Qisa cha uongo kipozeo mche Allah wewe MZEE wende kucheza movie wala mimbari aikufai !
@jamalmohamed3400 Жыл бұрын
Watu waovu ulimwenguni kwanza bi wanasiasa wakifwatiwq na watu social media......
@ibucom12tv56 Жыл бұрын
Wasikusumbuemi masheikh wao sio kigezo cha uislam. Uislam mfano wake unapatikana ndani ya Quran na Hadith sahihi sio malumbano ya hawa masheikh. Malumbano yamekuwa fashion mitandaoni.
@mwatangachaurembo3405 Жыл бұрын
Kipoozeo muongo sana
@feisaldube7296
Жыл бұрын
Naskia Barahyaan dada yake karitadi mbona hamradi
@mwatangachaurembo3405
Жыл бұрын
@@feisaldube7296 kwan mtu akiritad kuna dalili aradiwe?, au anasihiwe, na je una uhakika hajamfata kwa siri akamnasihi au unataka amnasihi kwa mitandao?
@mamduhjumaan5915 Жыл бұрын
Huu ni ujinga mkubwa kwa baadhi ya ma sheikh .. kazi imekua kupeana raddi.
Aliekosea mwiteni pembeni muzungumze nae ndo utaratibu mzuri. Sio kuanza kutangazana katika vyombo vya habari.
@alhamdulillah5796
Жыл бұрын
Akishaitwa atarudi mtandaoni kurekebisha au ataacha vile vile??? Mana watu wengine mnachekesha mtu anakosea mtandaoni na alichokikosea kimeonekana na wengi na wengine hawajui km kakosea halafu kurekebishwa mnataka aitwe pembeni? Ssa akishaitwa itasaidia nn na wale walomsikiliza watajuaje km alichokisema alikosea???
@alhamdulillah5796
Жыл бұрын
Muhimu ktk kukosoana wasilete mizaha na kudharauliana tu.
@iddikhamis3269
Жыл бұрын
@@alhamdulillah5796 Kama kweli ni mja anaetambua kua hakukamilika bas atarudi mtandaoni na aseme kua kweli kakosea. Ilikua iwe hivi na hivi. Baadaa ya kua keshaitwa na kuelekezwa jinsi ya mambo yalivyo. Ila mambo ya kulumbana waislam sio mazuri tunawaonyesha nini waliokua sio dini moja na sisi. Walislam twende mwendo mzuri ili wasiokua waislam wawe na ham ya kufata na kuitaka dini yetu.
@feisaldube7296
Жыл бұрын
@@iddikhamis3269 lakini Barahyaan dada yake karitadi mkristo mwambieni amlinganie
@Zainabnoor0087-ze Жыл бұрын
Kipozeo nae shee au Mr bean!
@fahmymasoud1205
Жыл бұрын
Wacha dharau unajua maana ya sheikh ww au unaongea tuu
@Zainabnoor0087-ze
Жыл бұрын
@@fahmymasoud1205 wewe ndio hujui maana ya shehe, ushehe wa umri labda ndio anao Mr bean(kipozeo)shehe mchezo! Kasomea wapi??? Labda kula mirungi
@bwagizoselemani8434 Жыл бұрын
Wewe kipozeo unazarau sana et umepokelewa na mtu mmoja anaitwa barahiyan acha kuwazarau mashekhe wenzio hakuna elimu ya hivyo minatakiwa kupendana mashekhe jaman mbona sheitwaan anawachezea hivyo
@aliabdalla9297
Жыл бұрын
Kwanza umemsikia huyo Barahiyan
@ramadhanimohamed195
Жыл бұрын
Unachokifanya sheikh kipozeo no sawa na alichokifanya (Kama kweli)barahiyaan rahmahullah kwako dhidi ya sheikh Mohammad Ayubu rahimahullah
@feisaldube7296
Жыл бұрын
@@ramadhanimohamed195 Barahyaan dada yake karitadi ilikuwa amlinganie
@mwatangachaurembo3405
Жыл бұрын
@@feisaldube7296 una uhakika hajamringania Akhy ?
