Usiwatoe Watu Kwenye Uislamu Wewe Siyo Mungu / Mimi Sufi Na Qadiri / Sheikh Hashimu Rusaganya

Ойын-сауық

Usiwatoe Watu Kwenye Uislamu Wewe Siyo Mungu / Mimi Sufi Na Qadiri Na Nimepinda Unifanyi Chochote / Sheikh Hashimu Rusaganya
Mashaa Allah Sheikh Hashimu Rusaganya akielezea kwa uzuri na ubora wa hali ya juu Ya Usiwatoe Watu Kwenye Uislamu Wewe Siyo Mungu / Mimi Sufi Na Qadiri Na Nimepinda Unifanyi Chochote / Sheikh Hashimu Rusaganya
usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
Support us DARSA TV
M-PESA +255 765100906
Airtel Money +255782466586
Paypal 👇👇👇👇
paypal.me/DarsaTv?locale.x=en_US
Get MORE of DARSA TV:
► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop... ​
► FOLLOW DARSA TV on Instagram: / ​
► LIKE DARSA TV on Facebook: / ​
Subscribe
Comment
Like
And
Thanks
Tu follow katika social media zetu
Facebook @Darsa tv
Instagram @Darsatv
KZread @Darsa tv
TikTok @Darsa tv

Пікірлер: 305

  • @Dr-ubaida965
    @Dr-ubaida96511 ай бұрын

    Mashaallah shekh hashimu Rusaganya. Muhimu kumridhisha Allah na si kuridhisha watu ambao hawamiliki pepo wala moto.

  • @machano5690

    @machano5690

    11 ай бұрын

    Wacha kujifanya kua wewe ni mkamilifu, sh. Rusaganya anajielewa.

  • @mahamuduhassan8511

    @mahamuduhassan8511

    11 ай бұрын

    Hakika ni kweliii mamba kaamua kusema kweli hamna kuremba

  • @mohdhilaly7900

    @mohdhilaly7900

    10 ай бұрын

    Ukitaka kusema hivyo wale mashehe wote waliomsomesha na wamaulidi motoni maana walifanya yasiomridhisha mungu kwa mujibu wa maelezo yako ?

  • @RamadhanOmar-ow1ki
    @RamadhanOmar-ow1ki11 ай бұрын

    Mashaallah sheikh wangu umesoma kwa makuraiesh wa ujiji Allah akuhifadhi sheikh wangu .Naona wenye roho mbaya na kujiona wao ndo watu wa peponi povu linawatoka humu.Kwa kweli elimu ya kisufi na twariqa ina baraka sana na kuna mambo makubwa ambayo huyapati mpaka ambae anajibidiisha kuwa karibu kwa Allah na kwa watu wa twarika na hao masufi mwisho wakiona hizo kalama wanasema bidaa na uganga .

  • @kudrangayonga7766
    @kudrangayonga776611 ай бұрын

    Maashallha Leo nimefurahi mnooo nikiwasikia mashekhe kama hivi wakiongea huwa nafarijika sana

  • @alhilaltvonline

    @alhilaltvonline

    11 ай бұрын

    Naam kaka hujanishinda Mimi. Kanifurahisha sana. Huu ndio ukweli.

  • @rahmaarrington9019

    @rahmaarrington9019

    11 ай бұрын

    Mashallah!! Allah atakulipa ujira wako kwa kila hatuwa!!!

  • @fahadsalim3000
    @fahadsalim300011 ай бұрын

    Uzushi ni kumchezea Allah eti uwesu dah Allah akusameh nimzee wetu tunakuheshim kwahapa utatusameh mzee anatangaza akida yake alafu amesema amepinda subhanallah Allah akuongoze katika njia sahihi

  • @i_gabbykisalo4280
    @i_gabbykisalo428011 ай бұрын

    Allahu Akbar, Allah akuifadhi Sheikh wetu

  • @swalehahmed6579
    @swalehahmed657911 ай бұрын

    Allahu Akbar Allahu Akbar Allahu Akbar Allah akunawirishe akupe mema duniyani na akhera

  • @sharifumuya1979

    @sharifumuya1979

    10 ай бұрын

    Hahaha plastic

  • @hajinassor6369
    @hajinassor636911 ай бұрын

    Mm nnachoamini ujumbe umeshakufikia sasa ni juu yako kuufuata au kubaki na bidaa zako

