Straight Path Association continues to spread the message of Islam to the Non Muslims and reminding the Muslims. Please subscribe to our channel to support our dawah activities.
Жүктеу.....
Пікірлер: 395
@aaibrahim44872 жыл бұрын
They aimed to bring confusion in Islam but Allah barricade their evil idiology, They planned but forgotten that Allah is the best of planners.... Mashallah great work
@Mombasaweldingworks
2 жыл бұрын
Only by the blood of jesus all you have to do is to let him into your crooked inner self and you will be whole again...
@sevenscounty409
2 жыл бұрын
@@Mombasaweldingworks we love jesus more than u so called Christians, just so u know
@Mombasaweldingworks
2 жыл бұрын
@@sevenscounty409 say you love isa ,but not our lord Jesus from the holy bible who died for our sins..
@marianachriss24442 жыл бұрын
YESU KRISTO ndio Njia ya kweli na uzima,na Ndio Nuru ya ulimwengu wote
@patiancekelvine8678
2 жыл бұрын
Kila ulimi utakir ya kuwa Yesu ndie Bwana Huu ni mwanzo tu,, wimbi la wokovu laja tena wokovu wa kweli sio huu wa kupapasapapasa maana watu wataokoka sanaaa maana kumuamini Yesu ndio njia ya pekee kwenda kwa Mungu Baba
@marianachriss2444
2 жыл бұрын
@@patiancekelvine8678 Ameeen Haleluyaaaa
@erickotero5759
2 жыл бұрын
True Jesus is the way
@marianachriss2444
2 жыл бұрын
@@erickotero5759 Halelujah Halelujah JESUS CHRIST is Lord of Lord and King of king lion of judah alpha and omega
@essyjerry9482
2 жыл бұрын
Amen na yesu kristo yuaja
@Evnelsonkariuki2 жыл бұрын
Jesus is Lord..Mungu akusamehe..Usitukane ukristo..
@phoebemwikali2 жыл бұрын
We all need peace nothing else ...kindly preach peace
@rayaali75512 жыл бұрын
Bismilaaah maasha allaah alhamdulilaaah yaaraby azidi kutuhidi na kutuongoza na kutuongowa katika njia iliyo nyooka yaaraby AAMEENA YAARABY🤲🤲🤲🙏🙏🙏
@hadiyamohamed5942 жыл бұрын
Huu ni msiba mkubwa kutowafundisha dini watoto wetu . 😭😭😭😭Huu ni mtihani kwa kila mzazi lazima mtoto I mfundishe dini iko awe na nguzo imara ya kutopotezwa . Shukran sheikh Allah ndie atakulipa kwa ujira wako
@Nana-do5po2 жыл бұрын
Right now in Kenya we are in peace time let's peace prevail.
@alhamdulillah5796
2 жыл бұрын
Ikiwa siasa haijakutoeni kwenye amani...dini itakutoeni vp???
@dorcasatieno3705
2 жыл бұрын
asante daa MUNGU akubariki sana tuko na amani
@halma7764
2 жыл бұрын
Mashaallah
@nooor1120 Жыл бұрын
Maa shaa Allah natamani niwe nimekuzaa mimi sheikh Ramadhan. Nakuombea kwa Allah akuhifadhi na akujaalie dua zako ziwe mustajabah.
@suheilahsuheilah49682 жыл бұрын
subhanaallah ya rabby tuokoe umm wa mtume s.a.w kwa siku tukufu zibadilishe nyoyo za waja wako ya rabby Tue kitu kimoja na tuishike bendera yetu ya LAILAHA ILALLAH MUHAMMED RASULULLAH YA RABBY
@yusufmwangichannel66922 жыл бұрын
Masha Allah, Allahu Akbar, Allah akuzidishie elimu, umri na afya njema sheikh wetu Ramadhan na Allah atupe mwisho mwema sote waislamu pamoja na vizazi vyetu Allah Humma Amiin
@davidmarimi65982 жыл бұрын
Nafikiri nimakosa kwa mkristo kwenda msikitini kufuata wakristo wanaosilimu. Vivyo hivyo Ramadan kuria hafai kwenda kanisani kufuata waisilamu wanaohudhuria huko. Sheikh ananjia zingine anaweza kutumia kushawishi waisilamu wasiende huko. Tuheshimu uhuru wa kuabudu.
@nakundwamkubwe78232 жыл бұрын
Alhamdulilah Allah ashukuruwe kwakweli Shekhe Ramadhani Allah atakulipa.
@ukweliwauislamu95902 жыл бұрын
Masha Allah , JazakAllahu kheyran ustadh Ramadhan kuria ....
@rooseupojuubuanaaarose30112 жыл бұрын
Masha Allah tabarak Allah.....tupo duniani kulingania dini sheikh wetu
@seniorcade17842 жыл бұрын
M.a sheikh Ramadhan Allah akurahisishie kazi ya daawah ....kwa juhudi yako InshaAllh uta badilisha makanisa mengi kuwa msikiti,.
@StraightPathDawah
2 жыл бұрын
Allah atujaalie
@andallaathman3856
2 жыл бұрын
@@StraightPathDawah Amin 🙏
@andallaathman3856
2 жыл бұрын
@@StraightPathDawah Amin 🙏
@jamalathman62192 жыл бұрын
Shukran sheikh ramadhan kwa juhudi zako za da'waa,Allah akulipe pepo
@StraightPathDawah
2 жыл бұрын
Ameen
@dennistwala2062 жыл бұрын
Umesema kuna uhuru wa kuabudu na pia muislamu hafai kutukana dini zingine, in your previous clips it's obvious wewe mwenyewe umetoa kejeli, umeonyesha uhasama/chuki flani. What you're show is double standards, you're not walking the talk. Alaf kuhusu point ya vitamba haviponyi ni Mungu, nakubaliana na wewe kabisa, ila Yesu alipomponya kipofu batimayo, alitema mate chini akiunda tope na kumpaka machoni hatimoye upofu ukamtoka, kwa si vitamba si matope, ni nguvu ziko behind it na imani yako. Unafanya vyema kuhubiri uislamu, lakini fanya kihekima, kwa upendo bila chuki, maana hivyo inakuwa rahisi kushawishi mtu kuwa muumini. As you said we have freedom of worship, lets respect it, it's a person choice, for God does not force Himself on us, He has given us a choice to worship Him. Personally I have grown with Muslim brothers and sisters peaceful and with love, and they used to share their teachings to me but not like the way you're doing, in theu would easily persuade us, hii yako ni kama tisho flani. If you wish to win souls, stick to teaching Islam, show us umuhimu wake, leave other religions, fighting them and showing hatred towards them, wont make you win more souls. Nmesema kwa upendo, natumai despite our differences, we continue to live in peace and harmony.
