OMOSH ONE HOUR AONA AIBU KATIKA UWANJA WA JACARANDA

OMOSH ONE HOUR AONA AIBU KATIKA UWANJA WA JACARANDA

Пікірлер: 68

  • @user-kv5dy3ck2o
    @user-kv5dy3ck2oАй бұрын

    Niuzuni kubwa omosh kupotezwa na waislamu

  • @dickson1820
    @dickson1820Ай бұрын

    Ndacha ubarikiwe, umefanya kazi nzuri sana. Mrudishe katika ukristo.

  • @BebanMbabe-eh3zm
    @BebanMbabe-eh3zm26 күн бұрын

    Duh kweli watu wanapotezwa tuwe makini kusoma vitabu na kuielewa biblia ili tuweze kumngoje Kristo Yesu tumaini letu

  • @budumahmud1008
    @budumahmud1008Ай бұрын

    Mashallah omosh mungu ampe imani hiyo yakuamini mung mmoja bila ka na mwenzke

  • @IslamicIQ10
    @IslamicIQ10Ай бұрын

    Ndacha ukona ukora mingi sana , soma next verse 104

  • @JudyPaul-ny2nh
    @JudyPaul-ny2nhАй бұрын

    Anataka wake wengi

  • @jumamnyonge2148
    @jumamnyonge2148Ай бұрын

    Mtafu sheikh Ali karanja uone akiwanyorosha

  • @user-qk8ny9bx3s
    @user-qk8ny9bx3sАй бұрын

    Allahu Akbar

  • @furahag3098
    @furahag3098Ай бұрын

    Weeee omosh itabidi utoke kwa dini ya kislam

  • @mwoso
    @mwosoАй бұрын

    Huyo Omosh hako serious! Inafaa akae chini ajichunguze.

  • @Benjathekingofficialtv
    @BenjathekingofficialtvАй бұрын

    Duh huyu jamaa Mungu amsamehe kweli 😂 shetani ana nguvu sana

  • @Earth-Final-Alarms
    @Earth-Final-AlarmsАй бұрын

    @omosh one hour

  • @lawrenceoyugi7460
    @lawrenceoyugi7460Ай бұрын

    Woooii maskin Omosh 😅😅😅

  • @Mudi-zk2cy
    @Mudi-zk2cyАй бұрын

    Omosh is on the right track.

  • @daudimichael7338

    @daudimichael7338

    Ай бұрын

    Unamdanganya, amepotea

  • @nicksnicks6201

    @nicksnicks6201

    Ай бұрын

    He is lost

  • @user-ls1ix4rd8i

    @user-ls1ix4rd8i

    Ай бұрын

    Wasilamu poleni hamjui mfanyalo

  • @jumamnyonge2148

    @jumamnyonge2148

    Ай бұрын

    @@user-ls1ix4rd8i ninyi ndiyo mna jielewa kweli this is week yesu ni mwana wa Mungu ndiyo next week Yesu ndiyo Mungu ndiyo

  • @jumamnyonge2148
    @jumamnyonge2148Ай бұрын

    Yesu mwenyewe alikuwa anavaliya kanzu Na alisema tujifunze kwake wee suit umejifunza kwa mzungu kutoka Michigan American Yesu hakufikaga uko acheni ujinga wasabato

  • @jumamnyonge2148

    @jumamnyonge2148

    Ай бұрын

    Moto wakuwaka unawangoja

  • @jamesnjiru5928

    @jamesnjiru5928

    Ай бұрын

    Kanzu na suit ni nguo tu mavazi yalio sawa yako moyoni mwako, tabia na mienendo yako

  • @jumamnyonge2148

    @jumamnyonge2148

    Ай бұрын

    @@jamesnjiru5928 nisawa

  • @jumamnyonge2148

    @jumamnyonge2148

    Ай бұрын

    Ila ukiigia vile mitume walikuwa wanavaa si mbaya

  • @abdirashidsuraw3380
    @abdirashidsuraw3380Ай бұрын

    Ndacha danganya wakiristo sio sisi.

  • @user-ls1ix4rd8i

    @user-ls1ix4rd8i

    Ай бұрын

    Nyie wasilamu ndio mwadanganywa poleni!

  • @jumamnyonge2148

    @jumamnyonge2148

    Ай бұрын

    @@user-ls1ix4rd8i Kwa lipi

  • @jumamnyonge2148

    @jumamnyonge2148

    Ай бұрын

    @@user-ls1ix4rd8i nikulize wewe yesu ni kristo ama ni mkristo swali hilo

  • @jumamnyonge2148

    @jumamnyonge2148

    Ай бұрын

    Ili nione Kama wewe huja danganywa uko right

  • @josephoduor6211
    @josephoduor6211Ай бұрын

    Je Muhammad bado ni Mtume ama alikuwa Mtume ?

  • @jumamnyonge2148
    @jumamnyonge2148Ай бұрын

    Kwanza yesu hakuwa mkristo wala msabado Dini ya Mwanamke kutoka Michigan yesu hajuwi uko

  • @rwabu

    @rwabu

    Ай бұрын

    Hongera kwa kubuni swali... Ila Wa Kristo wote duniani hakuna ambaye anafikiri hivyo ambavyo unafikiria!!! Vua Miwani ya kiislamu unapoutazama Ukristo!!! Hautauliza maswali ya aina hiyo tena!!!

