mkenya sitaruhusu huu ujinga!!
@bonifacematuku2000
28 күн бұрын
Akome kabisa hatukubali ii ujinga kama wakenya.
@user-tt7cu2et1x
28 күн бұрын
Wew unayejuwa mbona usipige got kuombea inch yako na kiongoz yako..na cyo kujaaa mabarabaran kutukana matus mabaya je?Wew uko sahih
@user-tt7cu2et1x
28 күн бұрын
Mashogaa wengi utokea kenya..asa mombasa😢😢😢
@shigongoshuli6320
28 күн бұрын
Yamkini kuna kitu nyuma ya huo mswada.Yamkini misaada ya nje mfano mikopo imezuiliwa kwa kutokubari mashariti hayo ya ushoga na yamkini ugumu wa maisha umeanzia hapo hatimaye miswada ya kuumiza inaibuka .you never know😢
@danielgarry538
28 күн бұрын
Beryl kwa hiyo wewe huoni vita ni ya kiroho unaona maandamano na kumuondoa Ruto ndio itakuwa amani ya Kenya? Hapo angalia Sana usimhukumu mtumishi wa Mungu kwa haraka hebu chunguza vizuri....
@aliaden551214 күн бұрын
Watanzania elimu ndogo
@anntaaka563128 күн бұрын
Kumbe wewe muongo hivyo Mimi nilikua napenda kufatilia maneno yako nikidhani ni ukweli kumbe ni owongo kumbe ni content hua unatengeneza vile nimeona umetoa ujumbe wa uongo huu naku unfollow sai Kenya ushoga Ulisha kubalika sijwi waongelea Nini, kumbe wewe ni ovyo kiasi hiki ongea na ubaki uko uko Tz usitubutu kuja Kenya utabondwa hakuna siku nitasikiza maubiri yako ya content ovyo kumbe wewe ni bro wa Ruto
@GladTolage
28 күн бұрын
Sasa nyie ma commenter wenzangu huo uongo mnaousemea ni upi imani yenu ndogo Kama hamuelew mtuache tunaoelew
@enochzakayo24 күн бұрын
very true mchungaji coz those guys had the flags to support during demonstrations ,Mungu tuhurumie kabisaa
@GladTolage28 күн бұрын
Sasa nyie mnaosema ni uongo uongo gani mnaosemea kama hamuelew mtuache tunaoelew na sio kucomment ujinga nyie mnajikuta akina nani mpka mnamtishia mta unfollow umewah kumsaidia nn huyo.
@rehemashariff311924 күн бұрын
Huyu ruto unayemtaja hapo hujasema kiburi chake ndicho kinacho mponza anapoongea na wakenya mdomo yake mchafu yeye yanamkutu kwa kujisahau
@user-cw3vu8mu3k24 күн бұрын
Ruto alikosea kuruhusu kuandikishwa LGBTQ kuwa na uhuru kufanya mambo yao wew umekurupuka.
Пікірлер: 108
Asante kwa kuwasaidia jirani zao neno laMungi lasema mpende jirani yako kama nafsi yako. Tunawapenda Wakenya
Amieli katekela alisema haya mambo unasema na akasema siku zimekwisha kurundi kwa yesu mara ya pili kumekalibia kwa hivyo tukeshe tukiomba
@collinscareen7245
24 күн бұрын
Una uhakika Mwinjilisti???hahahah
Brother mungu akusaidie watu wakuelewe maana hali tete!!!
Mimi ni mkenya nakubaliana wewe mtumishi wa Mungu 🙏👍👏👏👏❤
Wacha uongo Pascal mtumishi nakupenda please keep off this heavy taxes to Kenya's ushoga ulipitishwa.