@ibrahimdawood6547
2 жыл бұрын
Kama kuna uhuru wa kuabudu, mbona wanatishia huyo mama mjane asiende kuabudu kanisani na wanamlazimisha kwenda msikitini?
@katherinasamwel3937
2 жыл бұрын
Huyu shehena ana shuki na dini yetu YESU ndio njia ya kweri na umima sasa huyo dada simjane na dini ya kiisilamu ina luhusu kuoa wake wengi shehe bola umuoe tuu huyo mjanee 😄😄
@blackke6085
2 жыл бұрын
Sheikh Ramadan amejaa chuki tu na wakristo
@fjghfufgg3227
2 жыл бұрын
@@blackke6085 hio ni kweli kabisa na haifai ivo sisi sote tuliumbwa na Mungu
@fjghfufgg3227
2 жыл бұрын
@@ibrahimdawood6547 Sasa hapo wanafanya makosa mbona iwe lazima ya kua muslim ilhali mtu ni halali yake, kwani kua Muslim ni lazima??si bora mtu aende pale anapotaka na pia Mungu ni yule yule so wacheni watu wawe huru muache kuwafunga
@geegunen92192 жыл бұрын
MashaAllah Ustadh Wangu Ramadan
@amsodewiz4901 Жыл бұрын
Mwenyezi atujaalie kheri ustadh
@mahdiyusuf34312 жыл бұрын
May Allah bless you Sheekh luck off understanding their own faith Allah sw only can cure and no one can help you May Allah give understanding of faith
@maryambintukhadija16042 жыл бұрын
Maa Shaa Allah shekh wangu ramadhaan kuria bin kaguo
@abdalaauame38632 жыл бұрын
Mashalla allbdulilai ustaz ramazane
@bentybenty23432 жыл бұрын
Waaleykum salaam warahmatullah wabarakatuh sheikh Ramadhan. ALLAH akuepushe na hasad na akulinde sheikh wetu..
@StraightPathDawah
2 жыл бұрын
Allahuma ameen
@mahdiyusuf34312 жыл бұрын
Sheekh Ramathan May Allah bless you Amiin
@rassorabbat87612 жыл бұрын
Ustadh rama mola akuzidishie zaidi
@StraightPathDawah
2 жыл бұрын
Ameen
@furahamossi31992 жыл бұрын
Mansha Allah sheikh tabarakallah Allah akulipe kheir insha Allah watarejeya Allah yupo pamoja nanyi
@StraightPathDawah
2 жыл бұрын
Ameen
@khadijakhamis3812 жыл бұрын
Ma shaa Allah mungu amuhifadhi na amuongoze
@zainabumwagiroabdallamwagi972 жыл бұрын
Dadaangu mungu amekuonesha nuru na hiyo ndoto yako ni njema na inakuonesha ufuate njia iliyonyooka ,njia yawale aliowaneemesha mwezimungu,nao ni mitume na masahaba na wajawema waliotangulia uachane na hiyo njia ya waliopotezwa na kupotea.
@nuruali96082 жыл бұрын
ALLAH AKULIPE KHEIR USTADH RAMADHAN NA AKUJAALIE NUSRA KILLA UNAPOKWENDA NA HUYO DADAETU ALLAH AMPE MAISHA YA KHERI NA BARKA KWA KUMRUDIA MOLA WAKE...NA WENGINE WALIOTOKA KWENYE DINI ALLAH AWARUDISHE....AAMIIIN AAMIIIN..YAARABB.M
@StraightPathDawah
2 жыл бұрын
Ameen
@sakinat2527
2 жыл бұрын
Amiin
@hamoodalrawahy20262 жыл бұрын
MAASHAA ALLAH MAASHAA ALLAH MAASHAA ALLAH. TABARAKA RAHMAN ALLAH AZIDI WA IBAREEK
@abdiaosman44882 жыл бұрын
Mashallah ustadh kuria.. endelea kuwabia ukweli Allah atakulipa in sha Allah
@StraightPathDawah
2 жыл бұрын
Ameen
@jumanjenga76822 жыл бұрын
Good job Ustaz
@StraightPathDawah
2 жыл бұрын
Shukran jazeelan
@jacquesuwezo228 Жыл бұрын
Wewe sheh jiangaliye utapigwa na Mungu acha kufatiliya yasio kuusu acha kuzuwiya watu wamjuwe Mungu wakweli
@norahmwenyewe.27992 жыл бұрын
I think Islam mean peace 🙏just preach about peace,the rest leave to our almighty God Who is in heaven yeye ndiye mwenye kuugumu.
@samxx411
2 жыл бұрын
Hata kumuokoa binadam mwenzio katika ushirikina pia ni peace mana Mungu hapendi kushirikishwa, uislam utamfikishia yeyote ambayo hajielewi na anashirikisha hata bila ya kujijua baadae ukufata sawa hukufata sawa wewe na Mungu wako
@ignasmalema8354
2 жыл бұрын
Islam mean surrender, if you not surrender you die
@fatmamombasa34302 жыл бұрын
Masha ALLAH Akhy Ramadhan Allah akulipe mema akupe nguvu ueze kuufikisha kalima ya lailah illah llah
@StraightPathDawah
2 жыл бұрын
Allahuma ameen
@gladysrael33962 жыл бұрын
Unajoka bure sikuhizi hawafai buibui ndio mziwajue uislmu qwisha Mombasa kristo ndio kuzema
@blackke6085
2 жыл бұрын
wow!
@alhamdulillah5796
2 жыл бұрын
Unajidanganya hali ya kua unaujua ukweli. Uisilam hauezi kwisha duniani si Mombasa, kenya si ppte na unazidi kukua.
@alhamdulillah5796
2 жыл бұрын
Na Allah anasema na mkigeuka atawaleta watu wengine badala yenu, nao hawatokua kama nyinyi. Na si unaona watu wa dini tofauti wanausoma uisilam na wanaingia ktk uisilam na kua waumini wazuri zaidi kuliko waliozaliwa nao??? Qur-an 47:38.
@StraightPathDawah
2 жыл бұрын
Hiki kiswahili ni Cha wapi?
