KWANINI NILIACHA UKRISTO- RAMADHAN KURIA BIN KAGUO NCHINI OMAN
Tafadhali subscribe kwenye KZread channel yetu ya STRAIGHT PATH DA'WAH ili uendelee kunufaika kupitia video zetu. Number za simu+254722600533 au +254777600777 (Ramadhan Kuria Kaguo)
Tafadhali subscribe kwenye KZread channel yetu ya STRAIGHT PATH DA'WAH ili uendelee kunufaika kupitia video zetu. Number za simu+254722600533 au +254777600777 (Ramadhan Kuria Kaguo)
Пікірлер: 548
Hapa kweli ndo tunasema Mungu alikuongoza. Na bwana Ramadhan uling'ang'ana kutaka kujua ukweli. Ninachojivunia zaidi ni kwamba pesa sio kigezo Cha kukufanya usilimu. Niko na Imani Insha Allah Pepo utaiona na uingie. Ustadh Ramadhan wewe ni jiwe, mwamba
@StraightPathDawah
Жыл бұрын
Sote Allah atulipe Jannah
@saifalhussaini9702
Жыл бұрын
Allahumma amiin
Sheikh Ramadhan hayo maneno yako bado ni daawa imetosha Mungu akupe wepesi katika maisha..kazi unayofanya ya daawa ni ngumu tunafahamu ila tupo pamoja na wewe hadi peponi inshallah..
Masha ALLAH mungu atawaongoza familia yako isha ALLAH watasilimu
@kawtharalbarwani1337
Жыл бұрын
Amiin thumma amiin
I can a test to these I took me three years of wanting to change to be a Muslim I was scared at first , when I took the liberty of being a Muslim It was like a burden on my back was taken away Alhamdulillah I cried, I was happy mum heart was filled with happiness Alhamdulillah
@aisharicci6400
Жыл бұрын
Alhamdulillah.
@omarsirleem7105
7 ай бұрын
😢😢 MashaAllah ❤❤
sheikh Ramadhan Allah akubariki sana umeniongezea imani mimi nilikua sijui uislam ila kupitia vipi ndi vyako nimejua mengi sana kuhusu uislam
Allah ampe mwisho mwema Sheikh Ramadhan, anafanyakazi kubwa sana
@sakinat2527
Жыл бұрын
Amiin
may Allah bless Ramadhan Kuria .i will never forget this sheikh.
@salimmohamud5390
Жыл бұрын
Why
@salhaalhosni5249
Жыл бұрын
السلام ورحمة الله وبركاته Vipi tuchangie ??
Mashaa Allah great work continue with the work of Daawah. Bring people from astray to the nur (light) bi'idhnilahi
Sheikh Ramadhan unajitahid kupigania dini yetu ya kiislam kwa kutoa dawah na kusilimisha wasiowaislamu,Allah (SWT) akujaalie firdaus.
Maa shaa Allah sheikh wetu Ramadhan tumekumiss kule dawaa channel.in shaa Allah ukirudi kazi iendee biidhnillah.
Maashallah Allah akuongeze na akufanyie wepesi inshaallah uweze kupata vifaa
Allah akuzidishie afya njema, elimu na ufahamu uzidi kuifanya kazi ya mitume in shaa Allah na Allah atakulipa
May Allah reward you bro Ramadhan. We beg Allah awafunulie Uislam wazazi waweze kuiona Nuru. Ameen ameen.
Masha Allah TabarakAllah masheikh wetu Allah Awahifadhi
Allahuakbar allah akusimamie na atusimamie naatuongoze katka njia iliyonyoka sisi na vizazi vyetu allah inusuru diniyako na atunusur waislam sote ulimwenguni amin
MashaAllah ustadh Ramadhan Allah akuongoze Leo dunian na kesho akhera
Mimi naipenda Ile ya Daawa Mtaani, one to one Allah akuzidishie
Mashallah sheikh this story of urs motivates me as one who also changed from Christianity to Islam ,Alhamdulillah
@puretv8742
Жыл бұрын
Wewe ni mulongo kama ulivyo mrongo
@fridahmulongo2697
Жыл бұрын
@@puretv8742 uwongo wangu uko wapi?
