simulizi yenye kuhuzunisha,ni siku ambayo siwezi kuisahau,nilikaa kwenye bahari usiku kucha.
Жүктеу.....
Пікірлер: 141
@omarkali77122 жыл бұрын
Naitwa Omar Kombo Ali ni miongoni mwa wahanga wa ajali ya mv. Spice islanders 1, na mm ndio mtu wa mwisho kuokolewa, niliokolewa na meli ya mv, Serengeti majira ya saa 8 za mchana ya tarehe 10, nikiwa naogelea tu bila kujuwa naelekea wp, alhamdulillah Allah ni wa pekee kabisa tunapaswa kumshukuru kwa kila jambo, Allah awalaze mahali pema peponi wale wote waliotangiulia mbele ya haki, na cc tulipona Allah atupe maisha marefu yenye kheri na cc
@lkshmykomar54722 жыл бұрын
Allah awalaze NDUGU zetu peponi ishalla awajaliye makabur yao yawe bustan ktk mabustan za pepon 😭💖
@khairatally77333 жыл бұрын
So sad wallahy😪.. Allah awahifadh kwa Hilo na jengine in Shaa Allah 🤲 na awasameh na awalaze mahala pema peponi kwa wote waliotangulia Aaamiin
@nassorhaji26372 жыл бұрын
Daaah...kwa kweli inauma sana nilimpoteza rafki yangu kipenz na jirani yangu Innalillahi wainnaailahi raajiuun raajiuun...Allah awasameh wote waliopoteza maisha ktk hii siku...
@maryamhabib466
2 жыл бұрын
Pole sana
@fundisuma4542
2 жыл бұрын
Aaaaaahh mtangazaji znazingua hauna fani ya utangazaji hata uongeaji wako haupo clear,
@faridaiddi1042 жыл бұрын
So sad 😭😭😭😭 but Allah Qariiim 🙏😭 mungu awarehmu maiti wetu walio tangulia
@frankdanford82452 жыл бұрын
Inaumiza sana naumia mno kila nikisikia haya yaliyotokea tuombe mungu kila tutokapo atushikilie na kuzilinda nafsi zetu na kila tunaporudi tukumbuke kumshukuru muumba wetu Amina na anatushindia kila magumu tunayoyapitia.
@sadabkari55322 жыл бұрын
Hii siku inaniliza sana haikuwa Muna familia yangu ila familia za wenzangu ni zangu pia kwasababu cjui kesho yngu na historiya ya Ashrak inazidi kunikumbusha mbali ila Mungu mkubwa sana na anauwezo 😭😭😭
@sadabkari5532
2 жыл бұрын
Allah atufikishe salama inshaallh
@ghanimaali45072 жыл бұрын
stori inaskitisha sana ila mtangazaji hafai hujui hta kuuliza shida tupu
@ahluljazira22592 жыл бұрын
Hilo ni janga kubwa sana subhanallah inashinda ile ya titanic Allah awasameh yaliyowapita awajaalie jannat firdaws iwe makazi Yao Amin ya Rabb
@moudboss20302 жыл бұрын
Cd ya Matukio yote nimetoka kuitazama leo 😭😭😭 Roho inaniuma. Mwenyezi MUNGU azilaze Roho za marehem peponi.