@alsalihintvonline92322 жыл бұрын
Elimu ni nguzo ya dini jamani tusomeni dini tujuwe.... Kizuri na kibaya please hii yote ni kukosa kujuwa Imani ndogo mungu atuhifathi insha Allah
@iddyally72282 жыл бұрын
Allah awajalie mashekh wetu kwa kazi nzuri sana mnafanya na awaepushe na madui wa uislam
@SalmanMughal-lq5lt
Ай бұрын
AaminaYaarabi
@naomymose18662 жыл бұрын
Wewe wenye unachuki falani kwa waliokobolewa, waja kutisia na kuwafingia watu WA Mungu, kumfikia yesu kristo
Alhamdulillah mashaa allah mitihani tumeumbiw ss heri kumuomba mungu kuliko kumshirikisha Allah na vitu vingine ahsante shekhe wetu
@naimaabuualii5782 жыл бұрын
Kabisa Leo umeongea maneno kuntu mpk nashangaa na Mimi ilakuwaje wanatukane ila mungu akuweke shekh wetu kipenzi chetu Ramadhani kiboko yao 🤗
@aminaamiri76842 жыл бұрын
Shekh wetu Allah akuzidishie umr mref wenye manufaa
@hanifajuma61212 жыл бұрын
Hizo vitambaa hua zina nguvu ya giza, manabii wa mungu walifanya muijiza bila kupatia watu vitu, isitoshe yesu mwenye hakua NA sarakasi hizi tunaona siku hizi, pia mwanza kuna mwingine anaitwa papa god.
@salmanassir78862 жыл бұрын
MashaAllah sheikh Ramadhan........ Allah azidi kukupa nguvu utangaze dini ya Allah
@StraightPathDawah
2 жыл бұрын
Allahuma ameen
@dopesalo2 жыл бұрын
shukran bro...amazing work. ma sha Allah
@princessmuthoni373
2 жыл бұрын
Kwa yesu Kuna mwangaza.njooooni mnitafute nko within
@princessmuthoni373
2 жыл бұрын
My friend acha kuingilia kabisa Mimi nimetoka kwa uislam nimerudia yesu wangu plzzzzz usimwingilie pastor Ezekiel,mbona mnahoji waislamu acha mtu afiate dini yenye anataka
@eunicemwangirani86842 жыл бұрын
Utapata shda sana sheikh..huezi zuia injili...injili ni moto💪💪💪💪💪💪🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@mufid7072 жыл бұрын
Alhamdulillah Alhamdulillah
@teshilifestyle49522 жыл бұрын
All we need now is peace Muslims and Christians that's all we need in our country Kenya
@festusmuli53972 жыл бұрын
Kwa Yesu Kuna uponyaji s waganga wanaeza ponya hila yesu humusaidii mama ungemwambia umuombee kwaza aweze kupona
@salumjumaruhaga25132 жыл бұрын
Awa wngine hfanya maskhara Tu ni washenzi utaenda vip kanisani,kama unashida Lilia waislam wenzako,mtu wa Mombasa ATI hajui kama kuwa mkirstu ni laana,hao njaa inawasumbua((umasikini ni nusu ya ukafir)
@davidmarimi65982 жыл бұрын
Uhuru wa kuabudu unapatia mtu uhuru wa kubadilisha dini pia. Nimeona wakristo wengi waisilamu na hakuna pasta anaenda msikitini kuwafuata huko. Vivyo hivyo mtu akienda kanisani asifuatwe huko
@mshai203
2 жыл бұрын
Uislamu ni dini ya haki dini ya kweli na ni dini ya Allah subhallah wataAllaH
@khaddy27362 жыл бұрын
Waudhi sana jameni khaaa!!!
@marvelousofzanzibar9556 Жыл бұрын
MashaAllah
@briejoy37602 жыл бұрын
Kweli pastor Ezekiel anawakosesha usingizi 😴😴 yaani mko desperate kuprove kitu hkuna 🤔🤔 muachie Mungu kazi yake🙌🙏
@munirashughuli72242 жыл бұрын
Alhamdhulillah 🤲
@makenakendi90142 жыл бұрын
Mashaallah ALLAH BARIIK always my brother
@StraightPathDawah
2 жыл бұрын
Allahuma ameen
@maimunamohamed98112 жыл бұрын
Allah atuepushe na hawa mapastor wa uongo
@repentjesusiscomingsoon87992 жыл бұрын
Amina, umefanya vizuri sana kutoka kwa ushirikina wa Ezekiel, mtafute Mwenyezi Mungu kwa bidii cha muhimu acha uvivu na kupuuza nguvu ya Mungu ndani yako,Mola yuko kila mahali kwa watu wote, na Mungu ana subira sana kwa hivyo lazima uwe na subira pia, usitake vitu vya haraka haraka, lkn ukifuata njia mkato utapotezwa,🙏🙏
@annkuya1446
2 жыл бұрын
Lakini uponyaji unatoka kwa Yesu pekee yake ambaye ako mbinguni kwa Nuru pekee .Yesu alisema wacha wafu wafuate wafu wenzake maana mfu mwenye ako kwa kaburi kwa Giza haweze kumponya MTU aliye Hai.Bali walio hai ndio humfuata aliye juu milele kwa Nuru nayr akiomba kwa Jina LA Yesu Ataponywa.Mafarisayo ndio ilikua kazi yao juu ya wivu walipokua wanaona Yesu akiponya watu wanamwendea yule aliye ponywa na kumdhihaki asitaje jina LA Yesu kamwe. Maana walikuwa wanaona wao wakiombea MTU kwa Jina LA mwenyezi Mungu pekee bila kumtaja Yesu hakua anapona, Sasa ili watu wasimfuate Yesu awaponye walimkejeli sana na kumuita majina yasiyo faa.Yesu ndiye Alpha na Omega Hakuna mwenye atakuja baada Yake. Yesu amesalia Mfalme Mshindi wao wenye walitegemea Dini yao kuwaokoa waliangamia katikati dhambi zao kwa kaburi LA sahau na bado wanangonja Hukumu ya Mwisho kutoka kwa the same,same Jesus Christ. Yesu ndiye ufufuo Wa Mwisho tukifuata maangizo yake tutaishi naye.
@annkuya1446
2 жыл бұрын
Mungu yupi .Taja jina LA Huyo Mungu please?
@hansmswagara2789
2 жыл бұрын
@@annkuya1446 yan nyie mmeaminishwa kuwa mzungu ndo Mungu wenu kwan alie muumba mamayake yesu anaitwa nani
@fjghfufgg3227
2 жыл бұрын
@@hansmswagara2789 na nyinyi Mungu wenu ni mwarabu pia so sote gora moja
@annkuya1446
2 жыл бұрын
@@hansmswagara2789 Ni wapi penye pameandikwa kwa Bible ati Mungu ni Mungu?,Mungu Wa Bible alituumba kwa Sura Yake yeye mwenyewe na kwa mfano wake alivyo yeye mwenyewe ndivyo Bible inasema.Ndiyo unaona Bible imetafsiriwa kwa kila Lugha, hata nyimbo za injili ya Yesu zimetafsiriwa kwa kila Lugha maana Mungu Wa Bible anelewa Lugha zote na hana ubaguzi kwa mwenye anamtaka,ukimwita atakusikia maadam anapatikana kila pahali.
