Mwingine aliyetoka gizani na kuongoka

Straight Path Association continues to spread the message of Islam to the Non Muslims and reminding the Muslims. Please subscribe to our channel to support our dawah activities.

Пікірлер: 395

  • @aaibrahim4487
    @aaibrahim44872 жыл бұрын

    They aimed to bring confusion in Islam but Allah barricade their evil idiology, They planned but forgotten that Allah is the best of planners.... Mashallah great work

  • @Mombasaweldingworks

    @Mombasaweldingworks

    2 жыл бұрын

    Only by the blood of jesus all you have to do is to let him into your crooked inner self and you will be whole again...

  • @sevenscounty409

    @sevenscounty409

    2 жыл бұрын

    @@Mombasaweldingworks we love jesus more than u so called Christians, just so u know

  • @Mombasaweldingworks

    @Mombasaweldingworks

    2 жыл бұрын

    @@sevenscounty409 say you love isa ,but not our lord Jesus from the holy bible who died for our sins..

  • @marianachriss2444
    @marianachriss24442 жыл бұрын

    YESU KRISTO ndio Njia ya kweli na uzima,na Ndio Nuru ya ulimwengu wote

  • @patiancekelvine8678

    @patiancekelvine8678

    2 жыл бұрын

    Kila ulimi utakir ya kuwa Yesu ndie Bwana Huu ni mwanzo tu,, wimbi la wokovu laja tena wokovu wa kweli sio huu wa kupapasapapasa maana watu wataokoka sanaaa maana kumuamini Yesu ndio njia ya pekee kwenda kwa Mungu Baba

  • @marianachriss2444

    @marianachriss2444

    2 жыл бұрын

    @@patiancekelvine8678 Ameeen Haleluyaaaa

  • @erickotero5759

    @erickotero5759

    2 жыл бұрын

    True Jesus is the way

  • @marianachriss2444

    @marianachriss2444

    2 жыл бұрын

    @@erickotero5759 Halelujah Halelujah JESUS CHRIST is Lord of Lord and King of king lion of judah alpha and omega

  • @essyjerry9482

    @essyjerry9482

    2 жыл бұрын

    Amen na yesu kristo yuaja

  • @Evnelsonkariuki
    @Evnelsonkariuki2 жыл бұрын

    Jesus is Lord..Mungu akusamehe..Usitukane ukristo..

  • @phoebemwikali
    @phoebemwikali2 жыл бұрын

    We all need peace nothing else ...kindly preach peace

  • @rayaali7551
    @rayaali75512 жыл бұрын

    Bismilaaah maasha allaah alhamdulilaaah yaaraby azidi kutuhidi na kutuongoza na kutuongowa katika njia iliyo nyooka yaaraby AAMEENA YAARABY🤲🤲🤲🙏🙏🙏

  • @hadiyamohamed594
    @hadiyamohamed5942 жыл бұрын

    Huu ni msiba mkubwa kutowafundisha dini watoto wetu . 😭😭😭😭Huu ni mtihani kwa kila mzazi lazima mtoto I mfundishe dini iko awe na nguzo imara ya kutopotezwa . Shukran sheikh Allah ndie atakulipa kwa ujira wako

  • @Nana-do5po
    @Nana-do5po2 жыл бұрын

    Right now in Kenya we are in peace time let's peace prevail.

  • @alhamdulillah5796

    @alhamdulillah5796

    2 жыл бұрын

    Ikiwa siasa haijakutoeni kwenye amani...dini itakutoeni vp???

  • @dorcasatieno3705

    @dorcasatieno3705

    2 жыл бұрын

    asante daa MUNGU akubariki sana tuko na amani

  • @halma7764

    @halma7764

    2 жыл бұрын

    Mashaallah

  • @nooor1120
    @nooor1120 Жыл бұрын

    Maa shaa Allah natamani niwe nimekuzaa mimi sheikh Ramadhan. Nakuombea kwa Allah akuhifadhi na akujaalie dua zako ziwe mustajabah.

