Usiwatoe Watu Kwenye Uislamu Wewe Siyo Mungu / Mimi Sufi Na Qadiri / Sheikh Hashimu Rusaganya
Ойын-сауық
Usiwatoe Watu Kwenye Uislamu Wewe Siyo Mungu / Mimi Sufi Na Qadiri Na Nimepinda Unifanyi Chochote / Sheikh Hashimu Rusaganya
Mashaa Allah Sheikh Hashimu Rusaganya akielezea kwa uzuri na ubora wa hali ya juu Ya Usiwatoe Watu Kwenye Uislamu Wewe Siyo Mungu / Mimi Sufi Na Qadiri Na Nimepinda Unifanyi Chochote / Sheikh Hashimu Rusaganya
usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
Support us DARSA TV
M-PESA +255 765100906
Airtel Money +255782466586
Paypal 👇👇👇👇
paypal.me/DarsaTv?locale.x=en_US
Get MORE of DARSA TV:
► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop...
► FOLLOW DARSA TV on Instagram: /
► LIKE DARSA TV on Facebook: /
Subscribe
Comment
Like
And
Thanks
Tu follow katika social media zetu
Facebook @Darsa tv
Instagram @Darsatv
KZread @Darsa tv
TikTok @Darsa tv
Пікірлер: 305
Mashaallah shekh hashimu Rusaganya. Muhimu kumridhisha Allah na si kuridhisha watu ambao hawamiliki pepo wala moto.
@machano5690
11 ай бұрын
Wacha kujifanya kua wewe ni mkamilifu, sh. Rusaganya anajielewa.
@mahamuduhassan8511
11 ай бұрын
Hakika ni kweliii mamba kaamua kusema kweli hamna kuremba
@mohdhilaly7900
10 ай бұрын
Ukitaka kusema hivyo wale mashehe wote waliomsomesha na wamaulidi motoni maana walifanya yasiomridhisha mungu kwa mujibu wa maelezo yako ?
Mashaallah sheikh wangu umesoma kwa makuraiesh wa ujiji Allah akuhifadhi sheikh wangu .Naona wenye roho mbaya na kujiona wao ndo watu wa peponi povu linawatoka humu.Kwa kweli elimu ya kisufi na twariqa ina baraka sana na kuna mambo makubwa ambayo huyapati mpaka ambae anajibidiisha kuwa karibu kwa Allah na kwa watu wa twarika na hao masufi mwisho wakiona hizo kalama wanasema bidaa na uganga .
Maashallha Leo nimefurahi mnooo nikiwasikia mashekhe kama hivi wakiongea huwa nafarijika sana
@alhilaltvonline
11 ай бұрын
Naam kaka hujanishinda Mimi. Kanifurahisha sana. Huu ndio ukweli.
@rahmaarrington9019
11 ай бұрын
Mashallah!! Allah atakulipa ujira wako kwa kila hatuwa!!!
Uzushi ni kumchezea Allah eti uwesu dah Allah akusameh nimzee wetu tunakuheshim kwahapa utatusameh mzee anatangaza akida yake alafu amesema amepinda subhanallah Allah akuongoze katika njia sahihi
Allahu Akbar, Allah akuifadhi Sheikh wetu
Allahu Akbar Allahu Akbar Allahu Akbar Allah akunawirishe akupe mema duniyani na akhera
@sharifumuya1979
10 ай бұрын
Hahaha plastic
Mm nnachoamini ujumbe umeshakufikia sasa ni juu yako kuufuata au kubaki na bidaa zako
Allah akuepushe shekh.unaona watu wafanya shirk kisha mtu anyamaze
Mashaallah, Allah Akuhifadhi Sheikh na wanafik❤
MAA SHAA ALLAAH! رحمهم الله رحمة واسعة وأسكنهم الفردوس الأعلى
Allah atujalie mwisho mwema, baada ya kusikia kutoka kwa mtu linganisha kwenye kitabu na sunna!
