Sadick TV

Sadick TV

"📺 MANHAJ YA QURAN NA SUNNAH KWA UFAHAMU WA SALAF WA UMMAH HUU"

February 29, 2024

February 29, 2024

Пікірлер

  • @abuunuaymiaffasiyassalafiy1089
    @abuunuaymiaffasiyassalafiy1089Күн бұрын

    Innalillah wainnah ilayhi rajiun shaykhana. Anwar. Khatweeb

  • @nazraseiban1082
    @nazraseiban1082Күн бұрын

    Allah akurehemu na akujaalie pepo ya Jannatul Firdaus...🤲 Shk. Anwar tutamkumbuka daiman kwa darsa zako😭

  • @MuniraAlly-f9k
    @MuniraAlly-f9k6 күн бұрын

    Mashallah Allah amlaze mahala pema😢

  • @user-tc6pq4db5v
    @user-tc6pq4db5v7 күн бұрын

    ALLAH amrehemu shekhe wetu

  • @abbaspaziaog2188
    @abbaspaziaog21887 күн бұрын

    ALLAH amrehem

  • @abbaspaziaog2188
    @abbaspaziaog21887 күн бұрын

    ALLAH amrehem shekh Anuary khatibu

  • @BilaliSebao
    @BilaliSebao7 күн бұрын

    Allah akurehemu shekh wangu

  • @saidimkwinzu9106
    @saidimkwinzu91067 күн бұрын

    الهم غفر له ورحمه وأدخله في جنتك الفردوس الاعلى يارب

  • @khalidpater9814
    @khalidpater98147 күн бұрын

    Innalillah wainnailah raajuun. Hakika mola wetu ajaalie kaburi lako liwe ni kiwanja kati ya viwanja vya peponi In Shaa Allah..

  • @MamaYasir-qn2ji
    @MamaYasir-qn2ji7 күн бұрын

    Inalilahi

  • @nurumohammed1310
    @nurumohammed131011 күн бұрын

    Mashallah

  • @JaafaTiputip
    @JaafaTiputip12 күн бұрын

    Maasha_Allah.May Allah SW grant you success on this dunya and Akhera

  • @zuhuralukanga8614
    @zuhuralukanga861419 күн бұрын

    Allah akuhufadhi Shekhe uendelee kutuelisha

  • @user-xb6tr5vq4b
    @user-xb6tr5vq4b25 күн бұрын

    Waleykum salam warahmatullah

  • @AbdullahmuhammadIddy
    @AbdullahmuhammadIddyАй бұрын

    Wewe bado hujaujua usalafiy

  • @ibnayub2374
    @ibnayub2374Ай бұрын

    Doctor Islam tatzo amekaa kisiasa sana hakuna majibu yaliyo Nyooka juu ya wale wanao watusi kina sheikh rabii al madkhali akiuliza anazuga na kukwepa kujibu, Manhaj salaf gani Iko hvyo, wanachuoni wanatukanwa na kuvunjiwa heshima yeye anawatetea wanao watukana na haweki wazi kuhusu msimamo wake juu ya wawanachuoni Hawa. Sijawah elewa Manhaj salaf anayo izungumzia siasa nyingiii.

  • @SalimKombo-xo4pq
    @SalimKombo-xo4pqАй бұрын

    Mashallaah sheikh M.mungu atufanyie wepesi umaty mohammad salalaahu aleihwasalaam.

  • @SalimKombo-xo4pq
    @SalimKombo-xo4pqАй бұрын

    Shukran sheikh wangu M.mungu akubariki

  • @hadiyaabbas11
    @hadiyaabbas11Ай бұрын

    JazzakumAllah khayran kwa darsa mmezipangilia vzr allahuma baarik

  • @BAHATIJUMANNE-h1m
    @BAHATIJUMANNE-h1mАй бұрын

    Mti wenye matunda siki zote ndo upigwa mawe ivo babu allah akujalie na yupo nawe ener time

  • @mwajohari4385
    @mwajohari4385Ай бұрын

    Mashallah

  • @BaroaniMasanga
    @BaroaniMasangaАй бұрын

    Tubia wewe mzee

  • @mustafajuma8016
    @mustafajuma8016Ай бұрын

    Allah akulipe Jannah Sheikh Hassan

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3eАй бұрын

    Shekhe barahyani umefanya kazi kubwa hapa tz kulingania sunnah tz allah atakulipa kheri nyingi sana na akusamehe makosa yako hiyo ndo hakki kwa mwenye kutaka sunnah.kwa mwenye kutaka matamanio ya nafsi na ghuruu ndo atajiunga na chama cha majadida ila ukitaka sunnah ni kwa maansari sunnah hata shekhe fawzan alieleza katika fatuwa yake aloulizwa kuwa ansar sunnah ndo jumuiya pekee iliyobaki duniani kulingania hakki na man hajji salimu wenzetu hawa ujiita salafi lakini fatuwa za wanazuoni zawqtupa mbali kule pmj na ria zao zote

  • @husseinismail7333
    @husseinismail73332 ай бұрын

    Mzee wakuhimiza watu kulambana nakunyonyana nakudai nisunna! Bila aya wala hadithi.

