OMOSH ONE HOUR AONA AIBU KATIKA UWANJA WA JACARANDA
OMOSH ONE HOUR AONA AIBU KATIKA UWANJA WA JACARANDA
Жүктеу.....
Пікірлер: 68
@user-kv5dy3ck2oАй бұрын
Niuzuni kubwa omosh kupotezwa na waislamu
@dickson1820Ай бұрын
Ndacha ubarikiwe, umefanya kazi nzuri sana. Mrudishe katika ukristo.
@BebanMbabe-eh3zm26 күн бұрын
Duh kweli watu wanapotezwa tuwe makini kusoma vitabu na kuielewa biblia ili tuweze kumngoje Kristo Yesu tumaini letu
@budumahmud1008Ай бұрын
Mashallah omosh mungu ampe imani hiyo yakuamini mung mmoja bila ka na mwenzke
@IslamicIQ10Ай бұрын
Ndacha ukona ukora mingi sana , soma next verse 104
@JudyPaul-ny2nhАй бұрын
Anataka wake wengi
@jumamnyonge2148Ай бұрын
Mtafu sheikh Ali karanja uone akiwanyorosha
@user-qk8ny9bx3sАй бұрын
Allahu Akbar
@furahag3098Ай бұрын
Weeee omosh itabidi utoke kwa dini ya kislam
@mwosoАй бұрын
Huyo Omosh hako serious! Inafaa akae chini ajichunguze.
@BenjathekingofficialtvАй бұрын
Duh huyu jamaa Mungu amsamehe kweli 😂 shetani ana nguvu sana
@Earth-Final-AlarmsАй бұрын
@omosh one hour
@lawrenceoyugi7460Ай бұрын
Woooii maskin Omosh 😅😅😅
@Mudi-zk2cyАй бұрын
Omosh is on the right track.
@daudimichael7338
Ай бұрын
Unamdanganya, amepotea
@nicksnicks6201
Ай бұрын
He is lost
@user-ls1ix4rd8i
Ай бұрын
Wasilamu poleni hamjui mfanyalo
@jumamnyonge2148
Ай бұрын
@@user-ls1ix4rd8i ninyi ndiyo mna jielewa kweli this is week yesu ni mwana wa Mungu ndiyo next week Yesu ndiyo Mungu ndiyo
@jumamnyonge2148Ай бұрын
Yesu mwenyewe alikuwa anavaliya kanzu Na alisema tujifunze kwake wee suit umejifunza kwa mzungu kutoka Michigan American Yesu hakufikaga uko acheni ujinga wasabato
@jumamnyonge2148
Ай бұрын
Moto wakuwaka unawangoja
@jamesnjiru5928
Ай бұрын
Kanzu na suit ni nguo tu mavazi yalio sawa yako moyoni mwako, tabia na mienendo yako
@jumamnyonge2148
Ай бұрын
@@jamesnjiru5928 nisawa
@jumamnyonge2148
Ай бұрын
Ila ukiigia vile mitume walikuwa wanavaa si mbaya
@abdirashidsuraw3380Ай бұрын
Ndacha danganya wakiristo sio sisi.
@user-ls1ix4rd8i
Ай бұрын
Nyie wasilamu ndio mwadanganywa poleni!
@jumamnyonge2148
Ай бұрын
@@user-ls1ix4rd8i Kwa lipi
@jumamnyonge2148
Ай бұрын
@@user-ls1ix4rd8i nikulize wewe yesu ni kristo ama ni mkristo swali hilo
@jumamnyonge2148
Ай бұрын
Ili nione Kama wewe huja danganywa uko right
@josephoduor6211Ай бұрын
Je Muhammad bado ni Mtume ama alikuwa Mtume ?
@jumamnyonge2148Ай бұрын
Kwanza yesu hakuwa mkristo wala msabado Dini ya Mwanamke kutoka Michigan yesu hajuwi uko
@rwabu
Ай бұрын
Hongera kwa kubuni swali... Ila Wa Kristo wote duniani hakuna ambaye anafikiri hivyo ambavyo unafikiria!!! Vua Miwani ya kiislamu unapoutazama Ukristo!!! Hautauliza maswali ya aina hiyo tena!!!
@jumamnyonge2148
Ай бұрын
@@rwabu towa verse hapa yesu alikuwa mkristo ili Mimi na wewe tuwe nani atavua miwani na si story maandiko hapa aliingiya kanisa Gani la kisabato ama catholic ama Anglican hizi ndiyo kanisa kubwa
@jumamnyonge2148
Ай бұрын
@@rwabu mkristo wa kweli kama wewe lazima utapinga maneno ya Mungu then ya bible alafu ya Yesu lazima ukataye uyo ndiyo mkristo wakweli, mwambiye ndacha akupe iyo verse
@trutharchaeologist
29 күн бұрын
Yesu atakuwaje mkristo kama yeye ndiye Kristo? Wewe wajua maana ya mkristo?
