Pete-Yamuibua Mwanafunzi wa Sheikh Nurdin Kishki Amshangaaa Dr Sule Kutafuta Umaarufu na Kupotosha

usisahau ku subscribe channels hii

Пікірлер: 33

  • @saidinsenda954
    @saidinsenda9542 ай бұрын

    Assalam aleikum, Mimi natokea Burundi na yanayo jiri kwenye mitandao twayapata pia minaomb nitowe kama ushauri sheikh wanamna iyo kwanini viongozi wamiskiti mnampaga mimbari aongeye mtu ambae akije mtandaoni anafundisha vitu ambavyo ni Haram anadae majini utowa utajiri sijui pete inaleta bahati sheikh wanamna iyo msimpe mimbari pia mumlinganie mana anatukanish dini kbs ALLAH atuongoze

  • @user-ye6qq9nv8b
    @user-ye6qq9nv8bАй бұрын

    Yesu akasema mtawatambua kwa matunda yao kwa maana katika miiba huwezi kuvuna zabibu, kilichotokea ndio uharisia wa yeye mwenyewe maneno mengi ila ameonekana

  • @emmynoby9806
    @emmynoby98062 ай бұрын

    Weka vizur maneno yako huyu sio mwnafunzi WA Shekh nurdin kishk huyu n mwnafunzi WA Shekh sharif Abdull qadir al ahdar

  • @mosesmngome1357

    @mosesmngome1357

    2 ай бұрын

    Wacha utani bn

  • @KhalfanMakota

    @KhalfanMakota

    2 ай бұрын

    Hawamjuy kwa kuwa waliomuona sana wakati akiwa na nurdin akiwa na naibu wake kipini hicho.........abdillah masawe mchaga wa kwanza kuwa muislam 😂😂😂😂😂

  • @SalmaHamzaRobo
    @SalmaHamzaRobo2 ай бұрын

    Hakuna hata atakae kuja KANISANI SAHAU UKIWAONA NIWALE HAWAMJUI ALLAH..

  • @maase2023
    @maase20232 ай бұрын

    Dah ! Kwanza akasome nurdin kisha afundishe wanafunzi

  • @ladooladoo1285
    @ladooladoo12852 ай бұрын

    Jamani hakuna mkamilifu sote tuna mapungufu yetu nawala hakuna mkamilifu, fikra zangu ni kuwa Dr Sule amepata elimu ya kuijua biblia na kuichambua na sote tunamkubali hapo ana ujuzi nayuko vizuri tuu, lakini tutambue kuwa elimu ya dini ni pana kuna vingi bado ba wengi wetu hatujazipata taaluma na elimu hizo kwa f mfano kuna elimu ya fiqhi na kuna elimu ya Tawhidi nayo ni kumtambua Allaah anavostahiki mfano sifa zake uumbaji wake uwezo wake ukubwa wake umiliki wake, ni elimu pana na wengi wetu tumeikosa nawasihi ndugu zangu waislamu pamoja na dr sule akachimbe hapa mbona ana kichwa kizuri Allaah Amemruzuku, na ni mwenye uelewa mzuri, shida ni kuwa ameipata elimu ya nyita kabla hajapataelimu ya Tawhidi asingefika hapo alipo bado muda anao nasote tuisomeni tawhidi tumjua mola wetu upeo wa kumjua na vitu kama hivi havitatusumbua Allaah tuneshe haki ilipo na utuongoze tuifuate na Utuhidi waja wako

  • @emmynoby9806
    @emmynoby98062 ай бұрын

    Kishk NI mwnafunzi mwenzie pia alikua katibu wake katika kuhangaika kweny daaawa

  • @agrolive4027
    @agrolive40272 ай бұрын

    Sheikh Hamza alianza kupotoka kama hivi mwisho leo anajiita Nabii. Msije shangaa Sule akajatuambia yeye ni mtume amepewa nguvu ya kumiliii majini

  • @aminakidunda3263
    @aminakidunda32632 ай бұрын

    Mwiteni kama mwiisilam mwenzenu namtajie Aya ambazo nikatazo Kwa aliyo Yaongea ilitupate kujifunza

  • @joezeno8
    @joezeno82 ай бұрын

    Iko wazi, Sule anatafuta Umarufu, kwanza alianza kutafuta Umarufu kupitia msanii Harmonize, badala akaona lazima aje na GEAR mpya ili aendelee kusikika! Njia raisi ya kuuza na kutangaza dawa zake 😂😂

  • @user-jy9gh8zo3j
    @user-jy9gh8zo3j2 ай бұрын

    Kwanza nilianza kulistukia nilipo anza kuona limenyowa kiduku na kuluweka wazi ndo nikaona uyu jama amebadilika pia kuna kitu kiko nyuma yake

  • @xenioribra3765
    @xenioribra37652 ай бұрын

    Tatizo elimu.....elim ndogo ubishi mwingi.......