@CynthiaJohnson-rl2yq2 жыл бұрын
Porojo tuuuuuu ,huyu Shee alifungua hii channel kumpinga pastor Ezekiel tu hana mambo mengine
@prettyaysha7892
2 жыл бұрын
Sasa waonaje na wewe ukifunga channel ya kwako ukampinga sheikh ramadhan😏😏😏😏kwani ni kesho
@mufunyiibrahim3655
2 жыл бұрын
Hi channel ni ya dawaa imekaa zaidi ya 5 yrs
@StraightPathDawah
2 жыл бұрын
Hii channel ni mzee kuliko tv ya Ezekiel
@dorcasatieno37052 жыл бұрын
Mimi sijawai ona mkristo akitukana mwislamu but waislam hutukana sana wakristo
@mariamsefukhamissi88092 жыл бұрын
MashaAllah Tabarakallah Allah akuongoz zaid sn
@sevenscounty4092 жыл бұрын
Kazi zuri sana ustad ramadhan
@ramadhanyusuf24012 жыл бұрын
Waislamu wamefumzwa na Allah watizame marafiki wanaokaa nao.wengi wao wanakaa na marafiki ambao sio
@mamuskamery452 жыл бұрын
Waaleikum salam warahmatullah wabarakatu
@asiaphilmon22332 жыл бұрын
Mashallah
@oman77102 жыл бұрын
Walaykum salam warahmatullaah wabarakatuh
@getrudezighe44832 жыл бұрын
Mtaongea sana nabado
@nekesaester20682 жыл бұрын
Mbona huyu jamaa anamchimba pastor Ezekiel
@fauziaabdullah37332 жыл бұрын
MashaAllah shukuran sheikh kwakutuilimishaa
@michaelmunene738
2 жыл бұрын
Wacha kuzarau dini za wenzio utathi
@wamugimohammed38482 жыл бұрын
Asalam Alaykum warahamatulilh wabarakatuh! INSHA ALLAH ALLAH akuongoze SHEKHE RAMADHANI kwa kuinusiuru DINI ya haki Amin Amin!
@jibrilwardere83762 жыл бұрын
Masha Allah
@adbulmama50652 жыл бұрын
Kweri cheh Allah awalipe kwa ico munacofanya Allah awalike kesho ashera
@andallaathman38562 жыл бұрын
Mashaa llah
@boscokimonyi14122 жыл бұрын
Dini haitawai peleka mtu popote , zingatia uhusiano wako binafsi Kati yako na mwenyezi mungu , zingatia kutenda mapenzi yake mwenyezi mungu . Haijalishi wewe n Muslim hau mristo lakini uhusiano wako na mungu n Jambo La msingi
@selfaakinyi78242 жыл бұрын
Sio kwa ubaya ila hawa wanao hojiwa Kuna mengi wanaficha, ila wacha Mungu atupiganie,
@ambasaephraim9182
2 жыл бұрын
Hawa wanatishiwa maisha usidhani yanayotoka moyoni mwao ni ya ukweli
Hao ni waisilam wanaokuja makanisani kwa ujinga. Na wengi wao hua hawajasoma...na kumuongoza mjinga hakujakatazwa na hakuna anaechukia ila iblis na wtto wake ima mashetani watu au majini. Hv Pastors wangekua wanasambaza neno la Mungu halfu wanaona watu wanaingia misikitini kwa sabbu zao tofauti wangekhofia kuwafuata wakawaongoza ili wasije kupotea??? Lkn wanajua km uisilam ni uongofu na wanaujua km wao wanapoteza watu na target zao haswa ni wale wasiosoma au waloghafilika tena wawapoteze vipembeni na sio penye waliosoma...na ndio mana hawaendi misikitini wanaona wataadhirika. Halafu ukiachia mbali huu mtindo wa kufata mke/mume ambao upo kwenye kila dini...wanaokuja kwenye uisilam wengi hua wamesoma na kuamini kwa hio hua vigumu mtu kumtoa.
@khamissalim74372 жыл бұрын
AMEEN YA Rabbi
@kawtharalbarwani13372 жыл бұрын
MashaAllah barakallahu feekum
@StraightPathDawah
2 жыл бұрын
Ameen
@winnysyombuandambuki54752 жыл бұрын
Mbona mkienda kwa hao wagaga hamsemi mkatangaza
@ceciliawanjiru91772 жыл бұрын
Hawa waislam wanamfuata Ezekiel hakuna ata mmoja azekiel ameendea kwake akamleta kanisani kwake but I don't know why islams are complaining and they are healed Hata Shukrani hamna
@maureenmasoni12762 жыл бұрын
una kazi kweli, umbea kila uchao
@carendeborah56872 жыл бұрын
Hata Mimi nikitoka huku Dubai nitavaa abaya niingie nayo church ndo nione mkinikujia Mimi muislamu..Kenya Kuna freedom of worship
@StraightPathDawah
2 жыл бұрын
Wewe sio Muislamu jifunze adabu za uislamu kabla ujiite Muislamu
@khamissalim74372 жыл бұрын
Alhamduliah
@fahmilomar9572 жыл бұрын
ostadhi ramadhan kazi unoifanya hakika inaujira mkubwa kwamungu uskate tamaa man ibilisi yupo nawewe ili akupoteze
@samotero23232 жыл бұрын
Wewe dawah KAZI Yako ni kuwatoa waislamu wako kwa ukiristo.
@habibasalim30922 жыл бұрын
Alhamdulilla
@festusmuli53972 жыл бұрын
Hii diyo ndini ambayo inatishia kuua wafuasi wake wakienda inje ya msikiti najua Kuna wengi Sana wanataka kutoka hila wanaofia maisha yao
@kihimbamushyaibrahim72842 жыл бұрын
Ukweli sheikh Sisi WA Islam tunahitaji kuweka mipangilio yakupiganisha umasiki,nahii twaweza jaribisha small projects,umasikini,maradhi kama hauna imani waweza potea wazee wetu hawakuwa nanidhamu(plan)sahihi sheikhe wavijana kila hali ikiwabana waweza wakapotoshwa!!!miskitini tumezungumzia sana akhera(Moto na jana) asante alakini vipi twaweza pata mugao wetu duniani!??kwanini tusifunze ufugaji kuku,bata,sungura,havihitaji dongo kubwa!wallahu waliyu atawafiiq tuanze kusanya Dola kumi kumi au tano in two years let's see how we can achieve asanteni
@user-mq6lu2po3y2 жыл бұрын
Allah amsamehe dada yetu kwa hili
@zaburionlinetv62452 жыл бұрын
WOTE WALIODANGANYWA NA HAWA WAIBA SADAKA NI LAZIMA WAUMBULIWE
@apostlejanegracegidraph20542 жыл бұрын
She was having a dream👍
@armstrongsalim13282 жыл бұрын
Mtwapa si Mombasa ni kilifi
@onesmusmusyoka222 Жыл бұрын
Jameni wachaneni na pastor wetu Ezekiel aendelee na kazi ya ,pastor Ezekieli akujii mtu yeyeto kwa nyumba
@kevinamimo632 жыл бұрын
Waambiwe waislamu wasije kwenye ibada ya Kikristo, sisi tuko huku na mambo yetu nanyi mkae na yakwenu
@nurafedrick378
2 жыл бұрын
Nandio wako wengi huko kwa Ezekiel
@mzaliwaseif70792 жыл бұрын
Hata baadhi ya wachristo walishaga helewa kuwa ni nguvu ya jiza ndo yenye kutumika ila ndo ivo tena. Jina la Yesu inakuwa ni cover tu. Bado tunalo tatizo la corona linaitaji dawa.