  • @jumamnyonge2148

    @jumamnyonge2148

    Ай бұрын

    @@rwabu towa verse hapa yesu alikuwa mkristo ili Mimi na wewe tuwe nani atavua miwani na si story maandiko hapa aliingiya kanisa Gani la kisabato ama catholic ama Anglican hizi ndiyo kanisa kubwa

  • @jumamnyonge2148

    @jumamnyonge2148

    Ай бұрын

    @@rwabu mkristo wa kweli kama wewe lazima utapinga maneno ya Mungu then ya bible alafu ya Yesu lazima ukataye uyo ndiyo mkristo wakweli, mwambiye ndacha akupe iyo verse

  • @trutharchaeologist

    @trutharchaeologist

    29 күн бұрын

    Yesu atakuwaje mkristo kama yeye ndiye Kristo? Wewe wajua maana ya mkristo?

  • @jumamnyonge2148

    @jumamnyonge2148

    28 күн бұрын

    @@trutharchaeologist sijuwi nieleze wewe unajuwa nipate kujua

  • @user-vv5hq9mc1k
    @user-vv5hq9mc1kАй бұрын

    Ndacha wewe nakutaka uje lolgoria n unipatize ama nikusilimishe.

  • @jumamnyonge2148
    @jumamnyonge2148Ай бұрын

    Omosh ameingiya Uislamu juzi tu hata haja maliza kusoma ati unaenda kumuliza maswali akili zenu ziko sawa kweli wasabato

  • @halimafickra8635
    @halimafickra8635Ай бұрын

    😂😂😂😂ikowapi full video 😂😂😂

  • @henryosoro7696
    @henryosoro769613 күн бұрын

    🤣🤣🤣

  • @barackamosi4116
    @barackamosi4116Ай бұрын

    Mnafurahi kwamba mmempata mtu Alie kubali kufuga majini mwenzenu na idadi pia ya watu wa jeanamu idadi imeongezeka ndo Mana shehe ubwabwa kafurahi sana

  • @jumamnyonge2148

    @jumamnyonge2148

    Ай бұрын

    Wapi iyo verse inasema hivyo Wacha kusikiza chenye hakiko Kwa maandiko

  • @jjtm164
    @jjtm164Ай бұрын

    Alidanganywa

  • @jumamnyonge2148

    @jumamnyonge2148

    Ай бұрын

    Nanani

  • @jumamnyonge2148

    @jumamnyonge2148

    Ай бұрын

    Kwani hawa wasabato hapo hawa wadanganyi

  • @jjtm164

    @jjtm164

    Ай бұрын

    @@jumamnyonge2148 kile wanaongea ni kweli

  • @jumamnyonge2148
    @jumamnyonge2148Ай бұрын

    Wewe Paulo Niko na video yako ukitowa siri vile iyo haya ya shetani uwa mnapindisha mdomo umesahau wewe mwenyewe na Mdomo wako

  • @user-bl4vy5bo4f
    @user-bl4vy5bo4fАй бұрын

    Wapi mkutano huu

  • @jacksonmutunga4894

    @jacksonmutunga4894

    Ай бұрын

    Mkutano ulikuwa pale Jakaranda wiki njana.

  • @trucillahgesare9501
    @trucillahgesare9501Ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @khalfansaid4756
    @khalfansaid4756Ай бұрын

    Ww ndacha hunaakili unaendaje kumuuliza mtu Ambae amesilimu siku2 tu zilizopita ataijuaje quraan mbona ulipo pigwa maswli na Dr sule umeshika najjjjjjeeenngga hhooja unakimbia kujibu

  • @johnwamaarts6312

    @johnwamaarts6312

    Ай бұрын

    Mbona unakubali kitu haukijui? Hyo si n ujinga ...lazima ufanye research alafu uamini Kama una Imani pofu ,kesho utakua unaabudu shetani

  • @user-cf3fe3cu8v

    @user-cf3fe3cu8v

    Ай бұрын

    Sasa kama hajui amesilim nn sasa wakat hajui

  • @GatekaNene

    @GatekaNene

    Ай бұрын

    Khalfansaid Mbona ma shekhe wenu uwaga wanauliza ma swali watu ambao hawajuwi cocote kwenye maandiko matakatifu na wakikosa jibu wanawasilimisha hapo hapo sasa wewe ndo unaona kuwa Ndacha kafanya kosa lakini munayo yafany nyinyi hamuyaoni sindiyo?? Aceni izo waislamu tit for tati bro

  • @tyivbra

    @tyivbra

    Ай бұрын

    Unamuongelea Dr.Sulle Kilasiku mnampiga vita ila waislamu bwana😂

  • @franciscomtambakuluca2830

    @franciscomtambakuluca2830

    Ай бұрын

    Dr sule nae ata ajuwi kitu

  • @zuhraall02
    @zuhraall02Ай бұрын

    Haki salama za omosh ooh walimundanganya kweli😂😂😂