Ndacha wewe nakutaka uje lolgoria n unipatize ama nikusilimishe.
@jumamnyonge2148Ай бұрын
Omosh ameingiya Uislamu juzi tu hata haja maliza kusoma ati unaenda kumuliza maswali akili zenu ziko sawa kweli wasabato
@halimafickra8635Ай бұрын
😂😂😂😂ikowapi full video 😂😂😂
@henryosoro769613 күн бұрын
🤣🤣🤣
@barackamosi4116Ай бұрын
Mnafurahi kwamba mmempata mtu Alie kubali kufuga majini mwenzenu na idadi pia ya watu wa jeanamu idadi imeongezeka ndo Mana shehe ubwabwa kafurahi sana
@jumamnyonge2148
Ай бұрын
Wapi iyo verse inasema hivyo Wacha kusikiza chenye hakiko Kwa maandiko
@jjtm164Ай бұрын
Alidanganywa
@jumamnyonge2148
Ай бұрын
Nanani
@jumamnyonge2148
Ай бұрын
Kwani hawa wasabato hapo hawa wadanganyi
@jjtm164
Ай бұрын
@@jumamnyonge2148 kile wanaongea ni kweli
@jumamnyonge2148Ай бұрын
Wewe Paulo Niko na video yako ukitowa siri vile iyo haya ya shetani uwa mnapindisha mdomo umesahau wewe mwenyewe na Mdomo wako
@user-bl4vy5bo4fАй бұрын
Wapi mkutano huu
@jacksonmutunga4894
Ай бұрын
Mkutano ulikuwa pale Jakaranda wiki njana.
@trucillahgesare9501Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@khalfansaid4756Ай бұрын
Ww ndacha hunaakili unaendaje kumuuliza mtu Ambae amesilimu siku2 tu zilizopita ataijuaje quraan mbona ulipo pigwa maswli na Dr sule umeshika najjjjjjeeenngga hhooja unakimbia kujibu
@johnwamaarts6312
Ай бұрын
Mbona unakubali kitu haukijui? Hyo si n ujinga ...lazima ufanye research alafu uamini Kama una Imani pofu ,kesho utakua unaabudu shetani
@user-cf3fe3cu8v
Ай бұрын
Sasa kama hajui amesilim nn sasa wakat hajui
@GatekaNene
Ай бұрын
Khalfansaid Mbona ma shekhe wenu uwaga wanauliza ma swali watu ambao hawajuwi cocote kwenye maandiko matakatifu na wakikosa jibu wanawasilimisha hapo hapo sasa wewe ndo unaona kuwa Ndacha kafanya kosa lakini munayo yafany nyinyi hamuyaoni sindiyo?? Aceni izo waislamu tit for tati bro
@tyivbra
Ай бұрын
Unamuongelea Dr.Sulle Kilasiku mnampiga vita ila waislamu bwana😂
Пікірлер: 68
Niuzuni kubwa omosh kupotezwa na waislamu
Ndacha ubarikiwe, umefanya kazi nzuri sana. Mrudishe katika ukristo.
Duh kweli watu wanapotezwa tuwe makini kusoma vitabu na kuielewa biblia ili tuweze kumngoje Kristo Yesu tumaini letu
Mashallah omosh mungu ampe imani hiyo yakuamini mung mmoja bila ka na mwenzke
Ndacha ukona ukora mingi sana , soma next verse 104
Anataka wake wengi
Mtafu sheikh Ali karanja uone akiwanyorosha
Allahu Akbar
Weeee omosh itabidi utoke kwa dini ya kislam
Huyo Omosh hako serious! Inafaa akae chini ajichunguze.
Duh huyu jamaa Mungu amsamehe kweli 😂 shetani ana nguvu sana
@omosh one hour
Woooii maskin Omosh 😅😅😅
Omosh is on the right track.
@daudimichael7338
Ай бұрын
Unamdanganya, amepotea
@nicksnicks6201
Ай бұрын
He is lost
@user-ls1ix4rd8i
Ай бұрын
Wasilamu poleni hamjui mfanyalo
@jumamnyonge2148
Ай бұрын
@@user-ls1ix4rd8i ninyi ndiyo mna jielewa kweli this is week yesu ni mwana wa Mungu ndiyo next week Yesu ndiyo Mungu ndiyo
Yesu mwenyewe alikuwa anavaliya kanzu Na alisema tujifunze kwake wee suit umejifunza kwa mzungu kutoka Michigan American Yesu hakufikaga uko acheni ujinga wasabato
@jumamnyonge2148
Ай бұрын
Moto wakuwaka unawangoja
@jamesnjiru5928
Ай бұрын
Kanzu na suit ni nguo tu mavazi yalio sawa yako moyoni mwako, tabia na mienendo yako
@jumamnyonge2148
Ай бұрын
@@jamesnjiru5928 nisawa
@jumamnyonge2148
Ай бұрын
Ila ukiigia vile mitume walikuwa wanavaa si mbaya
Ndacha danganya wakiristo sio sisi.