  • @user-ql2om7qj3v
    @user-ql2om7qj3v11 ай бұрын

    Allah akuepushe shekh.unaona watu wafanya shirk kisha mtu anyamaze

  • @abdulali753
    @abdulali75310 ай бұрын

    Mashaallah, Allah Akuhifadhi Sheikh na wanafik❤

  • @user-hb8vi9fx6g
    @user-hb8vi9fx6g4 ай бұрын

    MAA SHAA ALLAAH! رحمهم الله رحمة واسعة وأسكنهم الفردوس الأعلى

  • @user-rf2zs4kk1v
    @user-rf2zs4kk1v11 ай бұрын

    Allah atujalie mwisho mwema, baada ya kusikia kutoka kwa mtu linganisha kwenye kitabu na sunna!

  • @suleimansaid4633
    @suleimansaid463311 ай бұрын

    Babullah ahmada bajata thanaa alayh❤ taraturbatu nnabatu nnabii ru’uyatallah alayh ❤. Maaashaallah

  • @masoudmohamedy5953

    @masoudmohamedy5953

    11 ай бұрын

    Umenikumbusha mbali maalim

  • @muhammadnassibu7706
    @muhammadnassibu770611 ай бұрын

    Allah atawadhihirisha tu watu wa bidaa wote inshaAllah hiyo ni ahadi ya Allah والله مخرج ما" كنتم تكتمون"

  • @MatanoSalim-il9fk

    @MatanoSalim-il9fk

    11 ай бұрын

    Hauna kazi ya kufanya

  • @kavumohemedi871

    @kavumohemedi871

    11 ай бұрын

    Sahihi brother acha waumie ila bidaa wakifanya lazma waambiwe

  • @swalehemrombo9301

    @swalehemrombo9301

    10 ай бұрын

    Kwahiyo wewe Raha yako unataka akae hapo aanze kudhalilisha na kutukana masheikh.!!

  • @HassanNapalamula
    @HassanNapalamula11 ай бұрын

    الله أكبر ! بارك الله فيك

  • @AndulHida-hs5py
    @AndulHida-hs5py11 ай бұрын

    Barak Allah feeq, Jazzak Allah kheri.

  • @raheemabeid1965
    @raheemabeid19659 ай бұрын

    Mashaaallah sheikh hakika umefunzwa vyema sana katika mji wa ujiji kwa masheikh wakubwa na alama kubwa ya mkoa wa kigoma

  • @SociedadeSust1234
    @SociedadeSust123411 ай бұрын

    Allah akuifadh sheikh Hashimu

  • @user-ep7we8br6r
    @user-ep7we8br6r9 ай бұрын

    MashaAllah baba yngu Allah aendlee kukupa afya njema uendlee kutupa mazr yeny mafundisho jazzaqalah khery

  • @MwanaMpole-mo5di
    @MwanaMpole-mo5di11 ай бұрын

    Mashallah ❤

  • @abdallahsiraji9919
    @abdallahsiraji991911 ай бұрын

    Ma sha Allah... Allah akuhifadhi shekh Umefungua akili wengi wanaothamini Madheheb yao kuliko Uislam na kutaka radhi za Allah... Pia umewapa ujumbe wanaodhereu na kutusi Mashekh....

  • @user-fj3dp2xe4q

    @user-fj3dp2xe4q

    11 ай бұрын

    Story ya huyo bwana nimeipenda

  • @bachus57
    @bachus5711 ай бұрын

    Allahu Akbar Allahu Akbar Allahu Akbar mashallah

  • @MohamedMgwami-nw6bl
    @MohamedMgwami-nw6bl4 ай бұрын

    Aksante sana sheikh hashimu lusaganya mwenyezimungu akuhifadhi ,

  • @ramadhaniddsalim2201
    @ramadhaniddsalim220111 ай бұрын

    Watu watarika wengi wamekufa na shahada wanapata mwishomwema

  • @nasserm.nasser5087

    @nasserm.nasser5087

    11 ай бұрын

    Na kwanini wasife na shahada hali wao kutwa kucha ni lailaha illah Allah. Kila baada ya swala ni adhkaar tupu na lailaha illah Allah mara 165

