Asalamu Aleykum Warahmatullahi Wabarakatuhu
Midia islama kan Afaan oromoo fi kiswahilin Da,awa fi Wantota Diini irrati nama qajechan irra argataniidha warri haarawa taatan Subscribe like gochun nu jajjabeessa jazakumullahu kheyran
Tafadhali subscribe channel yetu tunafanya mwaaida kwa lugha ya kiswahili na kioromoo karibuni sana Kama wewe Ni mpya tafadhali subscribe channel yetu jazakumullahu kheyran
Пікірлер
😊😊😊😊😊
BUTIYEJIRTA
Yaani Awesu maskini anazungumza vitu viwili tofauti kwanza Wakati wa Mtume hakukua na bidaa kwa sbb mwenyewe yupo Lkn kila hao maswahaba walichofanya sio uzushi rakaa mbili Bilal alizo swali zina asili Suratul Ikhlas ipo kwenye Quran Sasa maulidi ni swahaba gani au mtume gani kazusha??????? Khitma swahaba gani na Mtume gani kazusha???
Shek jeylan Adam alwaying
😂😂😂😂
Kassim mafuta wacha kujikweza nenda kwa awesu ukasome unajibu sana ila humuwezi hata kidogo mwamba uwo
Wallah hawana haya kabisa hawa mafusu Alhamdulilah imam shafii Alitubainishia kua ni ......
❤❤❤❤❤❤❤❤
Qisa cha uongo kipozeo mche Allah wewe MZEE wende kucheza movie wala mimbari aikufai !
Mafuta muongo unachuki na shekhe barahyani msikiti ulipolwa na ninyi majadida, arafu we mafuta na genge lako hamuwezi muangusha shekhe barahyani yupo katika hakki barahyani kaanza dawa ya sunna miaka ya 80 ww mafuta ulikuwa ahl maulid wapiga matwal hapo tamta, ukaenda kusoma yemen na saudia kwa shelhe rabbihi al madahal ukachukuwa fikra za usalafia mpya (ujadida) umerudi tz ukaanza kuwapiga vitta maanswari sunna, ninyi mmekuja na fitna tuu kupasuwa safu za umoja wa sunna hamna jipya,wadanganyeni vipofu wenu waso juwa maana ya usalafi sisi tunaelewa man hajji ya salaffi wa kweli wala hatuteteleki na vikundi vyenu hivyo, na hiko kitabu hamna mlichokijibu sabu kina hojja nzito na fatuwa za wanazuoni wakubwa mpingeni kwanza shekhe, abubakary bin zeid alowaita hizbu jadida,kisha mradini shekhe Muhammad swaleh bin utheiminy kwa kutaja dalili za kikundi kinacho jinasibisha na usalaffiya hakika kitanu hiko barahyani hakukurupuka tuuh, wallah kina hojja kweli kila dalili zinazotajwa na mashekhe mafuta na kikundi chake wamepatia zipo na mnazo
Kujisifu mungu apendi majigambo amna kitu hapo
Kujisifu mungu apendi majigambo
Kwani weye nan
Kwani yana kuuso
amina
inshallah ❤
Ustaadh Ngaliba, ustaadh kawemba, ustaadh othman matata, wote wametangulia mbele za khaki Mwenyezi Mungu awajaalie kauri thabit,awaondoshee adhabu za kabri na awaepesie mizani yao siku ya hesabu amiin
ኪኪኪ
Someni sanaaaa,acheni upuuzi, MAWAHABI
Huyu shehe wako al beidh ndio amasoma sanaa kama wewe ??
Sheka kenna daawwaan kessan Ajaa,ibatti namatti tola❤❤❤❤
Rabbin umrri isiin haadheressu.waggaa 3dura daawwaa kessan dhagahe maqaakessan wallaale amma hiriyyota kiyyattu natti hime isin argge isinjjaalachu Rabbi quba qaba du,aa,ii nuff godhaa numaraafu jzk.
Mazinge hana akili unacho takiwa kujuwa alla ni shetani siyo MUNGU
Wewe akili yko yafanya kazi
❤❤
Hii bayani safi sana
😂😂 masufi mtiani
Huyu mafuta bora akapakwe kwenye miili ya watu tu hawezi kuwa sheikh unajua bidaa wewe???
Zilikua bida aswalatu kheiru minanaum na nyingi zilikua na mtume s a w akakubali
Wewe umejenga wapi sheikh unataka kuombewa dua dua nzuri omba wewe mwenyewe
😂😂😂. Kwanza unajua kwanni kasim mafuta hajioneshi kwenye video kwa sababu ndio katika wale wanaosema picha haramu 😂😂😂 mawahabii nyinyi ipoo siku yenuu mytafedhehekaa nyinyi
Wahabi hawawezi fedheheka watafedheheka watu wa bidah na upotevu uwhabi dawa sahihi ya mtume
Mashallah
Mashallaah mashallaah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Maashaa Allaah Abbaa Abdurahmaan tafsiira kana masjiida-nuur magaalaa Nageellee dhaggeeffachaan ture. Galatoom ! Jzk!
Ffff
Itii fufaa malo dass nama jedhaa diramani kesanii ❤
😂😂
Mashallah Salim Bin Biriyani,mwarabu aliyetoroka kwao Yemen na kuzamia Tanzania.
