Mungu akubariki Mtumishi Na hiyo suti ulio vaa Leo MCH. Ndacha 🎉🎉🎉
@furahag3098Ай бұрын
Bwana yesu asifiwe wapendwa wa mungu tuwaombee sana walimu wetu kwa ajili ya injili hii
@daudimichael7338Ай бұрын
Ok, Sule kakubali Injili, Torati, zaburi vipo kwenye Biblia. Safi
@JaneKyusa-xy9xzАй бұрын
Mwalimu ndacha ninakuombea Mungu akutie nguvu na Yesu akaonekane ukatumike Kama chombo na Yesu akanene mkutano wakaisikie sauti yake ktk siku hizi za mwisho Amina.
@JojoSrena
Ай бұрын
Amina
@rehemashariff3119Ай бұрын
Barikiwa sana mtumshi wa Mungu wa kweli ndacha mwambie sule neema ile walio ipata waibrania hata sisi tumeipata kuitwa wana wa Mungu neema bado ipo sule okoka mpokee Yesu krito usije kujuta siku moja😊
@dicksonmbuvi2756Ай бұрын
Wah!!!na ndacha anapendeza kwelikweli❤❤
@DanielErnest-nn2zjАй бұрын
Yesu krisro atashinda hilo halina shida Mungu awatangulie Yesu kristo akaonekane kupitia nyie watumishi wa Mungu❤❤❤❤
@catherinenyokabi5746Ай бұрын
Nina mshukuru MUNGU kwa kutufikisha wakati huu na nina amini MUNGU atamtumia mtumishi wake Ndacha kudhihilisha UUNGU wa YESU na kifo chake MUNGU awe pamoja nanyi
@user-ls1ix4rd8iАй бұрын
God bless you mwalimu Ndacha
@user-oy7cy3ci4gАй бұрын
Majini y Sulle lazima kesho yakome
@JumaOnyancha-se8luАй бұрын
Ndacha Mungu akulinde
@winnieofutare5324Ай бұрын
Mungu akulinde na akutende mema mwalimu Ndacha,tunakuombea sana na tuko nyuma yako kwa njia ya mtandao,tuko tayari sana kwa mjadala huo na tunaomba roho wa mungu akuongoze katika kujibu hoja zake Dr Sule.Lakini mm kama mkristo nina imani shetani hana nguvu wala mamlaka juu yetu🙏
@JustinLikwelileАй бұрын
Mungu awe nasi siku izi mbili tukabadilishe hatma ya waislamu kuwa hatma njema, Mungu akusimamie ndacha kwanza tunaamini ushamaliza kazi.
@user-ic5yl7mz4dАй бұрын
Doctor sule habari yako Umekua na kitambi Hakika Kazi ya injili inaendelea vizuri
@fingilijacob2585Ай бұрын
Kazi njema mwalimu wangu NDACHA
@EmmanuelMaganga-be7blАй бұрын
Barikiwa sana mtumishi ndacha kwa kazi tukufu uifanyayo mungu akujaliae
@fauwilliam6780Ай бұрын
Napenda unavyojiamini mwalim ndacha ubarikiwe sana
@zuhraall02Ай бұрын
Amen tunawaombea sana Mungu awajalie Afya mzidi kutetea Imani..
@KisaBwivugeАй бұрын
Mwalimu wetu ndacha ulindwe Na Mungu
@PeterObiri-wj1izАй бұрын
I love them all ❤
@PhilipBulikaАй бұрын
Barikiwa sana watumishi mnapo fanyakazi ya baba mungu awatie nguvu
@bustedislam3578Ай бұрын
Huyu Sule hana lolote. Anapiga mdomo pekeyake bila kutoa andiko lolote. Tafadhali, inafaa awe ana thibitisha hoja zake kwa andiko pekeyake. Ujuzi wake uhakikishwe kwa andiko. Historia zote azioneshe kwa andiko, hata kwa gazeti
@NicodemusMutua-pf8kpАй бұрын
Waislamu ujumbe bado waendelea kuwafikia .Amina
@themessage3508Ай бұрын
Kupitia ndacha MUNGU amenena na waislam
@opujejoshmahjoshmah1432Ай бұрын
Vindume vya Mwana wa Mungu wamefika
@KokoloLambinguniАй бұрын
Mnaona wa tz wenzangu na wote wamwaminio MUNGU wetu sote ni ndugu watoto wa Baba mmoja akuna matukano wala kashifa achana na udini MUNGU hanaga dini wala akunaga dini bora kuliko nyingine
@evangelistvictor9728Ай бұрын
Barikiwa Mwalimu wangu Ndacha pamoja Na Mwalimu Frank Onyango, Joelrum Mutisya Na sound engineer Hassan... Mungu awe nanyi
@E.C.M.E.D.J.TV1Ай бұрын
Pr ndacha fundisha dr sule uungu wa yesu
@opujejoshmahjoshmah1432Ай бұрын
Haya yote ni Ushahidi kwao waislaam
@junicnamuwenge6957Ай бұрын
Amen 🙏🙏🇸🇦🇸🇦🇸🇦
@kisakanzotah5861Ай бұрын
niwakati wakuzifanya kazizake aliyetupeleka maadam ni mchana.sasa ndio muda wakupiga Sauti kuu.Barikiweni
@ICON633Ай бұрын
ambia sule next time avae VEST
@jofreyevansantony2770Ай бұрын
❤❤❤ amém
@moseskaora5120Ай бұрын
Sauti haiko sawa, iko chini sana
@lawrenceoyugi7460Ай бұрын
Na mjue huyo sule alikubali kusaidiwa na majini , junga yeye sana ana majini huyo
@mwosoАй бұрын
Huyo lazima atabatizwa! Mwalimu Ndacha atamuelimisha tu polepole
@PeterObiri-wj1izАй бұрын
Sule pia nakuheshimu bro sasa tupangie elimu
@daudimichael7338Ай бұрын
Nashauri kuwe na kipindi cha maombi ya nguvu ukumbini mapepo yao yatalipuka tu watapoteana na hapo kazi itakuwa imeisha.