  • @suheilahsuheilah4968
    @suheilahsuheilah49682 жыл бұрын

    subhanaallah ya rabby tuokoe umm wa mtume s.a.w kwa siku tukufu zibadilishe nyoyo za waja wako ya rabby Tue kitu kimoja na tuishike bendera yetu ya LAILAHA ILALLAH MUHAMMED RASULULLAH YA RABBY

  • @yusufmwangichannel6692
    @yusufmwangichannel66922 жыл бұрын

    Masha Allah, Allahu Akbar, Allah akuzidishie elimu, umri na afya njema sheikh wetu Ramadhan na Allah atupe mwisho mwema sote waislamu pamoja na vizazi vyetu Allah Humma Amiin

  • @davidmarimi6598
    @davidmarimi65982 жыл бұрын

    Nafikiri nimakosa kwa mkristo kwenda msikitini kufuata wakristo wanaosilimu. Vivyo hivyo Ramadan kuria hafai kwenda kanisani kufuata waisilamu wanaohudhuria huko. Sheikh ananjia zingine anaweza kutumia kushawishi waisilamu wasiende huko. Tuheshimu uhuru wa kuabudu.

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe78232 жыл бұрын

    Alhamdulilah Allah ashukuruwe kwakweli Shekhe Ramadhani Allah atakulipa.

  • @ukweliwauislamu9590
    @ukweliwauislamu95902 жыл бұрын

    Masha Allah , JazakAllahu kheyran ustadh Ramadhan kuria ....

  • @rooseupojuubuanaaarose3011
    @rooseupojuubuanaaarose30112 жыл бұрын

    Masha Allah tabarak Allah.....tupo duniani kulingania dini sheikh wetu

  • @seniorcade1784
    @seniorcade17842 жыл бұрын

    M.a sheikh Ramadhan Allah akurahisishie kazi ya daawah ....kwa juhudi yako InshaAllh uta badilisha makanisa mengi kuwa msikiti,.

  • @StraightPathDawah

    @StraightPathDawah

    2 жыл бұрын

    Allah atujaalie

  • @andallaathman3856

    @andallaathman3856

    2 жыл бұрын

    @@StraightPathDawah Amin 🙏

  • @andallaathman3856

    @andallaathman3856

    2 жыл бұрын

    @@StraightPathDawah Amin 🙏

  • @jamalathman6219
    @jamalathman62192 жыл бұрын

    Shukran sheikh ramadhan kwa juhudi zako za da'waa,Allah akulipe pepo

  • @StraightPathDawah

    @StraightPathDawah

    2 жыл бұрын

    Ameen

  • @dennistwala206
    @dennistwala2062 жыл бұрын

    Umesema kuna uhuru wa kuabudu na pia muislamu hafai kutukana dini zingine, in your previous clips it's obvious wewe mwenyewe umetoa kejeli, umeonyesha uhasama/chuki flani. What you're show is double standards, you're not walking the talk. Alaf kuhusu point ya vitamba haviponyi ni Mungu, nakubaliana na wewe kabisa, ila Yesu alipomponya kipofu batimayo, alitema mate chini akiunda tope na kumpaka machoni hatimoye upofu ukamtoka, kwa si vitamba si matope, ni nguvu ziko behind it na imani yako. Unafanya vyema kuhubiri uislamu, lakini fanya kihekima, kwa upendo bila chuki, maana hivyo inakuwa rahisi kushawishi mtu kuwa muumini. As you said we have freedom of worship, lets respect it, it's a person choice, for God does not force Himself on us, He has given us a choice to worship Him. Personally I have grown with Muslim brothers and sisters peaceful and with love, and they used to share their teachings to me but not like the way you're doing, in theu would easily persuade us, hii yako ni kama tisho flani. If you wish to win souls, stick to teaching Islam, show us umuhimu wake, leave other religions, fighting them and showing hatred towards them, wont make you win more souls. Nmesema kwa upendo, natumai despite our differences, we continue to live in peace and harmony.

  • @ibrahimdawood6547

    @ibrahimdawood6547

    2 жыл бұрын

    Kama kuna uhuru wa kuabudu, mbona wanatishia huyo mama mjane asiende kuabudu kanisani na wanamlazimisha kwenda msikitini?

  • @katherinasamwel3937

    @katherinasamwel3937

    2 жыл бұрын

    Huyu shehena ana shuki na dini yetu YESU ndio njia ya kweri na umima sasa huyo dada simjane na dini ya kiisilamu ina luhusu kuoa wake wengi shehe bola umuoe tuu huyo mjanee 😄😄

  • @blackke6085

    @blackke6085

    2 жыл бұрын

    Sheikh Ramadan amejaa chuki tu na wakristo

  • @fjghfufgg3227

    @fjghfufgg3227

    2 жыл бұрын

    @@blackke6085 hio ni kweli kabisa na haifai ivo sisi sote tuliumbwa na Mungu

  • @fjghfufgg3227

    @fjghfufgg3227

    2 жыл бұрын

    @@ibrahimdawood6547 Sasa hapo wanafanya makosa mbona iwe lazima ya kua muslim ilhali mtu ni halali yake, kwani kua Muslim ni lazima??si bora mtu aende pale anapotaka na pia Mungu ni yule yule so wacheni watu wawe huru muache kuwafunga

