SULE ANAELEKEA KUA MKRISTO WIKENDI HII

SULE ANAELEKEA KUA MKRISTO WIKENDI HII

Пікірлер: 59

  • @user-oy7cy3ci4g
    @user-oy7cy3ci4gАй бұрын

    Mungu akubariki Mtumishi Na hiyo suti ulio vaa Leo MCH. Ndacha 🎉🎉🎉

  • @furahag3098
    @furahag3098Ай бұрын

    Bwana yesu asifiwe wapendwa wa mungu tuwaombee sana walimu wetu kwa ajili ya injili hii

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338Ай бұрын

    Ok, Sule kakubali Injili, Torati, zaburi vipo kwenye Biblia. Safi

  • @JaneKyusa-xy9xz
    @JaneKyusa-xy9xzАй бұрын

    Mwalimu ndacha ninakuombea Mungu akutie nguvu na Yesu akaonekane ukatumike Kama chombo na Yesu akanene mkutano wakaisikie sauti yake ktk siku hizi za mwisho Amina.

  • @JojoSrena

    @JojoSrena

    Ай бұрын

    Amina

  • @rehemashariff3119
    @rehemashariff3119Ай бұрын

    Barikiwa sana mtumshi wa Mungu wa kweli ndacha mwambie sule neema ile walio ipata waibrania hata sisi tumeipata kuitwa wana wa Mungu neema bado ipo sule okoka mpokee Yesu krito usije kujuta siku moja😊

  • @dicksonmbuvi2756
    @dicksonmbuvi2756Ай бұрын

    Wah!!!na ndacha anapendeza kwelikweli❤❤

  • @DanielErnest-nn2zj
    @DanielErnest-nn2zjАй бұрын

    Yesu krisro atashinda hilo halina shida Mungu awatangulie Yesu kristo akaonekane kupitia nyie watumishi wa Mungu❤❤❤❤

  • @catherinenyokabi5746
    @catherinenyokabi5746Ай бұрын

    Nina mshukuru MUNGU kwa kutufikisha wakati huu na nina amini MUNGU atamtumia mtumishi wake Ndacha kudhihilisha UUNGU wa YESU na kifo chake MUNGU awe pamoja nanyi

  • @user-ls1ix4rd8i
    @user-ls1ix4rd8iАй бұрын

    God bless you mwalimu Ndacha

  • @user-oy7cy3ci4g
    @user-oy7cy3ci4gАй бұрын

    Majini y Sulle lazima kesho yakome

  • @JumaOnyancha-se8lu
    @JumaOnyancha-se8luАй бұрын

    Ndacha Mungu akulinde

  • @winnieofutare5324
    @winnieofutare5324Ай бұрын

    Mungu akulinde na akutende mema mwalimu Ndacha,tunakuombea sana na tuko nyuma yako kwa njia ya mtandao,tuko tayari sana kwa mjadala huo na tunaomba roho wa mungu akuongoze katika kujibu hoja zake Dr Sule.Lakini mm kama mkristo nina imani shetani hana nguvu wala mamlaka juu yetu🙏

  • @JustinLikwelile
    @JustinLikwelileАй бұрын

    Mungu awe nasi siku izi mbili tukabadilishe hatma ya waislamu kuwa hatma njema, Mungu akusimamie ndacha kwanza tunaamini ushamaliza kazi.

  • @user-ic5yl7mz4d
    @user-ic5yl7mz4dАй бұрын

    Doctor sule habari yako Umekua na kitambi Hakika Kazi ya injili inaendelea vizuri

  • @fingilijacob2585
    @fingilijacob2585Ай бұрын

    Kazi njema mwalimu wangu NDACHA

  • @EmmanuelMaganga-be7bl
    @EmmanuelMaganga-be7blАй бұрын

    Barikiwa sana mtumishi ndacha kwa kazi tukufu uifanyayo mungu akujaliae

  • @fauwilliam6780
    @fauwilliam6780Ай бұрын

    Napenda unavyojiamini mwalim ndacha ubarikiwe sana

  • @zuhraall02
    @zuhraall02Ай бұрын

    Amen tunawaombea sana Mungu awajalie Afya mzidi kutetea Imani..

  • @KisaBwivuge
    @KisaBwivugeАй бұрын

    Mwalimu wetu ndacha ulindwe Na Mungu

  • @PeterObiri-wj1iz
    @PeterObiri-wj1izАй бұрын

    I love them all ❤

  • @PhilipBulika
    @PhilipBulikaАй бұрын

    Barikiwa sana watumishi mnapo fanyakazi ya baba mungu awatie nguvu

  • @bustedislam3578
    @bustedislam3578Ай бұрын

    Huyu Sule hana lolote. Anapiga mdomo pekeyake bila kutoa andiko lolote. Tafadhali, inafaa awe ana thibitisha hoja zake kwa andiko pekeyake. Ujuzi wake uhakikishwe kwa andiko. Historia zote azioneshe kwa andiko, hata kwa gazeti

  • @NicodemusMutua-pf8kp
    @NicodemusMutua-pf8kpАй бұрын

    Waislamu ujumbe bado waendelea kuwafikia .Amina

  • @themessage3508
    @themessage3508Ай бұрын

    Kupitia ndacha MUNGU amenena na waislam

  • @opujejoshmahjoshmah1432
    @opujejoshmahjoshmah1432Ай бұрын

    Vindume vya Mwana wa Mungu wamefika

  • @KokoloLambinguni
    @KokoloLambinguniАй бұрын

    Mnaona wa tz wenzangu na wote wamwaminio MUNGU wetu sote ni ndugu watoto wa Baba mmoja akuna matukano wala kashifa achana na udini MUNGU hanaga dini wala akunaga dini bora kuliko nyingine

