RUTO KUPINGA USHOGA NDIO CHAZO CHA MADAMANO EV PASCHAL CASSIAN

Ойын-сауық

#0766998994 #call0688199370 #0788871769

Пікірлер: 108

  • @marrymakoi1588
    @marrymakoi158817 күн бұрын

    Asante kwa kuwasaidia jirani zao neno laMungi lasema mpende jirani yako kama nafsi yako. Tunawapenda Wakenya

  • @annmuriithi1701
    @annmuriithi170128 күн бұрын

    Amieli katekela alisema haya mambo unasema na akasema siku zimekwisha kurundi kwa yesu mara ya pili kumekalibia kwa hivyo tukeshe tukiomba

  • @collinscareen7245

    @collinscareen7245

    24 күн бұрын

    Una uhakika Mwinjilisti???hahahah

  • @mengindegeya2780
    @mengindegeya278028 күн бұрын

    Brother mungu akusaidie watu wakuelewe maana hali tete!!!

  • @TatuOmar001
    @TatuOmar00123 күн бұрын

    Mimi ni mkenya nakubaliana wewe mtumishi wa Mungu 🙏👍👏👏👏❤

  • @nancykirigo5874
    @nancykirigo587428 күн бұрын

    Wacha uongo Pascal mtumishi nakupenda please keep off this heavy taxes to Kenya's ushoga ulipitishwa.

  • @nemuelochego4157
    @nemuelochego415724 күн бұрын

    Hii Ni uongo Paschal...We are Kenyans and we know what is behind Kenyan protests

  • @peterpreacher2025
    @peterpreacher202528 күн бұрын

    Mimi kama mkenya na mkristo ninayekupenda,kwa mara ya kwanza nakupinga kwa hili,,,natamani ungeishi kenya ukaelewa ugumu tulionao hasa kwa hili la finance bill,,,na nakuomba ukipata nafasi jisomee hiyo finance bill mwenyewe uielewe,,,na habari ya ushoga naomba ujue Ruto ndiye anayejipendekeza pakubwa kwa marekani kuhusu hili,,,,hapa mtumishi umeenda sana,,,, tunaelewa tunachopitia

  • @alicejumaa89

    @alicejumaa89

    28 күн бұрын

    Huyu jamaa views na likes zinampotosha siku hizi ..kusifia viongozi wajinga ashazoea.

  • @adylineamutamwa959
    @adylineamutamwa95928 күн бұрын

    Huyu ruto alipochaguliwa n Mungu alirudi kusahau Mungu wake Sai amemezwa na dunia kwa hiyo wakenya tumuombee Sana asiendelee asikubali

  • @FruitfulMpanduji

    @FruitfulMpanduji

    15 күн бұрын

    Wake ya tubuni Kwa ajiri ya nchi yenu . Mnadanganywa kumchukia raising wenu..msikubali kuuwanavnyiyi Kwa nyinyi ..na wakubwa wenu wanalundwa na mabodigard

  • @Mwasame_Official1
    @Mwasame_Official122 күн бұрын

    Ushoga ni Kenya uongo ni Kenya 🇰🇪 uuaji ni Kenya 🇰🇪 Kenya wanamdanganya hadi mungu ooooh cassian mambo ya Kenya huyawezi ulikua wapi walipo pitisha hii sheria 😂😂😂😂😂😂

  • @SuzyDidas
    @SuzyDidas28 күн бұрын

    Mtumish unayoyasema ni kweli kabisa maana vitu vinavyoendelea sasa havieleweki kabisa

  • @jestinakalage1442
    @jestinakalage144228 күн бұрын

    Ubarikiwe sana kwa ufafanuzi huu:: MBINGU zizidi kukulinda

  • @enochzakayo
    @enochzakayo24 күн бұрын

    very true mchungaji coz those guys had the flags to support during demonstrations ,Mungu tuhurumie kabisaa

  • @user-lx1vn4bq8j
    @user-lx1vn4bq8j28 күн бұрын

    Sema yòte juu wakenye wamesahau chakufanyaa na wanakufa na hawaoni kwamba wanaharibu maishayao