  • @alawikihema8676

    @alawikihema8676

    11 ай бұрын

    chozi lataka kutoka nikiwakumbuka Masheikh wetu wameishi maisha yao yote kwa dhikiri tukufu

  • @shadyahamad3724

    @shadyahamad3724

    11 ай бұрын

    Na kubali twarika ukiishika na mafundisho yake unapata mwisho mwema twarika ni njia ilio nyooka🙏🙏🙏

  • @muktazimbuyu6569

    @muktazimbuyu6569

    11 ай бұрын

    Sio ukweli wewe ni muongo

  • @nasserm.nasser5087

    @nasserm.nasser5087

    11 ай бұрын

    @muktazimbuyu6569 Kwani wewe una Ilm ya ghaib kujua kama fulani ni muongo? Nyie kwenu masheikh zenu wa kiwahabi hawana nuru na utulivu na kutwa kucha ni matusi na takfiri na magaidi ni zao na magaidi. Hamuwafikii watu wa twariqa kwa adhkar na tahlil, huyo sheikh wenu mkuu hamfikii hata robo muridi tu wa chini kwa uchamungu na ibada

  • @maisarasid8670
    @maisarasid86708 ай бұрын

    Nashukuru nimepata mafundishisho kutoka kwa sheikh mungu akueke na akupe afya

  • @ammsarissa-we4fo
    @ammsarissa-we4fo11 ай бұрын

    Asalam Alaykum, nawapenda kwaajili ya allah, kipindikile una vuma sana redio imani Mbona ulishawayi kusema asyatuni wa maryamu, haya maneno ya meongezwa tena haya maneno yako kwenye clipu, lu saganya to muogopeni Allah, na hisi maneno ya allah yasha tuzuru, a lipo sema, kuna watu, mudhbi dhabina bayna dhalika huku tuko na Kule to ko

  • @user-zz9xi3kw4k
    @user-zz9xi3kw4k11 ай бұрын

    Maa shaa allah Elimu pamoja na adabu ndo funzo tunalochukua Kwa sheikh rusaganya Allah akudumishe siku nidiriki darsa yako ya macho Kwa macho in shaa allah

  • @adamkombo2221
    @adamkombo222111 ай бұрын

    شاء الله حفظك الله يا شيخ

  • @rashidabuu9406
    @rashidabuu940611 ай бұрын

    Mashaallah maneno mazuri sanaa shekh mungu akubarik watu waufaham mchango wa mashekh walotangulia

  • @abdillahimohammed3544
    @abdillahimohammed354411 ай бұрын

    Naam sheikh mashaa Allah nimefurahi qaswida unazijua

  • @sharifumajaliwa-pc8kd
    @sharifumajaliwa-pc8kd11 ай бұрын

    Maashallaaa shekhe.Rusaganya Alla.akuweke maana watu kamanyinyi niwachache sana

  • @maximusalnono6425
    @maximusalnono64259 ай бұрын

    Shekh amepinda kweli Allah amjaalie anyooke na atujalie na sisi njia iliyostahiqi. Alichotufundisha Shekh ni kwamba hatutakiwi kupinga kile tulichofunzwa na mashekh wetu hata kama hakipo kwenye haqqi 😅na ni marufuku kuhoji 😃tufatilie mambo yanayotuhusu hatuna haqqi ya kuongozana njia stahiki 😅 Ahsante shekh nimekubali umepinda ila kila mtu ni mchunga na kila mchunga ataulizwa na Allah kwa alichokichunga

  • @MuhozaZiada

    @MuhozaZiada

    Ай бұрын

    Siyo hivo nilazima kuaheshimu walio kusomesha Kwa kua ndo ilikua kiango Cha elimu Yao ذلك مبلغهم من العلم

  • @salmasalim4090
    @salmasalim40909 ай бұрын

    MashaAllah sheikh

  • @jumamohamed4808
    @jumamohamed480811 ай бұрын

    Mashaallah mashaallah maneno mzuri

  • @uthaymaanashshiraaziyy2413
    @uthaymaanashshiraaziyy241311 ай бұрын

    ماشاء الله

  • @habityabsa997
    @habityabsa99711 ай бұрын

    Mmmh ila hawa Ma sheikh wetu mtihani sana. Mwisho wana anza kumtishia ndg yao katika imani. Naamini lengo kuu la Sheikh Mohammed Bachu ni kutoa elimu kwa ummah wa Ki Islam hasa juu ya kitabu cha Barzanj. Tatizo elimu hii ime pokelewa vibaya na wengi miongoni mwa Ma Sheikh. Allah pekee ndio anae jua nani yupo sawa na nani kapotea katika hili In Shaa Allah