  • @evangelistvictor9728
    @evangelistvictor9728Ай бұрын

    Barikiwa Mwalimu wangu Ndacha pamoja Na Mwalimu Frank Onyango, Joelrum Mutisya Na sound engineer Hassan... Mungu awe nanyi

  • @E.C.M.E.D.J.TV1
    @E.C.M.E.D.J.TV1Ай бұрын

    Pr ndacha fundisha dr sule uungu wa yesu

  • @opujejoshmahjoshmah1432
    @opujejoshmahjoshmah1432Ай бұрын

    Haya yote ni Ushahidi kwao waislaam

  • @junicnamuwenge6957
    @junicnamuwenge6957Ай бұрын

    Amen 🙏🙏🇸🇦🇸🇦🇸🇦

  • @kisakanzotah5861
    @kisakanzotah5861Ай бұрын

    niwakati wakuzifanya kazizake aliyetupeleka maadam ni mchana.sasa ndio muda wakupiga Sauti kuu.Barikiweni

  • @ICON633
    @ICON633Ай бұрын

    ambia sule next time avae VEST

  • @jofreyevansantony2770
    @jofreyevansantony2770Ай бұрын

    ❤❤❤ amém

  • @moseskaora5120
    @moseskaora5120Ай бұрын

    Sauti haiko sawa, iko chini sana

  • @lawrenceoyugi7460
    @lawrenceoyugi7460Ай бұрын

    Na mjue huyo sule alikubali kusaidiwa na majini , junga yeye sana ana majini huyo

  • @mwoso
    @mwosoАй бұрын

    Huyo lazima atabatizwa! Mwalimu Ndacha atamuelimisha tu polepole

  • @PeterObiri-wj1iz
    @PeterObiri-wj1izАй бұрын

    Sule pia nakuheshimu bro sasa tupangie elimu

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338Ай бұрын

    Nashauri kuwe na kipindi cha maombi ya nguvu ukumbini mapepo yao yatalipuka tu watapoteana na hapo kazi itakuwa imeisha.

  • @PeterObiri-wj1iz
    @PeterObiri-wj1izАй бұрын

    Am waiting

  • @barackamosi4116
    @barackamosi4116Ай бұрын

    Mchungaji na sheh Yani hapo Kama paka na panya😅

  • @alphamboi4011
    @alphamboi4011Ай бұрын

    Tuna kuamini dacha MUNGU akulide na akuoe nguvu na neema waokoke waislam wapiga KRISTO

  • @lihandacomedy1520
    @lihandacomedy1520Ай бұрын

    God bless you people 🙏😇

  • @user-zs3ps7rv9q
    @user-zs3ps7rv9qАй бұрын

    Sauti iwekwe sawa jameni

  • @dannyosolo2752
    @dannyosolo2752Ай бұрын

    Dr Sule ni shujaa wa Islam...Na vile vile Ndacha ni bingwa wa Yesu

  • @GeraldMswazi-bp2kw
    @GeraldMswazi-bp2kwАй бұрын

    Mwalimu mitambo yako inakuangusha,video Na Sauti haviko Sawa.

  • @PeterObiri-wj1iz
    @PeterObiri-wj1izАй бұрын

    Waislsm na xstian ni moja tu...

  • @ChristophedecisionWendo
    @ChristophedecisionWendoАй бұрын

    Pasta ndacha tunakusamini usituangushe

  • @BoystudiosKE
    @BoystudiosKEАй бұрын

    Ndacha kwa hizi topic zimechaguliwa kama utayarudia maneno ulisema ukiwa Congo kimekuramba ndugu yangu,

  • @JoviniFaida-uj5qb
    @JoviniFaida-uj5qbАй бұрын

    Hiyo mada kwa ndacha ni chamtoto

  • @QweAsd-ry7tb
    @QweAsd-ry7tbАй бұрын

    Mjadala uwe kwa street hii mambo kujificha kwenye madanguro tuachane nayo.

  • @kimanimuikamba4714
    @kimanimuikamba4714Ай бұрын

    Je.. Dr sule atasaidiwa na majini?

  • @user-dh7yg6dl5e
    @user-dh7yg6dl5eАй бұрын

    Na ww sule nunua kanzu kubwa acha kutuvalia kikanzu kimodo km daimondi ndio maana ata waislamu wenzako wanakuchukia mda mwingine unafanya vitu sio cheki kikanzu umevaa umekaa kimekubana km nini

  • @japhetndoro6533
    @japhetndoro6533Ай бұрын

    Kitu ambacho kinanifurahisha Kwa ndacha Hababaiki na mada

  • @sbctvswahilibaptistchurcht3548
    @sbctvswahilibaptistchurcht3548Ай бұрын

    Brother Ndacha unaweza kunipa number yako ya sim tuwasiliane please🇺🇸.

  • @BIBLIANURUYADUNIA

    @BIBLIANURUYADUNIA

    Ай бұрын

    +254705602959

  • @sbctvswahilibaptistchurcht3548

    @sbctvswahilibaptistchurcht3548

    Ай бұрын

    @@BIBLIANURUYADUNIA mimi niko USA na nime jaribu kukutafuta WhatsApp sija kupata Mtu wa Mungu.

  • @JoviniFaida-uj5qb

    @JoviniFaida-uj5qb

    Ай бұрын

    Vpi nisaidie namba yako ndugu