@aminaabdulla88292 жыл бұрын
Kazi ya mungu haina makosa sote safari yetu moja mungu awape subra amiin
@gharybabdulla84953 жыл бұрын
Allah awarehem na awasameh wote tulowapoteza,pole sana brother
@khamisshee51312 жыл бұрын
So Sad Allah awarehemu wote walio poteza maisha AMIN AMIN AMIN 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 aka bachuchu mombasa 001 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@jamaalmuhammad74573 жыл бұрын
Ashraq unanikumbusha shanaa bro tulikuwa twins ila my brother kaondoka nikaokoka mimi na nyinyi really sad😭😭😭😭
@theodoltheophil7858
2 жыл бұрын
Pole best
@ashashaphy9413
2 жыл бұрын
Pole Sana Allah awasameh maiti zetu Mimi nilimpotez mam angu Ila ni meli ya dar kuj znz tuwaombee dua tu ndo kilichobakia
@nassorahmed4672
2 жыл бұрын
Pole an Jamaal Broo wako ajmal alikuwa mshkaji wangu sn
@ummuashfaq3920
2 жыл бұрын
Jamaal Muhammad pole sana
@ummuashfaq3920
2 жыл бұрын
@@nassorahmed4672 polen san
@happymarchiusnjungani11382 жыл бұрын
Dah..pole sana Endelea kumshukur mungu ..waliotangulia Mungu awarehemu
@abdulfattaah4510 Жыл бұрын
الغريق شهيد والحريق شهيد أسال الله أن يرحم أمواتنا جميعا يارب انت أرحم بعباده انت أرحم بنا ليس لنا رب سواك فندعوه وليس لنا رب سواك فنرجوه
@watototuwajali3763 жыл бұрын
Allah awape subra ❤️amiin
@mbarackawadh37563 жыл бұрын
wow tupoe woteee😭😭sema nn big up classmates big up sillah big up shia big up smediaz .... 2gether sanaa
@bintmuhammad49132 жыл бұрын
Subhana Allah! Inaskitisha sana mji ulijiinamia ni huzuni tu kwa kweli alhamdulillah kwa wote waliokoka. Allah awajaalie pepo yake waliofariki nasi atujaalie mwisho mwema..amiin
@w4058
2 жыл бұрын
Ni upumbavu wa wahusika kwa nini waliruruhusu meli iondoke hali ya kuwa imejaa sana ni uzembe plus tamaaa tu serikali pamoja na kwamba walipinguza watu wasitowe amri ya kusitisha safari kabisa kuna taarifa kwamba meli ilikuwa inaingiza maji,kweli kabisa MMungu analoliandika hakuna wakulifuta ila ukweli ni uzembe uzembe uzembe na tamaa hakuna jengine
@w4058
2 жыл бұрын
Alhamdulilah kusikia kwamba watu wameshahadia Allah akawalipe pepo ya daraja ya juu kwa uwezo wake Allah
@maryammustafa1107
2 жыл бұрын
Bahati anajuwa kuogelea,dah mpaka machozi yamenitoka yani😭
@maryammustafa1107
2 жыл бұрын
Kadra Allah
@pandemictv73452 жыл бұрын
alhamdulillah nlisafiri mwanzo kabla ya tukio ila nahuzunika nlipoteza rafiki zangu wawili
@mhrmahir37562 жыл бұрын
karashia sawa sante maaruf
@zahororashid2392 жыл бұрын
Dah poleni Sanaa Allah awafanyie wepec
@maqboulal-barwani25062 жыл бұрын
Alhamdulillahi Baraka llahu fiykum. Akhuwiy
@dullahmudy22552 жыл бұрын
Pole saana ndugu yangu story yako imenitoa machozi.. mwandishi ongeza taaluma kidogo..coz story zako zinahuzunisha saanaaa
@mwanaishakhamis80692 жыл бұрын
😭😭🇰🇪poleni Sana muliofiliwa .mngu atawapa Subra insha'Allah
@amransalim56633 жыл бұрын
Pole sana bro Mr kimbola
@najimmbarouk45293 жыл бұрын
Ashar wallah umeongea uzuri inanisikitisha sna mm siku hii nilikataa kusafiri
@rhhr34955 ай бұрын
inauma sana . I cant it over my life.Oh Allah protects us
@hajiharoub81252 жыл бұрын
Abiria lengo lake afike safari yake Inauma Sana zaid ya sana maana now machoz yananitoka
@sabriyasuluh30022 жыл бұрын
Allah awape kauli thabit marehemu wote aminn inshaallah na Allah azipe subra familia zote aminn inshaallah
@fahadhamad49242 жыл бұрын
😢😭😫😪Pole sana broo story inahuzunisha sana
@thestonetown33022 жыл бұрын
Dahhh.....inauma sana all it waz my blood.......
@kadijahajali39182 жыл бұрын
Mungu arehem walikufa ishaalah aweke pali pemba peponi ishaalah mungu ndiyo kila kitu
@sakinat2527
2 жыл бұрын
Amiin
@theodoltheophil78582 жыл бұрын
Pole Ashrak
@ashasuleimani2057 Жыл бұрын
Naitwa asha suleimani ali mm pia nimuhang wa😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭siwez elezea mengi ila haisahauli
@Nashakirozo48812 жыл бұрын
Mungu mkubwa 😭😭😭kina cha kutembea meli ulizama n ukapona aki Mungu n mwema yani machoz yananitoka aki pole kwa wote mlipatwa n janga ilo Insha Allah mungu atawasamehe walio tangulia mbele za haki n atusamehe sisi siliopo duniani 🙏😭
@zaidybakar6865 Жыл бұрын
Naitwa Maoud Juma mm ni mhanga wa Ajali ya mv spice islander Allah awarehem ss ni sisi tuliokolewa na mzungu toka Nungwi haihadithk kwakweli.
