MTOTO WA MIAKA 13 ALIVYONUSURIKA KUZAMA NA MELI

simulizi yenye kuhuzunisha,ni siku ambayo siwezi kuisahau,nilikaa kwenye bahari usiku kucha.

Пікірлер: 141

  • @omarkali7712
    @omarkali77122 жыл бұрын

    Naitwa Omar Kombo Ali ni miongoni mwa wahanga wa ajali ya mv. Spice islanders 1, na mm ndio mtu wa mwisho kuokolewa, niliokolewa na meli ya mv, Serengeti majira ya saa 8 za mchana ya tarehe 10, nikiwa naogelea tu bila kujuwa naelekea wp, alhamdulillah Allah ni wa pekee kabisa tunapaswa kumshukuru kwa kila jambo, Allah awalaze mahali pema peponi wale wote waliotangiulia mbele ya haki, na cc tulipona Allah atupe maisha marefu yenye kheri na cc

  • @lkshmykomar5472
    @lkshmykomar54722 жыл бұрын

    Allah awalaze NDUGU zetu peponi ishalla awajaliye makabur yao yawe bustan ktk mabustan za pepon 😭💖

  • @khairatally7733
    @khairatally77333 жыл бұрын

    So sad wallahy😪.. Allah awahifadh kwa Hilo na jengine in Shaa Allah 🤲 na awasameh na awalaze mahala pema peponi kwa wote waliotangulia Aaamiin

  • @nassorhaji2637
    @nassorhaji26372 жыл бұрын

    Daaah...kwa kweli inauma sana nilimpoteza rafki yangu kipenz na jirani yangu Innalillahi wainnaailahi raajiuun raajiuun...Allah awasameh wote waliopoteza maisha ktk hii siku...

  • @maryamhabib466

    @maryamhabib466

    2 жыл бұрын

    Pole sana

  • @fundisuma4542

    @fundisuma4542

    2 жыл бұрын

    Aaaaaahh mtangazaji znazingua hauna fani ya utangazaji hata uongeaji wako haupo clear,

  • @faridaiddi104
    @faridaiddi1042 жыл бұрын

    So sad 😭😭😭😭 but Allah Qariiim 🙏😭 mungu awarehmu maiti wetu walio tangulia

  • @frankdanford8245
    @frankdanford82452 жыл бұрын

    Inaumiza sana naumia mno kila nikisikia haya yaliyotokea tuombe mungu kila tutokapo atushikilie na kuzilinda nafsi zetu na kila tunaporudi tukumbuke kumshukuru muumba wetu Amina na anatushindia kila magumu tunayoyapitia.

  • @sadabkari5532
    @sadabkari55322 жыл бұрын

    Hii siku inaniliza sana haikuwa Muna familia yangu ila familia za wenzangu ni zangu pia kwasababu cjui kesho yngu na historiya ya Ashrak inazidi kunikumbusha mbali ila Mungu mkubwa sana na anauwezo 😭😭😭

  • @sadabkari5532

    @sadabkari5532

    2 жыл бұрын

    Allah atufikishe salama inshaallh

  • @ghanimaali4507
    @ghanimaali45072 жыл бұрын

    stori inaskitisha sana ila mtangazaji hafai hujui hta kuuliza shida tupu

  • @ahluljazira2259
    @ahluljazira22592 жыл бұрын

    Hilo ni janga kubwa sana subhanallah inashinda ile ya titanic Allah awasameh yaliyowapita awajaalie jannat firdaws iwe makazi Yao Amin ya Rabb

  • @moudboss2030
    @moudboss20302 жыл бұрын

    Cd ya Matukio yote nimetoka kuitazama leo 😭😭😭 Roho inaniuma. Mwenyezi MUNGU azilaze Roho za marehem peponi.