هههههههههههههههههههههههههههههههههههههههههه
Jamani hawa makhurafi wanawafanya bora sana masheikh wao, wanasema ni masharifu, mawalii, wapi vijomba tu wa kawaida, wengi wao ni matapeli kazi tu kudanganya watu. Sheikh waambie ukweli hao Makhurafi.
Kumfananisha mafuta na shekh mubaaraka awesi ni mbali mbali saanaa...mafuuta bado ni bwana mdogo saanaa wallaah haingii hata robo kwa doctoor mubaaraka awes
Ww una mtihan Wallah Allah akuongoze ipo siku utakuja kujua haqqi ipo wapi mbaraka aweso wallah ni mbabaishaji
Kweli kabisa mafuta mpotoshaji tu hafai hata kua shekh
@@AbuuAhmad-pd3owUnaapa kabisa kwababaishaji... Upo tayari kusimama mbele ya Allah kwa Kiapo chako hicho au ni umejiapiza kiushabiki kwa chuki, hasadi na fitna??
Ndio nipo tayari kusimama Kwa Allah juu ya kauli yangu hiyo dini ya Allah imekamilika hakuna kibabaisha, hapakuwa na bida'a zama za mtume, ninyi ndo mnakuwa na ushabiki, ila hoja zetu zinaeleweka Alhamdulillah
@@AbuuAhmad-pd3ow Kwamba Mbaraka Awes ni mbabaishaji??? Basi Allah akuweke kama unajidhatiti kwa ukweli uzungumzalo
Good luck
Bado ww sasa
P
Masha ALLAH
Sijui elimu hii ya Farka inakunufainisheni nini nyie??
HII CHANNEL NI YA MANHAJ GANI????. MBONA HAINA MISINGI YA """Al-walau wal-barau"""
kkkkk
Huyu ni usanii wa kiwango cha lami, Yesu alingia kwenye Synagogy kwanza maandiko yanasema hapo ilikuwa siku ya sabato ambayo wayahudi wanafanya ibada, Je waislamu wanasali sabato tena maandiko yanasema kama desturi yake?Pili maandiko huko mbele kuanzia mstari wa 17 kuendelea yanasema Yesu akafungua nakusoma chuo cha Nabii Isaya?Swali Je Waislam wanasoma kitabu cha nabii Isaya au msikitini kunakuwa na kitabu cha nabii isaya?Hapo hayo maandiko synagogy ni kiibrania jengo ambalo wayahudi wanafanya ibada siku ya Sabato.Sawa na kusema Church ni Kiingereza Kama msikiti lakini wanaabudu waakristo siku ya Jumapili.
Ipo siku utalia na kusaga meno kama usipo rudi kW yesu bado u hai
Wew hakili hauna,yaan yesu aishi uarabun au Israel alafu dini Yako ya ukiristo ianzie magaharib kwa wazungu,yaan ata akili ya kawaida hauna,ndio maana dini yenu ya mashetan na ibiris ndio maana mpaka ndoa za ushoga papa anafungisha
Asalaam aleykum
Waalaykum salam Khabar yako!
@@KIJIJINITV Alhamdulillah salama vp nyie
Alhamdulillah Sijui ww
@@KIJIJINITV أشكر الله
MashaAllah! من أين أنت؟ From Were?
Ma Sha Allah tabarak Allah madrasatul aqsa
Naam Wasambazie wenzako 2fike mbali Na ss
Wewe kasomeshwe na sheikh awais kuwa na adabu bas usimvunjie adabu sheikh wetu huyu sheikh awais tutazid kumpenda anailmu kubwa na nimchamungu hatakujibu unajichosha tuh
Wahhabi ni mtihani mkubwa Kwa Waislam zama hizi. Allah Atunusuru balaa la watu hawa.
Wahhabi ni mtihani mkubwa Kwa Waislam zama hizi. Allah Atunusuru balaa la watu hawa.
Wahabi hawawezi kushindana kielim ila kimatusi watashinda siku zote
😂😂😂 Hawa ni mayahudi wamejivesha mavazi ya kiislamu maana Kila madhehemu isoendana na wao wanaitukana na kuikufurishaa ! Kama Hawa kweli ni waislamu kwanini wanawabaguwa waislamu wenziwao ! Mbona imamu shaafii hatujawahi kumsikia akitukana madhehebu ya hanafi ! Lakini wao mawahabii na mashekhe zao wote wapo katika kutukana na kuwa shutumu shutuma mbaya Kwa madhehebu nyengine ! Wewe kasim mafuta watakao kuona unaelimu hao hao wajinga wenzio lakini fahamu kuwa wewe ni mpuuzi na ni mpumbavuu usojielewaa ! Kama wewe kweli upoo katika hakii basi ungeliwakusanya waislamu kuwa kitu kimoja !lakini wewe umekuwa ndio mgombanishani
@@hutiswalehe2444يريد أن يدوي الناس و هو عليل
Shekh kasimu toa darasa zako tuone kama wewe shekh kweli ,
Nenda pongwe ukasome watu wanasoma kule
@@ankaldally2734 wanasoma upuuzi
@@ishakahaji115mwaweza enda wapi mkasome , mtabaki na hayo matusi tuu
Hana ushekh mafuta yakukangia samaki
@@fikafikan8484 Hamna zaidi ya hilo, tuonyesheni huyo shekh wenu ambae ni shekh Wala si jivu