Hii Ni uongo Paschal...We are Kenyans and we know what is behind Kenyan protests
Mimi kama mkenya na mkristo ninayekupenda,kwa mara ya kwanza nakupinga kwa hili,,,natamani ungeishi kenya ukaelewa ugumu tulionao hasa kwa hili la finance bill,,,na nakuomba ukipata nafasi jisomee hiyo finance bill mwenyewe uielewe,,,na habari ya ushoga naomba ujue Ruto ndiye anayejipendekeza pakubwa kwa marekani kuhusu hili,,,,hapa mtumishi umeenda sana,,,, tunaelewa tunachopitia
@alicejumaa89
28 күн бұрын
Huyu jamaa views na likes zinampotosha siku hizi ..kusifia viongozi wajinga ashazoea.
Huyu ruto alipochaguliwa n Mungu alirudi kusahau Mungu wake Sai amemezwa na dunia kwa hiyo wakenya tumuombee Sana asiendelee asikubali
@FruitfulMpanduji
15 күн бұрын
Wake ya tubuni Kwa ajiri ya nchi yenu . Mnadanganywa kumchukia raising wenu..msikubali kuuwanavnyiyi Kwa nyinyi ..na wakubwa wenu wanalundwa na mabodigard
Ushoga ni Kenya uongo ni Kenya 🇰🇪 uuaji ni Kenya 🇰🇪 Kenya wanamdanganya hadi mungu ooooh cassian mambo ya Kenya huyawezi ulikua wapi walipo pitisha hii sheria 😂😂😂😂😂😂
Mtumish unayoyasema ni kweli kabisa maana vitu vinavyoendelea sasa havieleweki kabisa
Ubarikiwe sana kwa ufafanuzi huu:: MBINGU zizidi kukulinda
very true mchungaji coz those guys had the flags to support during demonstrations ,Mungu tuhurumie kabisaa
Sema yòte juu wakenye wamesahau chakufanyaa na wanakufa na hawaoni kwamba wanaharibu maishayao
@alicejumaa89
28 күн бұрын
Kina nani hao wanaoharibu maisha yao.. pambaneni na tz yenu acheni udaku. Nonsense
Habari Mtumishi, kwenye ili fatilia vizuri, mahakama ya Kenya ilipitisha sheria ya Ushoga na adi leo ni sheria na inafanya kazi. Pia GMO ruto ndie alieleta wakishirikiana na Bill Gates, kwa hiyo utetezi wako kwa ruto haiko sawa. Fanya utafiti vizuri
Nikweli mtumishi 🙏🙏🙏
Ruto alipo pata urais ushoga ulipitishwa sai watu wanaandamaana na uchumi ndio uko juu sana lakini si ushoga,ushoga ulipitshwa mwaka jana.
@alicejumaa89
28 күн бұрын
Aliyeulazimisha ni huyo nabii Ruto 😂😂😂
AMEN mungu akuinue zaidi
Mungu atuhurumie jaman
Amen lord
Hakika huyu ndiye mtumishi. Barikiwa uongezeke baba
Wakenya jirani zetu kamani acheni vurugu mtaisha roho zetu zinauma sana. Kumbukeni nchi nyingi za Afrika anakabiliwa na hali ngumu ya maisha sio Kenya tu watu wanapambana na maisha na sio kukaa barabara kwa maandamano.
TULIA KWANZA MSIKILIZE SANA ROHO WA MUNGU USISIKILIZE WATU NA. MITANDAO, NDIPOSA ULETE SOMO LENYE MASHIKO, NA KUWA MSAADA KWA JAMII NA TAIFA NA ULIMWENGU MZIMA , TUNAKUPENDA SANA
Ningumu mashoga kumuelewa mtumishi casian
Hakuna kitu unajua kuhusu Kenya kuwa mpole mchungaji
sema mtumishi iliwapone 😢😢
Hizo ni pigo kwa rutho ili Aachekuingiliya vita vya Congo n'a ku chekeleya Congo hiyo nionyo Mungu anamupa arudiliye njiya sahihi mchungaji . Sio mambo ya ushoga Mungu anaendeleya kuteteya Congo 🇨🇩
@alicejumaa89
28 күн бұрын
Ushoga aliyeuleta Kenya ni Ruto. Huyu mtumishi hajui anaongea nini. Uhuru Kenyatta alishaukataa kitambo.. anataka ruto ampe pesa sahau hiyo.