@PeterObiri-wj1izАй бұрын
Am waiting
@barackamosi4116Ай бұрын
Mchungaji na sheh Yani hapo Kama paka na panya😅
@alphamboi4011Ай бұрын
Tuna kuamini dacha MUNGU akulide na akuoe nguvu na neema waokoke waislam wapiga KRISTO
@lihandacomedy1520Ай бұрын
God bless you people 🙏😇
@user-zs3ps7rv9qАй бұрын
Sauti iwekwe sawa jameni
@dannyosolo2752Ай бұрын
Dr Sule ni shujaa wa Islam...Na vile vile Ndacha ni bingwa wa Yesu
@GeraldMswazi-bp2kwАй бұрын
Mwalimu mitambo yako inakuangusha,video Na Sauti haviko Sawa.
@PeterObiri-wj1izАй бұрын
Waislsm na xstian ni moja tu...
@ChristophedecisionWendoАй бұрын
Pasta ndacha tunakusamini usituangushe
@BoystudiosKEАй бұрын
Ndacha kwa hizi topic zimechaguliwa kama utayarudia maneno ulisema ukiwa Congo kimekuramba ndugu yangu,
@JoviniFaida-uj5qbАй бұрын
Hiyo mada kwa ndacha ni chamtoto
@QweAsd-ry7tbАй бұрын
Mjadala uwe kwa street hii mambo kujificha kwenye madanguro tuachane nayo.
@kimanimuikamba4714Ай бұрын
Je.. Dr sule atasaidiwa na majini?
@user-dh7yg6dl5eАй бұрын
Na ww sule nunua kanzu kubwa acha kutuvalia kikanzu kimodo km daimondi ndio maana ata waislamu wenzako wanakuchukia mda mwingine unafanya vitu sio cheki kikanzu umevaa umekaa kimekubana km nini
@japhetndoro6533Ай бұрын
Kitu ambacho kinanifurahisha Kwa ndacha Hababaiki na mada
@sbctvswahilibaptistchurcht3548Ай бұрын
Brother Ndacha unaweza kunipa number yako ya sim tuwasiliane please🇺🇸.
@BIBLIANURUYADUNIA
Ай бұрын
+254705602959
@sbctvswahilibaptistchurcht3548
Ай бұрын
@@BIBLIANURUYADUNIA mimi niko USA na nime jaribu kukutafuta WhatsApp sija kupata Mtu wa Mungu.
Пікірлер: 59
Mungu akubariki Mtumishi Na hiyo suti ulio vaa Leo MCH. Ndacha 🎉🎉🎉
Bwana yesu asifiwe wapendwa wa mungu tuwaombee sana walimu wetu kwa ajili ya injili hii
Ok, Sule kakubali Injili, Torati, zaburi vipo kwenye Biblia. Safi
Mwalimu ndacha ninakuombea Mungu akutie nguvu na Yesu akaonekane ukatumike Kama chombo na Yesu akanene mkutano wakaisikie sauti yake ktk siku hizi za mwisho Amina.