  • @alicejumaa89

    @alicejumaa89

    28 күн бұрын

    Kina nani hao wanaoharibu maisha yao.. pambaneni na tz yenu acheni udaku. Nonsense

  • @emmanuelodiga9020
    @emmanuelodiga902023 күн бұрын

    Habari Mtumishi, kwenye ili fatilia vizuri, mahakama ya Kenya ilipitisha sheria ya Ushoga na adi leo ni sheria na inafanya kazi. Pia GMO ruto ndie alieleta wakishirikiana na Bill Gates, kwa hiyo utetezi wako kwa ruto haiko sawa. Fanya utafiti vizuri

  • @faithmutua77
    @faithmutua7728 күн бұрын

    Nikweli mtumishi 🙏🙏🙏

  • @user-lx3bw1uk3e
    @user-lx3bw1uk3e28 күн бұрын

    Ruto alipo pata urais ushoga ulipitishwa sai watu wanaandamaana na uchumi ndio uko juu sana lakini si ushoga,ushoga ulipitshwa mwaka jana.

  • @alicejumaa89

    @alicejumaa89

    28 күн бұрын

    Aliyeulazimisha ni huyo nabii Ruto 😂😂😂

  • @dimojaydan6344
    @dimojaydan634424 күн бұрын

    AMEN mungu akuinue zaidi

  • @SuzyDidas
    @SuzyDidas28 күн бұрын

    Mungu atuhurumie jaman

  • @user-lx1vn4bq8j
    @user-lx1vn4bq8j28 күн бұрын

    Amen lord

  • @marrymakoi1588
    @marrymakoi158817 күн бұрын

    Hakika huyu ndiye mtumishi. Barikiwa uongezeke baba

  • @marrymakoi1588
    @marrymakoi158817 күн бұрын

    Wakenya jirani zetu kamani acheni vurugu mtaisha roho zetu zinauma sana. Kumbukeni nchi nyingi za Afrika anakabiliwa na hali ngumu ya maisha sio Kenya tu watu wanapambana na maisha na sio kukaa barabara kwa maandamano.

  • @user-qk9iz5lt8q
    @user-qk9iz5lt8q23 күн бұрын

    TULIA KWANZA MSIKILIZE SANA ROHO WA MUNGU USISIKILIZE WATU NA. MITANDAO, NDIPOSA ULETE SOMO LENYE MASHIKO, NA KUWA MSAADA KWA JAMII NA TAIFA NA ULIMWENGU MZIMA , TUNAKUPENDA SANA

  • @elishamalunde1106
    @elishamalunde110623 күн бұрын

    Ningumu mashoga kumuelewa mtumishi casian

  • @JosphatChai-om6lt
    @JosphatChai-om6lt22 күн бұрын

    Hakuna kitu unajua kuhusu Kenya kuwa mpole mchungaji

  • @user-mo6hw6fx4s
    @user-mo6hw6fx4s28 күн бұрын

    sema mtumishi iliwapone 😢😢

  • @NzukoMwenge
    @NzukoMwenge28 күн бұрын

    Hizo ni pigo kwa rutho ili Aachekuingiliya vita vya Congo n'a ku chekeleya Congo hiyo nionyo Mungu anamupa arudiliye njiya sahihi mchungaji . Sio mambo ya ushoga Mungu anaendeleya kuteteya Congo 🇨🇩

  • @alicejumaa89

    @alicejumaa89

    28 күн бұрын

    Ushoga aliyeuleta Kenya ni Ruto. Huyu mtumishi hajui anaongea nini. Uhuru Kenyatta alishaukataa kitambo.. anataka ruto ampe pesa sahau hiyo.

  • @marrymakoi1588
    @marrymakoi158817 күн бұрын

    Sawa kabisa mtumishi wa Mungu ni kweli Ruto anateseka sana lakini Mungu atampigania atavuka tu

  • @janemwangi1288

    @janemwangi1288

    15 күн бұрын

    Apitishe mashoga abarikiwe?