@khalidhussein3655
Жыл бұрын
Mashallah
@ukweliwauislamu9590
Жыл бұрын
@@puretv8742 wivu ni ya nini sasa ?
@mohamedalawy6172
Жыл бұрын
MashaAllah ! Baada ya kuwa Muislamu , FRIDAH sasa umekuwa FARIDA
Allah akuzidishie elmu, umri, afya njema, amani na akufanyie wepesi wa kazi ya daawah Sheikh Ramadhan Kuria Kaguo Amiin Thumma Amiin
@aishahassan3214
Жыл бұрын
Waislamu aibu hii. Ubahili kama huu kanisani haupo ndo maana dini yetu haiendelei
@sakinat2527
Жыл бұрын
Amiin
MASHA'ALLAH...May Allah guide and bless you always..
Jazzakallah, Tabarakallah, Allah akubariki sana Tena sana ustadh Ramadhani kuria bin Kaguo . Allah akuhifadh.
Walleikum sallam warahamatullah wabarakatuh mashAllah ustadh Allah akupe umri mrefu uendelee na daawah inshAllah
Maalim Ramadhan namkubali sana namfatilia sana nampenda kwaajili ya Allah karibu Tanzania
Hakika ALLAH humuongoa amtakae.ALLAH akukutanishe na kipenz chetu Mtume MUHAMMAD swala na salaam ziwe juu yake.
@StraightPathDawah
Жыл бұрын
Allahuma ameen 🤲
@salimanasser5466
Жыл бұрын
Ameen yaraby
Nimefurahi sana kuona umealikwa Oman Allah akujaalie afya na swiha na mwakani tuonane Makkah. 😊 aamiyn
@khadijahamina8457
6 ай бұрын
amin sote piya allah atu fikishe uko insha allah
MA SHAA ALLAH RAMADHAN SHEIKH MZURI NA DAWAH KATIKA DINI YETU YA KIISLAM
Walaikum salaam warahmatu-llahi wabarakatuh, karibu sana Ustadh wetu
@jamalsaid7475
Жыл бұрын
Alhamdulillah JazakaAllaahu'khayran Ahlus Sunnah tuko na itikadi tofauti na Ibaadhi au Ma Ibaadhi Huyu Ustadh Rashid Shukery ni Ibaadhi Baadhi ya itikadi yao ni Kupinga Kumuona Allaah siku ya Qiyaamah kwa Waumini Ziko Aayah nyingi kutoka katika Quran na Sunnah (Hadith)zinasema kuwa Waumini watamuona Allaah siku ya Qiyaamah Baadhi ya itikadi zao ziko karibu sana na Shia au M'aShia . Hata vitabu vya ki Ibaadhi ni Marufuku Saudi Arabia Allaah Atupe Hidaayah
Mashaallah Allah akuzidishie
Mashallah sheikh naomba uje utulinganie hii sehemu tunaishi kwa sababu napata changamoto sana mahali nilipo
@StraightPathDawah
Жыл бұрын
Naomba utume message Kwa WhatsApp +254722600533 au +254777600777
Allah azidi kukuongoza Insha Allah
Allah akupe mwisho mwema shekhe Ramadhani binafsi nakufuatilia sana na navutiwa na upambanaji wako katika dini
Mashaallah jazakumllah kheir amiin mola atawaongoza ktk din y haki very soon inshaallah
Alla akuwezeshe kumtumikia daima kwa afiya
Masha Allah Ustaz Gakuo
@StraightPathDawah
Жыл бұрын
NI Kaguo
Omani imaani amaani MashaaAllah 🙏
Asallam aleikum warahmatulahi wabarakattu, SUBHANALLAH, ALLAAAAAAHU AKBAR, Allah akuifadhi sheikh Ramadan, Maneno yako imenifungua akili, na waisilamu tafadhali tumuunge mkono sheikh watu, na kila anafanya kazi mzuri ya dawah, kazi ya dawah sirahisi kama vyenye tunafikiria ni kazi ngumu...... na waislimu tusiwe wabishi, Allah awape nguvu afia na umri mrefu, Amiin.
@omarmvoi3803
Жыл бұрын
Maa shaa Allah.Daawwa mitaani Ina nibamba sana, na inanstija nzuri sana. Sheikh endekea mayo.