  • @aminaabdulla8829
    @aminaabdulla88292 жыл бұрын

    Kazi ya mungu haina makosa sote safari yetu moja mungu awape subra amiin

  • @gharybabdulla8495
    @gharybabdulla84953 жыл бұрын

    Allah awarehem na awasameh wote tulowapoteza,pole sana brother

  • @khamisshee5131
    @khamisshee51312 жыл бұрын

    So Sad Allah awarehemu wote walio poteza maisha AMIN AMIN AMIN 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 aka bachuchu mombasa 001 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @jamaalmuhammad7457
    @jamaalmuhammad74573 жыл бұрын

    Ashraq unanikumbusha shanaa bro tulikuwa twins ila my brother kaondoka nikaokoka mimi na nyinyi really sad😭😭😭😭

  • @theodoltheophil7858

    @theodoltheophil7858

    2 жыл бұрын

    Pole best

  • @ashashaphy9413

    @ashashaphy9413

    2 жыл бұрын

    Pole Sana Allah awasameh maiti zetu Mimi nilimpotez mam angu Ila ni meli ya dar kuj znz tuwaombee dua tu ndo kilichobakia

  • @nassorahmed4672

    @nassorahmed4672

    2 жыл бұрын

    Pole an Jamaal Broo wako ajmal alikuwa mshkaji wangu sn

  • @ummuashfaq3920

    @ummuashfaq3920

    2 жыл бұрын

    Jamaal Muhammad pole sana

  • @ummuashfaq3920

    @ummuashfaq3920

    2 жыл бұрын

    @@nassorahmed4672 polen san

  • @happymarchiusnjungani1138
    @happymarchiusnjungani11382 жыл бұрын

    Dah..pole sana Endelea kumshukur mungu ..waliotangulia Mungu awarehemu

  • @abdulfattaah4510
    @abdulfattaah4510 Жыл бұрын

    الغريق شهيد والحريق شهيد أسال الله أن يرحم أمواتنا جميعا يارب انت أرحم بعباده انت أرحم بنا ليس لنا رب سواك فندعوه وليس لنا رب سواك فنرجوه

  • @watototuwajali376
    @watototuwajali3763 жыл бұрын

    Allah awape subra ❤️amiin

  • @mbarackawadh3756
    @mbarackawadh37563 жыл бұрын

    wow tupoe woteee😭😭sema nn big up classmates big up sillah big up shia big up smediaz .... 2gether sanaa

  • @bintmuhammad4913
    @bintmuhammad49132 жыл бұрын

    Subhana Allah! Inaskitisha sana mji ulijiinamia ni huzuni tu kwa kweli alhamdulillah kwa wote waliokoka. Allah awajaalie pepo yake waliofariki nasi atujaalie mwisho mwema..amiin

  • @w4058

    @w4058

    2 жыл бұрын

    Ni upumbavu wa wahusika kwa nini waliruruhusu meli iondoke hali ya kuwa imejaa sana ni uzembe plus tamaaa tu serikali pamoja na kwamba walipinguza watu wasitowe amri ya kusitisha safari kabisa kuna taarifa kwamba meli ilikuwa inaingiza maji,kweli kabisa MMungu analoliandika hakuna wakulifuta ila ukweli ni uzembe uzembe uzembe na tamaa hakuna jengine

  • @w4058

    @w4058

    2 жыл бұрын

    Alhamdulilah kusikia kwamba watu wameshahadia Allah akawalipe pepo ya daraja ya juu kwa uwezo wake Allah

  • @maryammustafa1107

    @maryammustafa1107

    2 жыл бұрын

    Bahati anajuwa kuogelea,dah mpaka machozi yamenitoka yani😭

  • @maryammustafa1107

    @maryammustafa1107

    2 жыл бұрын

    Kadra Allah

  • @pandemictv7345
    @pandemictv73452 жыл бұрын

    alhamdulillah nlisafiri mwanzo kabla ya tukio ila nahuzunika nlipoteza rafiki zangu wawili