  • @Mwasame_Official1
    @Mwasame_Official122 күн бұрын

    Hapa Kenya 🇰🇪 nikwetu na ushoga ulipitiswa hadi pendera inapeperwa iko juu cassian sisi ndio tunajua haya rais ako chini ya maji alikubali haya yote hadi amepewa pesa na hayo mataifa cassian ooooh nakupenda lakini haya uyanenayo yamekushinda Acha mungu anayajua yote kuliko wewe😢😢😢😢

  • @wairimukimiri1603
    @wairimukimiri160321 күн бұрын

    Mm ni mkenya na usiongee uwongo please, ruto alipitisha sheria ya ushoga kenya, angalia Uganda hakuna ushoga, Ruto anapitia haya yote juu ya ushoga aliptisha na Mungu hapendi uchafu

  • @owenomwanawayesu6961
    @owenomwanawayesu696128 күн бұрын

    Mtumishi Pascal nakupenda sana lakini wacha kumtetea Muongo,Mfisadi…maana anawaonga wajumbe wapitishe miswada bungeni,amekuwa na kiburi…anavaa saa ya million kumi iwe aje!huo ni ukiristo?

  • @shukulanigodwithyou7898
    @shukulanigodwithyou789819 күн бұрын

    Ruto mwisho atahukumiwa ayache kuunga mukono ku wenye wNashamburiya Congo kupitiya chama cha ugaidi cha m23 kagame na museveni

  • @brianshomi722
    @brianshomi72225 күн бұрын

    Watakaokupinga ni waliopo gizani TU😢

  • @Maryc2G
    @Maryc2G20 күн бұрын

    Mungu atampiganie Rais Ruto, amtegemeae bwana hawataaibika kamwe. Ruto Mungu yuko upande wake, pastor umesema ukweli kabisa, Ushoga ndio Agenda. Nasimama na Ruto na wewe

  • @marymutavi
    @marymutavi17 күн бұрын

    Ruto alipitisha hio ushoga hakukataa😢😢

  • @mtumewawengi_onlineTV
    @mtumewawengi_onlineTV23 күн бұрын

    Mbona uganda mseveni hajakubali na bado hawana maandamano

  • @nurumwita9034

    @nurumwita9034

    22 күн бұрын

    Museveni hajaokoka

  • @GiliardKashimba
    @GiliardKashimba19 күн бұрын

    Ndio nimekwelewa sasa hivi lakini mwanzoni ulikwaunasema kama mwana siasa

  • @Shokolokobango9385
    @Shokolokobango938523 күн бұрын

    Kama ingekua Africa tunaweza kujitawala bila kutegemea misaada yao wasingeweza kuchochea vurugu

  • @collya4551
    @collya455119 күн бұрын

    Uongo.. huo . Sisi wakenya tunapigania ushuru umezidi huku kenya

  • @mohamedikinu9502
    @mohamedikinu950221 күн бұрын

    Nchi yeyote ambayo ina uhusiano na Marekani ujue ipo kwenye ajenda ya ushoga unakosea mtumishi

  • @PaulinaNyanzalashija
    @PaulinaNyanzalashija20 күн бұрын

    Na huko kenya panakuhusu cassian achana na nchi za watu huko kenya kuna manabii kokii

  • @user-lk5it5zy6m
    @user-lk5it5zy6m27 күн бұрын

    Ni kweli

  • @Ufunuo97
    @Ufunuo9724 күн бұрын

    Unatafta kutukanwa tuuuu, mambo mengne vungaaa, esatafrica uganda tuuuh ndo wamekataa ushogaa,

  • @janemwangi1288
    @janemwangi128815 күн бұрын

    Ruto aliuza kenya na ushoga ashapitisha.wamtetea nini?

  • @dorcasmukhanji5231
    @dorcasmukhanji523116 күн бұрын

    Wewe muongo Ruto ni mja Mungu wapi? Ruto;;;,,,,,,Mwizi Ruto, , Muongo Ruto,,,,,,,,mnafiki Ruto,,,,,likes revenge Ruto,,,Soho mbaya Hizi sofa zote hata ashetani anashangaa

  • @happnesskitumbo5713
    @happnesskitumbo571325 күн бұрын

    Walio wa rohoni wanaweza kukuelewa.