  • @umbopaday

    @umbopaday

    11 ай бұрын

    Nimekuelewa

  • @SalehSaidmbarouk-pu9jq

    @SalehSaidmbarouk-pu9jq

    3 ай бұрын

    Sasa kama jambo liko hivyo, tunajifunza hapa kua watu wawe na heshima wasiwatukane waalimu zao Wala watu walio na mtazamo tofauti.

  • @sheikhhusseinsuleimani2755
    @sheikhhusseinsuleimani275511 ай бұрын

    Mashaallah shekhe Allah akuifadhi

  • @selemanabbas6862
    @selemanabbas686210 ай бұрын

    Masha Allah

  • @Marjeby
    @Marjeby10 ай бұрын

    Sheikh Mungu akuzidishie nimependa sana maneno yako umeongea kizamani hasa karne hii hakuna mambo hayo vurugu tupu kwanza huwezi kujua mwalimu nani sheikh nani mwanafunzi nani ujinga ujinga tu

  • @yassinijumanne1763
    @yassinijumanne176310 ай бұрын

    Wallahi shekh unasauti nzur yaan nmejiskia raha sana

  • @nassorothabiti7237
    @nassorothabiti723711 ай бұрын

    mashallaa

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xk10 ай бұрын

    Ma Shaa Allah Sheikh wangu upo sahihi

  • @muftiahmadimahmudulemba1918
    @muftiahmadimahmudulemba191811 ай бұрын

    Wao Maa Shaa Allaahu

  • @nabiljumbe
    @nabiljumbe11 ай бұрын

    Mashaallah

  • @athumaniyshehoza2252
    @athumaniyshehoza22529 ай бұрын

    Shekh lusaganya Allah akuzidishie umri mlef zaid

  • @ruzatuntajadin1274
    @ruzatuntajadin127411 ай бұрын

    Mashallah hiyo dhikri inifurahisha mpaka rohoni

  • @hutiswalehe2444
    @hutiswalehe244411 ай бұрын

    Maashaallaah

  • @abdimwalim3505
    @abdimwalim350511 ай бұрын

    Alhamdulillah

  • @user-zy4fr2qz5b
    @user-zy4fr2qz5b11 ай бұрын

    mashaallah

  • @kassimsalim9547
    @kassimsalim954710 ай бұрын

    Mashallah

  • @adamkilembwe.
    @adamkilembwe.11 ай бұрын

    Mashaallah sheikh

  • @adamkilembwe.

    @adamkilembwe.

    11 ай бұрын

    👍

  • @abdulkadirjaylani4693

    @abdulkadirjaylani4693

    11 ай бұрын

    Ujue nynyi hamuelewi sio kila unachofundishwa kama ni sahih kitu hicho kama yeye sio mungu ndio ila hata ao walookufundisheni nao sio waungu na ndo mana Munashindwa munapobishana nae mnakosa hoja mnabaki kulalamika anatukan watu kwa sababu ile ndio haki na inapokuja batili yakaa chin wee siku zot unapotak kumuuw mbwa mpe jina baya hilo ndo mnalolitumia mashekh kumpa mtu anaekuelekezeni jina baya mkajifany nin ndo wema kwa mas lahi ya matumbo yen bal haki ikikujien munaikataa kabisa

  • @hatibunkonga2350
    @hatibunkonga23509 ай бұрын

    Sheikh sasa anaaza kuheshimu watu wengine ...

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro376411 ай бұрын

    SHEIKH HII DINI HUWEZI KUIBINAFSISHA!UISEMEE UNAVYOTAKA!! UKITOKA KWA MSTARI TU LAZIMA UPIGWE NYUNDO ZA KUTOSHA!!