  • @mhrmahir3756
    @mhrmahir37562 жыл бұрын

    karashia sawa sante maaruf

  • @zahororashid239
    @zahororashid2392 жыл бұрын

    Dah poleni Sanaa Allah awafanyie wepec

  • @maqboulal-barwani2506
    @maqboulal-barwani25062 жыл бұрын

    Alhamdulillahi Baraka llahu fiykum. Akhuwiy

  • @dullahmudy2255
    @dullahmudy22552 жыл бұрын

    Pole saana ndugu yangu story yako imenitoa machozi.. mwandishi ongeza taaluma kidogo..coz story zako zinahuzunisha saanaaa

  • @mwanaishakhamis8069
    @mwanaishakhamis80692 жыл бұрын

    😭😭🇰🇪poleni Sana muliofiliwa .mngu atawapa Subra insha'Allah

  • @amransalim5663
    @amransalim56633 жыл бұрын

    Pole sana bro Mr kimbola

  • @najimmbarouk4529
    @najimmbarouk45293 жыл бұрын

    Ashar wallah umeongea uzuri inanisikitisha sna mm siku hii nilikataa kusafiri

  • @rhhr3495
    @rhhr34955 ай бұрын

    inauma sana . I cant it over my life.Oh Allah protects us

  • @hajiharoub8125
    @hajiharoub81252 жыл бұрын

    Abiria lengo lake afike safari yake Inauma Sana zaid ya sana maana now machoz yananitoka

  • @sabriyasuluh3002
    @sabriyasuluh30022 жыл бұрын

    Allah awape kauli thabit marehemu wote aminn inshaallah na Allah azipe subra familia zote aminn inshaallah

  • @fahadhamad4924
    @fahadhamad49242 жыл бұрын

    😢😭😫😪Pole sana broo story inahuzunisha sana

  • @thestonetown3302
    @thestonetown33022 жыл бұрын

    Dahhh.....inauma sana all it waz my blood.......

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali39182 жыл бұрын

    Mungu arehem walikufa ishaalah aweke pali pemba peponi ishaalah mungu ndiyo kila kitu

  • @sakinat2527

    @sakinat2527

    2 жыл бұрын

    Amiin

  • @theodoltheophil7858
    @theodoltheophil78582 жыл бұрын

    Pole Ashrak

  • @ashasuleimani2057
    @ashasuleimani2057 Жыл бұрын

    Naitwa asha suleimani ali mm pia nimuhang wa😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭siwez elezea mengi ila haisahauli

  • @Nashakirozo4881
    @Nashakirozo48812 жыл бұрын

    Mungu mkubwa 😭😭😭kina cha kutembea meli ulizama n ukapona aki Mungu n mwema yani machoz yananitoka aki pole kwa wote mlipatwa n janga ilo Insha Allah mungu atawasamehe walio tangulia mbele za haki n atusamehe sisi siliopo duniani 🙏😭

  • @zaidybakar6865
    @zaidybakar6865 Жыл бұрын

    Naitwa Maoud Juma mm ni mhanga wa Ajali ya mv spice islander Allah awarehem ss ni sisi tuliokolewa na mzungu toka Nungwi haihadithk kwakweli.

  • @bintmrisho3526
    @bintmrisho35264 ай бұрын

    Mashallah kijana kajieleza uzur❤

  • @suleimanpandu8955
    @suleimanpandu89552 жыл бұрын

    Eti makombo ya spice noma sana

  • @fatimaf5284
    @fatimaf5284 Жыл бұрын

    Pole san Kaka agu

  • @mamamuu8217
    @mamamuu82172 жыл бұрын

    Siku hiii haitasahaulika Ila Allah ndio mpangaji wa yote

  • @hamdukhamis6067
    @hamdukhamis60672 жыл бұрын

    Dah my best friend karashia

  • @halimhakim1408
    @halimhakim14082 жыл бұрын

    Bro Allah akuweke na kukutunza sku zote na akujalie khatma njema kaka

  • @rashfordsulley7402
    @rashfordsulley7402 Жыл бұрын

    Allah Anasema kuulu Nafsi dhahikatu le maut lila nafsi itaonja mauti kwaiyo tisihuzunike yoni mipango ya Allh🙏🙏🙏🙏😌🙏🙈🙈🙈😭😭