@JojoSrena
Ай бұрын
Amina
Barikiwa sana mtumshi wa Mungu wa kweli ndacha mwambie sule neema ile walio ipata waibrania hata sisi tumeipata kuitwa wana wa Mungu neema bado ipo sule okoka mpokee Yesu krito usije kujuta siku moja😊
Wah!!!na ndacha anapendeza kwelikweli❤❤
Yesu krisro atashinda hilo halina shida Mungu awatangulie Yesu kristo akaonekane kupitia nyie watumishi wa Mungu❤❤❤❤
Nina mshukuru MUNGU kwa kutufikisha wakati huu na nina amini MUNGU atamtumia mtumishi wake Ndacha kudhihilisha UUNGU wa YESU na kifo chake MUNGU awe pamoja nanyi
God bless you mwalimu Ndacha
Majini y Sulle lazima kesho yakome
Ndacha Mungu akulinde
Mungu akulinde na akutende mema mwalimu Ndacha,tunakuombea sana na tuko nyuma yako kwa njia ya mtandao,tuko tayari sana kwa mjadala huo na tunaomba roho wa mungu akuongoze katika kujibu hoja zake Dr Sule.Lakini mm kama mkristo nina imani shetani hana nguvu wala mamlaka juu yetu🙏
Mungu awe nasi siku izi mbili tukabadilishe hatma ya waislamu kuwa hatma njema, Mungu akusimamie ndacha kwanza tunaamini ushamaliza kazi.
Doctor sule habari yako Umekua na kitambi Hakika Kazi ya injili inaendelea vizuri
Kazi njema mwalimu wangu NDACHA
Barikiwa sana mtumishi ndacha kwa kazi tukufu uifanyayo mungu akujaliae
Napenda unavyojiamini mwalim ndacha ubarikiwe sana
Amen tunawaombea sana Mungu awajalie Afya mzidi kutetea Imani..
Mwalimu wetu ndacha ulindwe Na Mungu
I love them all ❤
Barikiwa sana watumishi mnapo fanyakazi ya baba mungu awatie nguvu
Huyu Sule hana lolote. Anapiga mdomo pekeyake bila kutoa andiko lolote. Tafadhali, inafaa awe ana thibitisha hoja zake kwa andiko pekeyake. Ujuzi wake uhakikishwe kwa andiko. Historia zote azioneshe kwa andiko, hata kwa gazeti
Waislamu ujumbe bado waendelea kuwafikia .Amina
Kupitia ndacha MUNGU amenena na waislam
Vindume vya Mwana wa Mungu wamefika
Mnaona wa tz wenzangu na wote wamwaminio MUNGU wetu sote ni ndugu watoto wa Baba mmoja akuna matukano wala kashifa achana na udini MUNGU hanaga dini wala akunaga dini bora kuliko nyingine
Barikiwa Mwalimu wangu Ndacha pamoja Na Mwalimu Frank Onyango, Joelrum Mutisya Na sound engineer Hassan... Mungu awe nanyi
Pr ndacha fundisha dr sule uungu wa yesu
Haya yote ni Ushahidi kwao waislaam
Amen 🙏🙏🇸🇦🇸🇦🇸🇦
niwakati wakuzifanya kazizake aliyetupeleka maadam ni mchana.sasa ndio muda wakupiga Sauti kuu.Barikiweni
ambia sule next time avae VEST
❤❤❤ amém
Sauti haiko sawa, iko chini sana
Na mjue huyo sule alikubali kusaidiwa na majini , junga yeye sana ana majini huyo
Huyo lazima atabatizwa! Mwalimu Ndacha atamuelimisha tu polepole
Sule pia nakuheshimu bro sasa tupangie elimu
Nashauri kuwe na kipindi cha maombi ya nguvu ukumbini mapepo yao yatalipuka tu watapoteana na hapo kazi itakuwa imeisha.
Am waiting
Mchungaji na sheh Yani hapo Kama paka na panya😅
Tuna kuamini dacha MUNGU akulide na akuoe nguvu na neema waokoke waislam wapiga KRISTO
God bless you people 🙏😇
Sauti iwekwe sawa jameni
Dr Sule ni shujaa wa Islam...Na vile vile Ndacha ni bingwa wa Yesu
Mwalimu mitambo yako inakuangusha,video Na Sauti haviko Sawa.
Waislsm na xstian ni moja tu...
Pasta ndacha tunakusamini usituangushe
Ndacha kwa hizi topic zimechaguliwa kama utayarudia maneno ulisema ukiwa Congo kimekuramba ndugu yangu,
Hiyo mada kwa ndacha ni chamtoto
Mjadala uwe kwa street hii mambo kujificha kwenye madanguro tuachane nayo.
Je.. Dr sule atasaidiwa na majini?
Na ww sule nunua kanzu kubwa acha kutuvalia kikanzu kimodo km daimondi ndio maana ata waislamu wenzako wanakuchukia mda mwingine unafanya vitu sio cheki kikanzu umevaa umekaa kimekubana km nini
Kitu ambacho kinanifurahisha Kwa ndacha Hababaiki na mada
Brother Ndacha unaweza kunipa number yako ya sim tuwasiliane please🇺🇸.
@BIBLIANURUYADUNIA
Ай бұрын
+254705602959
@sbctvswahilibaptistchurcht3548
Ай бұрын
@@BIBLIANURUYADUNIA mimi niko USA na nime jaribu kukutafuta WhatsApp sija kupata Mtu wa Mungu.
@JoviniFaida-uj5qb
Ай бұрын
Vpi nisaidie namba yako ndugu