Babullah ahmada bajata thanaa alayh❤ taraturbatu nnabatu nnabii ru’uyatallah alayh ❤. Maaashaallah
@masoudmohamedy5953
11 ай бұрын
Umenikumbusha mbali maalim
Allah atawadhihirisha tu watu wa bidaa wote inshaAllah hiyo ni ahadi ya Allah والله مخرج ما" كنتم تكتمون"
@MatanoSalim-il9fk
11 ай бұрын
Hauna kazi ya kufanya
@kavumohemedi871
11 ай бұрын
Sahihi brother acha waumie ila bidaa wakifanya lazma waambiwe
@swalehemrombo9301
10 ай бұрын
Kwahiyo wewe Raha yako unataka akae hapo aanze kudhalilisha na kutukana masheikh.!!
الله أكبر ! بارك الله فيك
Barak Allah feeq, Jazzak Allah kheri.
Mashaaallah sheikh hakika umefunzwa vyema sana katika mji wa ujiji kwa masheikh wakubwa na alama kubwa ya mkoa wa kigoma
Allah akuifadh sheikh Hashimu
MashaAllah baba yngu Allah aendlee kukupa afya njema uendlee kutupa mazr yeny mafundisho jazzaqalah khery
Mashallah ❤
Ma sha Allah... Allah akuhifadhi shekh Umefungua akili wengi wanaothamini Madheheb yao kuliko Uislam na kutaka radhi za Allah... Pia umewapa ujumbe wanaodhereu na kutusi Mashekh....
@user-fj3dp2xe4q
11 ай бұрын
Story ya huyo bwana nimeipenda
Allahu Akbar Allahu Akbar Allahu Akbar mashallah
Aksante sana sheikh hashimu lusaganya mwenyezimungu akuhifadhi ,
Watu watarika wengi wamekufa na shahada wanapata mwishomwema
@nasserm.nasser5087
11 ай бұрын
Na kwanini wasife na shahada hali wao kutwa kucha ni lailaha illah Allah. Kila baada ya swala ni adhkaar tupu na lailaha illah Allah mara 165
@alawikihema8676
11 ай бұрын
chozi lataka kutoka nikiwakumbuka Masheikh wetu wameishi maisha yao yote kwa dhikiri tukufu
@shadyahamad3724
11 ай бұрын
Na kubali twarika ukiishika na mafundisho yake unapata mwisho mwema twarika ni njia ilio nyooka🙏🙏🙏
@muktazimbuyu6569
11 ай бұрын
Sio ukweli wewe ni muongo
@nasserm.nasser5087
11 ай бұрын
@muktazimbuyu6569 Kwani wewe una Ilm ya ghaib kujua kama fulani ni muongo? Nyie kwenu masheikh zenu wa kiwahabi hawana nuru na utulivu na kutwa kucha ni matusi na takfiri na magaidi ni zao na magaidi. Hamuwafikii watu wa twariqa kwa adhkar na tahlil, huyo sheikh wenu mkuu hamfikii hata robo muridi tu wa chini kwa uchamungu na ibada
Nashukuru nimepata mafundishisho kutoka kwa sheikh mungu akueke na akupe afya
Asalam Alaykum, nawapenda kwaajili ya allah, kipindikile una vuma sana redio imani Mbona ulishawayi kusema asyatuni wa maryamu, haya maneno ya meongezwa tena haya maneno yako kwenye clipu, lu saganya to muogopeni Allah, na hisi maneno ya allah yasha tuzuru, a lipo sema, kuna watu, mudhbi dhabina bayna dhalika huku tuko na Kule to ko
Maa shaa allah Elimu pamoja na adabu ndo funzo tunalochukua Kwa sheikh rusaganya Allah akudumishe siku nidiriki darsa yako ya macho Kwa macho in shaa allah
شاء الله حفظك الله يا شيخ
Mashaallah maneno mazuri sanaa shekh mungu akubarik watu waufaham mchango wa mashekh walotangulia