Sawa kabisa mtumishi wa Mungu ni kweli Ruto anateseka sana lakini Mungu atampigania atavuka tu
@janemwangi1288
15 күн бұрын
Apitishe mashoga abarikiwe?
Hapa Kenya 🇰🇪 nikwetu na ushoga ulipitiswa hadi pendera inapeperwa iko juu cassian sisi ndio tunajua haya rais ako chini ya maji alikubali haya yote hadi amepewa pesa na hayo mataifa cassian ooooh nakupenda lakini haya uyanenayo yamekushinda Acha mungu anayajua yote kuliko wewe😢😢😢😢
Mm ni mkenya na usiongee uwongo please, ruto alipitisha sheria ya ushoga kenya, angalia Uganda hakuna ushoga, Ruto anapitia haya yote juu ya ushoga aliptisha na Mungu hapendi uchafu
Mtumishi Pascal nakupenda sana lakini wacha kumtetea Muongo,Mfisadi…maana anawaonga wajumbe wapitishe miswada bungeni,amekuwa na kiburi…anavaa saa ya million kumi iwe aje!huo ni ukiristo?
Ruto mwisho atahukumiwa ayache kuunga mukono ku wenye wNashamburiya Congo kupitiya chama cha ugaidi cha m23 kagame na museveni
Watakaokupinga ni waliopo gizani TU😢
Mungu atampiganie Rais Ruto, amtegemeae bwana hawataaibika kamwe. Ruto Mungu yuko upande wake, pastor umesema ukweli kabisa, Ushoga ndio Agenda. Nasimama na Ruto na wewe
Ruto alipitisha hio ushoga hakukataa😢😢
Mbona uganda mseveni hajakubali na bado hawana maandamano
@nurumwita9034
22 күн бұрын
Museveni hajaokoka
Ndio nimekwelewa sasa hivi lakini mwanzoni ulikwaunasema kama mwana siasa
Kama ingekua Africa tunaweza kujitawala bila kutegemea misaada yao wasingeweza kuchochea vurugu
Uongo.. huo . Sisi wakenya tunapigania ushuru umezidi huku kenya
Nchi yeyote ambayo ina uhusiano na Marekani ujue ipo kwenye ajenda ya ushoga unakosea mtumishi
Na huko kenya panakuhusu cassian achana na nchi za watu huko kenya kuna manabii kokii
Ni kweli
Unatafta kutukanwa tuuuu, mambo mengne vungaaa, esatafrica uganda tuuuh ndo wamekataa ushogaa,
Ruto aliuza kenya na ushoga ashapitisha.wamtetea nini?
Wewe muongo Ruto ni mja Mungu wapi? Ruto;;;,,,,,,Mwizi Ruto, , Muongo Ruto,,,,,,,,mnafiki Ruto,,,,,likes revenge Ruto,,,Soho mbaya Hizi sofa zote hata ashetani anashangaa
Walio wa rohoni wanaweza kukuelewa.
WW NILIKUWA NAKUPENDA BT UMEANZA KUONGEA UONGO MKUBWA KEEP OFF KENYA LINE. HUJUI TUNACHOPITIA WEWE.
Kitu Cha kwanza Ruto anaunga mkono ushoga ndio maana korti ya Kenya ilipitisha huo mswada wa ndoa za kijinsia Uhuru ndio alikataa wewe mtumishi hapo nimekukosoa
Ruto ameshapitisha lgbtq kenya.mbona wadanganya?raira na uhuru ndio wachocheao but ushoga umepitishwa na huyo huyo ruto.
