"Karibu kwenye Nuru ya Sunnah!
Hapa ndipo tunapojifunza na kushirikishana maarifa kuhusu mafundisho ya Uislamu kutoka kwenye Qurani na hadithi swahihi, za Mtume Muhammad (صلى الله عليه وسلم).
Tunachapisha video zenye mafundisho ya Qurani, hadithi zenye mafunzo, mawaidha yenye kuimarisha imani, na mwongozo wa Sunnah ambao unatuongoza katika maisha yetu ya kila siku, kutoka kwa mashekhe wetu wa bora wa AHLU SUNNAH WAL JAMA'A
Jiunge nasi katika safari ya kiroho ya kuelekea kwenye nuru na hekima za Uislamu!"
بارك الله فيكم وجزاكم الله خيرا
Пікірлер
Uwahabi ni ushenzi
WEWE WAJIFICHA NYUMA YA PAZIA KAMA MWANAMWALI
Kwani kaka kama wewe huonekani sasa, ulieandika haya maneno ni meanamwali wewe? Maana pia hatukuoni! 😂😂😂😂 nimekuwahi eee??? Mwanamwali wewe....
USIBABAISHWE NINI SASA NA WEWE NI MJINGA TUU. WENZAKO WANACHANJUA ELIMU ILA WEWE MUWAHABI UNACHANJIA KWA HASIRA ZAKO 😂. MAWAHABI MNATUMIA HASIRA NYINGI NA NONGWA NA YOTE KWASABABU HAMNA ELIMU. HASIRA ZENU SIO DINI KWETU. NAONA WATU WANATUMIA ELIMU WAPOOLE ILA WAJINGA KAZI YAO KUGOMBA TU NA KUSHAMBULIA😂😂😂. ATI KWANI MAWAHABI HOJA YENU NYIE NI MATUSI, HASIRA NA KUITA WATU GHURAFI ?😂 HASIRA ZENU HAZITISHI WATU NI BURE TU . NA KUJILIZA UONGO KWENYE VIRIRI NI BURE TU
حقّ☝
Dj said kwenye mic
Sheikh mafuta ni chafu ktk elimu tukufu tumuulizeni maswali magumu kuelewa kiibada lkn Ngoma na kucheza hakuna asiyejua kuwa ni haramu kwa watakao pepo lkn
maa shaa allah 🎉
maa shaa allah ❤❤❤ Allah akubarik ukhty
🎉❤
subhanallah
❤🎉
Naomba sheikh wetu tubainishie aloyasema kijana wa Bachu ni kweli kwamba wawatoa watu katika manhaji pasi na haqqi? Kama si kweli basi twaomba umjibu kwa dalili kama alivyotaja maana ukikaa kimya na kusema wengine wapuuzwa kwa kutojibiwa watuacha njia panda kana kwamba huna hoja maana kuna wapuuzi zaidi ya huyo kijana unawajibu.
ni kweli hana hoja ndio maana hajajibu hoja ni mtupu katika elimu na hawezi jibu hoja yoyote
kwanza shehe muhammed bachu yupo sahihii kuliko kasim mafuta
@@Sumayyah_ahmed_9 hapana ndugu hao watu wote ni wa sunna wanafaida kubwa sana Wallah na wote huwa nafaidikanao natamani2 waondoe tofauti zao
🎉🎉🎉🎉❤
❤❤❤❤
kasimu mafuta ni mtu wa jazba tuu, kazi kiwatoa watu katika uislam
huu ni uongo wa wazi wa masufi wanajitengenezea maneno bila dalili
shukran sana ukhty ALLAH AKUBARIK ❤
hahaha 😂😂😂😂hatari majaaz
😂😂😂mbona sauti km imekauka😂😂😂😂😂
hahahha😂😂 me nataka fatima jaman😂❤❤ maa shaa allah sheikh wetu mbora tunakupend kw kwel
❤❤❤nice recitation i feel peace in my heart ❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺💗💗💗💗💗💗💗🫀🫀🫀🫀🫀🫀🫀🫀🫀🫀🫀🫀💔💔💔💔💔❣️❣️❣️💔❣️
maa shaa allah shikh abdul qadir
maa shaa allah ❤❤
Wote ni wasomi wakubwa tuwe na Adabu katika kutoa comment zetu. Radd ni katika dini, tuwe na subira!! Kikubwa niwaombe masheikh zetu tufundisheni dini.
صحيح
Naam shukran ukhty❤❤
بارك الله فيكم وجزاكم خيرا 💔
فمابالك الجنه 😢❤😊 مالا عين رات ولا اذن سمعت ولاخطر على قلب بشر😊
مشاء الله اللهم احفض اخواننا المسلمين في كل بقاع الأرض
اللهم امين يارب العالمين
سبحان الله و الحمد لله والله أكبر ولا حول ولا قوة إلا بالله العلي العظيم 🤍
سبحان الله وبحمده سبحان الله العظيم ❤
Masha allah
ماشاء الله
Astaghafirullah unadanganya watu
Mashallaah
الحمد لله
upuuz na uhizbi tuuu huyu mtoto
❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤🎉
❤❤❤❤
✅✅
✅✅✅
maa shaa allah ujumbe umefika
maa shaa allah ujumbe umefika
mtoto mwema❤
maa shaa ALLAH like father like son ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
❤
maa shaa allah
maa shaa allah
❤