  • @ushindiushindi5749

    @ushindiushindi5749

    11 ай бұрын

    Kwel kabs

  • @athumanikhamisi3377

    @athumanikhamisi3377

    11 ай бұрын

    Unaumia Sana ndugu,pole sana

  • @omarmsomall3809

    @omarmsomall3809

    11 ай бұрын

    Kajiunge na Daymond una sauti mzuri dini ya Allah so ya mizumar, vinanda wala matarumbeta

  • @myself4128

    @myself4128

    11 ай бұрын

    Ulikuwepo wwkati Dini inaanzishwa au umefuata Mkumbo wa wazazi tu?

  • @mtotompole1040

    @mtotompole1040

    11 ай бұрын

    NDIO NYIE SIO😂

  • @salehothman4723
    @salehothman472311 ай бұрын

    Alhmdulillah

  • @hamishijja4574
    @hamishijja457410 ай бұрын

    Ostaz allaah atuongoze atujali namwishomwema

  • @shadyahamad3724
    @shadyahamad372411 ай бұрын

    Shehe muhammad nassoro kigogo mwenyez mungu amfanyie wepes aliko 👏

  • @user-ju1iq1pu3i
    @user-ju1iq1pu3i9 ай бұрын

    Nimesoma comments nyingi humu , nikichogundua baadhi ya waislamu au wengi wetu , hatuna tamyiz ya kupambanua haki na batwil, bali tunafata mkumbo

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv11 ай бұрын

    MASHA ALLAH 🇰🇪 💚 💚💚💚

  • @user-my9hc6uf9l
    @user-my9hc6uf9l10 ай бұрын

    Jazakallahu kheir sheikh Rusaganya! Wewe huwezi kuwatukana masheikh wako,lakini mtoto wa marhuum Sheikh Nassor Bachu amemtukana baba yake kwa maneno makali. Hatari sana.

  • @ibnqassim7002

    @ibnqassim7002

    9 ай бұрын

    Kamtukana vipi

  • @lifeinmiddleeast8179
    @lifeinmiddleeast817910 ай бұрын

    😢😢 Allahu Akbaru Allah akulipe kheri

  • @jabirkasunzu6841
    @jabirkasunzu68415 ай бұрын

    Quran na Sunna FULL STOP ❤❤❤

  • @omarally6819
    @omarally681911 ай бұрын

    Masufi mna dhalilika hadharani bila kujielewa😅😅😅😅😅

  • @fadhilizomboko459
    @fadhilizomboko4599 ай бұрын

    Daaah mtiani huuu kwl ww umepindaaa xx km umepindaa sheikh bachu hata kunyoosha

  • @Mfinanga1
    @Mfinanga110 ай бұрын

    Shehe nakupongeza Allah akulinde.

  • @husha6372
    @husha637210 ай бұрын

    Assalamu Aleikum warahmatullahi wabarakatuhu Sheikh Mohammed Abdulwahab Mwenyewe amesomea Kwa Sheikh Abdulqadir Jeilani

  • @RamadhanishemauaShemaua
    @RamadhanishemauaShemaua9 ай бұрын

    Kidogo shkh ume teleza

  • @user-gg1zh6oe2w
    @user-gg1zh6oe2w11 ай бұрын

    MAULIDI JUU ZAIDIIII MTUME ASIFIWE SANAAAAAAA

  • @marthad7627

    @marthad7627

    11 ай бұрын

    اللهم صل وسلم وبارك عليه وعلى آله وصحبه أجمعين

  • @ngalamenoherbal6955
    @ngalamenoherbal695510 ай бұрын

    Aislam isomeni dini yenu muijue hapo ndo mtaijua haqi iko wapi vinginevyo mtaburutwa sana, ukisoma fiqhi ya imam shafiy rahimahullah ndo utagundua Imam Shafiy hakuwa sufi na mengi yanayofanywa na masufi yeye aliyapiga vita, tafuta kitabu kinaitwa safinatu nnajah au matin ghaya utajua mambo mengi.

  • @MudGuy-gv9do
    @MudGuy-gv9do10 ай бұрын

    Hiyo stori ya mtume kuminywa na jibril sio kweli jribu kufikiria vzr

  • @sanda960
    @sanda96010 ай бұрын

    Shekhe. Unaposema shughulika na Yako na usishughulike na ya watu Mimi sikuelewi. Unaposhughulikia dini Moja Kwa Moja utashughulika na watu. Maana ndy walengwabwa dini hiii.