@user-ls1ix4rd8i
Ай бұрын
Nyie wasilamu ndio mwadanganywa poleni!
@jumamnyonge2148
Ай бұрын
@@user-ls1ix4rd8i Kwa lipi
@jumamnyonge2148
Ай бұрын
@@user-ls1ix4rd8i nikulize wewe yesu ni kristo ama ni mkristo swali hilo
@jumamnyonge2148
Ай бұрын
Ili nione Kama wewe huja danganywa uko right
Je Muhammad bado ni Mtume ama alikuwa Mtume ?
Kwanza yesu hakuwa mkristo wala msabado Dini ya Mwanamke kutoka Michigan yesu hajuwi uko
@rwabu
Ай бұрын
Hongera kwa kubuni swali... Ila Wa Kristo wote duniani hakuna ambaye anafikiri hivyo ambavyo unafikiria!!! Vua Miwani ya kiislamu unapoutazama Ukristo!!! Hautauliza maswali ya aina hiyo tena!!!
@jumamnyonge2148
Ай бұрын
@@rwabu towa verse hapa yesu alikuwa mkristo ili Mimi na wewe tuwe nani atavua miwani na si story maandiko hapa aliingiya kanisa Gani la kisabato ama catholic ama Anglican hizi ndiyo kanisa kubwa
@jumamnyonge2148
Ай бұрын
@@rwabu mkristo wa kweli kama wewe lazima utapinga maneno ya Mungu then ya bible alafu ya Yesu lazima ukataye uyo ndiyo mkristo wakweli, mwambiye ndacha akupe iyo verse
@trutharchaeologist
29 күн бұрын
Yesu atakuwaje mkristo kama yeye ndiye Kristo? Wewe wajua maana ya mkristo?
@jumamnyonge2148
28 күн бұрын
@@trutharchaeologist sijuwi nieleze wewe unajuwa nipate kujua
Ndacha wewe nakutaka uje lolgoria n unipatize ama nikusilimishe.
Omosh ameingiya Uislamu juzi tu hata haja maliza kusoma ati unaenda kumuliza maswali akili zenu ziko sawa kweli wasabato
😂😂😂😂ikowapi full video 😂😂😂
🤣🤣🤣
Mnafurahi kwamba mmempata mtu Alie kubali kufuga majini mwenzenu na idadi pia ya watu wa jeanamu idadi imeongezeka ndo Mana shehe ubwabwa kafurahi sana
@jumamnyonge2148
Ай бұрын
Wapi iyo verse inasema hivyo Wacha kusikiza chenye hakiko Kwa maandiko
Alidanganywa
@jumamnyonge2148
Ай бұрын
Nanani
@jumamnyonge2148
Ай бұрын
Kwani hawa wasabato hapo hawa wadanganyi
@jjtm164
Ай бұрын
@@jumamnyonge2148 kile wanaongea ni kweli
Wewe Paulo Niko na video yako ukitowa siri vile iyo haya ya shetani uwa mnapindisha mdomo umesahau wewe mwenyewe na Mdomo wako
Wapi mkutano huu
@jacksonmutunga4894
Ай бұрын
Mkutano ulikuwa pale Jakaranda wiki njana.
😂😂😂😂😂😂
Ww ndacha hunaakili unaendaje kumuuliza mtu Ambae amesilimu siku2 tu zilizopita ataijuaje quraan mbona ulipo pigwa maswli na Dr sule umeshika najjjjjjeeenngga hhooja unakimbia kujibu
@johnwamaarts6312
Ай бұрын
Mbona unakubali kitu haukijui? Hyo si n ujinga ...lazima ufanye research alafu uamini Kama una Imani pofu ,kesho utakua unaabudu shetani
@user-cf3fe3cu8v
Ай бұрын
Sasa kama hajui amesilim nn sasa wakat hajui
@GatekaNene
Ай бұрын
Khalfansaid Mbona ma shekhe wenu uwaga wanauliza ma swali watu ambao hawajuwi cocote kwenye maandiko matakatifu na wakikosa jibu wanawasilimisha hapo hapo sasa wewe ndo unaona kuwa Ndacha kafanya kosa lakini munayo yafany nyinyi hamuyaoni sindiyo?? Aceni izo waislamu tit for tati bro
@tyivbra
Ай бұрын
Unamuongelea Dr.Sulle Kilasiku mnampiga vita ila waislamu bwana😂
@franciscomtambakuluca2830
Ай бұрын
Dr sule nae ata ajuwi kitu
Haki salama za omosh ooh walimundanganya kweli😂😂😂