  • @geegunen9219
    @geegunen92192 жыл бұрын

    MashaAllah Ustadh Wangu Ramadan

  • @amsodewiz4901
    @amsodewiz4901 Жыл бұрын

    Mwenyezi atujaalie kheri ustadh

  • @mahdiyusuf3431
    @mahdiyusuf34312 жыл бұрын

    May Allah bless you Sheekh luck off understanding their own faith Allah sw only can cure and no one can help you May Allah give understanding of faith

  • @maryambintukhadija1604
    @maryambintukhadija16042 жыл бұрын

    Maa Shaa Allah shekh wangu ramadhaan kuria bin kaguo

  • @abdalaauame3863
    @abdalaauame38632 жыл бұрын

    Mashalla allbdulilai ustaz ramazane

  • @bentybenty2343
    @bentybenty23432 жыл бұрын

    Waaleykum salaam warahmatullah wabarakatuh sheikh Ramadhan. ALLAH akuepushe na hasad na akulinde sheikh wetu..

  • @StraightPathDawah

    @StraightPathDawah

    2 жыл бұрын

    Allahuma ameen

  • @mahdiyusuf3431
    @mahdiyusuf34312 жыл бұрын

    Sheekh Ramathan May Allah bless you Amiin

  • @rassorabbat8761
    @rassorabbat87612 жыл бұрын

    Ustadh rama mola akuzidishie zaidi

  • @StraightPathDawah

    @StraightPathDawah

    2 жыл бұрын

    Ameen

  • @furahamossi3199
    @furahamossi31992 жыл бұрын

    Mansha Allah sheikh tabarakallah Allah akulipe kheir insha Allah watarejeya Allah yupo pamoja nanyi

  • @StraightPathDawah

    @StraightPathDawah

    2 жыл бұрын

    Ameen

  • @khadijakhamis381
    @khadijakhamis3812 жыл бұрын

    Ma shaa Allah mungu amuhifadhi na amuongoze

  • @zainabumwagiroabdallamwagi97
    @zainabumwagiroabdallamwagi972 жыл бұрын

    Dadaangu mungu amekuonesha nuru na hiyo ndoto yako ni njema na inakuonesha ufuate njia iliyonyooka ,njia yawale aliowaneemesha mwezimungu,nao ni mitume na masahaba na wajawema waliotangulia uachane na hiyo njia ya waliopotezwa na kupotea.

  • @nuruali9608
    @nuruali96082 жыл бұрын

    ALLAH AKULIPE KHEIR USTADH RAMADHAN NA AKUJAALIE NUSRA KILLA UNAPOKWENDA NA HUYO DADAETU ALLAH AMPE MAISHA YA KHERI NA BARKA KWA KUMRUDIA MOLA WAKE...NA WENGINE WALIOTOKA KWENYE DINI ALLAH AWARUDISHE....AAMIIIN AAMIIIN..YAARABB.M

  • @StraightPathDawah

    @StraightPathDawah

    2 жыл бұрын

    Ameen

  • @sakinat2527

    @sakinat2527

    2 жыл бұрын

    Amiin

  • @hamoodalrawahy2026
    @hamoodalrawahy20262 жыл бұрын

    MAASHAA ALLAH MAASHAA ALLAH MAASHAA ALLAH. TABARAKA RAHMAN ALLAH AZIDI WA IBAREEK

  • @abdiaosman4488
    @abdiaosman44882 жыл бұрын

    Mashallah ustadh kuria.. endelea kuwabia ukweli Allah atakulipa in sha Allah

  • @StraightPathDawah

    @StraightPathDawah

    2 жыл бұрын

    Ameen

  • @jumanjenga7682
    @jumanjenga76822 жыл бұрын

    Good job Ustaz

  • @StraightPathDawah

    @StraightPathDawah

    2 жыл бұрын

    Shukran jazeelan

  • @jacquesuwezo228
    @jacquesuwezo228 Жыл бұрын

    Wewe sheh jiangaliye utapigwa na Mungu acha kufatiliya yasio kuusu acha kuzuwiya watu wamjuwe Mungu wakweli

  • @norahmwenyewe.2799
    @norahmwenyewe.27992 жыл бұрын

    I think Islam mean peace 🙏just preach about peace,the rest leave to our almighty God Who is in heaven yeye ndiye mwenye kuugumu.

