MUSLIM KIJIJINI TV

MUSLIM KIJIJINI TV

Asalamu Aleykum Warahmatullahi Wabarakatuhu

Midia islama kan Afaan oromoo fi kiswahilin Da,awa fi Wantota Diini irrati nama qajechan irra argataniidha warri haarawa taatan Subscribe like gochun nu jajjabeessa jazakumullahu kheyran

Tafadhali subscribe channel yetu tunafanya mwaaida kwa lugha ya kiswahili na kioromoo karibuni sana Kama wewe Ni mpya tafadhali subscribe channel yetu jazakumullahu kheyran

unafiki Wa Mashia Na masufi

unafiki Wa Mashia Na masufi

Пікірлер

  • @MasFff-vw1il
    @MasFff-vw1il3 күн бұрын

    😊😊😊😊😊

  • @sirajabdulahi3250
    @sirajabdulahi32507 күн бұрын

    BUTIYEJIRTA

  • @user-tw4nf6bv8b
    @user-tw4nf6bv8b18 күн бұрын

    Yaani Awesu maskini anazungumza vitu viwili tofauti kwanza Wakati wa Mtume hakukua na bidaa kwa sbb mwenyewe yupo Lkn kila hao maswahaba walichofanya sio uzushi rakaa mbili Bilal alizo swali zina asili Suratul Ikhlas ipo kwenye Quran Sasa maulidi ni swahaba gani au mtume gani kazusha??????? Khitma swahaba gani na Mtume gani kazusha???

  • @ShekMahmudSuleyman
    @ShekMahmudSuleyman28 күн бұрын

    Shek jeylan Adam alwaying

  • @RobaSiman
    @RobaSimanАй бұрын

    😂😂😂😂

  • @Abdullyussuf
    @Abdullyussuf2 ай бұрын

    Kassim mafuta wacha kujikweza nenda kwa awesu ukasome unajibu sana ila humuwezi hata kidogo mwamba uwo

  • @badarbinthabit290
    @badarbinthabit2902 ай бұрын

    Wallah hawana haya kabisa hawa mafusu Alhamdulilah imam shafii Alitubainishia kua ni ......

  • @user-ud9gj4es6e
    @user-ud9gj4es6e2 ай бұрын

    ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @fataw-sheikh-saleh-fawzan.
    @fataw-sheikh-saleh-fawzan.2 ай бұрын

    Qisa cha uongo kipozeo mche Allah wewe MZEE wende kucheza movie wala mimbari aikufai !

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e2 ай бұрын

    Mafuta muongo unachuki na shekhe barahyani msikiti ulipolwa na ninyi majadida, arafu we mafuta na genge lako hamuwezi muangusha shekhe barahyani yupo katika hakki barahyani kaanza dawa ya sunna miaka ya 80 ww mafuta ulikuwa ahl maulid wapiga matwal hapo tamta, ukaenda kusoma yemen na saudia kwa shelhe rabbihi al madahal ukachukuwa fikra za usalafia mpya (ujadida) umerudi tz ukaanza kuwapiga vitta maanswari sunna, ninyi mmekuja na fitna tuu kupasuwa safu za umoja wa sunna hamna jipya,wadanganyeni vipofu wenu waso juwa maana ya usalafi sisi tunaelewa man hajji ya salaffi wa kweli wala hatuteteleki na vikundi vyenu hivyo, na hiko kitabu hamna mlichokijibu sabu kina hojja nzito na fatuwa za wanazuoni wakubwa mpingeni kwanza shekhe, abubakary bin zeid alowaita hizbu jadida,kisha mradini shekhe Muhammad swaleh bin utheiminy kwa kutaja dalili za kikundi kinacho jinasibisha na usalaffiya hakika kitanu hiko barahyani hakukurupuka tuuh, wallah kina hojja kweli kila dalili zinazotajwa na mashekhe mafuta na kikundi chake wamepatia zipo na mnazo