@feisaldube7296
Жыл бұрын
@@mwatangachaurembo3405 sasa c amradi dada yake dini huanza nyumbani mwako au hujui
Пікірлер: 26
Qisa cha uongo kipozeo mche Allah wewe MZEE wende kucheza movie wala mimbari aikufai !
Watu waovu ulimwenguni kwanza bi wanasiasa wakifwatiwq na watu social media......
Wasikusumbuemi masheikh wao sio kigezo cha uislam. Uislam mfano wake unapatikana ndani ya Quran na Hadith sahihi sio malumbano ya hawa masheikh. Malumbano yamekuwa fashion mitandaoni.
Kipoozeo muongo sana
@feisaldube7296
Жыл бұрын
Naskia Barahyaan dada yake karitadi mbona hamradi
@mwatangachaurembo3405
Жыл бұрын
@@feisaldube7296 kwan mtu akiritad kuna dalili aradiwe?, au anasihiwe, na je una uhakika hajamfata kwa siri akamnasihi au unataka amnasihi kwa mitandao?
Huu ni ujinga mkubwa kwa baadhi ya ma sheikh .. kazi imekua kupeana raddi.
Waislam tuwe pamoja. Walimu musilumbane unaanza kuuchafua uislam.
Tunaua dini ndugu zangu plz
😪😪
safi sana sheikh wangu kipozeo
Kipozeo Ako sawa
Aliekosea mwiteni pembeni muzungumze nae ndo utaratibu mzuri. Sio kuanza kutangazana katika vyombo vya habari.
@alhamdulillah5796
Жыл бұрын
Akishaitwa atarudi mtandaoni kurekebisha au ataacha vile vile??? Mana watu wengine mnachekesha mtu anakosea mtandaoni na alichokikosea kimeonekana na wengi na wengine hawajui km kakosea halafu kurekebishwa mnataka aitwe pembeni? Ssa akishaitwa itasaidia nn na wale walomsikiliza watajuaje km alichokisema alikosea???
@alhamdulillah5796
Жыл бұрын
Muhimu ktk kukosoana wasilete mizaha na kudharauliana tu.
@iddikhamis3269
Жыл бұрын
@@alhamdulillah5796 Kama kweli ni mja anaetambua kua hakukamilika bas atarudi mtandaoni na aseme kua kweli kakosea. Ilikua iwe hivi na hivi. Baadaa ya kua keshaitwa na kuelekezwa jinsi ya mambo yalivyo. Ila mambo ya kulumbana waislam sio mazuri tunawaonyesha nini waliokua sio dini moja na sisi. Walislam twende mwendo mzuri ili wasiokua waislam wawe na ham ya kufata na kuitaka dini yetu.
@feisaldube7296
Жыл бұрын
@@iddikhamis3269 lakini Barahyaan dada yake karitadi mkristo mwambieni amlinganie
Kipozeo nae shee au Mr bean!
@fahmymasoud1205
Жыл бұрын
Wacha dharau unajua maana ya sheikh ww au unaongea tuu
@Zainabnoor0087-ze
Жыл бұрын
@@fahmymasoud1205 wewe ndio hujui maana ya shehe, ushehe wa umri labda ndio anao Mr bean(kipozeo)shehe mchezo! Kasomea wapi??? Labda kula mirungi
Wewe kipozeo unazarau sana et umepokelewa na mtu mmoja anaitwa barahiyan acha kuwazarau mashekhe wenzio hakuna elimu ya hivyo minatakiwa kupendana mashekhe jaman mbona sheitwaan anawachezea hivyo
@aliabdalla9297
Жыл бұрын
Kwanza umemsikia huyo Barahiyan
@ramadhanimohamed195
Жыл бұрын
Unachokifanya sheikh kipozeo no sawa na alichokifanya (Kama kweli)barahiyaan rahmahullah kwako dhidi ya sheikh Mohammad Ayubu rahimahullah
@feisaldube7296
Жыл бұрын
@@ramadhanimohamed195 Barahyaan dada yake karitadi ilikuwa amlinganie
@mwatangachaurembo3405
Жыл бұрын
@@feisaldube7296 una uhakika hajamringania Akhy ?
@feisaldube7296
Жыл бұрын
@@mwatangachaurembo3405 sasa c amradi dada yake dini huanza nyumbani mwako au hujui