  • @samxx411

    @samxx411

    2 жыл бұрын

    Hata kumuokoa binadam mwenzio katika ushirikina pia ni peace mana Mungu hapendi kushirikishwa, uislam utamfikishia yeyote ambayo hajielewi na anashirikisha hata bila ya kujijua baadae ukufata sawa hukufata sawa wewe na Mungu wako

  • @ignasmalema8354

    @ignasmalema8354

    2 жыл бұрын

    Islam mean surrender, if you not surrender you die

  • @fatmamombasa3430
    @fatmamombasa34302 жыл бұрын

    Masha ALLAH Akhy Ramadhan Allah akulipe mema akupe nguvu ueze kuufikisha kalima ya lailah illah llah

  • @StraightPathDawah

    @StraightPathDawah

    2 жыл бұрын

    Allahuma ameen

  • @gladysrael3396
    @gladysrael33962 жыл бұрын

    Unajoka bure sikuhizi hawafai buibui ndio mziwajue uislmu qwisha Mombasa kristo ndio kuzema

  • @blackke6085

    @blackke6085

    2 жыл бұрын

    wow!

  • @alhamdulillah5796

    @alhamdulillah5796

    2 жыл бұрын

    Unajidanganya hali ya kua unaujua ukweli. Uisilam hauezi kwisha duniani si Mombasa, kenya si ppte na unazidi kukua.

  • @alhamdulillah5796

    @alhamdulillah5796

    2 жыл бұрын

    Na Allah anasema na mkigeuka atawaleta watu wengine badala yenu, nao hawatokua kama nyinyi. Na si unaona watu wa dini tofauti wanausoma uisilam na wanaingia ktk uisilam na kua waumini wazuri zaidi kuliko waliozaliwa nao??? Qur-an 47:38.

  • @StraightPathDawah

    @StraightPathDawah

    2 жыл бұрын

    Hiki kiswahili ni Cha wapi?

  • @alsalihintvonline9232
    @alsalihintvonline92322 жыл бұрын

    Elimu ni nguzo ya dini jamani tusomeni dini tujuwe.... Kizuri na kibaya please hii yote ni kukosa kujuwa Imani ndogo mungu atuhifathi insha Allah

  • @iddyally7228
    @iddyally72282 жыл бұрын

    Allah awajalie mashekh wetu kwa kazi nzuri sana mnafanya na awaepushe na madui wa uislam

  • @SalmanMughal-lq5lt

    @SalmanMughal-lq5lt

    Ай бұрын

    AaminaYaarabi

  • @naomymose1866
    @naomymose18662 жыл бұрын

    Wewe wenye unachuki falani kwa waliokobolewa, waja kutisia na kuwafingia watu WA Mungu, kumfikia yesu kristo

  • @nuruali9608
    @nuruali96082 жыл бұрын

    Allahumma Aamiin.Aamiin...Mungu akulipe kheir shekg wetu...Mungu akupe barka ziteremke km mvua shekh Rsmadhan

  • @StraightPathDawah

    @StraightPathDawah

    2 жыл бұрын

    Allahuma ameen

  • @salmaathuman9156
    @salmaathuman91562 жыл бұрын

    Alhamdulillah mashaa allah mitihani tumeumbiw ss heri kumuomba mungu kuliko kumshirikisha Allah na vitu vingine ahsante shekhe wetu

  • @naimaabuualii578
    @naimaabuualii5782 жыл бұрын

    Kabisa Leo umeongea maneno kuntu mpk nashangaa na Mimi ilakuwaje wanatukane ila mungu akuweke shekh wetu kipenzi chetu Ramadhani kiboko yao 🤗

  • @aminaamiri7684
    @aminaamiri76842 жыл бұрын

    Shekh wetu Allah akuzidishie umr mref wenye manufaa

  • @hanifajuma6121
    @hanifajuma61212 жыл бұрын

    Hizo vitambaa hua zina nguvu ya giza, manabii wa mungu walifanya muijiza bila kupatia watu vitu, isitoshe yesu mwenye hakua NA sarakasi hizi tunaona siku hizi, pia mwanza kuna mwingine anaitwa papa god.