  • @faukiaabdallah3856
    @faukiaabdallah38563 жыл бұрын

    😭😭😭Allah atawalinda zaid😭

  • @ashrakswaleh2116
    @ashrakswaleh21163 жыл бұрын

    Amin kwa sotee inshallah

  • @shadiaally2217

    @shadiaally2217

    2 жыл бұрын

    Pole sana

  • @arafatkombo5823
    @arafatkombo58233 жыл бұрын

    Mzee karashia ple sn Allah awajaliye kheri amin

  • @AjmalBeka
    @AjmalBeka11 күн бұрын

    Allah awarehemu wote waliofikambele yahaki

  • @fahadhamad4924
    @fahadhamad49242 жыл бұрын

    Ukisikiliza hii clip ukakosa kumwaga machozi basi wewe ni katili wenzetu walipotea dah Allahu akbar

  • @shanimwakilima968
    @shanimwakilima9682 жыл бұрын

    Pole Ashiraffi Allah SW awarehemu Mai wote

  • @user-id1me9ve1o
    @user-id1me9ve1o2 жыл бұрын

    Anlla Karim kwakweli anastahili sifa walotangulia anlla awalehem wote walo tangulia 🙏🙏

  • @habibasalum2054
    @habibasalum205410 ай бұрын

    Allah awajalie kauli thabit na awasamehe makosa yao

  • @zuwena1zuwena114
    @zuwena1zuwena1142 жыл бұрын

    Dah pole sana

  • @zaitunihotti4110
    @zaitunihotti41102 жыл бұрын

    Subhanallah dah

  • @hurleynahibrahim9937
    @hurleynahibrahim99373 жыл бұрын

    Ashrak jmn pole saut yko ya majonz 😔😔

  • @swalhasaid3933
    @swalhasaid39332 жыл бұрын

    😭😭😭😭poleeeee sanaa

  • @aysheromary7935
    @aysheromary79352 жыл бұрын

    😭😭😭😭😭 Tushukuru mungu kwa yote🙏

  • @mhrmahir3756
    @mhrmahir37562 жыл бұрын

    sawa karadhia

  • @user-kf6wo6yt4f
    @user-kf6wo6yt4f Жыл бұрын

    hongora dada kwa kipind chako kizur sana❤

  • @ashasuleimani2057
    @ashasuleimani2057 Жыл бұрын

    Pole muhanga mwenzangu

  • @HmahajsamEl-Mughery
    @HmahajsamEl-Mughery2 жыл бұрын

    It is better for true story series film...

  • @mohammedkhkombo4439
    @mohammedkhkombo44392 жыл бұрын

    Dah Allah Mkubwa sana

  • @Khamis-hr2ho
    @Khamis-hr2hoАй бұрын

    Broo tufany ibada kwa wing t

  • @badrualiy2778
    @badrualiy27783 жыл бұрын

    Asharaq bana unaniangusha hunamuangalia uyo mtt tuuh .... Ulipaswa kuangalia camera apo.... Ww unaangalia... Chin na 🤪 unamuangalia.... Asila

  • @munajomar3218
    @munajomar32182 жыл бұрын

    Hebu jikaze wewe mtangazaji se tunalia hii hali mdomo umeuregeza sana

  • @ashuiddy9322

    @ashuiddy9322

    2 жыл бұрын

    😁😁

  • @hidayabakar7026
    @hidayabakar70262 жыл бұрын

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @mwajabukobembe726
    @mwajabukobembe72610 ай бұрын

    Poleee saaana dar inaumizaa saana😰😰😰

  • @aishaarusha894
    @aishaarusha8942 жыл бұрын

    Mtangazaji mmmmmmmh kasome

  • @ashuraumari1322

    @ashuraumari1322

    2 жыл бұрын

    Kwakweli alafu ana cheka cheka kwenye uzuni😏😏

  • @fatmanassormohd8071

    @fatmanassormohd8071

    2 жыл бұрын

    Umeona eeeee

  • @naghiftykhamis1932
    @naghiftykhamis19323 жыл бұрын

    😭😭😭😭😭

  • @monatomamonatoma3308
    @monatomamonatoma33082 жыл бұрын

    Mola azidi kukufanyia wepesi

  • @hamadimwinyi2146
    @hamadimwinyi21462 жыл бұрын

    Mtangazaj muachee adisieeeee thn ww ua unamuuliza maswali Kam hujuwelew au wadau wak hawata elewa