@bintmrisho35264 ай бұрын
Mashallah kijana kajieleza uzur❤
@suleimanpandu89552 жыл бұрын
Eti makombo ya spice noma sana
@fatimaf5284 Жыл бұрын
Pole san Kaka agu
@mamamuu82172 жыл бұрын
Siku hiii haitasahaulika Ila Allah ndio mpangaji wa yote
@hamdukhamis60672 жыл бұрын
Dah my best friend karashia
@halimhakim14082 жыл бұрын
Bro Allah akuweke na kukutunza sku zote na akujalie khatma njema kaka
@rashfordsulley7402 Жыл бұрын
Allah Anasema kuulu Nafsi dhahikatu le maut lila nafsi itaonja mauti kwaiyo tisihuzunike yoni mipango ya Allh🙏🙏🙏🙏😌🙏🙈🙈🙈😭😭
@faukiaabdallah38563 жыл бұрын
😭😭😭Allah atawalinda zaid😭
@ashrakswaleh21163 жыл бұрын
Amin kwa sotee inshallah
@shadiaally2217
2 жыл бұрын
Pole sana
@arafatkombo58233 жыл бұрын
Mzee karashia ple sn Allah awajaliye kheri amin
@AjmalBeka11 күн бұрын
Allah awarehemu wote waliofikambele yahaki
@fahadhamad49242 жыл бұрын
Ukisikiliza hii clip ukakosa kumwaga machozi basi wewe ni katili wenzetu walipotea dah Allahu akbar
Пікірлер: 141
Naitwa Omar Kombo Ali ni miongoni mwa wahanga wa ajali ya mv. Spice islanders 1, na mm ndio mtu wa mwisho kuokolewa, niliokolewa na meli ya mv, Serengeti majira ya saa 8 za mchana ya tarehe 10, nikiwa naogelea tu bila kujuwa naelekea wp, alhamdulillah Allah ni wa pekee kabisa tunapaswa kumshukuru kwa kila jambo, Allah awalaze mahali pema peponi wale wote waliotangiulia mbele ya haki, na cc tulipona Allah atupe maisha marefu yenye kheri na cc
Allah awalaze NDUGU zetu peponi ishalla awajaliye makabur yao yawe bustan ktk mabustan za pepon 😭💖
So sad wallahy😪.. Allah awahifadh kwa Hilo na jengine in Shaa Allah 🤲 na awasameh na awalaze mahala pema peponi kwa wote waliotangulia Aaamiin
Daaah...kwa kweli inauma sana nilimpoteza rafki yangu kipenz na jirani yangu Innalillahi wainnaailahi raajiuun raajiuun...Allah awasameh wote waliopoteza maisha ktk hii siku...
@maryamhabib466
2 жыл бұрын
Pole sana
@fundisuma4542
2 жыл бұрын
Aaaaaahh mtangazaji znazingua hauna fani ya utangazaji hata uongeaji wako haupo clear,
So sad 😭😭😭😭 but Allah Qariiim 🙏😭 mungu awarehmu maiti wetu walio tangulia
Inaumiza sana naumia mno kila nikisikia haya yaliyotokea tuombe mungu kila tutokapo atushikilie na kuzilinda nafsi zetu na kila tunaporudi tukumbuke kumshukuru muumba wetu Amina na anatushindia kila magumu tunayoyapitia.
Hii siku inaniliza sana haikuwa Muna familia yangu ila familia za wenzangu ni zangu pia kwasababu cjui kesho yngu na historiya ya Ashrak inazidi kunikumbusha mbali ila Mungu mkubwa sana na anauwezo 😭😭😭
@sadabkari5532
2 жыл бұрын
Allah atufikishe salama inshaallh
stori inaskitisha sana ila mtangazaji hafai hujui hta kuuliza shida tupu
Hilo ni janga kubwa sana subhanallah inashinda ile ya titanic Allah awasameh yaliyowapita awajaalie jannat firdaws iwe makazi Yao Amin ya Rabb
Cd ya Matukio yote nimetoka kuitazama leo 😭😭😭 Roho inaniuma. Mwenyezi MUNGU azilaze Roho za marehem peponi.