  • @salmanassir7886
    @salmanassir78862 жыл бұрын

    MashaAllah sheikh Ramadhan........ Allah azidi kukupa nguvu utangaze dini ya Allah

  • @StraightPathDawah

    @StraightPathDawah

    2 жыл бұрын

    Allahuma ameen

  • @dopesalo
    @dopesalo2 жыл бұрын

    shukran bro...amazing work. ma sha Allah

  • @princessmuthoni373

    @princessmuthoni373

    2 жыл бұрын

    Kwa yesu Kuna mwangaza.njooooni mnitafute nko within

  • @princessmuthoni373

    @princessmuthoni373

    2 жыл бұрын

    My friend acha kuingilia kabisa Mimi nimetoka kwa uislam nimerudia yesu wangu plzzzzz usimwingilie pastor Ezekiel,mbona mnahoji waislamu acha mtu afiate dini yenye anataka

  • @eunicemwangirani8684
    @eunicemwangirani86842 жыл бұрын

    Utapata shda sana sheikh..huezi zuia injili...injili ni moto💪💪💪💪💪💪🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @mufid707
    @mufid7072 жыл бұрын

    Alhamdulillah Alhamdulillah

  • @teshilifestyle4952
    @teshilifestyle49522 жыл бұрын

    All we need now is peace Muslims and Christians that's all we need in our country Kenya

  • @festusmuli5397
    @festusmuli53972 жыл бұрын

    Kwa Yesu Kuna uponyaji s waganga wanaeza ponya hila yesu humusaidii mama ungemwambia umuombee kwaza aweze kupona

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga25132 жыл бұрын

    Awa wngine hfanya maskhara Tu ni washenzi utaenda vip kanisani,kama unashida Lilia waislam wenzako,mtu wa Mombasa ATI hajui kama kuwa mkirstu ni laana,hao njaa inawasumbua((umasikini ni nusu ya ukafir)

  • @davidmarimi6598
    @davidmarimi65982 жыл бұрын

    Uhuru wa kuabudu unapatia mtu uhuru wa kubadilisha dini pia. Nimeona wakristo wengi waisilamu na hakuna pasta anaenda msikitini kuwafuata huko. Vivyo hivyo mtu akienda kanisani asifuatwe huko

  • @mshai203

    @mshai203

    2 жыл бұрын

    Uislamu ni dini ya haki dini ya kweli na ni dini ya Allah subhallah wataAllaH

  • @khaddy2736
    @khaddy27362 жыл бұрын

    Waudhi sana jameni khaaa!!!

  • @marvelousofzanzibar9556
    @marvelousofzanzibar9556 Жыл бұрын

    MashaAllah

  • @briejoy3760
    @briejoy37602 жыл бұрын

    Kweli pastor Ezekiel anawakosesha usingizi 😴😴 yaani mko desperate kuprove kitu hkuna 🤔🤔 muachie Mungu kazi yake🙌🙏

  • @munirashughuli7224
    @munirashughuli72242 жыл бұрын

    Alhamdhulillah 🤲

  • @makenakendi9014
    @makenakendi90142 жыл бұрын

    Mashaallah ALLAH BARIIK always my brother

  • @StraightPathDawah

    @StraightPathDawah

    2 жыл бұрын

    Allahuma ameen

  • @maimunamohamed9811
    @maimunamohamed98112 жыл бұрын

    Allah atuepushe na hawa mapastor wa uongo

  • @repentjesusiscomingsoon8799
    @repentjesusiscomingsoon87992 жыл бұрын

    Amina, umefanya vizuri sana kutoka kwa ushirikina wa Ezekiel, mtafute Mwenyezi Mungu kwa bidii cha muhimu acha uvivu na kupuuza nguvu ya Mungu ndani yako,Mola yuko kila mahali kwa watu wote, na Mungu ana subira sana kwa hivyo lazima uwe na subira pia, usitake vitu vya haraka haraka, lkn ukifuata njia mkato utapotezwa,🙏🙏