  • @dfremac
    @dfremac24 күн бұрын

    WW NILIKUWA NAKUPENDA BT UMEANZA KUONGEA UONGO MKUBWA KEEP OFF KENYA LINE. HUJUI TUNACHOPITIA WEWE.

  • @babugilbert6922
    @babugilbert692228 күн бұрын

    Kitu Cha kwanza Ruto anaunga mkono ushoga ndio maana korti ya Kenya ilipitisha huo mswada wa ndoa za kijinsia Uhuru ndio alikataa wewe mtumishi hapo nimekukosoa

  • @janemwangi1288
    @janemwangi128815 күн бұрын

    Ruto ameshapitisha lgbtq kenya.mbona wadanganya?raira na uhuru ndio wachocheao but ushoga umepitishwa na huyo huyo ruto.

  • @fridalyanguka1733
    @fridalyanguka173322 күн бұрын

    Watu weusi mrudieni Muumba wa kweli (Loba)

  • @shukulanigodwithyou7898
    @shukulanigodwithyou789819 күн бұрын

    Ruto arifanya kosa kusikiriza shauli ya ndugu yake Kagame yeye arihuriza kagame vipi Rwanda anaendereya akamwambia kuhusu kodi enda ugapandisha kodi kuwana inchi soyo ushoga sababu nirafiki na wakubua ya washoga usiseme yivo , na yiko anamusikiriza sana na kagame ni mutu wakuraaniwa Mungu anataka amuhukumu kwadamu arie mwaga , sikiya nathani si mars yakwanza wanageshi wako Congo kuunga mukono mageshi yarwanda hiyo nikosa kubua Mungu anataka ahukumu na wewe hukataa wewe ninani mbere ajirepushe namambo yakuunga mukono m23 inayo wuwa nana inchi ya CONGo

  • @TumbaMbayo
    @TumbaMbayo21 күн бұрын

    Ruto muizi toka kule weye mujinga

  • @silivestatesha9262
    @silivestatesha926220 күн бұрын

    Anapinduliwa sasa hana muda atakimbia kenya huzakayo

  • @benjaminwafula
    @benjaminwafula28 күн бұрын

    Mtumishi wa mungu siku zote twakufatilia vzr sana unatupa neno na mafundisho mema sana lkn kwa hili umenoa tazama ww hapo ulipo nji yako imetulia hakuna ushoga na kama upo n ule wa kujificha tu huku mambo n live alafu sasa hii kitu imefanya wakenya waandamane sio ushoga n uchumi na huyo mswada wake angelikua anawapa wakenya nafasi na kuwaskiliza hayo yote yasingetokea lkn kwa yy kua kichwa ngumu ndio unaona vitu kaa hv kwanza kbs tengeza kwako anza na kwako ww kama kiongozi uone hili jambo linafaa kama linafaa lisonge mbele kama halina maana life kingine waingeza watawezaje kuwashawishi wakenya wote kufanya maandamano wakati yy ndie huenda huko na sio ss wao hata hawatujui labda wangempa supot yy kwa kila kitu anachotaka kiwe waingeza hawana mda ya kuwashawishi wana nji labda kiongozi na sio wana nji

  • @shigongoshuli6320

    @shigongoshuli6320

    28 күн бұрын

    Yamkini kuna kitu nyuma ya huo mswada.Yamkini misaada ya nje mfano mikopo imezuiliwa kwa kutokubari mashariti hayo ya ushoga na yamkini ugumu wa maisha umeanzia hapo hatimaye miswada ya kuumiza inaibuka .you never know😢

  • @owenomwanawayesu6961
    @owenomwanawayesu696128 күн бұрын

    Ushoga ndio chanzo maana yeye ndiye aliruhusu mahakama kuu kuukubali.Anakataa hadharani na kukubali sirini. Ushoga ndio chanzo maana yeye ameukubali kisiri na akawa rafiki ya mashoga(USA).

  • @expertsmovespodcast1830
    @expertsmovespodcast183023 күн бұрын

    Maraisi wengi wanaopenda kusafiri walikubari kisirisiri ,wameruhusu makampuni hayo kuingia na kupewa maiofisi ndani ya hizo nchi Ila Marais wanaongea kwa ku act kwenye vyombo vya habari kama wamekataa .