  • @HamisAbdallah-cj2sc
    @HamisAbdallah-cj2sc2 ай бұрын

    Asalam aley kum masheikh pazeni sauti DK anauchafua uwisilamu .ningependa mada hii sheikh wetu nurdini kishki nae alisemee hili kwamapana ZAIDI nimesikia Sana kusikia ujumbe huu masheikh wengi wamekaa kimyaaa sijui nawenyewe nimiongoni Mwa DK Sule?? Sijamsikia muhamedi IDDI sheikh fufti ZUBERI YUSUFU diwani mbrahimu mkongo sheikh mazinge wakilizungumzia swala LA Pete kaongea USTAZI shafi. Kulikoni .???

  • @niyonzimaaisha6159

    @niyonzimaaisha6159

    2 ай бұрын

    Pako mwanazuoni aliye andika kitabu ca namna ya kutumikisha majini kitab kinaitwa shams Al ma'arif ni Ahmad Al bruni ,Ibn khaldun na Ibn taymiyya walimradi ,anatumikisha hesabu za ilm ya nyota na nikimfuatilia dr sulle anavyosema vinaendana na hicho kiabu

  • @amuraneibrahim2776

    @amuraneibrahim2776

    2 ай бұрын

    Muft anampango wowote wakukemea maovo yeye nitumbo tu

  • @sharrifidris3422

    @sharrifidris3422

    2 ай бұрын

    Wengine uliowataja sio masheikh ni walinganiaji tu,haya mas'ala yanahitaji masheikh waliosoma wazungumze na kukataza.huyo mzee sulle amejiahibisha kwa kutafuta umaarufu.

  • @hassanjr5318

    @hassanjr5318

    2 ай бұрын

    Dr ana historia mbaya inasikitisha sana ukisikia habari zake link hii kzread.info/dash/bejne/m4mftMtuYL2udLg.htmlsi=IYeecazTus-O4g28

  • @ibnhamduun3173

    @ibnhamduun3173

    2 ай бұрын

    Hao uliowataja ndio wale wale tu

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja19952 ай бұрын

    Mnatuchanganya waumini Bora Tunywe pombe tu tutaswali kivyetu majumbani.

  • @user-cv2wh8vi2b

    @user-cv2wh8vi2b

    2 ай бұрын

    Mwenye kutenda wema ni kwa ajili yake (hutomnufaisha mtu) na mwenye kutenda mabaya ni dhidi yke (hutomdhuru mtu kwa uovu huo mbele ya Allah).... Fanya wema kwa ajili yko sio uutangazie ummah uasi utakaoenda kuufanya eti bora unywe pombe, ukifanya hilo utajidhuru mwenyewe ndugu

  • @Kuminamoja1995

    @Kuminamoja1995

    2 ай бұрын

    Masha'allah ahsante kwa Ushauri 🤲

  • @nestarnestar4520
    @nestarnestar45202 ай бұрын

    Nyie subirini tu siku mkija kugundua kua kristo ndio bwana na mwokozi wetu ndo mtake kuja makanisani mtatukuta tumejaa nazani kuna uwezekano wa kuwarudisha mlikotoka,

  • @AdanHumbe-os8dg

    @AdanHumbe-os8dg

    2 ай бұрын

    Hutana haja ya kuja kwa Mungu aliewaumba ninyi Kisha mkamuua madhaifa makubwa mno huoni au ndo Ile kauli ya watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa

  • @FahadAbubakari

    @FahadAbubakari

    2 ай бұрын

    Mpuuzi wewe Nani aje huko

  • @ArishfaaSalum-rk2yu

    @ArishfaaSalum-rk2yu

    2 ай бұрын

    Pole hy balaa peleka kabisa

  • @amirmohamedali7922

    @amirmohamedali7922

    2 ай бұрын

    Wewe bro acha chuki yko waongea maneno wala huna ilmu yke hujui tafauti ya uisilamu na muisilamu Muisilamu ukosea lakini uisilamu haukosei umekamilika Wacha wewe unaeabu mungu anaetia maraundi mitaani Hayo huyaoni

  • @AliKhalid-we4qn

    @AliKhalid-we4qn

    2 ай бұрын

    Sahau hicho kitu, mpaka Dunia itaisha hakitotokea

Келесі