  • @BashirNuru-dn6fs
    @BashirNuru-dn6fs3 ай бұрын

    Book of qadiria shiekh

  • @husseinazizi1275
    @husseinazizi127511 ай бұрын

    قال الأمام أبيو بكر الطرطوشيء رحمه الله. مذهب الصوفية بطلة وجهالة وضلالة وما الإسلام إلا كتاب الله وسنة رسوله صلى الله عليه سلم

  • @fadhilizomboko459
    @fadhilizomboko4599 ай бұрын

    Maulidi sheikh Hashimu ni bidaa hata km umepindaa ukwl umekufikia vzr tu

  • @amyassyassin7909
    @amyassyassin790911 ай бұрын

    Masha Allaah Sheikh, Alhamdulillaah Allaah amekutoa ktk Mila ile potofu. Mimi pia nilitokea huko huko, tulipotezewa time kulazimishwa kuhifadhi yasiyo sahihi. Laiti masheikh wangeitumia nafasi ile kutuhifadhisha Quran.

  • @rayisadesigns2646

    @rayisadesigns2646

    11 ай бұрын

    acha uongo wewe umesoma wapi?! sheikh Rusaganya ni Sufi tena kindakindaki, mimi ni mwanafumzi wake. zamani masalafi walikuwa wanajua ni mwenzao, baada ya masalafi kuanza kutukana masheikh hovyo na kuwakufurisha waislam wenzao sasa sheikh Rusaganya ameamua kuwafunguka na kuwaeleza wajue yeye sio mwenzao.

  • @mohd39789
    @mohd3978911 ай бұрын

    Hili shekh nalo linabana pua! Amesema kweli imaam Shafy mtu akiingia katika usufi asbuhi haitofika mchana tayari ameshakuwa mpumbavu

  • @rayisadesigns2646

    @rayisadesigns2646

    11 ай бұрын

    huyo imam shafi na yeye mwenyewe ni sufi kama ulikuwa haujui.

  • @mohammedsaid3045

    @mohammedsaid3045

    11 ай бұрын

    Ww itakuwa umetumwa ni mshenzi tu huwezi kumsema muislam mwenziwe maneno km hyo

  • @swalehemrombo9301

    @swalehemrombo9301

    10 ай бұрын

    Mohd...huyo imamu shaafy mwenyewe alikuwa sufiii Sasa unasemaje.!!

  • @mohd39789

    @mohd39789

    10 ай бұрын

    @@swalehemrombo9301 ndio wanavyokudanganya mashekh wa kisufi? Imaam Shafy hawezi kuwa sufi hata siku moja! Imaam Shafy alisema mtu akiingia katika usufi asbuhi haitofika mchana tayari ameshakuwa mpumbavu. Imaam Shafy yuko mbali na usufi (upumbavu)

  • @kassimali8756
    @kassimali87568 ай бұрын

    Haki ibainishwe jameni tusiifiche ndivyo yalivyo amrishwa na Allah na mtume wake

  • @ahmedmohamedshaksy9471
    @ahmedmohamedshaksy94719 ай бұрын

    MashaAllah Sadakta sheikh 100 kwa 100 asiyependa ajifungie chooni 🤣

  • @mussabaly
    @mussabaly9 ай бұрын

    Mzee kazungumza hekima kubwa sana

  • @mussakisope7207
    @mussakisope720711 ай бұрын

    Kuna sheikh na mzee ww ni mzee rusaganya endelea na hadithi za babu na wajukuu zake Mm nilikuwa nakuona umesoma kumbe umefata mkumbo ila Allah atuongoze katika njia ya sawa sawa

  • @binaamour318

    @binaamour318

    11 ай бұрын

    Kw taarifa yko w Musa waulize hao unaowmini huyo rusaganya kasoma wpi watakwambia na ushabik wko up huyo Madina miaka iyo isiokuwa na mihemko ya kishabik y dini au shekh wako!

  • @swalehemrombo9301

    @swalehemrombo9301

    10 ай бұрын

    Tatizo we hujuwi halafu una mihemko huyo Rusaganya Sasa kasoma huko huko huko kwa hao hao wanaokuleteemi hiyo misimamo mnaojifanya mnayoo.!! Sasa yeye ndio kasoma huko huko uliza utaambiwaa.!! Acha ushabiki maandazii.!!