  • @user-yj5es1jw8c
    @user-yj5es1jw8c4 ай бұрын

    Kujisifu mungu apendi majigambo amna kitu hapo

  • @user-yj5es1jw8c
    @user-yj5es1jw8c4 ай бұрын

    Kujisifu mungu apendi majigambo

  • @Moisesbenjamim
    @Moisesbenjamim3 ай бұрын

    Kwani weye nan

  • @Moisesbenjamim
    @Moisesbenjamim3 ай бұрын

    Kwani yana kuuso

  • @SaidiUlaya
    @SaidiUlaya4 ай бұрын

    amina

  • @SaidiUlaya
    @SaidiUlaya4 ай бұрын

    inshallah ❤

  • @saidmansoor8528
    @saidmansoor85284 ай бұрын

    Ustaadh Ngaliba, ustaadh kawemba, ustaadh othman matata, wote wametangulia mbele za khaki Mwenyezi Mungu awajaalie kauri thabit,awaondoshee adhabu za kabri na awaepesie mizani yao siku ya hesabu amiin

  • @user-zk9zr7du6w
    @user-zk9zr7du6w5 ай бұрын

    ኪኪኪ

  • @user-jy2lo6gl9u
    @user-jy2lo6gl9u5 ай бұрын

    Someni sanaaaa,acheni upuuzi, MAWAHABI

  • @sajumahege4903
    @sajumahege49033 ай бұрын

    Huyu shehe wako al beidh ndio amasoma sanaa kama wewe ??

  • @Haamaas
    @Haamaas6 ай бұрын

    Sheka kenna daawwaan kessan Ajaa,ibatti namatti tola❤❤❤❤

  • @Haamaas
    @Haamaas6 ай бұрын

    Rabbin umrri isiin haadheressu.waggaa 3dura daawwaa kessan dhagahe maqaakessan wallaale amma hiriyyota kiyyattu natti hime isin argge isinjjaalachu Rabbi quba qaba du,aa,ii nuff godhaa numaraafu jzk.

  • @barackamosi4116
    @barackamosi41168 ай бұрын

    Mazinge hana akili unacho takiwa kujuwa alla ni shetani siyo MUNGU

  • @StreitKombo
    @StreitKombo4 ай бұрын

    Wewe akili yko yafanya kazi

  • @user-gw6jm1ds8f
    @user-gw6jm1ds8f8 ай бұрын

    ❤❤

  • @shekhkombomasjidhawwaa4387
    @shekhkombomasjidhawwaa43878 ай бұрын

    Hii bayani safi sana

  • @ABUUDARDAAI
    @ABUUDARDAAI9 ай бұрын

    😂😂 masufi mtiani

  • @shilingi-Ahmadi
    @shilingi-Ahmadi10 ай бұрын

    Huyu mafuta bora akapakwe kwenye miili ya watu tu hawezi kuwa sheikh unajua bidaa wewe???

  • @fikafikan8484
    @fikafikan848411 ай бұрын

    Zilikua bida aswalatu kheiru minanaum na nyingi zilikua na mtume s a w akakubali

  • @maximillianmayani5119
    @maximillianmayani511911 ай бұрын

    Wewe umejenga wapi sheikh unataka kuombewa dua dua nzuri omba wewe mwenyewe

  • @user-rt1bz7lk4s
    @user-rt1bz7lk4s11 ай бұрын

    😂😂😂. Kwanza unajua kwanni kasim mafuta hajioneshi kwenye video kwa sababu ndio katika wale wanaosema picha haramu 😂😂😂 mawahabii nyinyi ipoo siku yenuu mytafedhehekaa nyinyi

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e29 күн бұрын

    Wahabi hawawezi fedheheka watafedheheka watu wa bidah na upotevu uwhabi dawa sahihi ya mtume

  • @Ibnsamman543
    @Ibnsamman543 Жыл бұрын

    Mashallah

  • @user-gp4sk1gy8x
    @user-gp4sk1gy8x Жыл бұрын

    Mashallaah mashallaah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @Birraa_430
    @Birraa_430 Жыл бұрын

    Maashaa Allaah Abbaa Abdurahmaan tafsiira kana masjiida-nuur magaalaa Nageellee dhaggeeffachaan ture. Galatoom ! Jzk!

  • @FarahMohmad-un6yc
    @FarahMohmad-un6yc Жыл бұрын

    Ffff

  • @aminajamal5755
    @aminajamal5755 Жыл бұрын

    Itii fufaa malo dass nama jedhaa diramani kesanii ❤

  • @aminajamal5755
    @aminajamal5755 Жыл бұрын

    😂😂

  • @salehaljadidi8206
    @salehaljadidi8206 Жыл бұрын

    Mashallah Salim Bin Biriyani,mwarabu aliyetoroka kwao Yemen na kuzamia Tanzania.

