Sheikh Kipozeo Naye Amvaa vikali Barahiyani.Radd Kwa Barahiyani.

Ойын-сауық

Пікірлер: 26

  • @fataw-sheikh-saleh-fawzan.
    @fataw-sheikh-saleh-fawzan.3 ай бұрын

    Qisa cha uongo kipozeo mche Allah wewe MZEE wende kucheza movie wala mimbari aikufai !

  • @jamalmohamed3400
    @jamalmohamed3400 Жыл бұрын

    Watu waovu ulimwenguni kwanza bi wanasiasa wakifwatiwq na watu social media......

  • @ibucom12tv56
    @ibucom12tv56 Жыл бұрын

    Wasikusumbuemi masheikh wao sio kigezo cha uislam. Uislam mfano wake unapatikana ndani ya Quran na Hadith sahihi sio malumbano ya hawa masheikh. Malumbano yamekuwa fashion mitandaoni.

  • @mwatangachaurembo3405
    @mwatangachaurembo3405 Жыл бұрын

    Kipoozeo muongo sana

  • @feisaldube7296

    @feisaldube7296

    Жыл бұрын

    Naskia Barahyaan dada yake karitadi mbona hamradi

  • @mwatangachaurembo3405

    @mwatangachaurembo3405

    Жыл бұрын

    @@feisaldube7296 kwan mtu akiritad kuna dalili aradiwe?, au anasihiwe, na je una uhakika hajamfata kwa siri akamnasihi au unataka amnasihi kwa mitandao?

  • @mamduhjumaan5915
    @mamduhjumaan5915 Жыл бұрын

    Huu ni ujinga mkubwa kwa baadhi ya ma sheikh .. kazi imekua kupeana raddi.

  • @iddikhamis3269
    @iddikhamis3269 Жыл бұрын

    Waislam tuwe pamoja. Walimu musilumbane unaanza kuuchafua uislam.

  • @pethiussilavwe5695
    @pethiussilavwe5695 Жыл бұрын

    Tunaua dini ndugu zangu plz

  • @pethiussilavwe5695
    @pethiussilavwe5695 Жыл бұрын

    😪😪

  • @kadizosea6250
    @kadizosea6250 Жыл бұрын

    safi sana sheikh wangu kipozeo

  • @shadyaaboud2405
    @shadyaaboud2405 Жыл бұрын

    Kipozeo Ako sawa

  • @iddikhamis3269
    @iddikhamis3269 Жыл бұрын

    Aliekosea mwiteni pembeni muzungumze nae ndo utaratibu mzuri. Sio kuanza kutangazana katika vyombo vya habari.

  • @alhamdulillah5796

    @alhamdulillah5796

    Жыл бұрын

    Akishaitwa atarudi mtandaoni kurekebisha au ataacha vile vile??? Mana watu wengine mnachekesha mtu anakosea mtandaoni na alichokikosea kimeonekana na wengi na wengine hawajui km kakosea halafu kurekebishwa mnataka aitwe pembeni? Ssa akishaitwa itasaidia nn na wale walomsikiliza watajuaje km alichokisema alikosea???

  • @alhamdulillah5796

    @alhamdulillah5796

    Жыл бұрын

    Muhimu ktk kukosoana wasilete mizaha na kudharauliana tu.

  • @iddikhamis3269

    @iddikhamis3269

    Жыл бұрын

    @@alhamdulillah5796 Kama kweli ni mja anaetambua kua hakukamilika bas atarudi mtandaoni na aseme kua kweli kakosea. Ilikua iwe hivi na hivi. Baadaa ya kua keshaitwa na kuelekezwa jinsi ya mambo yalivyo. Ila mambo ya kulumbana waislam sio mazuri tunawaonyesha nini waliokua sio dini moja na sisi. Walislam twende mwendo mzuri ili wasiokua waislam wawe na ham ya kufata na kuitaka dini yetu.

  • @feisaldube7296

    @feisaldube7296

    Жыл бұрын

    @@iddikhamis3269 lakini Barahyaan dada yake karitadi mkristo mwambieni amlinganie

  • @Zainabnoor0087-ze
    @Zainabnoor0087-ze Жыл бұрын

    Kipozeo nae shee au Mr bean!

  • @fahmymasoud1205

    @fahmymasoud1205

    Жыл бұрын

    Wacha dharau unajua maana ya sheikh ww au unaongea tuu

  • @Zainabnoor0087-ze

    @Zainabnoor0087-ze

    Жыл бұрын

    @@fahmymasoud1205 wewe ndio hujui maana ya shehe, ushehe wa umri labda ndio anao Mr bean(kipozeo)shehe mchezo! Kasomea wapi??? Labda kula mirungi

  • @bwagizoselemani8434
    @bwagizoselemani8434 Жыл бұрын

    Wewe kipozeo unazarau sana et umepokelewa na mtu mmoja anaitwa barahiyan acha kuwazarau mashekhe wenzio hakuna elimu ya hivyo minatakiwa kupendana mashekhe jaman mbona sheitwaan anawachezea hivyo

  • @aliabdalla9297

    @aliabdalla9297

    Жыл бұрын

    Kwanza umemsikia huyo Barahiyan

  • @ramadhanimohamed195

    @ramadhanimohamed195

    Жыл бұрын

    Unachokifanya sheikh kipozeo no sawa na alichokifanya (Kama kweli)barahiyaan rahmahullah kwako dhidi ya sheikh Mohammad Ayubu rahimahullah

  • @feisaldube7296

    @feisaldube7296

    Жыл бұрын

    @@ramadhanimohamed195 Barahyaan dada yake karitadi ilikuwa amlinganie

  • @mwatangachaurembo3405

    @mwatangachaurembo3405

    Жыл бұрын

    @@feisaldube7296 una uhakika hajamringania Akhy ?

  • @feisaldube7296

    @feisaldube7296

    Жыл бұрын

    @@mwatangachaurembo3405 sasa c amradi dada yake dini huanza nyumbani mwako au hujui

Келесі