  • @user-od8ns7vz7t
    @user-od8ns7vz7t2 ай бұрын

    Mashallah

  • @user-zz9bj1wh5i
    @user-zz9bj1wh5i3 ай бұрын

    Sufi huyo asisikilizwe

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3eАй бұрын

    Ata mtume aliambiwa na washirikina asisikiizwe huyo na akasikilizwa na hawo hawo washirikina na wakasilimu sisi huwezi kutuzuia kusikiliza mtu tutajuaje hakki bila kuskiliza pande mbili zote, et suffi barahyan kaanza dawa ya sunnah huenda ww na shekhe wenu mafuta ya taa huyo Ana piga matwari maulid tamta hapo we vip na kikundi chenu hiko cha ujadida chama cha walotupa mikapaka kuielewa sunnah

  • @bomikassim4528
    @bomikassim45283 ай бұрын

    Ujumbe mzito mno! Allah ampe afya njema Sheikh Ally Adam ili atunufaishe kwa elimu aliyojaaliwa.

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e3 ай бұрын

    Kiboko ya majadida au hizbu salaffi,wachape bakora hawo wanaojinasibisha na usaafi matendo yao yako mbali na usalafi na kiboko yenu shekhe bachu na kiboko ya masufi

  • @OmariirigoHoseniomari
    @OmariirigoHoseniomari3 ай бұрын

    Barahian mbona hatukuelewi

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3eАй бұрын

    Mtamuelewa tuu siku na chama chenu kilicho jinasibisha na usalafi hiko mnavyoshambuliana wenyew kwa wenyew mtamuelewa barahyan ni nani

  • @HawaHatungimana45
    @HawaHatungimana453 ай бұрын

    Maansha Allah shukrani Sana sheikh Wetu Allahu akupe umri mrefu piya atuhifadhi sote

  • @HawaHatungimana45
    @HawaHatungimana453 ай бұрын

    Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuhu

  • @aminaosman3315
    @aminaosman33153 ай бұрын

    ,mwambie barahiyani awape haki ya marhum Baba akajifa😅akajirithisha yeye na Baraza lake la wadhamini na Ansar wote wanajibika

  • @ayyamirubba5226
    @ayyamirubba52263 ай бұрын

    Jazaakumu llah

  • @aliswaleh3253
    @aliswaleh32533 ай бұрын

    Allah akuweke uzid kutuelimisha ishaallah

  • @mzeemwinyihassan9774
    @mzeemwinyihassan97744 ай бұрын

    Wewe shekhe wacha kutafuta kiki huna elimu sawa na Nassor bachu hivi unaelimu gani ya kumkosoa imani shafii

  • @user-lo5gg8jk8g
    @user-lo5gg8jk8g4 ай бұрын

    الشيخ خالد موسى من طنجة

  • @hamadsaid2232
    @hamadsaid22324 ай бұрын

    Shura ni muhimu mno. Alishauriana Mtume Swalla LLAHU alaihi Wasallama na Maswahaba zake licha ya wahyi alikuwa alioatiwa. Na Hilo jambo ni agizo la Mola wake. Uamuzi wa mwisho alikuwa akiutoa yeye Nabii Swalla LLAHU alaihi Wasallama.

  • @abdurazaqiamisi1463
    @abdurazaqiamisi14634 ай бұрын

    Watu wa fitina mnapambana wenyewe kwa wenyewe

  • @abubakarisakini4080
    @abubakarisakini40804 ай бұрын

    Mbona swala ya taraweh kwa mwaka 2024 hamjaweka

  • @user-ed4hs9iq8g
    @user-ed4hs9iq8g4 ай бұрын

    MashaAllah Allah akujalia Kila la kheri 🙏

  • @selemanijafari9225
    @selemanijafari92254 ай бұрын

    Basi salafi wapo sawa

  • @shabanimussa4269
    @shabanimussa42694 ай бұрын

    wewe unalana Mzee wewe au kichwa nikibovu ujue wewe nimzushi Tena achana nahizo habari kasema lini shekhe muamedi bakari acha ujingi

  • @shabanimussa4269
    @shabanimussa42694 ай бұрын

    wewe unalana Mzee wewe au kichwa nikibovu ujue wewe nimzushi Tena achana nahizo habari kasema lini shekhe muamedi bakari acha ujingi

  • @shabanimussa4269
    @shabanimussa42694 ай бұрын

    angalia mwehu huyu naye nimekuuliza ww shekhe wako wewe ninani? ilyi maulidi yawe bidaa? je mlalo nikwanini ulifukuzwa. kama mbwa ulifanyeje? nimekuuliza hutaki kusma?

  • @mohamedabdul2045
    @mohamedabdul20454 ай бұрын

    Million 200 za moshi umepeleka wap?rudisha million 200 kwanza

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3eАй бұрын

    Un uwakika na ushahidi epukeni zana hakika zana ni dhambi

  • @mohamedabdul2045
    @mohamedabdul2045Ай бұрын

    ​@@user-yj5on8cz3ewe unataka uhakika gan?

  • @mohamedabdul2045
    @mohamedabdul20454 ай бұрын

    Mfanyabiashara ww huna lolote,.

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3eАй бұрын

    Alikuuza ww kwa watumwa nini mpk useme mfanya biashara vumilia tuu kama ww ni jadida tulia sindano ziwaingie ukweli ndo huo

  • @abdulmalicktvabdulmalicktv3750
    @abdulmalicktvabdulmalicktv37504 ай бұрын

    Mhhhh mwwaaaanza kukosoana wenyew sasa

  • @rajabdanga8590
    @rajabdanga85905 ай бұрын

    Mashallah Shekhe Amy nakupenda kwajili ya Allah

  • @SleyumSalim-pq9pr
    @SleyumSalim-pq9pr5 ай бұрын

    Mashia wametuletea ngoma kwenye dini balaa kubwa hili