  • @annkuya1446

    @annkuya1446

    2 жыл бұрын

    Lakini uponyaji unatoka kwa Yesu pekee yake ambaye ako mbinguni kwa Nuru pekee .Yesu alisema wacha wafu wafuate wafu wenzake maana mfu mwenye ako kwa kaburi kwa Giza haweze kumponya MTU aliye Hai.Bali walio hai ndio humfuata aliye juu milele kwa Nuru nayr akiomba kwa Jina LA Yesu Ataponywa.Mafarisayo ndio ilikua kazi yao juu ya wivu walipokua wanaona Yesu akiponya watu wanamwendea yule aliye ponywa na kumdhihaki asitaje jina LA Yesu kamwe. Maana walikuwa wanaona wao wakiombea MTU kwa Jina LA mwenyezi Mungu pekee bila kumtaja Yesu hakua anapona, Sasa ili watu wasimfuate Yesu awaponye walimkejeli sana na kumuita majina yasiyo faa.Yesu ndiye Alpha na Omega Hakuna mwenye atakuja baada Yake. Yesu amesalia Mfalme Mshindi wao wenye walitegemea Dini yao kuwaokoa waliangamia katikati dhambi zao kwa kaburi LA sahau na bado wanangonja Hukumu ya Mwisho kutoka kwa the same,same Jesus Christ. Yesu ndiye ufufuo Wa Mwisho tukifuata maangizo yake tutaishi naye.

  • @annkuya1446

    @annkuya1446

    2 жыл бұрын

    Mungu yupi .Taja jina LA Huyo Mungu please?

  • @hansmswagara2789

    @hansmswagara2789

    2 жыл бұрын

    @@annkuya1446 yan nyie mmeaminishwa kuwa mzungu ndo Mungu wenu kwan alie muumba mamayake yesu anaitwa nani

  • @fjghfufgg3227

    @fjghfufgg3227

    2 жыл бұрын

    @@hansmswagara2789 na nyinyi Mungu wenu ni mwarabu pia so sote gora moja

  • @annkuya1446

    @annkuya1446

    2 жыл бұрын

    @@hansmswagara2789 Ni wapi penye pameandikwa kwa Bible ati Mungu ni Mungu?,Mungu Wa Bible alituumba kwa Sura Yake yeye mwenyewe na kwa mfano wake alivyo yeye mwenyewe ndivyo Bible inasema.Ndiyo unaona Bible imetafsiriwa kwa kila Lugha, hata nyimbo za injili ya Yesu zimetafsiriwa kwa kila Lugha maana Mungu Wa Bible anelewa Lugha zote na hana ubaguzi kwa mwenye anamtaka,ukimwita atakusikia maadam anapatikana kila pahali.

  • @CynthiaJohnson-rl2yq
    @CynthiaJohnson-rl2yq2 жыл бұрын

    Porojo tuuuuuu ,huyu Shee alifungua hii channel kumpinga pastor Ezekiel tu hana mambo mengine

  • @prettyaysha7892

    @prettyaysha7892

    2 жыл бұрын

    Sasa waonaje na wewe ukifunga channel ya kwako ukampinga sheikh ramadhan😏😏😏😏kwani ni kesho

  • @mufunyiibrahim3655

    @mufunyiibrahim3655

    2 жыл бұрын

    Hi channel ni ya dawaa imekaa zaidi ya 5 yrs

  • @StraightPathDawah

    @StraightPathDawah

    2 жыл бұрын

    Hii channel ni mzee kuliko tv ya Ezekiel

  • @dorcasatieno3705
    @dorcasatieno37052 жыл бұрын

    Mimi sijawai ona mkristo akitukana mwislamu but waislam hutukana sana wakristo

  • @mariamsefukhamissi8809
    @mariamsefukhamissi88092 жыл бұрын

    MashaAllah Tabarakallah Allah akuongoz zaid sn

  • @sevenscounty409
    @sevenscounty4092 жыл бұрын

    Kazi zuri sana ustad ramadhan

  • @ramadhanyusuf2401
    @ramadhanyusuf24012 жыл бұрын

    Waislamu wamefumzwa na Allah watizame marafiki wanaokaa nao.wengi wao wanakaa na marafiki ambao sio

  • @mamuskamery45
    @mamuskamery452 жыл бұрын

    Waaleikum salam warahmatullah wabarakatu

  • @asiaphilmon2233
    @asiaphilmon22332 жыл бұрын

    Mashallah

  • @oman7710
    @oman77102 жыл бұрын

    Walaykum salam warahmatullaah wabarakatuh

  • @getrudezighe4483
    @getrudezighe44832 жыл бұрын

    Mtaongea sana nabado

  • @nekesaester2068
    @nekesaester20682 жыл бұрын

    Mbona huyu jamaa anamchimba pastor Ezekiel

  • @fauziaabdullah3733
    @fauziaabdullah37332 жыл бұрын

    MashaAllah shukuran sheikh kwakutuilimishaa

  • @michaelmunene738

    @michaelmunene738

    2 жыл бұрын

    Wacha kuzarau dini za wenzio utathi

  • @wamugimohammed3848
    @wamugimohammed38482 жыл бұрын

    Asalam Alaykum warahamatulilh wabarakatuh! INSHA ALLAH ALLAH akuongoze SHEKHE RAMADHANI kwa kuinusiuru DINI ya haki Amin Amin!