Naam sheikh mashaa Allah nimefurahi qaswida unazijua
Maashallaaa shekhe.Rusaganya Alla.akuweke maana watu kamanyinyi niwachache sana
Shekh amepinda kweli Allah amjaalie anyooke na atujalie na sisi njia iliyostahiqi. Alichotufundisha Shekh ni kwamba hatutakiwi kupinga kile tulichofunzwa na mashekh wetu hata kama hakipo kwenye haqqi 😅na ni marufuku kuhoji 😃tufatilie mambo yanayotuhusu hatuna haqqi ya kuongozana njia stahiki 😅 Ahsante shekh nimekubali umepinda ila kila mtu ni mchunga na kila mchunga ataulizwa na Allah kwa alichokichunga
@MuhozaZiada
Ай бұрын
Siyo hivo nilazima kuaheshimu walio kusomesha Kwa kua ndo ilikua kiango Cha elimu Yao ذلك مبلغهم من العلم
MashaAllah sheikh
Mashaallah mashaallah maneno mzuri
ماشاء الله
Mmmh ila hawa Ma sheikh wetu mtihani sana. Mwisho wana anza kumtishia ndg yao katika imani. Naamini lengo kuu la Sheikh Mohammed Bachu ni kutoa elimu kwa ummah wa Ki Islam hasa juu ya kitabu cha Barzanj. Tatizo elimu hii ime pokelewa vibaya na wengi miongoni mwa Ma Sheikh. Allah pekee ndio anae jua nani yupo sawa na nani kapotea katika hili In Shaa Allah
@umbopaday
11 ай бұрын
Nimekuelewa
@SalehSaidmbarouk-pu9jq
3 ай бұрын
Sasa kama jambo liko hivyo, tunajifunza hapa kua watu wawe na heshima wasiwatukane waalimu zao Wala watu walio na mtazamo tofauti.
Mashaallah shekhe Allah akuifadhi
Masha Allah
Sheikh Mungu akuzidishie nimependa sana maneno yako umeongea kizamani hasa karne hii hakuna mambo hayo vurugu tupu kwanza huwezi kujua mwalimu nani sheikh nani mwanafunzi nani ujinga ujinga tu
Wallahi shekh unasauti nzur yaan nmejiskia raha sana
mashallaa
Ma Shaa Allah Sheikh wangu upo sahihi
Wao Maa Shaa Allaahu
Mashaallah
Shekh lusaganya Allah akuzidishie umri mlef zaid
Mashallah hiyo dhikri inifurahisha mpaka rohoni
Maashaallaah
Alhamdulillah
mashaallah
Mashallah
Mashaallah sheikh
@adamkilembwe.
11 ай бұрын
👍
@abdulkadirjaylani4693
11 ай бұрын
Ujue nynyi hamuelewi sio kila unachofundishwa kama ni sahih kitu hicho kama yeye sio mungu ndio ila hata ao walookufundisheni nao sio waungu na ndo mana Munashindwa munapobishana nae mnakosa hoja mnabaki kulalamika anatukan watu kwa sababu ile ndio haki na inapokuja batili yakaa chin wee siku zot unapotak kumuuw mbwa mpe jina baya hilo ndo mnalolitumia mashekh kumpa mtu anaekuelekezeni jina baya mkajifany nin ndo wema kwa mas lahi ya matumbo yen bal haki ikikujien munaikataa kabisa
Sheikh sasa anaaza kuheshimu watu wengine ...
SHEIKH HII DINI HUWEZI KUIBINAFSISHA!UISEMEE UNAVYOTAKA!! UKITOKA KWA MSTARI TU LAZIMA UPIGWE NYUNDO ZA KUTOSHA!!
@ushindiushindi5749
11 ай бұрын
Kwel kabs
@athumanikhamisi3377
11 ай бұрын
Unaumia Sana ndugu,pole sana
@omarmsomall3809
11 ай бұрын
Kajiunge na Daymond una sauti mzuri dini ya Allah so ya mizumar, vinanda wala matarumbeta
@myself4128
11 ай бұрын
Ulikuwepo wwkati Dini inaanzishwa au umefuata Mkumbo wa wazazi tu?