  • @Tatafati-uk8vy
    @Tatafati-uk8vy Жыл бұрын

    هههههههههههههههههههههههههههههههههههههههههه

  • @user-od1fs7gm2d
    @user-od1fs7gm2d Жыл бұрын

    Jamani hawa makhurafi wanawafanya bora sana masheikh wao, wanasema ni masharifu, mawalii, wapi vijomba tu wa kawaida, wengi wao ni matapeli kazi tu kudanganya watu. Sheikh waambie ukweli hao Makhurafi.

  • @hutiswalehe2444
    @hutiswalehe2444 Жыл бұрын

    Kumfananisha mafuta na shekh mubaaraka awesi ni mbali mbali saanaa...mafuuta bado ni bwana mdogo saanaa wallaah haingii hata robo kwa doctoor mubaaraka awes

  • @AbuuAhmad-pd3ow
    @AbuuAhmad-pd3ow Жыл бұрын

    Ww una mtihan Wallah Allah akuongoze ipo siku utakuja kujua haqqi ipo wapi mbaraka aweso wallah ni mbabaishaji

  • @fikafikan8484
    @fikafikan848411 ай бұрын

    Kweli kabisa mafuta mpotoshaji tu hafai hata kua shekh

  • @sadiqselengu4197
    @sadiqselengu41978 ай бұрын

    ​@@AbuuAhmad-pd3owUnaapa kabisa kwababaishaji... Upo tayari kusimama mbele ya Allah kwa Kiapo chako hicho au ni umejiapiza kiushabiki kwa chuki, hasadi na fitna??

  • @AbuuAhmad-pd3ow
    @AbuuAhmad-pd3ow8 ай бұрын

    Ndio nipo tayari kusimama Kwa Allah juu ya kauli yangu hiyo dini ya Allah imekamilika hakuna kibabaisha, hapakuwa na bida'a zama za mtume, ninyi ndo mnakuwa na ushabiki, ila hoja zetu zinaeleweka Alhamdulillah

  • @sadiqselengu4197
    @sadiqselengu41978 ай бұрын

    @@AbuuAhmad-pd3ow Kwamba Mbaraka Awes ni mbabaishaji??? Basi Allah akuweke kama unajidhatiti kwa ukweli uzungumzalo

  • @AbdoBora-th2tf
    @AbdoBora-th2tf Жыл бұрын

    Good luck

  • @georgeurembo4553
    @georgeurembo4553 Жыл бұрын

    Bado ww sasa

  • @KasomoHamadi-bb5hh
    @KasomoHamadi-bb5hh Жыл бұрын

    P

  • @muitocalmoso5323
    @muitocalmoso5323 Жыл бұрын

    Masha ALLAH

  • @alhamdulillahalhamdulillah7529
    @alhamdulillahalhamdulillah7529 Жыл бұрын

    Sijui elimu hii ya Farka inakunufainisheni nini nyie??

  • @subulus_salaam2023
    @subulus_salaam2023 Жыл бұрын

    HII CHANNEL NI YA MANHAJ GANI????. MBONA HAINA MISINGI YA """Al-walau wal-barau"""

  • @kooketi7326
    @kooketi7326 Жыл бұрын

    kkkkk

  • @reubenbushiri1753
    @reubenbushiri1753 Жыл бұрын

    Huyu ni usanii wa kiwango cha lami, Yesu alingia kwenye Synagogy kwanza maandiko yanasema hapo ilikuwa siku ya sabato ambayo wayahudi wanafanya ibada, Je waislamu wanasali sabato tena maandiko yanasema kama desturi yake?Pili maandiko huko mbele kuanzia mstari wa 17 kuendelea yanasema Yesu akafungua nakusoma chuo cha Nabii Isaya?Swali Je Waislam wanasoma kitabu cha nabii Isaya au msikitini kunakuwa na kitabu cha nabii isaya?Hapo hayo maandiko synagogy ni kiibrania jengo ambalo wayahudi wanafanya ibada siku ya Sabato.Sawa na kusema Church ni Kiingereza Kama msikiti lakini wanaabudu waakristo siku ya Jumapili.