Kazi ya mungu haina makosa sote safari yetu moja mungu awape subra amiin
Allah awarehem na awasameh wote tulowapoteza,pole sana brother
So Sad Allah awarehemu wote walio poteza maisha AMIN AMIN AMIN 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 aka bachuchu mombasa 001 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Ashraq unanikumbusha shanaa bro tulikuwa twins ila my brother kaondoka nikaokoka mimi na nyinyi really sad😭😭😭😭
@theodoltheophil7858
2 жыл бұрын
Pole best
@ashashaphy9413
2 жыл бұрын
Pole Sana Allah awasameh maiti zetu Mimi nilimpotez mam angu Ila ni meli ya dar kuj znz tuwaombee dua tu ndo kilichobakia
@nassorahmed4672
2 жыл бұрын
Pole an Jamaal Broo wako ajmal alikuwa mshkaji wangu sn
@ummuashfaq3920
2 жыл бұрын
Jamaal Muhammad pole sana
@ummuashfaq3920
2 жыл бұрын
@@nassorahmed4672 polen san
Dah..pole sana Endelea kumshukur mungu ..waliotangulia Mungu awarehemu
الغريق شهيد والحريق شهيد أسال الله أن يرحم أمواتنا جميعا يارب انت أرحم بعباده انت أرحم بنا ليس لنا رب سواك فندعوه وليس لنا رب سواك فنرجوه
Allah awape subra ❤️amiin
wow tupoe woteee😭😭sema nn big up classmates big up sillah big up shia big up smediaz .... 2gether sanaa
Subhana Allah! Inaskitisha sana mji ulijiinamia ni huzuni tu kwa kweli alhamdulillah kwa wote waliokoka. Allah awajaalie pepo yake waliofariki nasi atujaalie mwisho mwema..amiin
@w4058
2 жыл бұрын
Ni upumbavu wa wahusika kwa nini waliruruhusu meli iondoke hali ya kuwa imejaa sana ni uzembe plus tamaaa tu serikali pamoja na kwamba walipinguza watu wasitowe amri ya kusitisha safari kabisa kuna taarifa kwamba meli ilikuwa inaingiza maji,kweli kabisa MMungu analoliandika hakuna wakulifuta ila ukweli ni uzembe uzembe uzembe na tamaa hakuna jengine
@w4058
2 жыл бұрын
Alhamdulilah kusikia kwamba watu wameshahadia Allah akawalipe pepo ya daraja ya juu kwa uwezo wake Allah
@maryammustafa1107
2 жыл бұрын
Bahati anajuwa kuogelea,dah mpaka machozi yamenitoka yani😭
@maryammustafa1107
2 жыл бұрын
Kadra Allah
alhamdulillah nlisafiri mwanzo kabla ya tukio ila nahuzunika nlipoteza rafiki zangu wawili
karashia sawa sante maaruf
Dah poleni Sanaa Allah awafanyie wepec
Alhamdulillahi Baraka llahu fiykum. Akhuwiy
Pole saana ndugu yangu story yako imenitoa machozi.. mwandishi ongeza taaluma kidogo..coz story zako zinahuzunisha saanaaa
😭😭🇰🇪poleni Sana muliofiliwa .mngu atawapa Subra insha'Allah
Pole sana bro Mr kimbola
Ashar wallah umeongea uzuri inanisikitisha sna mm siku hii nilikataa kusafiri
inauma sana . I cant it over my life.Oh Allah protects us
Abiria lengo lake afike safari yake Inauma Sana zaid ya sana maana now machoz yananitoka
Allah awape kauli thabit marehemu wote aminn inshaallah na Allah azipe subra familia zote aminn inshaallah
😢😭😫😪Pole sana broo story inahuzunisha sana
Dahhh.....inauma sana all it waz my blood.......
