NURU YA SUNNAH

NURU YA SUNNAH

"Karibu kwenye Nuru ya Sunnah!

Hapa ndipo tunapojifunza na kushirikishana maarifa kuhusu mafundisho ya Uislamu kutoka kwenye Qurani na hadithi swahihi, za Mtume Muhammad (صلى الله عليه وسلم).

Tunachapisha video zenye mafundisho ya Qurani, hadithi zenye mafunzo, mawaidha yenye kuimarisha imani, na mwongozo wa Sunnah ambao unatuongoza katika maisha yetu ya kila siku, kutoka kwa mashekhe wetu wa bora wa AHLU SUNNAH WAL JAMA'A

Jiunge nasi katika safari ya kiroho ya kuelekea kwenye nuru na hekima za Uislamu!"
بارك الله فيكم وجزاكم الله خيرا

Пікірлер

  • @SuolFat
    @SuolFat24 минут бұрын

    Uwahabi ni ushenzi

  • @abdulkhalfan8586
    @abdulkhalfan858640 минут бұрын

    WEWE WAJIFICHA NYUMA YA PAZIA KAMA MWANAMWALI

  • @user-bp6fb6wo5u
    @user-bp6fb6wo5u35 минут бұрын

    Kwani kaka kama wewe huonekani sasa, ulieandika haya maneno ni meanamwali wewe? Maana pia hatukuoni! 😂😂😂😂 nimekuwahi eee??? Mwanamwali wewe....

  • @hilalkhalfan1452
    @hilalkhalfan145256 минут бұрын

    USIBABAISHWE NINI SASA NA WEWE NI MJINGA TUU. WENZAKO WANACHANJUA ELIMU ILA WEWE MUWAHABI UNACHANJIA KWA HASIRA ZAKO 😂. MAWAHABI MNATUMIA HASIRA NYINGI NA NONGWA NA YOTE KWASABABU HAMNA ELIMU. HASIRA ZENU SIO DINI KWETU. NAONA WATU WANATUMIA ELIMU WAPOOLE ILA WAJINGA KAZI YAO KUGOMBA TU NA KUSHAMBULIA😂😂😂. ATI KWANI MAWAHABI HOJA YENU NYIE NI MATUSI, HASIRA NA KUITA WATU GHURAFI ?😂 HASIRA ZENU HAZITISHI WATU NI BURE TU . NA KUJILIZA UONGO KWENYE VIRIRI NI BURE TU

  • @IBN_IDREES
    @IBN_IDREES59 минут бұрын

    حقّ☝

  • @hassanWanjiku
    @hassanWanjikuСағат бұрын

    Dj said kwenye mic

  • @MwakibwanaallyHamza
    @MwakibwanaallyHamza2 күн бұрын

    Sheikh mafuta ni chafu ktk elimu tukufu tumuulizeni maswali magumu kuelewa kiibada lkn Ngoma na kucheza hakuna asiyejua kuwa ni haramu kwa watakao pepo lkn

  • @Sumayyah_ahmed_9
    @Sumayyah_ahmed_92 күн бұрын

    maa shaa allah 🎉

  • @Sumayyah_ahmed_9
    @Sumayyah_ahmed_92 күн бұрын

    maa shaa allah ❤❤❤ Allah akubarik ukhty

  • @Sumayyah_ahmed_9
    @Sumayyah_ahmed_92 күн бұрын

    🎉❤

  • @Sumayyah_ahmed_9
    @Sumayyah_ahmed_92 күн бұрын

    subhanallah

  • @Sumayyah_ahmed_9
    @Sumayyah_ahmed_92 күн бұрын

    ❤🎉

  • @Hamis-ks1sy
    @Hamis-ks1sy2 күн бұрын

    Naomba sheikh wetu tubainishie aloyasema kijana wa Bachu ni kweli kwamba wawatoa watu katika manhaji pasi na haqqi? Kama si kweli basi twaomba umjibu kwa dalili kama alivyotaja maana ukikaa kimya na kusema wengine wapuuzwa kwa kutojibiwa watuacha njia panda kana kwamba huna hoja maana kuna wapuuzi zaidi ya huyo kijana unawajibu.

  • @Sumayyah_ahmed_9
    @Sumayyah_ahmed_92 күн бұрын

    ni kweli hana hoja ndio maana hajajibu hoja ni mtupu katika elimu na hawezi jibu hoja yoyote

  • @Sumayyah_ahmed_9
    @Sumayyah_ahmed_92 күн бұрын

    kwanza shehe muhammed bachu yupo sahihii kuliko kasim mafuta

  • @Hamis-ks1sy
    @Hamis-ks1sy2 күн бұрын

    @@Sumayyah_ahmed_9 hapana ndugu hao watu wote ni wa sunna wanafaida kubwa sana Wallah na wote huwa nafaidikanao natamani2 waondoe tofauti zao