@kanuhummer64852 жыл бұрын
Asalam alaykum,ustadh mtafute na yule alie sema anaishi liko anaitwa mwanamkuu said,
@xavierowino Жыл бұрын
She said she got healed of hiv due to Ezekiel's prayers. She turned hiv negative. So now that she has come to Islam, does she gets to keep her healing? And who gets the credit for the healing? The church or Islam?
@wangagirl35082 жыл бұрын
Sisi hata hatuna haja ya kutukana waisilam ni nyingi ndio mnatufwatilia sana na mbona mnaita pts Ezekiel ni mchawi
@hansmswagara2789
2 жыл бұрын
Kwahyo kusambaza vitambaa ndo nn kam c uchawi
@rikiasalim14282 жыл бұрын
AllahuAkbar
@teshilifestyle49522 жыл бұрын
Mbona waislamu hutusi wakristo makafiri lakini wewe wasema kwamba wakristo Wana matusi?
@pamoles1303
2 жыл бұрын
Waislamu hawakuwaita wakristo makafiri ni ALLAH mwenyewe ktk Quran
Пікірлер: 395
They aimed to bring confusion in Islam but Allah barricade their evil idiology, They planned but forgotten that Allah is the best of planners.... Mashallah great work
@Mombasaweldingworks
2 жыл бұрын
Only by the blood of jesus all you have to do is to let him into your crooked inner self and you will be whole again...
@sevenscounty409
2 жыл бұрын
@@Mombasaweldingworks we love jesus more than u so called Christians, just so u know
@Mombasaweldingworks
2 жыл бұрын
@@sevenscounty409 say you love isa ,but not our lord Jesus from the holy bible who died for our sins..
YESU KRISTO ndio Njia ya kweli na uzima,na Ndio Nuru ya ulimwengu wote
@patiancekelvine8678
2 жыл бұрын
Kila ulimi utakir ya kuwa Yesu ndie Bwana Huu ni mwanzo tu,, wimbi la wokovu laja tena wokovu wa kweli sio huu wa kupapasapapasa maana watu wataokoka sanaaa maana kumuamini Yesu ndio njia ya pekee kwenda kwa Mungu Baba
@marianachriss2444
2 жыл бұрын
@@patiancekelvine8678 Ameeen Haleluyaaaa
@erickotero5759
2 жыл бұрын
True Jesus is the way
@marianachriss2444
2 жыл бұрын
@@erickotero5759 Halelujah Halelujah JESUS CHRIST is Lord of Lord and King of king lion of judah alpha and omega
@essyjerry9482
2 жыл бұрын
Amen na yesu kristo yuaja
Jesus is Lord..Mungu akusamehe..Usitukane ukristo..
We all need peace nothing else ...kindly preach peace
Bismilaaah maasha allaah alhamdulilaaah yaaraby azidi kutuhidi na kutuongoza na kutuongowa katika njia iliyo nyooka yaaraby AAMEENA YAARABY🤲🤲🤲🙏🙏🙏
Huu ni msiba mkubwa kutowafundisha dini watoto wetu . 😭😭😭😭Huu ni mtihani kwa kila mzazi lazima mtoto I mfundishe dini iko awe na nguzo imara ya kutopotezwa . Shukran sheikh Allah ndie atakulipa kwa ujira wako
Right now in Kenya we are in peace time let's peace prevail.
@alhamdulillah5796
2 жыл бұрын
Ikiwa siasa haijakutoeni kwenye amani...dini itakutoeni vp???
@dorcasatieno3705
2 жыл бұрын
asante daa MUNGU akubariki sana tuko na amani
@halma7764
2 жыл бұрын
Mashaallah
Maa shaa Allah natamani niwe nimekuzaa mimi sheikh Ramadhan. Nakuombea kwa Allah akuhifadhi na akujaalie dua zako ziwe mustajabah.
subhanaallah ya rabby tuokoe umm wa mtume s.a.w kwa siku tukufu zibadilishe nyoyo za waja wako ya rabby Tue kitu kimoja na tuishike bendera yetu ya LAILAHA ILALLAH MUHAMMED RASULULLAH YA RABBY
Masha Allah, Allahu Akbar, Allah akuzidishie elimu, umri na afya njema sheikh wetu Ramadhan na Allah atupe mwisho mwema sote waislamu pamoja na vizazi vyetu Allah Humma Amiin
Nafikiri nimakosa kwa mkristo kwenda msikitini kufuata wakristo wanaosilimu. Vivyo hivyo Ramadan kuria hafai kwenda kanisani kufuata waisilamu wanaohudhuria huko. Sheikh ananjia zingine anaweza kutumia kushawishi waisilamu wasiende huko. Tuheshimu uhuru wa kuabudu.
Alhamdulilah Allah ashukuruwe kwakweli Shekhe Ramadhani Allah atakulipa.
Masha Allah , JazakAllahu kheyran ustadh Ramadhan kuria ....
Masha Allah tabarak Allah.....tupo duniani kulingania dini sheikh wetu
M.a sheikh Ramadhan Allah akurahisishie kazi ya daawah ....kwa juhudi yako InshaAllh uta badilisha makanisa mengi kuwa msikiti,.