@mtotompole1040
11 ай бұрын
NDIO NYIE SIO😂
Alhmdulillah
Ostaz allaah atuongoze atujali namwishomwema
Shehe muhammad nassoro kigogo mwenyez mungu amfanyie wepes aliko 👏
Nimesoma comments nyingi humu , nikichogundua baadhi ya waislamu au wengi wetu , hatuna tamyiz ya kupambanua haki na batwil, bali tunafata mkumbo
MASHA ALLAH 🇰🇪 💚 💚💚💚
Jazakallahu kheir sheikh Rusaganya! Wewe huwezi kuwatukana masheikh wako,lakini mtoto wa marhuum Sheikh Nassor Bachu amemtukana baba yake kwa maneno makali. Hatari sana.
@ibnqassim7002
9 ай бұрын
Kamtukana vipi
😢😢 Allahu Akbaru Allah akulipe kheri
Quran na Sunna FULL STOP ❤❤❤
Masufi mna dhalilika hadharani bila kujielewa😅😅😅😅😅
Daaah mtiani huuu kwl ww umepindaaa xx km umepindaa sheikh bachu hata kunyoosha
Shehe nakupongeza Allah akulinde.
Assalamu Aleikum warahmatullahi wabarakatuhu Sheikh Mohammed Abdulwahab Mwenyewe amesomea Kwa Sheikh Abdulqadir Jeilani
Kidogo shkh ume teleza
MAULIDI JUU ZAIDIIII MTUME ASIFIWE SANAAAAAAA
@marthad7627
11 ай бұрын
اللهم صل وسلم وبارك عليه وعلى آله وصحبه أجمعين
Aislam isomeni dini yenu muijue hapo ndo mtaijua haqi iko wapi vinginevyo mtaburutwa sana, ukisoma fiqhi ya imam shafiy rahimahullah ndo utagundua Imam Shafiy hakuwa sufi na mengi yanayofanywa na masufi yeye aliyapiga vita, tafuta kitabu kinaitwa safinatu nnajah au matin ghaya utajua mambo mengi.
Hiyo stori ya mtume kuminywa na jibril sio kweli jribu kufikiria vzr
Shekhe. Unaposema shughulika na Yako na usishughulike na ya watu Mimi sikuelewi. Unaposhughulikia dini Moja Kwa Moja utashughulika na watu. Maana ndy walengwabwa dini hiii.
Book of qadiria shiekh
قال الأمام أبيو بكر الطرطوشيء رحمه الله. مذهب الصوفية بطلة وجهالة وضلالة وما الإسلام إلا كتاب الله وسنة رسوله صلى الله عليه سلم
Maulidi sheikh Hashimu ni bidaa hata km umepindaa ukwl umekufikia vzr tu
Masha Allaah Sheikh, Alhamdulillaah Allaah amekutoa ktk Mila ile potofu. Mimi pia nilitokea huko huko, tulipotezewa time kulazimishwa kuhifadhi yasiyo sahihi. Laiti masheikh wangeitumia nafasi ile kutuhifadhisha Quran.
@rayisadesigns2646
11 ай бұрын
acha uongo wewe umesoma wapi?! sheikh Rusaganya ni Sufi tena kindakindaki, mimi ni mwanafumzi wake. zamani masalafi walikuwa wanajua ni mwenzao, baada ya masalafi kuanza kutukana masheikh hovyo na kuwakufurisha waislam wenzao sasa sheikh Rusaganya ameamua kuwafunguka na kuwaeleza wajue yeye sio mwenzao.
Hili shekh nalo linabana pua! Amesema kweli imaam Shafy mtu akiingia katika usufi asbuhi haitofika mchana tayari ameshakuwa mpumbavu
@rayisadesigns2646
11 ай бұрын
huyo imam shafi na yeye mwenyewe ni sufi kama ulikuwa haujui.
@mohammedsaid3045
11 ай бұрын
Ww itakuwa umetumwa ni mshenzi tu huwezi kumsema muislam mwenziwe maneno km hyo
@swalehemrombo9301
10 ай бұрын
Mohd...huyo imamu shaafy mwenyewe alikuwa sufiii Sasa unasemaje.!!