  • @mariamkhamis-zj2gq
    @mariamkhamis-zj2gq2 күн бұрын

    🎉🎉🎉🎉❤

  • @mariamkhamis-zj2gq
    @mariamkhamis-zj2gq2 күн бұрын

    ❤❤❤❤

  • @mariamkhamis-zj2gq
    @mariamkhamis-zj2gq2 күн бұрын

    kasimu mafuta ni mtu wa jazba tuu, kazi kiwatoa watu katika uislam

  • @abuuuyaynah
    @abuuuyaynah2 күн бұрын

    huu ni uongo wa wazi wa masufi wanajitengenezea maneno bila dalili

  • @abuuuyaynah
    @abuuuyaynah6 күн бұрын

    shukran sana ukhty ALLAH AKUBARIK ❤

  • @Ruqayyah_Hussein_2004
    @Ruqayyah_Hussein_20048 күн бұрын

    hahaha 😂😂😂😂hatari majaaz

  • @Ruqayyah_Hussein_2004
    @Ruqayyah_Hussein_20048 күн бұрын

    😂😂😂mbona sauti km imekauka😂😂😂😂😂

  • @Ruqayyah_Hussein_2004
    @Ruqayyah_Hussein_20048 күн бұрын

    hahahha😂😂 me nataka fatima jaman😂❤❤ maa shaa allah sheikh wetu mbora tunakupend kw kwel

  • @Ruqayyah_Hussein_2004
    @Ruqayyah_Hussein_20048 күн бұрын

    ❤❤❤nice recitation i feel peace in my heart ❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺💗💗💗💗💗💗💗🫀🫀🫀🫀🫀🫀🫀🫀🫀🫀🫀🫀💔💔💔💔💔❣️❣️❣️💔❣️

  • @jitu_jeusii
    @jitu_jeusii8 күн бұрын

    maa shaa allah shikh abdul qadir

  • @jitu_jeusii
    @jitu_jeusii8 күн бұрын

    maa shaa allah ❤❤

  • @MaarufuHussein
    @MaarufuHussein11 күн бұрын

    Wote ni wasomi wakubwa tuwe na Adabu katika kutoa comment zetu. Radd ni katika dini, tuwe na subira!! Kikubwa niwaombe masheikh zetu tufundisheni dini.

  • @Nuru_ya_sunnah.official
    @Nuru_ya_sunnah.official9 күн бұрын

    صحيح

  • @NuryaMusa
    @NuryaMusa12 күн бұрын

    Naam shukran ukhty❤❤

  • @Nuru_ya_sunnah.official
    @Nuru_ya_sunnah.official9 күн бұрын

    بارك الله فيكم وجزاكم خيرا 💔

  • @user-hv1uy9lm4t
    @user-hv1uy9lm4t13 күн бұрын

    فمابالك الجنه 😢❤😊 مالا عين رات ولا اذن سمعت ولاخطر على قلب بشر😊

  • @user-rt9iq8dl2m
    @user-rt9iq8dl2m16 күн бұрын

    مشاء الله اللهم احفض اخواننا المسلمين في كل بقاع الأرض

  • @Nuru_ya_sunnah.official
    @Nuru_ya_sunnah.official11 күн бұрын

    اللهم امين يارب العالمين

  • @user-zl7bb3rz1u
    @user-zl7bb3rz1u17 күн бұрын

    سبحان الله و الحمد لله والله أكبر ولا حول ولا قوة إلا بالله العلي العظيم 🤍

  • @Nuru_ya_sunnah.official
    @Nuru_ya_sunnah.official11 күн бұрын

    سبحان الله وبحمده سبحان الله العظيم ❤

  • @sadakadogoo4645
    @sadakadogoo464517 күн бұрын

    Masha allah

  • @Nuru_ya_sunnah.official
    @Nuru_ya_sunnah.official11 күн бұрын

    ماشاء الله

  • @user-uu5qw4mm3i
    @user-uu5qw4mm3i21 күн бұрын

    Astaghafirullah unadanganya watu

  • @SalimKombo-xo4pq
    @SalimKombo-xo4pq22 күн бұрын

    Mashallaah

  • @Nuru_ya_sunnah.official
    @Nuru_ya_sunnah.official11 күн бұрын

    الحمد لله

  • @jitu_jeusii
    @jitu_jeusii22 күн бұрын

    upuuz na uhizbi tuuu huyu mtoto

  • @jitu_jeusii
    @jitu_jeusii22 күн бұрын

    ❤❤❤❤❤

  • @jitu_jeusii
    @jitu_jeusii22 күн бұрын

    ❤❤❤❤❤🎉

  • @jitu_jeusii
    @jitu_jeusii22 күн бұрын

    ❤❤❤❤

  • @jitu_jeusii
    @jitu_jeusii22 күн бұрын

    ✅✅

  • @jitu_jeusii
    @jitu_jeusii22 күн бұрын

    ✅✅✅

  • @jitu_jeusii
    @jitu_jeusii22 күн бұрын

    maa shaa allah ujumbe umefika

  • @jitu_jeusii
    @jitu_jeusii22 күн бұрын

    maa shaa allah ujumbe umefika

  • @Ruqayyah_Hussein_2004
    @Ruqayyah_Hussein_200423 күн бұрын

    mtoto mwema❤

  • @Ruqayyah_Hussein_2004
    @Ruqayyah_Hussein_200423 күн бұрын

    maa shaa ALLAH like father like son ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @Ruqayyah_Hussein_2004
    @Ruqayyah_Hussein_200423 күн бұрын

  • @Ruqayyah_Hussein_2004
    @Ruqayyah_Hussein_200423 күн бұрын

    maa shaa allah

  • @Ruqayyah_Hussein_2004
    @Ruqayyah_Hussein_200423 күн бұрын

    maa shaa allah

  • @Ruqayyah_Hussein_2004
    @Ruqayyah_Hussein_200423 күн бұрын