@StraightPathDawah
2 жыл бұрын
Allah atujaalie
@andallaathman3856
2 жыл бұрын
@@StraightPathDawah Amin 🙏
@andallaathman3856
2 жыл бұрын
@@StraightPathDawah Amin 🙏
Shukran sheikh ramadhan kwa juhudi zako za da'waa,Allah akulipe pepo
@StraightPathDawah
2 жыл бұрын
Ameen
Umesema kuna uhuru wa kuabudu na pia muislamu hafai kutukana dini zingine, in your previous clips it's obvious wewe mwenyewe umetoa kejeli, umeonyesha uhasama/chuki flani. What you're show is double standards, you're not walking the talk. Alaf kuhusu point ya vitamba haviponyi ni Mungu, nakubaliana na wewe kabisa, ila Yesu alipomponya kipofu batimayo, alitema mate chini akiunda tope na kumpaka machoni hatimoye upofu ukamtoka, kwa si vitamba si matope, ni nguvu ziko behind it na imani yako. Unafanya vyema kuhubiri uislamu, lakini fanya kihekima, kwa upendo bila chuki, maana hivyo inakuwa rahisi kushawishi mtu kuwa muumini. As you said we have freedom of worship, lets respect it, it's a person choice, for God does not force Himself on us, He has given us a choice to worship Him. Personally I have grown with Muslim brothers and sisters peaceful and with love, and they used to share their teachings to me but not like the way you're doing, in theu would easily persuade us, hii yako ni kama tisho flani. If you wish to win souls, stick to teaching Islam, show us umuhimu wake, leave other religions, fighting them and showing hatred towards them, wont make you win more souls. Nmesema kwa upendo, natumai despite our differences, we continue to live in peace and harmony.
@ibrahimdawood6547
2 жыл бұрын
Kama kuna uhuru wa kuabudu, mbona wanatishia huyo mama mjane asiende kuabudu kanisani na wanamlazimisha kwenda msikitini?
@katherinasamwel3937
2 жыл бұрын
Huyu shehena ana shuki na dini yetu YESU ndio njia ya kweri na umima sasa huyo dada simjane na dini ya kiisilamu ina luhusu kuoa wake wengi shehe bola umuoe tuu huyo mjanee 😄😄
@blackke6085
2 жыл бұрын
Sheikh Ramadan amejaa chuki tu na wakristo
@fjghfufgg3227
2 жыл бұрын
@@blackke6085 hio ni kweli kabisa na haifai ivo sisi sote tuliumbwa na Mungu
@fjghfufgg3227
2 жыл бұрын
@@ibrahimdawood6547 Sasa hapo wanafanya makosa mbona iwe lazima ya kua muslim ilhali mtu ni halali yake, kwani kua Muslim ni lazima??si bora mtu aende pale anapotaka na pia Mungu ni yule yule so wacheni watu wawe huru muache kuwafunga
MashaAllah Ustadh Wangu Ramadan
Mwenyezi atujaalie kheri ustadh
May Allah bless you Sheekh luck off understanding their own faith Allah sw only can cure and no one can help you May Allah give understanding of faith
Maa Shaa Allah shekh wangu ramadhaan kuria bin kaguo
Mashalla allbdulilai ustaz ramazane
Waaleykum salaam warahmatullah wabarakatuh sheikh Ramadhan. ALLAH akuepushe na hasad na akulinde sheikh wetu..
@StraightPathDawah
2 жыл бұрын
Allahuma ameen
Sheekh Ramathan May Allah bless you Amiin
Ustadh rama mola akuzidishie zaidi
@StraightPathDawah
2 жыл бұрын
Ameen
Mansha Allah sheikh tabarakallah Allah akulipe kheir insha Allah watarejeya Allah yupo pamoja nanyi
@StraightPathDawah
2 жыл бұрын
Ameen
Ma shaa Allah mungu amuhifadhi na amuongoze
Dadaangu mungu amekuonesha nuru na hiyo ndoto yako ni njema na inakuonesha ufuate njia iliyonyooka ,njia yawale aliowaneemesha mwezimungu,nao ni mitume na masahaba na wajawema waliotangulia uachane na hiyo njia ya waliopotezwa na kupotea.
ALLAH AKULIPE KHEIR USTADH RAMADHAN NA AKUJAALIE NUSRA KILLA UNAPOKWENDA NA HUYO DADAETU ALLAH AMPE MAISHA YA KHERI NA BARKA KWA KUMRUDIA MOLA WAKE...NA WENGINE WALIOTOKA KWENYE DINI ALLAH AWARUDISHE....AAMIIIN AAMIIIN..YAARABB.M
@StraightPathDawah
2 жыл бұрын
Ameen
@sakinat2527
2 жыл бұрын
Amiin
MAASHAA ALLAH MAASHAA ALLAH MAASHAA ALLAH. TABARAKA RAHMAN ALLAH AZIDI WA IBAREEK
Mashallah ustadh kuria.. endelea kuwabia ukweli Allah atakulipa in sha Allah
@StraightPathDawah
2 жыл бұрын
Ameen
Good job Ustaz
@StraightPathDawah
2 жыл бұрын
Shukran jazeelan
Wewe sheh jiangaliye utapigwa na Mungu acha kufatiliya yasio kuusu acha kuzuwiya watu wamjuwe Mungu wakweli
I think Islam mean peace 🙏just preach about peace,the rest leave to our almighty God Who is in heaven yeye ndiye mwenye kuugumu.
@samxx411
2 жыл бұрын
Hata kumuokoa binadam mwenzio katika ushirikina pia ni peace mana Mungu hapendi kushirikishwa, uislam utamfikishia yeyote ambayo hajielewi na anashirikisha hata bila ya kujijua baadae ukufata sawa hukufata sawa wewe na Mungu wako
@ignasmalema8354
2 жыл бұрын
Islam mean surrender, if you not surrender you die
Masha ALLAH Akhy Ramadhan Allah akulipe mema akupe nguvu ueze kuufikisha kalima ya lailah illah llah
@StraightPathDawah
2 жыл бұрын
Allahuma ameen
Unajoka bure sikuhizi hawafai buibui ndio mziwajue uislmu qwisha Mombasa kristo ndio kuzema
@blackke6085
2 жыл бұрын
wow!
@alhamdulillah5796
2 жыл бұрын
Unajidanganya hali ya kua unaujua ukweli. Uisilam hauezi kwisha duniani si Mombasa, kenya si ppte na unazidi kukua.
@alhamdulillah5796
2 жыл бұрын
Na Allah anasema na mkigeuka atawaleta watu wengine badala yenu, nao hawatokua kama nyinyi. Na si unaona watu wa dini tofauti wanausoma uisilam na wanaingia ktk uisilam na kua waumini wazuri zaidi kuliko waliozaliwa nao??? Qur-an 47:38.
@StraightPathDawah
2 жыл бұрын
Hiki kiswahili ni Cha wapi?