@mohd39789
10 ай бұрын
@@swalehemrombo9301 ndio wanavyokudanganya mashekh wa kisufi? Imaam Shafy hawezi kuwa sufi hata siku moja! Imaam Shafy alisema mtu akiingia katika usufi asbuhi haitofika mchana tayari ameshakuwa mpumbavu. Imaam Shafy yuko mbali na usufi (upumbavu)
Haki ibainishwe jameni tusiifiche ndivyo yalivyo amrishwa na Allah na mtume wake
MashaAllah Sadakta sheikh 100 kwa 100 asiyependa ajifungie chooni 🤣
Mzee kazungumza hekima kubwa sana
Kuna sheikh na mzee ww ni mzee rusaganya endelea na hadithi za babu na wajukuu zake Mm nilikuwa nakuona umesoma kumbe umefata mkumbo ila Allah atuongoze katika njia ya sawa sawa
@binaamour318
11 ай бұрын
Kw taarifa yko w Musa waulize hao unaowmini huyo rusaganya kasoma wpi watakwambia na ushabik wko up huyo Madina miaka iyo isiokuwa na mihemko ya kishabik y dini au shekh wako!
@swalehemrombo9301
10 ай бұрын
Tatizo we hujuwi halafu una mihemko huyo Rusaganya Sasa kasoma huko huko huko kwa hao hao wanaokuleteemi hiyo misimamo mnaojifanya mnayoo.!! Sasa yeye ndio kasoma huko huko uliza utaambiwaa.!! Acha ushabiki maandazii.!!
Chungu cha busara hicho, ALHAMDULILLAH
Wewe kweli umefikisha ya maana eeeh!!!!
Mimi binafsi hata kama sijafika huo makamu, lakini najivunjari kuwa sufi Al hamdu lillah.
Sayyid Abdul qadiry jaylan
Sheikh Muhammad Bachu maashallah mungu amueke hakik anafanya kaz ngumu kwa kweli 😢 ila watu bado wametia pamba masikion 😭
@jamilahjamilah4157
10 ай бұрын
Wee na bachu wako hamuoni mbali baadala yakutagazaa ndini ya kiislam bachu wako kakalia maulidi biidaa na anocho jua nihicho tuu bachu hana elimu
@muhamadikombo4976
10 ай бұрын
@@jamilahjamilah4157 Wee una ushahid gan kama bachu hana elimu kwan unamjua mtu mwenye elimu na alokuw hana nduguyangu.... 😢🤔 Au ndo unaishi kwa kufuata mkumbo na matamanio yako t yanakupeleka wap 😢
@sadamakame7684
9 ай бұрын
Si tusoelimu sijui tushike wapi jamani mbona mwatuchanganya
@jamilahjamilah4157
9 ай бұрын
@@sadamakame7684 dg yangu waala usichaganyikiwe elim haina mwisho wee soma utaujua nayule lile swali kalikimbia kusudi alikuwa anajua akijibu basi nahuyo wanaye muita ibun temwe atakuwepo naataulizwa kasema nn ndio sababu yakukataa kusema
Masjid qubah nimesoma kuanzia 1987 ..... Mwalimu kaduguda, Yusuf Salim, Salim Awadh, shekh rusaganya ndio miaka hiyo nilimuona