  • @jibrilwardere8376
    @jibrilwardere83762 жыл бұрын

    Masha Allah

  • @adbulmama5065
    @adbulmama50652 жыл бұрын

    Kweri cheh Allah awalipe kwa ico munacofanya Allah awalike kesho ashera

  • @andallaathman3856
    @andallaathman38562 жыл бұрын

    Mashaa llah

  • @boscokimonyi1412
    @boscokimonyi14122 жыл бұрын

    Dini haitawai peleka mtu popote , zingatia uhusiano wako binafsi Kati yako na mwenyezi mungu , zingatia kutenda mapenzi yake mwenyezi mungu . Haijalishi wewe n Muslim hau mristo lakini uhusiano wako na mungu n Jambo La msingi

  • @selfaakinyi7824
    @selfaakinyi78242 жыл бұрын

    Sio kwa ubaya ila hawa wanao hojiwa Kuna mengi wanaficha, ila wacha Mungu atupiganie,

  • @ambasaephraim9182

    @ambasaephraim9182

    2 жыл бұрын

    Hawa wanatishiwa maisha usidhani yanayotoka moyoni mwao ni ya ukweli

  • @alhamdulillah5796

    @alhamdulillah5796

    2 жыл бұрын

    @@ambasaephraim9182, Hakuna anayetishiwa kuuliwa. Hv ww hujawaji kuwaona waisilam wanaoritad kawaua nani??? Msikaririshwe mkakariri.

  • @alhamdulillah5796

    @alhamdulillah5796

    2 жыл бұрын

    Hao ni waisilam wanaokuja makanisani kwa ujinga. Na wengi wao hua hawajasoma...na kumuongoza mjinga hakujakatazwa na hakuna anaechukia ila iblis na wtto wake ima mashetani watu au majini. Hv Pastors wangekua wanasambaza neno la Mungu halfu wanaona watu wanaingia misikitini kwa sabbu zao tofauti wangekhofia kuwafuata wakawaongoza ili wasije kupotea??? Lkn wanajua km uisilam ni uongofu na wanaujua km wao wanapoteza watu na target zao haswa ni wale wasiosoma au waloghafilika tena wawapoteze vipembeni na sio penye waliosoma...na ndio mana hawaendi misikitini wanaona wataadhirika. Halafu ukiachia mbali huu mtindo wa kufata mke/mume ambao upo kwenye kila dini...wanaokuja kwenye uisilam wengi hua wamesoma na kuamini kwa hio hua vigumu mtu kumtoa.

  • @khamissalim7437
    @khamissalim74372 жыл бұрын

    AMEEN YA Rabbi

  • @kawtharalbarwani1337
    @kawtharalbarwani13372 жыл бұрын

    MashaAllah barakallahu feekum

  • @StraightPathDawah

    @StraightPathDawah

    2 жыл бұрын

    Ameen

  • @winnysyombuandambuki5475
    @winnysyombuandambuki54752 жыл бұрын

    Mbona mkienda kwa hao wagaga hamsemi mkatangaza

  • @ceciliawanjiru9177
    @ceciliawanjiru91772 жыл бұрын

    Hawa waislam wanamfuata Ezekiel hakuna ata mmoja azekiel ameendea kwake akamleta kanisani kwake but I don't know why islams are complaining and they are healed Hata Shukrani hamna

  • @maureenmasoni1276
    @maureenmasoni12762 жыл бұрын

    una kazi kweli, umbea kila uchao

  • @carendeborah5687
    @carendeborah56872 жыл бұрын

    Hata Mimi nikitoka huku Dubai nitavaa abaya niingie nayo church ndo nione mkinikujia Mimi muislamu..Kenya Kuna freedom of worship

  • @StraightPathDawah

    @StraightPathDawah

    2 жыл бұрын

    Wewe sio Muislamu jifunze adabu za uislamu kabla ujiite Muislamu

  • @khamissalim7437
    @khamissalim74372 жыл бұрын

    Alhamduliah

  • @fahmilomar957
    @fahmilomar9572 жыл бұрын

    ostadhi ramadhan kazi unoifanya hakika inaujira mkubwa kwamungu uskate tamaa man ibilisi yupo nawewe ili akupoteze

  • @samotero2323
    @samotero23232 жыл бұрын

    Wewe dawah KAZI Yako ni kuwatoa waislamu wako kwa ukiristo.