Elimu ni nguzo ya dini jamani tusomeni dini tujuwe.... Kizuri na kibaya please hii yote ni kukosa kujuwa Imani ndogo mungu atuhifathi insha Allah
Allah awajalie mashekh wetu kwa kazi nzuri sana mnafanya na awaepushe na madui wa uislam
@SalmanMughal-lq5lt
Ай бұрын
AaminaYaarabi
Wewe wenye unachuki falani kwa waliokobolewa, waja kutisia na kuwafingia watu WA Mungu, kumfikia yesu kristo
Allahumma Aamiin.Aamiin...Mungu akulipe kheir shekg wetu...Mungu akupe barka ziteremke km mvua shekh Rsmadhan
@StraightPathDawah
2 жыл бұрын
Allahuma ameen
Alhamdulillah mashaa allah mitihani tumeumbiw ss heri kumuomba mungu kuliko kumshirikisha Allah na vitu vingine ahsante shekhe wetu
Kabisa Leo umeongea maneno kuntu mpk nashangaa na Mimi ilakuwaje wanatukane ila mungu akuweke shekh wetu kipenzi chetu Ramadhani kiboko yao 🤗
Shekh wetu Allah akuzidishie umr mref wenye manufaa
Hizo vitambaa hua zina nguvu ya giza, manabii wa mungu walifanya muijiza bila kupatia watu vitu, isitoshe yesu mwenye hakua NA sarakasi hizi tunaona siku hizi, pia mwanza kuna mwingine anaitwa papa god.
MashaAllah sheikh Ramadhan........ Allah azidi kukupa nguvu utangaze dini ya Allah
@StraightPathDawah
2 жыл бұрын
Allahuma ameen
shukran bro...amazing work. ma sha Allah
@princessmuthoni373
2 жыл бұрын
Kwa yesu Kuna mwangaza.njooooni mnitafute nko within
@princessmuthoni373
2 жыл бұрын
My friend acha kuingilia kabisa Mimi nimetoka kwa uislam nimerudia yesu wangu plzzzzz usimwingilie pastor Ezekiel,mbona mnahoji waislamu acha mtu afiate dini yenye anataka
Utapata shda sana sheikh..huezi zuia injili...injili ni moto💪💪💪💪💪💪🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Alhamdulillah Alhamdulillah
All we need now is peace Muslims and Christians that's all we need in our country Kenya
Kwa Yesu Kuna uponyaji s waganga wanaeza ponya hila yesu humusaidii mama ungemwambia umuombee kwaza aweze kupona
Awa wngine hfanya maskhara Tu ni washenzi utaenda vip kanisani,kama unashida Lilia waislam wenzako,mtu wa Mombasa ATI hajui kama kuwa mkirstu ni laana,hao njaa inawasumbua((umasikini ni nusu ya ukafir)
Uhuru wa kuabudu unapatia mtu uhuru wa kubadilisha dini pia. Nimeona wakristo wengi waisilamu na hakuna pasta anaenda msikitini kuwafuata huko. Vivyo hivyo mtu akienda kanisani asifuatwe huko
@mshai203
2 жыл бұрын
Uislamu ni dini ya haki dini ya kweli na ni dini ya Allah subhallah wataAllaH
Waudhi sana jameni khaaa!!!
MashaAllah
Kweli pastor Ezekiel anawakosesha usingizi 😴😴 yaani mko desperate kuprove kitu hkuna 🤔🤔 muachie Mungu kazi yake🙌🙏
Alhamdhulillah 🤲
Mashaallah ALLAH BARIIK always my brother
@StraightPathDawah
2 жыл бұрын
Allahuma ameen
Allah atuepushe na hawa mapastor wa uongo
Amina, umefanya vizuri sana kutoka kwa ushirikina wa Ezekiel, mtafute Mwenyezi Mungu kwa bidii cha muhimu acha uvivu na kupuuza nguvu ya Mungu ndani yako,Mola yuko kila mahali kwa watu wote, na Mungu ana subira sana kwa hivyo lazima uwe na subira pia, usitake vitu vya haraka haraka, lkn ukifuata njia mkato utapotezwa,🙏🙏
@annkuya1446
2 жыл бұрын
Lakini uponyaji unatoka kwa Yesu pekee yake ambaye ako mbinguni kwa Nuru pekee .Yesu alisema wacha wafu wafuate wafu wenzake maana mfu mwenye ako kwa kaburi kwa Giza haweze kumponya MTU aliye Hai.Bali walio hai ndio humfuata aliye juu milele kwa Nuru nayr akiomba kwa Jina LA Yesu Ataponywa.Mafarisayo ndio ilikua kazi yao juu ya wivu walipokua wanaona Yesu akiponya watu wanamwendea yule aliye ponywa na kumdhihaki asitaje jina LA Yesu kamwe. Maana walikuwa wanaona wao wakiombea MTU kwa Jina LA mwenyezi Mungu pekee bila kumtaja Yesu hakua anapona, Sasa ili watu wasimfuate Yesu awaponye walimkejeli sana na kumuita majina yasiyo faa.Yesu ndiye Alpha na Omega Hakuna mwenye atakuja baada Yake. Yesu amesalia Mfalme Mshindi wao wenye walitegemea Dini yao kuwaokoa waliangamia katikati dhambi zao kwa kaburi LA sahau na bado wanangonja Hukumu ya Mwisho kutoka kwa the same,same Jesus Christ. Yesu ndiye ufufuo Wa Mwisho tukifuata maangizo yake tutaishi naye.
@annkuya1446
2 жыл бұрын
Mungu yupi .Taja jina LA Huyo Mungu please?
@hansmswagara2789
2 жыл бұрын
@@annkuya1446 yan nyie mmeaminishwa kuwa mzungu ndo Mungu wenu kwan alie muumba mamayake yesu anaitwa nani
@fjghfufgg3227
2 жыл бұрын
@@hansmswagara2789 na nyinyi Mungu wenu ni mwarabu pia so sote gora moja
@annkuya1446
2 жыл бұрын
@@hansmswagara2789 Ni wapi penye pameandikwa kwa Bible ati Mungu ni Mungu?,Mungu Wa Bible alituumba kwa Sura Yake yeye mwenyewe na kwa mfano wake alivyo yeye mwenyewe ndivyo Bible inasema.Ndiyo unaona Bible imetafsiriwa kwa kila Lugha, hata nyimbo za injili ya Yesu zimetafsiriwa kwa kila Lugha maana Mungu Wa Bible anelewa Lugha zote na hana ubaguzi kwa mwenye anamtaka,ukimwita atakusikia maadam anapatikana kila pahali.