Watu weusi mrudieni Muumba wa kweli (Loba)
Ruto arifanya kosa kusikiriza shauli ya ndugu yake Kagame yeye arihuriza kagame vipi Rwanda anaendereya akamwambia kuhusu kodi enda ugapandisha kodi kuwana inchi soyo ushoga sababu nirafiki na wakubua ya washoga usiseme yivo , na yiko anamusikiriza sana na kagame ni mutu wakuraaniwa Mungu anataka amuhukumu kwadamu arie mwaga , sikiya nathani si mars yakwanza wanageshi wako Congo kuunga mukono mageshi yarwanda hiyo nikosa kubua Mungu anataka ahukumu na wewe hukataa wewe ninani mbere ajirepushe namambo yakuunga mukono m23 inayo wuwa nana inchi ya CONGo
Ruto muizi toka kule weye mujinga
Anapinduliwa sasa hana muda atakimbia kenya huzakayo
Mtumishi wa mungu siku zote twakufatilia vzr sana unatupa neno na mafundisho mema sana lkn kwa hili umenoa tazama ww hapo ulipo nji yako imetulia hakuna ushoga na kama upo n ule wa kujificha tu huku mambo n live alafu sasa hii kitu imefanya wakenya waandamane sio ushoga n uchumi na huyo mswada wake angelikua anawapa wakenya nafasi na kuwaskiliza hayo yote yasingetokea lkn kwa yy kua kichwa ngumu ndio unaona vitu kaa hv kwanza kbs tengeza kwako anza na kwako ww kama kiongozi uone hili jambo linafaa kama linafaa lisonge mbele kama halina maana life kingine waingeza watawezaje kuwashawishi wakenya wote kufanya maandamano wakati yy ndie huenda huko na sio ss wao hata hawatujui labda wangempa supot yy kwa kila kitu anachotaka kiwe waingeza hawana mda ya kuwashawishi wana nji labda kiongozi na sio wana nji
@shigongoshuli6320
28 күн бұрын
Yamkini kuna kitu nyuma ya huo mswada.Yamkini misaada ya nje mfano mikopo imezuiliwa kwa kutokubari mashariti hayo ya ushoga na yamkini ugumu wa maisha umeanzia hapo hatimaye miswada ya kuumiza inaibuka .you never know😢
Ushoga ndio chanzo maana yeye ndiye aliruhusu mahakama kuu kuukubali.Anakataa hadharani na kukubali sirini. Ushoga ndio chanzo maana yeye ameukubali kisiri na akawa rafiki ya mashoga(USA).
Maraisi wengi wanaopenda kusafiri walikubari kisirisiri ,wameruhusu makampuni hayo kuingia na kupewa maiofisi ndani ya hizo nchi Ila Marais wanaongea kwa ku act kwenye vyombo vya habari kama wamekataa .
Zakayo mwengine huyu mnafik tu ww achana na kenya ww mchawi tu ww
Kwenda huko hunawaurinza wakenya nini
Kama ruto anapinga ushoga marekani ameenda kufanya nini wacha uboya ww
@user-tt1nm9xs4n
21 күн бұрын
Kweli alijipeleka mwenyewe
Unajua mwanadamu uwa anaenda kichwa kichwa bila kujua tu
Je? Huyu Paschal anaroho wa mungu?
NA VILE NAKUPENDA SURELY UNATETEA RUTO? UNATOA JA SHO BURE.DLT THIS THING
Ww nae uo ni upeo wako ndo umeishia hapo walofanya ukamjua mungu ndo unaowapinga maana hata bible ndo wameandika wao na Kenya maandamano ni kawaida Yao usije Fanya watu wakaacha kufanya kazi kisa tuko siku za mwisho usisahau mwaka 2000 pia ilikua mwisho wa Dunia iliishia wapi iyo
Hakupiga wala kukubali yye
Wacha uongo
Pascal cassian kabla ufanye video yoyote omba kwanza mungu akuongoze na wala sio kupayuka kwa kuwa uko na camera ikiwa hujui unasema nini na watu wanapitia nini hususan.. maana ni kiki unatafuta ndio ruto akupe pande lkn hata hujui shida ni nini. Ongelelea mwamposa wenu Kenya haikuhusu.