  • @badmeetsevil7643
    @badmeetsevil764321 күн бұрын

    Zakayo mwengine huyu mnafik tu ww achana na kenya ww mchawi tu ww

  • @vomalizavomaliza746
    @vomalizavomaliza74616 күн бұрын

    Kwenda huko hunawaurinza wakenya nini

  • @alimau7939
    @alimau793921 күн бұрын

    Kama ruto anapinga ushoga marekani ameenda kufanya nini wacha uboya ww

  • @user-tt1nm9xs4n

    @user-tt1nm9xs4n

    21 күн бұрын

    Kweli alijipeleka mwenyewe

  • @EdwinEdward-ze2eq
    @EdwinEdward-ze2eq28 күн бұрын

    Unajua mwanadamu uwa anaenda kichwa kichwa bila kujua tu

  • @benardcharo4332
    @benardcharo433227 күн бұрын

    Je? Huyu Paschal anaroho wa mungu?

  • @Betty-bp4gp
    @Betty-bp4gp18 күн бұрын

    NA VILE NAKUPENDA SURELY UNATETEA RUTO? UNATOA JA SHO BURE.DLT THIS THING

  • @renatus5687
    @renatus568721 күн бұрын

    Ww nae uo ni upeo wako ndo umeishia hapo walofanya ukamjua mungu ndo unaowapinga maana hata bible ndo wameandika wao na Kenya maandamano ni kawaida Yao usije Fanya watu wakaacha kufanya kazi kisa tuko siku za mwisho usisahau mwaka 2000 pia ilikua mwisho wa Dunia iliishia wapi iyo

  • @rehemashariff3119
    @rehemashariff311924 күн бұрын

    Hakupiga wala kukubali yye

  • @dorcasmukhanji5231
    @dorcasmukhanji523116 күн бұрын

    Wacha uongo

  • @alicejumaa89
    @alicejumaa8928 күн бұрын

    Pascal cassian kabla ufanye video yoyote omba kwanza mungu akuongoze na wala sio kupayuka kwa kuwa uko na camera ikiwa hujui unasema nini na watu wanapitia nini hususan.. maana ni kiki unatafuta ndio ruto akupe pande lkn hata hujui shida ni nini. Ongelelea mwamposa wenu Kenya haikuhusu.

  • @user-zd9hy1yd7c

    @user-zd9hy1yd7c

    27 күн бұрын

    Unakosea kusema ivyo

  • @caromafumbo6088
    @caromafumbo608825 күн бұрын

    Wacha uongo umelipwa

  • @michaelmwamanda8418
    @michaelmwamanda841823 күн бұрын

    Lakini na wewe nilopokajitu 😓

  • @petersaitotilaizar9176
    @petersaitotilaizar917627 күн бұрын

    Nilikuwa nakuchukulia kama mtumishi but wewe nimtumishi mwango

  • @user-lx1vn4bq8j
    @user-lx1vn4bq8j28 күн бұрын

    Na ubarikiwe mutumishi wa mungu

  • @keruboirene
    @keruboirene28 күн бұрын

    Leave the Kenyans completely,,,,,we were born with our understanding.... You have been exposing pastors and gospel singers so badly... *So you and Ruto are the only holy ones who fear GOD and walk in the ways of GOD.... right???*

  • @SuzyDidas
    @SuzyDidas28 күн бұрын

    Sasa kama hatutanunua au kuuza tutafanya nn ss kama wakristo

  • @annmuriithi1701

    @annmuriithi1701

    28 күн бұрын

    Hapo ndipo bibilia inasema atakaye fumilia mpaka dakika ya mwisho ataokoka heri kufa kuliko kuichukua hiyo machro chip ama hiyo namba ya huyo mtu kiongozi wa new world order

  • @annmuriithi1701

    @annmuriithi1701

    28 күн бұрын

    Kufumilia mpaka kufa

  • @anntaaka5631
    @anntaaka563128 күн бұрын

    Wewe pascal kasiani hua unaribia watu majina na watumishi wa Mungu kumbe ni content hua unatengeneza wewe ni shoga mwanzo alafu Kenya ifwate sisi tunapigania usharu Kenya alafu uje from no where eti tunapigania ushoga weweqe