Mungu arehem walikufa ishaalah aweke pali pemba peponi ishaalah mungu ndiyo kila kitu
@sakinat2527
2 жыл бұрын
Amiin
Pole Ashrak
Naitwa asha suleimani ali mm pia nimuhang wa😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭siwez elezea mengi ila haisahauli
Mungu mkubwa 😭😭😭kina cha kutembea meli ulizama n ukapona aki Mungu n mwema yani machoz yananitoka aki pole kwa wote mlipatwa n janga ilo Insha Allah mungu atawasamehe walio tangulia mbele za haki n atusamehe sisi siliopo duniani 🙏😭
Naitwa Maoud Juma mm ni mhanga wa Ajali ya mv spice islander Allah awarehem ss ni sisi tuliokolewa na mzungu toka Nungwi haihadithk kwakweli.
Mashallah kijana kajieleza uzur❤
Eti makombo ya spice noma sana
Pole san Kaka agu
Siku hiii haitasahaulika Ila Allah ndio mpangaji wa yote
Dah my best friend karashia
Bro Allah akuweke na kukutunza sku zote na akujalie khatma njema kaka
Allah Anasema kuulu Nafsi dhahikatu le maut lila nafsi itaonja mauti kwaiyo tisihuzunike yoni mipango ya Allh🙏🙏🙏🙏😌🙏🙈🙈🙈😭😭
😭😭😭Allah atawalinda zaid😭
Amin kwa sotee inshallah
@shadiaally2217
2 жыл бұрын
Pole sana
Mzee karashia ple sn Allah awajaliye kheri amin
Allah awarehemu wote waliofikambele yahaki
Ukisikiliza hii clip ukakosa kumwaga machozi basi wewe ni katili wenzetu walipotea dah Allahu akbar
Pole Ashiraffi Allah SW awarehemu Mai wote
Anlla Karim kwakweli anastahili sifa walotangulia anlla awalehem wote walo tangulia 🙏🙏
Allah awajalie kauli thabit na awasamehe makosa yao
Dah pole sana
Subhanallah dah
Ashrak jmn pole saut yko ya majonz 😔😔
😭😭😭😭poleeeee sanaa
😭😭😭😭😭 Tushukuru mungu kwa yote🙏
sawa karadhia
hongora dada kwa kipind chako kizur sana❤
Pole muhanga mwenzangu
It is better for true story series film...
Dah Allah Mkubwa sana
Broo tufany ibada kwa wing t
Asharaq bana unaniangusha hunamuangalia uyo mtt tuuh .... Ulipaswa kuangalia camera apo.... Ww unaangalia... Chin na 🤪 unamuangalia.... Asila
Hebu jikaze wewe mtangazaji se tunalia hii hali mdomo umeuregeza sana
@ashuiddy9322
2 жыл бұрын
😁😁
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Poleee saaana dar inaumizaa saana😰😰😰
Mtangazaji mmmmmmmh kasome
@ashuraumari1322
2 жыл бұрын
Kwakweli alafu ana cheka cheka kwenye uzuni😏😏
@fatmanassormohd8071
2 жыл бұрын
Umeona eeeee
😭😭😭😭😭
Mola azidi kukufanyia wepesi
Mtangazaj muachee adisieeeee thn ww ua unamuuliza maswali Kam hujuwelew au wadau wak hawata elewa
Subhana Allah
Wewe Hostess nakukumbuka kama ulisoma shule ya Chasasa Wete miaka ya 2013-2014
Jamani!😢
Allahughafurahim wallah so sad,
SAD MOMENT 😭😭😭
🥰🥰
MtangazJi mmmmmh naomba namba yako
Innalillah wa innalillah rajiuun
Inauma sana
Poleni sana
😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏
🙏😭😭
Ameen ya rabby
So sad
Nakilajambo likitokea nimakadara ya allah
Nimecheka et nikamuona mdg wng na yy kashika kipolo cha yeboyebo😂😂😂
dah na mm nina store ya siku hii
Mungu awarehem
Allah nimwem
Kusema ukweli tahadhar hakuchukuliwa ni uzembee wa Hali ya juuu ulio fanyika
😭😭😭
😭😭
Allah atuhfaz na maafa km haya
لاحول ولاقوة إلا بالله
🙏
Inaonesha mtu ukitaka kufa unahisi km ndo mwisho wa ulimwng
Ila Ndege ni mbaya Zaid Ajali yak kuliko meli bora meli Ajali yak ni ndogo
kwa kweli hiki kisa kimenitoa machozi
So sad😥