Sheikh Ramadhani Allah akuzidishie Mimi nipo comores ila nakufuatilia sana
@StraightPathDawah
Жыл бұрын
Mashallah
MashaAllah..may Almighty Allah bless you brother Ramadhan.
Mashaallah mungu akubariki ndugu Ramadhani Kuria. Allah akuzidishie uchamungu akusamehe dhambi zako na Allah akufanyie wepesi Kila utakapo kuwa. Ningeomba niweze pata copy ya hicho kitabu "UISLAM KATIKA MUANGAZA WA QUR'AN NA BIBILIA".
Mashallah Sheikh Ramadhan kukuja Omani.
Asalam alaykum Warahmatullah wabarakatuh Ma Shaa Allah Tabaraqallah Yale maswali nilikuwa najiuliza Kuhusu background yako Sheikh wetu Ramadhan Kuria bin Kaguo Leo nimepata majibu Alhamdulillah Pia sheikh wetu Shukery Allah awalipe badali
Shekhe Ramadhan nakupenda kwaajili ya Allah.
Waleykum Salam warahmatullah wabarakatuh
جزاكم الله خيرا
Maa shaa ALLAH , MUNGU akufungulie milango ya Baraka na neema sheikh wng Ramadhani kw kazi unayoifanya
Brother Ramadhan kwangu mimi nakuona wewe ni mmoja ya walinganizi bora nafatilia vipindi vyako popote nilipo na nakuombea kwa Mungu akupe umri mrefu na nguvu katika shughuli zako
Mashaallah sikosi vipindi vyako
@StraightPathDawah
Жыл бұрын
Allah akulipe Jannah
@lailahumaid2011
Жыл бұрын
@@StraightPathDawah .Allahummah Ameen Yaarab
Mashaa Allah baarakallahu fiik
Mashaallah mashaallah sheikh ramadhan nakupenda kwa ajili ya allah
SUBHANALLAH ALLAHU AKBAR
Ustad ramadhan mansha allah nakupenda sana Ustad
@StraightPathDawah
Жыл бұрын
ALLAH akupende zaidi
Mashaallah
Masha Allah vile vile sheikh ahamed deedat alikua anambia watu wafanye daawa atakama ni kwa haya moja na ndivyo ilianza mashallah mungu akuzidishie
Masha-Allah beutiful mabrook barakallah
Sheikh Ramadhan namkubali sana. Nafarijika na vipindi vyake nikiwa kazini bandari dubai
Asallam aleikum Sheikh Wangu Rashid Punguza kidogo pupa Una haraka ya kuuliza Tunakupenda Sana sheikh Rashid Na mgeni wetu
😢😢😢 wallah maneno yako ni mazito sana ulioyaongeaa na hakika yametugusa sisi waislamu ,Allah akulipe pepo ya firdaus Ameen
Masha Allah! Kazi iendelee👊👊
Mashallah shekh Ramadhan Allah Barik
Mashaallah, tabaraka Allah
Masha Allah MashaAllah MashaAllah
Waleykum salam warahmatullah wabarakatuh
ALLAH atazidi kukuongoza na kukufanyia wepesi kwa kila jambo Allahumma Amiin Amiin yaarabi Amiin
MashaLLAH
Mashallah barakallah...👏👏
Ramadhani kuria Allah akuhifadhi sheikh lety
MASHAALLAH
Masha Allah ❤️❤️❤️
Mungu alishakiona kilichomo ndani yako, ndio maana alikukuongoza kwa kila hatua na ilikuwa rahisi kwako kwa kila hatua uliokuwa unafanya ilikuwa rahisi haikuwa kwa nguvu zako, bali ulipata muongozo wa Allah .na pia nikikuona ni mtu mwenye umakini na kujiamini kwa unachoongea.
@zuakhalfan9767
Жыл бұрын
Masha allah nimefurahi kusikia umekuja oman nilikuwa nakufatilia kwenye you tube . insha Allah wazazi wako watajua dini ya kweli waifate
Allah akuhifazi sheikh
Maashaallah baarakallah mashekh wetu mungu atuongoze sote na atupe mwisho mwema
Bwana Ramadhan Allah akuzidishie hekma
MashaAllah
Masha Allah 🥰
Walaykum salam warahmatullah wabarakatuh
Mashaallah,jazakallahul khaiiir,waba'dal khair,jannatul firdaus nuzula maajamiiilmuuminiin,waqauluhuu taalaa,innamaa nutw imukumliwajhillahi,laanuriidu minkum jazaawwala shukuuraa,swadaqallahul adhwiim,kazinjema.