Rusaganya عَنْ عَائِشَةَ رضي الله عنها قَالَتْ : قَالَ رَسُولُ اللَّهِ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ : ( مَنِ الْتَمَسَ رِضَى اللَّهِ بِسَخَطِ النَّاسِ ، رَضِيَ الله عَنْهُ ، وَأَرْضَى النَّاسَ عَنْهُ ، وَمَنِ الْتَمَسَ رِضَا النَّاسِ بِسَخَطِ اللَّهِ ، سَخَطَ اللَّهُ عَلَيْهِ ، وَأَسْخَطَ عليه الناس ) رواه ابن حبان "الإحسان في تقريب صحيح ابن حبان" (1 /510) ، والترمذي (2414) بلفظ : ( مَنِ الْتَمَسَ رِضَاءَ اللَّهِ بِسَخَطِ النَّاسِ كَفَاهُ اللَّهُ مُؤْنَةَ النَّاسِ ، وَمَنِ الْتَمَسَ رِضَاءَ النَّاسِ بِسَخَطِ اللَّهِ وَكَلَهُ اللَّهُ إِلَى النَّاسِ ) . وقد اختلف في رفع هذا الحديث إلى النبي صلى الله عليه وسلم ، ووقفه على عائشة . وقد صحح الإمام البخاري ، كما في العلل الكبير للترمذي (332) ، وأبو زرعة ، وأبو حاتم ، كما في العلل لابن أبي حاتم (5/59) ، وغيرهم وقفه . وقال الدارقطني رحمه الله : " ورفعه لا يثبت" . انتهى، من "العلل" (14/182) . وينظر " سلسلة الأحاديث الصحيحة " ، للألباني ( 5 / 392 ) . ثانيا :
@MussaRwegasira-ei3em
11 ай бұрын
Shkh Rusaganya mim nataman uwe mwalimu wangu katika dini sikuwah kukaa darasani ila nasoma kama hiv nikiingia mtandao hiv
Mtu anatetea bidaah huyu daah, sio vizuri
Mwalimu wangu, shekhe Rusaganya wakati nasoma masjid qubah ( kijitonyama Daressalaam) Allah akuhifadhi
@ndolasaid6323
10 ай бұрын
Masjid Quba umesoma mwaka gani
Mashekhe wana fanya kazi ya kuelimisha nyinyi mnarejesha nyuma juhudi njema, mtalaaniwa na Mola Mlezi wetu ngojeeni tu
@swalehabdulrahman4118
11 ай бұрын
Wameanza kulaaniwa masalaf alafu ndio wengine
@swalehemrombo9301
10 ай бұрын
Umesikia kuwa mungu ni mjomba wako atowe laana kwa matakwa yako tu unavyotaka wewee.!! We mpuuzi kweli yani.!!
Mimi niliota wale maulama sufi wala masuni wanahalalisha vitu zaharamu kama mira , tumbako, kuozesha wanake bila walii wao, wakiwa wanafamu wakona elimu watakuwa mahbuzi au prisoners (with uniform)ndani ya kaburi paka kiama , until the day of judgements... niliota nataka mtafsir hio ndoto yangu...
Wameaminishwa hivyo indio hivyo hivyo tu
Huyu shekhe nilikuwa najuwa mtu wa sunnah kumbe nae mpiga maulidi mtu wa bidaah pole sana baba nilikuwa sijui saivi nimebainikiwa sisikilizagi watu wa bidaa ila kwa dharula
Kumbe ummoja wao 😢
Sheikh Rusaganya dheheb gani mbona hatumueliwi
Masalafi wakwanza mabidaa wakubwa wanafuata na kuamini kila wanalosema wenzao Ila ma sheikh wengine wote hawajui
ulifaa uwe shehe mkuu
Kumbe hili jamaa sufi. .jitu la twariqa.. doh Allah atuongoze. Hafai kabisa
@swalehemrombo9301
10 ай бұрын
Haya mnyime Pepo basi km unayo hiyo Pepo ya kumnyimaa.!! Maana watu km nyinyi si mnamiliki Pepo zenu za kuwapa watu na mnamiliki mioto yenu ya kuwaingiza watu haya fanya uwezalo Sasa.!!
A.aleykum,naomba msaada namba ya shehe
Halaf sheikh anamipasho hapo naona anawapasha wenye kanzu za watoto 😂😂
HONEST IZ THE BEST POLICY... "ENJOY THE RITE FORBID WHAT IZ WRONG"
akusamehe ww mtupu elemu alio Naya shekhe rusaganya inawezekana kwenye ukoo wako wote hakuna hata thelusi yake kwahiyo kinachotakiwa mawahabi mkasome