Porojo tuuuuuu ,huyu Shee alifungua hii channel kumpinga pastor Ezekiel tu hana mambo mengine
@prettyaysha7892
2 жыл бұрын
Sasa waonaje na wewe ukifunga channel ya kwako ukampinga sheikh ramadhan😏😏😏😏kwani ni kesho
@mufunyiibrahim3655
2 жыл бұрын
Hi channel ni ya dawaa imekaa zaidi ya 5 yrs
@StraightPathDawah
2 жыл бұрын
Hii channel ni mzee kuliko tv ya Ezekiel
Mimi sijawai ona mkristo akitukana mwislamu but waislam hutukana sana wakristo
MashaAllah Tabarakallah Allah akuongoz zaid sn
Kazi zuri sana ustad ramadhan
Waislamu wamefumzwa na Allah watizame marafiki wanaokaa nao.wengi wao wanakaa na marafiki ambao sio
Waaleikum salam warahmatullah wabarakatu
Mashallah
Walaykum salam warahmatullaah wabarakatuh
Mtaongea sana nabado
Mbona huyu jamaa anamchimba pastor Ezekiel
MashaAllah shukuran sheikh kwakutuilimishaa
@michaelmunene738
2 жыл бұрын
Wacha kuzarau dini za wenzio utathi
Asalam Alaykum warahamatulilh wabarakatuh! INSHA ALLAH ALLAH akuongoze SHEKHE RAMADHANI kwa kuinusiuru DINI ya haki Amin Amin!
Masha Allah
Kweri cheh Allah awalipe kwa ico munacofanya Allah awalike kesho ashera
Mashaa llah
Dini haitawai peleka mtu popote , zingatia uhusiano wako binafsi Kati yako na mwenyezi mungu , zingatia kutenda mapenzi yake mwenyezi mungu . Haijalishi wewe n Muslim hau mristo lakini uhusiano wako na mungu n Jambo La msingi
Sio kwa ubaya ila hawa wanao hojiwa Kuna mengi wanaficha, ila wacha Mungu atupiganie,
@ambasaephraim9182
2 жыл бұрын
Hawa wanatishiwa maisha usidhani yanayotoka moyoni mwao ni ya ukweli
@alhamdulillah5796
2 жыл бұрын
@@ambasaephraim9182, Hakuna anayetishiwa kuuliwa. Hv ww hujawaji kuwaona waisilam wanaoritad kawaua nani??? Msikaririshwe mkakariri.
@alhamdulillah5796
2 жыл бұрын
Hao ni waisilam wanaokuja makanisani kwa ujinga. Na wengi wao hua hawajasoma...na kumuongoza mjinga hakujakatazwa na hakuna anaechukia ila iblis na wtto wake ima mashetani watu au majini. Hv Pastors wangekua wanasambaza neno la Mungu halfu wanaona watu wanaingia misikitini kwa sabbu zao tofauti wangekhofia kuwafuata wakawaongoza ili wasije kupotea??? Lkn wanajua km uisilam ni uongofu na wanaujua km wao wanapoteza watu na target zao haswa ni wale wasiosoma au waloghafilika tena wawapoteze vipembeni na sio penye waliosoma...na ndio mana hawaendi misikitini wanaona wataadhirika. Halafu ukiachia mbali huu mtindo wa kufata mke/mume ambao upo kwenye kila dini...wanaokuja kwenye uisilam wengi hua wamesoma na kuamini kwa hio hua vigumu mtu kumtoa.
AMEEN YA Rabbi
MashaAllah barakallahu feekum
@StraightPathDawah
2 жыл бұрын
Ameen
Mbona mkienda kwa hao wagaga hamsemi mkatangaza
Hawa waislam wanamfuata Ezekiel hakuna ata mmoja azekiel ameendea kwake akamleta kanisani kwake but I don't know why islams are complaining and they are healed Hata Shukrani hamna
una kazi kweli, umbea kila uchao
Hata Mimi nikitoka huku Dubai nitavaa abaya niingie nayo church ndo nione mkinikujia Mimi muislamu..Kenya Kuna freedom of worship
@StraightPathDawah
2 жыл бұрын
Wewe sio Muislamu jifunze adabu za uislamu kabla ujiite Muislamu
Alhamduliah
ostadhi ramadhan kazi unoifanya hakika inaujira mkubwa kwamungu uskate tamaa man ibilisi yupo nawewe ili akupoteze
Wewe dawah KAZI Yako ni kuwatoa waislamu wako kwa ukiristo.
Alhamdulilla
Hii diyo ndini ambayo inatishia kuua wafuasi wake wakienda inje ya msikiti najua Kuna wengi Sana wanataka kutoka hila wanaofia maisha yao
Ukweli sheikh Sisi WA Islam tunahitaji kuweka mipangilio yakupiganisha umasiki,nahii twaweza jaribisha small projects,umasikini,maradhi kama hauna imani waweza potea wazee wetu hawakuwa nanidhamu(plan)sahihi sheikhe wavijana kila hali ikiwabana waweza wakapotoshwa!!!miskitini tumezungumzia sana akhera(Moto na jana) asante alakini vipi twaweza pata mugao wetu duniani!??kwanini tusifunze ufugaji kuku,bata,sungura,havihitaji dongo kubwa!wallahu waliyu atawafiiq tuanze kusanya Dola kumi kumi au tano in two years let's see how we can achieve asanteni
Allah amsamehe dada yetu kwa hili
WOTE WALIODANGANYWA NA HAWA WAIBA SADAKA NI LAZIMA WAUMBULIWE
She was having a dream👍
Mtwapa si Mombasa ni kilifi
Jameni wachaneni na pastor wetu Ezekiel aendelee na kazi ya ,pastor Ezekieli akujii mtu yeyeto kwa nyumba
Waambiwe waislamu wasije kwenye ibada ya Kikristo, sisi tuko huku na mambo yetu nanyi mkae na yakwenu
@nurafedrick378
2 жыл бұрын
Nandio wako wengi huko kwa Ezekiel
Hata baadhi ya wachristo walishaga helewa kuwa ni nguvu ya jiza ndo yenye kutumika ila ndo ivo tena. Jina la Yesu inakuwa ni cover tu. Bado tunalo tatizo la corona linaitaji dawa.
Asalam alaykum,ustadh mtafute na yule alie sema anaishi liko anaitwa mwanamkuu said,
She said she got healed of hiv due to Ezekiel's prayers. She turned hiv negative. So now that she has come to Islam, does she gets to keep her healing? And who gets the credit for the healing? The church or Islam?
Sisi hata hatuna haja ya kutukana waisilam ni nyingi ndio mnatufwatilia sana na mbona mnaita pts Ezekiel ni mchawi
@hansmswagara2789
2 жыл бұрын
Kwahyo kusambaza vitambaa ndo nn kam c uchawi
AllahuAkbar
Mbona waislamu hutusi wakristo makafiri lakini wewe wasema kwamba wakristo Wana matusi?
@pamoles1303
2 жыл бұрын
Waislamu hawakuwaita wakristo makafiri ni ALLAH mwenyewe ktk Quran
@alhamdulillah5796
2 жыл бұрын
@@pamoles1303 , Yy mbona anawaita wapiga tunguli washirikina kwa hio anawatusi nayy.