Mawimbi ya Nungwi hatari: Hapa nilipoteza watoto 11 / Meli ndogo hazipiti

Ойын-сауық

Wakati unatoka Unguja kwenda Pemba lazima upite sehemu iitwayo Nungwi. Eneo hili ilinaogopwa na kila abiria kutokana na kuwa na mawimbi makubwa ambayo yanaweza kuiyumbisha meli. Pia eneo hili zimewahi kutokea ajali kama MV Spice ambayo ilisababisha vifo vya watu 200 na majeruhi 600.

Пікірлер: 22

  • @MohamefMullah
    @MohamefMullah10 ай бұрын

    Sio zanzibar kuelekea pemba, usahihi munatokea Unguja kuelekea pemba, zanzibar ni visiwa viwili vya Unguja na pemba

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim14310 ай бұрын

    hii sehemu ni ngumu na lazima meli ziwe kubwa ibaki rehema za Mungu

  • @mashallahoman6355
    @mashallahoman63555 жыл бұрын

    subuanallah allah awanusuru na mutihani ya dhuruba rahmabaharih

  • @brettorion5659

    @brettorion5659

    3 жыл бұрын

    I know I'm quite randomly asking but does anyone know a good place to watch new series online?

  • @rohankylan8375

    @rohankylan8375

    3 жыл бұрын

    @Brett Orion lately I have been using Flixzone. You can find it by googling :)

  • @rabiajuma8292

    @rabiajuma8292

    2 жыл бұрын

    Nimekumiss kwetu love u pemba

  • @jonsongabriel937
    @jonsongabriel9372 жыл бұрын

    Sauti mbaya

  • @abdulswamad-dp8gu
    @abdulswamad-dp8gu2 ай бұрын

    Sio boti hiyo ni meli uliza kwa wahisika ukitoa habari zako ziwe za usahihi 😅

  • @mwajabuabdallah3544
    @mwajabuabdallah3544 Жыл бұрын

    Mmh mungu atusaidie jmn

  • @faridikaji5201
    @faridikaji52015 жыл бұрын

    hatari sana

  • @TeamKRX
    @TeamKRX3 жыл бұрын

    Hatari duu sasa mi siwezi hata kuyashika maji mi nimoga wa ndege meli

  • @mamanaifa6178

    @mamanaifa6178

    3 жыл бұрын

    Pole sana

  • @hijatumbo8709
    @hijatumbo87092 жыл бұрын

    Jifunze jinsi ya kuhoji maswali

  • @mohamedhamedseifelsawafi8309
    @mohamedhamedseifelsawafi83092 жыл бұрын

    Haelewi maji makali huyo mtangazaji

  • @mohammedomar7280
    @mohammedomar72803 жыл бұрын

    sio masaa nane nikama masaa kama ma 5 mpaka 6 tu ushafika

  • @bihterziyagil3821

    @bihterziyagil3821

    3 жыл бұрын

    Hashuolo masaa 5? Ww ushawahi kuipanda ilo dude

  • @omarymohamed4021

    @omarymohamed4021

    2 жыл бұрын

    Masaa 8 yanafika au zaid

  • @omarymohamed4021

    @omarymohamed4021

    2 жыл бұрын

    Na kipind kigumu cha safar kipind cha mvua na upepo ni balaa

  • @hairathussein1118

    @hairathussein1118

    2 жыл бұрын

    Mimi nilipoenda pemba nimekaa kwenye maji masaa 9 sasa we anosema masaa 5 sijui chombo gani tena mkoani masaa 9 ila wete tisa na nusu juu

  • @saidabdullah8623

    @saidabdullah8623

    2 жыл бұрын

    Inategemea na meli na hali ya hewa kuna siku nishapanda sealink masaa manne na nusu tu tumefika pemba

Келесі