  • @mwanakombomwatsuluka3759
    @mwanakombomwatsuluka37592 жыл бұрын

    Subhana Allah

  • @menalikechildren8836
    @menalikechildren8836 Жыл бұрын

    Wewe Hostess nakukumbuka kama ulisoma shule ya Chasasa Wete miaka ya 2013-2014

  • @teychriss3248
    @teychriss32482 жыл бұрын

    Jamani!😢

  • @twahaally1969
    @twahaally19692 жыл бұрын

    Allahughafurahim wallah so sad,

  • @twahaally1969
    @twahaally19692 жыл бұрын

    SAD MOMENT 😭😭😭

  • @hilalsaid3321
    @hilalsaid33213 жыл бұрын

    🥰🥰

  • @husseintayar699
    @husseintayar6992 жыл бұрын

    MtangazJi mmmmmh naomba namba yako

  • @hadharaalli5201
    @hadharaalli52012 жыл бұрын

    Innalillah wa innalillah rajiuun

  • @sniper93999
    @sniper939992 жыл бұрын

    Inauma sana

  • @mohamedmtulia3691
    @mohamedmtulia36919 ай бұрын

    Poleni sana

  • @pendohillrey1164
    @pendohillrey11642 жыл бұрын

    😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏

  • @abrahmanifarouckissa5662
    @abrahmanifarouckissa56622 жыл бұрын

    🙏😭😭

  • @abdulmalikmohammed8449
    @abdulmalikmohammed84492 жыл бұрын

    Ameen ya rabby

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea50832 жыл бұрын

    So sad

  • @zawadi9998
    @zawadi99982 жыл бұрын

    Nakilajambo likitokea nimakadara ya allah

  • @aminaaly3514
    @aminaaly35142 жыл бұрын

    Nimecheka et nikamuona mdg wng na yy kashika kipolo cha yeboyebo😂😂😂

  • @SuleimanJuma-xg2qe
    @SuleimanJuma-xg2qeАй бұрын

    dah na mm nina store ya siku hii

  • @sulemanjuma612
    @sulemanjuma612 Жыл бұрын

    Mungu awarehem

  • @zawadi9998
    @zawadi99982 жыл бұрын

    Allah nimwem

  • @mohamedsuleiman2785
    @mohamedsuleiman2785 Жыл бұрын

    Kusema ukweli tahadhar hakuchukuliwa ni uzembee wa Hali ya juuu ulio fanyika

  • @sweettuma239
    @sweettuma2392 жыл бұрын

    😭😭😭

  • @nasaaimluheta
    @nasaaimluheta2 жыл бұрын

    😭😭

  • @mamazuu5224
    @mamazuu52242 жыл бұрын

    Allah atuhfaz na maafa km haya

  • @abdulfattaah4510
    @abdulfattaah4510 Жыл бұрын

    لاحول ولاقوة إلا بالله

  • @marisianamabagala7708
    @marisianamabagala7708 Жыл бұрын

    🙏

  • @faiziaabdallahomar8162
    @faiziaabdallahomar81622 жыл бұрын

    Inaonesha mtu ukitaka kufa unahisi km ndo mwisho wa ulimwng

  • @MAPETEE
    @MAPETEE2 жыл бұрын

    Ila Ndege ni mbaya Zaid Ajali yak kuliko meli bora meli Ajali yak ni ndogo

  • @athmanmaalim627
    @athmanmaalim6272 жыл бұрын

    kwa kweli hiki kisa kimenitoa machozi

  • @zahrasuweid2565
    @zahrasuweid25653 жыл бұрын

    So sad😥