  • @habibasalim3092
    @habibasalim30922 жыл бұрын

    Alhamdulilla

  • @festusmuli5397
    @festusmuli53972 жыл бұрын

    Hii diyo ndini ambayo inatishia kuua wafuasi wake wakienda inje ya msikiti najua Kuna wengi Sana wanataka kutoka hila wanaofia maisha yao

  • @kihimbamushyaibrahim7284
    @kihimbamushyaibrahim72842 жыл бұрын

    Ukweli sheikh Sisi WA Islam tunahitaji kuweka mipangilio yakupiganisha umasiki,nahii twaweza jaribisha small projects,umasikini,maradhi kama hauna imani waweza potea wazee wetu hawakuwa nanidhamu(plan)sahihi sheikhe wavijana kila hali ikiwabana waweza wakapotoshwa!!!miskitini tumezungumzia sana akhera(Moto na jana) asante alakini vipi twaweza pata mugao wetu duniani!??kwanini tusifunze ufugaji kuku,bata,sungura,havihitaji dongo kubwa!wallahu waliyu atawafiiq tuanze kusanya Dola kumi kumi au tano in two years let's see how we can achieve asanteni

  • @user-mq6lu2po3y
    @user-mq6lu2po3y2 жыл бұрын

    Allah amsamehe dada yetu kwa hili

  • @zaburionlinetv6245
    @zaburionlinetv62452 жыл бұрын

    WOTE WALIODANGANYWA NA HAWA WAIBA SADAKA NI LAZIMA WAUMBULIWE

  • @apostlejanegracegidraph2054
    @apostlejanegracegidraph20542 жыл бұрын

    She was having a dream👍

  • @armstrongsalim1328
    @armstrongsalim13282 жыл бұрын

    Mtwapa si Mombasa ni kilifi

  • @onesmusmusyoka222
    @onesmusmusyoka222 Жыл бұрын

    Jameni wachaneni na pastor wetu Ezekiel aendelee na kazi ya ,pastor Ezekieli akujii mtu yeyeto kwa nyumba

  • @kevinamimo63
    @kevinamimo632 жыл бұрын

    Waambiwe waislamu wasije kwenye ibada ya Kikristo, sisi tuko huku na mambo yetu nanyi mkae na yakwenu

  • @nurafedrick378

    @nurafedrick378

    2 жыл бұрын

    Nandio wako wengi huko kwa Ezekiel

  • @mzaliwaseif7079
    @mzaliwaseif70792 жыл бұрын

    Hata baadhi ya wachristo walishaga helewa kuwa ni nguvu ya jiza ndo yenye kutumika ila ndo ivo tena. Jina la Yesu inakuwa ni cover tu. Bado tunalo tatizo la corona linaitaji dawa.

  • @kanuhummer6485
    @kanuhummer64852 жыл бұрын

    Asalam alaykum,ustadh mtafute na yule alie sema anaishi liko anaitwa mwanamkuu said,

  • @xavierowino
    @xavierowino Жыл бұрын

    She said she got healed of hiv due to Ezekiel's prayers. She turned hiv negative. So now that she has come to Islam, does she gets to keep her healing? And who gets the credit for the healing? The church or Islam?

  • @wangagirl3508
    @wangagirl35082 жыл бұрын

    Sisi hata hatuna haja ya kutukana waisilam ni nyingi ndio mnatufwatilia sana na mbona mnaita pts Ezekiel ni mchawi

  • @hansmswagara2789

    @hansmswagara2789

    2 жыл бұрын

    Kwahyo kusambaza vitambaa ndo nn kam c uchawi

  • @rikiasalim1428
    @rikiasalim14282 жыл бұрын

    AllahuAkbar

  • @teshilifestyle4952
    @teshilifestyle49522 жыл бұрын

    Mbona waislamu hutusi wakristo makafiri lakini wewe wasema kwamba wakristo Wana matusi?

  • @pamoles1303

    @pamoles1303

    2 жыл бұрын

    Waislamu hawakuwaita wakristo makafiri ni ALLAH mwenyewe ktk Quran

  • @alhamdulillah5796

    @alhamdulillah5796

    2 жыл бұрын

    @@pamoles1303 , Yy mbona anawaita wapiga tunguli washirikina kwa hio anawatusi nayy.