  • @ayoubshaibu8123
    @ayoubshaibu812310 ай бұрын

    Chungu cha busara hicho, ALHAMDULILLAH

  • @foodcook3626
    @foodcook362611 ай бұрын

    Wewe kweli umefikisha ya maana eeeh!!!!

  • @abdikadirshariif5311
    @abdikadirshariif53118 ай бұрын

    Mimi binafsi hata kama sijafika huo makamu, lakini najivunjari kuwa sufi Al hamdu lillah.

  • @AbubakaryKibendera
    @AbubakaryKibendera9 ай бұрын

    Sayyid Abdul qadiry jaylan

  • @muhamadikombo4976
    @muhamadikombo497610 ай бұрын

    Sheikh Muhammad Bachu maashallah mungu amueke hakik anafanya kaz ngumu kwa kweli 😢 ila watu bado wametia pamba masikion 😭

  • @jamilahjamilah4157

    @jamilahjamilah4157

    10 ай бұрын

    Wee na bachu wako hamuoni mbali baadala yakutagazaa ndini ya kiislam bachu wako kakalia maulidi biidaa na anocho jua nihicho tuu bachu hana elimu

  • @muhamadikombo4976

    @muhamadikombo4976

    10 ай бұрын

    @@jamilahjamilah4157 Wee una ushahid gan kama bachu hana elimu kwan unamjua mtu mwenye elimu na alokuw hana nduguyangu.... 😢🤔 Au ndo unaishi kwa kufuata mkumbo na matamanio yako t yanakupeleka wap 😢

  • @sadamakame7684

    @sadamakame7684

    9 ай бұрын

    Si tusoelimu sijui tushike wapi jamani mbona mwatuchanganya

  • @jamilahjamilah4157

    @jamilahjamilah4157

    9 ай бұрын

    @@sadamakame7684 dg yangu waala usichaganyikiwe elim haina mwisho wee soma utaujua nayule lile swali kalikimbia kusudi alikuwa anajua akijibu basi nahuyo wanaye muita ibun temwe atakuwepo naataulizwa kasema nn ndio sababu yakukataa kusema

  • @jumabias4917
    @jumabias49179 ай бұрын

    Masjid qubah nimesoma kuanzia 1987 ..... Mwalimu kaduguda, Yusuf Salim, Salim Awadh, shekh rusaganya ndio miaka hiyo nilimuona

  • @FarahJey
    @FarahJey11 ай бұрын

    Rusaganya عَنْ عَائِشَةَ رضي الله عنها قَالَتْ : قَالَ رَسُولُ اللَّهِ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ : ( مَنِ الْتَمَسَ رِضَى اللَّهِ بِسَخَطِ النَّاسِ ، رَضِيَ الله عَنْهُ ، وَأَرْضَى النَّاسَ عَنْهُ ، وَمَنِ الْتَمَسَ رِضَا النَّاسِ بِسَخَطِ اللَّهِ ، سَخَطَ اللَّهُ عَلَيْهِ ، وَأَسْخَطَ عليه الناس ) رواه ابن حبان "الإحسان في تقريب صحيح ابن حبان" (1 /510) ، والترمذي (2414) بلفظ : ‏( ‏ مَنِ الْتَمَسَ رِضَاءَ اللَّهِ بِسَخَطِ النَّاسِ كَفَاهُ اللَّهُ مُؤْنَةَ النَّاسِ ، وَمَنِ الْتَمَسَ رِضَاءَ النَّاسِ بِسَخَطِ اللَّهِ وَكَلَهُ اللَّهُ إِلَى النَّاسِ ) . وقد اختلف في رفع هذا الحديث إلى النبي صلى الله عليه وسلم ، ووقفه على عائشة . وقد صحح الإمام البخاري ، كما في العلل الكبير للترمذي (332) ، وأبو زرعة ، وأبو حاتم ، كما في العلل لابن أبي حاتم (5/59) ، وغيرهم وقفه . وقال الدارقطني رحمه الله : " ورفعه لا يثبت" . انتهى، من "العلل" (14/182) . وينظر " سلسلة الأحاديث الصحيحة " ، للألباني ( 5 / 392 ) ‏.‏ ثانيا :