  • @ignasmalema8354
    @ignasmalema8354 Жыл бұрын

    Ipo siku utalia na kusaga meno kama usipo rudi kW yesu bado u hai

  • @ANAFIMATUMLA
    @ANAFIMATUMLA5 ай бұрын

    Wew hakili hauna,yaan yesu aishi uarabun au Israel alafu dini Yako ya ukiristo ianzie magaharib kwa wazungu,yaan ata akili ya kawaida hauna,ndio maana dini yenu ya mashetan na ibiris ndio maana mpaka ndoa za ushoga papa anafungisha

  • @rayhannahilyas5203
    @rayhannahilyas5203 Жыл бұрын

    Asalaam aleykum

  • @KIJIJINITV
    @KIJIJINITV Жыл бұрын

    Waalaykum salam Khabar yako!

  • @rayhannahilyas5203
    @rayhannahilyas5203 Жыл бұрын

    @@KIJIJINITV Alhamdulillah salama vp nyie

  • @KIJIJINITV
    @KIJIJINITV Жыл бұрын

    Alhamdulillah Sijui ww

  • @rayhannahilyas5203
    @rayhannahilyas5203 Жыл бұрын

    @@KIJIJINITV أشكر الله

  • @KIJIJINITV
    @KIJIJINITV Жыл бұрын

    MashaAllah! من أين أنت؟ From Were?

  • @ruqiawamalwa446
    @ruqiawamalwa446 Жыл бұрын

    Ma Sha Allah tabarak Allah madrasatul aqsa

  • @KIJIJINITV
    @KIJIJINITV Жыл бұрын

    Naam Wasambazie wenzako 2fike mbali Na ss

  • @yasinitwaha3192
    @yasinitwaha3192 Жыл бұрын

    Wewe kasomeshwe na sheikh awais kuwa na adabu bas usimvunjie adabu sheikh wetu huyu sheikh awais tutazid kumpenda anailmu kubwa na nimchamungu hatakujibu unajichosha tuh

  • @allymahaba3425
    @allymahaba3425 Жыл бұрын

    Wahhabi ni mtihani mkubwa Kwa Waislam zama hizi. Allah Atunusuru balaa la watu hawa.

  • @allymahaba3425
    @allymahaba3425 Жыл бұрын

    Wahhabi ni mtihani mkubwa Kwa Waislam zama hizi. Allah Atunusuru balaa la watu hawa.

  • @hutiswalehe2444
    @hutiswalehe2444 Жыл бұрын

    Wahabi hawawezi kushindana kielim ila kimatusi watashinda siku zote

  • @user-rt1bz7lk4s
    @user-rt1bz7lk4s11 ай бұрын

    😂😂😂 Hawa ni mayahudi wamejivesha mavazi ya kiislamu maana Kila madhehemu isoendana na wao wanaitukana na kuikufurishaa ! Kama Hawa kweli ni waislamu kwanini wanawabaguwa waislamu wenziwao ! Mbona imamu shaafii hatujawahi kumsikia akitukana madhehebu ya hanafi ! Lakini wao mawahabii na mashekhe zao wote wapo katika kutukana na kuwa shutumu shutuma mbaya Kwa madhehebu nyengine ! Wewe kasim mafuta watakao kuona unaelimu hao hao wajinga wenzio lakini fahamu kuwa wewe ni mpuuzi na ni mpumbavuu usojielewaa ! Kama wewe kweli upoo katika hakii basi ungeliwakusanya waislamu kuwa kitu kimoja !lakini wewe umekuwa ndio mgombanishani

  • @muhamadberhe
    @muhamadberhe11 ай бұрын

    ​@@hutiswalehe2444يريد أن يدوي الناس و هو عليل

  • @mohamedrashid7864
    @mohamedrashid7864 Жыл бұрын

    Shekh kasimu toa darasa zako tuone kama wewe shekh kweli ,

  • @ankaldally2734
    @ankaldally2734 Жыл бұрын

    Nenda pongwe ukasome watu wanasoma kule

  • @ishakahaji115
    @ishakahaji115 Жыл бұрын

    @@ankaldally2734 wanasoma upuuzi

  • @muhamadberhe
    @muhamadberhe11 ай бұрын

    ​@@ishakahaji115mwaweza enda wapi mkasome , mtabaki na hayo matusi tuu

  • @fikafikan8484
    @fikafikan848411 ай бұрын

    Hana ushekh mafuta yakukangia samaki

  • @muhamadberhe
    @muhamadberhe11 ай бұрын

    @@fikafikan8484 Hamna zaidi ya hilo, tuonyesheni huyo shekh wenu ambae ni shekh Wala si jivu