  • @ministerwillan
    @ministerwillan24 күн бұрын

    Tafadhali mtumish nawe nakweshimu lakin umeanza kukosa maadil ruto alikubali ruto si mtu wa mungu kabisa you preach gospel what's you are saying ur wrong

  • @BerylSeer1
    @BerylSeer128 күн бұрын

    Wewe wacha kuchafulia wakenya Jina, wewe unajua chenye kinafanyika huku,,, ebu mkuwe na information before mtengeneze video, Ata pesa haramu hazisaidii.... Videos mnatengeneza ndio mpate views na pesa, Mungu Aliye Hai awakemee!! Mimi kama mkenya sitaruhusu huu ujinga!!

  • @bonifacematuku2000

    @bonifacematuku2000

    28 күн бұрын

    Akome kabisa hatukubali ii ujinga kama wakenya.

  • @user-tt7cu2et1x

    @user-tt7cu2et1x

    28 күн бұрын

    Wew unayejuwa mbona usipige got kuombea inch yako na kiongoz yako..na cyo kujaaa mabarabaran kutukana matus mabaya je?Wew uko sahih

  • @user-tt7cu2et1x

    @user-tt7cu2et1x

    28 күн бұрын

    Mashogaa wengi utokea kenya..asa mombasa😢😢😢

  • @shigongoshuli6320

    @shigongoshuli6320

    28 күн бұрын

    Yamkini kuna kitu nyuma ya huo mswada.Yamkini misaada ya nje mfano mikopo imezuiliwa kwa kutokubari mashariti hayo ya ushoga na yamkini ugumu wa maisha umeanzia hapo hatimaye miswada ya kuumiza inaibuka .you never know😢

  • @danielgarry538

    @danielgarry538

    28 күн бұрын

    Beryl kwa hiyo wewe huoni vita ni ya kiroho unaona maandamano na kumuondoa Ruto ndio itakuwa amani ya Kenya? Hapo angalia Sana usimhukumu mtumishi wa Mungu kwa haraka hebu chunguza vizuri....

  • @aliaden5512
    @aliaden551214 күн бұрын

    Watanzania elimu ndogo

  • @anntaaka5631
    @anntaaka563128 күн бұрын

    Kumbe wewe muongo hivyo Mimi nilikua napenda kufatilia maneno yako nikidhani ni ukweli kumbe ni owongo kumbe ni content hua unatengeneza vile nimeona umetoa ujumbe wa uongo huu naku unfollow sai Kenya ushoga Ulisha kubalika sijwi waongelea Nini, kumbe wewe ni ovyo kiasi hiki ongea na ubaki uko uko Tz usitubutu kuja Kenya utabondwa hakuna siku nitasikiza maubiri yako ya content ovyo kumbe wewe ni bro wa Ruto

  • @GladTolage

    @GladTolage

    28 күн бұрын

    Sasa nyie ma commenter wenzangu huo uongo mnaousemea ni upi imani yenu ndogo Kama hamuelew mtuache tunaoelew

  • @enochzakayo
    @enochzakayo24 күн бұрын

    very true mchungaji coz those guys had the flags to support during demonstrations ,Mungu tuhurumie kabisaa

  • @GladTolage
    @GladTolage28 күн бұрын

    Sasa nyie mnaosema ni uongo uongo gani mnaosemea kama hamuelew mtuache tunaoelew na sio kucomment ujinga nyie mnajikuta akina nani mpka mnamtishia mta unfollow umewah kumsaidia nn huyo.

  • @rehemashariff3119
    @rehemashariff311924 күн бұрын

    Huyu ruto unayemtaja hapo hujasema kiburi chake ndicho kinacho mponza anapoongea na wakenya mdomo yake mchafu yeye yanamkutu kwa kujisahau

  • @user-cw3vu8mu3k
    @user-cw3vu8mu3k24 күн бұрын

    Ruto alikosea kuruhusu kuandikishwa LGBTQ kuwa na uhuru kufanya mambo yao wew umekurupuka.

Келесі