  • @MussaRwegasira-ei3em

    @MussaRwegasira-ei3em

    11 ай бұрын

    Shkh Rusaganya mim nataman uwe mwalimu wangu katika dini sikuwah kukaa darasani ila nasoma kama hiv nikiingia mtandao hiv

  • @mikekhalifaali7510
    @mikekhalifaali751010 ай бұрын

    Mtu anatetea bidaah huyu daah, sio vizuri

  • @jumabias4917
    @jumabias491711 ай бұрын

    Mwalimu wangu, shekhe Rusaganya wakati nasoma masjid qubah ( kijitonyama Daressalaam) Allah akuhifadhi

  • @ndolasaid6323

    @ndolasaid6323

    10 ай бұрын

    Masjid Quba umesoma mwaka gani

  • @omarally6819
    @omarally681911 ай бұрын

    Mashekhe wana fanya kazi ya kuelimisha nyinyi mnarejesha nyuma juhudi njema, mtalaaniwa na Mola Mlezi wetu ngojeeni tu

  • @swalehabdulrahman4118

    @swalehabdulrahman4118

    11 ай бұрын

    Wameanza kulaaniwa masalaf alafu ndio wengine

  • @swalehemrombo9301

    @swalehemrombo9301

    10 ай бұрын

    Umesikia kuwa mungu ni mjomba wako atowe laana kwa matakwa yako tu unavyotaka wewee.!! We mpuuzi kweli yani.!!

  • @kahiyemohammed8556
    @kahiyemohammed85569 ай бұрын

    Mimi niliota wale maulama sufi wala masuni wanahalalisha vitu zaharamu kama mira , tumbako, kuozesha wanake bila walii wao, wakiwa wanafamu wakona elimu watakuwa mahbuzi au prisoners (with uniform)ndani ya kaburi paka kiama , until the day of judgements... niliota nataka mtafsir hio ndoto yangu...

  • @fahmymasoud3653
    @fahmymasoud365311 ай бұрын

    Wameaminishwa hivyo indio hivyo hivyo tu

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3eАй бұрын

    Huyu shekhe nilikuwa najuwa mtu wa sunnah kumbe nae mpiga maulidi mtu wa bidaah pole sana baba nilikuwa sijui saivi nimebainikiwa sisikilizagi watu wa bidaa ila kwa dharula

  • @badmanno.1650
    @badmanno.16503 ай бұрын

    Kumbe ummoja wao 😢

  • @mohammedal7864
    @mohammedal78649 ай бұрын

    Sheikh Rusaganya dheheb gani mbona hatumueliwi

  • @fahmymasoud3653
    @fahmymasoud365311 ай бұрын

    Masalafi wakwanza mabidaa wakubwa wanafuata na kuamini kila wanalosema wenzao Ila ma sheikh wengine wote hawajui

  • @thedriver.michael.3975
    @thedriver.michael.397511 ай бұрын

    ulifaa uwe shehe mkuu

  • @swalehmuhsinhassan9413
    @swalehmuhsinhassan941310 ай бұрын

    Kumbe hili jamaa sufi. .jitu la twariqa.. doh Allah atuongoze. Hafai kabisa

  • @swalehemrombo9301

    @swalehemrombo9301

    10 ай бұрын

    Haya mnyime Pepo basi km unayo hiyo Pepo ya kumnyimaa.!! Maana watu km nyinyi si mnamiliki Pepo zenu za kuwapa watu na mnamiliki mioto yenu ya kuwaingiza watu haya fanya uwezalo Sasa.!!

  • @chaillahhassan225
    @chaillahhassan2258 ай бұрын

    A.aleykum,naomba msaada namba ya shehe

  • @mohammedal7864
    @mohammedal78649 ай бұрын

    Halaf sheikh anamipasho hapo naona anawapasha wenye kanzu za watoto 😂😂

  • @salimbaalwy9388
    @salimbaalwy938811 ай бұрын

    HONEST IZ THE BEST POLICY... "ENJOY THE RITE FORBID WHAT IZ WRONG"

  • @shabanimussa4269
    @shabanimussa42695 ай бұрын

    akusamehe ww mtupu elemu alio Naya shekhe rusaganya inawezekana kwenye ukoo wako wote hakuna hata thelusi yake kwahiyo kinachotakiwa mawahabi mkasome

Келесі