Maa shaa Allah jazakhalaherih
Masha'Allah. Allahu guides whom he wills. You made a very big step.. You found the truth and you stopped looking.. Alhamdhulillah.
@issajumamwinyi6191
Жыл бұрын
Ramadhan bin kuria aka STOIS PAPI.....very weak reasons for saying its women dressing that made you deny the one True God and Jesus Christ. For if you believe and accept Jesus Christ, the Holy Spirit in you makes you unconscious of worldly things >>>> 2 Corinths 5:17 Therefore, if anyone is in Christ, he is a new creation.The old has passed away; behold, the new has come. 18 All this is from God, who through Christ reconciled us to himself and gave us the ministry of reconciliation; And in any case >>> 1 Corinthians 10:13 No temptation has overtaken you except what is common to mankind. And God is faithful; he will not let you be tempted beyond what you can bear. But when you are tempted, he will also provide a way out so that you can endure it. I pray and hope the rest of your family members will not follow you to the way of destruction.
@stoispapi2380
Жыл бұрын
@@issajumamwinyi6191 We have got no business with whatever Paul says about jesus. Paul is a liar. Jesus calls pple like you dogs..go sit and think.
@issajumamwinyi6191
Жыл бұрын
Ramadhan bin kuria aka @@stoispapi2380 You have been brainwashed by your teachers about Paul....Koran doesn't say anything about Paul except your teachers when they find the kitchen is too hot to handle... You like quoting Paul's letter's when it suits you....but when against you, Paul is a liar 😂😂😂😂😂😂.
@issajumamwinyi6191
Жыл бұрын
Ramadhan bin kuria aka @@stoispapi2380 I will never tire on teaching you why "Jesus calls pple like you dogs..go sit and think" That period, not sure about now....a dog is anyone non jew - that includes you my brother. That woman Jesus called dog was non jew (canaanite)....the name dog was acceptable...just as it is acceptable today when i call non believers like you KAFIR!! you understand now?? so its your turn too go sit and think!!🤣🤣🤣 🤣
@stoispapi2380
Жыл бұрын
@@issajumamwinyi6191 I have never quoted anything that Paul says... you liar.
Mashaallah Allah akupe kujalie mema
Ma Sha Allah tabarakallah sheikh wetu Allah akupe afya njema n akuzidishie elimu
A very dedicated sheikh keep up the spirit
Good conversations,likes youur answers,always watch
ManshaAllah Sheikh Ramadan May Allah bless you Amiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiin
MA SHA ALLAH 😢😢SHEKH RAMADHAN NIMETOKWA MACHOZI KWA HII DOCUMENTARY YAKO SABABU NI NYINGI ILA IN SHA ALLAH TUPO PAMOJA BIIDHNLAH
Mashaallha
Mashallah mwenyezi mungu amuhifadh inshallah
Maa shaa Allah.Mwenyezi Mungu akubariki
Mashallah
MashaAllah tabaraka Rahman HAPPY BIRTHDAY
MashaAllah Allah azid kuwalinda masheikh wetu Nasie pia wallah mpk machoz yanitoka
Jazzakallahu kheiran Allah akuzidishie imani na akulipe jannatul firdaus kwa juhudi yako ya fy sabilillahi
Mashaallah Masheikhe wetu nakupendeni sana kwa ajili ya Allah
Masha Allah hafidu Allah shekhi ramadan
Maashaallah mwenyeez mungu atuhifadhi dunian na akhera waislaam wooote,... inshaallaah
Mashallah sheikh wetu
@aishachannel8510
Жыл бұрын
ManshAllah🤲🙏🙏❤❤❤❤❤💙💙💙💙
Masha ALLAH
Amiin insha'Allah mungu atawaongozaa wazazii wako insha'Allah waonee nuruu❤
Manshalla ❣️🙏
Mashallah nakufatilia shekhe ramadhan
Masha Allah, Allahu Akbar