@user-zd9hy1yd7c
27 күн бұрын
Unakosea kusema ivyo
Wacha uongo umelipwa
Lakini na wewe nilopokajitu 😓
Nilikuwa nakuchukulia kama mtumishi but wewe nimtumishi mwango
Na ubarikiwe mutumishi wa mungu
Leave the Kenyans completely,,,,,we were born with our understanding.... You have been exposing pastors and gospel singers so badly... *So you and Ruto are the only holy ones who fear GOD and walk in the ways of GOD.... right???*
Sasa kama hatutanunua au kuuza tutafanya nn ss kama wakristo
@annmuriithi1701
28 күн бұрын
Hapo ndipo bibilia inasema atakaye fumilia mpaka dakika ya mwisho ataokoka heri kufa kuliko kuichukua hiyo machro chip ama hiyo namba ya huyo mtu kiongozi wa new world order
@annmuriithi1701
28 күн бұрын
Kufumilia mpaka kufa
Wewe pascal kasiani hua unaribia watu majina na watumishi wa Mungu kumbe ni content hua unatengeneza wewe ni shoga mwanzo alafu Kenya ifwate sisi tunapigania usharu Kenya alafu uje from no where eti tunapigania ushoga weweqe
Tafadhali mtumish nawe nakweshimu lakin umeanza kukosa maadil ruto alikubali ruto si mtu wa mungu kabisa you preach gospel what's you are saying ur wrong
Wewe wacha kuchafulia wakenya Jina, wewe unajua chenye kinafanyika huku,,, ebu mkuwe na information before mtengeneze video, Ata pesa haramu hazisaidii.... Videos mnatengeneza ndio mpate views na pesa, Mungu Aliye Hai awakemee!! Mimi kama mkenya sitaruhusu huu ujinga!!
@bonifacematuku2000
28 күн бұрын
Akome kabisa hatukubali ii ujinga kama wakenya.
@user-tt7cu2et1x
28 күн бұрын
Wew unayejuwa mbona usipige got kuombea inch yako na kiongoz yako..na cyo kujaaa mabarabaran kutukana matus mabaya je?Wew uko sahih
@user-tt7cu2et1x
28 күн бұрын
Mashogaa wengi utokea kenya..asa mombasa😢😢😢
@shigongoshuli6320
28 күн бұрын
Yamkini kuna kitu nyuma ya huo mswada.Yamkini misaada ya nje mfano mikopo imezuiliwa kwa kutokubari mashariti hayo ya ushoga na yamkini ugumu wa maisha umeanzia hapo hatimaye miswada ya kuumiza inaibuka .you never know😢
@danielgarry538
28 күн бұрын
Beryl kwa hiyo wewe huoni vita ni ya kiroho unaona maandamano na kumuondoa Ruto ndio itakuwa amani ya Kenya? Hapo angalia Sana usimhukumu mtumishi wa Mungu kwa haraka hebu chunguza vizuri....
Watanzania elimu ndogo
Kumbe wewe muongo hivyo Mimi nilikua napenda kufatilia maneno yako nikidhani ni ukweli kumbe ni owongo kumbe ni content hua unatengeneza vile nimeona umetoa ujumbe wa uongo huu naku unfollow sai Kenya ushoga Ulisha kubalika sijwi waongelea Nini, kumbe wewe ni ovyo kiasi hiki ongea na ubaki uko uko Tz usitubutu kuja Kenya utabondwa hakuna siku nitasikiza maubiri yako ya content ovyo kumbe wewe ni bro wa Ruto
@GladTolage
28 күн бұрын
Sasa nyie ma commenter wenzangu huo uongo mnaousemea ni upi imani yenu ndogo Kama hamuelew mtuache tunaoelew
very true mchungaji coz those guys had the flags to support during demonstrations ,Mungu tuhurumie kabisaa
Sasa nyie mnaosema ni uongo uongo gani mnaosemea kama hamuelew mtuache tunaoelew na sio kucomment ujinga nyie mnajikuta akina nani mpka mnamtishia mta unfollow umewah kumsaidia nn huyo.
Huyu ruto unayemtaja hapo hujasema kiburi chake ndicho kinacho mponza anapoongea na wakenya mdomo yake mchafu yeye yanamkutu kwa kujisahau
Ruto alikosea kuruhusu kuandikishwa LGBTQ kuwa na uhuru kufanya mambo yao wew umekurupuka.